Uyo mdada anajua kila kitu mpelekeni police akabanwe yani anajibu kama amekufu mbuzi uyo hatakiwi uhojiwa kama anatongozwa mpeni kibado kweli kunawanawake magaidi wallah mungu tunusuru yarab 🙏
Kulikuwa kuna issue gani mpaka upigiwe simu uulizwe kuwa amefika nawe ukajibu hajafika na kwa nn huyo Rafiki wa mumeo asimpigie muhusika??? Kuna utata hapo jeshi la police wafanye Kazi yao
Yaan ufiwe na mumeo alaf uwe na nguvu yakuongea km ivyo hapana kwa waliofikwa na misiba km hii wanajua maumivu yake maana uwez hojiwa unaweza ongea kwanza akil unais zimesepa polen ndugu wafamilia mungu awape subra inauma mno
du dunia watu wamekuwa na roho mbaya Sana usimuamin hata mke wako maisha ya Sasa syo kama ya zaman Ila Arusha matkio yamezd Sheria kdogo iwe Mt akiuwa nae anyongwe ad kufaa🪓💉✂️⚔️🗡️
Kwann unfanyie binadamu mwenzio kitendo cha kikatili namna hii,, kwann jamani 😢😢😢 ,,, kwann wamemuua kifo cha kikatili kiasi hiki,,,Mungu awaadhibu wahusika wote nimeumia mnoo,, serikali wafanye uchunguzi,, inaumaaaaa sana.
Baba wa watoto wako huyo hao watoto watakuwa wakubwa na hiyo storry wataikuta uso wako utaficha wapi dada?kuachana haikutosha halafu unajichanganya mara useme alompigia cm cmjui,mara rafiki zake sasa umejuaje kama ni rafiki yake kama humjui? Nafsi yako inajua ukweli,yani umetoka monduli umekuja kusalimia watoto mara mtu anakuuliza huyo amefika inaonyesha wazi ulikuja kishari kwa mauaji kabisa halafu ni mume wa ndoa khaaa jamani wenye uhitaji wa ndoa hawapati wasio hitaji wanapata ,na mchepuko unakubaliana nao hadi kumwaga damu ya mumeo mmmmh kumbe kwenye ndoa unaweza ishi na shetani mwenye jina la ushetani kabisa
Yaana uso wa huyu mama unaonyesha ujasili kama hajapoteza kitu jamani huyu mke wa malehemu sijamwelewa anajichanganya maneno Sana ila atambue mungu analipa hapa hapa Duniani na damu NI nzito mtalipwa wote wahusika hata msipokamatwa na vyombo vya Dola mungu atawalipa NI kiasi cha MDA tu
Yaani ikiwa ndo mchepuko kafanya hayo lakini pia akirudi kwako Nako hata ishi nawewe maana ushaumtia ukakasi usisahau kuwa huyo ni mwanaume kama huyo huyo hivyo atakuogopa atahisi utaweza kumfanyia anything like that happened hivyo kama umeweza Kwa aliye mume wa ndoa Tena kakupa na uzazi baba watt utashindwa nini Kwa mchepuko ? nyie ndo mnaoharibu maana ya ndoa na kuacha doa lisilotakata hata Kwa clorox ,
@@vesitinarevocatus7333 baba mdogo anasema walitengana yeye anasema sijawahi kuachana na mme wangu Kwanzaa kwa kifo alicho kufa mumewe anaa nguvu zote Kwanza macho yake tu. Yanajieleza j. apo sio mpelelezi
Hilo neno la kwanza amefika? Kisha akabadili kauli, mala aliyepiga haijui namba mala aliyepiga ni rafiki ya aliyeuawa!! Hapo kuna walakini juu ya huyu mwanamke!
Suspect everything but trust nothing... yote kwa yote yanawezekana inawezekana mwanamke akawa anajua na inawezekana asiwe anajua....ila kuwa na mahusiano na mwanajeshi anaonekana kuna kitu anaficha.
Mhhhhh mbona kuna utata “Aliyenipigia simu simjui”……….mara tena “alienipigia namfahamu ni rafiki yake” “Baba mdogo kasema walikuwa wameachana kwa muda” na huko monduli alikuwa amechukuliwa na mwanajeshi 😢 Huo ni unyama jmni inaskitisha sanaaa kwakwel na inaumaaaa kwann wamefanya hivyooo daaaah💔💔🤲🏻😭 eeeh Mungu waliofanya hivi roho zao zisitulie milele wakataabike mpaka waamue kutubu kwa walichokifanya😢
Tujitahid kufanya mambo mazuri mambo mema.... Kuna matatizo yanaweza kuwajia hata vitukuu vyako ikiwa ni malipo ya yale ulio ya tenda... Wacha mitohani ije ila isiwe ni kwaajili ya yale mabaya tulio fanya.. Poleni sana wahusika mungu awape nguvu... Mungu atulinde sisi na vizaz vyetu
Jamani huyu mwanamke ni anahisika mana sio kwa ukavu huo huyu dada anajua kila kitu yani tunavyojua ukifiwa na mumeo jamani huwezi kuongelea chochote na kumbe walitengana na yeye anasema wapo wote hapana jamni akamatwe huyu dada. Tunataka majibu waandishi wa habari
subhanallah! jeshi la police zianze kwa huyu mke, lakini arusha kwa sasa inaonekana ni mji namba moja kwa ukatili tanzania.matukio mazito kama haya yanatokea mara kwa mara kipindi hiki.
Ni ukatili wa kutisha sana. Binadamu binadamu ninyi damu hizi zitawalilia milele. Mwanaume unamuua mwenzako kwajili ya mwanamke ambaye ni sawa na siti ya daladala?. Poleni sana ndugu zetu. Amen.
Usifike huko kutukana mwanamke kuwa siti ya daladala. Kumbuka una dada, mama, shangazi, nk.Mtuhumiwa yeyote atuhumiwe kivyake. Usihusishe jinsia na kuidhalilisha kwa kosa la mtu binafsi.
Jamanii matukio kama haya sasa yametapakaa duniani kote...hii ni mwanzo wa sign ya malaika wa Mungu walio shikilia pepo nne za dunia wameanza kuachia taratibu taratibu.... Na kadili wanavyo achia kidogo na ndivyo roho wa Mungu anavyo zidi kuwa acha watu wanao ng'ang'ania dhambi... Hivyo basi huko mbele tunako enda kama Mungu akitu hifafhi hai...dunia ikisha kuwa katika udhibiti wa shetani 💯 tutaona mengi.... Maandiko yanasema watu watauana wao kwa wao,damu za watu zita mwagika kama maji kisa kona za dunia itakuwa ni mauaji ya kutisha... Ndugu zangu amani hii unayo iona leo,jilani yako anaku heshimu,mnasikilizana na wanao wanaku tambua kama mzazi si mda mrefu tuta ishi kama wanyama wanao windama.... Na hapa ndio mwanzo wa utungu...lkn ile dhiki kuu ya ulimwengu kabla ya YESU KRISTO au ISSA BIN mariamu kurudi kuchukua walio wake hiyo itakuwa bado..... MAANDIKO YANASEMA Dunia ita ingia katika dhiki kuu ambayo haijawahi kutokea na haitakuwepo nyingine kama hiyo tena.... 1.Matetemeko yatakuwa mengi sana 2.Vita zitaongezeka 3.Njaa na uchumi kupolomoka wa dunia 4.Utu kuisha mioyoni mwa watu 5.Mafuliko yatakuwa yakutisha 6.Mioto kulipuka sehemu sehemu pasipo kujua vyanzo 7.n.k YOTE HAYA NIKWA SABABU DUNIA IMEAMUA KUWA KINYUME NA MUNGU WA KWELI NA KUFATA UONGO NA KUIACHA SHERIA YA MUNGU... 2 Petro 2:21
arusha kwa kweli matukio yamezidi e mungu.tutetee bila wewe sisi hatuwezi inauna sana kama watumiwa wakimamatwa nao wauwawe tuu hakuna njia nyingine huyo.mwnamke anausika asilimia 99
That is not how you interview a hot case that is open to inestigations AYO .Avoid court by leaving questioning potential people of interests either implicating or just questioning.
Mhh siopowaa yani mtu waachane alafu apigiwe simu aulizwe mumeo yukowapii huyu ameyakanyaga poleni san ila huyo kaka kafa kifo cha mateso sana Mola wangu hachelewi wala hawahi atalipa hii karma tena kwa uzuri tu inalillah wain lillah rajiun😢😢😢😢
Aisee kosa gani hili la ukumu mbaya ya aina hii?. Shinda nini?. Wanategemea nini mbele za Mungu mkuu?. Wanadamu tumwogope Mungu maana yupo. Poleni sana ndugu zetu. Amen.
Kama nikweli amehusika atapigwa na mungu mana ndoa nijambo la mungu kama unajijua sio wakuolewa kwanini kilazimisha moyo mbaka kuleta mazala makubwa ivo mungu tusaidie hali imezidikuwa mbaya 🙏🙏
Uyo mdada anajua kila kitu mpelekeni police akabanwe yani anajibu kama amekufu mbuzi uyo hatakiwi uhojiwa kama anatongozwa mpeni kibado kweli kunawanawake magaidi wallah mungu tunusuru yarab 🙏
😢😢
@@user-uj5wg9mm2t 😭😭😭
Mwanamke mkavu hvo jmn kama vle hajafiwa ni mhusika kabsaaa😢
@@user-uj5wg9mm2t 😭😭
@@Nyanandi yaani ni sumu ni jangili kabisa wallah 😭
Huyo mwanamke abanwe vizuri,atatoa ushirikiano wa kumjua muuaji.
Ni kweli kabusaa
Kwa sbu kahojiwa na mwandishi asiye na mipaka?
Huyo mwanamke ndo anajua Kila kitu
na huyo mwanajezhi achunguzwe sana pia
Huyu mwanamke akikutana na wataalamu wa uchunguzi atasema ukweli.
Kulikuwa kuna issue gani mpaka upigiwe simu uulizwe kuwa amefika nawe ukajibu hajafika na kwa nn huyo Rafiki wa mumeo asimpigie muhusika??? Kuna utata hapo jeshi la police wafanye Kazi yao
damu ya mtu haiendi bure watapatikana tu.
@athumanfuko1kabisa99
Kabisa jamani huyu mama anajua yote
Point san.
Yaan ufiwe na mumeo alaf uwe na nguvu yakuongea km ivyo hapana kwa waliofikwa na misiba km hii wanajua maumivu yake maana uwez hojiwa unaweza ongea kwanza akil unais zimesepa polen ndugu wafamilia mungu awape subra inauma mno
Huyu anajua kifo Cha huyo mtu
Tena hana wasiwasi kabisa, tena anaongea kashika kiuno, hana hata tone la huzuni,
Yani anajua uyo
Yaani hadi namshangaa mumeo tena wa ndoa jamani
Mfano mzuri tuliona Kwa yule dada alie liwa na mamba dada alilia Kwa uchungu yule 😢😢😢huyu hata simanzi hanaa
Huy dada ni kiboko hivi anajuaaa maumivu ya kufiwa na mume kweli uso mkavu hivi unajuaaaaa
😮😮😮😢mwamke kafiwa ila ata dalili ya uzuni hamna usoni khaaa mkavu
Yani mwanamke anajua huyu kila kitu wallaah
Jicho kavuu...mmmmm ,😢😢😢😢😢😢😢😢
Tena mkavu mkavu tena
du dunia watu wamekuwa na roho mbaya Sana usimuamin hata mke wako maisha ya Sasa syo kama ya zaman Ila Arusha matkio yamezd Sheria kdogo iwe Mt akiuwa nae anyongwe ad kufaa🪓💉✂️⚔️🗡️
damu ya mt aiendagi buree
Kwann unfanyie binadamu mwenzio kitendo cha kikatili namna hii,, kwann jamani 😢😢😢 ,,, kwann wamemuua kifo cha kikatili kiasi hiki,,,Mungu awaadhibu wahusika wote nimeumia mnoo,, serikali wafanye uchunguzi,, inaumaaaaa sana.
Tuombe Rehema kwa Mungu tunapo elekea siko
Ahaaa uyo mbona atasematu ngoja police wamuhoji vizurii kabisa
Jaman amekufa kwa mateso sana inaumiza sana mungu tupe mwisho mwema😢😢
Amiin yaarab kwakweli
Amina
Kweliiii jmniii
Aisee dunia hii JAMANI dunia hii mweee😭😭😭😭😭
Baba wa watoto wako huyo hao watoto watakuwa wakubwa na hiyo storry wataikuta uso wako utaficha wapi dada?kuachana haikutosha halafu unajichanganya mara useme alompigia cm cmjui,mara rafiki zake sasa umejuaje kama ni rafiki yake kama humjui? Nafsi yako inajua ukweli,yani umetoka monduli umekuja kusalimia watoto mara mtu anakuuliza huyo amefika inaonyesha wazi ulikuja kishari kwa mauaji kabisa halafu ni mume wa ndoa khaaa jamani wenye uhitaji wa ndoa hawapati wasio hitaji wanapata ,na mchepuko unakubaliana nao hadi kumwaga damu ya mumeo mmmmh kumbe kwenye ndoa unaweza ishi na shetani mwenye jina la ushetani kabisa
Yaana uso wa huyu mama unaonyesha ujasili kama hajapoteza kitu jamani huyu mke wa malehemu sijamwelewa anajichanganya maneno Sana ila atambue mungu analipa hapa hapa Duniani na damu NI nzito mtalipwa wote wahusika hata msipokamatwa na vyombo vya Dola mungu atawalipa NI kiasi cha MDA tu
Dada anapanga Cha kuongea yaani anajichanganya anapanga sentensi hazipangiki, harafu anahofu furani. Duu Bora kuachana Kwa amani
Eti flani typo,badala ya mume yupo!!!!
Yaani ikiwa ndo mchepuko kafanya hayo lakini pia akirudi kwako Nako hata ishi nawewe maana ushaumtia ukakasi usisahau kuwa huyo ni mwanaume kama huyo huyo hivyo atakuogopa atahisi utaweza kumfanyia anything like that happened hivyo kama umeweza Kwa aliye mume wa ndoa Tena kakupa na uzazi baba watt utashindwa nini Kwa mchepuko ? nyie ndo mnaoharibu maana ya ndoa na kuacha doa lisilotakata hata Kwa clorox ,
😭😭
Yn unamwinamisha mwanaume mwenzio mpk unafika kilelen😢nawaza sana maumivu aliyoyapitia poleni familia 😢nawewe dd mbona mkavu ivo ata uzimii jmn
Malaya atazimia kweli wkat amefurah
Inasikitisha sana jmn
Itakua kahusika huyu dada
Yaani mimi mpaka sasa sijui walimzalilisha alikuwa ameshakufa au hai daaaa dunia hii
@@user-vy2bc6xg3i yn nikijikata nakisu nais kufa cjui yeye alipitia wakt gan jmn
Mwanamke anajua kila kitu
mwanzo alisema Aliyempigia hammjui baadae anamjua aiseee ikoo namnaa
Huyu mwanamke muongo eti huyo alie mpigia cm anasema hamjui badae anasema anamjua huyu kunakitu anaficha na yy kahusika yy na huyu jeshi huyu anajuwa mbinu zakuu tobowa macho washenzi wakubwa Mungu awabainishe na awahukumu poleni wafiwa
Alafu anasema baadae nilimpigia simu shemeji nikamuuliza Mbona ulisema Hivi Alafu tukio limetokea
Mwana jeshi jeshini, uku uraiani ni punda kama punda wengine, wakamatwe ili kupatkane ukweli hii nchi hatukufundishwa tabia hizo
Arusha pamejaa Majambazi Sana, Wahuni wote Wa Tz wapo Arusha,
Huyo Mwanamke aulizwe vzr kuna Jambo anaficha lipo nyuma ya pazia
Jaman hata kwetu Tanga kologwe yupo mkaka ameuliwa hvyo hvyo mungu tusamehe natulehem siisi eewe mola 2saidie
@@husseinnuru7544 Ni hatari Sana, Watu wanafanya mambo Hayo wanadhani Dunia ni Yao
Pole sana kwa familia ya tumaini . Mungu awape subra na uvumilivu ktk kipindi hiki kigumu.
Subuhanallah. Binaadam. Unamuua mwenzio ujuiww utakufalini. 😢 inalillahi.wainailahi..rajuun. yani kuuwa binaadam wanaonakawaidatu. 😢😢😢yarabi tujaaliemwisho mwema
Mungu nisamehe hy dada mckilizeni maelezo yake nizairi anajua
Uso wake unaeleza Kuna kitu anajua
Haswaaa kwanza iyosim ilopigwa kwake kulikuwa nampango
@@vesitinarevocatus7333 baba mdogo anasema walitengana yeye anasema sijawahi kuachana na mme wangu Kwanzaa kwa kifo alicho kufa mumewe anaa nguvu zote Kwanza macho yake tu. Yanajieleza j. apo sio mpelelezi
huyo atasema yeye mwenyewe
anaonekana ana ukwel mzm huyo sister
Hilo neno la kwanza amefika? Kisha akabadili kauli, mala aliyepiga haijui namba mala aliyepiga ni rafiki ya aliyeuawa!! Hapo kuna walakini juu ya huyu mwanamke!
Kabisa
Sure anajichanganya maneno yake.
Yaani anajichanganya na maneno yake makavu sana Hana hata Ile Hali yakiwa amefiwa!!!
Mtu anaishi naye halafu hajui aliko mume wake kweli?
Mumulizee vizuri.huyo.mdada
Dada mkavuuuu😢 hyu alkula mchongo
Mungu akutie nguvu baba,,siyo rahis lakn Mungu atakuvusha
Duuuu! Tuliosomea cuba tushajua tu huyo mama anahusika mana hata maelezo hayajitoshelezi
Suspect everything but trust nothing... yote kwa yote yanawezekana inawezekana mwanamke akawa anajua na inawezekana asiwe anajua....ila kuwa na mahusiano na mwanajeshi anaonekana kuna kitu anaficha.
Dah 😢😢😢damu ya mtu aipotei
Hy dada oajiwe vzuri na aoneshe hy alompigia
Kesi rahisi sana hii kwa upande wa upelelezi****
Jamani huyu mwanamke anahusika,,damu itakulilia dada,mwongo sana dada hata machozi mukafu hivyo,huu niunyama sana huyu,hadi mumelala..
Njo nashangaaa
Mwisho wa dunia umekarbia kwakweli
Mkewe anahusika kwa asilimia zoooote eeh mungu wa😢hii dunia wapi uku jmn ya allah tunaomba usaidie umma 😢 wako
itabidi usaidie police kumbe unajua kila kitu
Inauma sanaaa ukwel Allah anaujua Allah awahukumu wahusika wote
Huyo mwanamke anajua Mbona anasema hawajaachana Na kumbe wameachana
Kwanza anajikanyaga haeleweki huyu anafahamu mchongo mzima
Si atasingizia labda hajamuachia talaka kwa hiyo kisheria ni Kama hawajaachana ila wamepeana likizo
Mbwa wewe shetani mkubwa yaaani natamani nikupige
Poleni sana familia baba kasema haishii na mkewe mkewe kasema anaishi nae mbona kuna walakini
Huyo mwanamke, aojiwe vizuri, kwa sbb, maelezo yake hayaeleweki. Pole kwa wafiwa.
Mungu wangu nakusihii kama alivyoandika Isaya:49:26 adui zake wale nyama zao wenyewe kwa wenyewe na walewe kwa damu zao wenyewe kwa wenyewe.
Mungu anawaona hao wauaji😮😮 ukatili uliopitiliza
Mhhhhh mbona kuna utata
“Aliyenipigia simu simjui”……….mara tena “alienipigia namfahamu ni rafiki yake”
“Baba mdogo kasema walikuwa wameachana kwa muda” na huko monduli alikuwa amechukuliwa na mwanajeshi 😢
Huo ni unyama jmni inaskitisha sanaaa kwakwel na inaumaaaa kwann wamefanya hivyooo daaaah💔💔🤲🏻😭 eeeh Mungu waliofanya hivi roho zao zisitulie milele wakataabike mpaka waamue kutubu kwa walichokifanya😢
Tujitahid kufanya mambo mazuri mambo mema....
Kuna matatizo yanaweza kuwajia hata vitukuu vyako ikiwa ni malipo ya yale ulio ya tenda...
Wacha mitohani ije ila isiwe ni kwaajili ya yale mabaya tulio fanya..
Poleni sana wahusika mungu awape nguvu...
Mungu atulinde sisi na vizaz vyetu
Kwa kweli daaah
Uyu baba jamanii yaani usiku upo na mwanao asubuhi yupo chini amedhalilika😢😢Mwenyezi Mungu akupe subraa wallah😢
Saikokojia na muonekano huyu mwanamke anajua kila abanwe
😢😢😢 siku izi ukikutana na binadamu mwinzio Kimbia maaana duh
😢😢😢yani jamani
@@vumi8371 😪
Jamani huyu mwanamke ni anahisika mana sio kwa ukavu huo huyu dada anajua kila kitu yani tunavyojua ukifiwa na mumeo jamani huwezi kuongelea chochote na kumbe walitengana na yeye anasema wapo wote hapana jamni akamatwe huyu dada. Tunataka majibu waandishi wa habari
dah ivi uyu dada kafiwa kweri au nirafikitu maana ata anauzuni ata kidogo dah mungu atuongoze
Mm nahis anaigiza tu izo nguvu zinatoka wap
Nimeishiw
subhanallah! jeshi la police zianze kwa huyu mke, lakini arusha kwa sasa inaonekana ni mji namba moja kwa ukatili tanzania.matukio mazito kama haya yanatokea mara kwa mara kipindi hiki.
Mungu pekee ndiye anajua
Maelezo ya huyu dada. Sijaelewa vizuri ila sitasema chcht sababu mwanasheria wangu kasafiri jaman
kesi ndogo sana hii kwa upande wa upelelezi ila nikubwa kijamii kwakuwa ni mauaji
Huyu dada mshenzi sn anajua kila kitu abanwe vzr mpk chuchu atasema ukwel au wafwatilie cm yake na huyu mumewe watajua chanzo nn😢😢😢😢
Muuwaji kabis anajua kila kitu
Mwenyezi mungu walaani wote waliohusika nahuo unyama hatakama alikuwa amefanya kosa labda lakini siyo kwa unyama huo 😭😭😭
😭😭😭😭😭😭jamani huko Arusha muogopeni mungu hivoo yaani hamuogopi mungu hatakidogo poleni Sana wafiwa wotee wallahi inaumiza sana
Sio vyema kwenda kwa hisia ila huyu dada, ashikiliwe na ahojiwe vyema, Kuna jambo kwenye mabano.
Waaa mungu atusaidie
Pole sana Mr Barick wana southern sun tunakupa pole sana -levis
Daaah! Poleni ndug nahis maumivu makali sana daaah!
No one is safe nowadays sio wanaume sio wanawake😢
HUYU MWANAMKE MTUHUMIWA NO 1...ABANWE ATASEMA KILA KITU
Huyu mwanamke Kuna walakinii
Ni ukatili wa kutisha sana. Binadamu binadamu ninyi damu hizi zitawalilia milele. Mwanaume unamuua mwenzako kwajili ya mwanamke ambaye ni sawa na siti ya daladala?. Poleni sana ndugu zetu. Amen.
Usifike huko kutukana mwanamke kuwa siti ya daladala. Kumbuka una dada, mama, shangazi, nk.Mtuhumiwa yeyote atuhumiwe kivyake. Usihusishe jinsia na kuidhalilisha kwa kosa la mtu binafsi.
Mkaka wa watu amepitia wakati mngumu sana daha inauzunisha sana kwanini wasimue tu jamani 😢😢
HUYO DADA ANAJUWA KILA KITU AMBACHO KIMEFANYIKA HAPO. NA HUYO MWANAJESHI WAKE, 😢 KAZI NI KWENU KUMUBANA HASA.... DADA HUYO KISHETANI KABISA 😢
millard uyu mtangazaji wako ni mnoma sana anauliza good question kabisa
Mhhh! Damu ya mtu huwa haipotei! Kitajulikana tuu😭😭😭
Mzee pole sana baba yangu
Baba jamani una uchungu,poleni sana.
Huyo mwanamke anahusika abanwe atoe aelezo ila hiyo damu ya huyo kijana itamtafuna mtoto wa mwanamke mwenzake ameuwawa kwa mateso jaman
Dada anajichanganya sana
Jamanii matukio kama haya sasa yametapakaa duniani kote...hii ni mwanzo wa sign ya malaika wa Mungu walio shikilia pepo nne za dunia wameanza kuachia taratibu taratibu....
Na kadili wanavyo achia kidogo na ndivyo roho wa Mungu anavyo zidi kuwa acha watu wanao ng'ang'ania dhambi...
Hivyo basi huko mbele tunako enda kama Mungu akitu hifafhi hai...dunia ikisha kuwa katika udhibiti wa shetani 💯 tutaona mengi....
Maandiko yanasema watu watauana wao kwa wao,damu za watu zita mwagika kama maji kisa kona za dunia itakuwa ni mauaji ya kutisha...
Ndugu zangu amani hii unayo iona leo,jilani yako anaku heshimu,mnasikilizana na wanao wanaku tambua kama mzazi si mda mrefu tuta ishi kama wanyama wanao windama....
Na hapa ndio mwanzo wa utungu...lkn ile dhiki kuu ya ulimwengu kabla ya YESU KRISTO au ISSA BIN mariamu kurudi kuchukua walio wake hiyo itakuwa bado.....
MAANDIKO YANASEMA
Dunia ita ingia katika dhiki kuu ambayo haijawahi kutokea na haitakuwepo nyingine kama hiyo tena....
1.Matetemeko yatakuwa mengi sana
2.Vita zitaongezeka
3.Njaa na uchumi kupolomoka wa dunia
4.Utu kuisha mioyoni mwa watu
5.Mafuliko yatakuwa yakutisha
6.Mioto kulipuka sehemu sehemu pasipo kujua vyanzo
7.n.k
YOTE HAYA NIKWA SABABU DUNIA IMEAMUA KUWA KINYUME NA MUNGU WA KWELI NA KUFATA UONGO NA KUIACHA SHERIA YA MUNGU...
2 Petro 2:21
Very Points
Malaika mavi
We mungu wa Israeli tusaidie
Hakika Mungu atunusuru waje wake😢
@@neemabaltazary2008ndo Mungu gan huyo
arusha kwa kweli matukio yamezidi e mungu.tutetee bila wewe sisi hatuwezi inauna sana kama watumiwa wakimamatwa nao wauwawe tuu hakuna njia nyingine huyo.mwnamke anausika asilimia 99
That is not how you interview a hot case that is open to inestigations AYO .Avoid court by leaving questioning potential people of interests either implicating or just questioning.
So true, just for the sake of views you cant jeorpadise the witnesses or disrupt investigation altogether
Ww ni mswahili unazungumza na watanzania sasa hiyo lugha yakazi gani
Wanaelewa hawa ayo kwani
They don't understand kabisa
I don't think it will affect anything in this case, pressure bust
@@ubuntubantu2404❤❤❤❤❤0p❤❤❤
Poleni sana familia damu ya mtu haimwagiki bure,,ipo siku tutajua ukwer wote namini jeshi la porece lipo
Huyu mama ana taarifa muhimu
Mungu nijaalie kifo chema
Mungu tusamehe turehem baba
Mungu yupo kabla huyo kaka kuzikwa majibu yatatoka damu ya mtu haiendi bure 😢😢😢inauma mmno
Kusema kweli huyu mke ashikwe story yake haieleweki mara hamjui mara rafiki yke
Huyu mwanamke achunguzwe vizuri😢
Mungu atuepushe
Duh it's like huyu Dada apelekwe kwenye mahojiano vizuri
Daah inauma
Huyo Mwanamke inaonekana kabisa kwamba ni mtu wa matukio na ni muhusika mkubwa katika sakata hilo la kifo cha huyo kijana 😢😢😢😢
nimesikitishwa sana na tukio hili jamani, damu ya marehemu itanena , poleni wote , RIP HENRY 😢😢
Huyu mama anaonekana anajua kinachoendelea sikiliza maelezo yake anajikanyaga tu 😢
astghafulah daah
Mhh siopowaa yani mtu waachane alafu apigiwe simu aulizwe mumeo yukowapii huyu ameyakanyaga poleni san ila huyo kaka kafa kifo cha mateso sana Mola wangu hachelewi wala hawahi atalipa hii karma tena kwa uzuri tu inalillah wain lillah rajiun😢😢😢😢
Ee yesu tuhurumie 😢😢 nimelia moyoni
Innaalillaahi wainnailaihi Raajiuun 😭😭😭😭 jamani watu mbona mnakua na roho za namna hivyo dah😭😭😭 inauma sana. Poleni sana ndugu janaa na marafiki
Inna Lilah wainna illlah rajiun Baki Allah TU,hao walokifanya Wallah hawata lala salama,Mungu wangu nae mjua hatowaacha wauwaji,
Mungu akutie nguvu baba yangu 😭😭😭😭😭
Hii inaumiza sana sana sana... Mungu wewe ndio unajua kila kitu naomba utoe haki kwa kila mmoja
Aisee kosa gani hili la ukumu mbaya ya aina hii?. Shinda nini?. Wanategemea nini mbele za Mungu mkuu?. Wanadamu tumwogope Mungu maana yupo. Poleni sana ndugu zetu. Amen.
Mungu awatie nguvu family, Kwa ujumla
Huyu mwanamke huyu mmmh yani utasema anahojiwa jirani jamani😢
Mwanamke kuna kituuu maneno yake yana ulakiniiii ata ana tetemekaaa
😂😂senge ili linajua kila kitu libanwe vizuri uyu dada anajua inshu nzima pumbavu
Yaani roho inaniuma sana
Mdogo wangu.Hiyo kama umeahiriki naomba kuwa mkweli Ili watoto (kizazi chako)
Kisipitiye Hy Damu ya maumivu ya marehemu yasije wasipitiye
Sio kazi ya mtu moja hiyo
Dada eleza vizuri,,,. Mbona jicho kavu,,,,,kitakukuta kitu ,!!
Huyo mama anajua chanzo kwakumuangalia tu hata hatoi Machoz nimtata
Kama nikweli amehusika atapigwa na mungu mana ndoa nijambo la mungu kama unajijua sio wakuolewa kwanini kilazimisha moyo mbaka kuleta mazala makubwa ivo mungu tusaidie hali imezidikuwa mbaya 🙏🙏
M/mungu ampumzishe mahala pema pepon kijana mwenzetu amepitia mateso makal sana had kufa kwake jaman.
Yani mates matan mwezio unampa kumuharibu kumfunga uson akiuonen mnavo muazib😢 na mmemp azab nyengin kumtoboa toboa kwakwel😢😢