KUNA SIRI NZITO NYUMA YA 50 CENT NA PDIDY KILA KITU HIKI HAPA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 เม.ย. 2024
- KUNA SIRI NZITO NYUMA YA 50 CENT NA PDIDY KILA KITU HIKI HAPA
Unaweza kutupata pia kwenye mitandao yetu ya kijamii
Facebook
/ tricodmedia
instagram
tricodmedia...
twitter X
x.com/tricodmedia?t=Doj1G3uX8...
tiktok
www.tiktok.com/@tricodmedia?_...
#spirituality #news #trending
UKWELI KUHUSU P DIDY MICHAEL JACKSON NA RKELLY HUU HAPA HUWEZI KUAMINI
th-cam.com/video/_jC_nlLxawk/w-d-xo.html
Kaka nakubali sana habali zako aisee wangi wanajua ni story zakutunga lakini nimethibisha kaka kazi yako aina makosa mzee baba upewe maisha marefu sana
Welcome back my brother 🙏🙂↔️, tuleteye habari ya ule Nigeria aliye kufaa Nikama katolewa kafara JNR Pope 😢😢 please
Mimi NASEMA ata maraisi wa marekani Amini ni mashoga
Glad you are back
KARIBU TENA BRO 🙏🙏🙏
Mapapai
Im from kenya na ninapenda hii channel sana,bro acha kukaa sana bila kudrop video mpya❤
👊✌️👍.
Umepotea sana bro welcome back
Dah! Diddy ana mengi nyuma yake masna hii inezid
Mashoga tu wengi Hawa wamefika weusi.. So shameful..
Ça fait longtemps
we mtangazaji ueleweki, alipataje hasara ?
Kwani aya makesi uko Marecan yanawausu watu weusi tu kilakukicha ? 😢
Very Point
Tena mabilionea weusi tu
Didi ni star kitambo kila mtu alikua anatamani kuwa karibu nae ni kama leo hii Tanzania watu wanavyo tamani kuwa karibu na Dai
Unaujua mzik kwel?! Industry ya music US sio km kwen bongo dgo
Ukubwa wa usanii inategemea unatumia nguvu za imani ya dini yako au imani ya nguvu za giza !
Na mpaka sai ukubwa wa Didy hauna faida tena ,sababu ya nguvu za giza mpaka sahi kuwafanya wasanii wenzake wamekuwa ndio wake zake kuwafanyia kinyume na maumbile,
Na ukichunguza nyimbo nyingi za kizungu zinaongelea sana matusi, kufanya mapenzi kinyume na maumbile au mapenzi ya hisia moja na ndio mpaka sahi yametanda sana kwa wasanii wakubwa na wasanii wadogo wameanza kufata nyuma
Ata Dai siku moja alitembea kwake Diddy
Dai naye naye star 😂😂
KARIBU TENA
Ngozi nyeusi tuna shida saana.hata kama tukienda sayari nyingine kupendana ni ngumu kabisaaaa!!!!
Hapo 50 cent ni kama harmonize kwa hapa bongo fulevani na jay z ni alikiba na p.didy ni diamond platinum
We n mtoto inaonekana hujui kuhus mzik wa US, hujui habar za west coast na east coast
Hahhaha.......50cent ni mkongweeeeee wewe binti
Upo sahh