WASANII HAWA NI NDUGU WA DAMU KABISA UMESHAWAHI KUJUA??

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ส.ค. 2022
  • list ya mastaa ndugu, habari za mastaa ,mastaa wa bongo..udaku wa leo

ความคิดเห็น • 218

  • @THETHIRDTV_
    @THETHIRDTV_  ปีที่แล้ว +17

    Mastaa 10 waliojiunga Freemason Bongo. (Mpya 2022) 👇
    th-cam.com/video/44kFCNMMtj8/w-d-xo.html

  • @dieumercifataki-nl9wo
    @dieumercifataki-nl9wo 2 วันที่ผ่านมา +1

    Shida Yako unaongea mambo mingi mupaka sielewi kitu chochote 😅Sasa Irène Na Elizabeth lulu na wema sepetu wanausikianaje nahilii

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 ปีที่แล้ว +30

    Tini na mavoko nilisoma nao ilala kasulu mama yao ni mwl Martin mwalimu wa stadi za kazi mkali sana alikuwa huyu mwalimu..mavoko ni mother's boy...

    • @zenahussein3840
      @zenahussein3840 ปีที่แล้ว +3

      Wee na mimi nimesoma ilala kasulu mwalimi martn namjua anapenda kupiga fimbo za kiuno huyoo

    • @zenasalum2231
      @zenasalum2231 2 หลายเดือนก่อน

      Mlisona mwaka gani kama namkumbuka huyo nwalimu

    • @CapitalMafionzo
      @CapitalMafionzo 28 วันที่ผ่านมา

      He na mie nimesoma ilala kasulu namkumbuka mwalimu kipesile mwalimu buzuka mwalimu faru jmn long time 😂😂

  • @abdulrahmantv7164
    @abdulrahmantv7164 4 หลายเดือนก่อน +11

    Sio Haba ni Abaa

  • @sinzoyihebabonuer9554
    @sinzoyihebabonuer9554 ปีที่แล้ว +20

    Nikweli kabisa.kusema tin white na mavoko.nakubali sababu wanafanana sana kabisa

  • @user-us8qr5rg9j
    @user-us8qr5rg9j 4 หลายเดือนก่อน +8

    Mavoko.tin.pamoјa na dokiii nikwrl ndugu watu wa morogoro

  • @MomadeMohammed
    @MomadeMohammed 5 หลายเดือนก่อน +11

    Tin White Mavoko Na Dokii Ni Ndugu Wadamu Kabisa

  • @KhojaNasri
    @KhojaNasri ปีที่แล้ว +7

    Queen na Mondi

  • @don_dallartz
    @don_dallartz ปีที่แล้ว +11

    Dabo ni msanii wa Reggae mzee👊

  • @user-zj8se2bt4p
    @user-zj8se2bt4p 5 หลายเดือนก่อน +2

    🎉Muongo ww unazngua aba na kapipo ni mtoto wa shangaz na mjomba aba ndug yake wa damu ni jaiva au Sebastian tena seba ndo wakwanza kuzaliwa aba wa pili watatu fina bhas familia yao ni yenye watoto watatu2 mmoja mwanamke kama vtu uvijui uliza usitudanganye wakat cc ao tunaish nao mtaani na tunawajua vzli

  • @user-zg5du5yd4e
    @user-zg5du5yd4e 5 หลายเดือนก่อน +8

    Lil ommy mdogo wake na dj Kally wa voice of tabora

  • @philismbuluma5461
    @philismbuluma5461 ปีที่แล้ว +6

    Lil ommy na do ommy Ni uongo100%

  • @adejoahjoah9155
    @adejoahjoah9155 ปีที่แล้ว +10

    Vanessa na mdogo ake tunajuwa kitambo

  • @zeddyislam9175
    @zeddyislam9175 ปีที่แล้ว +16

    Aaaa🤗 Z Anton na Jay Melody👌

    • @manyaraboy
      @manyaraboy ปีที่แล้ว +1

      Makonde na mdodoma wap na wap sielew

    • @asiamalikita3491
      @asiamalikita3491 ปีที่แล้ว

      Nan mmakonde hapo

    • @umojamedia4167
      @umojamedia4167 5 หลายเดือนก่อน

      @@asiamalikita3491 z anto

  • @ismailalmazrui1555
    @ismailalmazrui1555 ปีที่แล้ว +53

    Ila hujui bwana mnazingua na mnakurupuka kufanya mavideo yenu, unapomtaja mtu na mwenzake weka picha zao unganisha kwa pamoja halafu uweke Kila mtu akiwa peke yake lkn unaongea mpaka tunasahau nani unamtaja ndio unaleta picha hamueleweki jipangeni hivyo vipengele nilivyovutaja msivione vidogo vina nafasi yake katika kumvutia mtazamaji

    • @danciledeciella6442
      @danciledeciella6442 ปีที่แล้ว +7

      Kabisa

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  ปีที่แล้ว +4

      Asante kwa maoni yako..tunalifanyia kazi

    • @tanaboymbabe7935
      @tanaboymbabe7935 ปีที่แล้ว +2

      Kapipo na Abbah sio baba mmoja wala mama mmoja ni mtoto wa shangaz yke Abbah mdogo ake finnah na kaka ake ni Jaiva real name Seba wakaz wa mburahat barafu mtaa wa mashineni kwa mwarabu muulize Abbah alafu mwambie tana boy ndio kakupa taarifa izi

    • @hhbb6142
      @hhbb6142 ปีที่แล้ว

      Eeeh umeongea

    • @husseinndondole2061
      @husseinndondole2061 ปีที่แล้ว +1

      Tin white na mavoko ni ndugu, ila dokii ni ndugu yake mavoko bhac au vp hapo imekaaje

  • @gaudensiamapunda9886
    @gaudensiamapunda9886 ปีที่แล้ว +6

    Bora umetuambia tucje kuchanganya Damu😅😅

  • @fridamusa8152
    @fridamusa8152 ปีที่แล้ว +6

    Nice

  • @momademussa6583
    @momademussa6583 ปีที่แล้ว +11

    Hili Iwe Vizuri Ungetuambia Undugu Niwa Vip Na Sio Story Book

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 ปีที่แล้ว +2

      Sasa si yuwakuambia ndugu tumbo moja😅😅

  • @Mamsocom
    @Mamsocom ปีที่แล้ว +5

    Umesahau mavoko, tin white na dada yao

  • @adriandaniel8304
    @adriandaniel8304 ปีที่แล้ว +5

    Sio HABA bro ni ABA..

  • @piusalexander4322
    @piusalexander4322 ปีที่แล้ว +11

    Mtangazaji unazingua double ni msanii wa lege fuatilia bhana acha use..

  • @muhibusaid3427
    @muhibusaid3427 ปีที่แล้ว +2

    Kwani tin whit ana semaje

  • @evangelistmcsarahmvungi3626
    @evangelistmcsarahmvungi3626 ปีที่แล้ว +2

    Flora mvungi na Sarah mvungi aka hanny wasanii wa maigizo na mziki

  • @KhojaNasri
    @KhojaNasri ปีที่แล้ว +2

    Ali,Abdul kiba

  • @GodenJohn
    @GodenJohn หลายเดือนก่อน

    Umeambiwa master ambao hawapendi kujiweka hazalan kama wao ni ndug

  • @salamaksrisa9580
    @salamaksrisa9580 ปีที่แล้ว +6

    Tin white hio ni kweli lkn hizi zengine

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 2 หลายเดือนก่อน

    Umemsahau baba revo na mwijaku😂😂

  • @imanimahuwi28
    @imanimahuwi28 ปีที่แล้ว +3

    Basi baadaee

  • @100Hundredmiles
    @100Hundredmiles ปีที่แล้ว +6

    SIO HABA NI ABA

  • @hamsolexhamso2458
    @hamsolexhamso2458 ปีที่แล้ว +8

    Unaongea sana bana jaribu kufupisha maneno unakera

  • @jdeoffspliny2594
    @jdeoffspliny2594 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona belle 9 na bright ujawataja

  • @SikudaiMwaibambe-jr7bo
    @SikudaiMwaibambe-jr7bo 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sawa

  • @VumiliaManyerere
    @VumiliaManyerere หลายเดือนก่อน

    Inafurahisha

  • @athumaniomar3403
    @athumaniomar3403 ปีที่แล้ว +1

    Acha uongo lil omy anaitwa Omar tambwe kwao tabora acha uongo

  • @SalmaOmari-rl2op
    @SalmaOmari-rl2op หลายเดือนก่อน +1

    Unyama

  • @youngblack6917
    @youngblack6917 ปีที่แล้ว +17

    Kumbe Alikiba na abdkiba sio mastar au sio ndugu?

  • @rosemaryrwabibi5908
    @rosemaryrwabibi5908 ปีที่แล้ว +4

    Z Antony na j meledy wanafanana sana

  • @hashimupangani2093
    @hashimupangani2093 5 หลายเดือนก่อน +1

    Fanya malekebisho kisha muhirudie tena hii video kwa sasa Mmezingua..
    Picha amjazipangilia vizuri,
    Maneno mengi kuliko dhumuni,
    Taarifa zako hazipo sahihi kwa baadhi ya ma-star

  • @janneykennedy4787
    @janneykennedy4787 ปีที่แล้ว +6

    Acha kuongea san bwana mpk tunasahau😏😏

  • @jassonkyaruziwilliam5372
    @jassonkyaruziwilliam5372 5 หลายเดือนก่อน +4

    Punguza maneno mengi. Taja majina na picha zao. Unakalia story tu.

  • @ledasultan9098
    @ledasultan9098 ปีที่แล้ว +3

    Idirs na Lulu baba zao Ni tumbo moja

  • @shyllahnekesa216
    @shyllahnekesa216 ปีที่แล้ว +4

    Mavoko Tini na Dokii

    • @DuLLAWAZIRI
      @DuLLAWAZIRI 5 หลายเดือนก่อน +1

      Mavoko na Tin ni ndugu wa damu
      Dokii ni wa shangazi yao

  • @Best_tz
    @Best_tz ปีที่แล้ว

    Unyama mwingi san

  • @tumimushi7245
    @tumimushi7245 ปีที่แล้ว +15

    Siyo Habba bwana, Ni Abba. Matamshi zingatia

    • @jojanes8477
      @jojanes8477 4 หลายเดือนก่อน

      Elimu ndugu c kosa lake

  • @Salmanunique-bf9rj
    @Salmanunique-bf9rj 2 หลายเดือนก่อน

    Aje kwang

  • @yohanashombe916
    @yohanashombe916 ปีที่แล้ว

    Jamaa we babuu pia ni msanii wa hip hop

  • @tzatza255
    @tzatza255 ปีที่แล้ว +49

    Mzee Fanya Research vzuri, D.Ommy ni Daudi Omary na ni mtu wa Arusha then Lil Ommy ni Omary Tambwe na n mtu wa Tabora....siyo ndugu kabisa.

    • @mwanahella9650
      @mwanahella9650 ปีที่แล้ว +4

      Nimeisikia hii kanichosha hata kuendelea kusikiliza nonsense

    • @richardtimoth7865
      @richardtimoth7865 5 หลายเดือนก่อน

      Uko sahihi lil omy ni Mtu wa Mboka

    • @starbusinesslikondo1833
      @starbusinesslikondo1833 5 หลายเดือนก่อน

      Amepuyanga

    • @jayvannyclassic191
      @jayvannyclassic191 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂duuuh huyu jamaa katucheza

    • @simfukwe1779
      @simfukwe1779 5 หลายเดือนก่อน

      Daud omary tambwe

  • @FadyManywele
    @FadyManywele 4 หลายเดือนก่อน

    Mmmmh

  • @justinmkawa4552
    @justinmkawa4552 หลายเดือนก่อน

    Abbah au haba?😂😂

  • @lindachilewachilewa7680
    @lindachilewachilewa7680 ปีที่แล้ว +4

    dabo anafanya hiphop_......khaa achen hizooo

  • @janethgeorge5791
    @janethgeorge5791 3 หลายเดือนก่อน

    Uko vena😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim หลายเดือนก่อน

    Nandy na billnass umewasahau

  • @DaudSaidy
    @DaudSaidy 16 วันที่ผ่านมา

    Muongo bana jmelod alisema wala si ndugu

  • @mmn7480
    @mmn7480 ปีที่แล้ว +3

    Na richi na mondi ndugu

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  ปีที่แล้ว +1

      Richi na Tin White

    • @mmn7480
      @mmn7480 ปีที่แล้ว

      @@THETHIRDTV_ sawa

    • @mashamasha2854
      @mashamasha2854 ปีที่แล้ว

      ᴋᴡᴀɴɴ ʟɪʟ ᴏᴍᴍʏ ᴍᴜɪsʟᴀᴍ ᴋᴀᴋᴀᴀᴋᴇ ᴍᴋɪʀɪsᴛᴏ

    • @winfridagama5832
      @winfridagama5832 ปีที่แล้ว

      Richmond

    • @jovithakawimbe7472
      @jovithakawimbe7472 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂​@@winfridagama5832

  • @tanzaniasociallightfoundat9053
    @tanzaniasociallightfoundat9053 หลายเดือนก่อน

    BADO ALIKEYIOO na ABDUKEY

  • @user-bv3un1bq5n
    @user-bv3un1bq5n 3 หลายเดือนก่อน

    Duuuh makubwa

  • @silvasipro4456
    @silvasipro4456 ปีที่แล้ว

    Hey

  • @DanielFrankManupa
    @DanielFrankManupa ปีที่แล้ว +3

    Oya ni Abber sio Haba

  • @IddyAbdul-gw2ju
    @IddyAbdul-gw2ju ปีที่แล้ว

    Iddy abdul

  • @rashidhussein3711
    @rashidhussein3711 ปีที่แล้ว +2

    Unakurupuka tu

  • @salimsibabu9027
    @salimsibabu9027 5 หลายเดือนก่อน

    Kuna wengi hujataja km Ali kiba na Abdul kiba

  • @user-jj5mm4dg6c
    @user-jj5mm4dg6c 2 หลายเดือนก่อน

    Abba na jaiva ni baba na mama mmoja acha ujinga

  • @Dymitri-Babushka.
    @Dymitri-Babushka. 4 หลายเดือนก่อน

    Makonda na mwijaku ni mtu na mdogo wake 😂

  • @godfreyjacobo1370
    @godfreyjacobo1370 ปีที่แล้ว

    J melody ni mtu wa mpwapwa Sasa undugu na z Antonio ukoje

    • @kingshata6370
      @kingshata6370 ปีที่แล้ว +1

      Kwan baba y'ako akizaa mpwapwa na akenda zaa kigoma alio wazaa uko sio ndugu zako?

    • @karamrisho8238
      @karamrisho8238 ปีที่แล้ว +1

      @@kingshata6370 🤣🤣🤣🤣

  • @MartinMaxmilian
    @MartinMaxmilian หลายเดือนก่อน

    Oya abbah ni ndg wa jaivah

  • @user-xf9tt5it2q
    @user-xf9tt5it2q 3 หลายเดือนก่อน

    rich mavoko na tin white

  • @firdausrajabu6822
    @firdausrajabu6822 ปีที่แล้ว

    Mavoko na dokiiii n uongo bn

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim หลายเดือนก่อน

    ALI KIBA NA ABDUL KIBA HUJAWQTAJA

  • @user-gg2lh2mr9j
    @user-gg2lh2mr9j 5 หลายเดือนก่อน +1

    Acha ufala ww z anto na jay melody wapinawap

  • @khamisramadhan686
    @khamisramadhan686 6 หลายเดือนก่อน

    Mmmmmmmmmh umetupiga🤨🤨

  • @exaverymasinga3097
    @exaverymasinga3097 ปีที่แล้ว +3

    Lady jeydee na wakazi na sio dabo mbuzi wee!

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 ปีที่แล้ว

      Hpn wakazi Ana undugu na komando jeed, lla ni kweri Dabo na jeed ni ndugu wa dm, mm na bb.

    • @eliazebedayo1802
      @eliazebedayo1802 ปีที่แล้ว

      Ipo ivyo,Wote lady jaydee-Dabo na wakazi ni ndugu wa damu!!

    • @markdevi2051
      @markdevi2051 ปีที่แล้ว

      Dabo ,wakaz na jde ni nduguuu

    • @DuLLAWAZIRI
      @DuLLAWAZIRI 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@maryamtan682wakazi na jdee ni wa baba mkubwa na mdogo
      Baba yao mwingine ni mzee wasira
      Na lulu diva na idriss baba zao ndugu

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 5 หลายเดือนก่อน

      Weee kweri kinyesi, kwani mara ngapi db akiulizwa kuhusu dd ake kumsaidia kwenye mziki wk, alafu wee fala kaa ulijua db na jide ni ndugu tn wa dm moja, jd mkubwa db ni mtt wa mwisho, mitandao umeijua Leo wewe sijui umechelewa wp.

  • @amanimkonde2216
    @amanimkonde2216 ปีที่แล้ว

    Lil ommy na D Ommy hapana

    • @kingshata6370
      @kingshata6370 ปีที่แล้ว

      Sasa unabisha kip na tumekaa nao ao

  • @IsabellEdward-jo8qm
    @IsabellEdward-jo8qm 3 หลายเดือนก่อน

    Hello nahitaji namba wa dereva Uganda to Tanzania

  • @doublevwilondja668
    @doublevwilondja668 ปีที่แล้ว

    Ujitaidi kuwa unatajakwaho kwa asili

  • @nola9334
    @nola9334 ปีที่แล้ว +6

    Unazingua kwa Vanessa wako watatu mbona Nancy ujamtaja??

    • @suleimanjuly1396
      @suleimanjuly1396 ปีที่แล้ว +1

      Nancy hajulikani anazingua nin zaid ya wao kumtaja ndugu zake ungemjua huyo nancy

    • @neymichael1792
      @neymichael1792 5 หลายเดือนก่อน

      Nancy sumali ndugu yake ni nakaaya sumali. Siyo Vanessa

    • @NaiIshumaeli
      @NaiIshumaeli 2 หลายเดือนก่อน

      Nancy sumar mmeru Vanessa mopare wapi na wapi

  • @abdiathumani919
    @abdiathumani919 ปีที่แล้ว +1

    Bab junio na bonge la nyau

  • @Whitegsm
    @Whitegsm ปีที่แล้ว +2

    Sio kweli zuchu kwao ndio wa mwisho kaka yao wa mwanzo anaitwa ismail wapili prince na watatu zuchu

  • @adejoahjoah9155
    @adejoahjoah9155 ปีที่แล้ว +1

    Na wolper kafata nini hapo au ili tuingie tu sijaskia za wolper

    • @evegirl2868
      @evegirl2868 ปีที่แล้ว

      Mwanzo mi nimeclick ndio nione wolper na wema sepetu madugu zao ni akina nani

  • @dj06tz06
    @dj06tz06 ปีที่แล้ว +1

    Z anto umedanganya z anto ni mmakonde wa pwani pale mkindan ndipo kwao nawajuwa vizur famil yao

    • @shabbyofficial_
      @shabbyofficial_ ปีที่แล้ว

      😂 😂 😂

    • @lamk-lt6dp
      @lamk-lt6dp ปีที่แล้ว

      Tena katupiga haswa huyo z anto walikuwa wanaishi pale kigamboni machava nyuma ya shule ya msingi ya rahaleo asitudanganye hapa

    • @sirajiabdallah6824
      @sirajiabdallah6824 ปีที่แล้ว

      kaka kwel mikindani pale mvita

  • @user-yj7pc2is9j
    @user-yj7pc2is9j 8 หลายเดือนก่อน

    Kuhusu z anto na jaymelody nakataa

    • @RehemaJoseph-ru8kw
      @RehemaJoseph-ru8kw 5 หลายเดือนก่อน

      Nikweli ni ndugu wa damu j melody na zed antony

  • @zubeidamalimbwi2945
    @zubeidamalimbwi2945 ปีที่แล้ว

    Alikiba na abdu kiba nao wakonafac ya ngap mbona nao nindugu na nmastaa pia nasjawackia

    • @salamanauthar480
      @salamanauthar480 ปีที่แล้ว

      Anasema Kwa wale ambao watu hatujui' Ali kiba na Abdu kiba inajulikana

  • @user-dy2pt4lk8q
    @user-dy2pt4lk8q 4 หลายเดือนก่อน

    Lilommy na dommy so ndugu bana majina yao tu umekosea

  • @mr.romancer9160
    @mr.romancer9160 ปีที่แล้ว +9

    Rich Mavoko na Tin White???🙄

    • @veronicamangwela9665
      @veronicamangwela9665 ปีที่แล้ว +3

      Ni kweli ni ndugu kabisa pamoja na dokii. Me nawafahamu mpaka familia Yao pale kilosa kimamba

    • @emerencesifa2227
      @emerencesifa2227 ปีที่แล้ว +2

      Niukweli mtupu

    • @Official83640
      @Official83640 ปีที่แล้ว +3

      @@veronicamangwela9665 Dokii ni binamu yao sio baba mmoja mama mmoja. Mtoto wa Rich Mavoko kapewa jina la baba yake Dokie

    • @veronicamangwela9665
      @veronicamangwela9665 ปีที่แล้ว +2

      @@Official83640 najua Ila ni ndugu kwani binamu sio ndugu!!!!

  • @pamela3335
    @pamela3335 ปีที่แล้ว

    Wanafisha kwa nini

  • @user-jj5mm4dg6c
    @user-jj5mm4dg6c 2 หลายเดือนก่อน

    Jide ndugu yake ni wakazi

  • @kanikionlineTV
    @kanikionlineTV ปีที่แล้ว

    th-cam.com/video/4yY3TT3EVyQ/w-d-xo.html taarifa iliyotufikia hivi karibuni ni kuhusu msemaji mpya wa yanga sc , Alikamwe

  • @shedracknnko4890
    @shedracknnko4890 ปีที่แล้ว +2

    Dokiii c mkenya Uyo

    • @elishajailosy8346
      @elishajailosy8346 ปีที่แล้ว

      Sio mkenya ila Kunatime anaitumia rafudh ya Kenya kutangaza na kuigiza

    • @ZIZONSR
      @ZIZONSR ปีที่แล้ว

      @@elishajailosy8346
      Yes! Ni mkenya 😆😆 wa kimamba ,kilosa ,MOROGORO

    • @elizabethmassi7327
      @elizabethmassi7327 ปีที่แล้ว +1

      Dokii sio mkenya bali anaigiza kuongea kikenya, kwao Dokii ni kimamba kilosa ,kakake dokii ni msanii anasanii kwenye vichekesho vya kitimtim na wapo 3 kwao wote ni wasanii Dokii ni wa kike kwao pekee yake wawili ni wa kaka.

    • @jovithakawimbe7472
      @jovithakawimbe7472 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@ZIZONSR😂😂😂😂😂

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus7255 ปีที่แล้ว +5

    Umemsahau HARMONIZE na HARMORAPPA

  • @starsmarttv2831
    @starsmarttv2831 5 หลายเดือนก่อน

    😢😂😂

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 ปีที่แล้ว +3

    ABBA sio HABA

  • @godsonkarengi2365
    @godsonkarengi2365 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂

  • @user-gg2lh2mr9j
    @user-gg2lh2mr9j 5 หลายเดือนก่อน

    Dokii na mavokoo wapiwapina wapi duh miyayusho boya ww dokii kwao morogoro na ndugu zake nafanya nao kazi

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 4 หลายเดือนก่อน

      Ni ndugu hao mfuatilie doki wakt anasimamia haki za mavoko WCB

    • @emmaonalloh5515
      @emmaonalloh5515 3 หลายเดือนก่อน

      Ni ndungu dokii na mavoko

    • @BonitatemBonitate
      @BonitatemBonitate 2 หลายเดือนก่อน

      Huwezi kumjua mtu kuliko anavyojijua hata siku Moja,ivyo acheni kujifanya mnajua sana family za watu kuliko wanavyojijua wenyewe,kwani wewe kufanya kazi na ndugu zake dokii ndo sababu yakujua kila kitu kuhusu yeye?

  • @ideagene6045
    @ideagene6045 ปีที่แล้ว

    Unyama #official_tella
    th-cam.com/video/xYrqkerpoOQ/w-d-xo.html

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 6 หลายเดือนก่อน +1

    Lulu diva sio watanga ni wa shinyanga

  • @mussaabdallah7451
    @mussaabdallah7451 ปีที่แล้ว +1

    Xaxa kama hawataki kuxema kweli huo niuxhamba

    • @edwardtrigga5701
      @edwardtrigga5701 ปีที่แล้ว

      Ni ushamba kama wewe mwanaume mzima badala ya kuandika Sasa unaandika xaxa

  • @filamuzetu
    @filamuzetu ปีที่แล้ว

    Utamu utamu. th-cam.com/video/yrzGiIZOGFo/w-d-xo.html

  • @khalidngwembele9075
    @khalidngwembele9075 ปีที่แล้ว

    Haba?🤷🏼‍♂️

  • @yohanashombe916
    @yohanashombe916 ปีที่แล้ว +1

    One na jux mbona ndugu ujasema

  • @homeboy2307
    @homeboy2307 ปีที่แล้ว +2

    Anaitwa abbah sio habba

  • @khanafrica22
    @khanafrica22 ปีที่แล้ว +2

    Undugu wa Jaymelody na Z anto ni kiaje?
    Baba mmoja au nini?

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 ปีที่แล้ว

      Ni kweri ndugu wa damu kbs.

    • @allylingondo2151
      @allylingondo2151 ปีที่แล้ว

      Sio kweli

    • @hasanikarimu5096
      @hasanikarimu5096 ปีที่แล้ว

      Kweli

    • @kingshata6370
      @kingshata6370 ปีที่แล้ว

      @@allylingondo2151 sa unabisha kip kwamba wasaniii walishuka toka mbinguni Awana ndugu au ukoo ao ni ndugu toka zamn kagua post za z anto zamn utaona ka j melody alikapost katoto