🎉Muongo ww unazngua aba na kapipo ni mtoto wa shangaz na mjomba aba ndug yake wa damu ni jaiva au Sebastian tena seba ndo wakwanza kuzaliwa aba wa pili watatu fina bhas familia yao ni yenye watoto watatu2 mmoja mwanamke kama vtu uvijui uliza usitudanganye wakat cc ao tunaish nao mtaani na tunawajua vzli
Ila hujui bwana mnazingua na mnakurupuka kufanya mavideo yenu, unapomtaja mtu na mwenzake weka picha zao unganisha kwa pamoja halafu uweke Kila mtu akiwa peke yake lkn unaongea mpaka tunasahau nani unamtaja ndio unaleta picha hamueleweki jipangeni hivyo vipengele nilivyovutaja msivione vidogo vina nafasi yake katika kumvutia mtazamaji
Kapipo na Abbah sio baba mmoja wala mama mmoja ni mtoto wa shangaz yke Abbah mdogo ake finnah na kaka ake ni Jaiva real name Seba wakaz wa mburahat barafu mtaa wa mashineni kwa mwarabu muulize Abbah alafu mwambie tana boy ndio kakupa taarifa izi
Fanya malekebisho kisha muhirudie tena hii video kwa sasa Mmezingua.. Picha amjazipangilia vizuri, Maneno mengi kuliko dhumuni, Taarifa zako hazipo sahihi kwa baadhi ya ma-star
Weee kweri kinyesi, kwani mara ngapi db akiulizwa kuhusu dd ake kumsaidia kwenye mziki wk, alafu wee fala kaa ulijua db na jide ni ndugu tn wa dm moja, jd mkubwa db ni mtt wa mwisho, mitandao umeijua Leo wewe sijui umechelewa wp.
Dokii sio mkenya bali anaigiza kuongea kikenya, kwao Dokii ni kimamba kilosa ,kakake dokii ni msanii anasanii kwenye vichekesho vya kitimtim na wapo 3 kwao wote ni wasanii Dokii ni wa kike kwao pekee yake wawili ni wa kaka.
Huwezi kumjua mtu kuliko anavyojijua hata siku Moja,ivyo acheni kujifanya mnajua sana family za watu kuliko wanavyojijua wenyewe,kwani wewe kufanya kazi na ndugu zake dokii ndo sababu yakujua kila kitu kuhusu yeye?
@@allylingondo2151 sa unabisha kip kwamba wasaniii walishuka toka mbinguni Awana ndugu au ukoo ao ni ndugu toka zamn kagua post za z anto zamn utaona ka j melody alikapost katoto
Mastaa 10 waliojiunga Freemason Bongo. (Mpya 2022) 👇
th-cam.com/video/44kFCNMMtj8/w-d-xo.html
Shida Yako unaongea mambo mingi mupaka sielewi kitu chochote 😅Sasa Irène Na Elizabeth lulu na wema sepetu wanausikianaje nahilii
Tini na mavoko nilisoma nao ilala kasulu mama yao ni mwl Martin mwalimu wa stadi za kazi mkali sana alikuwa huyu mwalimu..mavoko ni mother's boy...
Wee na mimi nimesoma ilala kasulu mwalimi martn namjua anapenda kupiga fimbo za kiuno huyoo
Mlisona mwaka gani kama namkumbuka huyo nwalimu
He na mie nimesoma ilala kasulu namkumbuka mwalimu kipesile mwalimu buzuka mwalimu faru jmn long time 😂😂
Sio Haba ni Abaa
Waelekeze hahaha
Nikweli kabisa.kusema tin white na mavoko.nakubali sababu wanafanana sana kabisa
Mavoko.tin.pamoјa na dokiii nikwrl ndugu watu wa morogoro
Tin White Mavoko Na Dokii Ni Ndugu Wadamu Kabisa
Queen na Mondi
Dabo ni msanii wa Reggae mzee👊
🎉Muongo ww unazngua aba na kapipo ni mtoto wa shangaz na mjomba aba ndug yake wa damu ni jaiva au Sebastian tena seba ndo wakwanza kuzaliwa aba wa pili watatu fina bhas familia yao ni yenye watoto watatu2 mmoja mwanamke kama vtu uvijui uliza usitudanganye wakat cc ao tunaish nao mtaani na tunawajua vzli
Lil ommy mdogo wake na dj Kally wa voice of tabora
Lil ommy na do ommy Ni uongo100%
😂 😂 😂
Sasa unabisha nn na mama yao namjua
Uongo
@@abdillahhassani1121 ni ndugu wa damu kabisa usibishe
Vanessa na mdogo ake tunajuwa kitambo
Aaaa🤗 Z Anton na Jay Melody👌
Makonde na mdodoma wap na wap sielew
Nan mmakonde hapo
@@asiamalikita3491 z anto
Ila hujui bwana mnazingua na mnakurupuka kufanya mavideo yenu, unapomtaja mtu na mwenzake weka picha zao unganisha kwa pamoja halafu uweke Kila mtu akiwa peke yake lkn unaongea mpaka tunasahau nani unamtaja ndio unaleta picha hamueleweki jipangeni hivyo vipengele nilivyovutaja msivione vidogo vina nafasi yake katika kumvutia mtazamaji
Kabisa
Asante kwa maoni yako..tunalifanyia kazi
Kapipo na Abbah sio baba mmoja wala mama mmoja ni mtoto wa shangaz yke Abbah mdogo ake finnah na kaka ake ni Jaiva real name Seba wakaz wa mburahat barafu mtaa wa mashineni kwa mwarabu muulize Abbah alafu mwambie tana boy ndio kakupa taarifa izi
Eeeh umeongea
Tin white na mavoko ni ndugu, ila dokii ni ndugu yake mavoko bhac au vp hapo imekaaje
Bora umetuambia tucje kuchanganya Damu😅😅
Nice
Hili Iwe Vizuri Ungetuambia Undugu Niwa Vip Na Sio Story Book
Sasa si yuwakuambia ndugu tumbo moja😅😅
Umesahau mavoko, tin white na dada yao
Sio HABA bro ni ABA..
Mtangazaji unazingua double ni msanii wa lege fuatilia bhana acha use..
Kwani tin whit ana semaje
Flora mvungi na Sarah mvungi aka hanny wasanii wa maigizo na mziki
Ali,Abdul kiba
Umeambiwa master ambao hawapendi kujiweka hazalan kama wao ni ndug
Tin white hio ni kweli lkn hizi zengine
Umemsahau baba revo na mwijaku😂😂
Basi baadaee
SIO HABA NI ABA
Unaongea sana bana jaribu kufupisha maneno unakera
Mbona belle 9 na bright ujawataja
Sawa
Inafurahisha
Acha uongo lil omy anaitwa Omar tambwe kwao tabora acha uongo
Unyama
Kumbe Alikiba na abdkiba sio mastar au sio ndugu?
Hao wapo wazi kbsa
Uwiiii una Akili kaa mchwa 👏✌️
Hao kila mtu anafahamu
Z Antony na j meledy wanafanana sana
Fanya malekebisho kisha muhirudie tena hii video kwa sasa Mmezingua..
Picha amjazipangilia vizuri,
Maneno mengi kuliko dhumuni,
Taarifa zako hazipo sahihi kwa baadhi ya ma-star
Acha kuongea san bwana mpk tunasahau😏😏
Punguza maneno mengi. Taja majina na picha zao. Unakalia story tu.
Idirs na Lulu baba zao Ni tumbo moja
Mavoko Tini na Dokii
Mavoko na Tin ni ndugu wa damu
Dokii ni wa shangazi yao
Unyama mwingi san
Siyo Habba bwana, Ni Abba. Matamshi zingatia
Elimu ndugu c kosa lake
Aje kwang
Jamaa we babuu pia ni msanii wa hip hop
Ndiyo ni means Hip Hop
Mzee Fanya Research vzuri, D.Ommy ni Daudi Omary na ni mtu wa Arusha then Lil Ommy ni Omary Tambwe na n mtu wa Tabora....siyo ndugu kabisa.
Nimeisikia hii kanichosha hata kuendelea kusikiliza nonsense
Uko sahihi lil omy ni Mtu wa Mboka
Amepuyanga
😂😂😂duuuh huyu jamaa katucheza
Daud omary tambwe
Mmmmh
Abbah au haba?😂😂
dabo anafanya hiphop_......khaa achen hizooo
Uko vena😂😂😂🎉🎉🎉🎉
Nandy na billnass umewasahau
Muongo bana jmelod alisema wala si ndugu
Na richi na mondi ndugu
Richi na Tin White
@@THETHIRDTV_ sawa
ᴋᴡᴀɴɴ ʟɪʟ ᴏᴍᴍʏ ᴍᴜɪsʟᴀᴍ ᴋᴀᴋᴀᴀᴋᴇ ᴍᴋɪʀɪsᴛᴏ
Richmond
😂😂😂@@winfridagama5832
BADO ALIKEYIOO na ABDUKEY
Duuuh makubwa
Hey
Oya ni Abber sio Haba
Hahahahahahaha
Na wewe sio abber ni Abbah
@@kibandachasimu basi atakua ubber 🤣
Iddy abdul
Unakurupuka tu
Kuna wengi hujataja km Ali kiba na Abdul kiba
Abba na jaiva ni baba na mama mmoja acha ujinga
Makonda na mwijaku ni mtu na mdogo wake 😂
J melody ni mtu wa mpwapwa Sasa undugu na z Antonio ukoje
Kwan baba y'ako akizaa mpwapwa na akenda zaa kigoma alio wazaa uko sio ndugu zako?
@@kingshata6370 🤣🤣🤣🤣
Oya abbah ni ndg wa jaivah
rich mavoko na tin white
Mavoko na dokiiii n uongo bn
We ndo muongo hujui kaa kimya
ALI KIBA NA ABDUL KIBA HUJAWQTAJA
Acha ufala ww z anto na jay melody wapinawap
Acha ubishii huon wanafanana
Mmmmmmmmmh umetupiga🤨🤨
Lady jeydee na wakazi na sio dabo mbuzi wee!
Hpn wakazi Ana undugu na komando jeed, lla ni kweri Dabo na jeed ni ndugu wa dm, mm na bb.
Ipo ivyo,Wote lady jaydee-Dabo na wakazi ni ndugu wa damu!!
Dabo ,wakaz na jde ni nduguuu
@@maryamtan682wakazi na jdee ni wa baba mkubwa na mdogo
Baba yao mwingine ni mzee wasira
Na lulu diva na idriss baba zao ndugu
Weee kweri kinyesi, kwani mara ngapi db akiulizwa kuhusu dd ake kumsaidia kwenye mziki wk, alafu wee fala kaa ulijua db na jide ni ndugu tn wa dm moja, jd mkubwa db ni mtt wa mwisho, mitandao umeijua Leo wewe sijui umechelewa wp.
Lil ommy na D Ommy hapana
Sasa unabisha kip na tumekaa nao ao
Hello nahitaji namba wa dereva Uganda to Tanzania
Ujitaidi kuwa unatajakwaho kwa asili
Unazingua kwa Vanessa wako watatu mbona Nancy ujamtaja??
Nancy hajulikani anazingua nin zaid ya wao kumtaja ndugu zake ungemjua huyo nancy
Nancy sumali ndugu yake ni nakaaya sumali. Siyo Vanessa
Nancy sumar mmeru Vanessa mopare wapi na wapi
Bab junio na bonge la nyau
Sio kweli zuchu kwao ndio wa mwisho kaka yao wa mwanzo anaitwa ismail wapili prince na watatu zuchu
Wa kwanza Omary Kopa Marehemu, Zuchu ni wa nne
@@aminakassim7486 ndio
Na wolper kafata nini hapo au ili tuingie tu sijaskia za wolper
Mwanzo mi nimeclick ndio nione wolper na wema sepetu madugu zao ni akina nani
Z anto umedanganya z anto ni mmakonde wa pwani pale mkindan ndipo kwao nawajuwa vizur famil yao
😂 😂 😂
Tena katupiga haswa huyo z anto walikuwa wanaishi pale kigamboni machava nyuma ya shule ya msingi ya rahaleo asitudanganye hapa
kaka kwel mikindani pale mvita
Kuhusu z anto na jaymelody nakataa
Nikweli ni ndugu wa damu j melody na zed antony
Alikiba na abdu kiba nao wakonafac ya ngap mbona nao nindugu na nmastaa pia nasjawackia
Anasema Kwa wale ambao watu hatujui' Ali kiba na Abdu kiba inajulikana
Lilommy na dommy so ndugu bana majina yao tu umekosea
Rich Mavoko na Tin White???🙄
Ni kweli ni ndugu kabisa pamoja na dokii. Me nawafahamu mpaka familia Yao pale kilosa kimamba
Niukweli mtupu
@@veronicamangwela9665 Dokii ni binamu yao sio baba mmoja mama mmoja. Mtoto wa Rich Mavoko kapewa jina la baba yake Dokie
@@Official83640 najua Ila ni ndugu kwani binamu sio ndugu!!!!
Wanafisha kwa nini
Jide ndugu yake ni wakazi
th-cam.com/video/4yY3TT3EVyQ/w-d-xo.html taarifa iliyotufikia hivi karibuni ni kuhusu msemaji mpya wa yanga sc , Alikamwe
Dokiii c mkenya Uyo
Sio mkenya ila Kunatime anaitumia rafudh ya Kenya kutangaza na kuigiza
@@elishajailosy8346
Yes! Ni mkenya 😆😆 wa kimamba ,kilosa ,MOROGORO
Dokii sio mkenya bali anaigiza kuongea kikenya, kwao Dokii ni kimamba kilosa ,kakake dokii ni msanii anasanii kwenye vichekesho vya kitimtim na wapo 3 kwao wote ni wasanii Dokii ni wa kike kwao pekee yake wawili ni wa kaka.
@@ZIZONSR😂😂😂😂😂
Umemsahau HARMONIZE na HARMORAPPA
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jamn nom san
😢😂😂
ABBA sio HABA
😂😂😂
Dokii na mavokoo wapiwapina wapi duh miyayusho boya ww dokii kwao morogoro na ndugu zake nafanya nao kazi
Ni ndugu hao mfuatilie doki wakt anasimamia haki za mavoko WCB
Ni ndungu dokii na mavoko
Huwezi kumjua mtu kuliko anavyojijua hata siku Moja,ivyo acheni kujifanya mnajua sana family za watu kuliko wanavyojijua wenyewe,kwani wewe kufanya kazi na ndugu zake dokii ndo sababu yakujua kila kitu kuhusu yeye?
Unyama #official_tella
th-cam.com/video/xYrqkerpoOQ/w-d-xo.html
Lulu diva sio watanga ni wa shinyanga
Lulu diva Tanga
Xaxa kama hawataki kuxema kweli huo niuxhamba
Ni ushamba kama wewe mwanaume mzima badala ya kuandika Sasa unaandika xaxa
Utamu utamu. th-cam.com/video/yrzGiIZOGFo/w-d-xo.html
Haba?🤷🏼♂️
One na jux mbona ndugu ujasema
One the incredible?
One yupi?
Anaitwa abbah sio habba
Undugu wa Jaymelody na Z anto ni kiaje?
Baba mmoja au nini?
Ni kweri ndugu wa damu kbs.
Sio kweli
Kweli
@@allylingondo2151 sa unabisha kip kwamba wasaniii walishuka toka mbinguni Awana ndugu au ukoo ao ni ndugu toka zamn kagua post za z anto zamn utaona ka j melody alikapost katoto