P DIDDY ALICHOFANYA KWA MKE WAKE HUWEZI KUAMINI!!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 พ.ย. 2023
- P DIDDY ALICHOFANYA KWA MKE WAKE HUWEZI KUAMINI!!
Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE th-cam.com/users/Tricodskills...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
/ joseskills_
LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
/ tricodmedia
FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
/ tricodmedia
#diddy
#leo
#trending
REMA MAUMIVU YALIVYO MTOA KANISANI NA KUMPELEKA KUZIMU KUMUABUDU SHETANI
th-cam.com/video/_w00espg68E/w-d-xo.html
Tuleteye habari kuhusu WILL SMITh Eti familiya yake yabomoka kwaushogaa😢😢😢
From Uganda 🇺🇬 Int'l Congo DRC 🇨🇩 To Tanzania 🇹🇿 Big up 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
labda tujifunze jambo hapa ni ivi ukitaka kuishi kishetani kula Mari za kishetani kuzulumu watu ili ufanikiwe kweli utapata mali ila one day naludia tena lazima utaumbuka tu jambo lolote baya ufanyaro kwa Siri linakuja kujurikana wazi wazi uyo ndio mungu
IBADA HATARI ZAIDI YA KUJIUNGA FREEMASON BLACK EYE
th-cam.com/video/Tm756HT0fBw/w-d-xo.htmlsi=8vE4JKGohYc0hrVp
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Tricord shikilia hapo hapo tunafuata.tunakupata vizuri
Shukrani sanaaaa
Kuanzia Leo nafuta nyimbo zake zote
Kumbe ndo alivyo
Ni back to back
😢😢huyo jamaa nikatili sana yani wasani wa marecani wanabala zito kila msani duniani alikuwa nafsiyake kwa shetani ndomana wakijaribu kujitowa ,chamoto wanakipata , oneni mtu kama R Kelly wanavyo mtesa
Kweli kabisaaa
Kwa mungu ni rahisi saana japo alijifanya jabali
👍👊✌️.
Pamoja sanaaaaa
His expiry dates are here😂😂😂..malizia bruce na Britney spears 😢wewe vipi?!
Poa poa namalizia pdidy ya mwisho alf namalizia hizo fastaaa
Tricod uyu mwamba kakosea wapi? Au alichoka masharti ahaha
Huyu mwamba kataka kutoka kwenye chama hahaa
aise hii chaneli naifatilia toka kitambo huwaga unaniacha hoyi na story hizi duuuuuuuuuuuuuuuu hatari paff dady ni mafya kinoma
Lakn kaka mbona tulifikiri Jayz ndie mbaya kumbe ata pdidy
Hahaha wote wabaya ndio waasisi wa soko la mziki wa sasa ila jay z ndio baba yao zamu yake ikifika tutaona mengi sanaaaa
Didy nyan'gau
Za mwizi ni arobaini miaka imepita sasa atakoma
Bil gates bro story after this❤
Poa poa ntafanya hivyo
Tunatamani utufanyie nini kitamtokea pdidy baadaye
Poa poa ngoja niiganyie kazi inakuja hiyo kesho au keshokutwa itakua tayari
Huyu jomba ni nyang'au
Hahahaha
Kakosea masharti nini mbona kesi zimeanza kumuandama saivi
Alitaka kutoka aanze kuishi maisha ya kawaida wakaanza kukomaa nae
@@TricodMediabut all this Time he was never forced to do bad things he's an Evil angry of fame and money he was ready to do whatever to get by ...sio ametaka Kutoka Chamani ila Wale wanawake aliowafanyia Unyama kwa sasa Wana Sauti ndio wanasimama Na haki zao kumu expose
Kumekucha
Tricod media 🙌🙌🙌🫶🫶🫶 for life 🫶🫶🫶
Pamoja sanaaaaaa
@@TricodMediaFrom
Euro napenda sana iyi media 🙏🫶🫶🙌