Ifahamu historia ya Jay Z ‘Shawn Corey Carter
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 มี.ค. 2018
- KUHUSU KITABU CHA BEYONCE NA JAY Z: MAISHA, MAPENZI NA MAUMIVU
Mwaka 2015 ulikuwa wa historia kwangu. Ni mwaka ambao hamu ya kuingia kwenye fani ya uandishi wa vitabu ilishamiri zaidi. Pengine kutokana na kupumzika kidogo kwenye masuala ya utangazaji wa redio na kuingia kwenye uandishi wa habari za burudani, kulinifanya nijikute nikifurahia sana uandishi na uchambuzi wa masuala ya burudani.
Kuwa mhariri mkuu wa tovuti ya bongo5.com, kuliniongezea maarifa mengi yanayohusu kiwanda cha burudani si tu Tanzania, bali duniani kwa ujumla. Katika ulimwengu huu wa mitandao ya kijamii, tumejikuta tukiwa na uwezo wa kuyafuatilia maisha ya kikazi na binafsi ya wasanii tuwapendao. Kupitia fursa hiyo tumeweza kuwa na uharaka wa kufahamu masuala mengi kuhusiana na maisha yao binafsi.
Uhusiano wa kimapenzi au ndoa za mastaa duniani, vimekuwa ni vitu vinavyovuta zaidi hisia za watu wengi. Kama walivyo watu wengine, mastaa nao hupitia changamoto nyingi ambazo zinaweza kuwa hazihusiani na kipato lakini zimekuwa na nguvu kubwa kiasi cha kuathiri maisha yao. Kama walivyo binadamu wengine, mastaa nao hupitia maumivu na majaribu ya dunia.
Pamoja na kujitahidi kuficha masuala ya ndani, bado vyombo vya habari vya udaku vimekuwa vikiibua mambo mengi mazito. Hicho ndicho kilichonivutia kuanza kuandika mfululizo wa vitabu vya ‘Maisha, Mapenzi na Maumivu.’ Nimeamua kuanza na Beyoncé na Jay Z wanaochukuliwa kama ‘Rais na first lady’ kwenye kiwanda cha muziki duniani kutokana na mapito na misukosuko waliyoipitia wakiwa pamoja ambayo pengine yamedumu kwenye midomo ya watu na vyombo vya habari kuliko mastaa wengine waliofunga ndoa.
Kwenye kitabu hiki utafahamu undani wa maisha yao ya utotoni na kabla ya kuwa mastaa, walikutana wapi na jinsi walivyojitengeneza kuwa miongoni mwa mastaa wenye nguvu zaidi duniani. Ninaamini utafurahia undani wa maisha yao.
My Fav rapper of all time..
Can't wait fo OTR II..
Nakuja kusikiliza History of JAY-Z, Diamond platnumz and Omar Is 🔥 🔥 this side, Pamoja Big brother from Tz
Jay-Z noma dah jama anatisha sana ase 🔥🔥👌👌+1
Hizi ndo story tunazoziitaji sio zile za harmorapa next twende Kwa shakira au nelly na wengine kibao🔥🔥🔥
Nice sana jamani kaka sky muwe mnatuletea maisha ya hawa watu maana yananoga sana story za maisha yao ninzuli sana
dayana bait
Hi
Huyo mtu hatari sana, waiting sehemu ya pili #sns
we mkaka napenda sauti yako nzuri ivi na ww mzuri kama sauti yako mm ni mtanzania ila kwa sasa nakaa nepari ningekwepo tz ningekutafuta big up boy
Ni mzur handsome maa shaa Allah ana mvuto flani hv na ni gentleman maa shaa Allah ...yuko vzur na ana mke mrembo na mzur maa shaa Allah na kitu kizur zaid mkewe nae ni mtangazaj hodar mwnye sauti ya kipekee pia...
Nikategemea utazungumza kuhusu dini yake inayozungumziwa na watu... Umeeleza vingine tofauti
Una saut nzur sana ya kumwe rewesha m2
Nice story brother big up brother #jay z
from 254 still with you
Napenda mno story za wasanii wa mbele please tuletee na za wengine twapenda kufaham
no 1 kusikiliz simuliz hili
mkaliiiiiiiiiiiiiiiiii
Big up.....
Big up bro sky we love u live long 😍😍😍
Thank you
Ur welcm bro
Hawa ndo wahuni kibongo bongo tunaiga tu
Upo vizuri man
Daaar story nzuri kweli
dah Yan brosky upo vzur
waooooo kweli hakuna kukata tamaa
Da kaka mkubwa unajua kutangaza kitu yn unachambua kitu kimoja moja mpaka kitu kinaeleweka da one love bro
Musa Jafeti nice history
Nice
Story nzuri sana
👌👌👌❤️❤️
Huyo ndio jiga buana kichwa na nusu
Safi sana naomba history ya wizkid
👌👐👌
Salute sns
King of Illuminat
DAWA ZA ASILI/TIBA ZA ASILI/: th-cam.com/play/PL_DSXHfkoymz_mON4Y4rJ7Tu9HulfT8W7.html
Ayman Yassin wee mshamba tu
Wabongo hatujitumi kazi kusema tu illuminate unaijua ww
@@twahirnasa1574 uko gud bro, tunaogopa tusichokijua
🔥🔥🔥🙌😍
My daughter kuzaliwa siku moja na Jay Z en me team December
From The Joint
Necccc
Nime ipenda
Good story thankx bro sky
Anaakili sana uyu jama nabdomana anamafanikio sana ss tunakibilia kisema ni devil
If you don't know
Duu babu yangu kabisa
Niaje
Dah maisha ni safari ndefu
Stori ya diamond platinum please
Tuna Jay z wa kwetu bongo Latisha Sana aje amchukue pachaake
nampnda sana na storry imekuwa fupi mnooooo. ebu ongeza jmn
Nimependa hii hadithi ya jay z
Maisha yan changamoto jamn
Kitabu kinapatikana wapi
N atal lakn n salamaa
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍
Ttxo cc tz tunafanikiwa uzeeni wao miaka 17 washakuwa mabillionair
Sns
69 duh hata sijui nilikuwa wapi maana mama ngu ndo kwanza alikuwa shule
Rahima Juma ulikua kiunoni kwa baba yako😂
Rahima Juma mimi mama na baba hawajazaliwaw
hii ni nzuri kama alimnunulia BABA ake nyimba
story znye maanq
Nilikua ni mesha miss iki kipindi kinoma noma
Apo poa kk
diamond kuma acha usenge uyo babako
Afya yako;-
Tambua mabadiliko 10 ya rangi za mkojo na ishara zake👇👇👇..
www.mrbunduki.com/2020/05/tambua-mabadiliko-ya-rangi-za-mkojo.html?m=1
Baada yahapo tupe wa 2pac
Halafu wajinga wanakaa tu na kuseni ni friimason jamani watu wanahaso sana kwenye maisha jamani daaa
Hustle na ww uwe km yy
DAWA ZA ASILI/TIBA ZA ASILI/: th-cam.com/play/PL_DSXHfkoymz_mON4Y4rJ7Tu9HulfT8W7.html
nakupenda sana 😘💞💞💞
Sio yule mond kashika baba alikimbia alituasha bas simpend ona watu awo wanaenda kutafuta baba babazao tena wanavuta unga na walev umbwa
😈😈😈
Necccc