Umasikini unejaa vichwani mwetu yaani hapo kaonekana kafanya jambo la maana sana na la ajabu hadi Tv zinamfuata kumuhoji 😂 yaani CCM wametutia umasikini hadi tunaona jambo la kawaida huyo mzee lilompelelekea kufanya hio boat ni umasikini tu
Babuu hiyo sio mpya ila kwa elimu yake ameituma sana akili yake hayuko vibaya, ukitakakuona zaidi angalia nchi za Asia hasa Indonesia, wao mpaka engine wanafanyia modification, na wanatumia mapipa ya plastic yale ya litre kama 200, na wengine wachovu wachovu ndo kama huyo wetu, usiangalie mambo ya ovyo tafuta ya kujifunza utakua mjanja
😂😂eti serikali wamuwezeshe mbona umasikini tuna ufungulia feni ndugu zangu huyo kafanya hio boat kwa vile hana uwezo wa faiba acheni kufungulia feni shida fungueni macho
Mbagala na Mbagara lipi neno sahihi mbona wengi wanatamka yote mawili na hatuoni kuwa wanakosea, hiyo ni lafdhi tu ya kutamka lkn neno linaeleweka na ujumbe unafika, kwamfano neno magharibi wapo wanatamka mangaribi wapo magalibi, au mahagare wapo wanatamka maharagwe na wengine wanatamka maalage, au barabara wapo wanatamka balabala wengine, kwaiyo kwaiyo neno Labda na rabda bado wapo wengine wanatamka labuda na wengine rabuda kwaiyo unashangaa nini, neno ni hilohilo tofauti ni lafdhi ya matashi, nasiyo kwa kiswahili tu hata lugha nyengine ni hivyo hivyo, Jifunze usiropoke
Umasikini unejaa vichwani mwetu yaani hapo kaonekana kafanya jambo la maana sana na la ajabu hadi Tv zinamfuata kumuhoji 😂 yaani CCM wametutia umasikini hadi tunaona jambo la kawaida huyo mzee lilompelelekea kufanya hio boat ni umasikini tu
😂😂faida ya madumu ndio nini acheni uninga huo
Mtangazai kajifunze dar utakua muwandishi mzuru
Mtangazaji anaoneka yupo field ila kajitahid san mashallah
JOMBA SHAIBU LAZIMA AENDELEZWE KABLA WAJANJA HAJASHTUKA
Babuu hiyo sio mpya ila kwa elimu yake ameituma sana akili yake hayuko vibaya, ukitakakuona zaidi angalia nchi za Asia hasa Indonesia, wao mpaka engine wanafanyia modification, na wanatumia mapipa ya plastic yale ya litre kama 200, na wengine wachovu wachovu ndo kama huyo wetu, usiangalie mambo ya ovyo tafuta ya kujifunza utakua mjanja
Daaah hongera
mzee usije ukaitia baharini hiyo ngoma
Mtangazaji Ovyo hamna kitu
Naomba namba za huyu mtu
Matajiri mchukuweni huyo ni uwekezaji mkubwa huo itumieni fursa, haya serikali muezesheni başı kipajikiendelezwe
😂😂eti serikali wamuwezeshe mbona umasikini tuna ufungulia feni ndugu zangu huyo kafanya hio boat kwa vile hana uwezo wa faiba acheni kufungulia feni shida fungueni macho
Ila watangazaji hawaelewi wanahoji nini hv asa
Tunaomba namba zake
Yote hayo ni maisha yalivyo kua magumu hapo serekali baada kusapoti basi atambiwa alipe kodi
Kila sehemu vipaji vipo lkn havina muendelezo
Tuwekee mawasiliano yake binti
Mtangazaji neno LABDA unalidhalilisha kwa kutamka RABDA
Mbagala na Mbagara lipi neno sahihi mbona wengi wanatamka yote mawili na hatuoni kuwa wanakosea, hiyo ni lafdhi tu ya kutamka lkn neno linaeleweka na ujumbe unafika, kwamfano neno magharibi wapo wanatamka mangaribi wapo magalibi, au mahagare wapo wanatamka maharagwe na wengine wanatamka maalage, au barabara wapo wanatamka balabala wengine, kwaiyo kwaiyo neno Labda na rabda bado wapo wengine wanatamka labuda na wengine rabuda kwaiyo unashangaa nini, neno ni hilohilo tofauti ni lafdhi ya matashi, nasiyo kwa kiswahili tu hata lugha nyengine ni hivyo hivyo, Jifunze usiropoke