(SIRI) PEMBA ILITUKUZWA NA MITUME WA ALLAH (SEMA NASI)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 134

  • @Samsungjprime-ww9ve
    @Samsungjprime-ww9ve 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah najivunia kuwa muislam nakuwa mpemba orij

  • @rayamasoud2819
    @rayamasoud2819 10 หลายเดือนก่อน +3

    Nimeshawah kufika Alhamdulillah kuzur sana najivunia kua mpemba

    • @KelvinKenga-q1k
      @KelvinKenga-q1k 10 หลายเดือนก่อน

      Nipo mamoja nawe kutoka kenia

  • @mariamsalim9311
    @mariamsalim9311 10 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah Mashaallah umeeleza vizuri sana Allah baridi fii

  • @SaadIssa-mw4gh
    @SaadIssa-mw4gh 10 หลายเดือนก่อน +4

    Pemba na Mafia ni visiwa mashuhuri sana,vina historia kubwa sana duniani, tatizo serikali zetu ndio wamevitelekeza

  • @IssaMohd-f7q
    @IssaMohd-f7q 2 หลายเดือนก่อน

    Watu wa nabii issa ni waislamu enzi ya nabii issa mana mitume wote walikua waislamu wakiristo wako mbali sana na nabii issa wakiristo dini yao wamechukua kwa paulo mrumi

  • @salhkasmm558
    @salhkasmm558 3 หลายเดือนก่อน

    Ndio maanawakawa wengi nimahasidi wauchawi ndio mloachiwa hivyo.

  • @TalibMuhsin
    @TalibMuhsin 3 หลายเดือนก่อน

    Hata nabii suleiman Alifika pemba misali ilikua inaitwa musallah

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 9 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa wagiriki walikigundua hicho kisiwa je hakikuwa na wakazi wenyeji?acheni ujinga

  • @emuthree
    @emuthree 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah.....si kuna utaalamu wa kuyatengeza haya majengo yakawa kama vile vile.... au hata kama yatakuwa kama gofu hivyo, lakini yachapiwe kiutalaamu yawe hivyo hivyo.....Ujerumani wamefanya hivyo kwenye majengo yao ya kihistoria

  • @ahmedalbalushi6239
    @ahmedalbalushi6239 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wacheni kushindana na wajinga , mukitaka musitake Zanzibar ina historia kubwa na dini . Wapuuzeni tu

  • @josephmasanja8584
    @josephmasanja8584 9 หลายเดือนก่อน

    Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kupenda na kusifia lolote la kiarabu tokana na waliyoyafanya hapa Tanzania, na wanayofanyiwa wanawake wa kiafrika wanaokwenda uarabuni tangu zamani hadi leo hii!! Ni upuuzi mkubwa saana

  • @ZaidSeifSuleiman-q9w
    @ZaidSeifSuleiman-q9w 10 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo jamaa anaye pinga inawezekana anayo historia na anajua kwahivyo na yeye atowe historia kama huyu mtaalamu anavyo toa historia nzuri na yakuvutia

  • @nassirzamzam9312
    @nassirzamzam9312 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi maoni yangu hao walio zikwa kulekea chini naona ni wareno

  • @mohamedjuma1878
    @mohamedjuma1878 10 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa elimu Yako shekh nimeipenda mno❤

  • @twahirsaid5636
    @twahirsaid5636 10 หลายเดือนก่อน +2

    Home sweet home Allah barrik

  • @ahmedbaamironlinetv4753
    @ahmedbaamironlinetv4753 10 หลายเดือนก่อน

    SISI tuna histoyetu Mkia ng’ombe chaajabu eti waliandika kua watu kutoka China 😃😃 Wakati SISI tupo

  • @hudaaalhussein3841
    @hudaaalhussein3841 10 หลายเดือนก่อน +1

    Dini ya mitumi wte ni uislam

  • @nafuutayb8452
    @nafuutayb8452 10 หลายเดือนก่อน

    Aaaa!!! tushawazowea ila historia ya uislam bora mgeliicha tu shikeni ayo mengine

  • @Muadhin1
    @Muadhin1 10 หลายเดือนก่อน +1

    SWALI MOJA. JE MISIKITI YENU IMEELEKEA MAKKA AU PALESTINE? NDO UTAJUA KAMA UISLAMU UMEFIKA MWANZO UNGUJA KABLA MADINA. HIYO HISTORIA NI YA UONGO. MM NIMEULIZA DARASANI NA NIKAAMBIWA KAMA KWELI BASI HAO MASWAHABA WANGESEMA KUWA KUNA WENZAO WAMEENDA PEMBA.

    • @abdallasalim3918
      @abdallasalim3918 10 หลายเดือนก่อน

      Walisema wapi na wapi

    • @abdallasalim3918
      @abdallasalim3918 10 หลายเดือนก่อน

      Si walisema ethopia namashariki

    • @manaphymohd4145
      @manaphymohd4145 10 หลายเดือนก่อน

      Kwaiyo we unatak kila alipo muislam paelekezw kibla uyo mualim wako alokujib muambie akup hoja

    • @sulemohdi2013
      @sulemohdi2013 10 หลายเดือนก่อน

      Kasema huo msikiti alio onesha umejengwa karne ya 9, kaka unafahamu school kweli? Na huo ulokuwepo toka enzi hizo kabla kuja Mtume ndo hajauonesha piya kasema upo msingi tu ngoja tuone.

  • @HajiAbubakar-nb2ue
    @HajiAbubakar-nb2ue 10 หลายเดือนก่อน

    We mtangazaji kipindi cha issa kulikuwa hakuna kanisa makanisa yamekuja baada ya issa kupaa mbinguni

  • @HawaaAli-s2t
    @HawaaAli-s2t 10 หลายเดือนก่อน

    Tumbatu pia kuna historia nzito lkn serekali wamekubeza sana.

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah8505 10 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji tunakuomba kuwa utambue kuwa dini ya nabii ISSA ni dini ya kiislam sio dini ya kikiristo coz nabii ISSA hajajenga kabisa kanisa yeye binafsi nabii ISSA alikuwa anaswali pale masjid aqswa ya kule Jerusalem Israel ambaoo msikiti ukitwa masjid muqqadas

    • @manaphymohd4145
      @manaphymohd4145 10 หลายเดือนก่อน

      Ukisklza vzr utaelewa sana

  • @omarkhalfan2985
    @omarkhalfan2985 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah shekh wetu kwa good history Allah bless you

    • @hotelzanzibar5679
      @hotelzanzibar5679 10 หลายเดือนก่อน

    • @hassannachia3946
      @hassannachia3946 10 หลายเดือนก่อน +1

      Uwongo mnataka kuwapa kichwa wapemba toka mwanzo wanaoenda sifa mmh

  • @rizikirashid1199
    @rizikirashid1199 10 หลายเดือนก่อน

    MashaALLAH kumbe ata Afrika mashariki ilifikwa na maswahaba

  • @NassoroHaji-i8k
    @NassoroHaji-i8k 10 หลายเดือนก่อน

    Hapo nakumbuka nilikuja 2008 kwa kweli niliinjoy sama Alhamdulillah

  • @jumayusuf1694
    @jumayusuf1694 10 หลายเดือนก่อน

    Yaani uislam ulifika Pemba Kuliko Vitongoji vya Madina sio ndio Mapenzi ila Mengine Yapunguzwe

    • @freemason.official3792
      @freemason.official3792 6 หลายเดือนก่อน +1

      Ww unachuki na upemba sio Bure ata historia hujawai kusoma unaanza kubishana

  • @MasnamussaPp
    @MasnamussaPp 10 หลายเดือนก่อน +1

    ❤Alfatah tv kiboko ya wote❤pemba yetu ina mzr mengi na tunajivunia nayo ardhi yenye kuvutia

  • @ZaidSeifSuleiman-q9w
    @ZaidSeifSuleiman-q9w 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee nimwana historia mbobezi

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah 10 หลายเดือนก่อน +7

    Wacheni chuki na husda ambazo hazina msingi, Pemba ni kisiwa pekee au sehemu pekee yenye historia ya kuvutia na yenye ukweli, wewe unaepinga Najua wewe ni mbara jaribu kutembelea pemba ulizia mkamandume huko utapata historia ya mkamandume itakushangaza, kulikuwa na kiongozi muislam alijenga jengo na wake wawili na kisima chenye ukuta uliogawa wanachota maji bila kuonana ndoo ndio zinagongana, na alichimba msingi umbali wa kilomita 3 ili kuyafanya maji ya bahari yafike nyumbani kwa ajili ya kufika jahazi yake mpaka kwenye nyumba, Pemba ni kisiwa hata jina lake ilitambuliwa kwa Aljazeera, Pemba ni eneo pekee baada ya maka ambayo imebakia imaani angalau kidogo

    • @jokhaalharthi5807
      @jokhaalharthi5807 10 หลายเดือนก่อน

      Bbbbbbkkb

    • @omarkhalfan2985
      @omarkhalfan2985 10 หลายเดือนก่อน

      Mashallah

    • @hassannachia3946
      @hassannachia3946 10 หลายเดือนก่อน

      Mbina hamendi kuishi kwenu mmejazana tu unguja mnaishi mpka kwenye vyanzo vya maji na mabondeni mnatia aibu

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 10 หลายเดือนก่อน

      Na kuongezea ni mpaka kilwa bara. Mbona Tanzania ina historia kubwa tu ndugu yangu. Pemba ina historia kweli.

    • @abuuabdirrahmaan4132
      @abuuabdirrahmaan4132 10 หลายเดือนก่อน

      naona kama hujui unachosema

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 10 หลายเดือนก่อน

    No comment mana kuna maelezo sahihi lkn nahisi story mangine .ila mashallah kajitahdi

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 10 หลายเดือนก่อน

    Kwahiyo uislam ulifika pemba kabla ya mtume hajazaliwa

  • @HamisOman-s8h
    @HamisOman-s8h 10 หลายเดือนก่อน

    Kwawale wenye kupinga kujenga kibla wangetizama asiliyake hio

  • @Auf-uh3jq
    @Auf-uh3jq 10 หลายเดือนก่อน

    Ndio wakazaliwa kina Bachu Albarzanji 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @KennedyNgusa
    @KennedyNgusa 10 หลายเดือนก่อน

    Tuonyesheni watu wa isa tuendeleze hapo

  • @nicksonlyimo1562
    @nicksonlyimo1562 10 หลายเดือนก่อน +1

    Waislaamu bhana !!! Kila alipokua mwarabu wanaona ni pahala patakatifu ,Mungu arehemu

    • @IsmailElmazroui
      @IsmailElmazroui 7 หลายเดือนก่อน

      Umeshiba nguruwe Tu sehem takatifu ni kidini ni makka watu wa dunian kote wanaenda kufany ibada sehem ya stareh dunia mzima ni Dubai yote ni uarabuni Acha chuki zako

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 7 หลายเดือนก่อน

      @@IsmailElmazroui yaani unamtaja ngurue kama vile unamjua vizuri Sana ,hata wewe unaruhusiwa kula kidogo. Bila kishiba na kubeba endapo umebanwa ,,pia zipo dawa kibao zimejaa ngurue na zinatumika 2

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 7 หลายเดือนก่อน

      @@IsmailElmazroui we nyamaza tuu ,endelea kujua unavojua hakunaga mahali patakatifu Duniani watu wanapokua watakatifu ndio wanasababisha mazingira ya mahali kua patakatifu ,mfano watu wakiwa eneo Fulani ,walevi ,wazinzi waizi wauaji huo mtaa utapewa jina la sifa iliyopo,wewe kama umeproof kua Kuna mji Mtakatifu basi sawa sikupingi lakini uhalisia ni historia ya mahali ,kama Dubai ndio mahali pa Raha duniani basi ujue maana ya Raha ni uovu kwa asilimia kubwa , kama unaweza kua na ufahamu pasi fikiri watu wanapoenda kula Raha ni majambo Gani yana jiri huko.,usije uka Dhani kua Mungu anaishi kwenye dini ,my friend Mungu Mtakatifu anakaa na mioyo ya watu na haki na dini yeyote Ile,na hakuna dini takatifu popote Wala nabii Wala Mungu hajawahi eleza kitu hicho ,ni watu na mbwembwe zao tuu kutukuza vitu kuliko Mungu.

    • @Anuarmustafa4128
      @Anuarmustafa4128 3 หลายเดือนก่อน

      Na wakiristo vile vile kila walipokaa makafiri wao ndo wanaona ni pao

    • @AshaOmar-vk7kg
      @AshaOmar-vk7kg 14 วันที่ผ่านมา

      Pumbavuww iyo bibilayenu huijui Maa pia imewakataza kula ngurue

  • @athanaskipeto572
    @athanaskipeto572 10 หลายเดือนก่อน

    Babu yuko vizuri ni tunu ya taifa na uisilam

  • @MahirOmar-wh6vu
    @MahirOmar-wh6vu 10 หลายเดือนก่อน

    Assalam alaykum nauliza hiyo Karne ya kwanza waliokuepo Huku Pemba najua Ni watu lkn Ni akina Nani ?

  • @RaibebeBebe
    @RaibebeBebe 4 หลายเดือนก่อน

    Alhamdulillah from mozambiq

  • @odilowairinga6324
    @odilowairinga6324 10 หลายเดือนก่อน

    Kuna mtu mqingine akisema pepo ipo arusha

  • @ankaldally2734
    @ankaldally2734 6 หลายเดือนก่อน

    Ahhhhhhh dah huu ujinga tu.

  • @abuuabdirrahmaan4132
    @abuuabdirrahmaan4132 10 หลายเดือนก่อน +1

    MZEE UOO VIZURI SANA ILA KUNA JAMBO MOJA UMECHEMSHA SANA UNAPOSEMA KWAMBA NI MSKITI WA WATU WA NABII ISSA YAANI KABLA YA UJIO WA NABII MUHAMMAD HALAFU UNATUONYESHA SEHEMU YA KUSOMEA ADHANA ILHALI UNAJUA SHERIA YA ADHANA IMEKUJA NA NABII MUHAMMAD HAIJAJA NA NABII YEYOTE KABLA YAKE?!!!!!!

    • @HalimaSalehIssa
      @HalimaSalehIssa 10 หลายเดือนก่อน

      Ilianza kusomwa adhana baada ya kuja watu wa nabii Muhammad S.A.W

    • @oii6zlaboshelby17
      @oii6zlaboshelby17 10 หลายเดือนก่อน +1

      Hajasema msikiti kasema jengo la ibada la watu wa nambii issa

    • @mhrmahir3756
      @mhrmahir3756 10 หลายเดือนก่อน

      hitoria za uongo hizo jamaa ta km tuwapemba twapata dhamb

    • @saidathuman1536
      @saidathuman1536 10 หลายเดือนก่อน

      Mzee kasema Jengo hilo la msikiti lilitumiwa kabla utume wa Muhammad na baada ya wajumbe wa mtume walipofika Pemba!!

    • @manaphymohd4145
      @manaphymohd4145 10 หลายเดือนก่อน

      Ukiskilza vzr utaelew vizr hukuelew ww nd man ukasema ivo

  • @IddyKawaya
    @IddyKawaya 10 หลายเดือนก่อน +1

    Matajirii wa kiislam oneniii eneo hili.ipo umuhimu wa kujengaa mskiti na ataa jitimai tunakuwaa na sehemu kmaa hizo za kale kwendaa kufaanyaa uko ataa mashindanoo ya kusoma Quaran tukufuu jmn vichwaa vyetu viiwazee juu ya Allah

  • @abassjuma6248
    @abassjuma6248 10 หลายเดือนก่อน

    Umejitahidi.Sihaba ndugu umejitahidi

  • @hemedrashid7186
    @hemedrashid7186 10 หลายเดือนก่อน

    Hv kuna ukweli Nabii Sukeymani alifika ktk kisiwa Mesali?

    • @TalibMuhsin
      @TalibMuhsin 3 หลายเดือนก่อน

      Ndio Akhy

  • @mhrmahir3756
    @mhrmahir3756 10 หลายเดือนก่อน

    mambo mengine ni uwongo wa waz na cjui wameayapata wap na huyo jamaa katuliaa utasema hajui chochot kuhus tarekh ya kiislam cjui mzee amechkua kijitab gan kusema uislam unefika mwanzo pemb kuliko madina huyu mzee amche mola wake kwa hili.hata km ni mpemb lakin hili nalipinga si kwel jamaa mambo mengin tutakujajikuta twaingia pabaya kwa kujisifu san

    • @jumahamad3723
      @jumahamad3723 10 หลายเดือนก่อน

      Kwani uislamu kauleta mtume gani mpaka ukatae kama unaambiwa nabii suleimanai kafika kisiwa hicho kwaio suleimanai sio muislamu

    • @mhrmahir3756
      @mhrmahir3756 10 หลายเดือนก่อน

      @@jumahamad3723 ni uwongo bhan hitoria ya uislam yote imehifadhiwa na mtume bas alkua hajui ivo? na kabla bas vilikuepo vitab vingeeleza hivo bas la kushangaza zaid kusema et uislam umefika pemba madina bado dduuh ata kuapapasa bas hatupapas mchen mola wenu jamaa

    • @wambaaone923
      @wambaaone923 10 หลายเดือนก่อน

      Ukweli ukoje tuambie

    • @manaphymohd4145
      @manaphymohd4145 10 หลายเดือนก่อน

      Acha kupinga jambo ambalo hulijuwi asa toa ya kwako kuusu we mwenyew ulivo bas tukuamn km mkweli

  • @salimmohd4999
    @salimmohd4999 6 หลายเดือนก่อน

    Maasha allaah

  • @suleimansalym7537
    @suleimansalym7537 10 หลายเดือนก่อน

    Nyumbani kabisa uko 😊😊😊😊

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona hijira za Mtume zimetajwa na Uhabeshi ktk Qur-an Yemen 🇾🇪 na mpk leo sisila za Uchamungu zipo pemba haikutajwa ktk History ya uislamu wala ktk Qur-an

  • @hemedrashid7186
    @hemedrashid7186 10 หลายเดือนก่อน

    Na mm nitakuja inshallah

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah tabaraqah ❤.
    Sheikh Rashid kuna mji mkongwe pemba pls naomba tupatie history yake wa jambangome tunausikia tu. Mji wa kwanza kuliko chake chake pls 🙏

    • @allyibrahim2507
      @allyibrahim2507 10 หลายเดือนก่อน +1

      Ilikuwa bandari ya mwanzo kabla ya mkoani lakin kilianza kufa au umashuhuri wake kupotea mwaka 1928 bandari na skuli zilipohamishiwa mkoani

  • @jumamkali8307
    @jumamkali8307 10 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah umependeza san

  • @Kimochatv
    @Kimochatv 10 หลายเดือนก่อน

    Mashaaalaaah

  • @OmarKhatib-x2s
    @OmarKhatib-x2s 10 หลายเดือนก่อน

    Tumshukuru Allah

  • @jumamajid7557
    @jumamajid7557 10 หลายเดือนก่อน

    Muogopeni mungu

  • @ShuaibuMsofe
    @ShuaibuMsofe 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu ndio mjuzi zaid

  • @MaryamSaleh-h7i
    @MaryamSaleh-h7i 10 หลายเดือนก่อน

    Mashallah 😮😮😮

  • @muhammadiabassi656
    @muhammadiabassi656 10 หลายเดือนก่อน

    ماشاء الله

  • @azizams5721
    @azizams5721 10 หลายเดือนก่อน

    Mashallah

  • @salimasalim405
    @salimasalim405 10 หลายเดือนก่อน

    Alhamdulillah❤❤❤❤❤

  • @AbdullaSeifKhamis-tv4zq
    @AbdullaSeifKhamis-tv4zq 10 หลายเดือนก่อน +1

    Huo ni tokea nabii Issa niulize Huo msikiti kibla chake Umeelekea makka Au madina?

    • @abdallasalim3918
      @abdallasalim3918 10 หลายเดือนก่อน

      Uligeuzwa kuwa msikiti wa kawaida mbona alisemna

    • @mhrmahir3756
      @mhrmahir3756 10 หลายเดือนก่อน +1

      kama ni toka nabii issa kwa hakik ni uongo na atakaepinga atuletee wap kapa hio
      hivi jaman haiwi wakat wa mtume sallahu alayh wasallam mambo mengin hayajulikan vp tokea nabii issa wameayapat wap hayo kisha mzee kusema uislam ulifik mwanzo pemba kuliko madin kwa hakik amche mola wake hata km umpemba na mie ivo ivo

    • @hudaaalhussein3841
      @hudaaalhussein3841 10 หลายเดือนก่อน

      Baytul maqdis,

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 10 หลายเดือนก่อน

    Wapemba wengi wana sifa ya kuamini kama zile za watu tunaowasoma vitabuni. Naamini hata kaburi ya mpendwa wetu Maalim lingeachiwa tu lingeaminika kuwa ni la sahaba.

  • @XPOSED255
    @XPOSED255 10 หลายเดือนก่อน +2

    mhhh uyoo mzee atauchee hakuna history yyte iliosema ivo

    • @omarkhalfan2985
      @omarkhalfan2985 10 หลายเดือนก่อน +1

      Sorry tupatie ya kwako ambayo ni sahili zaid pls

    • @fakihassani3
      @fakihassani3 10 หลายเดือนก่อน +1

      Mjinga huyu tena ndio wale wapumbavu majuha wasojielewa mana anapinga wakati hana analojua

    • @seifjuma4252
      @seifjuma4252 10 หลายเดือนก่อน

      Ata Enzi za mtume wanafiki walikuepo km hvy wewe kwaio sio cha ajbu Kutext upuuzi km huu unao oneshwa alfu ukjifanya kipofu

    • @ShafiiMkawa-yl9du
      @ShafiiMkawa-yl9du 10 หลายเดือนก่อน

      Inawezekana ikawa kweli

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 10 หลายเดือนก่อน

    Huko ndagoni ni kwetu mimi ni mzaliwa ila ukihoji sana utakuta kuna mambo hayako sawa kwa hii stori ya mzee
    Ili ujue kweli wa

    • @manaphymohd4145
      @manaphymohd4145 10 หลายเดือนก่อน

      Hoji utajua kwaiyo yale majengo kwa akili yko kajenga nan au ww na wenzako