Ttzo hizi redio zinazo jita ni za kislam ndo zinazo unafanya huu upuzi kuwatangaza hawa asante shekh wangu hawa wanaojidai kusomea niwaongo tena sana bari mzima ya maji inasomewa mara moja bdae chupa ya 500 inauzwa 3000 wanaibia watu niwizi co waongo hao wiziii
Safi saaana
Mashallah
Kweli
mashallah! ama hakika ofisi ya mufti mumetekeleza jukumu lenu inavyotakiwa,
hao matapeli wa aina hio ni wengi sana.
Katibu mimi nakuunga Mikono yoote miwili.
Watuweengi wanaofanya tiba yaasili ni waongo sana sana sanaaaaaa
Ttzo hizi redio zinazo jita ni za kislam ndo zinazo unafanya huu upuzi kuwatangaza hawa asante shekh wangu hawa wanaojidai kusomea niwaongo tena sana bari mzima ya maji inasomewa mara moja bdae chupa ya 500 inauzwa 3000 wanaibia watu niwizi co waongo hao wiziii
Allah AWABAARIK ni kwel unayosem❤
Maana nasikia bila ya kua na KIBALI sitakiwi kufanya dua au maombi jee ni kweli?
Jee mimi ni Msomeaji wa watu mbali mbali kwa mujibu wa Mtu na shida yake.
Jee nalazimika mimi kua na kitmbulisho maalum?(KIBALI?)
kusomeat haina shid
Acha ujinga Kur Ani halitaki kibal ni utaratibu TU watu wanakosea