TAHARUKI IMETANDA FUONI WASHIKAMANA NJIA NI YETU SOTE MIAKA30 HATUKUBALI KUZIBA NJIA YETU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 31 พ.ค. 2024
- TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
SHIDA ZANZIBAR TUNAUZA NA KUNUNUA VIWANJA KIHOLELA. PIA WATU WA MIPANGO MIJI HAWAFANYI KAZI ZAO KIKAMILIFU NA NDIO MWANZO WA MIGOGORO
Upo sahihi ndugu yangu Viongozi wa Serikalini ndio Chanzo cha matatizo yote ya Ardhi
Zanzibar saiv Ni mtihan kweli ,, Hakuna Iman wa Dini ,,, Yarrab atupe mwisho mwema lkn Ni mtihan kweli saiv C Zanzibar ile ya Zaman
Mzee alovaa pelo anasema kweli
Serikali ya Zanzibar haina utu tena mwenye pesa atafanya kila kitu.
Ata akija kiongoz msema kweli mwenye Dini na hekma zake,,, bas atafanyiwa fitna auwawe,,tumuogope Allah Jaman
Hongera mkuu wa wilaya wawakilishi na wabunge wetu mnakula posho bure hata oofisi hamna usanii tuu.
Feza fezeha harufu ya rushwa inanukia wananchi msipopambana hakuna wa kukupambanieni haki sawa Kwa wote
Mtihani Wallah 😢
Mie napenda wazanzibar wanavyoongea tu, nasikia burudaaani
8:44 "Vijana wetu siku hizi wanatumia Mihadarati Atakuja na speed 80 Agaregare hapa" 😂😂😂
😅😅😅
Lakini nadhani mwenye dhamana ya Nchi ya Zanzibar litamfika hili na kwa huruma zake hatakubali njia hio kufungwa.
Mkuu wa Wilaya ameshalishwa halua .
Kwanza tujuwe nani ni mmiliki wa Hilo Eneo.
Yaani mpaka mzee huyo anaongea kuwa barabara zote zimepita kwenye mashamba ya watu ni kweli. Na hata serikali yetu ikitaka kupitisha njia hata kama Kuna shamba la mtu basi njia itapita tu.
No haiwezi kupita mpaka makubaliano mm naushahidi km huo upo
Kila mtu itabidi awe na ndege yeke Au Brikopta
Babu Kofia nyeus umemaliza kikao😊
Kuweka njia katika shamba lako ni sadaka yenye kuendele ,jamani fursa kama iyo ukiipata itumie tena ufurahi asaa .tuishi na watu kwa uzuri hakuna anaejua kesho yake unaweza kupata matatizo na pesa na jeuri yako visikufae wakaja kukufaa ao ao unaowaona hawana maana
Maamuzi ya yapo hata ukiwa hujasoma unaweza kutoka njia iwepo sasa huyo mkuu wa wilaya alie soma anashidwa kuona hakii ya wananchiii
Na bado ngojeni idadi yenu iongezeke mitatiamkia Midanganyika shikamoo 😂 Si hamtaki Serikali moja nyie 🤣🤣 kadiba mpyaaaaaaa 🙏🙏
Mpumbavu mkubwa wee
Mkubali Makonda awe Raisi, kwanza atafunga Taarabu zote, halafu Kila anaefanya makosa ale mikwaju, hakuna kuwafunga. Mikwaju TU mbele za watu sokoni na family yake iwepo.
Ikifanyika hivyo ndani ya wiki moja nchi inanyooka!
Shenzi ww
😂😂😂😂
Acheni nazoea,Mpenzi khaki yake mwenye shamba lake.
Njia kwani milki y mtu
Huku kuna wahuni kuliko Makonda
Nyie mkitembea hajulikani mwanamume Wala mwanamke wote mnatiingisha matako. Nyie Bora mwarabu arudi na bakora ndio mtanyooka
Malalamiko Kila siku kama hakuna Serikali. Mleteni Sabaya atawanyoosha sawa sawa
Mpumbavu ww
@@KassimAlly-xp4dz Damu mlizomwaga za warabu, mtachukiana, hamtapendana, mtakuwa na Roho mbaya baina yenu mpaka Kiama. Hamtakuwa na Raha.
@@mansooralaisri5200we mpuuzi wewe vipi Syria na Yemen si waarabu wale na wanauwana wenyewe kwa wenyewe waarabu ndo Nani na alowaua ni Nani, hakuna sehemu ilotulia kila nchi inashida zake na changamoto zake ustake kuleta hoja ambazo hazina maana