Hongera kwa ubunifu na taarifa.....tafuta asili ya vijiji kabla havijapotea na wakati...hio ni elimu faida mbeleni...lyrics za kwenu zitumilie ili clip ikamilike kutoa mazingira original ....hili wengi hawalijui...keep it up mtoto wa Dr.Kondo.
ziwani skuli, daaaaaaa nimesoma hapo hapo kuanzia la kwanza mpaka la kumi, nyumani ni nyumbani yaani burudaaani kwa kweli asante kaka Othman kondo fanya kazi kaka hongera sana endelea kutuonesha maziringa ya nyumbani kwetu pamba.
nakumbuka kipindi kile njaa kali ila tulistahamili nakuendelea kusoma katika hyo shule ya fidel Castro na allah alituvuusha salama jitahdini vjana wenzangu pambaneni ili mfankiwe
Mashallah .Alhamdulillah nimeiona home ziwan na shule niliyoisoma japo kwa mbali nimefurah na umenikumbusha mbali enzi zile tunaita mabanda njaa (shule) asante kaka
Maashaallah uko vzr broo Allah akupe wepesi na afya njema upige hatua ziada achana na wakunja sura wasopenda maendeleo yk in short uko vzr binafsi na enjoy km nipo nyumbani vl hadi raha big up sn
Mjomba hakuna mkamilifu isipokuwa Mola wetu basi hao wanaokukosowa waombee Dua.Wala usikasirike wapo wengi hao wanaojuwa zaidi inatosha hivyo unavyo tuonyesha kisiwa chetu Mungu atakulipa kwa furaha utupayo
Na ule mchezo wetu wa mrembo kipofu part 3 vp othman km bado fanyeni jitahidini kwani kazi ya kujitolea ina mambo mengi ya kukatisha tamaa ila ww simama na kamba ya Allah tu bass inatosha
Jaribu kufanya utafiti kwanza kuhusu taarifa baadae uingie vijijini kwa taarifa za ziada. Usiingiz e maneno ya kiingereza labda iwe hapana budi...tafuta wstu wanaoelewa suala kwa ukamilifu ..kimbia habari potofu ...nakusudia usiwe kama mapapasi wanavyowapa taarifa za chumvi watalii kwa tamaa ya kuonekana wanaelewa kwa taarifa sio sahihi...tumia watu waxima zaidi kwa historia ...
Hao wanao kushambulia ww ni wajinga sana na hawaijui thamani yake hio kazi unayo ifanya tu ndg yng othman sio ndogo mm ni mpemba wa kisiwani kwa bnt abeid na nipo nje ya africa lkn hua napenda sana kukufuatilia ww vipindi vyako vya pemba tv na nikija pemba in sha Allah nitakutafuta ongeza juhudi kakaangu tu baas
Wazungu Zaidi ya kutushinda ilaa wananchi wake wanachangia ushuru mkubwa yani Tax Kwa serekali au wanao shirika kupokeya Tax hawaibi hizo pesa alafu zina Rudi Kuwa Mali ya uma na Pesa nyengine wanarudishiwa wananchi wake tukifanya hivyo nchi za kiafrica Zita kua bali sana Pesa nyingi Wana pewa wenye mabiashara makubwa kuendeleza na kuandika watu kazi
Pemba inahitaji juhudi za daraja ya juu ili kuhifadhi mazingira yake.Zamani ardhi ilkuwa ina rutba na vipando vikimea vizuri.Sasa hay o yanatoweka.Ukataji wa miti ovyo na ukulima usiozingatia utaalamu wa hifadhi ya udongo ndio sababu ya matatizo
Ami kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri ila ilikua utupeleke na kusini nyumbani hasa mtangani kuna mbuyu mnene wa kihistoria tunaona choyo kila siku kaskazini tuuu
Kiongozi uko poa ila kwanza fanya utafiti kisha aplod video yako na pangilia safari yako vizuri watu wanaham ya kuona na kufaham pemba hususan walio mbali na Zanzibar ukifanya vizuri utakuwa umetengeneza account kubwa ya wafuasi au zaidi angalia video za wataliana ili kwa kujifunza na kupata maarifa zaidi.napendekeza mtafute Anna mazzoti katika italianissimo
salim hemed hapo ungatupeke mtambwè huko kitoweo c mchezo mbele kidogo km kilomia 4 kuna mtu anakaa daya anaitwa bakari mataka huyo ni bingwa wa kuotesha spers yaani viungo mdalasini wake huwezi uona popote vanila hiliki pilipilimanga nk .hongera baba
Katika falsafa ya elimu...usitumie maneno ya jumla jumla yasiomsaidia kumuelimisha mtoa mada..tumia kauli za hoja mbadala ili umuongoze mtoa mada kwa "fact" unayoifaham wewe ili aelimike ajue makosa yake...ikiwa wa kurejea shule atajijua mwenyeww ...ikiwa wa kuendelea kwa marekebisho atajiendeleza kwa kuisaidia jamii. Msaidie asaidie. Kauli za jumlajumla kama ...hujui chochote , katafute kombe uvue..hio si kazi yako kalime muhogo ...hizo hazisaidii..MSAIDIE ASAIDIE ...hasa vile kakubali kuwa yeye si mkamilifu. Mtoto wa Kondo ...endelea kutuletea vitu..nukta za wakati zitadhihirisha uwezo wako.
Kuna watu wengine wameletwa duniani kukosoa wenzao tu , wao wana mapungufu tele na wala hawakosolewi na mtu , tumia kauli nzuri usimvunje binadamu mwenzako tamaa , hakuna alozaliwa anajua , sote tunajifunza ndipo tunajua .
Uko vizur kama Wana kuponda si tuna kukubali tuko pamoja naomba usogee pale michakaini kuna Jumba kubwa LA zamani sana LA wahindi utupe history yake kidogo na ile shule ya michakaini ulio somesha watu wengi ila boy uko vizuri kwenye utangazaji hongera boy
Maashaallah. Mendhari. Ya. Pemba. Alhamdullh
Hongera kwa ubunifu na taarifa.....tafuta asili ya vijiji kabla havijapotea na wakati...hio ni elimu faida mbeleni...lyrics za kwenu zitumilie ili clip ikamilike kutoa mazingira original ....hili wengi hawalijui...keep it up mtoto wa Dr.Kondo.
Natamani Sana Kaka Japosiku Moja Utupatiye Historia Ya PANDANI KK Nitafurahi Zaidi 💯🙏👉
@@daktari_mtangazaji Insha Allah Ila Tuma Link Ya Pandani Itakuwa Vyema Sana Kk
Pemba ndio hom ila nyumbani huko hakuna barabara mzuri daah !!! Inaniuma sana
Hilo lipo lakini la muhimu pia ni huduma duni za hospitali
Sisi tulioko mbali na makwetu unatupa faraja ww kaka Allah atakulipa kuujira waking
Ahsante brother
Safi Sana insha'Allah mungu akupe nguvu uzidi kuboresha kazi yako ya kujitolea kwani nimefurahi sana kuona ziwani kwani Niko na miaka 20 sijafika huko
Asnte kaka kazi fafi sana
mashallah mashallah muhongo ndio ulio tukuza hongera kaka kwa kz yako nzur I LOVE PEMBA
asante kaka ochu mungu akujaalie kila la kheri
Namiss sana pemba, kwetu kuzuri lkn tu Maisha yametutenganisha
Safi sana kwakweli tunafarijika saaaaana kuona kwetu kwa sababu ni miaka mingi hatuko na tukija hatumalizi mote
ziwani skuli, daaaaaaa nimesoma hapo hapo kuanzia la kwanza mpaka la kumi, nyumani ni nyumbani yaani burudaaani kwa kweli asante kaka Othman kondo fanya kazi kaka hongera sana endelea kutuonesha maziringa ya nyumbani kwetu pamba.
Inshaallah Allah akufanyie wepesi katika shughuli zako
nakumbuka kipindi kile njaa kali ila tulistahamili nakuendelea kusoma katika hyo shule ya fidel Castro na allah alituvuusha salama jitahdini vjana wenzangu pambaneni ili mfankiwe
Shukurani kwa ubunifu, mzuri mungu akufanyiye wepes kwenye kazi yako
pemba kuzuri jamaniii nakuuunga mkono ndugu yangu unavyo izunguka pemba na sie ndo tunapoiona na kuijua vizur Allah akuzidishie
Brother hongera Allah akulipe kheri kwa ubunifu wako siku zote mti wenye matunda hakosi kupigwa mawe uskate tamaa Allah atakuwezesha InshAllah
Hongera
Nimefurahi sana kuona mitaambayo nilikuwa nikipiga misere ila nitafurahi zaid siku ukifika mbuzini kwani nimiyaka 10 sasa sijafika
mwanzo mgumu musikate tamaa pba tv mutakuja juu tu inshallah
Porojo jingi, upunguze kidg
Othmani kondo hapo nikwetu huyo mwenyewe nimuwarabu mzee shamis nitakuelezea zaidi
Nafurahia kuona nyumbani
Alhamdulilah nimefurahi kuona kwetu
Mashallah .Alhamdulillah nimeiona home ziwan na shule niliyoisoma japo kwa mbali nimefurah na umenikumbusha mbali enzi zile tunaita mabanda njaa (shule) asante kaka
Aziza Said Mambo aziza?
@@azizally3129 poa vp kwema
Aziza Said Kwema naomba unitumie namba yako tuweze kuwasiliana samahan lakini nakuomba
Maashaallah uko vzr broo Allah akupe wepesi na afya njema upige hatua ziada achana na wakunja sura wasopenda maendeleo yk in short uko vzr binafsi na enjoy km nipo nyumbani vl hadi raha big up sn
mashaallah mchanga kwale nimefurahi kuona maeneo ya home,hongera kaka
nyumban kabisa kisiwan kwa bint abeid. Inapendeza sana...
Safi kabisa
Kama kuna watu wanakushambulia au kukusema vibaya sema alhamdulullah hiyo ndio fadhila ya mja hata utende jema gani kazi bure
Ahsante kaka ochu tupo pamoj
CALTEX ilikuwa ina supply mafuta. Na ni company yaki British. Kama Vile Shell, BP na nyingine.
Mjomba hakuna mkamilifu isipokuwa Mola wetu basi hao wanaokukosowa waombee Dua.Wala usikasirike wapo wengi hao wanaojuwa zaidi inatosha hivyo unavyo tuonyesha kisiwa chetu Mungu atakulipa kwa furaha utupayo
Nilikuwa napandisha mavungwa hadi semewani hapo nakupata vizuri sana
Assam asylum, nimefurahi Sana kuona home caltex Kwa mzee shamis
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Kule Kuna itwa Kidemen kile kiji
Cha Mbali kule chini pale mchanga kwale
Na ule mchezo wetu wa mrembo kipofu part 3 vp othman km bado fanyeni jitahidini kwani kazi ya kujitolea ina mambo mengi ya kukatisha tamaa ila ww simama na kamba ya Allah tu bass inatosha
Unakera mtangazaji kuhoji mpaka muhogo, hakuna asiejua muhogo fuatilia mambo mengine ,kipindi nakipenda lkn mengine yanaboa bro
Jaribu kufanya utafiti kwanza kuhusu taarifa baadae uingie vijijini kwa taarifa za ziada. Usiingiz e maneno ya kiingereza labda iwe hapana budi...tafuta wstu wanaoelewa suala kwa ukamilifu ..kimbia habari potofu ...nakusudia usiwe kama mapapasi wanavyowapa taarifa za chumvi watalii kwa tamaa ya kuonekana wanaelewa kwa taarifa sio sahihi...tumia watu waxima zaidi kwa historia ...
Hata na mimi nimeliona hilo linatoa ladha ya taarifa Zeke
Lakn kashasema mwenye kufahamu amtafute. Na Bahati mbaya, jamaa zetu wengi hawataki kuulizwa au kuonekana.
Hao wanao kushambulia ww ni wajinga sana na hawaijui thamani yake hio kazi unayo ifanya tu ndg yng othman sio ndogo mm ni mpemba wa kisiwani kwa bnt abeid na nipo nje ya africa lkn hua napenda sana kukufuatilia ww vipindi vyako vya pemba tv na nikija pemba in sha Allah nitakutafuta ongeza juhudi kakaangu tu baas
na mm mpemba mwenzio unitafute hhhh
Wazungu Zaidi ya kutushinda ilaa wananchi wake wanachangia ushuru mkubwa yani Tax Kwa serekali au wanao shirika kupokeya Tax hawaibi hizo pesa alafu zina Rudi Kuwa Mali ya uma na Pesa nyengine wanarudishiwa wananchi wake tukifanya hivyo nchi za kiafrica Zita kua bali sana Pesa nyingi Wana pewa wenye mabiashara makubwa kuendeleza na kuandika watu kazi
Pemba inahitaji juhudi za daraja ya juu ili kuhifadhi mazingira yake.Zamani ardhi ilkuwa ina rutba na vipando vikimea vizuri.Sasa hay o yanatoweka.Ukataji wa miti ovyo na ukulima usiozingatia utaalamu wa hifadhi ya udongo ndio sababu ya matatizo
Chombo kwa hewa
Hii barabara sijui ina mkosi gani ni tokea wakoloni inavyoitwa. Tokea Karume alisema ataitengeneza mpaka leo ikon hivyo hivyo.
Ami kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri ila ilikua utupeleke na kusini nyumbani hasa mtangani kuna mbuyu mnene wa kihistoria tunaona choyo kila siku kaskazini tuuu
Kaka nenda KIUNGONI mda sana kafanye interview kwann kiungoni
Hongera sana toka Oman
kisiwani kwa binti abeid love
Amii tupeleke na kusini kidogo
kweli babuu inabidi atupeleke kusini nimekumis sana mtangani
nitafute kuhusu Pba
@@daktari_mtangazaji watu kama hao usiwajibu kaka
Piga kazi kaka achana na vichwa ngumu
Nimefurahi Sana😊
Keep it up, we love to see home. Blessed beautiful island of Pemba. Shukran.
Tupeleke mji wa fundo
Uliposema wazungu ndugu zetu mmoja sikubaliani nalo kabisa ila kwa kazi yako unayofanya nakusaport
Aziz Ally ndio wazungu ndugu zetu tena wa damu
Othman Fanya utuonyeshe mishe za mafuta Pemba
Be static brother. come on upon your briflications. don' t reanswer back to us brother ok
Na kwan Othuman Kondo ni mpemba wa wp ww?
Alafu pia nenda na maeneo ya mkoan tunataman kuyaona mazingira yake......
Dah kama najiona vile napita na vespa yangu nakwenda wete kuwatembelea washkaji zangu nikitokea machomanne kwa mohd salim kichocho ndie mdingii wangu
Kiongozi uko poa ila kwanza fanya utafiti kisha aplod video yako na pangilia safari yako vizuri watu wanaham ya kuona na kufaham pemba hususan walio mbali na Zanzibar ukifanya vizuri utakuwa umetengeneza account kubwa ya wafuasi au zaidi angalia video za wataliana ili kwa kujifunza na kupata maarifa zaidi.napendekeza mtafute Anna mazzoti katika italianissimo
allah aijalie
kidog kdg ndyo mwendo othman kondo
Apo ulipo wachuuzi hutupa majani ya vumba haoo
salim hemed hapo ungatupeke mtambwè huko kitoweo c mchezo mbele kidogo km kilomia 4 kuna mtu anakaa daya anaitwa bakari mataka huyo ni bingwa wa kuotesha spers yaani viungo mdalasini wake huwezi uona popote vanila hiliki pilipilimanga nk .hongera baba
broo.othima jitahidi sana kutafuta wenyeji ili tupate ile kiini cha hayo majina .km hapo tandavili ushauri tu
Mwanawe yupo hapo hapo caltex wengekwenda akakuelezea
Piga Kazi tupo pamoja, kwa ss tulio mbali twashawishika kuja kutembea nyumbani. Kwani ipo cku nyumbani kuta noga, tutarudi. PBA kuzuri bwana asikwambie mtu.
unajaribu kuelezea khsu Pba lakini hufaham chochote fanya utafiti kwanza
Mwanzo nzuri Kaka,we ndie unaejua asemae hujui mwambie ashike Mike na yy afanye
Katika falsafa ya elimu...usitumie maneno ya jumla jumla yasiomsaidia kumuelimisha mtoa mada..tumia kauli za hoja mbadala ili umuongoze mtoa mada kwa "fact" unayoifaham wewe ili aelimike ajue makosa yake...ikiwa wa kurejea shule atajijua mwenyeww ...ikiwa wa kuendelea kwa marekebisho atajiendeleza kwa kuisaidia jamii. Msaidie asaidie. Kauli za jumlajumla kama ...hujui chochote , katafute kombe uvue..hio si kazi yako kalime muhogo ...hizo hazisaidii..MSAIDIE ASAIDIE ...hasa vile kakubali kuwa yeye si mkamilifu. Mtoto wa Kondo ...endelea kutuletea vitu..nukta za wakati zitadhihirisha uwezo wako.
Kuna watu wengine wameletwa duniani kukosoa wenzao tu , wao wana mapungufu tele na wala hawakosolewi na mtu , tumia kauli nzuri usimvunje binadamu mwenzako tamaa , hakuna alozaliwa anajua , sote tunajifunza ndipo tunajua .
usijesahau na ngomahazingwa ,perezini ....na sehemu kadhaa
umejitahid mola akupe mno
Babkubwa endeleya kutupa uhondo hongera sana wape hi machizi wangu wote pale tennis basketball man . Haina noma ni West hapa nakufagiliya kinoma
Uko vizur kama Wana kuponda si tuna kukubali tuko pamoja naomba usogee pale michakaini kuna Jumba kubwa LA zamani sana LA wahindi utupe history yake kidogo na ile shule ya michakaini ulio somesha watu wengi ila boy uko vizuri kwenye utangazaji hongera boy
Swadacta yaaani wale wote wanaokuponda ni watu wenye chuki na hawapendi maemdeleo yako , ila ukweli nikwamba uko fit na unaweza kila kitu mashallah
safi kwa kweli tunarahi sana kuiyona pemba na mahojiano kmhy 💪