MAAJABU PEMBA ...Fundi umeme mwanamke APATIKANA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 มิ.ย. 2020
- Angalia maajabu ya fundi umeme mwanamke kutoka PEMBA....like,subscribe, share na comment ....Kwa huduma zetu wasliana nasi 0779 801104/ 0655 040258....
- ภาพยนตร์และแอนิเมชัน
Hata injinia wa Hospital wa Mnazi Moja anae simamia umeme ni Bi Fatma Omar Said Ma Shaa ALLAH
Mashaallah Allah Akuzidishie Ujuzi zaidi Allah Akukinge na watu wabaya Wayne choyo
hizi ndio ndoto tunazozihitaji kuziona ktk jamii zetu hongereni sana Introsoft Production
Wapemba oyeee tunaweza
Mashaallah...Dada Shufaa Allah azidi kufanayia wepesi kila penye uzito uzidi kufikia malengo yako
Mashallah wanawake n sie tunazidi kuwapa hamasa wanawake wenzet jins y kujituma n kutafut rizk z halali wengi wanadanga nd wapate kipato kaz zipo tena kaz km hizi ambazo wamezoelewa wanaume akifanya mwanamke anapata vibarua vingi zaid
Mashallahu chezeya wapemba ww hapana chezeya tuko vzur klasekta nakupenda momi Mungu akubarki love 😁💕👍
Hahaaaa wapemba wa siku hizi wajiinua sio wale barafu kwao walokuwa wakizikaanga🤣
Mashallah chezea mpemba we
Huyu jamaa ni jenious wa kuuliza maswali hongera
Masha Allah Allah amfanyie wepesi na amuepushie na hasadi na amjaalie kipato cha halali
Masha allah
MashaAllah... Da Shufaa, Allah aibarik kazi ya mikono yako na akupe mafanikio ya jasho lako ili uweze kuisaidia familia yako na jamii kwa jumla...
Mashaallah
Da lailat msabah nitafute mm ni da salama
Dada angu, InshaAllah mungu atakusaidia utafanikiwa. Na hao wasiowapenda wapemba watakufa kwa chuki na mbaya, wapemba tumefundishwa kutafuta sio kutafutiwa, hata TANZANIA mzima inatambua hilo. Acheni roho mbaya.
Hongera dada kazi kazi
nice job
Hongera kipez inshallah Allah akupe kila la kher tuombe ee na sisi tuweze kufanya Kaz
Masha Allah dadangu Allah akujaalie kila la khery insha Allah akufungulie milango ya Khery nd mume muelewa nd vizazy vyema
Salmin mimi nigekuomba katika pirika zako za utangazaji uge wapigia kelele Sana mafundi Hawa wa umeme wanapo Maliza kusoma mafunzo ya a Mali wapate ajira au wapewe kibali Shirika La umeme waweze kifanya kazi zote
Maashallah...nmependa.jamni.
Asalaam alaykum warahmatullah wabarakat,kwa kweli mtangazaji wa kiume Mashaallah anamkumbusha maadili ya kiislam
Masha Allah tabaraq Allah mungetuekea namba zake za mawasiliano
Kama kweli wew mwanamke unaweza kazi zote basi endesha mkokoteni kufua wazi
Chuo cha ufundi kengeja ni chuo kinachotoa wanafunzi wenye taaluma ya ufundi wa umeme na Civil karibuni👍
limbani 💥🔥🔥
Labda kwa Afrika ndio ajabu kwa nchi nyingine nje huko wapo tele mpaka waendesha malori
MaashaaALLAAH
KAZI nzuri
Jamani sio wa kwanza nilisoma na binti mmoja miaka ya 80 Mkongwe Ramadhani kutoka Pemba alikuwa fundi umeme mzuri tuu sijui aliishiaga wapi!
Muulize shufaa ameshaolewa
Wacheni kucomment ujinga. Tanzania ina rais mwanamke kuna uzito gani kuwa na fundi umeme?
Body guards wa Colonel Gaddafi wote walikuwa wanawake. Big up sister, unaweza.
Mashallah
naona munatucheki kwa woga wanawake hebu tuchanganyishiyeni macho . mimi mwanamke maisha yote napaint nyumba yangu mwenyewe . tena huwa nawashauri watu wanakushangaa utasikia mwanamke atafuta fundi wa rangi kijana mzima na yuko na mumewe ni suala lakushirikiana tu na mumewe na wanaume wetu wengine hawapendi kujishuhulisha , kitu kidogo ndani anamwita mtu wanaume lazima muwe watundu .
Maa shaa Allah
Mm kiupandewangu nimshauri shufaa ktk mipangoyake afunguwe wakshop kwaajiliyakuwafunza wanawakeambao bado akilizao zimelala
Lkn kwa mwanamke kdg ni changamoto kuhusu mipaka ya dini tukufu ya allah
Kivipi
Big up
Hongera lati
nice hii
Well Da Shuuu.
Kazi nzuri ila tu awe makini vijana wacje wakamwita geto wakamwambia kunahitilafu ya umeme
Mpizi kweli wewe 😂😂😂
Jivunie kufanya kazi ktk sehemu yako uliosoma wengi wanasoma na wanafaidika wengine
Mashaallah tabaraka rahman
Hongera sana
Sio kumuonyesha
Ni KUMUONESHA
KUNA ONYA NA ONA
ONYESHA NA ONESHA
Ndio ukasema tukamuone
Na vilemba vinavyovaliwa saiv visiwani si ktk hijabu ya kisheria
Mashalla
Dashufaa usiondoke pemba
Umefikia Hadi daraja la ngapi 3,2,1
Asante dada
asipande nguzo vip na yeye ni mwanamke
Usiseme huna familia Dada hata wazazizi wako na jamaa zako waliokuzunguka ni familia yako kwani hakuna mwanadamu ambae hana familia sema tu hujaolewa
Salmeen
Naomba No: zake za cm
Iyo ndo product ya pemba bhana maana Wanatudharau Sana wenzetu watuona wapemba hatuwezi Jambo tumelegea.
No sio mumelegea , tatizo kila kitu mnakipeleka katika dinii , hapotuu , ndipo mnapokosea, enzi za nyuma huyo kwa ilivokuwa Pemba angeambiwa muhunituu na hata hio suruali alio ivaa Ila kwa Sasa tumeamka Alhamdulillah . Mutuachietuu tufanyekazii lakini mtuhimize tusifanye kazi ambazo zitatutoa katika dinii ( namaanisha zitatufanya tukiuke maadili ya dini, Kama kwenda uchii na kutokusali, )
Number zake mbona hatujazipata akihitajika atapatikanaje?
hiyo ndio feminism na masculine . maana inaonekana km mwanamke ni kiumbe dhaifu kazi zake ni jikoni na kitandani tu . na hiyo kusema ajabu hakuna cha ajabu hapo . hiyo ndio tukisema haki sawa tunamaanisha hayo . na sio kuzaa .
Wanao tamani kupata namba za shufaa gonga like tujuane
Shuu nakukumbuk tulipokuw chuo pmj
Wacheni kujifanya kua wapemba ni watakatifu kumbe kama watu wengine wenye makosa na tabia mbaya na nzuri , hapa unguja kuna wanawake wengi ni mafundi wala hamujawahi kuwatangaza
Ww km una tabia mbaya ni zakwako tuu kwani mtu kutafuta maisha kwa upande anaohisi ni vibaya km limekuchoma kunywa sumu baba
Kunywa sumu km limekuchomaaaa
@@saidali460 Anza ww
@@saidali460 lazima ukweli usemwe hata ukichukia
@@abuanmarabubakar Kwani Unguja hamna watangazaji?
wewe km unahisi unaota , mwambie akunyukuwe huyo shufaa hapo. .
Tunahitaj namba yake ya simu
Unaipanda kweli nguzo wewe
Ujinga mtupu
Mashallah Mwanangu Shufaa keep it up Allah akujaaliye akuwezeshe atufikishe katika kilele cha malengo yako. Amin