MAAJABU PEMBA ...Fundi umeme mwanamke APATIKANA

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 81

  • @pilykingo
    @pilykingo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hata injinia wa Hospital wa Mnazi Moja anae simamia umeme ni Bi Fatma Omar Said Ma Shaa ALLAH

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 4 ปีที่แล้ว +4

    Mashaallah Allah Akuzidishie Ujuzi zaidi Allah Akukinge na watu wabaya Wayne choyo

  • @ablamymussa5556
    @ablamymussa5556 4 ปีที่แล้ว +4

    hizi ndio ndoto tunazozihitaji kuziona ktk jamii zetu hongereni sana Introsoft Production

  • @mgeniali941
    @mgeniali941 3 ปีที่แล้ว +2

    Wapemba oyeee tunaweza

  • @alisalim4926
    @alisalim4926 4 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah...Dada Shufaa Allah azidi kufanayia wepesi kila penye uzito uzidi kufikia malengo yako

  • @khamoshmikidadi9262
    @khamoshmikidadi9262 4 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah wanawake n sie tunazidi kuwapa hamasa wanawake wenzet jins y kujituma n kutafut rizk z halali wengi wanadanga nd wapate kipato kaz zipo tena kaz km hizi ambazo wamezoelewa wanaume akifanya mwanamke anapata vibarua vingi zaid

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 4 ปีที่แล้ว +3

    Mashallahu chezeya wapemba ww hapana chezeya tuko vzur klasekta nakupenda momi Mungu akubarki love 😁💕👍

    • @thehonesty6765
      @thehonesty6765 4 ปีที่แล้ว

      Hahaaaa wapemba wa siku hizi wajiinua sio wale barafu kwao walokuwa wakizikaanga🤣

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid5864 4 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah chezea mpemba we

  • @issayakuti7511
    @issayakuti7511 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa ni jenious wa kuuliza maswali hongera

  • @aishasuleiman7692
    @aishasuleiman7692 4 ปีที่แล้ว +3

    Masha Allah Allah amfanyie wepesi na amuepushie na hasadi na amjaalie kipato cha halali

  • @Binkhator
    @Binkhator 4 ปีที่แล้ว +6

    MashaAllah... Da Shufaa, Allah aibarik kazi ya mikono yako na akupe mafanikio ya jasho lako ili uweze kuisaidia familia yako na jamii kwa jumla...

  • @SalamaMohammed-gv6my
    @SalamaMohammed-gv6my 3 หลายเดือนก่อน

    Da lailat msabah nitafute mm ni da salama

  • @user-gm6vr5jk1h
    @user-gm6vr5jk1h ปีที่แล้ว

    Dada angu, InshaAllah mungu atakusaidia utafanikiwa. Na hao wasiowapenda wapemba watakufa kwa chuki na mbaya, wapemba tumefundishwa kutafuta sio kutafutiwa, hata TANZANIA mzima inatambua hilo. Acheni roho mbaya.

  • @almandroo8258
    @almandroo8258 4 ปีที่แล้ว +1

    Hongera dada kazi kazi

  • @bahariakassim8089
    @bahariakassim8089 2 ปีที่แล้ว +1

    nice job

  • @sadabkari5532
    @sadabkari5532 2 ปีที่แล้ว

    Hongera kipez inshallah Allah akupe kila la kher tuombe ee na sisi tuweze kufanya Kaz

  • @looqmanmw8190
    @looqmanmw8190 3 ปีที่แล้ว

    Masha Allah dadangu Allah akujaalie kila la khery insha Allah akufungulie milango ya Khery nd mume muelewa nd vizazy vyema

  • @jumasaid3228
    @jumasaid3228 3 ปีที่แล้ว +1

    Salmin mimi nigekuomba katika pirika zako za utangazaji uge wapigia kelele Sana mafundi Hawa wa umeme wanapo Maliza kusoma mafunzo ya a Mali wapate ajira au wapewe kibali Shirika La umeme waweze kifanya kazi zote

  • @fatmayagunga3754
    @fatmayagunga3754 2 ปีที่แล้ว

    Maashallah...nmependa.jamni.

  • @user-nt6nx4xf5k
    @user-nt6nx4xf5k 2 ปีที่แล้ว

    Asalaam alaykum warahmatullah wabarakat,kwa kweli mtangazaji wa kiume Mashaallah anamkumbusha maadili ya kiislam

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah tabaraq Allah mungetuekea namba zake za mawasiliano

  • @fesalsoftware9014
    @fesalsoftware9014 ปีที่แล้ว

    Kama kweli wew mwanamke unaweza kazi zote basi endesha mkokoteni kufua wazi

  • @valsulu6756
    @valsulu6756 2 ปีที่แล้ว

    Chuo cha ufundi kengeja ni chuo kinachotoa wanafunzi wenye taaluma ya ufundi wa umeme na Civil karibuni👍

  • @nassorsaid4930
    @nassorsaid4930 2 ปีที่แล้ว +1

    limbani 💥🔥🔥

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 7 หลายเดือนก่อน

    Labda kwa Afrika ndio ajabu kwa nchi nyingine nje huko wapo tele mpaka waendesha malori

  • @chiefzumo1688
    @chiefzumo1688 4 ปีที่แล้ว

    MaashaaALLAAH
    KAZI nzuri

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 ปีที่แล้ว

    Jamani sio wa kwanza nilisoma na binti mmoja miaka ya 80 Mkongwe Ramadhani kutoka Pemba alikuwa fundi umeme mzuri tuu sijui aliishiaga wapi!

  • @fakihaji9195
    @fakihaji9195 7 หลายเดือนก่อน

    Muulize shufaa ameshaolewa

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi4082 3 ปีที่แล้ว +1

    Wacheni kucomment ujinga. Tanzania ina rais mwanamke kuna uzito gani kuwa na fundi umeme?
    Body guards wa Colonel Gaddafi wote walikuwa wanawake. Big up sister, unaweza.

  • @sasbinjuma518
    @sasbinjuma518 4 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 ปีที่แล้ว

    naona munatucheki kwa woga wanawake hebu tuchanganyishiyeni macho . mimi mwanamke maisha yote napaint nyumba yangu mwenyewe . tena huwa nawashauri watu wanakushangaa utasikia mwanamke atafuta fundi wa rangi kijana mzima na yuko na mumewe ni suala lakushirikiana tu na mumewe na wanaume wetu wengine hawapendi kujishuhulisha , kitu kidogo ndani anamwita mtu wanaume lazima muwe watundu .

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 ปีที่แล้ว +2

    Maa shaa Allah

    • @kandawest7997
      @kandawest7997 3 ปีที่แล้ว

      Mm kiupandewangu nimshauri shufaa ktk mipangoyake afunguwe wakshop kwaajiliyakuwafunza wanawakeambao bado akilizao zimelala

  • @ukwelinauwazitv2615
    @ukwelinauwazitv2615 4 ปีที่แล้ว +2

    Lkn kwa mwanamke kdg ni changamoto kuhusu mipaka ya dini tukufu ya allah

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis8298 ปีที่แล้ว

    Big up

  • @adilhabibu7958
    @adilhabibu7958 3 ปีที่แล้ว

    Hongera lati

  • @ablamymussa5556
    @ablamymussa5556 4 ปีที่แล้ว +2

    nice hii

  • @aliymaulid8941
    @aliymaulid8941 3 ปีที่แล้ว +1

    Kazi nzuri ila tu awe makini vijana wacje wakamwita geto wakamwambia kunahitilafu ya umeme

    • @TeamKRX
      @TeamKRX 3 ปีที่แล้ว

      Mpizi kweli wewe 😂😂😂

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 4 ปีที่แล้ว

    Jivunie kufanya kazi ktk sehemu yako uliosoma wengi wanasoma na wanafaidika wengine

  • @latifaally8257
    @latifaally8257 3 ปีที่แล้ว

    Mashaallah tabaraka rahman

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 4 ปีที่แล้ว

    Hongera sana

  • @chiefzumo1688
    @chiefzumo1688 4 ปีที่แล้ว

    Sio kumuonyesha
    Ni KUMUONESHA
    KUNA ONYA NA ONA
    ONYESHA NA ONESHA
    Ndio ukasema tukamuone

  • @ukwelinauwazitv2615
    @ukwelinauwazitv2615 4 ปีที่แล้ว +1

    Na vilemba vinavyovaliwa saiv visiwani si ktk hijabu ya kisheria

  • @mehboobmoledina8173
    @mehboobmoledina8173 2 ปีที่แล้ว

    Mashalla

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 4 ปีที่แล้ว

    Dashufaa usiondoke pemba

  • @mahamudabdullahi7506
    @mahamudabdullahi7506 2 ปีที่แล้ว

    Umefikia Hadi daraja la ngapi 3,2,1

  • @jumahamadomar9124
    @jumahamadomar9124 3 ปีที่แล้ว

    Asante dada

  • @chalulumanyenga1151
    @chalulumanyenga1151 3 ปีที่แล้ว

    asipande nguzo vip na yeye ni mwanamke

  • @jumahamadomar9124
    @jumahamadomar9124 3 ปีที่แล้ว

    Usiseme huna familia Dada hata wazazizi wako na jamaa zako waliokuzunguka ni familia yako kwani hakuna mwanadamu ambae hana familia sema tu hujaolewa

  • @aliy3303
    @aliy3303 4 ปีที่แล้ว

    Salmeen

  • @dullafarsiy1230
    @dullafarsiy1230 4 ปีที่แล้ว +1

    Naomba No: zake za cm

  • @sabihaabdallah1631
    @sabihaabdallah1631 3 ปีที่แล้ว

    Iyo ndo product ya pemba bhana maana Wanatudharau Sana wenzetu watuona wapemba hatuwezi Jambo tumelegea.

    • @ramadhantahila9131
      @ramadhantahila9131 2 ปีที่แล้ว

      No sio mumelegea , tatizo kila kitu mnakipeleka katika dinii , hapotuu , ndipo mnapokosea, enzi za nyuma huyo kwa ilivokuwa Pemba angeambiwa muhunituu na hata hio suruali alio ivaa Ila kwa Sasa tumeamka Alhamdulillah . Mutuachietuu tufanyekazii lakini mtuhimize tusifanye kazi ambazo zitatutoa katika dinii ( namaanisha zitatufanya tukiuke maadili ya dini, Kama kwenda uchii na kutokusali, )

  • @moha8620
    @moha8620 ปีที่แล้ว

    Number zake mbona hatujazipata akihitajika atapatikanaje?

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 ปีที่แล้ว

    hiyo ndio feminism na masculine . maana inaonekana km mwanamke ni kiumbe dhaifu kazi zake ni jikoni na kitandani tu . na hiyo kusema ajabu hakuna cha ajabu hapo . hiyo ndio tukisema haki sawa tunamaanisha hayo . na sio kuzaa .

  • @salehkhamis3063
    @salehkhamis3063 3 ปีที่แล้ว

    Wanao tamani kupata namba za shufaa gonga like tujuane

    • @alisleyyum248
      @alisleyyum248 2 ปีที่แล้ว

      Shuu nakukumbuk tulipokuw chuo pmj

  • @abuanmarabubakar
    @abuanmarabubakar 4 ปีที่แล้ว +2

    Wacheni kujifanya kua wapemba ni watakatifu kumbe kama watu wengine wenye makosa na tabia mbaya na nzuri , hapa unguja kuna wanawake wengi ni mafundi wala hamujawahi kuwatangaza

    • @saidali460
      @saidali460 3 ปีที่แล้ว +3

      Ww km una tabia mbaya ni zakwako tuu kwani mtu kutafuta maisha kwa upande anaohisi ni vibaya km limekuchoma kunywa sumu baba

    • @saidali460
      @saidali460 3 ปีที่แล้ว +2

      Kunywa sumu km limekuchomaaaa

    • @abuanmarabubakar
      @abuanmarabubakar 3 ปีที่แล้ว

      @@saidali460 Anza ww

    • @abuanmarabubakar
      @abuanmarabubakar 3 ปีที่แล้ว

      @@saidali460 lazima ukweli usemwe hata ukichukia

    • @mbuyutv8271
      @mbuyutv8271 3 ปีที่แล้ว

      @@abuanmarabubakar Kwani Unguja hamna watangazaji?

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 ปีที่แล้ว

    wewe km unahisi unaota , mwambie akunyukuwe huyo shufaa hapo. .

  • @aliymaulid8941
    @aliymaulid8941 3 ปีที่แล้ว

    Tunahitaj namba yake ya simu

  • @alinassor391
    @alinassor391 3 ปีที่แล้ว

    Unaipanda kweli nguzo wewe

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b 2 วันที่ผ่านมา

    Ujinga mtupu

  • @abdulrahimsalum5549
    @abdulrahimsalum5549 3 ปีที่แล้ว

    Mashallah Mwanangu Shufaa keep it up Allah akujaaliye akuwezeshe atufikishe katika kilele cha malengo yako. Amin