WAKILI MWABUKUSI ATOA TAMKO ZITO ASHTUKIA MCHEZO MCHAFU MAHAKAMANI BAADA YA MADELEKA KUPEWA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ธ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 177

  • @godfreydavid6996
    @godfreydavid6996 ปีที่แล้ว +9

    This is the true definition of warriors.We are proud of you both,may God bless you always.

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 ปีที่แล้ว +18

    Hongera sana Mwabukusi na wote Mungu akubariki sana

    • @KaburuKimath-eu5nf
      @KaburuKimath-eu5nf ปีที่แล้ว

      Mwabukusi we ni mpango WA mungu tumekujua kupitia hii ishu ya bandari tinamwomba mungu akupe maisha marefu

  • @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi
    @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi ปีที่แล้ว +11

    Asante wakili Mwabukusi MUNGU akutunze 👏👏👏👏

  • @augustinomhagama9527
    @augustinomhagama9527 ปีที่แล้ว +4

    Mwenyezi Mungu akujalie Kila heri Mwambukusi na jopo lako

  • @HOSEAHALLAN-tt3gx
    @HOSEAHALLAN-tt3gx ปีที่แล้ว +5

    Asante wakili mwanbukusi mungu akulide katika kazi zako

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 ปีที่แล้ว +4

    Jaji Asante kwa ufuata haki mungu akubariki sana kumtoa Madeleka Asante.

  • @tumaini_nkinda
    @tumaini_nkinda ปีที่แล้ว +16

    Pole sana ndugu yetu wakili msomi Madereka Mungu anae simama kwenye haki akutetee kwa Jina la Yesukristo. Mungu anaujua moyo wako kwamba huna hila! POLE SANA.

  • @azizabdallah585
    @azizabdallah585 ปีที่แล้ว +15

    BRAVO WAZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU....MIMILIONI YA WATANZANIA WAKO NYUMA YENU.

  • @ChristerShao
    @ChristerShao ปีที่แล้ว +15

    Vyeo vya kisifa vimepita neno la haki limesimama.Hongereni wote Mwambukusi mungu akupe agya uzidi kutetea wengi.Hongera Madeleka.Hongera watanzania wanaoomba haki itendeke.Ahsante mungu muonambali.

    • @simoniorasa4060
      @simoniorasa4060 ปีที่แล้ว +3

      Hongera mwambukusi adv.kwa kutufungua machoo tumejua ambayo tulikuwa hatujui Mungu akubariki uwe na afya njema akuepushe na watesi wako..haleluya

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 ปีที่แล้ว +4

    MWABUKUSI, Mungu akubariki sana na kukulinda.

  • @richardhoseni2643
    @richardhoseni2643 ปีที่แล้ว +4

    Jeshi la mtu mmoja heshima kwako wakili mwabukusi Mungu akutunze miaka 10000 tukiwa na watanzania kama hawa hakutakuwa na uonevu Forever

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 ปีที่แล้ว +4

    Bb wa mbinguni ataenda kutenda makuu juu ya haki ya watu wake hongereni sana haki ikatendeke

  • @barryrioba3934
    @barryrioba3934 ปีที่แล้ว +6

    Nafurahi Kuona Tuna Watetezi Wa Wananchi Wengine Wapya Tena Wazuri Sana. Zamani Nilikua Namjua LISSU Pekee Lakin Saiv Nafurahi Kumuona Mwingine Mpya MWAMBUKUSI. Hakika TANGANYIKA Sasa Itakombolewa.

  • @charleslukumai7875
    @charleslukumai7875 ปีที่แล้ว +13

    Mungu ni mkuu na mwenyehaki. Hingereni sana.

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 ปีที่แล้ว +18

    Kila ukiwasha simu ukaanza kupita mitandaoni,unachokutana nacho Ni uchungu tu,sijajua tuta kuja kuona haki kamili lini...

  • @malindimalindimerinyo1632
    @malindimalindimerinyo1632 ปีที่แล้ว +6

    Amina Mungu akubariki sana sana Mwabukusa wacha Mungu akubariki mno wacha haki itendeke

  • @NorahFrank-w5m
    @NorahFrank-w5m ปีที่แล้ว +10

    Nawapieni.Mungu Anaenda kuleta uamsho mkubwa sana Tanganyika.kuna uonevu mkubwa sana.waendelee tu kutesa watu.Mungu Atawafuta kama wamisri walivyofanyiwa na Mungu Mwenyewe

    • @ahmadamohamed1907
      @ahmadamohamed1907 ปีที่แล้ว

      Unamuapia nani ww uamsho upi uamsho si mliwaaeka ndani miaka 8

  • @yomseyyomsey5114
    @yomseyyomsey5114 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubali Sana wakili msomi mwabukusi jabali la kupigania haki na uwazi wa Mambo Mungu akulinde akutetee Sikuzote maishani mwako;;; Wakili wamwelewe viongoz wa umma maana mihimili yetu😂😂😂😂😂 duuuh Mungu akutetee pekee.

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 ปีที่แล้ว +7

    Barikiwa sana Mwabukusi

  • @hollojuma9538
    @hollojuma9538 ปีที่แล้ว +5

    Safi sana hakika mungu mkubwa mbalikiwe watetezi was wananchi 🙏🏼🙏🏼👍🤝

  • @mwenem8130
    @mwenem8130 ปีที่แล้ว +3

    Safi sana Mungu Mkubwa, so happy, God Bless vijana wa Tanganyika!!!!

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 ปีที่แล้ว +4

    YYESSS HAKI ITENDEKE 👏🏻👏🏻👏🏻

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 ปีที่แล้ว +7

    Mnaandikwa kwenye vitabu vya mashujaa wa ukombozi wa nchi yetu. Mungu awatie nguvu

  • @AdonaiFredy
    @AdonaiFredy ปีที่แล้ว +2

    Shalom! Kwakuwa unasimamia haki ya wanyonge tunakupmbea sana kwa Jehovah.ameni

  • @celinamutta5058
    @celinamutta5058 ปีที่แล้ว +6

    BRAVO MWABUKUSI👊👊💪💪

  • @lusajomwaipopo5042
    @lusajomwaipopo5042 ปีที่แล้ว +3

    Dhahabu husafishwa kwa moto madereka umeiva sasa hongera sana

  • @Ambwene
    @Ambwene ปีที่แล้ว +7

    Huyo tuu wakili kafanyiwa hivyo, Je sisi raia wa kawaida mtaani 😔 😟

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 ปีที่แล้ว +1

    Mwabukusi mm nakukubali Sana Sheria unaijua na umehitimu mm nataka uwemwanasheria wangu katika kesi yangu ntakulipa harama yoyote#

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 ปีที่แล้ว +15

    Tunasubiri majibu ya mwumba wa mbingu nanchi kwakuwa haki inayeye peke yake AMENI.

  • @IvoFransis
    @IvoFransis ปีที่แล้ว

    Mwabukusi tunapenda kukusikia baba. Mkombozi wa nchi na wanyonge. MUNGU akupe maisha marefu

  • @mgangazephaniah230
    @mgangazephaniah230 ปีที่แล้ว +10

    Wape shule,kama wanaweredi watajua,lakn Mungu amewanyima ufahamu ili waendelee kuwaibika

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 ปีที่แล้ว +9

    Hii nchi tuikabidhi mikononi mwa mungu maana sisi wanadamu hatuwezi

  • @eradiusdezideri
    @eradiusdezideri ปีที่แล้ว +5

    Pole sana jamani Mungu walinde sana na ninawapenda sana nyinyi mnazopenda tanzania

  • @severinmmassy7627
    @severinmmassy7627 ปีที่แล้ว

    Mwenyezo mungu awaangazie kwakaz hiii kubwa mnayofanya yakuikomboa Tanzania 🇹🇿

  • @nurubarakekenwa7557
    @nurubarakekenwa7557 ปีที่แล้ว +3

    Dah nakukubali sana

  • @jefrineliaselias691
    @jefrineliaselias691 ปีที่แล้ว +2

    Mwabukusi hiki chuma hiki nakukubari Sana aise we Nizaidi ya kamanda

  • @ThomasMwinuka-kg5kz
    @ThomasMwinuka-kg5kz ปีที่แล้ว +19

    Asante wakili msomi nchi hii haipendi watu wasomi kama ninyi pongez kwen wanasheria

    • @TullySwai
      @TullySwai ปีที่แล้ว

      Kwel kabsaa wanapend vilaza

  • @ebenezernnko8251
    @ebenezernnko8251 ปีที่แล้ว +4

    Tanzania imekuwa Nchi hovyo sana Yakuishi kwa sasa

  • @mustaphaselemani8367
    @mustaphaselemani8367 ปีที่แล้ว +4

    Mungu ni mwema

  • @jayson.chanel.9870
    @jayson.chanel.9870 ปีที่แล้ว +4

    MUNGU AWABARIKI SANAA

  • @lusajomwaipopo5042
    @lusajomwaipopo5042 ปีที่แล้ว +4

    Mwabukusi kijana jasiri, jina lako litaandikwa kwa wino wa dhahabu

  • @Bikhafija
    @Bikhafija ปีที่แล้ว +4

    Mashaalah

  • @josephinelukweto6442
    @josephinelukweto6442 ปีที่แล้ว +3

    Haleluya. Utukufu umrudie Mungu. Nimefurahii kumuona Madeleka ametoka jmani.
    Ee Mungu wa haki jitwalie utukufu.

  • @magrethsengati2564
    @magrethsengati2564 ปีที่แล้ว +1

    Asante yesu dah madeleka kamanda kaachiwa hii inaonesha kwamba kesi hizi zinatakiwa kuwekwa wazi media ni muhimu mahakamani

  • @wilsonsikahanga1761
    @wilsonsikahanga1761 4 วันที่ผ่านมา

    Mungu Akubariki mwabukusi

  • @sindaslyvester1007
    @sindaslyvester1007 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akutunze uendelee kututetea

  • @ROBERTMGOGOSI
    @ROBERTMGOGOSI ปีที่แล้ว +5

    Hii yote nia ya Samia ya kuharalisha dpw

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 ปีที่แล้ว +1

    mh samia anajikajaga aerewe zama za kikwete sio hizi atafeli kweli zama uwazi na ukweli kweli akili zake za kuambiwa aongeze na zakee

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 ปีที่แล้ว

    Judge Yohane asante sana

  • @hassankidilikia5566
    @hassankidilikia5566 ปีที่แล้ว +3

    Freedom fighter

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 ปีที่แล้ว +4

    Ukiangalia kiundani viongozi ndo wanaharibu nchi yetu

    • @jamalahmed7057
      @jamalahmed7057 ปีที่แล้ว

      Huo ndio ukweli wangu usio na pingamizi

  • @abdallahnkrumah6237
    @abdallahnkrumah6237 ปีที่แล้ว +3

    Hapa nimenusa matumizi mabaya ya ofisi za Umma.
    Huyo Ni wakili je mtu wa kawaida inakuwaje ?

  • @wilsonsikahanga1761
    @wilsonsikahanga1761 4 วันที่ผ่านมา

    Mungu Akubariki madereka

  • @GeoffreyUswege
    @GeoffreyUswege ปีที่แล้ว

    Safi sana wakili msomi

  • @IsaacMwitula
    @IsaacMwitula 4 หลายเดือนก่อน

    Mwabakusi mungu akulinde

  • @christopherkanyalakc8941
    @christopherkanyalakc8941 ปีที่แล้ว

    Pole Kaka

  • @BarakaMaglaniLaizer
    @BarakaMaglaniLaizer ปีที่แล้ว +3

    It is yet blessing my heart to see you heros

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 ปีที่แล้ว +1

    Nchi hii imejaa wahuuni ,naludia wahuni wamokwenye office za umma wahuni ni watu wabaya sana😮😮😮😮 naam kuna kiongozi wa wahuuni nchii analinyonya taifa kijasili na ujanjajanja 😮😮

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi ปีที่แล้ว +1

    Naogopa sana haya mambo nimagumu sana

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 ปีที่แล้ว +1

    Dua na sala ndio muhimu, masheikh dua zao tulizionq na majibu yake yalipatikana mapka mwenda zake akafa halfla sasa na nyie jikazeni na dua ili hawa madhalimu waondoke, hawafati sheria walizo ziweka wenyewe 👍

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 ปีที่แล้ว +4

    Wazalendo hawana haki

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka ปีที่แล้ว +1

    Haya yote yanasababishwa na viongozi wa nchi hii mafisadi na wasio na maadili wameharibu sana nchi yetu ya Tanganyika

  • @jayson.chanel.9870
    @jayson.chanel.9870 ปีที่แล้ว

    Tunawaombea sana... naamini Mungu atatutetea.

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 ปีที่แล้ว +1

    Tundulisu Yuko wapi yeye anataka apewe nchi aibe tu mahakamani haonekani kutetea wenzake

  • @RhodaKibona
    @RhodaKibona ปีที่แล้ว

    Haleruyaaa,jina moja tuuuu,ni
    Yesu kristo,anaangalia na kutoa majibu,yaliosahihi,hakuna wa kushindana naye.

  • @mussaelisha3733
    @mussaelisha3733 ปีที่แล้ว +4

    Mungu watu wanachukuwa cheo chako wahangalie kwa hadhabu kali

  • @BeatriceLyatuu-w8j
    @BeatriceLyatuu-w8j ปีที่แล้ว

    MUNGU AKUTUNZE sanaaaaa Yaani MUNGU AKULINDE....nakila silwha itakayoinuka juu yako haitafanikiwa....na kila atakuwa kinyume nawe imrudie mara mbili na Mungu awahukumu wote wanaokupwngia MABAYA...libarikiwe tumbo lilillomzaa mwambukusi....na hii ndiyo raha yakuwasomesha watoto wenye UCHUNGU na Nchi na uzalendo

  • @pureleathershoes8066
    @pureleathershoes8066 ปีที่แล้ว

    Naweza kusema tu Nchi za kiafrika tuna Serikali za hovyo sana ukiwakosoa utatafutiwa kedi za ajabu ajabu na polisi na vyombo vingine vya usalama pasipo kufuata profesionalidm ya kaxi zao nao wanaingia kwenye mkumbo kwa kuwalinda watawala. Hii ni harufu mbaya kwa Nchi za kiafrika

  • @victorphilibert1629
    @victorphilibert1629 ปีที่แล้ว +1

    1 )obtaining money by force (kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu)
    2)money laundry (utakatishaji wa fedha)

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 ปีที่แล้ว +1

    Mimi nasema mdugu zangu haki kwenye nchii hii haiwezi patikana kwavifungu vya sheria tafuteni njia mbadala yakuleta ukombozi kwenye nchii hii maana watawala hawataki kutoa haki

  • @wennceslausmushi2356
    @wennceslausmushi2356 ปีที่แล้ว +8

    Huyu mwambukusi alikuwaga wapi?nchi yetu inahitaji kina mwàmbukusi wengi sana muda huu.

  • @rogersiddy
    @rogersiddy ปีที่แล้ว

    😂😂Kama kuna mtu alimuona Askari Magereza alitaka kuwazuia watu baada tu kugeuka na kumuona Mwabukusi akalegeza kamba akampisha huku askari anatabasam akijua mhh kumbe wewe mwamba pita bhana😅😅

  • @ibrahimally3579
    @ibrahimally3579 ปีที่แล้ว

    hapa kama unajuwa sheria Tz uguswi

  • @emanuelelias4695
    @emanuelelias4695 ปีที่แล้ว +1

    MUNGU ni WA haki siku zote wahuni wa taifa hili siku zao chache sana Tena za hesabika

  • @SaidBawazir-t8h
    @SaidBawazir-t8h ปีที่แล้ว

    Huyu mwingine ni wakili kweli anaelezea kitu kinachoeleweka sio mwambukusi anavyoelezea ni kama yeye sio wakili ni mshitakiwa sisi tunafatilia tunahitaji kuelewa big u

    • @brendajulius2995
      @brendajulius2995 ปีที่แล้ว

      We km humwelewi mwabuks basi utakuwa akili kisoda mbona jamaa kanyooka km rula hana kuremba wala mbambamba

  • @MwajuKhamisi
    @MwajuKhamisi ปีที่แล้ว

    Wakili was kweli

  • @weinnyasi5894
    @weinnyasi5894 ปีที่แล้ว

    Katika hizi Kesi Mwabukusi anasimama kama mwalimu kwa mtu wa kawaida. Hii inasaidia kuleta ufahamu na uelewa wa mambo ya professionalism yanavyotakuwa yaende ki professional. Na jinsi yanavyokiukwa au kutumiwa vibaya na walio katika madaraka. Hapa wananchi wa kawaida na mwanafunzi wanajifunza kuzungatia ueledi na sio vitendo vinavyo kiuka ueledi . ni aibu kwa Taifa na wahusika kupindishapindisha vitu kwa maslahi binafsi. Napenda kumwambia Mwabukusi na wengine walio na uzalendo kama yeye kuwa Mnalifanya liwapasalo katika Taifa kwaajili ya Leo kesho ya ya nchi hii Afrika na dunia

  • @Fantsonmpango-uz3jw
    @Fantsonmpango-uz3jw ปีที่แล้ว

    Kwa mbaali anaonekana wakili msomi mdude nyagali akiwa amebebelea fail😆😆

  • @JumaNurudini
    @JumaNurudini 5 วันที่ผ่านมา

    Wanasheria wazalendo tunamba muwe mnawasaidia hata watusojua sheria jamani mtusaidie

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn ปีที่แล้ว +2

    Nilisema, hii ni vita. Vita ina vita ndogondogo (battles) kadhaa. Battle ya Mbeya Mwabulusi mlishimdwa. Nikaasa msikate tamaa. Battle ya Arusha mmeshinda. Ushindi huu usifanye mkalala, vita bado kabisa mbichi. Nauliza hivi hakimu akikosea hawezi naye kushtakiwa?

  • @upendomosha-oy6wc
    @upendomosha-oy6wc ปีที่แล้ว

    nakubaliana na ww

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 ปีที่แล้ว +2

    Nani mwenye number ya Rais Putin ANIPE nimpigie atusaidie KUHUSU haya maswala hatuelewi hii nchi inaendaje maana katiba inavunjwa na Sheria zipo

  • @amaninoi1959
    @amaninoi1959 ปีที่แล้ว

    Kazi iendelée

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 ปีที่แล้ว

    Imagine mwanasheria mkuu anataka kumfutia vyeti Mwabukusi.Hii nchi hatuwezi kupata Uhuru kamili kama CCM bado iko Madarakani

  • @thobiasmasabile-cw9xo
    @thobiasmasabile-cw9xo ปีที่แล้ว +4

    Sawa kabisa jaji huyo mungu amubaliki, sana naamini amesoma kikamilifu, sana, huyu mungu amulinde sana

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru ปีที่แล้ว +3

    Eee Mungu utukuzwe uhimidiwe Madeleke kuwa nje

  • @PeterNkilijiwa-ij3rw
    @PeterNkilijiwa-ij3rw ปีที่แล้ว

    Ndo muone vile mambo yanayoendelea katika serikari hii,unafukua kesi zilizofungwa Ili iweje huyo aliyefanya hivyo anatumika kwa nani,na je kwa Mtanzania w kawaida?na vipi kuhusu Mchungaji Mbarikiwa kuhusu aliyeua mtoto wake? Kwa madai yake!!! Ole wenu malipo ni hapahapa na kabla ya kukaa kaburini.

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 3 หลายเดือนก่อน

    Na hao aska magereza wanaonaga wamefika wanasahau mungu ni wa wore

  • @TullySwai
    @TullySwai ปีที่แล้ว

    Jembeee

  • @christoemmanuel8210
    @christoemmanuel8210 ปีที่แล้ว

    Bora mungu umetusaidia jembe la haki madereka kutoka

  • @CostarbatoniMwaleleka-nv7om
    @CostarbatoniMwaleleka-nv7om ปีที่แล้ว

    Tunashukulu wabambanaji

  • @memurutholais875
    @memurutholais875 ปีที่แล้ว

    Najiulizaga maswali hivi elimu ya sheria inatolewa tofauti ? Maana navyoelewa sheria huwa iko wazi na namna inavyo jieleza sasa tofauti zinatoka wapi BANDUGU mbona kama mnataka KUWAZALILISHA WALIMU WA SHERIA HUKO VYUONI .

  • @isaiahmwasonzwe2486
    @isaiahmwasonzwe2486 ปีที่แล้ว

    Nyie ni miamba

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 ปีที่แล้ว

    Together as 1

  • @Mjeda-q1m
    @Mjeda-q1m ปีที่แล้ว

    Hiyo ni aibu kubwa mifumo ya hakijinai kunyanyasa watu na kuwanyima dhamana

  • @yudatadeimdoe9215
    @yudatadeimdoe9215 ปีที่แล้ว +1

    Kiukwel viongoz wetu wa nchi hii ndio wavunja sheria na katiba, na ndio wanaotaka kuvunja amani ya nchi hii

  • @YusuphIsmail-ex7tz
    @YusuphIsmail-ex7tz ปีที่แล้ว

    Namkubal Sana kamanda

  • @zablonnyanda6095
    @zablonnyanda6095 ปีที่แล้ว

    Hata wakikuvua usability ni bure tu?! Wewe ni wakili wa Mubngu pambana na Mungu atakusimamia maana unasema kweli na itakuweka huru

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 ปีที่แล้ว

    Ukiwa hakimu au polis kama utafanya mchezo mbingu unaweza ukawaona majirani zako wanaenda wewe unachezea moto kwa uonevu uliowafanyia watu.

  • @irovyairovya2333
    @irovyairovya2333 ปีที่แล้ว +1

    Yani mi nanunuaga bando saabu ya mwabukusi tu