WAZIRI AWESO AMUUMBUA MKURUGENZI MOROWASA, AMSIKILIZISHA SAUTI ZAKE - "UNATAKA KUUA, WEWE ISRAEL?"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2024
- WAZIRI AWESO AMUUMBUA MKURUGENZI MOROWASA, AMSIKILIZISHA SAUTI ZAKE - "UNATAKA KUUA, WEWE ISRAEL?"
WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso, ameagiza kusimamishwa kazi kwa mkurugenzi wa mamlaka ya maji Morogoro (Moruwasa) kutokana na tuhuma mbalimbali zinazomkabili.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Press on waziri
waziri wetu unachapa kazi hongera sana sisi mkoa wa kilimanjaro kijini cha kilindini chini hatupati maji ni pakame sana lwengini kijiji hichichi wanapata maji tunakuombautusaindiehatusikilizwi kamwetutakufa na kiu
Safi sana wazili
Hatari sana uweso Una kazi kwenye. idara ya maji. Hao watu. Ni wapigaji haswa. Sukuma ndani
Daah!!! Samia Ana kazi kubwa na hawa watu.
Achaaa ndugu yangu sio kazi ndugu ni masugu Hawa ni hatari Yani hata sielewi haya lini yataisha
Mie netangwa Fikiri Omary Makengwa nekala walaya ya kirindi tanga kijiji kwamba kitongoji Kingo chan'gombe
Yaan Moro maji shida sn;..wananchi tunapata shida kwaajili ya viongoz km hawa ambao hawaelewi dhamana walizopewa.
Duuuh, hizi tuhuma nzito sana kuliko kichwa cha habari chenyewe.
Mwekazi weye uvyedi vidala waidamanya kaziyako vyedi nagamba gongelayako mgosi mie nivyo huunga ivyo kazi yako waidamanyavyedigaa
waziri aweso jitahidi kufanya kazi kwauwezowako wote wizara yamaji kuna madudu mengi sana chapa kazi
Ila hii dunia ngumu nyie kuna siku tutaamka asubuhi tusiikute walahi
piga kazi waziri
Kihonda Yespa maji ni shiida tunapewa ahadi tu
Mmmh
Asiee daaa napata asira sanaaa
Bro AWESO piga kazi wabongo tunaona na kuheshimu kazi zako kwa faida ya TAIFA
Mbn kipind upo naibu waziri enz za magufuli ulikuwa unafanya kz vzr Sanaa asa iv upo waziri umekuwa mpore sana
Aweso weye wetangigwa mgosi kindedindedi uvyedi vidala mgosi
MORUWASA MUNGU ANAWAONA, AREA 5 MIEZI MINNE HATUNA MAJI NIMELALAMIKA SN NA WAKO KIMYA
Hiyo misura yao hapo unaiona hasaa imekalia kiwizi wizi tu
Duuh!! Viongozi wa hivyo wanarudisha nyuma juhudi za viongozi wapenda maendeleo na kuwakosesha huduma wananchi
Sasa uyo unampa siasa yanini aweso.amekuzingua nawe mzingue akuna kurogwa hapo
😳duuuh
hiv nchi hii kuna mtu ali rushwa kwa wenye nafas zao serikalini?
MHE aweso mlinde sana huyo kijana watamuua kweli
Simon Ngonyani ameguswa!!! Aisee kweli hii ni Awamu ya 6. Huyo jamaa ni kigogo mkubwa Morogoro nzima.
Mlimuondoa Mkurugenzi aliyepita kwa hila, hila hizo sasa zinawatafuna wenyewe. Mrudisheni Mkurugenzi Angumbwike Nicolaus apige kazi
Shida wanaendekeza majungu...wanatoa watendaji wazuri...wanaweka wanao wataka wao. Haya ndio madhara yake. Wanaanza kusutana wenyewe.
Duuh bado kuna kazi kubwa inapaswa kufanywa
RC wa Moro nae hafai kabsaaa,kairudisha nyuma Moro.
Uweso kazi yako bado sana, mbarawa ndo alikuwa anaweza
Sidhani hawa watu wa maji ni majambazi maana hata mbarawa walimshinda Hayate alikua kila siku anamkemea Mbarawa
Mbalawa hakua na lolote...
jAMANI jAMANI ACHENI UONGO HUYU HAKUWA MKURUGENZI NI MFANYAKAZI WA CHINI NAOMBA MUOMBE RADHI KWA KUPOTOSHA WANANCHI
😲🤭
Piga kaz Aweso
jpm hayupo tena mnafanya mnavyotaka
Huyu mkurugenz na tim yake hakika wamejaa usheitwan wa hali ya juu. Mpaka kutaka kutoa ROHO ya binaadam mwenziwe daah
😂
MAOMBI NA VILIO VYA WATU MUNGU AMESIKIA. WANATUTUSA SANA...
AREA 5 HAKUNA MAJI
hUYU HAKUWA MKURUGENZI WALA MKURUGENZI HAYUPO HAPO HAO WOTE NI WAFANYAKAZI TU JMN
Mungo Ako na wewe
Sijui tumerogwa na nani kila sehemu upigaji tu huduma hazipatikani. Waziri usiumize kichwa wewe sio hakimu kamata peleka mahakamani
Waziri mwendo ni huohuo tuu hao jamaa hawana huruma na watu wao wapigaji sana. Huo ni ubinafsi usiotakiwa wapishe kabisa
ndo tatizo la kuwatoa huku na kuwapeleka huku,why? fukuza straight away huyo..hamna cha kupangiwa kazi nyingine? mnawalea wenyewe viungu mtu hivyo..
Think before you talk