NDANI ya JUMBA la KIFAHARI la MULOKOZI - TV ya MILIONI 60 - GYM na CHUMBA cha HADHI ya RAIS...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2024
  • NDANI ya JUMBA la KIFAHARI la MULOKOZI - TV ya MILIONI 60 - GYM na CHUMBA cha HADHI ya RAIS...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 186

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  4 หลายเดือนก่อน

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @christiancalvin2183
    @christiancalvin2183 4 หลายเดือนก่อน +6

    Good inspiration, sio kila tajiri anakubali kukupa access ya maisha yake.. Abarikiwe sana tajiri

  • @janeturio7414
    @janeturio7414 20 วันที่ผ่านมา

    OMG OMG hongera sana umejitengeneza kisawasawa kkkkkkkk ni Mungu tu anapopita kubariki wengine anibarikie na mieeeee nakuonea raha sana bro nikipata nafasi nitakuja kukutembelea hapo kwa Royalty yako. Hallelujah Amen 👏👏👏🎊🎊

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 4 หลายเดือนก่อน +9

    Mungu atupe na sisi 🤲🤲

  • @chedielimrutu6955
    @chedielimrutu6955 4 หลายเดือนก่อน +6

    Hongera sana umeiheshimisha Babati kwakweli umetisha.

    • @user-xt3zz7uj4g
      @user-xt3zz7uj4g 3 หลายเดือนก่อน

      Hii nyumba ipo Babat sehem gan

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 4 หลายเดือนก่อน +3

    Astahilie pongezi apatiwe pongezi zake. Hongera sana kutupatia motisha na hamasa hasa kwa wale wapendao maisha ya viwango.

  • @user-lo6rw3ic7v
    @user-lo6rw3ic7v 4 หลายเดือนก่อน +9

    Nimekufurajia jinsi ulivyo humble, usiache kutoa zaka.ili Mungu aweke ulinzi Kwa Mali na afya yako.

  • @ediththom8862
    @ediththom8862 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu nakushukuru kwa hichi kidogo ulichonijalia, na pia nakuomba unijalie my dream house

  • @gindamaster1784
    @gindamaster1784 4 หลายเดือนก่อน +1

    Am inspired

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 4 หลายเดือนก่อน +4

    Nitatafuta pesa kwa bidii ili na mimi niwe na vitu vizuri.Mungu nisaidie

  • @stevenclaud6648
    @stevenclaud6648 4 หลายเดือนก่อน +3

    Ndoto ya kila anayepambana katka maisha hongera boss

  • @johnwillingstone3121
    @johnwillingstone3121 4 หลายเดือนก่อน +2

    Halafu muhuni wala hana maringo, yuko so simple hana habari, safi sana

  • @loiswahindi3353
    @loiswahindi3353 3 หลายเดือนก่อน

    Upo vizuri kaka, nimependa Kwa kuwa muwazi Ki hivyo. Nimejifuza Kwa kiasi kikubwa. Nami nimeshajaribu kuanzisha biashara mara nyingi Bila mafanikio, Sasa naanza Tena. Big up

  • @maribaisack2097
    @maribaisack2097 4 หลายเดือนก่อน

    Dah hongera sana sana

  • @iddyhassani2219
    @iddyhassani2219 4 หลายเดือนก่อน +4

    Amissi kigundu from uganda uyo nikufuru ss

    • @ugreatinternationaltz
      @ugreatinternationaltz 4 หลายเดือนก่อน

      Hamis kiggundu ...thamani ya nyumba yake ni $ 30 Mln ... yule ni cent-milionare mwenye networth $800 million

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 4 หลายเดือนก่อน +1

    God bless 🙏🏻

  • @gloriamsaki9109
    @gloriamsaki9109 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 4 หลายเดือนก่อน +2

    Bei ya TV imezidi mafao yangu ya miaka 37
    Jamani 🤔🤔🤔🤔🤔

  • @user-qm2wl4pq4u
    @user-qm2wl4pq4u 3 หลายเดือนก่อน

    good brother, God bless you

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 4 หลายเดือนก่อน +3

    Haya maisha hayan usaw kabisa kuna watu wanaishi jamn

  • @flm1530
    @flm1530 4 หลายเดือนก่อน +10

    Nawaza mbinguni itakuweje af ni uzima wa milele

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 4 หลายเดือนก่อน

      Umewaza kama Mimi 😂😂😂😂

    • @PdidSule
      @PdidSule 4 หลายเดือนก่อน

      Kuna maandalizi na huko tujiandae tusikose kite duniani na huko

  • @mrdesigner_2024
    @mrdesigner_2024 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kwenye pongezi toa pongezi,,na tuombeane Mema....Kuna masikini wengi umu😅,, wengine wanaumia wanajifanya sijui kifo, sijui mautiii,,mara usitutishe,,maneno mengiii😅Hizo zote ni ishara za umaskini na Wivu,,Tutafute hela na si tuishiii😊,,
    Pongezi sana kwa tajiri asiye na maringo mjini,
    Mungu akupe maisha marefu,,We call him new Rich in Town 🥰

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hatarii

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nyumba kali sana.Ila cameraman ajiongeze kidogo.

  • @adelaidabayyo1840
    @adelaidabayyo1840 2 หลายเดือนก่อน

    Afu haringi! Mengine yakinunua IST maji tu hatunywi😂

  • @tediusmakwara3931
    @tediusmakwara3931 4 หลายเดือนก่อน

    very cute

  • @nesymichael4286
    @nesymichael4286 4 หลายเดือนก่อน +3

    Afuuu halingii jamani

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hata halingi yupo simple sana😂😂😂😂😂

  • @emmanuelmwangosi9400
    @emmanuelmwangosi9400 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera Mulokozi

  • @adelinemanongi5999
    @adelinemanongi5999 3 หลายเดือนก่อน

    Hii nyumba nzuri

  • @atuganilemsomba3028
    @atuganilemsomba3028 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli utajiri hauzoeleki sa mbona ka tajiri mwenyewe anashangaa mavitu yake makali

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 4 หลายเดือนก่อน +4

    Kuna maisha mazuri zaidi ya haya huko mbinguni pia shukuru Kwa kile ulicho nacho mungu atakuongezea haya yote niya dunia tu na yanapita 😊😊

    • @davidmwita139
      @davidmwita139 4 หลายเดือนก่อน +1

      Acha izo kuwa inspired tafuta hela

    • @Chettymlambalipsi-lb9km
      @Chettymlambalipsi-lb9km 4 หลายเดือนก่อน +1

      @@davidmwita139 pesa sio kila kitu Ili uone mbingu unahitaji kuwa na mambo muhimu hapa Duniani Elimu,kula,malazi hayo mengine niya shetani.kula Chuma hicho 😋😋😂😂

    • @emmanueljoseph3815
      @emmanueljoseph3815 4 หลายเดือนก่อน

      acha hale vyake maana ata uko mbiguni atupajui 🏃🏃

    • @Chettymlambalipsi-lb9km
      @Chettymlambalipsi-lb9km 4 หลายเดือนก่อน

      @@emmanueljoseph3815 utapajua siku ukifa alafu wakati huo unateseka Huku mwili wako ukiwa mweusi tii zaidi ya masinzi Huku ndimi zako zimekutoka saizi ya kifuani

  • @kemmymugele350
    @kemmymugele350 4 หลายเดือนก่อน +2

    Duuh watu wako na pesa bana😮😮😮

  • @mohamedmahmudali9346
    @mohamedmahmudali9346 4 หลายเดือนก่อน

    Maisha ni mtihani tu ukiwa tajir mtihani,ukiwa maskini ni mtihani zaidi tusimameni na Ibada, Kwa Mtu ambaye amehafilika na ulimwengu na akamsahau Mungu ataona mambo makubwa sana haya ,,Mungu humpa amtakae..

  • @subiradaud711
    @subiradaud711 4 หลายเดือนก่อน

    Nimefurahi sana kusikia chumba cha mwanangu joyce

  • @glorychristopher7283
    @glorychristopher7283 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe kaka nimepanda maisha.yako.naomba uniajiri plss

  • @sylvestercharles3585
    @sylvestercharles3585 4 หลายเดือนก่อน +5

    Kuna watu wana nyumba mpaka wachawi wanaona aibu kwenda kuwanga😁😁😁

    • @najalinanyambo3971
      @najalinanyambo3971 4 หลายเดือนก่อน +1

      Wanaanzaje kwanza kwenda watapotea humo😅😅

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 4 หลายเดือนก่อน

      Si wanafuata mtu anaemhitajia nyumba hawezi kuipata huyo mchawi

    • @mcback4384
      @mcback4384 4 หลายเดือนก่อน +1

      Serikali ya wachawi hawawezi kuachia wanga waingie hapo bila kutoa visa

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 4 หลายเดือนก่อน

      @@mcback4384 Hiyo mpya sana 😂😂 na visa tena ?

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@mcback4384😂😂😂😂😂😂😂

  • @nickylyanga2139
    @nickylyanga2139 4 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana ...japo umetunja mwandishi ...hujapitia kwenye paking bana ...any way next time ...jifunze kwa produse Michael USA 😅😅😅😅😂

  • @user-xv7qp1yl8s
    @user-xv7qp1yl8s 3 หลายเดือนก่อน

    Huyo Joyce huyo Nina jambo name,,,,🎉

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 4 หลายเดือนก่อน

    Maajabu ya hiyo nyumba yapo zaid kwenye facilities za ndani na mandhari ya nnje ya nyumba ila muundo kwa maana ya muonekano wa nyumba yenyewe naona kama wa kawaida hvi.. ila ni ni inspiration sana kwa wapambanaji 👏 👏

  • @emmanuellomnyak
    @emmanuellomnyak 4 หลายเดือนก่อน

    hilo ni somo tosha kwa wale vimbelembele wa kuonesha vtu vyako kuna watu kama kina MULOKOZI
    wana hatari sana
    mkuu MULOKOZI umetisha sana
    nakubali sana kwa TANZANIA UPO KATIKA WATU.

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 3 หลายเดือนก่อน

    Ninapata wivu unaonisukuma kupambana zaidi hata kwa hichi nilichonacho. Ninaamini katika Mungu na katika kazi nitafanikiwa na nitafikia kila lengo langu jema ambalo Mungu amekusudia katika maisha yangu. 😊😊

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ukiwanazo zitumie maisha mafupi

  • @shikushyamunissy9723
    @shikushyamunissy9723 3 หลายเดือนก่อน

    kila kitu cha mulokoz ni kama ninavyowaza kasoro ni kwenye viwanda tuu yan

  • @rogerorio912
    @rogerorio912 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tuanze kuandaa CV za kuomba kazi ya kuwa CEO wa hiko kiwanda cha Dawa 😅😂

  • @MagrethMussa-hm3qm
    @MagrethMussa-hm3qm 3 หลายเดือนก่อน

    Kama hotel furani hivi 🙌

  • @redtk2971
    @redtk2971 4 หลายเดือนก่อน +2

    Masikini ni nani? Masikini ni yule anaewazia kifo kumuona mtu ana maisha haya wakati hata yeye anakesha kumuomba mungu ampe maisha kama haya binadamu sisi comedy sana😅

  • @afyayako1053
    @afyayako1053 4 หลายเดือนก่อน +2

    Afu kuna mtu kajenga kisima juu ya nyumba yake akapiga kelele wiki nzima

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona tajir humble vile kama mtaftaj wa kawaida vile anasema kabisa ngoja kuwashie TV😂😂😂

  • @richytarimo4656
    @richytarimo4656 4 หลายเดือนก่อน +1

    nyumba ya diamondi haifui dafu hapo,,,, jamaa kapambana aisee

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 4 หลายเดือนก่อน +2

    msituchoshe bwana na hizi nyumba za kujenga ukuta then mnagawa vyumba na kuweka vioo. Nendeni Mwanza muone yule msichana anaishi Italy amejenga nyumba mpaka utasema mimi mbona mungu ananionea.

    • @queenmilan2024
      @queenmilan2024 4 หลายเดือนก่อน

      Nendeni mkamuhoji huyo msichana maana ni doctor hapa Italy. ana miaka 35 nadhani amani mimi nataka nizae watoto wa kike

    • @mcback4384
      @mcback4384 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@queenmilan2024interview yake ipo wapi?

  • @atuganilemsomba3028
    @atuganilemsomba3028 4 หลายเดือนก่อน

    Kweli utajiri hauzoeleki

  • @Kulindwa
    @Kulindwa 3 หลายเดือนก่อน

    Nyumba ya sh 60m haiwezi kuwa hivi maana ingekuwa nyumba ya kawaida sana...inachekesha

  • @drazzadrazza4165
    @drazzadrazza4165 4 หลายเดือนก่อน +19

    Duh nyumba ya jamaa imenifanga nimuone mwijaku amejenga dampo la kuhifadhia taka🤣🤣🤣🤣 maisha bhana.

    • @user-mb2ek2ds1h
      @user-mb2ek2ds1h 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @bablyshah2745
      @bablyshah2745 4 หลายเดือนก่อน +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @maisalakaitaba8775
      @maisalakaitaba8775 4 หลายเดือนก่อน +1

      🤣🤣🤣🤣

    • @queenmilan2024
      @queenmilan2024 4 หลายเดือนก่อน

      Hapa Italy Ana villa kubwa Kwa lake Como.

    • @Kaizirege
      @Kaizirege 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@queenmilan2024we acha masihara 😮

  • @nwntz
    @nwntz 4 หลายเดือนก่อน

    One point i take brother give me 5yrs

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 4 หลายเดือนก่อน +1

    Anaesema binadam tuko sawa uyo nichizi

  • @simonkaaya1220
    @simonkaaya1220 4 หลายเดือนก่อน

    Nimeiyelewa.

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 4 หลายเดือนก่อน

    Bei ya Tv inanitisha

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe7284 4 หลายเดือนก่อน

    Yaniii mwandishi wa habarii umenifuraisha umejikuta umelemewa na maswali

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hio nyumba ndan ndio mbwembwe lkn ninyumba ya garama nafuu tu

    • @Happy-ef9kf
      @Happy-ef9kf 4 หลายเดือนก่อน

      Kajengeee

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 4 หลายเดือนก่อน

    Ss ulileta waandsh wann 17:11

  • @SophiaTafuna
    @SophiaTafuna 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi huyu kaka ndugu yake na Alen?

  • @TysonPhilip-io8bc
    @TysonPhilip-io8bc 4 หลายเดือนก่อน

    The boss is dealing with medicine & minerals so don't joke with him 😂😂

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 4 หลายเดือนก่อน

    Mmmmmm hatar na nusu, sas hapo kati ya Mwijaku na huyu nani mhaya😂😂

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 4 หลายเดือนก่อน

    Yani Huyu dada ni Mdogo ila hapa Milano ni doctor Ana pesa nyingi

  • @naomipieter4627
    @naomipieter4627 4 หลายเดือนก่อน +2

    Tusaidieni sisi wajane tunawaomba😢

  • @saidibanda8347
    @saidibanda8347 4 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wanaishi

    • @adaboychibu1659
      @adaboychibu1659 4 หลายเดือนก่อน

      Na wanaishia vile vile!

  • @ZubedaJamuhuri
    @ZubedaJamuhuri 3 หลายเดือนก่อน

    Camera man sijamuelewa hatembez Camera anamchukua muhusika tu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 4 หลายเดือนก่อน +1

    Baba pesa unayo mungu akubariki sana

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 4 หลายเดือนก่อน +8

    Ukifikiria kuwa mwisho wa life kama hili ni kifo unachoka kabisaaa

    • @Nadhifasaid-1654
      @Nadhifasaid-1654 4 หลายเดือนก่อน +3

      Yaan wewe umewaza kama mimi maana tunatakiwa tujiandalie na maisha ya Duniani na maisha ya akhera

    • @lujuomjanja2866
      @lujuomjanja2866 4 หลายเดือนก่อน +1

      kweli kabisa yaani haina lolote ni makazi tu na utakuta hata yeye mwenyewe izo sehemu mwisho wake ni kuwaonyesha watu tu wakija lakini yeye hazitumii kazi sana kwa kweli

    • @johnzege209
      @johnzege209 4 หลายเดือนก่อน +6

      Masikini ndio mawazo yake haya, kwani umeambiwa ukiwa na Hela ndio Moja kwa Moja una dhambi? Baki na umasikini wako

    • @mbanga6759
      @mbanga6759 4 หลายเดือนก่อน

      Kafa huyu sindiyo walikuaga na ugomvi mange kimambi alikufa gafla km ndo yeyey lakini

    • @user-gi5fv2hz7b
      @user-gi5fv2hz7b 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@johnzege209hakika kaka maskinii hufikilia kushndwa tu

  • @dorislema2465
    @dorislema2465 3 หลายเดือนก่อน

    iyo nyumba ukiona kwa nje unaweza usiielewe,,bhana wee uko ndani ni balaa.watu wanaishi pazur jmn

  • @user-yh6mq4ds1m
    @user-yh6mq4ds1m 4 หลายเดือนก่อน +1

    Dc wa insta akiona apa ache kelele

  • @byeramwombeki
    @byeramwombeki 4 หลายเดือนก่อน +1

    huyu ni mwanaume 💪🏾💪🏾

  • @asalitv8810
    @asalitv8810 4 หลายเดือนก่อน

    Hapa hakuna camera man mmepigwa

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mwijakuuu njooooo hukuuuu kuna jambo

  • @user-wy7cd5ue7y
    @user-wy7cd5ue7y 4 หลายเดือนก่อน

    Mwamba tunahaki ya kumpa maua yake ameupiga mwingi 👊👊

  • @gonsalvamswaga6471
    @gonsalvamswaga6471 3 หลายเดือนก่อน

    Tutafute hela sijui wapi na sisi

  • @peektvonline7244
    @peektvonline7244 3 หลายเดือนก่อน

    Tv milioni 60😂😂 duuh bora ninunue zangu hier ya milion mbili

  • @MAPETEE
    @MAPETEE 4 หลายเดือนก่อน

    Mwajika VP kibanda chako kipo 😂

  • @fintanifelix1680
    @fintanifelix1680 4 หลายเดือนก่อน

    Inye ninshaba akalimo tata ndasima

  • @EddazariaMsulwa
    @EddazariaMsulwa 4 หลายเดือนก่อน

    PESA HAIJIFICHI VIJANA TUSAKE PESA

  • @user-ir8on9hj3s
    @user-ir8on9hj3s 4 หลายเดือนก่อน

    Murokazi nimzariwapi

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 4 หลายเดือนก่อน

    Mliosema hamnywi pombe mnajenga😂😂 nasubr nyumba zenu😂

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 4 หลายเดือนก่อน

    Acheni ujinga wahandishi wa habari wa Tanzania hii sio nyumba ya kifahari bhana mtasababisha majirani waanze kutushambulia tena, kule Zanzibar kwa bakheresa ndio kuna inayostahiri kujadiliwa cha ajabu wala hamkuenda, narudia hii sio nyumba ya inayostahiri kuwa gumzo

  • @allenmwambuch3689
    @allenmwambuch3689 4 หลายเดือนก่อน

    Kuna watu wanaishi na Kuna akina sisi sasa😂😂😂😂😂

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 4 หลายเดือนก่อน

      Wanaishi duniani,sisi tunakaa duniani 😂😂😂😂

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe7284 4 หลายเดือนก่อน

    Mwandishi vipi ninasikia tuu uuu

  • @shadrackdeogratius6760
    @shadrackdeogratius6760 3 หลายเดือนก่อน

    Why mkurugenzi atoke nje? Hatuthaminiani wazawa?😮😮😮

    • @virosegg7712
      @virosegg7712 3 หลายเดือนก่อน

      Wa nje wanaaminika. Mtanzania wapo wachache sana waaminifu wengine atakufilisi mpaka ubaki majengo tu na yeye aanzishe chake.

  • @sabinaluyego4408
    @sabinaluyego4408 4 หลายเดือนก่อน +1

    MUNGU AWABARIKI WANAUME WOTE ambao wakifanikiwa wanawaza kuwatengenezea familia zao furaha na si kuwapa machungu Kwa kuwaza kuongeza wanawake

    • @gwajimagwajima
      @gwajimagwajima 4 หลายเดือนก่อน

      Umejuwaje kama hana😮

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 4 หลายเดือนก่อน

    Pesa zinazojenga nyumba kama hi, sio hizi tunazo tafuta! Elewa na uamini! Sio hizi tunazotafuta!

    • @user-po7ho6so7v
      @user-po7ho6so7v 3 หลายเดือนก่อน

      Kaka ni kweli pesa za kujenga sio hizi tunazo tafuta ,kwasasaivi bila kujiunga na mtandao bado hujawa mtu ban

  • @muchunofrank1326
    @muchunofrank1326 4 หลายเดือนก่อน

    Vizuri sana, na jambo zuri zaidi amefanya hilo katika mji mdogo wa Babati

  • @Happy-ef9kf
    @Happy-ef9kf 4 หลายเดือนก่อน

    Naomba niwe mfanyakaz wako jmn 😂😂

  • @subiradaud711
    @subiradaud711 4 หลายเดือนก่อน

    Nakuaminia shem hiyo ndio ilikua ndoto yako

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 4 หลายเดือนก่อน

    Kama ya Mwijaku!

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kama ya mwijaku

    • @oswaldtemba2770
      @oswaldtemba2770 4 หลายเดือนก่อน

      Shida huyo rafiki yako anaponda nyumba za wenzie

  • @user-ts5bu7os5d
    @user-ts5bu7os5d 4 หลายเดือนก่อน +1

    Masikini mwijaku 😂😂😂😂😂

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @salcle9702
    @salcle9702 4 หลายเดือนก่อน

    Jengeni nyumba kwa mapana zaidi kama huyu jamaa siyo kukimbilia viwanja vya 15 kwa 30.

  • @musokedios8162
    @musokedios8162 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ila Mungu ni kiboko vyoooooote mwisho ni mauti haiangalii jamani

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 4 หลายเดือนก่อน

    Nyumba kama hii zinapatikana ulaya na marekani alafu zinamilikiwa na watu matajiri wa Dunia kama wakina billget na benzos nk

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 4 หลายเดือนก่อน

    Msiokua na Hela usiseme unaenda kulala SEMA naenda kuegesha kama gari tu unaegesha popote

  • @dicksonlaurean1614
    @dicksonlaurean1614 3 หลายเดือนก่อน

    Mulokozi,umeupiga mwingi ,owamawe,omukama akubele