KESI YA MPANGAJI ALIYEGOMA KULIPA KODI KWA MIAKA MINNE YAFIKA KWA RC MAKONDA ARUSHA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 พ.ค. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►TH-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

ความคิดเห็น • 18

  • @jahululamasunga
    @jahululamasunga 15 วันที่ผ่านมา +3

    RC Makonda upo sawa big up

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 13 วันที่ผ่านมา +1

    Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante

  • @nasibumontana9379
    @nasibumontana9379 16 วันที่ผ่านมา +5

    Mh.Rais akipata kiongozi kama Makonda hii nchi itanyooka mno mno hakika mama anamtazamo wa mbali bas tu baadhi ya viongozi wanamuangusha mama yetu na kuwafanya wananchi kuwa wanyonge kumbe baadhi ya wachache tu kwenda kinyume na mama

  • @justerissaya9165
    @justerissaya9165 6 วันที่ผ่านมา

    Angalia watu wanavyoteseka na watumishi wapo ! Alafu mtumishi akikosolewa eti kadhalilishwa mungu anawaona😱😱😱😱

  • @aloycelucas1823
    @aloycelucas1823 16 วันที่ผ่านมา +4

    Tanga tuna changamoto nyingi ikiwemo kesi yetu ya YOHANA MBAZI CHAMSHAMA na wenzake 16 dhidi ya TANGA cement ya mwaka 1998 ambapo 16/03/2021 ilitolewa hukumu na mahakama kuu na kutupatia ushindi. Muda wa rufaa ukapita nasi tukakazia hukumu, lakini baadae tunaambiwa hati ya kukazia hukumu inaondolewa mdaiwa amekata rufaa, hebu fikiria toka tar 16/03/2021 mpaka tar 24/04/2024 kesi inasomwa ili kuondoa hati yakikazia hukumu ili rufaa ya mdaiwa yaani TANGA cement isikilizwe kwa tarehe isiyojulikana, na tangu kesi hii imeanza hadi leo ni miaka 26 na wengi wetu wamekufa. Hivi tumpelekee nani malalamiko yetu atushughulikie ili angalau haki hii iliyocheleweshwa tuipate!!?

  • @stellamokiwa2025
    @stellamokiwa2025 13 วันที่ผ่านมา

    Umependeza sana Makonda....umenunua wap t-shirt na kofia ya Jesus

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 9 วันที่ผ่านมา

    Kuna watu wala hawajari kbc kazi yao kula mali za watu kuiba mali za watu zuluma kwao ndio msingi wao

  • @LovenessFedrick-cy9fh
    @LovenessFedrick-cy9fh วันที่ผ่านมา

    Hana hata aibu huyo dada unatumia nyumba ya watu alafu unatamba nayo kama yako

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 9 วันที่ผ่านมา

    Mahakama iwe makini sana inatisha

  • @maneno_kairuki
    @maneno_kairuki 16 วันที่ผ่านมา +1

    Wanasheria wa jiji hawajielewi anaongea vitu havieleweki

  • @kulwankuba2785
    @kulwankuba2785 12 วันที่ผ่านมา

    Yaani nyie wa arusha mmepata bahati kubwa Sana.huyu kaka yangu natamani arudi kwetu usukumani,maana hata huku migogoro kama yote.

  • @user-gn1io8tu8h
    @user-gn1io8tu8h 16 วันที่ผ่านมา

    Huyu mwamba bado tunahitaj kumtumia

  • @hamadrehani9957
    @hamadrehani9957 15 วันที่ผ่านมา

    Simba na dodoma

  • @user-qj6dz9yb3r
    @user-qj6dz9yb3r 15 วันที่ผ่านมา

    Hivi unadhulumuje mali ya hao akinadada mwanaume mzima

    • @josephdimosso6380
      @josephdimosso6380 9 วันที่ผ่านมา

      Matajiri wengi ni matapeli hahaha na ndo principles za maisha ya kwenda juu

  • @elisbegaelias163
    @elisbegaelias163 16 วันที่ผ่านมา

    Raisi alikosea sana angemleta mkoa wa mara huyu makonda

    • @MeckitilidaTushabe-or9hu
      @MeckitilidaTushabe-or9hu 14 วันที่ผ่านมา

      Aseee hajakosea jaman

    • @joyce55727
      @joyce55727 12 วันที่ผ่านมา

      Mara na Arusha ni wale wale maana vita iliopo mara ndio vita iliyopo Arusha 😁😁