NI NOMA: MAKONDA AWATOA KIJASHO VIGOGO WA SERIKALI; AITWA MKOMBOZI WA ULIMWENGU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
- NI NOMA: MAKONDA AWATOA KIJASHO VIGOGO WA SERIKALI; AITWA MKOMBOZI WA ULIMWENGU
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe Paul Mkonda amefanya ziara ya kusikiliza na kutatua kero za Wananchi Mkoani humo; ambapo aliwaita viongozi na kutoa majibu mbele ya kero hizo mbele ya Wananchi hatua ambayo imepelekea mmoja wa Wananchi kumuita Mkombozi wa walimwengu..
Zaburi 74:20-21
20 Ulitafakari agano; Maana mahali penye giza katika nchi Pamejaa makao ya ukatili. 21 Aliyeonewa asirejee ametiwa haya, Mnyonge na mhitaji na walisifu jina lako.
Hongera sana Mheshimiwa Paul Makonda kwa kusimamia haki za wanyonge na wanaokandamizwa.
Haya maneno ya mwisho ya huyu mama yana ngumvu in the spirit
Hongera sana mungu akulinde na hakuna atakae kugusa una hski zote nasema hivi magufuli huko anakuombea
Twende Arusha tukaone ekima ya salemani ndani ya makonda
Hii ndo nchi yetu watu wanajali tu matumbo Yao sijui huko juu Mungu wanaenda kumwambia nini
Yaaani
Dk rais samia suluhu hassani nakuomba umlete Paulo c makonda mkoa Kilimanjaro awe MKUU wetu wa mkoa Kilimanjaro huyo ni komredi na ni kamanda
Ongera sana mheshimiwa makonda😊😊😅😊
Blaza makondo ww n mtu na nusu ukitaka kugombe urais hata kesho unachukuw nchi
😢😅😢
Natamani makonda Aje morogoro
Samia tunaomba umteue na all happy naye yupo vzuli wakiwashe
Tunakuombea maisha marefu
Kweli ccm inazurum watu kwani makonda chamagani? Ccm mtakiota kwamakonda dawa yeni inachemka
Mimi Nauliza hawa Viongozi mbona hawafanyi kazi ipasavyvo yaani unashinda kesi alafu unakuwa kama umeshindwa yaani kama Mandonga Nikipigwa kama Nimepiga tunaelekea Wapi Jamani
MAKONDA ni jembe MUNGU akulinde na akupe maisha marefu
Duu
Makonda hiyo no arusha pekee, je? Tanzania nzima pakoje? Matajiri wananyanyasa sana masikini aise? Yaani hii nchi inahitaji kinamakonda wengi sana.
Kama alikutumia txt kua anaenda hospital kwanini umemuita?
Huyu jamaa anafaa kuwa jaji
Hongera mkuu makonda