Jinsi Ya Kuwa Na Furaha Kila Siku - Joel Nanauka

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 189

  • @asiahmariam3942
    @asiahmariam3942 5 ปีที่แล้ว +8

    Huyu mkaka kwa kweli kila siku namuombea dua Mungu ambariki kwa kila anachokifanya. Maneno yake yalinisaidia sana kuweza kupamba na stress kipindi hicho nilikua nimeathirika sana na msongo wa mawazo,, Mungu akupe kila hitaji la moyo wako kaka angu

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว +2

      Asiah Mariam Ameen nashukuru sana kwa kuendelea kuniombea kila siku

    • @hemedhajikiumba
      @hemedhajikiumba ปีที่แล้ว

      Mimi bwana naona mambo yananizidi kaka Kila ninalofanya halitimii mpaka sipati usingizi vzr nifanyaje kaka nisaidie

  • @ussycharugamba7623
    @ussycharugamba7623 3 ปีที่แล้ว +1

    Ujazo wa roho mtakatifu unaleta furaha ya kweli.tunda la roho

  • @joycelaizer4600
    @joycelaizer4600 5 ปีที่แล้ว +5

    Kaka Joel nanauka Mungu akubariki na akupe maisha marefu uzidi kuwasaidia na wengine.. Naomba kuonana na wewe Kaka cjui ntakupataje..

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      Joyce Laizer Amee Joyce karibu sana,tuwasiliane 0756-094875

  • @DottoAmon-bs2cr
    @DottoAmon-bs2cr 2 หลายเดือนก่อน

    Asante mtaalam nimejifunza kitu nikikosaga pesa furahi nakuwasina nifanyeje Ili nikikosa pesa niwenafuraha

  • @priscardanier8264
    @priscardanier8264 ปีที่แล้ว

    MUNGU azidi kumtunza mama joe make kazaaa mussa anako tutoa ni kugumu Sana juu ya mafundisho yake yanazidi kutuinua upya

  • @frankjohanness2776
    @frankjohanness2776 9 หลายเดือนก่อน

    Naomba unisaidie namna ya kurudisha furaha yangu

  • @AsiaBakary
    @AsiaBakary 8 หลายเดือนก่อน

    Kaka angu mungu akuweke daima maan unatutoa kweny giza na kutupereka kweny mwanga

  • @happinessbitababaje2970
    @happinessbitababaje2970 5 ปีที่แล้ว +12

    Thax bro
    Umeniona maana leo nimesikia taarifa mbaya kuhusu mimi nusu nidate but kupitia somo hil
    Niko vzr now
    Barikiwa bro

  • @abrahammwambije2769
    @abrahammwambije2769 8 หลายเดือนก่อน

    Furaha nikitu mhim sana ktk maisha mda mwingine huwa nina jirazimisha kuitafuta

  • @saeedkakere9975
    @saeedkakere9975 5 ปีที่แล้ว +3

    I learned Something Furaha yangu,mabadiliko yangu na mafanikio yangu yana mchango wako mkubwa sana kaka

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว +1

      Saeed Kakere kabisa saeed huo ndio ukweli wenyewe

    • @saeedkakere9975
      @saeedkakere9975 5 ปีที่แล้ว

      @@joelnanauka Natanani Sana kujifunza mengi kupitia kwako b'coz u are like blood brother to me Moja ya ndoto yangu au moja ya section za safari ya mafanikio yangu ni kukutana na wewe na kuwa karibu sans na wewe kwani you always bring changes in life millions of people hope utasoma hii comment kwa umakin na uhisia wa huruma sana
      0711304521
      my number brother

  • @djafro3416
    @djafro3416 3 ปีที่แล้ว

    Nimejifunza kitu kupitia video i Thanx kaka

  • @michaellubimbi9937
    @michaellubimbi9937 5 ปีที่แล้ว +1

    In fact, uko vzr sana kaka Joel binafs una ni inspire kwa kunifanya nijione mpya daily thank you so much..

  • @cleopatraadolf6492
    @cleopatraadolf6492 3 ปีที่แล้ว

    Asante sana brother, mimi suala la pili na la nne naenda kuvifanyia kaz

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 5 ปีที่แล้ว +4

    Kwa kwel bro Joel
    Inafika muda nashindwa pata neno la kukusifia coz kama ni kusifu tume sifia sana
    Kama ni kupongeza tume pongeza sana
    Ila ipo siku utakuja uone matunda uliyo yapanda katika shamba langu you will see me at the top I promise you bro⭐️⭐️⭐️⭐️⭐️🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇿🇲🇿🇲

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว

      shuback mashinga Ahsante sana Shuback,naamini unaendelea vizuri sana.Nitumie namba yako pia nitapita hapo nikiwa Naenda DRC August tuma kwenye 0756-094875

  • @awamkhalid5361
    @awamkhalid5361 5 ปีที่แล้ว

    Joel identity engineering is most important note usifanye k2 nje ya dhamira yako itakusuta maishan

  • @goliamakilowoko5838
    @goliamakilowoko5838 ปีที่แล้ว

    Ningependa sana ushauri wako vipi kwa yule aliye athirika na michezo ya bahati nasibu

  • @nelsonkashanga5388
    @nelsonkashanga5388 3 ปีที่แล้ว

    Nashukulu Sana kaka mm nko ndan ya mausiano ambayo yanankosesha fulaaha kabsa Ila cjui ntumie njia gan maana mm uwa najihic mpweke kwaiyo naona nkikaa ndan ya mausiano naweza kupata fulaaha lakin naona inakua tofauti Ila ntajitaid kua Cha nashindwa Ila ntajitaid kufuata somo hili ili niwe mmiliki wa fulaaha yangu mwenyewe

  • @samwelimboya8730
    @samwelimboya8730 4 ปีที่แล้ว +3

    You inspire me👏👏👏

  • @HappyBen-fq8fy
    @HappyBen-fq8fy ปีที่แล้ว

    Asante Kaka Mimi huwa nakksa furaha bila sababu

  • @richardvalson9868
    @richardvalson9868 5 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana brother kwa somo lako zuri endelea kutujenga ili tufanikiwe katika maishe yetu

  • @abdulrazackkipingu5437
    @abdulrazackkipingu5437 5 ปีที่แล้ว

    Habari kaka.First of all napenda kukupongeza sana kwa elimu unayoitoa kiukweli imenisaidia kwa kiasi kikubwa sana ktk maisha maisha yangu.ila naomba unisaidie zaidi jinsi ya kupanga bajeti maana kila ninavyo jitahidi lakini nashindwa najikuta bado Niko namipango isiyo endelea asante.

  • @johansenjackson960
    @johansenjackson960 4 ปีที่แล้ว +2

    Thanks br 🙏

  • @keflentito8052
    @keflentito8052 5 ปีที่แล้ว

    Asante kaka yangu, hapo kwenye kufanya kitu ambacho kiko kinyume na dhamira yangu huwa inanitesa sana, umenifungua kaka yangu

  • @edwarddaudi7511
    @edwarddaudi7511 3 ปีที่แล้ว

    Nikweli kuishi nje ya uwadilifu kunapoteza sana furaha ili limekuwa tatizo kweli nipone kwenye eneo hili

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 3 ปีที่แล้ว

    Masomo yako yamenibadirisha sana sana Mungu akazidi kukusimamia kaka Joel

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 4 หลายเดือนก่อน

    Asante sana kaka Joel

  • @ramsheysweetcakes1963
    @ramsheysweetcakes1963 4 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana🙏mimi jamani naamini ntayashinda haya

  • @aizackezekiel9798
    @aizackezekiel9798 5 ปีที่แล้ว

    Nimeipenda sana kingine brother najitahid sana kufanya kitu kwa mwendelezo lakini najikuta nashindwa nafanyaje ili niweze kutoka kwenye hillo tatzo

  • @farajaerasto7044
    @farajaerasto7044 5 ปีที่แล้ว +1

    Thank you so much...Najikuta kuanza n.a. vyote....nmefurah

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 4 ปีที่แล้ว

    Asante sana kaka. Nadhani kwenye point ya stand on ur believe ni dhamiri na siyo dhamira....

  • @mohammedrashid7990
    @mohammedrashid7990 5 ปีที่แล้ว +1

    leo wa 1 kuingia darasani. asante sana kaka .4 kusimamimia ninacho kiamini kwangu ni iko nzuri sana.

  • @jumamasanika6028
    @jumamasanika6028 5 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana kwa somo nzuri utanisaidia je kaka nahitaji ushauri wako

  • @m.biangwamalenso3291
    @m.biangwamalenso3291 5 ปีที่แล้ว +3

    Wow this one is for me thanks to my mother for sharing the link i am going though all the four steps you've mentioned confusion, unworthy, giving up, don't care and doing nothing as you said being an idol
    thanks very much God bless
    I really need help
    idol
    bless you daddy 😉😄😊😍😍😍🙇🙌💪barikiwa sana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว +1

      Maua #Flower Malenso Thanks Maua,you future is very bright.Lets keep on learning.Msalimie sana mama na mwambie nashukuru kwa kushare na wewe

  • @sylvestermagarya5342
    @sylvestermagarya5342 2 ปีที่แล้ว

    Okay thanks nimeelewa

  • @amosyedward1546
    @amosyedward1546 5 ปีที่แล้ว

    Naomba ushauri kaka angu kitu kinacho ninyima furaha n mazingira yangu y kazi,inafika wakati nataka niache kazi,mazingira magumu n uhamisho serikalini umekuwa mgumu sana nakosa raha

  • @sundaymariba360
    @sundaymariba360 5 ปีที่แล้ว

    Asante kaka joeli nimepnda soma lako kiukweli mungu akubariki

  • @evamaro6177
    @evamaro6177 5 ปีที่แล้ว

    Asante kaka kwa ushauri wako
    nitakupataje ili unishauri zaidi

  • @phanuelpaul3785
    @phanuelpaul3785 5 ปีที่แล้ว

    hii ya kusimamia ninachokiamin hasa ndo huwa sometimes inanikosesha amani na furaha but Leo ntaongezea hzo tips zingne ili niweze kuwa stable, #SeeYouAtTheTopToo

  • @marcelinadaffi7685
    @marcelinadaffi7685 5 ปีที่แล้ว

    Asante sana kwa somo zuri kwakweli nimejifunza kitu
    Mungu akujalie afya njema

  • @celynehilary2581
    @celynehilary2581 5 ปีที่แล้ว

    Asante sana Kka yangu nimejifunza kitu

  • @augustinodede7245
    @augustinodede7245 4 ปีที่แล้ว

    Kaka napenda sana masomo yako na amini kuhitaji mini na kujiamini ni siraha tosha

    • @karimujuma74
      @karimujuma74 2 ปีที่แล้ว

      Kaka me ninahufu nasijui ninahofia nn naomba unishaur

  • @mwanaheriomary7333
    @mwanaheriomary7333 5 ปีที่แล้ว

    Yan km unajua ninayopitia, be blessed broo

  • @joycegodfreycharles1828
    @joycegodfreycharles1828 ปีที่แล้ว

    Nimejua funza kitu leo nahisi nilikuwa nimechelewa maana niko kwenye mahusiano lakini nimekuwa ni mtu wa kukosa furaha kila siku mimi ni kulia barikiwa kaka joel

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 5 ปีที่แล้ว

    aiseee huyu kaka MUNGU Anapata heshima,big up Nanauka

  • @josephmbunda1929
    @josephmbunda1929 5 ปีที่แล้ว

    Nashkur sana kaka @joel nanauka kwani nimekuwa nikifanya mambo mengi sana yaliyo kinyume na dhamira yangu, pasipo kujua kama ndio chanzo cha kupoteza furaha yangu, kuna kipindi nlikuwa najikuta najawa na huzuni lkn sikuwa najua kama sababu ni hii ya kufanya mambo kinyume na dhamira(malengo)yangu. #nashkuru sana kwa somo hili na MUNGU andelee kukubariki.

  • @Nadia-sz1ig
    @Nadia-sz1ig 6 หลายเดือนก่อน

    Thank you brother ❤

  • @iscombappe2833
    @iscombappe2833 5 ปีที่แล้ว +1

    Asante saaaana kk maana nimejifuza kitu stand on your believe hapa nimejifuza kitu thanks

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 5 ปีที่แล้ว +1

    Thanks brother for wonderful massage😘😘😁😁

  • @veronamayange7017
    @veronamayange7017 2 ปีที่แล้ว

    Hapo kwenye uimara wa kihisia ni kwa nn nashindwa et jaman

  • @chriss_Cm
    @chriss_Cm 5 ปีที่แล้ว +1

    Safiii kk mungu akubariki

  • @joycejohn3218
    @joycejohn3218 5 ปีที่แล้ว

    Asantee kaka yamenigusa saanaa karibu yote yananihusu

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo6396 5 ปีที่แล้ว +1

    Uko sahihi kabisa Bro pamoja

  • @hamdanamli9249
    @hamdanamli9249 5 ปีที่แล้ว

    Kaka haponakuelewa sana pia nashukuru sana kwa elim na maalifa unayonipatia kilamara maananakufatilia sana
    Ahsante sana mkuu

  • @agathamichael8818
    @agathamichael8818 5 ปีที่แล้ว

    Wow thanks....... mi binafsi naona inabidi nijitafute upya kwanza ndio itakuwa chanzo cha furaha...Be blessed bro

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 3 ปีที่แล้ว

    Mashaallah... Mungu akupe afya

  • @neemaeppah2992
    @neemaeppah2992 4 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sanasanaaaa,

  • @paschalsasagu5610
    @paschalsasagu5610 5 ปีที่แล้ว +2

    Kaka mi nakupongeza tu kwa ubora Wa video zako. Chakula kizuri cha kushiba sharti kiwe ktk sahani safi km hivi. @joelnanauka.

  • @qualitymediaproduction
    @qualitymediaproduction 5 ปีที่แล้ว

    Kaka asante sana mim naitaji namba YAKO mana Na matatzo makubwa Na naitaji msaada wako sana

  • @sumiodilo1180
    @sumiodilo1180 5 ปีที่แล้ว

    Hoja zako zinaeleweka. Asante kwa kutafuna sisi tunameza tu. Usichoke kutafuna kaka. Barikiwa sana.

  • @navegasayi834
    @navegasayi834 2 ปีที่แล้ว

    Kuna wakati unapata furaha Sana lakini baada ya muda unaanza kuumwa Moyo na kuwa na hasira please naomba unisaidie katika hili.

  • @joemouly7877
    @joemouly7877 5 ปีที่แล้ว +2

    Kuwa on the move ni bora.. Every single time we have to prepare our future. ASANTE KAKA. You inspire me so much.

  • @jeremiahoutfits7598
    @jeremiahoutfits7598 4 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sanaa

  • @cymone6159
    @cymone6159 5 ปีที่แล้ว +2

    Kaka umekuwa mwalimu mwema katika maisha yangu na pls jambo hili limekuwa mzigo kwangu cna furaha ya kudum ila ntajitahid kufuata haya uliyotueleza

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 ปีที่แล้ว +1

      Simon Kidamui Ahsante sana Simon,Mungu Akubariki sana

    • @cymone6159
      @cymone6159 5 ปีที่แล้ว

      Amen kaka

  • @angelmushi6569
    @angelmushi6569 4 ปีที่แล้ว

    Asante bro Mungu akutunze

  • @suzanakuyi1518
    @suzanakuyi1518 5 ปีที่แล้ว

    mungu akubariki napata kitu

  • @akshots_tz
    @akshots_tz 5 ปีที่แล้ว

    kuimarika kihisia ni jamb muhimu sana, ahsante bro

  • @janethzefa2808
    @janethzefa2808 5 ปีที่แล้ว

    Thanks nimejifunza kitu

  • @promaokatz
    @promaokatz 5 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana kaka kwa somo la Leo mimi nanza na point no 4 stand on what u believe

  • @upendofrank4917
    @upendofrank4917 4 ปีที่แล้ว

    Asante kaka kwa Somo zuri love

  • @mwanaidhassan229
    @mwanaidhassan229 3 ปีที่แล้ว

    Nikikuhitaj ki ofisi nakupataje

  • @mnazareti
    @mnazareti 5 ปีที่แล้ว +1

    Emotional Stability hio litu imenigusa sana, Identify re-engineering nilikuwa naifanya pasipo kujijua kwa maelekezo ya Biblia yan umenibariki sana.

  • @amainamaro488
    @amainamaro488 2 ปีที่แล้ว

    Kaka mm nimetawaliwa na isia Sana nikimpenda mtu naumizwa nashindwa kufanya kitu chochote kile atakula sili nashinda nikilia na lala nikilia

  • @zuhuraabdillah6941
    @zuhuraabdillah6941 5 ปีที่แล้ว

    emotional stability is the first step to take on because nothing can be implementing without emotional. thank you for sharing

  • @johnluhwa8342
    @johnluhwa8342 5 ปีที่แล้ว

    Bro be blessed, unatujenga saana tunakuwa imaraa

  • @michaelmmasi7806
    @michaelmmasi7806 4 ปีที่แล้ว +1

    Stand on what you believe

  • @SaidHasan-b4k
    @SaidHasan-b4k ปีที่แล้ว

    Pointi ya kwanza ndo unaninyima furaha sana nisaidie ili nipate kuwa na misimamo stabte

  • @estajustinian5585
    @estajustinian5585 3 ปีที่แล้ว

    Kutiruhu vitu vidivyo vya nuhmu kuingia kwangu

  • @sulesheshyoum7663
    @sulesheshyoum7663 5 ปีที่แล้ว

    Kwakel hali ipo mbaya sana kiuipande wangu natafuta furaha lakin inaondika wakat nikifiria mambo yalio pita hapo awali naomba ushauri katika jambo hili

  • @miriamkarata7495
    @miriamkarata7495 5 ปีที่แล้ว

    Asante sanaaaaaaa sana,barikiwaaa

  • @claraprosper8642
    @claraprosper8642 5 ปีที่แล้ว

    Asante kaka Joel kwa mchango unaotoa kwa Jamii."No one is incharge of your happiness except you".

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 5 ปีที่แล้ว

    ASANT SANA MWALIMU NANAUKA JOEL KWA ELIMU NZURI

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 5 ปีที่แล้ว

    Asante sana.

  • @haymanbrigadiah3663
    @haymanbrigadiah3663 4 ปีที่แล้ว

    Naomba no . Ako

  • @mwajumamwishehe3423
    @mwajumamwishehe3423 5 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubaree👏👏

  • @eliachavala2095
    @eliachavala2095 5 ปีที่แล้ว

    Emotional stability kweli imekuwa shida bro.......stay bleced bro.....

  • @janemwita8615
    @janemwita8615 5 ปีที่แล้ว

    Asante mtu anakudharau na Hanoi umuhimu wako inaweza kuchukua hatua gani?

  • @solomonnzebele-nz3is
    @solomonnzebele-nz3is ปีที่แล้ว

    Joel naomba ushauli.
    Nashindwa kuamua npo ndan ya kaz yenye changamot ila ninamda wa miaka 4 ila changamoto inazid . Ikabd niweke mahesabu yangu vzr ili npate mda wa kuacha kaz sasa kuna m2 kaniambia niende kufanya nae kaz na mda nliopanga kuacha hii kaz bad ila changomoto ndo zinazid je nifanyeje kaka joel

  • @egonkasiano7822
    @egonkasiano7822 5 ปีที่แล้ว +1

    Shukran

  • @carolynemfuru5667
    @carolynemfuru5667 4 ปีที่แล้ว

    Thanks

  • @baruanindume8695
    @baruanindume8695 5 ปีที่แล้ว +1

    Thanks, brother.

  • @bekamacheni7462
    @bekamacheni7462 3 ปีที่แล้ว

    God bless you brother

  • @agnesernest1419
    @agnesernest1419 ปีที่แล้ว

    Mimi naishi Alusha kwakweli nimefika mwisho kwa Akili zangu naomba ushauli naishi na mwanaume asiye taka niwe na chochote kwenye maisha yangu,Mimi ni mchungaji,Hataki nisafili kuhubili Hataki nisuke au nipendeze,anasema Mambo hayo Niyadunia,kwamba nisijifananishe nawengine ,siluhusiwi kushauli kitu chochote,Mimi niwandiyo Sasa kunavitu vinanikosesha fulaha kwanza mulnekano wangu,wakieoee,unanipa hofu,nalata Tamaa,naomba ushauli.

  • @angelinasamuel_9951
    @angelinasamuel_9951 4 ปีที่แล้ว

    Ahsante kaka

  • @wilsonapolly6861
    @wilsonapolly6861 4 ปีที่แล้ว

    Nikweli

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 4 ปีที่แล้ว

    U nani bariki sana

  • @prisikachande
    @prisikachande 3 ปีที่แล้ว

    Misina flaha kwakua nimeingia kwenye mausiano sio chaguo langu kila nikijitoa inashindikana

  • @jacksonchimomo554
    @jacksonchimomo554 5 ปีที่แล้ว

    dah hiki kinatokea Sana Mim

  • @riversonleonard769
    @riversonleonard769 ปีที่แล้ว

    Emotional stable ✅

  • @hildegathhaule1471
    @hildegathhaule1471 5 ปีที่แล้ว

    kwa kweli najifunza sana

  • @oskenterprises9361
    @oskenterprises9361 4 ปีที่แล้ว

    Bro nkupt vzr sn
    Napenda unacho kifnya
    kinaleta faida kubw kwngu
    🙏🙏Mungu akupe uimala wakuzd
    kutupatiya elimu yenye faida kubwa