LIFE WISDOM : FANYA HAYA ILI USIJUTE UZEENI - JOEL NANAUKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 พ.ค. 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

ความคิดเห็น • 53

  • @nyaganyie.finias2152
    @nyaganyie.finias2152 หลายเดือนก่อน +9

    Kaka kweli tangu nimeanza kusikiliza ushauri na masomo yako nimebarikiwa Sana kwenye mipango yangu Mungu akubariki Sana

  • @LucasLutambi
    @LucasLutambi หลายเดือนก่อน +3

    Mungu aendelee kukupa hekima na maarifa ili tuzidi kunyonya maarifa kwako.

  • @user-nr5bo8yd8f
    @user-nr5bo8yd8f 6 วันที่ผ่านมา

    Hakika wewe Joel unafaa sana katika kurithisha maarifa ya uchumi.

  • @bina2557
    @bina2557 หลายเดือนก่อน +3

    Brother Joel asante kwa hekima hizi Mbingu zinene mema kwa ajiri yako

  • @user-fz7zg7xw6w
    @user-fz7zg7xw6w 23 วันที่ผ่านมา

    Noma San uko vzr

  • @RopianNguyai-zc2ov
    @RopianNguyai-zc2ov หลายเดือนก่อน +3

    Brother MUNGU akubariki sana pia akuzidishie maarifa zaidi kwan wew umenifanya nipige hatua kubwa sana, na sio mimi tu na wengine wengi ambao wanakufuatilia.
    Thanks very much Br joel nanauka GOD bless you.

  • @BukelebeTv
    @BukelebeTv หลายเดือนก่อน +4

    Ahsante kaka joel

  • @juliusleonard3331
    @juliusleonard3331 23 วันที่ผ่านมา

    Uko vizuri kaka 9:58

  • @user-dq3op3gs2d
    @user-dq3op3gs2d 12 วันที่ผ่านมา

    Uoga hapo unakuwa una mambo mazuri ila unawaza hivi hapa nitaonekanaje Mungu tusaidie

  • @user-yh3gk4fg1b
    @user-yh3gk4fg1b 15 วันที่ผ่านมา

    Well Adjustable & Well done

  • @victorchiwai8831
    @victorchiwai8831 หลายเดือนก่อน +2

    Asante prof.joel nanauka nakufatilia nikiwa Jiji kuu la Nairobi

  • @AdamuKundya-wk4yz
    @AdamuKundya-wk4yz หลายเดือนก่อน +2

    Upo vzr kaka hakika najifunza mambo mengi na mazuri, hongera na mungu akubariki

  • @mr.kaporo2479
    @mr.kaporo2479 หลายเดือนก่อน +1

    My bro joel I am shining these days because of you

  • @saadimhd3006
    @saadimhd3006 29 วันที่ผ่านมา

    Nataka vitabu vyako

  • @user-xt5vs7cm2k
    @user-xt5vs7cm2k หลายเดือนก่อน

    Kwakweri uyu buro joel anasitail mauwa yake kila mtu anae mfatilia na ataamuwa kumsikiliza na kuyafanyika kazi hamika ana % 💯 za kufanikiwa one love bur ❤❤❤❤❤

  • @nelsoncosmas5639
    @nelsoncosmas5639 หลายเดือนก่อน +1

    Nice sana broo we ni kisima cha maarifa

  • @dulesame1193
    @dulesame1193 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉 ukweli ni kwamba Mungu alikupa maArifAA ++@ ya kutoshaaa sanAa mkuu++@❤❤

  • @amonkomba7232
    @amonkomba7232 หลายเดือนก่อน

    Kaka, I love you so much!

  • @navioma4882
    @navioma4882 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kaka❤❤❤❤

  • @AmaniLaizer-xp8fj
    @AmaniLaizer-xp8fj หลายเดือนก่อน

    Mungu Akubariki ndugu Wang Joel Nanauka Umekuwa mzaada kwangu Kuna Siku Nitakupa Ushuhuda

  • @gloriosehakizimana3789
    @gloriosehakizimana3789 หลายเดือนก่อน

    Asante sana twamafunzo mazuli nakuta zama kutoka Nederland

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 หลายเดือนก่อน

    Asante Joel nimejifunza.....nahivyo..vitabu viwili...ndo..nitanza..navyo..... acha niendelee ..ku..share...na..ndugu...na... marafiki 🙏🙏🙏🙏

  • @RahelBunanagi
    @RahelBunanagi หลายเดือนก่อน

    Kaka mimi nasumbuliwa napr

  • @mbarakkhalid117
    @mbarakkhalid117 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuzidishie kaka

  • @user-nm1rn2mw6l
    @user-nm1rn2mw6l หลายเดือนก่อน

    Dah nimekubali sana kaka mungu akubariki na akupe maisha malefu

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 หลายเดือนก่อน

    ASANTE SANA KAKA KWA HEKIMA ZAKO

  • @jamesshirima33
    @jamesshirima33 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana bro Joel@Nanauka

  • @YasintaMpanduji
    @YasintaMpanduji หลายเดือนก่อน

    Wanadamu hawahawa!?, tumaini lwa wanadamu lilishaondoka kitambo, Mungu pekee anajua hatma na mwisho wangu, hiyo inatosha

  • @renatharenatus-ii5hg
    @renatharenatus-ii5hg หลายเดือนก่อน

    Fantastic nimejifunza

  • @MusaChundu
    @MusaChundu หลายเดือนก่อน

    Asant kwa elimu soon ntaksapot sana kununua vitabu .

  • @Sanga_jr_24
    @Sanga_jr_24 หลายเดือนก่อน +1

  • @asafujonathan903
    @asafujonathan903 หลายเดือนก่อน

    Nikweli kabisa Mr. Nanauka

  • @PaulinaGasto-n8t
    @PaulinaGasto-n8t 3 วันที่ผ่านมา

    Nipo aruxha nakptaje kitabu

  • @janetfrancis7180
    @janetfrancis7180 หลายเดือนก่อน

    Asante sana, ubarikiwe sana

  • @user-jc3bf2wq9i
    @user-jc3bf2wq9i หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe kaka

  • @beatricemnkeni2670
    @beatricemnkeni2670 หลายเดือนก่อน

    Asante. Nimejifunza.

  • @FatumaMohammedy
    @FatumaMohammedy หลายเดือนก่อน

    Nimekupata uncle joel

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  หลายเดือนก่อน +1

      Tuendelee kujifunza

  • @GraceSteven-qq5hn
    @GraceSteven-qq5hn หลายเดือนก่อน

    Asant nimejifunza kitu

  • @user-bz3gu4tv1v
    @user-bz3gu4tv1v หลายเดือนก่อน

    Kaka nataka kununua vitabu vyako niweze kuvisoma kupata nondo hizi.

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 หลายเดือนก่อน

    📌📌📌

  • @RahelBunanagi
    @RahelBunanagi หลายเดือนก่อน

    Kaka mimi nasumbuliwa na presjha ya kupanda

  • @user-kw6bv9qp4e
    @user-kw6bv9qp4e หลายเดือนก่อน

    Okay but not easy alafu watu skuizi hawaaminki mara atakuita chawa wake wakati wew ndoulie mvusha kwahatua moja mbaka nyengine 😢

  • @Johmery
    @Johmery หลายเดือนก่อน +2

    Kitabu nakipataje nipo Zanzibar mkuuu

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  หลายเดือนก่อน

      0762 31 21 71

  • @user-nw7jw5gt9h
    @user-nw7jw5gt9h หลายเดือนก่อน

    Nahitaji kitabu nipo Dar

  • @fokasita7357
    @fokasita7357 หลายเดือนก่อน

    Kitabu kinapatikana je kwa mtu ambaye anaishi nje na tanzania??

  • @mwanaishakama3381
    @mwanaishakama3381 หลายเดือนก่อน

    Icho kitabu naeza kukisoma kupitia simu? Coz niko gulf na nna mda mzuri wakusoma but sijui nikitafuta vp na wapi msahada plz

  • @alexlucas1571
    @alexlucas1571 หลายเดือนก่อน +1

    Good morning top team?

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  หลายเดือนก่อน +1

      Goodmorning

  • @user-ov9iw7ce3j
    @user-ov9iw7ce3j หลายเดือนก่อน

    Kitabu kinapatikana wapi npo dar es saalam

  • @pelagiamachalo3350
    @pelagiamachalo3350 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe kaka

  • @binflory
    @binflory หลายเดือนก่อน