The Story Book: Mji wa Tanzania Uliokuwa Mji Mzuri Zaidi Duniani (Historia ya KILWA)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 659

  • @mahamudumbwana382
    @mahamudumbwana382 2 ปีที่แล้ว +55

    Maaana halisi ya kwamba hakuna kinachodumu duniani😢😢 kila kitapita tu na kitabaki kua historia ee mwenyezi Mungu tujalie mwisho mwema

    • @perujumah1422
      @perujumah1422 2 ปีที่แล้ว +1

      Ameen thuma ameen

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 2 ปีที่แล้ว

      @@perujumah1422 Allahumma Aaaameen

    • @SamirBSam
      @SamirBSam 2 ปีที่แล้ว

      Watu tunapita. KILWA YA SASA NI KIJIJI CHA OVIO SANA. IMEBAKI KIJIJI CHA HISTORIA. SEHEMU WANAO PIKISHA KILA CHAKULA KWA MAFUTA YANAZI.

  • @abuubilal2646
    @abuubilal2646 2 ปีที่แล้ว +45

    Sababu ya mji wa kilwa kupotea ni kwamba walipokuja wareno kutaka kutawala waliwaamrisha wenyeji. wa kilwa kubatizwa kwa nguvu walipokataa ndipo kwa wivu wao wakaamua kuupiga makombora mji huo na kuuharibu na wakawachukua utumwani wenyeji.Ukitaka kuijua historia ya kilwa kiundani waulize waislamu wanaijua vizuri

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 2 หลายเดือนก่อน

      kwani wareno walitawala Tanganyika ?

    • @FahdiSultan
      @FahdiSultan 2 หลายเดือนก่อน

      Walitawala Kwa muda mfupi hapo kilwa na Nchi za Kusini mwa Africa ​@@magigesabai8674

    • @husnakalumba2578
      @husnakalumba2578 18 วันที่ผ่านมา

      Waleno 😂kasome tena historia

  • @yohanamhagama8975
    @yohanamhagama8975 2 ปีที่แล้ว +54

    Nimefurahi Sana prof Jamal kwa kuitangaza nchi yetu wengi wetu hatujui mambo mengi ya nchi kwa kuwa hatuna utaratibu wa kutembelea vivutio vyetu vya kale

    • @saidibinur9743
      @saidibinur9743 2 ปีที่แล้ว +2

      Kwl kpnd hik kinakuwa siku gan na saa ngap

    • @neemamwita9733
      @neemamwita9733 ปีที่แล้ว

      Kilwa jamani ipo kama unaenda wap

  • @tanzanian8847
    @tanzanian8847 2 ปีที่แล้ว +23

    Huwez kutengenisha historia y mji wa kilwa na ukuaji wa uislam afrika. Historia ya kilwa ilipotezwa ili kuficha historia ya uislam Afrika Mashariki na MCHANGO wa uislam katika maendeleo ya dunia.
    Ahsante sana Jamal Hashim kwa documentary hii.

    • @SilaMinanda
      @SilaMinanda 7 หลายเดือนก่อน +1

      Ni kweli kaka, historia ya kweli inafichwa ambayo ni kubwa kuliko ata nyerere wanaomuabudu na kumuita baba wa taifa, wakati huo waislam ndio walianza kupgania uhuru maana ata ukoloni ulianzia pwani na sio bara.

    • @sarastephano3409
      @sarastephano3409 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@SilaMinandaHata uislam pia uliletwa na waarabu ko wenyeji hawakuwa waislam Ila waliletewa hiyo dini na waarabu

  • @michaelliungo7811
    @michaelliungo7811 2 ปีที่แล้ว +52

    kusini kumesahaulika sana na leo nimeamini kwamba Jamal ndio mtu pekee mzalendo wa nchi hii mwenye kujua thamani ya historia yetu

  • @arapninja_things
    @arapninja_things 2 ปีที่แล้ว +13

    Hakika professor Jamal , nimeweza kujua kikamilifu staarabu za kilwa ya kale... Naitazama kutoka nchi Jirani ya Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Asante sana

  • @rinirietransfomaorenge4309
    @rinirietransfomaorenge4309 2 ปีที่แล้ว +26

    Ahsante Sana Prof. Marekani Kasikazini nawapata mbashara mpaka maeneo ya Kisii Kenya sitakosa kufuatilia

  • @perujumah1422
    @perujumah1422 2 ปีที่แล้ว +12

    There is no permanent situation,Allah atujalie mwisho mwema😢😢🤲🤲

  • @hassansaidhajji001
    @hassansaidhajji001 2 ปีที่แล้ว +55

    Professor your are my model especial in knowledge,learning,innovation and other aspect Allah bless you my brother

  • @dieudonnejohnson5200
    @dieudonnejohnson5200 2 ปีที่แล้ว +37

    Kazi zako zote huwaga ni nzuri mno!👌
    Kusema kweli, hongera sana ndugu yangu, wewe pamoja na team yako nzima. 💪
    Ila, nina ka advice kadogo.
    Nadhani ingekuwa vema unge jitahidi kuweka "english subtitles" ili ku wa accommodate wenzetu wasio sikia lugha yetu hii ya Kiswahili.
    Maana darsa zako zote huwaga ni kubwa sana, na za kimataifa zaidi.
    Fikiria hili Bro, na ikikupendeza wewe, pamoja na team yako, basi implement hio strategy.
    Ila kama nilivo tanguliza kusema hapo hawali, ni wazo langu tuu, na wala si lazima kufanya hivo.
    Asante sana ndugu zangu, na m'barikiwe!!
    Congrats guys!💪💪💪
    MAY GOD BLESS AFRIKA!!!🙏🙌💪❤

    • @philipbonhour4987
      @philipbonhour4987 2 ปีที่แล้ว +5

      Wajifunze kiswahili

    • @muxxerju7532
      @muxxerju7532 2 ปีที่แล้ว +6

      my brother me naona ibaki ivyo ivyo tuu hakuna haja ya subtitles wasiojua kiswahili wakajfunze then warud tuelewane kwa kiswahil. mbona wao kwenye makala zao hawatuwekei kwa njia ya kiswahil mpka tunajifunza lugha zao kwaiv na wao acha wakajfunze na ss lugha ytu ikuwe now ishakuwa lugha rasmi mpka kwnye jumuiya ya africa mashariki inatumika

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 ปีที่แล้ว +2

      @@philipbonhour4987 "wajifunze kiswahili," fullstop....

    • @sadanahimana7193
      @sadanahimana7193 2 ปีที่แล้ว

      wajifunze kiswahili na sisi lugha zao tunajitahidi kuziiga hadi tunaweza mimi huwa na komenti kwa kiswahili chochote nikiona kinanifurahisha na watu wananiuliza hiyo lugha niyipi nina wajibu vizuri sana

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 ปีที่แล้ว +1

      @@sadanahimana7193 Hahaha umenifurahisha walai, kwanzia Leo nafwata nyayo zako.....kwani sisi miaka na Mikaka ndio tutakua tunajifunza za wenyewe...

  • @kingkittah6748
    @kingkittah6748 2 ปีที่แล้ว +17

    PROFESSOR ...!! MTAALAMU KABISA.!! 🙏🙏🙏

  • @leonardpeter3953
    @leonardpeter3953 2 ปีที่แล้ว +9

    Nafatilia sana kaka simulizi zako, big-up sana kwa kutufunulia yaliyokuwa nje ya ufahamu wetu. Naomba pia siku moja utuletee simulizi ya JACK THE RIPPER.

  • @abdallahmwanjile471
    @abdallahmwanjile471 2 ปีที่แล้ว +9

    M/mungu akinijaalia uhai nitaitembelea kilwa insha'Allah

  • @Sautiyamajini
    @Sautiyamajini 2 ปีที่แล้ว +7

    Jamal wewe. Ni kipenzi changu katika utafiti na kutuletea mambo mazuri kama haya you are my favorite documentary artist be blessed

  • @aliisaid854
    @aliisaid854 ปีที่แล้ว +4

    Nyerere ameua mambo yote

  • @Homeofrhumba
    @Homeofrhumba 2 ปีที่แล้ว +9

    Kilwa ya Tz na Fort Jesus ya Kenya zote ni almost the same, Long live east africa.

  • @samwelthomas239
    @samwelthomas239 2 ปีที่แล้ว +8

    Professor you are the best historian I never had,ila uwe unawasiliza hao sources alafu unasimulia mwenyew ,maana wakiongea wanapunguza ladha ya story book, we need your real voice only✊

  • @hassanpande9915
    @hassanpande9915 2 ปีที่แล้ว +18

    Wa KILWA 🛶🌴 Kam mim, kilwa masoko tujuane 👍

  • @rubenmatley9552
    @rubenmatley9552 2 ปีที่แล้ว +23

    🙌🙌👏👏 you are inspiring me to seek more knowledge

  • @oswaldmwihavapaul8517
    @oswaldmwihavapaul8517 2 ปีที่แล้ว +13

    Waziri wa Mali Asili na Utalii , akae na wataalam wake wa utalii wafanye kitu hapa Kilwa ..hiki ni kivutio kikubwa cha utalii na kinaweza kusaidia sana sana Tz

    • @bonita329
      @bonita329 2 ปีที่แล้ว +2

      yaani sijui ujumbe wanaupataje hii sehemu Watanzania pamoja na Viongozi wanaichukulia powa lakini ni sehemu muhimu sana kuliko hata zanzibar... hapa maarifa yanaitajika hapa dah 🤦🏽‍♀️

    • @richardlucas2275
      @richardlucas2275 2 ปีที่แล้ว +1

      Si ndioviongoz wakianza kupambana kuitangaza nchi tunaanza kubeza mambo ya royal tour

    • @ismailel-mazrui6983
      @ismailel-mazrui6983 2 ปีที่แล้ว

      Kabisa ndugu shm km hz ndo katalunya ya madrid

  • @jaypmunyamaofficial3488
    @jaypmunyamaofficial3488 2 ปีที่แล้ว +20

    I really like your storytelling

  • @athuman6223
    @athuman6223 2 ปีที่แล้ว +7

    from Philadelphia watching storybook 👏

  • @idrisadalluc4498
    @idrisadalluc4498 2 ปีที่แล้ว +3

    Blo nazani allah amekushusha iwe msaada kwetu blo nakubalisana nakuombea kwamungu uwe namalifazaid utufunulie zaidi ishallah

  • @lotilazaro8845
    @lotilazaro8845 2 ปีที่แล้ว +5

    Big up xaaana professor Jamal unaendelea kutuonyesha ubora na thamani Yako katika Kazi yako

  • @blasiusrweyemamu5052
    @blasiusrweyemamu5052 2 ปีที่แล้ว +6

    Respect prof Jamal April.......wewe ni icon ya marifa

  • @hassanilimbega9121
    @hassanilimbega9121 2 ปีที่แล้ว +9

    Wenye Kilwa yetu tumefarijika sana kwa simulizi hii

  • @jumakibe5032
    @jumakibe5032 2 ปีที่แล้ว +2

    Dah...Jiwe la jahaz sio mchezo! Prof Jamal na mm Naenda kilwa kupaona. 🙏

  • @alimzee
    @alimzee 2 ปีที่แล้ว +5

    Kwa kweli istoria nzuri inatungumbusha tuiwekee maanani sana.ikarabatiwe

  • @HusseinAllih-Arsenalke
    @HusseinAllih-Arsenalke 2 ปีที่แล้ว +2

    umenielimisha sana kakangu.Serikali za africa zafaa kuikuza zaidi kwa manufaa ya wananchi

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 2 ปีที่แล้ว +7

    Asante kwa Historia ya Kilwa Nchni Tansania

  • @bakaryCMD
    @bakaryCMD 2 ปีที่แล้ว +10

    The great professor of all time

  • @teaminfinity4995
    @teaminfinity4995 2 ปีที่แล้ว +53

    Ibn Battuta was a moroccan traveller the great city at the most powerful. writing in 1332 Battuta note that the city of kilwa is among the most beautiful cities and elegantly built

  • @ismailkizito5692
    @ismailkizito5692 2 ปีที่แล้ว +9

    Professor uandae na story inayokuhusu ww maake naww ni miongon mwa watu wakipekee sana kweny sanaa

  • @sdeshnjwetr6707
    @sdeshnjwetr6707 2 ปีที่แล้ว +8

    Historia inatafakarisha sana hasa sisi wa AFRIKA.

  • @robinmuganda7690
    @robinmuganda7690 2 ปีที่แล้ว +22

    You make Swahili sound elegant. Kazi safi Prof. Much love from 254.

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 ปีที่แล้ว +2

      Hakuna lugha tamu kuliko kiswahili, kote duniani....

    • @masupildula
      @masupildula ปีที่แล้ว

      @@mpendakiswahili3053 kila lugha Ina uzuriwake na ubayawake kwa watu mbalimbali
      Mzanzibari anayosoma UChinani, na ndiyo najua kuzungumza kichina, usalama ukupate.

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 ปีที่แล้ว

      @@masupildula Kiswahili hakina ubaya....utamu mtupu....

  • @brunokalunga4552
    @brunokalunga4552 2 ปีที่แล้ว +8

    Kilwa is an avenu in DRC of cause mwami m'siri aliye talawa jimbo la katanga enzi izo alikuwa munya mwezi na aka dumu Katanga adi Leo.... I love my King.

  • @selemannaoda2027
    @selemannaoda2027 2 ปีที่แล้ว +4

    Upo vzr Sanaa!! Kilwa Ina historian kubwa Sanaa. Ingawa serikali Ina inaacha historian ya mji uwo inazidi kupotea. Inashindikana nn kutengeneza mjii una unaofanana na historian unayo silmuliaa?! Ili tuweze Linda historia ya mjii wa Kilwa.

  • @naslee1010
    @naslee1010 2 ปีที่แล้ว +12

    our country to be greatly blessed by god congratulations brother for declaring our country 🙏

  • @saidkaim768
    @saidkaim768 2 ปีที่แล้ว +11

    "tulivyofukuza walowezi tukawacha waende na maarifa yao " it so pain brother

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 2 ปีที่แล้ว +1

      Muongo pashia si warabu ni Wairani na Wairani hata kiarabu hawajui

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 ปีที่แล้ว +2

      @@ahmedzahor2975 Dah, hilo sio hoja.... mbona tunatilia maanani yasio muhimu

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 ปีที่แล้ว +2

      Aiii, huwa najiuliza, kwani sisi waafrica tulilaaniwa au nini...mbona tunafaili kwa kila jambo ...

    • @saidkaim768
      @saidkaim768 2 ปีที่แล้ว

      @@mpendakiswahili3053 mpango tu

    • @shaujimpota7202
      @shaujimpota7202 2 ปีที่แล้ว +1

      @@ahmedzahor2975 pashia ndo nini?
      Halafu pia toa tafsiri yako ya waarabu tuiskie. Na mwisho kabisa, hilo neno waarabu linatumika na wengi na inakubalika kuziita jamii zilizo nyingi za mashariki ya kati ikiwemo Oman, Saudi Arabia, Yemen, Iraq, Iran, n.k

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi4082 2 ปีที่แล้ว +7

    Mtangazaji you are doing a wonderful job. I learned alot about Kilwa which i have not leaned anywhere.

  • @jamesmzaki6041
    @jamesmzaki6041 ปีที่แล้ว +3

    Dah! Bonge moja la mji wa kihistoria ila nashangaa promo kubwa inapigwa Bagamoyo

  • @awadhbuya9649
    @awadhbuya9649 2 ปีที่แล้ว +15

    U always inspire me prof.

  • @mishekimbuba8260
    @mishekimbuba8260 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante sanaaa umetuelemishaaa

  • @zalendo
    @zalendo 2 ปีที่แล้ว +2

    Kazi nzuri sana Professor. Utafika mbali sana kwenye upande wa kuandaa Documentary hapa Tanzania.

  • @jumakibula4851
    @jumakibula4851 2 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa yetu jamali ni Professor Aisee, Big Up bro

  • @richbird.123
    @richbird.123 2 ปีที่แล้ว +6

    Kwetu wasini pia Kuna Historia YA jahazi lililo jeuka kuwa jiwe Na watu kujeuka kuwa njiwa wenye lemba

  • @happynelson1180
    @happynelson1180 2 ปีที่แล้ว +4

    Historia ya vasko da gamma nimesoma shule yaani viongozi wameshindwa kabisa kujenga upya kisiwa cha historia cha kilwa ambacho ni muhimu sana wale wageni waliojenga magorofa kilwa wasingefukuzwa leo hii kilwa ingekuwa juu sana wageni walifukuzwa na kilwa ikafa moja kwa moja

    • @zamzamabdi5279
      @zamzamabdi5279 2 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabisa.mchaganyiko ya watu ni maendeleo kubwa.wageni hawana hasara

  • @AgostinhoCosmeNambanga-t1g
    @AgostinhoCosmeNambanga-t1g 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana akika wewe n professor

  • @rinirietransfomaorenge4309
    @rinirietransfomaorenge4309 2 ปีที่แล้ว +4

    Nafurahi ninapoona nko na dakika 44.nasikia the story book 😋😋😋😋

  • @nasramuhammad2404
    @nasramuhammad2404 2 ปีที่แล้ว +7

    Prof Allah aibariki kazi yako kwa sasa yafaa uwekee subtitles in english ipate kutembea duniani

  • @nelsonbisi6499
    @nelsonbisi6499 2 ปีที่แล้ว +5

    Fantastic Professor J.April keep it up 💪🇹🇿

  • @shabaniramadhani714
    @shabaniramadhani714 2 ปีที่แล้ว +2

    Nimefurahi sana na nimejifunza mengi kuhusu mji wa kulwa

  • @ahmadsaid4878
    @ahmadsaid4878 2 ปีที่แล้ว +2

    Hakika Tanzania tuna history kubwa sana Big up sna Bro kwa kuona mbali

    • @irenewile
      @irenewile 2 ปีที่แล้ว

      Hapo ndio maneno ya Kiswahili yapogundulika mwaka 17....

    • @ahmadsaid4878
      @ahmadsaid4878 2 ปีที่แล้ว

      @@irenewile 👩🏿‍💻Jambo zuri kuijua Tanzania yetu

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh 2 ปีที่แล้ว +7

    Hicho kichemba ndani ya mskiti wa watu malindi kinaitwa 'kibla' na sio mimbar....Mimbar ni kama jukwaa analotengezewa mhatibu ili apande juu yake aweze kuhutubia waumini kwa mfano kama kutoa hotuba siku ya ijumaa...ila 'imaam' au kiongozi anaposwalisha au kuongoza ibada ya swala anaongiza akiwa ndni ya hicho kichba kitaitwa kibla

  • @yusufumwasha548
    @yusufumwasha548 2 ปีที่แล้ว +2

    Wareno ni washenzi sana waliuharibu huo mji kwa maksudi

  • @hassanhamis7730
    @hassanhamis7730 2 ปีที่แล้ว +2

    We babaa wee hiv umesoma course gan mbon genius san

  • @haslyhasly7945
    @haslyhasly7945 2 ปีที่แล้ว +4

    Nice story big up prof. Jamali April

  • @African2TheWorld
    @African2TheWorld ปีที่แล้ว +3

    Uongozi bora ndio chanzo cha maendeleo, kwa kifupi Wa Africa kwa ujumla hatujali yaliyopita wala yajayo. Ndio maana hatuendelei sana kama wenzetu.

  • @salumkudrakihulo7613
    @salumkudrakihulo7613 2 ปีที่แล้ว +10

    Narudi kuandika tena WEWE NDIE PROFESSOR PEKEE UNAYE UTUMIA UPROFESSOR WAKA KWA MANUFAA YA JAMII YAKO sio wale wanao subili kutolewa majalalani wakina nanilii,

    • @Mwamba67
      @Mwamba67 2 ปีที่แล้ว +1

      😂
      Wakikusikiaa hee shaur yako,,,,!!

  • @DisBes
    @DisBes 6 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa historia ya kilwa

  • @muddytupa6688
    @muddytupa6688 2 ปีที่แล้ว +2

    Unatisha sana my Brother

  • @ObedSaimon-j5y
    @ObedSaimon-j5y 3 วันที่ผ่านมา +1

    You are the big narater

  • @littletv3177
    @littletv3177 2 ปีที่แล้ว +2

    Nimefurahi sana kusikia simulizi hii sababu inatuhusu Moja Kwa Moja wa Tanzania nimejifunza mambo mengi ila kikubwa ni kwamba hakuna Cha kudumu Duniani Kila kitu kitapita.

  • @farajkibinda6151
    @farajkibinda6151 2 ปีที่แล้ว +10

    Love it kikwa boy

  • @filbertivo1988
    @filbertivo1988 2 ปีที่แล้ว +3

    Upo vizuri broo na kwaa picha iliyojijeenga kwetu ww n kama kioo lakini vp hzooo tattoo mkononi yan zinanisumbua japo kua n maisha yako binafsi

  • @abdallahomary6942
    @abdallahomary6942 2 ปีที่แล้ว +6

    Welcome home KILWA

  • @asaadboy
    @asaadboy 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kwanza kabisa napenda kukupongeza sana kwa maelezo yako mazuri yanayoeleweka kirasi. Nchi hii yetu ina mengi yaliyofichika kwasababu mbalimbali. Nakuomba tukiwa hukohuko wilayani Kilwa tupo historia ya miji kama kilwa kivinje na songa mnara na kwingine. Kwa mara nyingine nakupongeza sana.

  • @salhandembo2480
    @salhandembo2480 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah wangewacha warabu jaman

  • @masoudsuleiman4623
    @masoudsuleiman4623 2 ปีที่แล้ว +3

    Naipenda Kilwa yangu

  • @brmtvtibaasili8289
    @brmtvtibaasili8289 2 ปีที่แล้ว +5

    Upo sahihi kaka ila Alu badili sio dua kama wengi wanavyo zani albadili nishirki kwa mujibu wa qur an ana sunna

    • @mohammedbinjumaabinaweisal9188
      @mohammedbinjumaabinaweisal9188 2 ปีที่แล้ว +1

      Kwenye hii Dua in kwamba Kilwa ilikuwa na miskiti 99 idadi sawa na majina ya Allah.(mwenyezi mungu)
      99 na kila msikiti uliitwa Kwa jina moja miongoni mwa majina ya Allah.
      Siku MAKAFIRI Wa Kikiristo walipo kuja kuuvamia Kwa mara ya kwanza wenyeji waliamua kusoma adhana Kwa pamoja miskiti yote 99 Kwa pamoja na kuomba kupitia majina 99 ya Allah na kuangamizwa makafiri wote kwa kugeuzwa mwamba wa jiwe.

    • @mushimadege
      @mushimadege 2 ปีที่แล้ว +1

      Kumbukumbu zangu ilikuwa ni adhana kwa jinsi tulovyosomeswa na masheikh zetu na sio albadil

  • @KIMSwahili
    @KIMSwahili 2 ปีที่แล้ว +4

    Wislam ni maisha

  • @mustaphasayyid6740
    @mustaphasayyid6740 2 ปีที่แล้ว +5

    My home KILWA

  • @frankmsigwa153
    @frankmsigwa153 2 ปีที่แล้ว +2

    Good upo vizuri Mkuu umenipa raha sana

  • @hilaliabousalim2715
    @hilaliabousalim2715 2 ปีที่แล้ว +16

    Bro inabidi hii iwe endelevu uitembelee kilwa yote km Kivinje,songomnara,songosongo naamini tutaenjoy na kujifunza wote

  • @adriansabudema4898
    @adriansabudema4898 2 ปีที่แล้ว +10

    Endelea kutupa historia hizi na ikiwezekana wafunsihe watu wengi wawe Kama wewe maana katika vitu tunavyokosea Ni kutoacha wafanani

  • @oscarboniface9690
    @oscarboniface9690 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante Jamal...this is among the best video you have produced

  • @faustineelias2059
    @faustineelias2059 2 ปีที่แล้ว +5

    ningependa uendelee kuichambua nchi yetu

  • @bonita329
    @bonita329 2 ปีที่แล้ว +35

    Hivi imekuaje kuaje hatuna viongozi wasomi ama? 🤔🤔🤔 Kwanini wanaacha sehemu hii iaribike kiasi hiki ? Je, hawajui watalii wengi wanataka kujifunza Historia kuliko kutazama wanyama? Misri inapokea watalii mara kumi zaidi ya Tanzania na haina Pundamilia hata mmoja! Wote wanakuja kuona historia!🤷🏽‍♀️🤷🏽‍♀️

    • @CoachHafidh
      @CoachHafidh 2 ปีที่แล้ว +2

      Big Point💥💯

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 ปีที่แล้ว +4

      Hahaha, nimecheka Leo.... Bella umenijengea siku.....ati "pundamilia"

    • @tonyspencer1928
      @tonyspencer1928 2 ปีที่แล้ว +5

      Yaani viongozi wetu Wana ufala mwingi mmno

    • @franksimre1116
      @franksimre1116 2 ปีที่แล้ว +3

      Ni viongozi waliojaa uoga, tena usio na maana,yani wanaanda maisha bora kwa familia zao tu, wakiamini wakifa wao watoto wao hawatateseka, sasa watakumbuka watu wa asili yao?! Ni mashetani Sana.

    • @jumaamrani3295
      @jumaamrani3295 2 ปีที่แล้ว +2

      fact

  • @abdallahmbwana4135
    @abdallahmbwana4135 2 ปีที่แล้ว +1

    Sofala ni mji uliopo Msumbiji na Monamutapa ndio Zimbabwe. Tukumbuke tulikotoka. Kazi nzuri.

  • @bintrobert4952
    @bintrobert4952 2 ปีที่แล้ว +1

    Shukran kwa historia ya kilwa

  • @gwakisamatingo4861
    @gwakisamatingo4861 2 ปีที่แล้ว +4

    Nakubali prof...

  • @NORIS-h8l
    @NORIS-h8l ปีที่แล้ว +1

    Nakubari

  • @crispuskasanga8487
    @crispuskasanga8487 2 ปีที่แล้ว +1

    UTAMU WA HISTORIA.KONGOLE MWANAHISTORIA MSHUPAVU.FROM +254

  • @dullyhaleem6962
    @dullyhaleem6962 2 ปีที่แล้ว +2

    PWANI YETU🌴❤❤

  • @mudarrisumuhangia7576
    @mudarrisumuhangia7576 2 ปีที่แล้ว +1

    ubarikiwe ndugu kwakazi unayoifanya

  • @kairatiswahilli7024
    @kairatiswahilli7024 ปีที่แล้ว +1

    Kumefanana na pemba🥺🥰

  • @FabianLutobeka
    @FabianLutobeka 3 หลายเดือนก่อน +10

    Jaman naombeni bax hata like 5 tu

  • @ramadhanjaphet2976
    @ramadhanjaphet2976 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante Sana Proffer J . Kwa simulizi ya kilwa. Nimefurahi sn! Mimi naomba uje utuelezee kwanini mji wa kilwa ulikufa? WHY KILWA ISLAND FALL? BY R . JAPHET

  • @farajajoseph2971
    @farajajoseph2971 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana professor

  • @shamilamuhamedi7904
    @shamilamuhamedi7904 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah. Kilwa yetu. Iyoo lindi moja iyoo

  • @barekesteve8679
    @barekesteve8679 2 ปีที่แล้ว

    Kwamakala hii unstable kuponfezwaa na mama samia umetisha sana duh gonga. Like kam unakubalia na mim yakwambaa jama. Kaamzima Ananias edigr mtiga Abdallah yeye pekee ndiye ame baki aakiskika kwasimulizi tofauti tofauti

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 2 ปีที่แล้ว +1

    Serikali iendeleze huu mji wa kilwa kisiwani iwe sehemu ya utalii inavutia sana vinginevyo history itapotea

  • @christiannyamamba9089
    @christiannyamamba9089 2 ปีที่แล้ว +6

    Kwanza niseme chini wameenda watu wenye akili na maarifa mengi sana na wajuzi kizazi chasasa mtu anakaa shule miaka zaidi ya minne kusoma engineer na unampa kazi anakujengea jengo hata miezi sita haijafika ikija upepo kidogo tu chalii sijui tunakwama wapi mana haya tunayofanya sasa yote ni marudio mana yote yalishafanyika tunajiita wabunifu kumbe vyote tunacopy na kupaste yakale mana walishafanya kila kitu. Hii ni zaidi ya royal tour nimevutiwa sana kutembelea hii sehem kujifunza mengi hakika nikirudi bongo ntafanya kila namna kutaka kufaham zaidi

  • @thulanimashaba8491
    @thulanimashaba8491 3 หลายเดือนก่อน

    Historia nzuri

  • @Is-hakaMussa-yu3lh
    @Is-hakaMussa-yu3lh ปีที่แล้ว +3

    mungu akupe umrii broo

  • @shaphiasabani5760
    @shaphiasabani5760 2 ปีที่แล้ว +2

    Najivunia kuzaliwa Kilwa

  • @maquizonlinetv3150
    @maquizonlinetv3150 2 ปีที่แล้ว +1

    Najifunza vitu vingi kutoka kwako Mungu ukujalie

  • @bakaribakari9792
    @bakaribakari9792 2 ปีที่แล้ว +1

    Ni vyema mamlaka husika sikaendeleza haya majengo kwa kukarabati ikiwa pamoja na kuezeka na kirejesha muonekano wa asili, hongera Sana kazi nzuri

  • @PresenterSilah
    @PresenterSilah 2 ปีที่แล้ว +1

    This is the best educational channel walahi

  • @evansnchimbi7992
    @evansnchimbi7992 2 ปีที่แล้ว +3

    Professor Nina request unaweza kuandaa storybook ya safari ya Jerusalem kuanzia egypt Kwa farao ukapitia israel na miji mikubwa ya kihistoria ya biblia tukaona ilivyo kama vile hekalu la MWENYEZI MUNGU alilolijenga mfalme Solomon n.k

    • @gh7naa
      @gh7naa 2 ปีที่แล้ว +1

      Ni msiiti wa na bee seleman uko mpka leo na mitume wote walisali na mtume muhammda saw ) walisali kwa pamoja woote wote mtume alipo toka miraj mbinguni