The Story Book: Mji wa Tanzania Uliokuwa Mji Mzuri Zaidi Duniani (Historia ya KILWA)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ค. 2022
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 637

  • @abuubilal2646
    @abuubilal2646 ปีที่แล้ว +30

    Sababu ya mji wa kilwa kupotea ni kwamba walipokuja wareno kutaka kutawala waliwaamrisha wenyeji. wa kilwa kubatizwa kwa nguvu walipokataa ndipo kwa wivu wao wakaamua kuupiga makombora mji huo na kuuharibu na wakawachukua utumwani wenyeji.Ukitaka kuijua historia ya kilwa kiundani waulize waislamu wanaijua vizuri

  • @tanzanian8847
    @tanzanian8847 ปีที่แล้ว +22

    Huwez kutengenisha historia y mji wa kilwa na ukuaji wa uislam afrika. Historia ya kilwa ilipotezwa ili kuficha historia ya uislam Afrika Mashariki na MCHANGO wa uislam katika maendeleo ya dunia.
    Ahsante sana Jamal Hashim kwa documentary hii.

    • @SilaMinanda
      @SilaMinanda 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ni kweli kaka, historia ya kweli inafichwa ambayo ni kubwa kuliko ata nyerere wanaomuabudu na kumuita baba wa taifa, wakati huo waislam ndio walianza kupgania uhuru maana ata ukoloni ulianzia pwani na sio bara.

  • @mahamudumbwana382
    @mahamudumbwana382 ปีที่แล้ว +50

    Maaana halisi ya kwamba hakuna kinachodumu duniani😢😢 kila kitapita tu na kitabaki kua historia ee mwenyezi Mungu tujalie mwisho mwema

    • @perujumah1422
      @perujumah1422 ปีที่แล้ว +1

      Ameen thuma ameen

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 ปีที่แล้ว

      @@perujumah1422 Allahumma Aaaameen

    • @SamirBSam
      @SamirBSam ปีที่แล้ว

      Watu tunapita. KILWA YA SASA NI KIJIJI CHA OVIO SANA. IMEBAKI KIJIJI CHA HISTORIA. SEHEMU WANAO PIKISHA KILA CHAKULA KWA MAFUTA YANAZI.

  • @yohanamhagama8975
    @yohanamhagama8975 ปีที่แล้ว +52

    Nimefurahi Sana prof Jamal kwa kuitangaza nchi yetu wengi wetu hatujui mambo mengi ya nchi kwa kuwa hatuna utaratibu wa kutembelea vivutio vyetu vya kale

    • @saidibinur9743
      @saidibinur9743 ปีที่แล้ว +2

      Kwl kpnd hik kinakuwa siku gan na saa ngap

    • @neemamwita9733
      @neemamwita9733 ปีที่แล้ว

      Kilwa jamani ipo kama unaenda wap

  • @michaelliungo7811
    @michaelliungo7811 ปีที่แล้ว +49

    kusini kumesahaulika sana na leo nimeamini kwamba Jamal ndio mtu pekee mzalendo wa nchi hii mwenye kujua thamani ya historia yetu

  • @rinirietransfomaorenge4309
    @rinirietransfomaorenge4309 ปีที่แล้ว +26

    Ahsante Sana Prof. Marekani Kasikazini nawapata mbashara mpaka maeneo ya Kisii Kenya sitakosa kufuatilia

  • @arapninja_things
    @arapninja_things ปีที่แล้ว +12

    Hakika professor Jamal , nimeweza kujua kikamilifu staarabu za kilwa ya kale... Naitazama kutoka nchi Jirani ya Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Asante sana

  • @hassansaidhajji001
    @hassansaidhajji001 ปีที่แล้ว +54

    Professor your are my model especial in knowledge,learning,innovation and other aspect Allah bless you my brother

  • @perujumah1422
    @perujumah1422 ปีที่แล้ว +10

    There is no permanent situation,Allah atujalie mwisho mwema😢😢🤲🤲

  • @leonardpeter3953
    @leonardpeter3953 ปีที่แล้ว +9

    Nafatilia sana kaka simulizi zako, big-up sana kwa kutufunulia yaliyokuwa nje ya ufahamu wetu. Naomba pia siku moja utuletee simulizi ya JACK THE RIPPER.

  • @dieudonnejohnson5200
    @dieudonnejohnson5200 ปีที่แล้ว +35

    Kazi zako zote huwaga ni nzuri mno!👌
    Kusema kweli, hongera sana ndugu yangu, wewe pamoja na team yako nzima. 💪
    Ila, nina ka advice kadogo.
    Nadhani ingekuwa vema unge jitahidi kuweka "english subtitles" ili ku wa accommodate wenzetu wasio sikia lugha yetu hii ya Kiswahili.
    Maana darsa zako zote huwaga ni kubwa sana, na za kimataifa zaidi.
    Fikiria hili Bro, na ikikupendeza wewe, pamoja na team yako, basi implement hio strategy.
    Ila kama nilivo tanguliza kusema hapo hawali, ni wazo langu tuu, na wala si lazima kufanya hivo.
    Asante sana ndugu zangu, na m'barikiwe!!
    Congrats guys!💪💪💪
    MAY GOD BLESS AFRIKA!!!🙏🙌💪❤

    • @philipbonhour4987
      @philipbonhour4987 ปีที่แล้ว +5

      Wajifunze kiswahili

    • @muxxerju7532
      @muxxerju7532 ปีที่แล้ว +6

      my brother me naona ibaki ivyo ivyo tuu hakuna haja ya subtitles wasiojua kiswahili wakajfunze then warud tuelewane kwa kiswahil. mbona wao kwenye makala zao hawatuwekei kwa njia ya kiswahil mpka tunajifunza lugha zao kwaiv na wao acha wakajfunze na ss lugha ytu ikuwe now ishakuwa lugha rasmi mpka kwnye jumuiya ya africa mashariki inatumika

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 ปีที่แล้ว +2

      @@philipbonhour4987 "wajifunze kiswahili," fullstop....

    • @sadanahimana7193
      @sadanahimana7193 ปีที่แล้ว

      wajifunze kiswahili na sisi lugha zao tunajitahidi kuziiga hadi tunaweza mimi huwa na komenti kwa kiswahili chochote nikiona kinanifurahisha na watu wananiuliza hiyo lugha niyipi nina wajibu vizuri sana

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 ปีที่แล้ว +1

      @@sadanahimana7193 Hahaha umenifurahisha walai, kwanzia Leo nafwata nyayo zako.....kwani sisi miaka na Mikaka ndio tutakua tunajifunza za wenyewe...

  • @rubenmatley9552
    @rubenmatley9552 ปีที่แล้ว +23

    🙌🙌👏👏 you are inspiring me to seek more knowledge

  • @hassanpande9915
    @hassanpande9915 ปีที่แล้ว +15

    Wa KILWA 🛶🌴 Kam mim, kilwa masoko tujuane 👍

  • @abdallahmwanjile471
    @abdallahmwanjile471 ปีที่แล้ว +8

    M/mungu akinijaalia uhai nitaitembelea kilwa insha'Allah

  • @Sautisultan
    @Sautisultan ปีที่แล้ว +7

    Jamal wewe. Ni kipenzi changu katika utafiti na kutuletea mambo mazuri kama haya you are my favorite documentary artist be blessed

  • @MWEGOHA
    @MWEGOHA ปีที่แล้ว +3

    Nilikuwa nikiisikia historia ya Kilwa ila sikujua kiundani hivi kama ulivyonielimisha leo @Prof Jamal, umenifanya niendelee kutafuta makala mbali mbali kuhusu Kilwa ila zaidi nahitaji kuutembelea nikajionee kwa macho mji huo ambao ni hazina kubwa sana Tz na Africa, Hongera Wasafi Media, Hongera Professor Jamal kwa kazi nzuri, "The Story Book" forever 💥

  • @idrisadalluc4498
    @idrisadalluc4498 ปีที่แล้ว +3

    Blo nazani allah amekushusha iwe msaada kwetu blo nakubalisana nakuombea kwamungu uwe namalifazaid utufunulie zaidi ishallah

  • @HusseinAllih-Arsenalke
    @HusseinAllih-Arsenalke ปีที่แล้ว +2

    umenielimisha sana kakangu.Serikali za africa zafaa kuikuza zaidi kwa manufaa ya wananchi

  • @jumakibe5032
    @jumakibe5032 ปีที่แล้ว +2

    Dah...Jiwe la jahaz sio mchezo! Prof Jamal na mm Naenda kilwa kupaona. 🙏

  • @kingkittah6748
    @kingkittah6748 ปีที่แล้ว +17

    PROFESSOR ...!! MTAALAMU KABISA.!! 🙏🙏🙏

  • @teaminfinity4995
    @teaminfinity4995 ปีที่แล้ว +52

    Ibn Battuta was a moroccan traveller the great city at the most powerful. writing in 1332 Battuta note that the city of kilwa is among the most beautiful cities and elegantly built

  • @athuman6223
    @athuman6223 ปีที่แล้ว +7

    from Philadelphia watching storybook 👏

  • @samwelthomas239
    @samwelthomas239 ปีที่แล้ว +8

    Professor you are the best historian I never had,ila uwe unawasiliza hao sources alafu unasimulia mwenyew ,maana wakiongea wanapunguza ladha ya story book, we need your real voice only✊

  • @naslee1010
    @naslee1010 ปีที่แล้ว +12

    our country to be greatly blessed by god congratulations brother for declaring our country 🙏

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi4082 ปีที่แล้ว +7

    Mtangazaji you are doing a wonderful job. I learned alot about Kilwa which i have not leaned anywhere.

  • @lotilazaro8845
    @lotilazaro8845 ปีที่แล้ว +5

    Big up xaaana professor Jamal unaendelea kutuonyesha ubora na thamani Yako katika Kazi yako

  • @selemannaoda2027
    @selemannaoda2027 ปีที่แล้ว +4

    Upo vzr Sanaa!! Kilwa Ina historian kubwa Sanaa. Ingawa serikali Ina inaacha historian ya mji uwo inazidi kupotea. Inashindikana nn kutengeneza mjii una unaofanana na historian unayo silmuliaa?! Ili tuweze Linda historia ya mjii wa Kilwa.

  • @blasiusrweyemamu5052
    @blasiusrweyemamu5052 ปีที่แล้ว +6

    Respect prof Jamal April.......wewe ni icon ya marifa

  • @jaypmunyamaofficial3488
    @jaypmunyamaofficial3488 ปีที่แล้ว +20

    I really like your storytelling

  • @robinmuganda7690
    @robinmuganda7690 ปีที่แล้ว +22

    You make Swahili sound elegant. Kazi safi Prof. Much love from 254.

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 ปีที่แล้ว +2

      Hakuna lugha tamu kuliko kiswahili, kote duniani....

    • @masupildula
      @masupildula ปีที่แล้ว

      @@mpendakiswahili3053 kila lugha Ina uzuriwake na ubayawake kwa watu mbalimbali
      Mzanzibari anayosoma UChinani, na ndiyo najua kuzungumza kichina, usalama ukupate.

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 ปีที่แล้ว

      @@masupildula Kiswahili hakina ubaya....utamu mtupu....

  • @bakaryCMD
    @bakaryCMD ปีที่แล้ว +10

    The great professor of all time

  • @oswaldmwihavapaul8517
    @oswaldmwihavapaul8517 ปีที่แล้ว +12

    Waziri wa Mali Asili na Utalii , akae na wataalam wake wa utalii wafanye kitu hapa Kilwa ..hiki ni kivutio kikubwa cha utalii na kinaweza kusaidia sana sana Tz

    • @bonita329
      @bonita329 ปีที่แล้ว +2

      yaani sijui ujumbe wanaupataje hii sehemu Watanzania pamoja na Viongozi wanaichukulia powa lakini ni sehemu muhimu sana kuliko hata zanzibar... hapa maarifa yanaitajika hapa dah 🤦🏽‍♀️

    • @richardlucas2275
      @richardlucas2275 ปีที่แล้ว +1

      Si ndioviongoz wakianza kupambana kuitangaza nchi tunaanza kubeza mambo ya royal tour

    • @ismailel-mazrui6983
      @ismailel-mazrui6983 ปีที่แล้ว

      Kabisa ndugu shm km hz ndo katalunya ya madrid

  • @alimzee
    @alimzee ปีที่แล้ว +5

    Kwa kweli istoria nzuri inatungumbusha tuiwekee maanani sana.ikarabatiwe

  • @Homeofrhumba
    @Homeofrhumba ปีที่แล้ว +7

    Kilwa ya Tz na Fort Jesus ya Kenya zote ni almost the same, Long live east africa.

  • @ismailkizito5692
    @ismailkizito5692 ปีที่แล้ว +9

    Professor uandae na story inayokuhusu ww maake naww ni miongon mwa watu wakipekee sana kweny sanaa

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 ปีที่แล้ว +7

    Asante kwa Historia ya Kilwa Nchni Tansania

  • @awadhbuya9649
    @awadhbuya9649 ปีที่แล้ว +15

    U always inspire me prof.

  • @brunokalunga4552
    @brunokalunga4552 ปีที่แล้ว +8

    Kilwa is an avenu in DRC of cause mwami m'siri aliye talawa jimbo la katanga enzi izo alikuwa munya mwezi na aka dumu Katanga adi Leo.... I love my King.

  • @jamesmzaki6041
    @jamesmzaki6041 ปีที่แล้ว +3

    Dah! Bonge moja la mji wa kihistoria ila nashangaa promo kubwa inapigwa Bagamoyo

  • @nelsonbisi6499
    @nelsonbisi6499 ปีที่แล้ว +5

    Fantastic Professor J.April keep it up 💪🇹🇿

  • @saidkaim768
    @saidkaim768 ปีที่แล้ว +11

    "tulivyofukuza walowezi tukawacha waende na maarifa yao " it so pain brother

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 ปีที่แล้ว +1

      Muongo pashia si warabu ni Wairani na Wairani hata kiarabu hawajui

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 ปีที่แล้ว +2

      @@ahmedzahor2975 Dah, hilo sio hoja.... mbona tunatilia maanani yasio muhimu

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 ปีที่แล้ว +2

      Aiii, huwa najiuliza, kwani sisi waafrica tulilaaniwa au nini...mbona tunafaili kwa kila jambo ...

    • @saidkaim768
      @saidkaim768 ปีที่แล้ว

      @@mpendakiswahili3053 mpango tu

    • @shaujimpota7202
      @shaujimpota7202 ปีที่แล้ว +1

      @@ahmedzahor2975 pashia ndo nini?
      Halafu pia toa tafsiri yako ya waarabu tuiskie. Na mwisho kabisa, hilo neno waarabu linatumika na wengi na inakubalika kuziita jamii zilizo nyingi za mashariki ya kati ikiwemo Oman, Saudi Arabia, Yemen, Iraq, Iran, n.k

  • @alltanzania
    @alltanzania ปีที่แล้ว +2

    Kazi nzuri sana Professor. Utafika mbali sana kwenye upande wa kuandaa Documentary hapa Tanzania.

  • @oscarboniface9690
    @oscarboniface9690 ปีที่แล้ว +2

    Asante Jamal...this is among the best video you have produced

  • @haslyhasly7945
    @haslyhasly7945 ปีที่แล้ว +4

    Nice story big up prof. Jamali April

  • @josephatmarko6155
    @josephatmarko6155 ปีที่แล้ว +12

    Nimejaribu kutembelea majengo ya zamani barani ulaya hasa katika nchi ya uswiss na Italy, kuna utofauti mkubwa sana majengo yao pamoja na kwamba yameishi miaka zaidi ya elfu bado yapo vizuri japo si kwa mwonekano ule wa awali lakn wanajitahidi sana kuyatunza.Nchi yetu imeyatelekeza hayo majengo wangeweza kuyafanyia ukarabati kama wanavyofanya wenzetu ili angalau majengo yetu yaweze kuendelea kuonekana kama majengo kwa watalii na vizazi vijavyo.

    • @leith87seif55
      @leith87seif55 ปีที่แล้ว +2

      Ile ni miji ta kiislamu na historia ni yabkiislamu hawawezi kufanya hivo katikabseheku ambayo serikali wamekusahau kwa Tanzania ni upande wa kusini mwa Tanzania kila kitu kibovu wewe angalia barabara ya kule tu utajua

  • @user-hz3lr7po2l
    @user-hz3lr7po2l 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kwanza kabisa napenda kukupongeza sana kwa maelezo yako mazuri yanayoeleweka kirasi. Nchi hii yetu ina mengi yaliyofichika kwasababu mbalimbali. Nakuomba tukiwa hukohuko wilayani Kilwa tupo historia ya miji kama kilwa kivinje na songa mnara na kwingine. Kwa mara nyingine nakupongeza sana.

  • @ChiefMyalla
    @ChiefMyalla ปีที่แล้ว +3

    Uongozi bora ndio chanzo cha maendeleo, kwa kifupi Wa Africa kwa ujumla hatujali yaliyopita wala yajayo. Ndio maana hatuendelei sana kama wenzetu.

  • @hassanilimbega9121
    @hassanilimbega9121 ปีที่แล้ว +9

    Wenye Kilwa yetu tumefarijika sana kwa simulizi hii

  • @jacquelinefrank6257
    @jacquelinefrank6257 ปีที่แล้ว +3

    Jamaal your so intelligent blessed

  • @littletv3177
    @littletv3177 ปีที่แล้ว +2

    Nimefurahi sana kusikia simulizi hii sababu inatuhusu Moja Kwa Moja wa Tanzania nimejifunza mambo mengi ila kikubwa ni kwamba hakuna Cha kudumu Duniani Kila kitu kitapita.

  • @jumakibula4851
    @jumakibula4851 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa yetu jamali ni Professor Aisee, Big Up bro

  • @PresenterSilah
    @PresenterSilah ปีที่แล้ว +1

    This is the best educational channel walahi

  • @gerradgm1189
    @gerradgm1189 ปีที่แล้ว

    This is what we need you did it proceed with new great things

  • @richbird.123
    @richbird.123 ปีที่แล้ว +6

    Kwetu wasini pia Kuna Historia YA jahazi lililo jeuka kuwa jiwe Na watu kujeuka kuwa njiwa wenye lemba

  • @happynelson1180
    @happynelson1180 ปีที่แล้ว +4

    Historia ya vasko da gamma nimesoma shule yaani viongozi wameshindwa kabisa kujenga upya kisiwa cha historia cha kilwa ambacho ni muhimu sana wale wageni waliojenga magorofa kilwa wasingefukuzwa leo hii kilwa ingekuwa juu sana wageni walifukuzwa na kilwa ikafa moja kwa moja

    • @zamzamabdi5279
      @zamzamabdi5279 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabisa.mchaganyiko ya watu ni maendeleo kubwa.wageni hawana hasara

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw ปีที่แล้ว

    Yeah!!! The Story Book ni noma sana🔥🔥🔥🔥

  • @mchenitv9703
    @mchenitv9703 ปีที่แล้ว

    Home 🏠 sweet home Asante pr.april Kwa kuheshimusha kilwa

  • @sdeshnjwetr6707
    @sdeshnjwetr6707 ปีที่แล้ว +8

    Historia inatafakarisha sana hasa sisi wa AFRIKA.

  • @nasramuhammad2404
    @nasramuhammad2404 ปีที่แล้ว +7

    Prof Allah aibariki kazi yako kwa sasa yafaa uwekee subtitles in english ipate kutembea duniani

  • @mishekimbuba8260
    @mishekimbuba8260 ปีที่แล้ว +2

    Asante sanaaa umetuelemishaaa

  • @hassanhamis7730
    @hassanhamis7730 ปีที่แล้ว +2

    We babaa wee hiv umesoma course gan mbon genius san

  • @filbertivo1988
    @filbertivo1988 ปีที่แล้ว +3

    Upo vizuri broo na kwaa picha iliyojijeenga kwetu ww n kama kioo lakini vp hzooo tattoo mkononi yan zinanisumbua japo kua n maisha yako binafsi

  • @farajkibinda6151
    @farajkibinda6151 ปีที่แล้ว +10

    Love it kikwa boy

  • @shabaniramadhani714
    @shabaniramadhani714 ปีที่แล้ว +2

    Nimefurahi sana na nimejifunza mengi kuhusu mji wa kulwa

  • @ramadhanjaphet2976
    @ramadhanjaphet2976 ปีที่แล้ว +2

    Asante Sana Proffer J . Kwa simulizi ya kilwa. Nimefurahi sn! Mimi naomba uje utuelezee kwanini mji wa kilwa ulikufa? WHY KILWA ISLAND FALL? BY R . JAPHET

  • @elrainswilson4820
    @elrainswilson4820 ปีที่แล้ว +1

    Amazing Thanks for this video

  • @khatibaliy4738
    @khatibaliy4738 ปีที่แล้ว +1

    Big up nakubali sana the story book

  • @ahmadsaid4878
    @ahmadsaid4878 ปีที่แล้ว +2

    Hakika Tanzania tuna history kubwa sana Big up sna Bro kwa kuona mbali

    • @irenewile
      @irenewile ปีที่แล้ว

      Hapo ndio maneno ya Kiswahili yapogundulika mwaka 17....

    • @ahmadsaid4878
      @ahmadsaid4878 ปีที่แล้ว

      @@irenewile 👩🏿‍💻Jambo zuri kuijua Tanzania yetu

  • @farajajoseph2971
    @farajajoseph2971 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana professor

  • @rinirietransfomaorenge4309
    @rinirietransfomaorenge4309 ปีที่แล้ว +4

    Nafurahi ninapoona nko na dakika 44.nasikia the story book 😋😋😋😋

  • @alikarisa
    @alikarisa ปีที่แล้ว

    Professor you are my favourite.

  • @yusufumwasha548
    @yusufumwasha548 ปีที่แล้ว +2

    Wareno ni washenzi sana waliuharibu huo mji kwa maksudi

  • @abdallahmbwana4135
    @abdallahmbwana4135 ปีที่แล้ว +1

    Sofala ni mji uliopo Msumbiji na Monamutapa ndio Zimbabwe. Tukumbuke tulikotoka. Kazi nzuri.

  • @crispuskasanga8487
    @crispuskasanga8487 ปีที่แล้ว +1

    UTAMU WA HISTORIA.KONGOLE MWANAHISTORIA MSHUPAVU.FROM +254

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 ปีที่แล้ว +1

    Serikali iendeleze huu mji wa kilwa kisiwani iwe sehemu ya utalii inavutia sana vinginevyo history itapotea

  • @julianakafuruki2495
    @julianakafuruki2495 ปีที่แล้ว +10

    Amazing work and adventure...for this to go international wise and adding more viewers please add English subtitles on the video clips........#wcb4life

    • @lewinmukui70
      @lewinmukui70 ปีที่แล้ว +1

      Let the English speaking people sort themselves.
      It's our Swahili Prof
      And our history.
      Did they put Swahili subtitles in their story?

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 ปีที่แล้ว +1

      @@lewinmukui70 napenda waafrica kama wewe, upo vizuri kabisa....and that's what I'm always telling our kenyan utubers, waache kupigania lugha na maslahi za wengine....

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh ปีที่แล้ว +7

    Hicho kichemba ndani ya mskiti wa watu malindi kinaitwa 'kibla' na sio mimbar....Mimbar ni kama jukwaa analotengezewa mhatibu ili apande juu yake aweze kuhutubia waumini kwa mfano kama kutoa hotuba siku ya ijumaa...ila 'imaam' au kiongozi anaposwalisha au kuongoza ibada ya swala anaongiza akiwa ndni ya hicho kichba kitaitwa kibla

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Inaonekana WAARABU hakupora ardhi za wenyeji ila walilipa dhamani na maridhiano,tofauti na MAJAMBAZI waliotoka ULAYA!!

  • @goat.3265
    @goat.3265 ปีที่แล้ว +3

    Always gud like it ❤️

  • @niikosomali0nly
    @niikosomali0nly ปีที่แล้ว +7

    Much Love from 🇰🇪 Kenya💖

  • @shamilamuhamedi7904
    @shamilamuhamedi7904 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah. Kilwa yetu. Iyoo lindi moja iyoo

  • @salhandembo2480
    @salhandembo2480 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah wangewacha warabu jaman

  • @fralex_1276
    @fralex_1276 ปีที่แล้ว

    Jahbless prof.Jamal

  • @muddytupa6688
    @muddytupa6688 ปีที่แล้ว +2

    Unatisha sana my Brother

  • @frankmsigwa153
    @frankmsigwa153 ปีที่แล้ว +2

    Good upo vizuri Mkuu umenipa raha sana

  • @bintrobert4952
    @bintrobert4952 ปีที่แล้ว +1

    Shukran kwa historia ya kilwa

  • @mohamedally1594
    @mohamedally1594 หลายเดือนก่อน

    Sehemu nzuri sana kutembelea 👏 👏 👏

  • @maganyakusekwa3785
    @maganyakusekwa3785 ปีที่แล้ว +1

    Nice work my brother Salute 👏👏

  • @khalifa3863
    @khalifa3863 ปีที่แล้ว +13

    Professor why you haven't told us the fallen of the island the reason behind much love ✌

    • @thetrends472
      @thetrends472 ปีที่แล้ว +1

      mji wa kilwa kwa ujumla wote ulikuwa mzuri ila sera za serikali hazikuwa ni zenye kuinufaisha kilwa namaanisha mji wa kilwa umeuliwa na serikali yenyewe ya TZ haswa sera ya ujamaa. najua utaniuliza kivipi? ni hivi sera ya ujamaa ilikandamiza sana miji ya pwani au coastal regions ni stori ndefu ila kwa kifupi ni serikali ndo imeuwa mji wa kilwa na si kilwa tu ila miji mingi ya pwani. fanya utafiti mdogo utaniambia kama uongo

    • @hutchblaq2998
      @hutchblaq2998 ปีที่แล้ว

      Kwa uelewa wangu mdogo naona mji ulikua na maendeleo makubwa yaliofanywa na waarabu pia ndo walikua wakazi wakuu wa eneo hilo na waafrika wachache wengi waliondoka baada ya ujio wao na uongozi wao na majengo yalijengwa kwa knowledge yao so ilkua ngumu kuendeleza wakat walipoondoka maana ata wakazi weusi eneo hilo walkua wachache sana ulipotelekezwa hakubaki mtu yeyote ilkua lazima ufe miji ya nchi zngne ya zaman ilijengwa na wakazi wakuu wa maeneo hayo

    • @shaujimpota7202
      @shaujimpota7202 ปีที่แล้ว

      @@thetrends472 mjadala huu na swali lililoulizwa linahusu kilichouangusha mji wa kale wa kilwa kisiwani, sio kilwa ya baada ya uhuru, kwasababu ukisema sera ya ujamaa ndo ilipelekea kilwa kuanguka ina maana kwamba mpaka kufikia miaka ya 1966 huo mji uliozungumziwa kwenye story book ulikuwa upo vizuri, kitu ambacho hakipo. SMH!

  • @jumaaally6088
    @jumaaally6088 ปีที่แล้ว +2

    Mr.Jamal is deserve much love ✌

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 3 หลายเดือนก่อน

      Tumia kiswahili ndugu

  • @barekesteve8679
    @barekesteve8679 ปีที่แล้ว

    Kwamakala hii unstable kuponfezwaa na mama samia umetisha sana duh gonga. Like kam unakubalia na mim yakwambaa jama. Kaamzima Ananias edigr mtiga Abdallah yeye pekee ndiye ame baki aakiskika kwasimulizi tofauti tofauti

  • @user-xp3vi3wc8p
    @user-xp3vi3wc8p หลายเดือนก่อน

    kilwa ni evidence ya early swahili civilization yaani ustaarabu wa mswahili najivunia kuwa miongoni mwa vitukuu wa dola ya kilwa ❤❤

  • @salumkudrakihulo7613
    @salumkudrakihulo7613 ปีที่แล้ว +10

    Narudi kuandika tena WEWE NDIE PROFESSOR PEKEE UNAYE UTUMIA UPROFESSOR WAKA KWA MANUFAA YA JAMII YAKO sio wale wanao subili kutolewa majalalani wakina nanilii,

    • @Mwamba67
      @Mwamba67 ปีที่แล้ว +1

      😂
      Wakikusikiaa hee shaur yako,,,,!!

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 ปีที่แล้ว

    Mashaa Allah

  • @evansnchimbi7992
    @evansnchimbi7992 ปีที่แล้ว +3

    Professor Nina request unaweza kuandaa storybook ya safari ya Jerusalem kuanzia egypt Kwa farao ukapitia israel na miji mikubwa ya kihistoria ya biblia tukaona ilivyo kama vile hekalu la MWENYEZI MUNGU alilolijenga mfalme Solomon n.k

    • @gh7naa
      @gh7naa ปีที่แล้ว +1

      Ni msiiti wa na bee seleman uko mpka leo na mitume wote walisali na mtume muhammda saw ) walisali kwa pamoja woote wote mtume alipo toka miraj mbinguni

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 ปีที่แล้ว

    Asante prof

  • @rugenzirugenzi3562
    @rugenzirugenzi3562 ปีที่แล้ว +1

    Jamal April 👏 Da professor,🔥🔥🔥🔥

  • @edgarchiluma6401
    @edgarchiluma6401 ปีที่แล้ว +5

    Mtu kama huyu Jamal April,, ndiyo ilifaa waingizwe kwenye utengenezaji wa Royal Tour

  • @emmanuelshija7032
    @emmanuelshija7032 ปีที่แล้ว +1

    Kaka huwa nakuelewa sana simlizi zako ila leo umenikosha mungu akulinde jamaali mustafa

  • @adriansabudema4898
    @adriansabudema4898 ปีที่แล้ว +10

    Endelea kutupa historia hizi na ikiwezekana wafunsihe watu wengi wawe Kama wewe maana katika vitu tunavyokosea Ni kutoacha wafanani