Yaani kama Kuna kitu huudhi ni mtu akae kwa nyumba ya Allah kusema kutaja watu huku yuatetea kundi lake Sasa faida yake ni ipi kaa chini usomesha watu waache bidaa c kupiga vita wanaopinga uzushi ubora wako m elimu yako Iko wapi acha bana somesha
1. وكلهم آتيه يوم القيامة فردا 2. فأما من اوتي كتابه بيمينه .... Haya makundi mnaenda nayo wapi? Leeni nyoyo za waislamu kuipenda dini yao haya matusi yenu hayaongozi bali yanapotoza. Masheikh mnajua sana siku hizi ila nyonyo nazo zimezidi kumgura Allah. Pandeni katika nyoyo zetu tabia njema Taqwa na Tabia njema.
Masalafi wa kweli ni Barahiyani na watu wake, hao wanaitwa majadida walishatolewa na kupewa RED CARD na mudir Salim Barahiyani na maswahiba zake km Muhammad Bichwa na Islam
Kama salafi ni haqqi mbona kueka picha za musiowapenda kwenu ni sawa lakini kueka picha zenu ni haramu. Hii ya salafi ni unafik. Picha kwenu haramu lakini masimu makubwa munayo, simu zimejaa mapicha. Mungelizitupa pia musitumie pia kama nikweli Muna ikhlas kwa dini
hivi ina maana nyinyi pia muna uhizbiyyah,maana hayo alama munayo 100% kweli Dkt alipoweka clip ya sheikh ibn uthaymeen siku zile tanga,alikua hajakosea Allah amhifadhi Dkt,ametufungua macho sana kuijua haqqi
@@bakarisalimu8421 nauliza hivyo ndugu sababu ni vitu vipo kwa mfano sheikh rabiy akijarhi sheikh yeyote alafu ww ukawa bado unamfwata yule sheikh aliye jarhiwa huku wewe unaitwa hizbi au mtu wa bidaa. Ndio nikauliza hilo swali. Afwan
@@bakarisalimu8421 Naam ndugu sababu hivi vitu vipo huku kwa mfano sheikh rabiy akijarhi sheikh yeyote alafu ww ukawa bado unamfwata yule sheikh aliye jarhiwa huku wewe unaitwa hizbi au mtu wa bidaa ndio maana nikauliza hilo swali. afwan
Shkh wenu Dileli / humedi alikuwa akiswali idi na mahurafi huku masalafi wakiswali idi kwa mwenzi waulimwengu. Akidai yeye amfwata chief kadhi hurafi kama kiongozi wake wakati huo masalafi wengine wakiswali na mawahabi kiwanja Cha show mombasa. Mbona hamukumpinga shekhe wenu Wala kumuongoza, u hizbi ni wenu salafi bila shaka na unafik tena kwa viongizi wenu
😂😂😂😂😂😂 hurafi ndio nini? Ama unakusudia khurafi??? Kaka kaa usome, jambo la kufunga na kula idd na mwezi wa kwenu au wa kokote ni jambo la kifiqhi wala sio itikadi!! Wewe chali pingli khurafi hutaki kusoma ndio ukaandika utumbo wa kijinga kama huo!!!
Dkt sikiliza kwa Makini huenda ukafaidika bi idhnillah!
Kweli fitna ni kutoka najd
Huyu anaamini usalafi ni mali yake
Ikiwa mlengwa ni Dkt, ya nini kueka picha ya hao wengine?
Kwa hakika Allah aogopewe, utajikuta unafanya matendo meeeeengi ukidhani unafanya kheri, kumbe ni vumbi tupu juu ya matendo hayo.
Nachelea kuja kutumbukia kwenye hio baatwil unayoibandika kwa ndugu zangu ktk iimaan.
Mcheni Allah sana.
Sasa hii mijibizano imekuwa sungu kwetu maamuma tumwamini nani...
Baraka Allahu fikum wa Jazakumu Allah Kheir!
Alhamdulillah mie sio salafi
Usalafi wanatetea madhambi makubwa
HafidhahuAllah am kassim..
حفظك الله يا أخوي
Mi naomba kujua hili jina la uhizbi limetokea wap
Kuna maswali 6 ya bachu tunaomba mujibu masalafi wa kweli ili nasisi tusiojuwa tupate faida
Yaani kama Kuna kitu huudhi ni mtu akae kwa nyumba ya Allah kusema kutaja watu huku yuatetea kundi lake Sasa faida yake ni ipi kaa chini usomesha watu waache bidaa c kupiga vita wanaopinga uzushi ubora wako m elimu yako Iko wapi acha bana somesha
1. وكلهم آتيه يوم القيامة فردا
2. فأما من اوتي كتابه بيمينه ....
Haya makundi mnaenda nayo wapi? Leeni nyoyo za waislamu kuipenda dini yao haya matusi yenu hayaongozi bali yanapotoza. Masheikh mnajua sana siku hizi ila nyonyo nazo zimezidi kumgura Allah. Pandeni katika nyoyo zetu tabia njema Taqwa na Tabia njema.
Na miongoni mwa misingi ya ujadida ni kumhizibisha kila anaye kharif kikundi chao tena bila hojja
Mfano amehzbishwa abu mu'awiya na hakuna sababu ,
Hahahaha!! Eti, hakuna sababu?
Hawa watu hawako serious kabisa
Ss shekh ww ndoo upo saw Tufwate salfi wapongwe au wema walotangulia
@@mullahramadhani ukitahadharishwa jihadhari
muhimu wasitoke katika uislam
Usalafi ni fitna
Ww ndo Mkuu wa Majadida Usalafi wa kweli utakua nao ww
Masalafi wa kweli ni Barahiyani na watu wake, hao wanaitwa majadida walishatolewa na kupewa RED CARD na mudir Salim Barahiyani na maswahiba zake km Muhammad Bichwa na Islam
Haki haijifichi usituvunge ww ndio khawariji na pote lako
Kama salafi ni haqqi mbona kueka picha za musiowapenda kwenu ni sawa lakini kueka picha zenu ni haramu. Hii ya salafi ni unafik. Picha kwenu haramu lakini masimu makubwa munayo, simu zimejaa mapicha. Mungelizitupa pia musitumie pia kama nikweli Muna ikhlas kwa dini
Ma salafi kwa Kupenda uongozi na umaarifu kunawaelekeza motoni.
Hauna hoja,,, Lau masalafi wangetaka umaarufu ungeona mabango ya mapicha kama wanavyofanya mahizbi
Hoja dhaifu sana
Wee muandishi mche Allah unamtwaani sheikh abuulfaadhwil umechukua sauti yake na ukaeka matusi ya hajuri dhidi ya ulamaa sheikh ubeidil jaabiriy
Au hujui kiarabu
Sasa hiyo unayoongea nini kama sio Fikra huyu mwehu kama mimwehu mingine tu
hivi ina maana nyinyi pia muna uhizbiyyah,maana hayo alama munayo 100%
kweli Dkt alipoweka clip ya sheikh ibn uthaymeen siku zile tanga,alikua hajakosea
Allah amhifadhi Dkt,ametufungua macho sana kuijua haqqi
Haqq gani umeijua?
@@ABUUJAAFAR92 kua baadhi ya wanaodai usalafi,wao ndio mahizby
Huyu ni jahili
Je kama mtu hamfuati sheikh rabiy hafidhahullah kwa jarhi au jambo lolote lile huwa hajakuwa salafi? Ni swali nauliza mwenye ilmu atujibu
Umemsikia salafy gani akisema hivyo? Au umemsikia sheikh raby akisema hivyo?
Usalafy ulikwepo kabla ya sheikh raby sasa fuata usalafy usifuate sheikh raby ispokua pale alipo patia
@@bakarisalimu8421 nauliza hivyo ndugu sababu ni vitu vipo kwa mfano sheikh rabiy akijarhi sheikh yeyote alafu ww ukawa bado unamfwata yule sheikh aliye jarhiwa huku wewe unaitwa hizbi au mtu wa bidaa. Ndio nikauliza hilo swali. Afwan
@@bakarisalimu8421 Shukran
@@bakarisalimu8421 Naam ndugu sababu hivi vitu vipo huku kwa mfano sheikh rabiy akijarhi sheikh yeyote alafu ww ukawa bado unamfwata yule sheikh aliye jarhiwa huku wewe unaitwa hizbi au mtu wa bidaa ndio maana nikauliza hilo swali. afwan
@@bakarisalimu8421jibu kilicho ulizwa hujui nyamaa,
Hisbul jadidiyah musi sahaw hawa ndio wana gawanya umah
Shkh wenu Dileli / humedi alikuwa akiswali idi na mahurafi huku masalafi wakiswali idi kwa mwenzi waulimwengu. Akidai yeye amfwata chief kadhi hurafi kama kiongozi wake wakati huo masalafi wengine wakiswali na mawahabi kiwanja Cha show mombasa. Mbona hamukumpinga shekhe wenu Wala kumuongoza, u hizbi ni wenu salafi bila shaka na unafik tena kwa viongizi wenu
Kupenda uongozi na umaarifu kunawaelekeza motoni.
😂😂😂😂😂😂 hurafi ndio nini? Ama unakusudia khurafi???
Kaka kaa usome, jambo la kufunga na kula idd na mwezi wa kwenu au wa kokote ni jambo la kifiqhi wala sio itikadi!! Wewe chali pingli khurafi hutaki kusoma ndio ukaandika utumbo wa kijinga kama huo!!!