Acheni husda kwa dr Islam ماشاء الله ماشاء الله ماشاء Angalieni darsa zake zaid ya saa na nusu anatoa darsa hatumii karatasi wala kusoma kitabu Anatoa darsa kwa kichwa Amehifadhi Allah amzidishie Elimu امين يارب العالمين
Usalafi gani huo wa kuwasema watu vibaya na kuwatoa kwenye dini ? Ndo njia ya walotangulia walikuwa wana watoa watu kwenye sunnah kama ninyi? Uzuri shekhe utheiminy kabainisha futna zenu hatupati shida kabisa wala hamtushughulishi na ujinga wenu
@@adnanshaban2660 unaskia akhy hiki kikundi cha kina mafuta wanachekesha sana wanajiona wapo katika hakki kuliko wengine wanadai wameongoka wakati kuna mashekhe wakubwa wamekilaumu akiwemo utheimeeny kauli yake kabainisha wazi wapo karibu na kupatia lakini wamepotea baadhi ya sehemu eidha wamepotea kabisa leo imefikia kipindi mtu anakwambia kumjuwa mtu wa sunnah tz niyule anae mfata mafuta na kumjuwa mtu wa bidaa au hizb anae mpinga mafuta kwahiyo mashekhe wao ndo wamewwkwa indicator ya kujuwa ww mtu wa sunnah so mtume tena wala swahaba arafu hawasalimiagi watu hata uwe vipi umkubali shekhe wanaomtaka wao ndo utasalimiwa au kujibiwa salamu wakati mimi naskilizaga fatuwa za wanazuoni nilimsikia shekhe fawzan aliulizzwa swala la kumkata mtu inafaa kumsalimia mtu wa bidaah akajibu kama bidaah zake ndogo hazikufurishi utamsalimu au akikusalimu utaitikia ila unamsihi aache bidaa na kumkata mtu kuto msalimu mtu yule mwenye bidaah zinazomkufurisha na kumtoa kwenye uislamu mtu huyo ndo haistahiki kumtolea salamu lakini Hawa mabwana siku zinapoenda ubaya wa pote lao unadhihirika siku hadi siku
Kabla kutuma comment sikiza video mpaka mwisho. respect kwa dr Islam na sheikh Mafuta kwani hivi ni vita zenu sisi kama wafuasi wasia wetu shikamaneni mufunze dini na mueneze dini ❤
Dr.Islam Assalamualaikum. Allah amekujalia unakubalika Kwa hekma ulonayo katka darsa zako na da'wah Yako Sasa kuwa makin na hawa masalaf wasije wakakutoa kwenye mstari , usipende kuwa jib wenzako ndio wanapenda hiyo mipasho . We fundisha watu dini na walinganie . Anayekushambulia Allah atakujibia , kumbuka ile hadith Allah akimpenda mja bac yeye ndiye Huwa macho yake ,miguu yake mdomo wake ........
Allah akimpa mja wake neema hakuna kiumbe yeyote ambae yuko na uwezo wa kumuondoshea neema hiyo Sheikh Kassim wallah uko na maradhi ya hasad,fitna,khila na khiyana Allah akuongoze na awuponye moyo wako na maradhi hayo aamiin
NIMEHUDHURIA DARSA ZA MASHEIKH MBALI MBALI TANZANIA NA KENYA LAKIN DARSA ZA DUKTUUR WALLAHI WAHISI RAHA YA ELIMU KUSOMA CHINI YA SHEIKH ZAAHID TAQIYY نحسبه كذلك والله حسيبه
Ukifata Darsa za islam unataka kumsikiliza kila siku na mawaidha yake yanakubadilisha ALHAMDULLAH kwa kutuletea Huyu sheikh EastAfrika masalafi masalafi washamba tu nyinyi mnakuja Yemen kusoma mkitoka mnarudi na Elmu bila Hekma mnasumbua watu, SALAF Ndio njia yetu sisi waislam lkn nyinyi mnajiita masalafi Darsa zenu kazi kujisifia tu kuwa ndio watu wa peponi na wengine wote motoni ALLAH atuhifadhi na atuongoe tuache kujigawa kwa makundi tusimame na QURAN NA SUNNAH AMEEN YA RABB WALLAHY JIANGALIE MPO KWNY HAKI LKN KUJIONA SHEKHE WAKO NDIO BORA KULIKO WENGINE HII INAWAHARIBIA NA KUKOSA HEKMA
@@MohamedHassan-kk5te 😁 Ushabiki utawauwa, ni TUSI gan Sheikh Qasim mafuta amemtukana daktar wenu? , huyu daktar Islam kasema Qasim mafuta Ana tabia za kike sio TUSI hilo? Tatzo lenu mmekaa kishabiki mpaka kwenye dini.
Naomba pia Duktur ajirekebishe namna kujibu hoja mie nimeskia akitusi hao masalafi na ametowa maneno machafu sana hakutoa jibu kwa hoja zozote za huyo kasim mafuta
Sheikh Mafuta muogope Allah, wanazuoni ninyi ndio chanzo cha faraka na mipasuko ktk kamba ya Allah... Wallah mtaulizwa kwa kila mlichokichunga, sahii ni husda kubwa mwafanyiana mkishaona watu wanapenda darsa za Sheikh Fulani basi utatamani wale watu wote waje kwako wakufuate wewe... Wallah mtihani na Allah atawauliza, moto wa Allah ni mkali mno jamani
Kusomesha watu Riyadh salihin na kutafsiri Quran itakua sawa na kuchambua watu kua yupi ni salafi unatia mtu kwa usalafi mwengine wamtoa wahukumu watu kwani we mungu! Neno salafi ni hilohilo sunnah musije kujipata makhawarij kwa kujiona wachamungu sana!
@@HanifaOman-oo4plna nyinyi pia mutakuja juta pakubwa kushukisha heshima za masheikh mambo matatu ya hifadhiwe juu ya mwislamu heshima,damu Mali hatutiweza kuona sheikh Dr heshima yake ikipakwa matope
@@MussaTendwa mjoomba hoja hazijibiwi hivo muambiye kasim mafuta Kuna masheikh kibao wanataka mdahalo hoja kwa hoja yy awe upande wakulia na sheikh upande wa pili kuwe na ummah hapo ndiyo sawa ila kwa hivi nikama anajielewa mwenywe
Muhadhara niliusikia wakati ulipotolewa na leo nimeusikia ni kama sijawahi usikia mpya kabisa maa shaa Allah hii ndio manhaj salaf ni elimu tupu uadilifu wa hali ya juu kutoka kwa sheikh Abul Fadhl Allah Amuhifadhi
DUKTUUR ISLAM ALLAH AMHIFADHI NA KILA SHARI SISI TULO KAA CHINI YAKE NDIO TWAMJUA ALHAMDULILLAAAH DUKTUUR AMETULIA NA ALLAH AMEMPA HIKMA NA BUSARA KATIKA KULINGANIA SHEIKH AMENYOOKA NA UMMA WASHUDIA HILO ISPOKUWA ANAE JIZIMA DATA
We kassim mafuta huna kitu Ni fujo tu Dr. Islam anazungumza vitu vya maana Sana twampenda usiwe na wivu Kama kakuzidi kubali tu we mzee dawa zako we mafuta hazieleweki vituko vitupu.
Kumbe kassim mafuta Tangu Dr. Islam aongee miaka ILIYOPITA Aliekuwa Hana uwezo WA kukosoa, alikuwa anaitafuta TU makosa siku zoote, mwamba alikuwa hayaoni, ndo anaibuka sasaivi 😅😅😅😅
ALLAH AKULINDE DUKTUUR ISLAM MWALIMU WETU NA AWATIBU MARADHI YAO HAWA WENYE MARADHI NA HASADI WAKIJIFICHA CHINI YA KIVULI CHA MANHAJ SALAF BILA KUJUA KUWA WANAYO YAFANYA HUKHALIFU MANHAJ SALAF
Shekhe Gani ata kuonekana haonekani 😂😂😂😂 shida ni uso mbaya ata shauku hana... We umeona wapi mtu anaongea halafu haonekani.. eti picha haramu basi na pesa pia msitumie leteni pesa izooo tuzitumie sie..😂😂😂 majuhhaal wakubwa na upuuzi tu mjuayo basi
Awa kilichowauma dr alipobainisha fitna za kundi lao muhadhara wake ule tanga sabu dr islamu alitumia hoja za shekhe saleh utheiminy Allah amrahamu amebainisha dalili la hili kundi la kina mafuta usalaffi wao sasa si wamradi shekhe yeye alisoma fatuwa zake
Hii Da'awah mm mwenyewe siilewi, chuki nyingi dhidi ya Masheikh, sijuwi wanataraji nini hawa mbele ya Allah. Kwa sababu hichi wanacho kifundisha kipo kinyume na mafundisho ya Mtume صلى الله عليه وسلم
Tatizo lako hujui misingi ya daawatu salafiya,,sasa ndio maana waona kutatizwa, ,,,wewe kwa kutokufaham kwako waona ni chuki, unawahofia kukutana na Mola wao vibaya ,,,matatizo unayo wewe usiyejua kuwa usalafy ni nn ،،kwahio kaa chini ndugu yangu usome ndio utajua hii Daawa sio chuki bali ndio Daawa ya mtume, ,,,lkn Faham zikiwa ndogo utabaki kukashifu tu na Hali Tatizo utakuwa nalo wewe.,,angalia haki usijawe na huruma isio na faida,,
@@ABUUJAAFAR92Usitudanganye daawa ya mtume ndo kuwatoa watu kwenye sunnah? Kwani mtu akilingania kitabu na sunnah na wema walotangulia maswahaba huyo ni salafi hata bila kujitangaza mimi salafi ulinganizi wake tosha kukujulisha yule salafi sasa na ndo kauli za wanazuoni wetu shekhe utheiminy nae kasema usalafi so kikundi cha mtu binafsi au chama cha watu fulani yeyote nwenye kupita mipito ya quruani na sunnah huyo salafi tatizo linakuja ninyi mmefanya usalafi ni hizbi ya watu maalumu yeyote aso katika ninyi huyo mnamtoa kwenye manhaji ya wema walotangulia ninyi mmekuja na usalafi mpya mapito yenu tofauti na masalafi swalehe awakutoana kwenye njia kama ninyi leo hilo kundi leenu mmeingia cha kike msitufanye sis hatujui maana ya usalafi eeeboo!!!
Ansari sunnah ndo masalafi wa kweli na ukitaka sunnah haswa Hawa wengine kina mafuta na wenzie ni masalafi feki ( majadida) hamna lolote guhuruu na matamanio ila ukitaka sunnh hasa na usalafi wa kweli ni kwa answari tuu nyi wengine vikundi tuuh vya ubabaishaji
Sisi hatupakani mafuta kwa nyuma ya mongo WA chupa wala Sisi hatuna umoja feki pamoja na shekheletu linaasili ya MAFUTA Allah amuhifadhi wallahi NI neema kubwa Sisi ilikuwa hatujui haki iko WP Allhamdulillah allaniimatilislam wassuna allamanhajusalafiy llumma
Umesema neno Shekh Kasim na kulipinga papo hapo, Kwa maana ni kama hujalisema: waarabu wasema: انكنت كذابا فكن ذكارا Jambo ulosema: ni kwamba husikii darsa za Doktoor, siali, ulijuaje mapungufu na manhaj yake? Pili: mbona ni Doktoor Islam pekee umefuata hatua zake? Ujue watu wana akili, usijifungie kwako unadhami ulimwengu umeufunga katika fikra za kuta nne zilizo zunguka chumba chako. Kuna mashekhe wangapi mbona mno Doktoor Islam, au ni sababu ya umaarufu wake? Ni kweli twaona umaarufu wake unaumiza moyo wako, ila kwa inswaaf tosheka na alicho kupa Allah, kubali kama walivo tii malaika ubora wa Nabii Adamu Alayhi Salaam, na usipinge kama alivo jiona bora iblis kuliko Nabii Adamu Alayhi Salaam kwa kitendo cha kutomsujudia na kupinga amri ya Allah
huo ni ujinga na so usalafi wa kweli ninyi ndo mrudi katika sawa ndomana shekhe utheiminy Allah amrehemu kataja fitna za kundi lenu hilo na dalili zote mnazo hapo amkimbii teteeni ile hojja kimya mpk mpk leo amna alokuja kutetea iyo hoja mnaruka ruka tuuh shekhe islamu yupo kwenye hakki kuliko ninyi majadida
@@user-yj5on8cz3e Sasa ww hizbi nikuulize Mambo mapya gni walileta salaf kama hulingani watu tawheeed na bidaa umerudiwa kwa sababu huu uwanja mnaukimbia kwa kuiangalia maslahi ynu miaka kumi na Tano mtu anafunza vitabu vitatu tu mbona mnahangaika mkae chini mufunze nyinyi mahizbi
Hicho kikasimu kinajifanya yy ndo.mizani ya sunna Akitokea mtu akimpinga yy binafsi matatizo yake binafsi Anajigeuza yy ndo mwenye dini Kazi yake kutowa watu kwenue uislamu tuu
Hapa ndipo ninaposikitishwa na mashehe zetu wa kisalafi,hawapambani na makafiri na wanafiq ila hupambana na mashehe wenzao wenye mitazamo tafauti na usalfi,hebu jitasminini hivi mnajenga ama mnauvurua uislam?
Kuna tabia za watu walio tajwa na mtume saw watazuja karne ya mwisho watakao jitafutia cyeo kwa lazima na kujionyesha wana elimu wakubaliwe kwa lazima kuwa wasomi na hawana chochote. Ndio kama huyu hapa! Mmoja wao. Tafuta jukwaa uwaalike watu ushuhudiwe elimu yako na unayo yaongea sio kujitolea clips kwenye youtube kutaka like na kuongeza point upate malipo. Jichunge na ulimi wako na kuwataja watu wasio kutaja wala hawana shughki na wewe. Ittaqillahi Kassim Mafuta
Na hakuna anachoeleza wamwache Dr. Islam atupe elimu. Na kama hamjui asiongelee mtu hamju sifa zake. Dr. Islma ashawai jibu kubusu Salafi na akatoa fatwa ya Ibn Baaz. Sasa wewe mafuta kajipake ututokee hapa.
الملخص في شرح كتاب التوحيد: th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CID3wvBMORQakSJ6uD78iXv5.html TAFSIRI YA QUR'AAN TUKUFU - سورة الطلاق: th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIA0Wvz6dHrT78AqX_w2e-C8.html DARSA YA KUSAHIHISHA BAADHI YA IBADA MUHIMU: th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIDv7MGqWK6pJLpuUtAVYy1Q.html أخصر المختصرات - كتاب الصيام: th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIBJHTz0w1iYFXFmpy89ULbk.html SIRA YA MTUME ﷺ KITABU NUURUL YAQIIN || Sheikh Abul Fadhl Qassim Mafuta Qassim: th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CICu9k7njI_KWW1wxjHTPhHH.html 🌙DURUUS ZA SWIYAAM: th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIBOHBMSHqsWxktSob8H1T5b.html تجديد الإيمان - KUIFANYA UPYA IMAANI: th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIATWULy7KznCFwDrQ2bCAd0.html متن الغاية والتقريب في الفقه الشافعي - الدورة العلمية الأولى لطلاب العلم في معهد شيخ الإسلام ابن تيمية للحلقات العلمية ١٤٤٤ه: th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIB3F4ZjlwSLbGAnfwuDo_7q.html متن سفينة النجا في أصول الدين والفقه - الدورة العلمية الأولى لطلاب العلم في معهد شيخ الإسلام ابن تيمية للحلقات العلمية ١٤٤٤ه: th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIAba2whZQPR2VMp7cYaWFlv.html الحور بعد الكور: th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CICq8OfcTQXjSX3VVmgEzWmp.html بواعث الخلاص من الذنوب وهو فصل من كتاب (عدة الصابرين): th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CICcvj5-Jth2wzq2ihW_uPSq.html علامات الساعة الصغرى والكبرى: th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIC5_315DZrMpc0MupdaOQ44.html
Sisi tunajua Faida munazipata nyingi sana lakini Munakuwa Wazito Kuthibitisha Hilo, Ukisema Tutume darsa za faida! Hivi ni darsa ngapi zimetumwa za faida hamufuatilii?? Kuonesha Kumbe Muko vizuri kufuatilia Ruduud, Kila Ukiangakia Videos za ruduud utaona views nyingi kuliko darasa, kwa hiyo usiwe mchache wa fadhila, Darsa tunatuma na RUDOUD TUNATUMA NA TUTATUMA In Shaa Allah, Kama Kweli Ni Mfuatiliaji Wa Darsa Za faida basi Links izo apo juu afautilia Upate Faida Na Acha Hizi Ruduud Ambazo Kwako Hazina Faida, Baaraka Allah fiykum ALLAAH ATUONGOZE SISI NA NYINYI KATIKA NJIA SAWA NA ATUTHIBITISHE JUU YAKE. #HAKKI NI MOJA TU WALA SIO KUMI (10).
dr islam mwalimu mzuri sana na anaeleweka na elimu yake ni kubwa na hafarakanishi jamii na wala hajitukuzi wacheni husda na choyo
Allah amuhifadhi Dr islam, Ameen thumma Ameen
sasa kassim mafuta kapata wapi ELIMU, busara na hekima ya kumfikia Dr. Islam ndo maana amekuwa ni mtu wa MATUSI tu,
Naam allah amuhifadhi dr islamu
Sio husba ndugu hujamwelewa Shekhe kasimu Mafuta.... Ila nakushauli kasome
Labda Sheikh Kassim Mafuta ndo hangerudi madrasa. Inawezekan ameisoma dini kwa malengo yakuwa anawatusi ma Sheikh wenzake
Dr Islam ni miongoni mwa wanaotoa Darsa safi sana…! Binafsi namkubali kuliko hao wanaomsema!!!
Hamumpati muhuddi Dr Islam yupo juu daimaa
Shekh Qassim Mafuta allah akuzidishie umri wenye manufaa kwani juhudi unazozifanya za kutuzindua ktk dini yetu ya uislamu ni kubwa sana
Dr islam Allah amlipekher huo mwalim muzur na anawaweza masarafijadida kwahio dr islam tunampenda kwajili ya Allah
Dk ana hekima sana, Allah amjalie
بارك الله فيك يا شيخنا خيراً الجزا سيعرفون بعد قليل إنشاء الله
May Allah bless you too
Acheni husda kwa dr Islam
ماشاء الله ماشاء الله ماشاء
Angalieni darsa zake zaid ya saa na nusu anatoa darsa hatumii karatasi wala kusoma kitabu
Anatoa darsa kwa kichwa
Amehifadhi
Allah amzidishie Elimu
امين يارب العالمين
Wacha kupelekwa na hisia za masheikh,,,we fuata haki
Sasa hayo kasim mafuta ya Nazi ndiyo hayawezi nakisoma pia hukosea
Dini IPO TZ saizi bana sio kenya
Dr amesomesha vitabu vingapi?
Wewe umesoma kitabu gani kutoka kwa Dr islaam,,,
Allah atuongoze
Allah akufishe katika wiislam na sunnah juu ya ufahamu wa wema waliotangulia na allah akukutanishe na mtume صلى الله عليه وسلم jannah allahuma amiin
Usalafi gani huo wa kuwasema watu vibaya na kuwatoa kwenye dini ? Ndo njia ya walotangulia walikuwa wana watoa watu kwenye sunnah kama ninyi? Uzuri shekhe utheiminy kabainisha futna zenu hatupati shida kabisa wala hamtushughulishi na ujinga wenu
Tumuombee Allah amuongoze na amruzuku hekma na uongofu elmu yake ndio imeishia hapo na ujadida wake ndio huo
@@adnanshaban2660 unaskia akhy hiki kikundi cha kina mafuta wanachekesha sana wanajiona wapo katika hakki kuliko wengine wanadai wameongoka wakati kuna mashekhe wakubwa wamekilaumu akiwemo utheimeeny kauli yake kabainisha wazi wapo karibu na kupatia lakini wamepotea baadhi ya sehemu eidha wamepotea kabisa leo imefikia kipindi mtu anakwambia kumjuwa mtu wa sunnah tz niyule anae mfata mafuta na kumjuwa mtu wa bidaa au hizb anae mpinga mafuta kwahiyo mashekhe wao ndo wamewwkwa indicator ya kujuwa ww mtu wa sunnah so mtume tena wala swahaba arafu hawasalimiagi watu hata uwe vipi umkubali shekhe wanaomtaka wao ndo utasalimiwa au kujibiwa salamu wakati mimi naskilizaga fatuwa za wanazuoni nilimsikia shekhe fawzan aliulizzwa swala la kumkata mtu inafaa kumsalimia mtu wa bidaah akajibu kama bidaah zake ndogo hazikufurishi utamsalimu au akikusalimu utaitikia ila unamsihi aache bidaa na kumkata mtu kuto msalimu mtu yule mwenye bidaah zinazomkufurisha na kumtoa kwenye uislamu mtu huyo ndo haistahiki kumtolea salamu lakini Hawa mabwana siku zinapoenda ubaya wa pote lao unadhihirika siku hadi siku
بارك الله فيك وجزاك الله خيراً يا شيخنا الفاضل الله يحفظك على ما كنت
Kabla kutuma comment sikiza video mpaka mwisho. respect kwa dr Islam na sheikh Mafuta kwani hivi ni vita zenu sisi kama wafuasi wasia wetu shikamaneni mufunze dini na mueneze dini ❤
Allah akuhifadhini wote na akuongozen kwa huruma yake
Wacheni Chuki ,Hasad na wivu zenu. Daawa etaendelea bila Nyinyi. ALLAH Subhana wataala amhifadhi .
Dr.Islam Assalamualaikum. Allah amekujalia unakubalika Kwa hekma ulonayo katka darsa zako na da'wah Yako Sasa kuwa makin na hawa masalaf wasije wakakutoa kwenye mstari , usipende kuwa jib wenzako ndio wanapenda hiyo mipasho . We fundisha watu dini na walinganie . Anayekushambulia Allah atakujibia , kumbuka ile hadith Allah akimpenda mja bac yeye ndiye Huwa macho yake ,miguu yake mdomo wake ........
Allah akimpa mja wake neema hakuna kiumbe yeyote ambae yuko na uwezo wa kumuondoshea neema hiyo Sheikh Kassim wallah uko na maradhi ya hasad,fitna,khila na khiyana Allah akuongoze na awuponye moyo wako na maradhi hayo aamiin
Ipi dalili yako juu ya hili? Je? Una ilimu yoyote ututolee? Au ni maneno matupu tu?
NIMEHUDHURIA DARSA ZA MASHEIKH MBALI MBALI TANZANIA NA KENYA
LAKIN DARSA ZA DUKTUUR WALLAHI WAHISI RAHA YA ELIMU KUSOMA CHINI YA SHEIKH ZAAHID TAQIYY نحسبه كذلك والله حسيبه
Ni msomi kwa mafuta ni wivu tu na husda
Tunasubiri sehemu ya pili sasa.Allah awahifadhi mashekhe wetu kwani tumebainikiwa Barakallahu fykum.
😂😂😂😂 KWAHIYO KASSIM MAFUTA NDIO MWENYE KUWATHIBITISHA NA KUWATOA WATU KTK MANHAJ, Innaa ilaihi w Innaa ilaihi Raajiuun 😂😂😂
Ukifata Darsa za islam unataka kumsikiliza kila siku na mawaidha yake yanakubadilisha ALHAMDULLAH kwa kutuletea Huyu sheikh EastAfrika masalafi masalafi washamba tu nyinyi mnakuja Yemen kusoma mkitoka mnarudi na Elmu bila Hekma mnasumbua watu, SALAF Ndio njia yetu sisi waislam lkn nyinyi mnajiita masalafi Darsa zenu kazi kujisifia tu kuwa ndio watu wa peponi na wengine wote motoni ALLAH atuhifadhi na atuongoe tuache kujigawa kwa makundi tusimame na QURAN NA SUNNAH AMEEN YA RABB WALLAHY JIANGALIE MPO KWNY HAKI LKN KUJIONA SHEKHE WAKO NDIO BORA KULIKO WENGINE HII INAWAHARIBIA NA KUKOSA HEKMA
Maneno yako mengi lakn hakuna point ya kuchukua, hebu tafuta history ya sheikh Qasim mafuta.
Kasim mafuta unabalabala nyingi huna hoja hapa wacha ushamba ww huwez kuwa salafi salafunaswaleh hawatukana hata kidgo
@@MohamedHassan-kk5te
😁 Ushabiki utawauwa, ni TUSI gan Sheikh Qasim mafuta amemtukana daktar wenu? , huyu daktar Islam kasema Qasim mafuta Ana tabia za kike sio TUSI hilo? Tatzo lenu mmekaa kishabiki mpaka kwenye dini.
@@MohamedHassan-kk5teTusi Ili liwe tusi unaona litolewe na mbaya wako sio mzuri wako au sio?
@@ibnayub2374mbona hajamtaja mtu Ductor, lakini ndio daawa ilivyo, hufichua lile lililokusibu
Naomba pia Duktur ajirekebishe namna kujibu hoja mie nimeskia akitusi hao masalafi na ametowa maneno machafu sana hakutoa jibu kwa hoja zozote za huyo kasim mafuta
Ajibu hoja gani wacheni hasadi za shehe kasema semeni kala rasulullah na kala llahu taala wacheni chuki na hasadi na kusemanasemana kama wanawake
Sema hoja gani hakujibu nikuoneshe.
Salafi imekuwa dini,kila dakika salafi,salafi nani atazungumzia uislam
Allah amuhifadhi Dr. Islam
Sheikh Mafuta muogope Allah, wanazuoni ninyi ndio chanzo cha faraka na mipasuko ktk kamba ya Allah... Wallah mtaulizwa kwa kila mlichokichunga, sahii ni husda kubwa mwafanyiana mkishaona watu wanapenda darsa za Sheikh Fulani basi utatamani wale watu wote waje kwako wakufuate wewe... Wallah mtihani na Allah atawauliza, moto wa Allah ni mkali mno jamani
Hakika akahy yaani allah awaongoze walinganizi wa ahlsunnah waljamaa
Kusomesha watu Riyadh salihin na kutafsiri Quran itakua sawa na kuchambua watu kua yupi ni salafi unatia mtu kwa usalafi mwengine wamtoa wahukumu watu kwani we mungu! Neno salafi ni hilohilo sunnah musije kujipata makhawarij kwa kujiona wachamungu sana!
We qassim wafuta ya nazi unapenda sana kupinga mashekh wenzio we inakuhusu na nn ili hali we mwenyewe hukai mombasa hiii
Kassim mbabaishaji tu hyo
Huyu mafuta niwale wanao dhani wao washabashiriw pepo
Kwanza jiangalie mwenyewe ulivo kisha mzungumzie mafuta,wewe umevaa kapelo na suti kama mgaratia namna hiyo 😂😂😂
جزاك الله خيرا يا شيخ
Wewe kasimu mafutaa kilaa siku kusemaa wenzio unahusdaa sanaaa unasemaa umsikilizii sasaumejuwaje kamaa haongelei hayoo mambo achaa hizoo mambo shekhe mafutaa kilaa siku
Huyu sheikh anatabu sana hata masalafi wenziwe wamjua anatabu sana Allah amuongoze
Sheikh Dr alaakuhifathi
😂😂😂 Islam hawezi wajibu nyinyi kumbavu ama kweli huja jibu kasim mafuta ya Nazi Islam Hana time ya upuzi songa mbele sheikh Dr Islam Allah akuhifadhi
Tukanatu. Ila sikuyasitlku utajuta
Ikiwa maneno ya sheikh qassim yana utata, ili watu wasipotezwe muambieni duktur ayarudi,,, hana haja,,,na wala hawezi kuyajibu maana ni ya haki
@@HanifaOman-oo4plna nyinyi pia mutakuja juta pakubwa kushukisha heshima za masheikh mambo matatu ya hifadhiwe juu ya mwislamu heshima,damu Mali hatutiweza kuona sheikh Dr heshima yake ikipakwa matope
Hawezi kujibu vipi Sasa katika mazungmzo yake si alisema leta hoja za ki'ilmu ziekwe juu ya meza si ndio zimeekwa Sasa au
@@MussaTendwa mjoomba hoja hazijibiwi hivo muambiye kasim mafuta Kuna masheikh kibao wanataka mdahalo hoja kwa hoja yy awe upande wakulia na sheikh upande wa pili kuwe na ummah hapo ndiyo sawa ila kwa hivi nikama anajielewa mwenywe
Dr Islam Muhammad ni Sheikh anatoa Darsa na anafunza vizuri sana sio Jadida
Muhadhara niliusikia wakati ulipotolewa na leo nimeusikia ni kama sijawahi usikia mpya kabisa maa shaa Allah hii ndio manhaj salaf ni elimu tupu uadilifu wa hali ya juu kutoka kwa sheikh Abul Fadhl Allah Amuhifadhi
Allah s.w.t tujarie elimu yenye manufa Duniani na ksho akhera. Na utujarie ufahamu aàmin
DUKTUUR ISLAM ALLAH AMHIFADHI NA KILA SHARI SISI TULO KAA CHINI YAKE NDIO TWAMJUA
ALHAMDULILLAAAH DUKTUUR AMETULIA NA ALLAH AMEMPA HIKMA NA BUSARA KATIKA KULINGANIA
SHEIKH AMENYOOKA NA UMMA WASHUDIA HILO ISPOKUWA ANAE JIZIMA DATA
Asalam alaykum
Shekh kassim yuwasema ukweli japo kua ni uchungu kwa wangine haya mambo ni ya allah siya kikabila jamaa
Leo nimejua huyu(Mafuta) mtupu kabisaaa
😂😂😂😂
Wote mawahabi sisi tukopembeni
Allh awaongozen ila jihatadn kuacha ushabik katika din
Ikiwa hufatilizi darsa zake ulijuaje kama hazungumzi usalafi ilmu ndogo ina shida
Tunakuomba Allah utuhifadh sote Waislamu na waumin
Aamiin Aamiin Aamiin
Alhamndulilahi tumejua haki Iko wapi
Dr. Islam yuko sawa kabisa.
We kassim mafuta huna kitu Ni fujo tu Dr. Islam anazungumza vitu vya maana Sana twampenda usiwe na wivu Kama kakuzidi kubali tu we mzee dawa zako we mafuta hazieleweki vituko vitupu.
Huelewi wewe, usitujumuishe
Wee unaenda bidaa
Kasomeni hamna elmu muacheni dr islam
Sheykhe ALLAH. akuongoze ila we upon mbali kabisa na ufaham salafi umebeba misimamo ya ma sheykhe. Zako. Na sio hujielewi sheykhe
Wewe usimtambue ila East Africa nzima inamtambua kuwa ni عالم معتبر 🤍
Masheikh wataambiwa maneno machafu na kutukanwa sababu ni wewe ilo tambuwa na uandaye majibu utampa mola wako hiyo siku.
Mumekaa kama wanawake.kazi kuongelea watu badala kufundisha.
Hakuna wanaofundisha na kutoa ilmu kama kina sheikh qaasim mafuta,,,ama kina dr kufundisha wameshindwa ,,,
Kwani wewe hapo wafanya nini,,,si waongelea watu,,,jike kubwa nwewe
Upuuuzi mtupu yani ukiwasikia unaweza ukasema wanauhakika na pepo kwanamna walivyo kua hawana adabu
sasa kassim mafuta kapata wapi ELIMU, busara na hekima ya kumfikia Dr. Islam ndo maana amekuwa ni mtu wa MATUSI tu,
Ni vizuri awa wawili wakakutana ukae kwa munakasha wa live bila ya fujo za mashabiki wa mtandao ili tujue nani yupo sahihi zaidi
Umetutisha na picha za movie za kituruki Tuh Halfu Hamna lolote 😅
لِّيَهۡلِكَ مَنۡ هَلَكَ عَنۢ بَيِّنَةٖ وَيَحۡيَىٰ مَنۡ حَيَّ عَنۢ بَيِّنَةٖۗ
Kasim mwalim wangu
Duu sisi watu wasuna sijui tunashida Gani maana kazi yetu kukosoana
Kumbe kassim mafuta Tangu Dr. Islam aongee miaka ILIYOPITA Aliekuwa Hana uwezo WA kukosoa, alikuwa anaitafuta TU makosa siku zoote, mwamba alikuwa hayaoni, ndo anaibuka sasaivi 😅😅😅😅
Kwani alilingania wapi baatil? Kwani dr islam hafunzi watu kheiri na dini.ama mpaka alinganiye pote yenu ndio atakuwa salaf
ALLAH AKULINDE DUKTUUR ISLAM MWALIMU WETU NA AWATIBU MARADHI YAO HAWA WENYE MARADHI NA HASADI WAKIJIFICHA CHINI YA KIVULI CHA MANHAJ SALAF BILA KUJUA KUWA WANAYO YAFANYA HUKHALIFU MANHAJ SALAF
Wewe Bado mwanafunzi soma dawaa'waah salafiyaaah kwanza, sio maneno ya majihizibi unao tembea nao
Nam shekh wangu ningekuomba kama unawez kunisaidiya la groupe doctor islam wasap ili niwez kupat Fawaidu namimi
Baada ya kuelimisha watu kuwachamaovu na kufanya mema unakaa kukosoa wenzako
Docta Islam ni salafi Wala hajikwezi ,kama wanaojikweza Kwa elimu acheni chuki wapo wanamkubali
A.alaykum tunaomba muendelezo wa hii please
Shekhe Gani ata kuonekana haonekani 😂😂😂😂 shida ni uso mbaya ata shauku hana... We umeona wapi mtu anaongea halafu haonekani.. eti picha haramu basi na pesa pia msitumie leteni pesa izooo tuzitumie sie..😂😂😂 majuhhaal wakubwa na upuuzi tu mjuayo basi
daktur hakukosea aliposema hili jamaa lina الطنطنة tu nyingi
Hii channel ya kimbea mbea San kwann mnapenda kugombanisha watu km kweli hao kina mafuat wanataka Haq siwamfuate wamnakish kwann au ndo kuogopa??
Awa kilichowauma dr alipobainisha fitna za kundi lao muhadhara wake ule tanga sabu dr islamu alitumia hoja za shekhe saleh utheiminy Allah amrahamu amebainisha dalili la hili kundi la kina mafuta usalaffi wao sasa si wamradi shekhe yeye alisoma fatuwa zake
Allah Akbar
Manhaj ya ushetani Tu
Hii Da'awah mm mwenyewe siilewi, chuki nyingi dhidi ya Masheikh, sijuwi wanataraji nini hawa mbele ya Allah. Kwa sababu hichi wanacho kifundisha kipo kinyume na mafundisho ya Mtume صلى الله عليه وسلم
Tatizo lako hujui misingi ya daawatu salafiya,,sasa ndio maana waona kutatizwa, ,,,wewe kwa kutokufaham kwako waona ni chuki, unawahofia kukutana na Mola wao vibaya ,,,matatizo unayo wewe usiyejua kuwa usalafy ni nn ،،kwahio kaa chini ndugu yangu usome ndio utajua hii Daawa sio chuki bali ndio Daawa ya mtume, ,,,lkn Faham zikiwa ndogo utabaki kukashifu tu na Hali Tatizo utakuwa nalo wewe.,,angalia haki usijawe na huruma isio na faida,,
Tatizo nyinyimnaangalia kumpendamtu ampomakini naanacho kielimisha mnakibebatu naatamkilekebiswa hamkubali
@@ABUUJAAFAR92Usitudanganye daawa ya mtume ndo kuwatoa watu kwenye sunnah? Kwani mtu akilingania kitabu na sunnah na wema walotangulia maswahaba huyo ni salafi hata bila kujitangaza mimi salafi ulinganizi wake tosha kukujulisha yule salafi sasa na ndo kauli za wanazuoni wetu shekhe utheiminy nae kasema usalafi so kikundi cha mtu binafsi au chama cha watu fulani yeyote nwenye kupita mipito ya quruani na sunnah huyo salafi tatizo linakuja ninyi mmefanya usalafi ni hizbi ya watu maalumu yeyote aso katika ninyi huyo mnamtoa kwenye manhaji ya wema walotangulia ninyi mmekuja na usalafi mpya mapito yenu tofauti na masalafi swalehe awakutoana kwenye njia kama ninyi leo hilo kundi leenu mmeingia cha kike msitufanye sis hatujui maana ya usalafi eeeboo!!!
Ansari sunnah ndo masalafi wa kweli na ukitaka sunnah haswa Hawa wengine kina mafuta na wenzie ni masalafi feki ( majadida) hamna lolote guhuruu na matamanio ila ukitaka sunnh hasa na usalafi wa kweli ni kwa answari tuu nyi wengine vikundi tuuh vya ubabaishaji
Daawa zenu nyote Hazina Athari Kwa Makafiri kazi kushambuliana wenyewe Kwa wenyewe
Sheikh mche Allah kwani ili mtu ili aonekane alingania dawa ya salaf yatakiwa aweje huko ni kujikweza mche Allah.
Kassim mafuta ww pia uitwe shekhe...watakuita sheikhe hao mafidhuli wenzako wasio kua na hekma hata ya kuongea..ETI MIMI SIJUI SIJAFATILIA DARSA ZAKE..Sasa hizo raddi unamraddi Nani kumbe hata humskilizi wala humfatilii. Chuki zako zikumalize mwenyewe ufe nazo. Fidhuli mkubwa
Aah miye nishachoka bwn na hay makundi
Yapo 73 ukichoka utaingia motoni, unalazimika kutokukata tamaa ubaki katika njia ya sawa. Ujitahidi kusoma kwa bidii
Sisi hatupakani mafuta kwa nyuma ya mongo WA chupa wala Sisi hatuna umoja feki pamoja na shekheletu linaasili ya MAFUTA Allah amuhifadhi wallahi NI neema kubwa Sisi ilikuwa hatujui haki iko WP Allhamdulillah allaniimatilislam wassuna allamanhajusalafiy llumma
Wewe ni mwanachuoni lkn Allah amekunyima kitu kimoja ambacho ni hekima na elimu bila hekima ni sawa sawa 0
Uadilifu gani wakuwatukana watu
Umesema neno Shekh Kasim na kulipinga papo hapo, Kwa maana ni kama hujalisema: waarabu wasema: انكنت كذابا فكن ذكارا
Jambo ulosema: ni kwamba husikii darsa za Doktoor, siali, ulijuaje mapungufu na manhaj yake?
Pili: mbona ni Doktoor Islam pekee umefuata hatua zake?
Ujue watu wana akili, usijifungie kwako unadhami ulimwengu umeufunga katika fikra za kuta nne zilizo zunguka chumba chako.
Kuna mashekhe wangapi mbona mno Doktoor Islam, au ni sababu ya umaarufu wake?
Ni kweli twaona umaarufu wake unaumiza moyo wako, ila kwa inswaaf tosheka na alicho kupa Allah, kubali kama walivo tii malaika ubora wa Nabii Adamu Alayhi Salaam, na usipinge kama alivo jiona bora iblis kuliko Nabii Adamu Alayhi Salaam kwa kitendo cha kutomsujudia na kupinga amri ya Allah
Tandika kisawa swa mpaka warudi swa hawa mahizbi na makhurafi hakuna kuwapa nafasi hawa
huo ni ujinga na so usalafi wa kweli ninyi ndo mrudi katika sawa ndomana shekhe utheiminy Allah amrehemu kataja fitna za kundi lenu hilo na dalili zote mnazo hapo amkimbii teteeni ile hojja kimya mpk mpk leo amna alokuja kutetea iyo hoja mnaruka ruka tuuh shekhe islamu yupo kwenye hakki kuliko ninyi majadida
@@user-yj5on8cz3e Sasa ww hizbi nikuulize Mambo mapya gni walileta salaf kama hulingani watu tawheeed na bidaa umerudiwa kwa sababu huu uwanja mnaukimbia kwa kuiangalia maslahi ynu miaka kumi na Tano mtu anafunza vitabu vitatu tu mbona mnahangaika mkae chini mufunze nyinyi mahizbi
Dkt Islam ni salafiyya halisi, na yupo vizuri sana ktk kutangaza daawa salafiyya
Duh!@@twahambowe440
Hicho kikasimu kinajifanya yy ndo.mizani ya sunna
Akitokea mtu akimpinga yy binafsi matatizo yake binafsi
Anajigeuza yy ndo mwenye dini
Kazi yake kutowa watu kwenue uislamu tuu
Uislamu wa namna hii sijui wapi tunaelekea jamani kiburi kimetawala nyoyo zetu na kujitakasha na kujiona huyu hayuko sawa na huyu hayupo sawa😢😢
muendelee kukufurishana mpk siku mtakapotambua kua nyinyi ndo makufar wenyewe.
Hongera TZ kenya lazma waje kusoma bongo
Huyo qasim mafuta hakusoma Kenya?
@@mahatmamgenge subiri uoneshwe kazi wewe wa TZ tuna elimu hio zamani nyinyi mkisoma unguja
Tanzania kila elimu Iko nyinyi vilaza tu subirin na madogo wanapiga shule saizi mtajionea
HASAD HASAD HASAD WALLAH HAYA NDIO MARADHI YENU HASSA WEWE MAFUTA!
Ivi kuna sheikh anaewasema masheikh wenzake Zaid yako ww Kasim?
Ukitaka kuwa jua Mawahabi Kasim mafuta anatosha. Mawahabi hawafurahi kama hawaja fitinisha.
Sheikh abul fadhwli Kasem kweli
1 ima watu wana ujinga (wajinga)
2.Taasubi (ushabiki wa upofu))
Muache shekh wetu Doctor Islam Muhammad
Kwanini umeficha uso wako?iyo ni dalili tosha yakwamba unayozungumza sikweli wewe Kasim muongo
Pili, naomba utufasirie neno lake Allah:
ولا تسبواالذين يدعون من دون الله فيسبوا الله عدوا بغير علم
Inavyoonysha shekh kasim yeye amekamilika kabisa .sidhani kama kama anadoa
😂
Hapa ndipo ninaposikitishwa na mashehe zetu wa kisalafi,hawapambani na makafiri na wanafiq ila hupambana na mashehe wenzao wenye mitazamo tafauti na usalfi,hebu jitasminini hivi mnajenga ama mnauvurua uislam?
Husda tu hamna usalaf hapa ni makhawariji wa zama hii
Toa dalili za ukhawaarij wao yaan usiwe na madai bila hoj
Kuna tabia za watu walio tajwa na mtume saw watazuja karne ya mwisho watakao jitafutia cyeo kwa lazima na kujionyesha wana elimu wakubaliwe kwa lazima kuwa wasomi na hawana chochote. Ndio kama huyu hapa! Mmoja wao. Tafuta jukwaa uwaalike watu ushuhudiwe elimu yako na unayo yaongea sio kujitolea clips kwenye youtube kutaka like na kuongeza point upate malipo. Jichunge na ulimi wako na kuwataja watu wasio kutaja wala hawana shughki na wewe. Ittaqillahi Kassim Mafuta
Asc hii ni kawaida ya wanao Jiita salafiya kundi ya kugawanya waislamu
admin naomba hio picha ya qassim mafuta uweke profile picha yako ya channel,imekukaa sana😂
Umesikia hayo maneno ya swahaba omar pale alipoulizwa من هو الرجل!!؟
Mtachoka na husband, chuki na wivu yenu.
Sheikh Islam Allah Subhana wataala amhifadhi na nyinyi Hizbi Salafi Jadida
Hawa jamaa usipo piya mipito yao we so salafi kaa mipito yao mipya kabisa so ya wema walitangulia yani Allah katupa mtihhani kweli juu ya Hawa watu
Kwani mafuta ana elimu ya kiwango gani? Nataka kujua kama ni zaidi ya doctori sawa
Mbona mmoja mmempa dakika nyingi kujieleza na mwengine mumemuonea ?
Punguza maneno ya huyo mwengine alafu ubakishe ya mwingine! Wala hautoweza maana hapo ni hoja baada ya hoja,,,, kwa dalili
Na hakuna anachoeleza wamwache Dr. Islam atupe elimu. Na kama hamjui asiongelee mtu hamju sifa zake. Dr. Islma ashawai jibu kubusu Salafi na akatoa fatwa ya Ibn Baaz. Sasa wewe mafuta kajipake ututokee hapa.
Tupeni faida za vitabu vya dini kama bulughul maram,,, riyadhu swalihin...hizi za rad hazileti faida kwetu.
الملخص في شرح كتاب التوحيد:
th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CID3wvBMORQakSJ6uD78iXv5.html
TAFSIRI YA QUR'AAN TUKUFU - سورة الطلاق:
th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIA0Wvz6dHrT78AqX_w2e-C8.html
DARSA YA KUSAHIHISHA BAADHI YA IBADA MUHIMU:
th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIDv7MGqWK6pJLpuUtAVYy1Q.html
أخصر المختصرات - كتاب الصيام:
th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIBJHTz0w1iYFXFmpy89ULbk.html
SIRA YA MTUME ﷺ KITABU NUURUL YAQIIN || Sheikh Abul Fadhl Qassim Mafuta Qassim:
th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CICu9k7njI_KWW1wxjHTPhHH.html
🌙DURUUS ZA SWIYAAM:
th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIBOHBMSHqsWxktSob8H1T5b.html
تجديد الإيمان - KUIFANYA UPYA IMAANI:
th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIATWULy7KznCFwDrQ2bCAd0.html
متن الغاية والتقريب في الفقه الشافعي - الدورة العلمية الأولى لطلاب العلم في معهد شيخ الإسلام ابن تيمية للحلقات العلمية ١٤٤٤ه:
th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIB3F4ZjlwSLbGAnfwuDo_7q.html
متن سفينة النجا في أصول الدين والفقه - الدورة العلمية الأولى لطلاب العلم في معهد شيخ الإسلام ابن تيمية للحلقات العلمية ١٤٤٤ه:
th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIAba2whZQPR2VMp7cYaWFlv.html
الحور بعد الكور:
th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CICq8OfcTQXjSX3VVmgEzWmp.html
بواعث الخلاص من الذنوب وهو فصل من كتاب (عدة الصابرين):
th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CICcvj5-Jth2wzq2ihW_uPSq.html
علامات الساعة الصغرى والكبرى:
th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIC5_315DZrMpc0MupdaOQ44.html
Sisi tunajua Faida munazipata nyingi sana lakini Munakuwa Wazito Kuthibitisha Hilo,
Ukisema Tutume darsa za faida! Hivi ni darsa ngapi zimetumwa za faida hamufuatilii?? Kuonesha Kumbe Muko vizuri kufuatilia Ruduud, Kila Ukiangakia Videos za ruduud utaona views nyingi kuliko darasa, kwa hiyo usiwe mchache wa fadhila, Darsa tunatuma na RUDOUD TUNATUMA NA TUTATUMA In Shaa Allah, Kama Kweli Ni Mfuatiliaji Wa Darsa Za faida basi Links izo apo juu afautilia Upate Faida Na Acha Hizi Ruduud Ambazo Kwako Hazina Faida, Baaraka Allah fiykum
ALLAAH ATUONGOZE SISI NA NYINYI KATIKA NJIA SAWA NA ATUTHIBITISHE JUU YAKE.
#HAKKI NI MOJA TU WALA SIO KUMI (10).