𝘿𝙠𝙩 𝙄𝙨𝙡𝙖𝙢 / 𝙆𝙖𝙨𝙞𝙢 𝙈𝙖𝙛𝙪𝙩𝙖| 𝗛𝗼𝗷𝗮 𝗞𝘄𝗮 𝗛𝗼𝗷𝗮 (𝘚𝘦𝘩𝘦𝘮𝘶 𝘠𝘢 𝘒𝘸𝘢𝘯𝘻𝘢)

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 316

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 หลายเดือนก่อน +28

    dr islam mwalimu mzuri sana na anaeleweka na elimu yake ni kubwa na hafarakanishi jamii na wala hajitukuzi wacheni husda na choyo

    • @SaadiaOmar-xd6qg
      @SaadiaOmar-xd6qg หลายเดือนก่อน +3

      Allah amuhifadhi Dr islam, Ameen thumma Ameen

    • @maulidimuhani
      @maulidimuhani 24 วันที่ผ่านมา +1

      sasa kassim mafuta kapata wapi ELIMU, busara na hekima ya kumfikia Dr. Islam ndo maana amekuwa ni mtu wa MATUSI tu,

    • @AbdulqarimhassanSwalehe-sz2er
      @AbdulqarimhassanSwalehe-sz2er 23 วันที่ผ่านมา

      Naam allah amuhifadhi dr islamu

    • @adammagawila9016
      @adammagawila9016 20 วันที่ผ่านมา +1

      Sio husba ndugu hujamwelewa Shekhe kasimu Mafuta.... Ila nakushauli kasome

    • @user-rz9dg5um7x
      @user-rz9dg5um7x 8 วันที่ผ่านมา

      Labda Sheikh Kassim Mafuta ndo hangerudi madrasa. Inawezekan ameisoma dini kwa malengo yakuwa anawatusi ma Sheikh wenzake

  • @chuggaboy9877
    @chuggaboy9877 หลายเดือนก่อน +15

    Dr Islam ni miongoni mwa wanaotoa Darsa safi sana…! Binafsi namkubali kuliko hao wanaomsema!!!

  • @user-ti6tn7bs9q
    @user-ti6tn7bs9q หลายเดือนก่อน +17

    Hamumpati muhuddi Dr Islam yupo juu daimaa

  • @YusufuMustafa-c5m
    @YusufuMustafa-c5m วันที่ผ่านมา

    Shekh Qassim Mafuta allah akuzidishie umri wenye manufaa kwani juhudi unazozifanya za kutuzindua ktk dini yetu ya uislamu ni kubwa sana

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b 15 วันที่ผ่านมา

    Dr islam Allah amlipekher huo mwalim muzur na anawaweza masarafijadida kwahio dr islam tunampenda kwajili ya Allah

  • @abuukarata9653
    @abuukarata9653 หลายเดือนก่อน +6

    Dk ana hekima sana, Allah amjalie

  • @abubakarIddi-vf3bz
    @abubakarIddi-vf3bz 18 วันที่ผ่านมา +1

    بارك الله فيك يا شيخنا خيراً الجزا سيعرفون بعد قليل إنشاء الله

    • @SuleimanYakoub
      @SuleimanYakoub 8 วันที่ผ่านมา

      May Allah bless you too

  • @nassortrans12
    @nassortrans12 หลายเดือนก่อน +13

    Acheni husda kwa dr Islam
    ماشاء الله ماشاء الله ماشاء
    Angalieni darsa zake zaid ya saa na nusu anatoa darsa hatumii karatasi wala kusoma kitabu
    Anatoa darsa kwa kichwa
    Amehifadhi
    Allah amzidishie Elimu
    امين يارب العالمين

    • @YusufAli-gc9cu
      @YusufAli-gc9cu หลายเดือนก่อน +1

      Wacha kupelekwa na hisia za masheikh,,,we fuata haki

    • @chabunu3367
      @chabunu3367 หลายเดือนก่อน

      Sasa hayo kasim mafuta ya Nazi ndiyo hayawezi nakisoma pia hukosea

    • @Onlyforfun1992tube
      @Onlyforfun1992tube หลายเดือนก่อน

      Dini IPO TZ saizi bana sio kenya

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 หลายเดือนก่อน +2

      Dr amesomesha vitabu vingapi?

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 หลายเดือนก่อน

      Wewe umesoma kitabu gani kutoka kwa Dr islaam,,,

  • @AbdulSaid-l9k
    @AbdulSaid-l9k หลายเดือนก่อน +2

    Allah atuongoze

  • @muhamadismail-my1do
    @muhamadismail-my1do หลายเดือนก่อน +7

    Allah akufishe katika wiislam na sunnah juu ya ufahamu wa wema waliotangulia na allah akukutanishe na mtume صلى الله عليه وسلم jannah allahuma amiin

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e หลายเดือนก่อน +2

      Usalafi gani huo wa kuwasema watu vibaya na kuwatoa kwenye dini ? Ndo njia ya walotangulia walikuwa wana watoa watu kwenye sunnah kama ninyi? Uzuri shekhe utheiminy kabainisha futna zenu hatupati shida kabisa wala hamtushughulishi na ujinga wenu

    • @adnanshaban2660
      @adnanshaban2660 23 วันที่ผ่านมา

      Tumuombee Allah amuongoze na amruzuku hekma na uongofu elmu yake ndio imeishia hapo na ujadida wake ndio huo

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 23 วันที่ผ่านมา

      @@adnanshaban2660 unaskia akhy hiki kikundi cha kina mafuta wanachekesha sana wanajiona wapo katika hakki kuliko wengine wanadai wameongoka wakati kuna mashekhe wakubwa wamekilaumu akiwemo utheimeeny kauli yake kabainisha wazi wapo karibu na kupatia lakini wamepotea baadhi ya sehemu eidha wamepotea kabisa leo imefikia kipindi mtu anakwambia kumjuwa mtu wa sunnah tz niyule anae mfata mafuta na kumjuwa mtu wa bidaa au hizb anae mpinga mafuta kwahiyo mashekhe wao ndo wamewwkwa indicator ya kujuwa ww mtu wa sunnah so mtume tena wala swahaba arafu hawasalimiagi watu hata uwe vipi umkubali shekhe wanaomtaka wao ndo utasalimiwa au kujibiwa salamu wakati mimi naskilizaga fatuwa za wanazuoni nilimsikia shekhe fawzan aliulizzwa swala la kumkata mtu inafaa kumsalimia mtu wa bidaah akajibu kama bidaah zake ndogo hazikufurishi utamsalimu au akikusalimu utaitikia ila unamsihi aache bidaa na kumkata mtu kuto msalimu mtu yule mwenye bidaah zinazomkufurisha na kumtoa kwenye uislamu mtu huyo ndo haistahiki kumtolea salamu lakini Hawa mabwana siku zinapoenda ubaya wa pote lao unadhihirika siku hadi siku

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 หลายเดือนก่อน

    بارك الله فيك وجزاك الله خيراً يا شيخنا الفاضل الله يحفظك على ما كنت

  • @spares-repair
    @spares-repair หลายเดือนก่อน +1

    Kabla kutuma comment sikiza video mpaka mwisho. respect kwa dr Islam na sheikh Mafuta kwani hivi ni vita zenu sisi kama wafuasi wasia wetu shikamaneni mufunze dini na mueneze dini ❤

  • @NasoloMheto
    @NasoloMheto หลายเดือนก่อน +2

    Allah akuhifadhini wote na akuongozen kwa huruma yake

  • @ahmedabdulwahab5444
    @ahmedabdulwahab5444 หลายเดือนก่อน +7

    Wacheni Chuki ,Hasad na wivu zenu. Daawa etaendelea bila Nyinyi. ALLAH Subhana wataala amhifadhi .

  • @maulidympembeta6045
    @maulidympembeta6045 2 วันที่ผ่านมา

    Dr.Islam Assalamualaikum. Allah amekujalia unakubalika Kwa hekma ulonayo katka darsa zako na da'wah Yako Sasa kuwa makin na hawa masalaf wasije wakakutoa kwenye mstari , usipende kuwa jib wenzako ndio wanapenda hiyo mipasho . We fundisha watu dini na walinganie . Anayekushambulia Allah atakujibia , kumbuka ile hadith Allah akimpenda mja bac yeye ndiye Huwa macho yake ,miguu yake mdomo wake ........

  • @user-rz9dg5um7x
    @user-rz9dg5um7x หลายเดือนก่อน +9

    Allah akimpa mja wake neema hakuna kiumbe yeyote ambae yuko na uwezo wa kumuondoshea neema hiyo Sheikh Kassim wallah uko na maradhi ya hasad,fitna,khila na khiyana Allah akuongoze na awuponye moyo wako na maradhi hayo aamiin

    • @islaminmyheart9348
      @islaminmyheart9348 8 วันที่ผ่านมา

      Ipi dalili yako juu ya hili? Je? Una ilimu yoyote ututolee? Au ni maneno matupu tu?

  • @OfficialAbdulrashedalhilaly
    @OfficialAbdulrashedalhilaly หลายเดือนก่อน +7

    NIMEHUDHURIA DARSA ZA MASHEIKH MBALI MBALI TANZANIA NA KENYA
    LAKIN DARSA ZA DUKTUUR WALLAHI WAHISI RAHA YA ELIMU KUSOMA CHINI YA SHEIKH ZAAHID TAQIYY نحسبه كذلك والله حسيبه

    • @abuukarata9653
      @abuukarata9653 หลายเดือนก่อน

      Ni msomi kwa mafuta ni wivu tu na husda

  • @ahlulhadeeth
    @ahlulhadeeth หลายเดือนก่อน +4

    Tunasubiri sehemu ya pili sasa.Allah awahifadhi mashekhe wetu kwani tumebainikiwa Barakallahu fykum.

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhani 24 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂 KWAHIYO KASSIM MAFUTA NDIO MWENYE KUWATHIBITISHA NA KUWATOA WATU KTK MANHAJ, Innaa ilaihi w Innaa ilaihi Raajiuun 😂😂😂

  • @bassamawadhi7951
    @bassamawadhi7951 หลายเดือนก่อน +7

    Ukifata Darsa za islam unataka kumsikiliza kila siku na mawaidha yake yanakubadilisha ALHAMDULLAH kwa kutuletea Huyu sheikh EastAfrika masalafi masalafi washamba tu nyinyi mnakuja Yemen kusoma mkitoka mnarudi na Elmu bila Hekma mnasumbua watu, SALAF Ndio njia yetu sisi waislam lkn nyinyi mnajiita masalafi Darsa zenu kazi kujisifia tu kuwa ndio watu wa peponi na wengine wote motoni ALLAH atuhifadhi na atuongoe tuache kujigawa kwa makundi tusimame na QURAN NA SUNNAH AMEEN YA RABB WALLAHY JIANGALIE MPO KWNY HAKI LKN KUJIONA SHEKHE WAKO NDIO BORA KULIKO WENGINE HII INAWAHARIBIA NA KUKOSA HEKMA

    • @ibnayub2374
      @ibnayub2374 หลายเดือนก่อน

      Maneno yako mengi lakn hakuna point ya kuchukua, hebu tafuta history ya sheikh Qasim mafuta.

    • @MohamedHassan-kk5te
      @MohamedHassan-kk5te หลายเดือนก่อน

      Kasim mafuta unabalabala nyingi huna hoja hapa wacha ushamba ww huwez kuwa salafi salafunaswaleh hawatukana hata kidgo

    • @ibnayub2374
      @ibnayub2374 หลายเดือนก่อน +2

      @@MohamedHassan-kk5te
      😁 Ushabiki utawauwa, ni TUSI gan Sheikh Qasim mafuta amemtukana daktar wenu? , huyu daktar Islam kasema Qasim mafuta Ana tabia za kike sio TUSI hilo? Tatzo lenu mmekaa kishabiki mpaka kwenye dini.

    • @topfreelancer5151
      @topfreelancer5151 หลายเดือนก่อน

      ​@@MohamedHassan-kk5teTusi Ili liwe tusi unaona litolewe na mbaya wako sio mzuri wako au sio?

    • @SaeedMohammad-sw7jq
      @SaeedMohammad-sw7jq หลายเดือนก่อน

      ​@@ibnayub2374mbona hajamtaja mtu Ductor, lakini ndio daawa ilivyo, hufichua lile lililokusibu

  • @user-fm8md8ye4r
    @user-fm8md8ye4r หลายเดือนก่อน +6

    Naomba pia Duktur ajirekebishe namna kujibu hoja mie nimeskia akitusi hao masalafi na ametowa maneno machafu sana hakutoa jibu kwa hoja zozote za huyo kasim mafuta

    • @user-qy9qx5hd2u
      @user-qy9qx5hd2u หลายเดือนก่อน

      Ajibu hoja gani wacheni hasadi za shehe kasema semeni kala rasulullah na kala llahu taala wacheni chuki na hasadi na kusemanasemana kama wanawake

    • @sadofaraji5999
      @sadofaraji5999 หลายเดือนก่อน

      Sema hoja gani hakujibu nikuoneshe.

    • @sadofaraji5999
      @sadofaraji5999 หลายเดือนก่อน

      Salafi imekuwa dini,kila dakika salafi,salafi nani atazungumzia uislam

  • @chuggaboy9877
    @chuggaboy9877 หลายเดือนก่อน +5

    Allah amuhifadhi Dr. Islam

  • @user-ec7wu9bk8w
    @user-ec7wu9bk8w หลายเดือนก่อน +3

    Sheikh Mafuta muogope Allah, wanazuoni ninyi ndio chanzo cha faraka na mipasuko ktk kamba ya Allah... Wallah mtaulizwa kwa kila mlichokichunga, sahii ni husda kubwa mwafanyiana mkishaona watu wanapenda darsa za Sheikh Fulani basi utatamani wale watu wote waje kwako wakufuate wewe... Wallah mtihani na Allah atawauliza, moto wa Allah ni mkali mno jamani

  • @Munir-yi8gn
    @Munir-yi8gn หลายเดือนก่อน +3

    Kusomesha watu Riyadh salihin na kutafsiri Quran itakua sawa na kuchambua watu kua yupi ni salafi unatia mtu kwa usalafi mwengine wamtoa wahukumu watu kwani we mungu! Neno salafi ni hilohilo sunnah musije kujipata makhawarij kwa kujiona wachamungu sana!

  • @HamidaMohamed-be5kg
    @HamidaMohamed-be5kg หลายเดือนก่อน +5

    We qassim wafuta ya nazi unapenda sana kupinga mashekh wenzio we inakuhusu na nn ili hali we mwenyewe hukai mombasa hiii

    • @EiddKillo-jw4wm
      @EiddKillo-jw4wm 25 วันที่ผ่านมา

      Kassim mbabaishaji tu hyo

  • @mareeabdalla5739
    @mareeabdalla5739 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu mafuta niwale wanao dhani wao washabashiriw pepo

    • @allykayanda6930
      @allykayanda6930 หลายเดือนก่อน +1

      Kwanza jiangalie mwenyewe ulivo kisha mzungumzie mafuta,wewe umevaa kapelo na suti kama mgaratia namna hiyo 😂😂😂

  • @mengihashimu1081
    @mengihashimu1081 หลายเดือนก่อน

    جزاك الله خيرا يا شيخ

  • @hassanmohdally5217
    @hassanmohdally5217 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe kasimu mafutaa kilaa siku kusemaa wenzio unahusdaa sanaaa unasemaa umsikilizii sasaumejuwaje kamaa haongelei hayoo mambo achaa hizoo mambo shekhe mafutaa kilaa siku

  • @mwanajumanassor9579
    @mwanajumanassor9579 หลายเดือนก่อน

    Huyu sheikh anatabu sana hata masalafi wenziwe wamjua anatabu sana Allah amuongoze

  • @AdamuYusufu-z2c
    @AdamuYusufu-z2c 7 วันที่ผ่านมา

    Sheikh Dr alaakuhifathi

  • @chabunu3367
    @chabunu3367 หลายเดือนก่อน +5

    😂😂😂 Islam hawezi wajibu nyinyi kumbavu ama kweli huja jibu kasim mafuta ya Nazi Islam Hana time ya upuzi songa mbele sheikh Dr Islam Allah akuhifadhi

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl หลายเดือนก่อน

      Tukanatu. Ila sikuyasitlku utajuta

    • @YusufAli-gc9cu
      @YusufAli-gc9cu หลายเดือนก่อน

      Ikiwa maneno ya sheikh qassim yana utata, ili watu wasipotezwe muambieni duktur ayarudi,,, hana haja,,,na wala hawezi kuyajibu maana ni ya haki

    • @chabunu3367
      @chabunu3367 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@HanifaOman-oo4plna nyinyi pia mutakuja juta pakubwa kushukisha heshima za masheikh mambo matatu ya hifadhiwe juu ya mwislamu heshima,damu Mali hatutiweza kuona sheikh Dr heshima yake ikipakwa matope

    • @MussaTendwa
      @MussaTendwa หลายเดือนก่อน

      Hawezi kujibu vipi Sasa katika mazungmzo yake si alisema leta hoja za ki'ilmu ziekwe juu ya meza si ndio zimeekwa Sasa au

    • @chabunu3367
      @chabunu3367 หลายเดือนก่อน

      @@MussaTendwa mjoomba hoja hazijibiwi hivo muambiye kasim mafuta Kuna masheikh kibao wanataka mdahalo hoja kwa hoja yy awe upande wakulia na sheikh upande wa pili kuwe na ummah hapo ndiyo sawa ila kwa hivi nikama anajielewa mwenywe

  • @mikekhalifaali7510
    @mikekhalifaali7510 หลายเดือนก่อน +2

    Dr Islam Muhammad ni Sheikh anatoa Darsa na anafunza vizuri sana sio Jadida

  • @user-ru5hf8zs2m
    @user-ru5hf8zs2m หลายเดือนก่อน +2

    Muhadhara niliusikia wakati ulipotolewa na leo nimeusikia ni kama sijawahi usikia mpya kabisa maa shaa Allah hii ndio manhaj salaf ni elimu tupu uadilifu wa hali ya juu kutoka kwa sheikh Abul Fadhl Allah Amuhifadhi

    • @HusseinAbdul-is9xq
      @HusseinAbdul-is9xq หลายเดือนก่อน

      Allah s.w.t tujarie elimu yenye manufa Duniani na ksho akhera. Na utujarie ufahamu aàmin

  • @OfficialAbdulrashedalhilaly
    @OfficialAbdulrashedalhilaly หลายเดือนก่อน +7

    DUKTUUR ISLAM ALLAH AMHIFADHI NA KILA SHARI SISI TULO KAA CHINI YAKE NDIO TWAMJUA
    ALHAMDULILLAAAH DUKTUUR AMETULIA NA ALLAH AMEMPA HIKMA NA BUSARA KATIKA KULINGANIA
    SHEIKH AMENYOOKA NA UMMA WASHUDIA HILO ISPOKUWA ANAE JIZIMA DATA

  • @faridsaid60
    @faridsaid60 หลายเดือนก่อน +1

    Shekh kassim yuwasema ukweli japo kua ni uchungu kwa wangine haya mambo ni ya allah siya kikabila jamaa

  • @hamudseif
    @hamudseif หลายเดือนก่อน +1

    Leo nimejua huyu(Mafuta) mtupu kabisaaa

    • @harithmenza
      @harithmenza หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @keazi9638
    @keazi9638 22 วันที่ผ่านมา

    Wote mawahabi sisi tukopembeni

  • @rajabTaratibu
    @rajabTaratibu หลายเดือนก่อน

    Allh awaongozen ila jihatadn kuacha ushabik katika din

  • @MuhammadShariff-ji9ye
    @MuhammadShariff-ji9ye หลายเดือนก่อน +2

    Ikiwa hufatilizi darsa zake ulijuaje kama hazungumzi usalafi ilmu ndogo ina shida

  • @MohamedParata
    @MohamedParata หลายเดือนก่อน +2

    Tunakuomba Allah utuhifadh sote Waislamu na waumin

    • @twahambowe440
      @twahambowe440 หลายเดือนก่อน

      Aamiin Aamiin Aamiin

  • @MuhammadShariff-ji9ye
    @MuhammadShariff-ji9ye หลายเดือนก่อน

    Alhamndulilahi tumejua haki Iko wapi

  • @abumuhammad7802
    @abumuhammad7802 หลายเดือนก่อน +5

    Dr. Islam yuko sawa kabisa.

  • @SaidKatuga-qx1xr
    @SaidKatuga-qx1xr หลายเดือนก่อน +4

    We kassim mafuta huna kitu Ni fujo tu Dr. Islam anazungumza vitu vya maana Sana twampenda usiwe na wivu Kama kakuzidi kubali tu we mzee dawa zako we mafuta hazieleweki vituko vitupu.

  • @muniramauj6336
    @muniramauj6336 หลายเดือนก่อน +1

    Kasomeni hamna elmu muacheni dr islam

  • @MohammadSilimu
    @MohammadSilimu 23 วันที่ผ่านมา

    Sheykhe ALLAH. akuongoze ila we upon mbali kabisa na ufaham salafi umebeba misimamo ya ma sheykhe. Zako. Na sio hujielewi sheykhe

  • @IsmailFeruz-bw8hk
    @IsmailFeruz-bw8hk หลายเดือนก่อน +5

    Wewe usimtambue ila East Africa nzima inamtambua kuwa ni عالم معتبر 🤍

  • @abousumayyahhassandjuma1332
    @abousumayyahhassandjuma1332 หลายเดือนก่อน +1

    Masheikh wataambiwa maneno machafu na kutukanwa sababu ni wewe ilo tambuwa na uandaye majibu utampa mola wako hiyo siku.

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 หลายเดือนก่อน +1

    Mumekaa kama wanawake.kazi kuongelea watu badala kufundisha.

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 หลายเดือนก่อน

      Hakuna wanaofundisha na kutoa ilmu kama kina sheikh qaasim mafuta,,,ama kina dr kufundisha wameshindwa ,,,

    • @YusufAli-gc9cu
      @YusufAli-gc9cu หลายเดือนก่อน +1

      Kwani wewe hapo wafanya nini,,,si waongelea watu,,,jike kubwa nwewe

  • @HassaniHusseni-oo8uh
    @HassaniHusseni-oo8uh 19 วันที่ผ่านมา

    Upuuuzi mtupu yani ukiwasikia unaweza ukasema wanauhakika na pepo kwanamna walivyo kua hawana adabu

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhani 24 วันที่ผ่านมา +1

    sasa kassim mafuta kapata wapi ELIMU, busara na hekima ya kumfikia Dr. Islam ndo maana amekuwa ni mtu wa MATUSI tu,

  • @user-qq3yo2ms2k
    @user-qq3yo2ms2k 27 วันที่ผ่านมา

    Ni vizuri awa wawili wakakutana ukae kwa munakasha wa live bila ya fujo za mashabiki wa mtandao ili tujue nani yupo sahihi zaidi

  • @OfficialAbdulrashedalhilaly
    @OfficialAbdulrashedalhilaly หลายเดือนก่อน +5

    Umetutisha na picha za movie za kituruki Tuh Halfu Hamna lolote 😅

  • @ahlulhadeeth
    @ahlulhadeeth หลายเดือนก่อน +1

    لِّيَهۡلِكَ مَنۡ هَلَكَ عَنۢ بَيِّنَةٖ وَيَحۡيَىٰ مَنۡ حَيَّ عَنۢ بَيِّنَةٖۗ

  • @SadaAbdallah-z9t
    @SadaAbdallah-z9t 27 วันที่ผ่านมา

    Kasim mwalim wangu

  • @AbdulSaid-l9k
    @AbdulSaid-l9k หลายเดือนก่อน

    Duu sisi watu wasuna sijui tunashida Gani maana kazi yetu kukosoana

  • @maulidimuhani
    @maulidimuhani 24 วันที่ผ่านมา

    Kumbe kassim mafuta Tangu Dr. Islam aongee miaka ILIYOPITA Aliekuwa Hana uwezo WA kukosoa, alikuwa anaitafuta TU makosa siku zoote, mwamba alikuwa hayaoni, ndo anaibuka sasaivi 😅😅😅😅

  • @user-qe9pd9zk8v
    @user-qe9pd9zk8v หลายเดือนก่อน +4

    Kwani alilingania wapi baatil? Kwani dr islam hafunzi watu kheiri na dini.ama mpaka alinganiye pote yenu ndio atakuwa salaf

  • @OfficialAbdulrashedalhilaly
    @OfficialAbdulrashedalhilaly หลายเดือนก่อน

    ALLAH AKULINDE DUKTUUR ISLAM MWALIMU WETU NA AWATIBU MARADHI YAO HAWA WENYE MARADHI NA HASADI WAKIJIFICHA CHINI YA KIVULI CHA MANHAJ SALAF BILA KUJUA KUWA WANAYO YAFANYA HUKHALIFU MANHAJ SALAF

    • @ahmedrage9664
      @ahmedrage9664 หลายเดือนก่อน

      Wewe Bado mwanafunzi soma dawaa'waah salafiyaaah kwanza, sio maneno ya majihizibi unao tembea nao

    • @HarunaOmar-ip5iv
      @HarunaOmar-ip5iv หลายเดือนก่อน

      Nam shekh wangu ningekuomba kama unawez kunisaidiya la groupe doctor islam wasap ili niwez kupat Fawaidu namimi

  • @Odo10188
    @Odo10188 หลายเดือนก่อน

    Baada ya kuelimisha watu kuwachamaovu na kufanya mema unakaa kukosoa wenzako

  • @mwanajumanassor9579
    @mwanajumanassor9579 หลายเดือนก่อน +1

    Docta Islam ni salafi Wala hajikwezi ,kama wanaojikweza Kwa elimu acheni chuki wapo wanamkubali

  • @jumakhamis5448
    @jumakhamis5448 หลายเดือนก่อน +1

    A.alaykum tunaomba muendelezo wa hii please

  • @user-ti6tn7bs9q
    @user-ti6tn7bs9q หลายเดือนก่อน +1

    Shekhe Gani ata kuonekana haonekani 😂😂😂😂 shida ni uso mbaya ata shauku hana... We umeona wapi mtu anaongea halafu haonekani.. eti picha haramu basi na pesa pia msitumie leteni pesa izooo tuzitumie sie..😂😂😂 majuhhaal wakubwa na upuuzi tu mjuayo basi

  • @GOP-Abdallah
    @GOP-Abdallah หลายเดือนก่อน +5

    daktur hakukosea aliposema hili jamaa lina الطنطنة tu nyingi

  • @WakaliFashionTz
    @WakaliFashionTz หลายเดือนก่อน +2

    Hii channel ya kimbea mbea San kwann mnapenda kugombanisha watu km kweli hao kina mafuat wanataka Haq siwamfuate wamnakish kwann au ndo kuogopa??

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e หลายเดือนก่อน

      Awa kilichowauma dr alipobainisha fitna za kundi lao muhadhara wake ule tanga sabu dr islamu alitumia hoja za shekhe saleh utheiminy Allah amrahamu amebainisha dalili la hili kundi la kina mafuta usalaffi wao sasa si wamradi shekhe yeye alisoma fatuwa zake

  • @bilalmuhaj1211
    @bilalmuhaj1211 หลายเดือนก่อน

    Allah Akbar

  • @uqbahzahor2340
    @uqbahzahor2340 หลายเดือนก่อน +1

    Manhaj ya ushetani Tu

  • @khamiskhamis9947
    @khamiskhamis9947 หลายเดือนก่อน +1

    Hii Da'awah mm mwenyewe siilewi, chuki nyingi dhidi ya Masheikh, sijuwi wanataraji nini hawa mbele ya Allah. Kwa sababu hichi wanacho kifundisha kipo kinyume na mafundisho ya Mtume صلى الله عليه وسلم

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 หลายเดือนก่อน +2

      Tatizo lako hujui misingi ya daawatu salafiya,,sasa ndio maana waona kutatizwa, ,,,wewe kwa kutokufaham kwako waona ni chuki, unawahofia kukutana na Mola wao vibaya ,,,matatizo unayo wewe usiyejua kuwa usalafy ni nn ،،kwahio kaa chini ndugu yangu usome ndio utajua hii Daawa sio chuki bali ndio Daawa ya mtume, ,,,lkn Faham zikiwa ndogo utabaki kukashifu tu na Hali Tatizo utakuwa nalo wewe.,,angalia haki usijawe na huruma isio na faida,,

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl หลายเดือนก่อน

      Tatizo nyinyimnaangalia kumpendamtu ampomakini naanacho kielimisha mnakibebatu naatamkilekebiswa hamkubali

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e หลายเดือนก่อน

      ​@@ABUUJAAFAR92Usitudanganye daawa ya mtume ndo kuwatoa watu kwenye sunnah? Kwani mtu akilingania kitabu na sunnah na wema walotangulia maswahaba huyo ni salafi hata bila kujitangaza mimi salafi ulinganizi wake tosha kukujulisha yule salafi sasa na ndo kauli za wanazuoni wetu shekhe utheiminy nae kasema usalafi so kikundi cha mtu binafsi au chama cha watu fulani yeyote nwenye kupita mipito ya quruani na sunnah huyo salafi tatizo linakuja ninyi mmefanya usalafi ni hizbi ya watu maalumu yeyote aso katika ninyi huyo mnamtoa kwenye manhaji ya wema walotangulia ninyi mmekuja na usalafi mpya mapito yenu tofauti na masalafi swalehe awakutoana kwenye njia kama ninyi leo hilo kundi leenu mmeingia cha kike msitufanye sis hatujui maana ya usalafi eeeboo!!!

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e หลายเดือนก่อน +1

    Ansari sunnah ndo masalafi wa kweli na ukitaka sunnah haswa Hawa wengine kina mafuta na wenzie ni masalafi feki ( majadida) hamna lolote guhuruu na matamanio ila ukitaka sunnh hasa na usalafi wa kweli ni kwa answari tuu nyi wengine vikundi tuuh vya ubabaishaji

  • @bamoclimber4186
    @bamoclimber4186 หลายเดือนก่อน

    Daawa zenu nyote Hazina Athari Kwa Makafiri kazi kushambuliana wenyewe Kwa wenyewe

  • @IsmailFeruz-bw8hk
    @IsmailFeruz-bw8hk หลายเดือนก่อน

    Sheikh mche Allah kwani ili mtu ili aonekane alingania dawa ya salaf yatakiwa aweje huko ni kujikweza mche Allah.

  • @muhammadkhamis8500
    @muhammadkhamis8500 หลายเดือนก่อน +1

    Kassim mafuta ww pia uitwe shekhe...watakuita sheikhe hao mafidhuli wenzako wasio kua na hekma hata ya kuongea..ETI MIMI SIJUI SIJAFATILIA DARSA ZAKE..Sasa hizo raddi unamraddi Nani kumbe hata humskilizi wala humfatilii. Chuki zako zikumalize mwenyewe ufe nazo. Fidhuli mkubwa

  • @salaamibahsan3063
    @salaamibahsan3063 หลายเดือนก่อน

    Aah miye nishachoka bwn na hay makundi

    • @topfreelancer5151
      @topfreelancer5151 หลายเดือนก่อน

      Yapo 73 ukichoka utaingia motoni, unalazimika kutokukata tamaa ubaki katika njia ya sawa. Ujitahidi kusoma kwa bidii

  • @yussufhamad3721
    @yussufhamad3721 หลายเดือนก่อน

    Sisi hatupakani mafuta kwa nyuma ya mongo WA chupa wala Sisi hatuna umoja feki pamoja na shekheletu linaasili ya MAFUTA Allah amuhifadhi wallahi NI neema kubwa Sisi ilikuwa hatujui haki iko WP Allhamdulillah allaniimatilislam wassuna allamanhajusalafiy llumma

  • @IsmailFeruz-bw8hk
    @IsmailFeruz-bw8hk หลายเดือนก่อน

    Wewe ni mwanachuoni lkn Allah amekunyima kitu kimoja ambacho ni hekima na elimu bila hekima ni sawa sawa 0

  • @AdamuBakari-fe6hf
    @AdamuBakari-fe6hf หลายเดือนก่อน +1

    Uadilifu gani wakuwatukana watu

  • @AllyKame-rx2zd
    @AllyKame-rx2zd หลายเดือนก่อน +1

    Umesema neno Shekh Kasim na kulipinga papo hapo, Kwa maana ni kama hujalisema: waarabu wasema: انكنت كذابا فكن ذكارا
    Jambo ulosema: ni kwamba husikii darsa za Doktoor, siali, ulijuaje mapungufu na manhaj yake?
    Pili: mbona ni Doktoor Islam pekee umefuata hatua zake?
    Ujue watu wana akili, usijifungie kwako unadhami ulimwengu umeufunga katika fikra za kuta nne zilizo zunguka chumba chako.
    Kuna mashekhe wangapi mbona mno Doktoor Islam, au ni sababu ya umaarufu wake?
    Ni kweli twaona umaarufu wake unaumiza moyo wako, ila kwa inswaaf tosheka na alicho kupa Allah, kubali kama walivo tii malaika ubora wa Nabii Adamu Alayhi Salaam, na usipinge kama alivo jiona bora iblis kuliko Nabii Adamu Alayhi Salaam kwa kitendo cha kutomsujudia na kupinga amri ya Allah

  • @ExcitedCricketHelmet-wr4sq
    @ExcitedCricketHelmet-wr4sq หลายเดือนก่อน +2

    Tandika kisawa swa mpaka warudi swa hawa mahizbi na makhurafi hakuna kuwapa nafasi hawa

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e หลายเดือนก่อน

      huo ni ujinga na so usalafi wa kweli ninyi ndo mrudi katika sawa ndomana shekhe utheiminy Allah amrehemu kataja fitna za kundi lenu hilo na dalili zote mnazo hapo amkimbii teteeni ile hojja kimya mpk mpk leo amna alokuja kutetea iyo hoja mnaruka ruka tuuh shekhe islamu yupo kwenye hakki kuliko ninyi majadida

    • @ExcitedCricketHelmet-wr4sq
      @ExcitedCricketHelmet-wr4sq หลายเดือนก่อน

      @@user-yj5on8cz3e Sasa ww hizbi nikuulize Mambo mapya gni walileta salaf kama hulingani watu tawheeed na bidaa umerudiwa kwa sababu huu uwanja mnaukimbia kwa kuiangalia maslahi ynu miaka kumi na Tano mtu anafunza vitabu vitatu tu mbona mnahangaika mkae chini mufunze nyinyi mahizbi

    • @twahambowe440
      @twahambowe440 หลายเดือนก่อน +1

      Dkt Islam ni salafiyya halisi, na yupo vizuri sana ktk kutangaza daawa salafiyya

    • @nasilukilawaga2021
      @nasilukilawaga2021 หลายเดือนก่อน

      Duh!​@@twahambowe440

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 26 วันที่ผ่านมา

    Hicho kikasimu kinajifanya yy ndo.mizani ya sunna
    Akitokea mtu akimpinga yy binafsi matatizo yake binafsi
    Anajigeuza yy ndo mwenye dini
    Kazi yake kutowa watu kwenue uislamu tuu

  • @user-bu4du5kn2k
    @user-bu4du5kn2k หลายเดือนก่อน

    Uislamu wa namna hii sijui wapi tunaelekea jamani kiburi kimetawala nyoyo zetu na kujitakasha na kujiona huyu hayuko sawa na huyu hayupo sawa😢😢

  • @user-kg9fn1ph9d
    @user-kg9fn1ph9d หลายเดือนก่อน

    muendelee kukufurishana mpk siku mtakapotambua kua nyinyi ndo makufar wenyewe.

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube หลายเดือนก่อน

    Hongera TZ kenya lazma waje kusoma bongo

    • @mahatmamgenge
      @mahatmamgenge หลายเดือนก่อน

      Huyo qasim mafuta hakusoma Kenya?

    • @Onlyforfun1992tube
      @Onlyforfun1992tube หลายเดือนก่อน

      @@mahatmamgenge subiri uoneshwe kazi wewe wa TZ tuna elimu hio zamani nyinyi mkisoma unguja

    • @Onlyforfun1992tube
      @Onlyforfun1992tube หลายเดือนก่อน

      Tanzania kila elimu Iko nyinyi vilaza tu subirin na madogo wanapiga shule saizi mtajionea

  • @muhammedaloufy4086
    @muhammedaloufy4086 หลายเดือนก่อน

    HASAD HASAD HASAD WALLAH HAYA NDIO MARADHI YENU HASSA WEWE MAFUTA!

  • @hassanmakame4382
    @hassanmakame4382 หลายเดือนก่อน +1

    Ivi kuna sheikh anaewasema masheikh wenzake Zaid yako ww Kasim?

  • @MahmoudKhamis-cv9pi
    @MahmoudKhamis-cv9pi หลายเดือนก่อน

    Ukitaka kuwa jua Mawahabi Kasim mafuta anatosha. Mawahabi hawafurahi kama hawaja fitinisha.

  • @user-qq3yo2ms2k
    @user-qq3yo2ms2k 27 วันที่ผ่านมา

    Sheikh abul fadhwli Kasem kweli
    1 ima watu wana ujinga (wajinga)
    2.Taasubi (ushabiki wa upofu))

  • @HassanSalim-hl8qs
    @HassanSalim-hl8qs หลายเดือนก่อน +4

    Muache shekh wetu Doctor Islam Muhammad

  • @user-rz9dg5um7x
    @user-rz9dg5um7x หลายเดือนก่อน +1

    Kwanini umeficha uso wako?iyo ni dalili tosha yakwamba unayozungumza sikweli wewe Kasim muongo

  • @AllyKame-rx2zd
    @AllyKame-rx2zd หลายเดือนก่อน

    Pili, naomba utufasirie neno lake Allah:
    ولا تسبواالذين يدعون من دون الله فيسبوا الله عدوا بغير علم

  • @abdallahhuseinkabale7534
    @abdallahhuseinkabale7534 หลายเดือนก่อน

    Inavyoonysha shekh kasim yeye amekamilika kabisa .sidhani kama kama anadoa

  • @salimkadenge3231
    @salimkadenge3231 หลายเดือนก่อน +1

    😂

  • @ibrahimmsabah440
    @ibrahimmsabah440 หลายเดือนก่อน

    Hapa ndipo ninaposikitishwa na mashehe zetu wa kisalafi,hawapambani na makafiri na wanafiq ila hupambana na mashehe wenzao wenye mitazamo tafauti na usalfi,hebu jitasminini hivi mnajenga ama mnauvurua uislam?

  • @hassanowgennogenno5740
    @hassanowgennogenno5740 หลายเดือนก่อน +3

    Husda tu hamna usalaf hapa ni makhawariji wa zama hii

    • @sadammakaka4559
      @sadammakaka4559 หลายเดือนก่อน +1

      Toa dalili za ukhawaarij wao yaan usiwe na madai bila hoj

  • @SayyidAhmadBaalawy
    @SayyidAhmadBaalawy หลายเดือนก่อน

    Kuna tabia za watu walio tajwa na mtume saw watazuja karne ya mwisho watakao jitafutia cyeo kwa lazima na kujionyesha wana elimu wakubaliwe kwa lazima kuwa wasomi na hawana chochote. Ndio kama huyu hapa! Mmoja wao. Tafuta jukwaa uwaalike watu ushuhudiwe elimu yako na unayo yaongea sio kujitolea clips kwenye youtube kutaka like na kuongeza point upate malipo. Jichunge na ulimi wako na kuwataja watu wasio kutaja wala hawana shughki na wewe. Ittaqillahi Kassim Mafuta

  • @yussufmahbub7032
    @yussufmahbub7032 หลายเดือนก่อน +1

    Asc hii ni kawaida ya wanao Jiita salafiya kundi ya kugawanya waislamu

  • @GOP-Abdallah
    @GOP-Abdallah หลายเดือนก่อน +1

    admin naomba hio picha ya qassim mafuta uweke profile picha yako ya channel,imekukaa sana😂

  • @IsmailFeruz-bw8hk
    @IsmailFeruz-bw8hk หลายเดือนก่อน

    Umesikia hayo maneno ya swahaba omar pale alipoulizwa من هو الرجل!!؟

  • @ahmedabdulwahab5444
    @ahmedabdulwahab5444 หลายเดือนก่อน +6

    Mtachoka na husband, chuki na wivu yenu.
    Sheikh Islam Allah Subhana wataala amhifadhi na nyinyi Hizbi Salafi Jadida

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e หลายเดือนก่อน

      Hawa jamaa usipo piya mipito yao we so salafi kaa mipito yao mipya kabisa so ya wema walitangulia yani Allah katupa mtihhani kweli juu ya Hawa watu

  • @abuukarata9653
    @abuukarata9653 หลายเดือนก่อน

    Kwani mafuta ana elimu ya kiwango gani? Nataka kujua kama ni zaidi ya doctori sawa

  • @qassimkc5898
    @qassimkc5898 หลายเดือนก่อน

    Mbona mmoja mmempa dakika nyingi kujieleza na mwengine mumemuonea ?

    • @YusufAli-gc9cu
      @YusufAli-gc9cu หลายเดือนก่อน +1

      Punguza maneno ya huyo mwengine alafu ubakishe ya mwingine! Wala hautoweza maana hapo ni hoja baada ya hoja,,,, kwa dalili

    • @rahmahsaidomar9111
      @rahmahsaidomar9111 หลายเดือนก่อน

      Na hakuna anachoeleza wamwache Dr. Islam atupe elimu. Na kama hamjui asiongelee mtu hamju sifa zake. Dr. Islma ashawai jibu kubusu Salafi na akatoa fatwa ya Ibn Baaz. Sasa wewe mafuta kajipake ututokee hapa.

  • @user-vr9jl8dh6c
    @user-vr9jl8dh6c หลายเดือนก่อน

    Tupeni faida za vitabu vya dini kama bulughul maram,,, riyadhu swalihin...hizi za rad hazileti faida kwetu.

    • @AbuuDharry
      @AbuuDharry หลายเดือนก่อน

      الملخص في شرح كتاب التوحيد:
      th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CID3wvBMORQakSJ6uD78iXv5.html
      TAFSIRI YA QUR'AAN TUKUFU - سورة الطلاق:
      th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIA0Wvz6dHrT78AqX_w2e-C8.html
      DARSA YA KUSAHIHISHA BAADHI YA IBADA MUHIMU:
      th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIDv7MGqWK6pJLpuUtAVYy1Q.html
      أخصر المختصرات - كتاب الصيام:
      th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIBJHTz0w1iYFXFmpy89ULbk.html
      SIRA YA MTUME ﷺ KITABU NUURUL YAQIIN || Sheikh Abul Fadhl Qassim Mafuta Qassim:
      th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CICu9k7njI_KWW1wxjHTPhHH.html
      🌙DURUUS ZA SWIYAAM:
      th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIBOHBMSHqsWxktSob8H1T5b.html
      تجديد الإيمان - KUIFANYA UPYA IMAANI:
      th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIATWULy7KznCFwDrQ2bCAd0.html
      متن الغاية والتقريب في الفقه الشافعي - الدورة العلمية الأولى لطلاب العلم في معهد شيخ الإسلام ابن تيمية للحلقات العلمية ١٤٤٤ه‍:
      th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIB3F4ZjlwSLbGAnfwuDo_7q.html
      متن سفينة النجا في أصول الدين والفقه - الدورة العلمية الأولى لطلاب العلم في معهد شيخ الإسلام ابن تيمية للحلقات العلمية ١٤٤٤ه‍:
      th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIAba2whZQPR2VMp7cYaWFlv.html
      الحور بعد الكور:
      th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CICq8OfcTQXjSX3VVmgEzWmp.html
      بواعث الخلاص من الذنوب وهو فصل من كتاب (عدة الصابرين):
      th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CICcvj5-Jth2wzq2ihW_uPSq.html
      علامات الساعة الصغرى والكبرى:
      th-cam.com/play/PLjjoP2EP8CIC5_315DZrMpc0MupdaOQ44.html

    • @AbuuDharry
      @AbuuDharry หลายเดือนก่อน

      Sisi tunajua Faida munazipata nyingi sana lakini Munakuwa Wazito Kuthibitisha Hilo,
      Ukisema Tutume darsa za faida! Hivi ni darsa ngapi zimetumwa za faida hamufuatilii?? Kuonesha Kumbe Muko vizuri kufuatilia Ruduud, Kila Ukiangakia Videos za ruduud utaona views nyingi kuliko darasa, kwa hiyo usiwe mchache wa fadhila, Darsa tunatuma na RUDOUD TUNATUMA NA TUTATUMA In Shaa Allah, Kama Kweli Ni Mfuatiliaji Wa Darsa Za faida basi Links izo apo juu afautilia Upate Faida Na Acha Hizi Ruduud Ambazo Kwako Hazina Faida, Baaraka Allah fiykum
      ALLAAH ATUONGOZE SISI NA NYINYI KATIKA NJIA SAWA NA ATUTHIBITISHE JUU YAKE.
      #HAKKI NI MOJA TU WALA SIO KUMI (10).