Kwakweli nimebarikiwa Sana MUNGU amenipa nguvu Sana kwa ushuhuda wa Mtumishi wake,Ee MUNGU niwekee ulinzi Mimi na familia yangu We BWANA namchukia Sana shetani,DAMU ya YESU iambatane nasi Amina
Kweli Mungu yupo jamani. Tunamuhitaji Mungu sana maishani mwetu. Asante sana baba kwa ushuhuda huu wenye uchungu mkuu. Umeniingia moyoni umenijenga sana. Nitamshikiria Mungu wangu sito muacha.Hongea tupone baba 🙌 nakuombea zaidi baba uinuliwe zaidi Amen 🙏
Ama kweli watu tuko tofauti. Nilianza kumsikiliza mchungaji Magembe kwa shida sababu ya ukali wake madhabahuni ila baadaye nilianza kulia kwa kuguswa na mapito yake. Sikuamini comments zingine kama ya "ijueimanikatoliki", " massawe asietaka shuhuda za uchawi" n.k.
What a touching story,Glory be to God your a live.wacha Mungu aitwe Mungu.Thanks be to God 🙏 you have a great testimony your Moses of today ,God had great plan in your life.Amen Amen Watching from Kenya
Umenitoa Machozi baba mungu akuonekanie kila siku, natamani roho wa mungu, ila mahali niko kuomba ni shida, lakini najua ipo siku mungu wangu amenipangia
Mpendwa inabidi uchukuwe hatua kiimani uanze kuomba kibinafsi,ikiwa mazingira yana upinzani na ukifanya kwa uaminifu,MUNGU ATAKUPIGANIA ila usiruhusu Ibilisi akakubwetesha
Mm husema acha MUNGU aitwe mungu,sababu huyu lusifa jezebel aisee ningemuua kitambo yani shetani ninavyo kuchukia wewe mwenyewe unajua,usijaribu kunisongelea yani mm ni kichwa ngumu wa YESU KRISTO,
Ohhh my God, nitapataje huyu mchungaji?? niko na uzito saaana kwa familia niliozaliwa na nilio olewa hadi watoto wangu ohhhhhhhh nisaidieni nifikie haya maombi
Jane Nairowua
Mtumishi wa Mungu Ushuhuda Ni moto imenitowa machozi Mungu akubariki.
Mungu anawajuwa walio wake haijalishi unafanya maovu gani atakuokoa tuuu barikiwa mtumishi wa Mungu.
Kwakweli nimebarikiwa Sana MUNGU amenipa nguvu Sana kwa ushuhuda wa Mtumishi wake,Ee MUNGU niwekee ulinzi Mimi na familia yangu We BWANA namchukia Sana shetani,DAMU ya YESU iambatane nasi Amina
Kweli Mungu yupo jamani. Tunamuhitaji Mungu sana maishani mwetu. Asante sana baba kwa ushuhuda huu wenye uchungu mkuu. Umeniingia moyoni umenijenga sana. Nitamshikiria Mungu wangu sito muacha.Hongea tupone baba 🙌 nakuombea zaidi baba uinuliwe zaidi Amen 🙏
Amen Kila silaha ya uchawi juu yangu ifutike juu yangu
Mungu peke akutiye nguvu sana.kwakweli tukipata uchuhuda kama nayii uku kwetu Congo itakuwa neema kubwa sana.
Ameen ameen Mungu alikuandaa Sana baba Kwa kazi ya sasa majira kama haya
Wewe ni mpakwa mafuta wa Mungu,asante Yesu kwa kukuinua na kutuletea ushuhuda huu.Kama si Bwana aliyekua pamoja nawe Israel na aseme sasa
MUNGU nimku👍👍👍👍👍👍
Ishuhuda wa ujasiri na Tumsifu Mungu Milele maana Kwake Yote Yanawezekana. Bwana Yesu Asifiwe.
Waaa Mchungaji kama wetu pastor waweru wa dandora ministy
Asante sana Baba ushuhuda wako umeniwezesha kusonga mbele
Mungu n.mkuu sana , matendo yake yanatisha kama nini, kweli Mungu anawajua walio wake, ALELUYA
Ooh baba pole ni kwa sababu ulibeba kusudi la Mungu
Ubarikiwe mzee wetu kwa ushuhuda wako
Hakika nime😭😭😭😭
Past Magembe,Mungu akubariki
Ama kweli watu tuko tofauti. Nilianza kumsikiliza mchungaji Magembe kwa shida sababu ya ukali wake madhabahuni ila baadaye nilianza kulia kwa kuguswa na mapito yake. Sikuamini comments zingine kama ya "ijueimanikatoliki", " massawe asietaka shuhuda za uchawi" n.k.
DAMU YA YESU KRISTO MWANA WA MUNGU IKO KAZINI
God revive us again😭😭 TUKUMBUKE SISI BABA
Mungu ni Mungu wa mipango na akikupangia hakuna hatakaye yapangua kamwa, touching story
Amen amen mtumishi wa Bwana
Powerful testimony .Thank you Jesus Christ for the life of this Man of God .God bless you
What a touching story,Glory be to God your a live.wacha Mungu aitwe Mungu.Thanks be to God 🙏 you have a great testimony your Moses of today ,God had great plan in your life.Amen Amen
Watching from Kenya
Duh mungu anapitisha watu ili wamjue mungu naomb nisaidie kikombe hiki nachopitia kiishe Salama
Duu pole sana nimelia nikikusikiliza😢😢😢😢😢
shalom, watumishi wa mungu asifiwe kwa neno ambalo ameliweka kwa mzee wetu pasta moïse mangembe, naitwa pierre 🤝 📖 🙏
Umenitoa Machozi baba mungu akuonekanie kila siku, natamani roho wa mungu, ila mahali niko kuomba ni shida, lakini najua ipo siku mungu wangu amenipangia
Mpendwa inabidi uchukuwe hatua kiimani uanze kuomba kibinafsi,ikiwa mazingira yana upinzani na ukifanya kwa uaminifu,MUNGU ATAKUPIGANIA ila usiruhusu Ibilisi akakubwetesha
Mungu ni mwema ❤
Ndiyo babuyetu Mungu akubariki azidi kukulida asante kwa ushuhda
Nimetambua kuwa Yesukristo anatupenda ubarikiwe mtumishi
Pole sana baba inauma sana kwakwel lakini pia hongera sana kwa ushindi hakika Mungu alikuchagua hata kabla hujatungwa tumboni mwa mama yako
We wanadamu mnataka Mungu aseme nanyi kwa lugha gani, ili mpate kuelewa
To God be the glory. Utukufu tumpe Mungu.
Kweli yesu ni mwanaume juu ya wanaume
Ee Yesu nirehemu
Aaaaah kweli baba uliitwa tangu haujazaliwa Mungu azidi kukutumia
amen tunamuitaj mung katika maish yetu
Kweli Mungu ana watu wa kujivunia
Mtumishi wa Mungu tumika kwa viwango vya juu zaidi
Na sisi je tutapataje kupona tusipoujali wokovu mkuu namna hii?... Mungu akutetee mtu wa mungu
Umenijenga Sana baba.naomba uje huku Kenya Mombasa kwa uamsho.
Tanzania iko na majemedari wa yesu. Wapo wapi mashujaa wa yesu kenya hii yetu.
Wapo tele tu
Mm husema acha MUNGU aitwe mungu,sababu huyu lusifa jezebel aisee ningemuua kitambo yani shetani ninavyo kuchukia wewe mwenyewe unajua,usijaribu kunisongelea yani mm ni kichwa ngumu wa YESU KRISTO,
😍😍😍
Hii injili niliitafuta saana leo nimei enjoy
Huo mkwala umewashika Nini,mbona
Kimya 😁😁😁😁😁😁
Asante baba,Mungu ni mwema
tunahitaji kumrudia mungu wa kweli si kwa mazoez na kufanya kanisan letu kama dini tu, mungu Yuko malangoni dalili zinaonyesha
GLORY BE TO GOD.
Barikiwa Sana mpakwa mafuta Wa Bwana
Jamani kumbe uchawi upo??? Dah
mung ni mwema 16:22 16:23
Muache azidi kutoa siri zao
Asante Yesu kwa kutupenda
Hakika Mungu anamjua Mtu kabla yakitu chochote
Barikiwa sanaa mtumishi wa mungu
Ubari kiwe sana mutumishi wamugu yesu ndukumbe nasisi😂😂😂😂
Mungu ana watu.
Mwenye maono huwa hafi
Wewe ni shujaa wewe ni Gidion wa sasa
Ubarikiwe sana
Mwenye Sikio na Asikie.
God is great
Mungu amempa utumishi kama wa Moses Kulola.
Kabisa kweli
Kabisaaa
Amen thank you Jesus
Huyu mshikaji lumber ni moto wa kuotea mbali
Powerful testimony
Topic should be Powerful testimony👍
Mungu awe. Nawe daima pole saba unatia uchungu
Amen baba
Kweli.nimeamini.mungu.yuko.na.mungu.anaweza.
Nakukubali sana
Yesu yu hai
Ushuhuda wa huyu Mchungaji ni funzo tosha
Bwana yesu asifiwe
Unafanana na wazee 24 wa enzi zile wakina Ibrahim" musa" isaya"
Glory to God!!
Ameen
Injili yakweli hiyo barikiwa mtumishi
Nguvu ya Mungu
Kanisa la huyu baba linapatikana katika mkoa gan hakika Kuna wokovu na sio lelemama
TAG majumbasita ukonga Banana Dar es salaam.
Rev Moses magembe
Duh! Mama alipotea!??
Ameniiii
Amina
I love god❤❤
Mungu ni mkubwa
Glory to be god
Umegusa moyo wangu mchungaji, nimejihis mwenye hatia
Kweli
Pole sana baba ainuliwe bwana wamajeshi
mwecheni MUNGU aitwe MUNGU
maana yeye ndiyo alivyo
TUMIKA NA MUNGU,,,,,,
Kweli na Mungu hachunguziki nimejifunza kitu kupitia Rv
MUNGU ni MUNGU tu hafananishwi na kitu chochote
Najiuliza huyu mchungaji angekuwa kiongozi wa serekali ingekuwaje?tungenyooka.
Natamani awe Baba yangu wa kiroho.. Anapatikana wapi huyu Mchungaji
TAG Majumbasita,Ukonga Dar es Salaam
Anaitwa mch.Moses Maghembe.
Amen
Ohhh my God, nitapataje huyu mchungaji?? niko na uzito saaana kwa familia niliozaliwa na nilio olewa hadi watoto wangu ohhhhhhhh nisaidieni nifikie haya maombi
Uje Dsm kanisa lolote la T.A.G ulizia kanisani kwa mchungaji Moses Magembe utapelekwa au kuelekezwa
Pole
Asante
Watu waliopitia ukatili Mkubwa utotoni na shida nyingi huwa madikteta wakipata uongozi
True
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mungu mkubwa
Mungu ni mkubwa sana
🙏🙏
An nataman ad kulia
😭😭😭
Kweli MUNGU ni mwema kwetu
Mzee nadhani ukweli upo mahali furani ni ujumbe wa Nabii Branham hapo ndipo ilipokweli
Najua kuwa ukweli uko kwa Yesu na sio kwa Branham maana Yesu ndie njia kweli na uzima. Wewe umetoa wapi hii?
Neema Mgelwa
We mchawi tu hijo zote fix
Magufuli amuite huyu Ikulu aone atakavyochanwa makavu live
Duu yani wewe toto jinga
Daa
Namba yake naiomba
Du!