Mch Moses Magembe - UTAENDA WAPI BAADA YA KUFA? | KAMPENI YA UAMSHO TANZANIA - LINDI NACHINGWEA 02
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ค. 2022
- Siku ya Pili ya mkutano wa Injili katika viwanja vya TAG Mnala wa Vodacom Wilayani Nachingwea Mkoani Lindi katika kampeni ya UAMSHO TANZANIA chini ya Mch Moses Magembe.
Ujumbe: UTAENDA WAPI BAADA YA KUFA?
Andiko: LUKA 16:19-31
Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
Tarehe: 07.07.2022
Mchungaji wa Tanzania Magembe shikamoo. Nilikuwa sijawahi kukufuatilia nimekuelewa sana 🙌🙌🙌🙌🙌🤝
Nashukuru mungu kwa kuwa mkristo mi huwa nawasikiliza watumishi wote wa mungu bila kubagua mchungji mungu akulinde saana
Amen, nime barikiwa na ujumbe; Mungu Akubariki baba
Mungu akubariki sana baba najifunza mengi kwako, Bwana azidi kukutumia Mungu ndani yangu ameweka msukumo mkubwa wa kufanya kazi unayoifanya natamani kukufikia ili nijifunze zaidi
Amen Nachingwea kwa Yesu Amen watakatifu tuzidi kukaza mwendo na tuzidi k utia bidii kuyaishi maisha matakatifu
Hiyo ndiyo injili tunayoipenda ya kusisimua maisha yetu ya kiroho.
amjambo baba Muchungaji MAGEMBE, asante kwa kunifufua tena kiroho kupitia mahubiri haya, asante saana kwa Neno hili, ni mimi LANDRY Bunyuti napatikana DRCongo mjini Uvira, nahitaji tena musaada wako baba.
Ameni baba unazungumza vitu vya ukweli kabisa nakupenda sana baba yangu ubarikiwe sana sijawahi kukuona natamani sikumoja nikuone.🙏
Mchungaji anahubiri vizuri sana, anatupa neno last uzima❤
Be blessed pastor
Sifa kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Mungu akubariki kwa ufunuo mkubwa kuusu maisha baaada ya kufa.
Very inspiring message
All The way from The UK ...Nabarikiwa sana na Baba Magembe,Natamani siku ahubiri pamoja na Askofu Maboya kabisa liwe na umoja!!
Barikiwa mtumishi
Yesu akubariki Baba
Amen Mchungaji tunakufuata.
Ubarikiwe sana baba mchungaki Magembe kwa kazi yako njema Mungu aendelee kkukutunza.
Aminaa
AMINA Mtumishiiii wa MUNGU.... Binafsi huwa nakuelewa na ninakufuatilia Sana ipo Siku nitakuja kanisani Kwako 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🏆🏆🏆❣️❣️
Following from Paris France 🇫🇷
AMINAAAAA
Ubarikiwe sana Baba, mahubiri mazuri sana.
Asante tumebarikiwa na ujumbe wako mzuri mtumishi!
Ubarikiwe sana
Barikiwa baba
Ubarikiwe mchungaji kiongozi wetu YESU KRISTO azidi kkuinua.
Amen , na muuje apa Moz-Nampula mu iyuubiri injili
Hallelujah 🙌🏾
Ubarikiwe sana baba hakika tunabarikiwa sana na huduma yako unafundisha kweli
Amina mtumishi. Mungu akubariki sana kwa kufungia akili za watu wengi tulikuwa hatujuwi mambo haya sasa tumepata luelewa mungu akubariki sanaa
Tunaelewna mch🙏
Maisha malefu mtumishi !!?...more greatings from ...Kenya...watamu.
Amen
Ubarikiwe Mteule wa Mungu somo kubwa sana hili
Amina. Nimebarikiwa kutoka kenya 🇰🇪
Mungu akubariki Sana, mafundisho yakweli yanatujenga, Asante sana Baba,
Mungu akubariki sana sana Hadija kwa kufuatilia mahubiri haya. Mungu ni mwema sana.
Tuko pamoja mchungaji, ubarikiwe sana ndugu.
Ubarikiwe sana Baba
Amina barikiwa mtumishi wa Mungu .. nakupata vizuri sana kutoka dsm
AMEN
MUNGU azidi kukutunza kuanzia huduma adi kimwili barikiwa sana baba
Amen mubarikiwe Sana ndugu zangu Mimi ni Mchirika wa Haskofu DANIFORD BURUMELA kotoka msumbiji❤❤❤
Mungu akubariki sana baba naomba Unilee Sina baba tangu 2010 nimekuwa hewani TU Mzee wangu.
Tangu Niko sikilize mahubiri sija wai sikia mihuniri kama n'a Huyu, baba Mwenyezi Mungu akubariki saana naendeleetu kukutia nguvu
Mungu azidi kukutumia sana kwa utukufu wake
Eden Ndunguru kitoka Mbinga Ruvuma; Amini nakuelewa sana Baba Mchungaji Magembe, mahubiri Yako yanahuwisha nafsi yangu ubarikiwe sana na uzidi kuongezewa miaka ya kuishi ktk injiri
Amen × 15
Nakuelewa sana baba mungu akubaliki
Barikiwa sana baba .Rev.M.Magembe
Amina
Nimebarikiwa sana mchungaji, mungu akutie nguvu
Mungu akubariki baba kwa injili ya kweli
♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Yesu akutunze baba ubarikiwe Sana kwa neno lililo hai
Amina nimepokeya Kwa jina la Yesu 🇺🇸
Mungu Ni mwema Mimi naitwa Frank range Niko pwani kibaha 🙌🙌🙌🙌🤲
Amina mzee wangu MUNGU akufanishie kifo chema ukapumuzike mbinguni salama mzee wangu maana kazi yako ni njema unayo ifanya yakuhubiri kweli sio mchezo kuhiubili kweli mzee wangu MUNGU akubaliki sana mimi binafsi mzee wangu ninakupenda sana mzee wangu
MUNGU ampe maisha marefu sana bado tunamuhitaji Baba yetu....,hayo masuala ya kifo sio ya kuongelea sasa hivi.
Asante kwa ujumla huu mzito baba
Ubarikiwe baba mungu akubariki sana
Franchement merci SEIGNEUR pour ce serviteur digne.
Bien soit-il, amen
Amina Kwa mungu
Hongera kwa huduma nzuri.
Ubarikiwe sana baba Muchungaji
arurururururur aka rururururu asante baba barikiwa
Ubarikiwe sana Mcungaji
aminaa san
Amina Amina hi yo nikweri nashetani asikiye
Ubarikiwe baba
na muogopa Mungu ni Mungu wa vita🔥🔥🔥🔥
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu
Barikiwa saan mchungaji
Yesu akuongeze miaka ya kuishi
Amena pasta Sisi tuna amini Bada yakufa kama niwazambi ukumu kama niwamatende mema uzima wamilele amena
Tumebarikiwa Sana
Amen ubarikiwe mtu wa mungu umekuwa wa baraka
Mungu aendelee kukutumia baba
Jamani mi naomba mnipe fungu ambalo Yesu aliomba kwa kupiga kelele hivo
Ukijazwa na ROHO MTAKATIFU huwezi kujizuia soma matendo 2;1...... utaona ilikuwaje ubarikiwe....🙏🙏🙏🙏🙏
Usitawaliwe na udheebu tia akiki kichwani mwako
Ubarikiwe baba
Amina MTUMISHI wa mungu
Amen amen amen ubarikiwe sana
Amina barikiwa
Baba mchungaji nakuelewa
Ubarikiwe Baba
Safiiiiiiiiiiiiiiii kabisa💪🙏amina
Mungu akubariki Mtumishi
Amina mubwa jasusi wa Yesu
Aaamen
Nachingwea kumepambazuka 🔥
Mungu atusaidie ,🙏
Amen.Mungu ni mwema
Hadi watoto wametiishwa amen
Amen Baba
Ameen
Je félicite le RV.moses pour toujour
Barikiwa sanaaaa
Amina baba
Mungu atusaidie maana walio wengi tumefuata uongo wa dunia tunakuja mbele zako tunainamisha macho yetu chini Kwa aibu tumekutenda thambi utuhurumie ee bwana tusamehe😂🙏
Asante baba
nabarikiwa kutoka kenya
Jesus is able to change everything
Aminaaaaaaa
Somo nzuri
❤amina
Amen Amen