Subhanallah yaaani imefika hapo baada ya kua alipokwenda lamu waomba nafasi ya duruus wakanyimwa baadae unasema msikiti wa Allah subhannahu wa taala ni wa fitna mwogope Allah bana upotoshaji wenu ndo unasababisha kuwe hivi zueni polepole ila mjue kila mnalosema yako kwa rekodi za malaika n mjue kuchafua masheikh wetu watasafisha n naswaha zako baki nayo usimpe bachu
Dini si moja kisheria ya kinchi sasa wanakatazwa vp ama tukijenga msikiti kericho tukatazwe tutaona vp lkn hii fitna baina yetu ndio inayopaswa kuongelewa..
Hasbünallah WAN imal wakil,Allah ni ndie mjuzi wa yote,Haifai kuzua na kuhusudu,Allah hayapendi haya,tuziogope nyumba za Allah,Kwa visingizio,tusivyokua na elimu navyo.
Alakh mzungumzaji muogope Allah mimi ni msufi lakin naona kuingilia niya za watu na kufananisha mskiti ni kama masjid dhwiraar... Tumuogope Allah wallahi ..kuna hesabu mbele ya Allah ..
@@Muislamu hiyo kumuogopa Allah yaenda kwa kila MTU pia yakurudia wewe mwenyewe,eti kuingilia Nia za watu wakati Nia zimewekwa wazi,kilichofananishwa ni nai ya kujenga msikiti kama masjid dhwirar ilikuwa ni kufarakanisha waislamu basi na hiyo ndio Nia ya bachu alioidhihirisha mwenyewe kupitia post zake na maneno yake
Assalam Aleykum. Kila mmoja ana fungu lake kwa Mwenyezi Mungu, not in your place kumhukumu kwa Yale aliyofanya ama iwe sababu ya kuukata Msikiti na kuwaambia watu Msikiti ni wa ukafiri wala kumwingilia yeye Muhammad Bachu, hata pia Ali Abubakar kwa yote wafanyayo. Sasa walingania watu kwa Ucha Mungu ama kuwapotosha watu waingie kwa madhambi. Jazakallahu Khayr.
Mimi Sisomi maulid hila nili wafwatilya kwa umakini sana nikagundua wao uzna kwa kusoma quran na kumswaliya mtume Mohammad (S.A W) na kusomesha ama kuelezea hitoriya yake tu.
Ya haqi yatabainika n yabatwil yatapotea In Sha Allah. Ila hii yenu sheikh naikataa Mmejaa fitna Mmejaa uongo Mmejaa upotovu Pka wenzenu wakitaka kujenga msikiti mnapinga Hii yenu ndio mnaita dini ? Watu wanaswali na matwari msikitini,ala za muziki ndani ya msikiti Mfungo sita mnaenda kupigia maiti magoti mkiomba msaada Mkiomba cjui awape barka Mkiomba awape barka Allah awasamehe lkn yenu hapana Kujengea makaburi Kueka adi mabati ili asipatikane n jua😂😂😂bdo mnajiita hii ndio dini Kupamba makaburi
Sufi ni Ahlul Twariqah sawwiyya hatutukani watu khaswa ndugu zetu waislamu. Lakini tizama comments za mawahabi matukano na kejeli. Mungu atuongoze na atupe husnil khatima Aamiin. Na shukran ustadh Muhsin ambae ataelewa ataelewa na ambae hataki kuwelewa inshaAllah kheri. جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الأستاذ محسن. تقبل الله طاعتكم وصالح أعمالكم و كل عام وانتم بألف خير وصحة وعافية وستر يارب العالمين. اللهم آمين يارب العالمين.
kawaida ya haqqi ikiingia mahali hukubalika kwa uwepesi,sio masala ya agenda wala nn,hii ayah moja tu ni jawabu tosha kwako وقل جاء الحق وزهق الباطل إن الباطل كان زهوقا
Chuki na husda zimekumbata kama mlivyo familia mzima hukuanza ww wameanza wakubwa zenu kina watoto wa sharifu Muhammad waliskia uchungu sana sana walipoikosa ardhi iliyoa jengwa masjid TAWHID MAMBRUI.PWIRUUUUU.mumezoea watu wazeeke kwenye ushirikina kumekucha ANKALI TUTAJENGA MISKITI MINGI IN SHAA ALLAH NA BDO.
Nakupa homework (kamuulize Muntamani alitakakutoa pesa ngani ili mawahabi wasiupate ardhi iliojengwa Masjid TAWHID.LAKINI ALLAH kwa rehma zake mwenye ardhi mzee wetu ISLAM ALLAH AMPE AFYA NJEMAA AKAWAPA MAWAHABI ARDHI WAJENGE KWA PESA NGAPI.😂😂😂😂😂😂😂
Dhulumu utakalo, chafulia utakalo, zuia sunnah utakalo, tetea bid'a na ushirikina na upotovu utakalo, paka matope watu wa Sunnah utakalo lakini maisha ya mja ni 63 au hapo vile mtume s.a.w ametuambia na wewe utaenda mbele ya hakimu wa haki na bila shaka utahesabiwa vilivyo. عش ماشئت فإنك ميت،واعمل ما شئت فإنك مَجْزِيٌّ به
Mashia wanajenga misiki kila pembe Lamu na masufi hamneni lolote lakini msikiti ya sunnah ikipatikana mnapinga kila namna...may Allah curse those against the spread of the haq
Kutokua n elmu ,fitna ,ujahil ,n chuki ndio zinawepeleka huku ... Makanisa yte yanajengwa lamu hakuna anaeingilia kati hili suala,hakuna anaelamika Kujengwa msikiti ndio imekua mmeinua maskio yenu? Ivi inamaana mnasupport sana ukristo kuliko dini ya kiislamu ? ALLAH AWAONGOZE AKUPUNGUZIE UNAFKI SHEIKH
😅😅😅 Wallahi vituko vya hawa twarika jamaa za matwalaga balaa sana, Shafii Basalim alivyo jitokeza na kumtukana sana mwanachuoni Sheikh ISLAM IBNI TAYMIA walikua kimya sana kama hawapo wala hawamsikii alafu leo Shiekh M.Bachu kawa sababu ya kujengwa msikitini wamejitokeza na Aya kubwa kubwa ili kupinga sunna isijengwe na kuendelea Wallahi balaa sana.
Acha urongo Wahhabi mmoja ww,matwariqa twawaheshimu watu wote!!UST said shirazi aliefanya mjadala na bachu alimtolea video shafii basalim zaidi ya video tatu akimkanya shafii basalim asimtukane Ibnu Taymiyyah,UST fakhruddin Ibn Muhsin Jamalulleyl pia alimtolea UST Shafii basalim asimtukane Ibnu Taymiyyah,Sisi ni watu wenye inswaaf na wenye kusimama kwa haqqi,mwenye shafii basalim amekataa haskii
Haya njoo kwenu sasa mawahhabi Yule bachu hakumtukana barzanji,hakumtuna Habib jufri,kuna sheikh yeyote wa mawahhabi aliejitokeza na kumkanya?hamna inswaaf na urongo juu pia mwasema
@@answarmohamed4564 Please nitumie video moja alio mtukana Barzanji au huo jufri alie ridhi kilemba cha Mtume mpaka sasa anacho tuma ushaidi wa Bachu kumtukana mwanawazuoni.
Acheni husda,roho mbaya,na choyo.Sheikh Muhammad Bachu anawapotosha watu kwa kipi?hemu elezea hayo anayopotosha,huu ubaya hausaidii,na ndo mnazidi kumpandisha Darja,watu kumfwatilia zaid,maana M Mungu ndo ashataka kumpandisha mja wake.sasa hata mukijaribu kumchafua ni bure,acheni hizi husda,ubaya na choyo
@@abuarifhassan6316tatizo hujui kinachoendelea Msikiti unajengwa kijijini ofcz N msikiti uliopo hapo n mmoja Msikiti huo wenzenu wamekatazwa kuingia ndani I think Kuna kitu hujaelewa Ndiposa wakiamua wajenge msikiti wao Mlikua mnataka waswali nyumbani ?
@@ABUUUTHEYMINMADEGHE haqqi gani?kama mlivyoingia mambrui na lamu kwa vishindo mambrui ni ileile na lamu ni ileile,mlikuja na makina na vishindo,makina ni ileile,hamna haqqi katika kuwagawanya waislamu ispokuwa ni ukhawarij tu
@@sheikhyusufdiwan2489 MashaAllah Yusuf Diwani ndugu yake Shafii Basalim mtu wakupiga vita watu wasunna na kuwaacha Mashia InshaAllah Allah akufungue macho na moyo ilimu ulio nayo isikushtaki kesho mbele ya Allah.
Sasa Nyinyi Mulofunga msikiti Huko Sio Kugawanya waumini Hatakama hao Mawahabi Niwanafik Lakini mtume hakuwafungia wala hakuwafukuza Nyinyi pia mwafarikisha umma nanisifa ya unafiq
hakufukuzwa mwanzo hiyo ni tabia ya mawahhabi kufkuza watu miskitini...wenye kusimamia msikiti na mikakati yao na mipangilio yao walikataa ASIZUNGUMZE,lakini hakufukuzwa huchi kusema urongo?
@@answarmohamed4564ww ndio unasema uongo Hujui lolote yaliojiri watu wametolewa msikitini N wakitaka kujenga wao bdo mnayumba yumba Hivi hamujiskii aibu ? Ni laana ya mungu imewafuata ndio mana mnapiga makelele yasiokua n maana
ukıona hivi ujue kuwa Hii ni dalili ya 1- UOGA 2- Ni upungufu wa TAWHEED Tutaıtangaza sunna kwa hali na maliiii Watqariqa mmeiharibu dni kwa mda sanaaa ! Ata AbdulWahab alipigwa vita sana !
Uoga?yaani wewe kwa akili zako waislamu kugawanywa na watu kutoa tahadhari ni uoga 😂😂😂halafu wamaanisha kutaingia Tawheed,wamaanisha kule lamu mpaka Saa hii hamna waislamu wote ni washirikina?yaani nyinyi mawahhabi hamjielewi hii dini hamuwezi kutumia,acheni ukhawarij kukufurisha waislamu
Ujasiri gani huo ulionao kuzitolea hukmu miskiti ya Allah kwenye ardhi hii?ikiwa mtume mwenyewe hakujua malengo ya mskiti wa dhiraar mpaka alipotereemshiwa wahi?lakini wewe watoa hukmu moja kwa moja Chuki zako na za babako kwa watu wa sunnah zitawapelekea pabaya kaka
@@GOP-Abdallah huyo Baba ya MTU marehemu hizo chuki zake unzitoa wapi,wamlaumu MTU ywahukumu kisha we mwenyewe ndio wa Kwanza mwenye maradhi hayo!bachu ameyaweka wazi mwenyewe wale wanafik waliyaficha Bachu ameyatangaza!!!kila kitu kiko wazi na post zake tumeziona!!!mwenye chuki ni wewe na bachu
Sasa ww shekhe unaumizwa na nini.kuna miskiti mingi ya kishia ambao wanawatukana maswahaba na wakeze Mtume s.a.w.hujapatapo kuisema miskiti hiyo.chuki haifai utaenda kuulizwa.tatzo hamtaki kufuata sunna ndio imekuwa ugomvi mkubwa mushazoea kupiga ngoma tu.
ACHA UPUMBAVU UWO WEWEE : INABIDI UNATAKA KUSEMA KWAMBA WATU WALIO KINYUME NA UWO UPUMBAVU WENU WAKIJENGA MSIKITI NDO UNA UFANANANISHA NA UWO AMBAO ALLAH AMEUZUNGUMZA KTK QUR AN ? ACHA UPUMBAVU NA UJINGA UWOO.
watu wa sunnah lazima tuwe na miaikiti yetu hatuwezi kuswali misikiti yenu masufi kwa sababu baadhi ya misikiti yenu ina makaburi jambo hilo ni kinyume na itikadi yetu masunni
Kiufupu mashekhe wengi sasa hivi wameacha kuioigania Qur'an na sunna kurudi katika heshima yake wanafatana wenyewe kwa wenyewe wakilumbana hivi mnafkiri kwa style hii tutachukua ilmu kutoka kwenu wakati nyinyi wenyewe haiwanifaishi na chochote mumekua kama makundi ya kiyahudi na manaswara
Shekhe kama hauna kazi bora kaa kimya na ukae nyumban na ulie watoto uko nyumban acha vitna shekhe wangu. mbona kwenye Miskiti yetu kuna viotezo, vya nn kama sio ya aya unaoisoma na mahatibu wanaumwa kila siku na kukataa mawaidha!
Unajua kuwa hata Rasuulullah alipokuwa analingania dini alikuwa anasimangwa na kudharaulia mpk kupigwa mawe akawa anaambia analeta dini ngeni sio ya baba zake. Lkn hakuchoka kulingania na ndo mpk sasa tunaisoma. Bayana ikikufikia usije ukasema sikujua au sikuambiwa. Kufuata au kuacha kufuata ni wewe na nafsi yako. Allah atuongoze
@@AbdillahSOthman yaani wamfananisha bachu na mtumi Swallallahu Alayhi wasallam,mawahhabi hamna mipaka,halafu kwani lamu hamna dini miaka yote?hamna la zaidi hata mkajaribu kuteteana ispokuwa ni kutaka kuleta mgongano Bana ya waislamu
A/a ee sheikh ogopa mwenyezimgu usitafsiri aya za mwenyezimgu in your own opinion, sasa wewe alkaaba na msikiti wa madina unaendeshwa na dhehebu gani ambao misikiti hiyo miwili mitakatifu ulimwenguni una endeshwa na wahabi.
Iyo nichuki yenu maghurafi msingi unaporwa bl maghurafi mnaogopa sasaivi watu hawataki tena maulidi kwani ndani ya msikiti wanaletwa wageni sindohaohao maamumawenu iyo ndo dalili ya kwamba watu wamechoshwa nayinyi maghurafi wakata viuno
MANENO MENGI NA MSIKITI WAENDELEA KUJENGWA. INGEKUWA VIZURI KAMA UNGEMTAFUTA ALIETOA ARDHI ABADILI NIA YAKE. LAKINI UMEKAA WAREKODI VIDEO JISAA ZIMA BILA YA FAIDA YOYOTE NA MSIKITI WASIMAMA. AMA LABDA WATAFUTA UMAARUFU KUPITIA MOHAMED BACHU?
Kwani shida kubwa ni nini kwetu waislamu?? Kweli tunashindwa kukaa sehemu moja tukaelewana na kuepusha mambo kama haya ya kusimama kwenye mitandao kusemana vibaya.. Cha ajabu ni kuwa hakuna mtu anaejua nini kilichopo katika moyo wa mtu mwengine.. Kila mmoja anajiona yupo sawa na kujitukuza wakati Allah anasema msizitukuze nafsi zenu yeye ndie anaejua nani mchamungu.. Ah sawa endeleeni
Kwani sahiv haifatwi sunnah unaposema masjid sunni fungua macho na masikio kaka na kama una swali mtafute muhsin yupo bamburi mutaelewana zaidi kidini..
Ushamskia huyo anaezungumza akiswalisha?ama wataka awe kama bachu akiingia kiblani ajirekodi halafu aandike ma Sha Allah sikia sauti mzuri iyo😂😂😂watu na ikhlaas zao
@@GOP-Abdallah hao wajua yalio kwenye mioyo Yao wenyewe hawatudhihirishii kama bachu kutuambia sikiza sauti mzuri 😅😅,usioambia watu wazingatie maneno ya Allah watuambia tuzingatie sauti mzuri, 😅🤣🤣 Riyaa za wazi
Nyinyi mashekhe munawaelekeza na kuwapeleka wapi waislam!! Kaeni muzungumze kwa busara leo kila shekh ana TH-cam yake apambane na mwezake, kweli tutafika wapi
Kuna Siri ambayo twaeza kuitaja ya huyu muhsin Ali bute kwa ushahidi lakini Wacha tunyamaze WEWE LETENI UKHABITHI WENU TU WA KUTIWA MAJI NA MABWAN ZENU Mbwaa weweee
Chambilecho misikiti tunayo mingi kwann msijenge islamic institute ili vijana wakiislam wajifunze ujuzi wa kikazi na mambo mengineo ama mujenge madaris kubwa ya kisasa wanafunzi wasome bila malipo..
Malipo ya Kila mja ajuae ni Allah sisi tusubirie rehma za Alla tu bila Hivyo tupo kwenye mazito Allahu aturemu sote waislam allamma aamiin
Subhanallah yaaani imefika hapo baada ya kua alipokwenda lamu waomba nafasi ya duruus wakanyimwa baadae unasema msikiti wa Allah subhannahu wa taala ni wa fitna mwogope Allah bana upotoshaji wenu ndo unasababisha kuwe hivi zueni polepole ila mjue kila mnalosema yako kwa rekodi za malaika n mjue kuchafua masheikh wetu watasafisha n naswaha zako baki nayo usimpe bachu
Waislamu wameona haki ndio wakawa mawahabi, Mawahabi hawataki tena shirki zenu.
LAMU YAMEJENGWA MAKINISA NCHUNGU MZIMA HAKUNA ALIESEMA HAKUNA ALIEPINGA LEO KWAJENGWA MSIKITI WA TAWHID NDIO KERO SUBHANALLAH ALLAH ATUONGOZE
Dini si moja kisheria ya kinchi sasa wanakatazwa vp ama tukijenga msikiti kericho tukatazwe tutaona vp lkn hii fitna baina yetu ndio inayopaswa kuongelewa..
@@abuarifhassan6316Kujengwa msikiti ndio mnaona fitna ?
astaghfirullah
Twaangalia Imani zetu SI Imani za watu wengine ....tujiangalie sisi vipi kwanza tutakuwa kitu kimoja
@@abuhassan9552 tauhd 3 z bid'aa?na kuwakufurisha wailm wnzenu wkt nyny ndo washirikina wa tawhd 3
AFADHALI KANISA KULIKO MSIKITI WA MAWAHABI
Mohamed bachu na wenyeji wake wamefanya jambo zuri
Hasbünallah WAN imal wakil,Allah ni ndie mjuzi wa yote,Haifai kuzua na kuhusudu,Allah hayapendi haya,tuziogope nyumba za Allah,Kwa visingizio,tusivyokua na elimu navyo.
Hayo yarudi kwenu mawahhabi
Nyinyi ndio wenye husda kutamani kupora na kuibia mskiti ya watu,acheni husda mawahhabi na mumche Allah
Asante sana sheikh kuweka wazi kinacho dhihiri kuwa makini sana na hawa watu
Alakh mzungumzaji muogope Allah mimi ni msufi lakin naona kuingilia niya za watu na kufananisha mskiti ni kama masjid dhwiraar...
Tumuogope Allah wallahi ..kuna hesabu mbele ya Allah ..
@@Muislamu hiyo kumuogopa Allah yaenda kwa kila MTU pia yakurudia wewe mwenyewe,eti kuingilia Nia za watu wakati Nia zimewekwa wazi,kilichofananishwa ni nai ya kujenga msikiti kama masjid dhwirar ilikuwa ni kufarakanisha waislamu basi na hiyo ndio Nia ya bachu alioidhihirisha mwenyewe kupitia post zake na maneno yake
Assalam Aleykum.
Kila mmoja ana fungu lake kwa Mwenyezi Mungu, not in your place kumhukumu kwa Yale aliyofanya ama iwe sababu ya kuukata Msikiti na kuwaambia watu Msikiti ni wa ukafiri wala kumwingilia yeye Muhammad Bachu, hata pia Ali Abubakar kwa yote wafanyayo. Sasa walingania watu kwa Ucha Mungu ama kuwapotosha watu waingie kwa madhambi.
Jazakallahu Khayr.
inshaa Allah masjid sunnah yatakuwa meengi ulimwengu huu kwa kupambana na shirki na mambo ya bid aa
Mimi Sisomi maulid hila nili wafwatilya kwa umakini sana nikagundua wao uzna kwa kusoma quran na kumswaliya mtume Mohammad (S.A
W) na kusomesha ama kuelezea hitoriya yake tu.
Ya haqi yatabainika n yabatwil yatapotea In Sha Allah.
Ila hii yenu sheikh naikataa
Mmejaa fitna
Mmejaa uongo
Mmejaa upotovu
Pka wenzenu wakitaka kujenga msikiti mnapinga
Hii yenu ndio mnaita dini ?
Watu wanaswali na matwari msikitini,ala za muziki ndani ya msikiti
Mfungo sita mnaenda kupigia maiti magoti mkiomba msaada
Mkiomba cjui awape barka
Mkiomba awape barka
Allah awasamehe lkn yenu hapana
Kujengea makaburi
Kueka adi mabati ili asipatikane n jua😂😂😂bdo mnajiita hii ndio dini
Kupamba makaburi
Mashaallah shukrani allah ustadhi muhsin❤❤❤❤ huyo mohamed bachu atmpiga mtume s.a.w mpaka lini qiyama 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Sufi ni Ahlul Twariqah sawwiyya hatutukani watu khaswa ndugu zetu waislamu. Lakini tizama comments za mawahabi matukano na kejeli. Mungu atuongoze na atupe husnil khatima Aamiin. Na shukran ustadh Muhsin ambae ataelewa ataelewa na ambae hataki kuwelewa inshaAllah kheri. جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الأستاذ محسن. تقبل الله طاعتكم وصالح أعمالكم و كل عام وانتم بألف خير وصحة وعافية وستر يارب العالمين. اللهم آمين يارب العالمين.
kawaida ya haqqi ikiingia mahali hukubalika kwa uwepesi,sio masala ya agenda wala nn,hii ayah moja tu ni jawabu tosha kwako
وقل جاء الحق وزهق الباطل إن الباطل كان زهوقا
@@GOP-Abdallah mbona haqqi hiyo yenye kukubalika haraka imegonga mwamba mambrui lamu na Mombasa?😅😅😅mwatumia Aya za Allah na vichwa vyenu
Chuki na husda zimekumbata kama mlivyo familia mzima hukuanza ww wameanza wakubwa zenu kina watoto wa sharifu Muhammad waliskia uchungu sana sana walipoikosa ardhi iliyoa jengwa masjid TAWHID MAMBRUI.PWIRUUUUU.mumezoea watu wazeeke kwenye ushirikina kumekucha ANKALI TUTAJENGA MISKITI MINGI IN SHAA ALLAH NA BDO.
Nani ywaujua huo mskiti bsi,watu hutoka ulimwengu mzima wakija mambrui na wakishukia Riyadh,😂😂😂,na ama kuita waislamu washirikina hamkuanza nyinyi,hiyo ni mienendo walioanzisha makhawarij nyinyi mwayaendeleza
KUFENI KWA CHUKI ZENU,SUNNAH INAZIDI KUNG'AA.....
Kama lamu kulijengwa makanisa wachukia kujengwa msikiti
Acha misikiti ijengwe watu wamuabudu Allah muogope mungu😅
Kabisa yani
Wenyeji ndio walimpa ruhusa ama ni yeye mwenyewe acha kupotosha watu ww...
Mwaskia wivu kwa kuwa watu wataacha kufanya bid'aa zenu
Hata mtume pia aliambiwa agawanya watu haikuanza kwa sheikh muhammad bachu hafidhwahullah
Nakupa homework (kamuulize Muntamani alitakakutoa pesa ngani ili mawahabi wasiupate ardhi iliojengwa Masjid TAWHID.LAKINI ALLAH kwa rehma zake mwenye ardhi mzee wetu ISLAM ALLAH AMPE AFYA NJEMAA AKAWAPA MAWAHABI ARDHI WAJENGE KWA PESA NGAPI.😂😂😂😂😂😂😂
@@Captainome na kila mwaka mamilioni ya watu kutoka sehemu mbalimbali za ardhi washuka Riyadh, alhamdulillah 😅😅
Na mbona waliteka madrasa Nuri mawahabi
Mnapenda kujitakasa kana kwamba mlibashiriwa pepo
MASHALLAH shukran ust muhsin kwa kutuilimisha uovu wa mawahabi
Tatizo simisikiti kuwa mingi, Tunacho taka ni sunnah itawale kila mahali
الحمد لله mm ni dariqa ahlu sunah mawahabii wanagawaa waislnmu
Masha allah shukran sana sheikh bachu amewagawanya waislamu allah atuongoze
ماشاءاللہ بارك الله فیك
Dhulumu utakalo, chafulia utakalo, zuia sunnah utakalo, tetea bid'a na ushirikina na upotovu utakalo, paka matope watu wa Sunnah utakalo lakini maisha ya mja ni 63 au hapo vile mtume s.a.w ametuambia na wewe utaenda mbele ya hakimu wa haki na bila shaka utahesabiwa vilivyo.
عش ماشئت فإنك ميت،واعمل ما شئت فإنك مَجْزِيٌّ به
Daaah kweli sasa kujengwa mskiti pia balaa hehehe haya ruhusuni makanisa basi
Alafu wanajiita masheikh , Wana elmu wao
Mashia wanajenga misiki kila pembe Lamu na masufi hamneni lolote lakini msikiti ya sunnah ikipatikana mnapinga kila namna...may Allah curse those against the spread of the haq
Sunnah itatambaa biidhnillahi, usufi na bid'a na ushirikina utaisha katika jamii inshallahu taala. Mezeni wembe
موتوبغيظكم
Asli yako ni bidaa na usufi na ushirikina hii ni kama babu yako alikua muislam
Kutokua n elmu ,fitna ,ujahil ,n chuki ndio zinawepeleka huku ...
Makanisa yte yanajengwa lamu hakuna anaeingilia kati hili suala,hakuna anaelamika
Kujengwa msikiti ndio imekua mmeinua maskio yenu?
Ivi inamaana mnasupport sana ukristo kuliko dini ya kiislamu ?
ALLAH AWAONGOZE
AKUPUNGUZIE UNAFKI SHEIKH
Sheikh ana ongea ukuweli kabisa
@@shuaibabdullahi7544 Ukwely Gani huo? Udhalim tuh Hana lolote
😅😅😅 Wallahi vituko vya hawa twarika jamaa za matwalaga balaa sana, Shafii Basalim alivyo jitokeza na kumtukana sana mwanachuoni Sheikh ISLAM IBNI TAYMIA walikua kimya sana kama hawapo wala hawamsikii alafu leo Shiekh M.Bachu kawa sababu ya kujengwa msikitini wamejitokeza na Aya kubwa kubwa ili kupinga sunna isijengwe na kuendelea Wallahi balaa sana.
Kwani nyinyi mawahabilikua wapi alivyotukanwa Imamu BARZANJI
Acha urongo Wahhabi mmoja ww,matwariqa twawaheshimu watu wote!!UST said shirazi aliefanya mjadala na bachu alimtolea video shafii basalim zaidi ya video tatu akimkanya shafii basalim asimtukane Ibnu Taymiyyah,UST fakhruddin Ibn Muhsin Jamalulleyl pia alimtolea UST Shafii basalim asimtukane Ibnu Taymiyyah,Sisi ni watu wenye inswaaf na wenye kusimama kwa haqqi,mwenye shafii basalim amekataa haskii
Haya njoo kwenu sasa mawahhabi Yule bachu hakumtukana barzanji,hakumtuna Habib jufri,kuna sheikh yeyote wa mawahhabi aliejitokeza na kumkanya?hamna inswaaf na urongo juu pia mwasema
@@answarmohamed4564 Please nitumie video moja alio mtukana Barzanji au huo jufri alie ridhi kilemba cha Mtume mpaka sasa anacho tuma ushaidi wa Bachu kumtukana mwanawazuoni.
@@MuhidiniNassor Tuma ushaidi wa Bachu kumtukana Barzanji tuma sio kuongea bila ushaidi tumeni ushaidi.
Chuki tu na USHOGA na ukhabithi khabithi mkubwaaaa weweee
Mashallah,lakn msitumie mimbari kubondana,twawaonyeshani mfano upo wasokuwa na ilmu ya dini au hata wasokuwa waislamu??
MOLA atulinde na sharii ya mawahabi
Umekosa kazi ww sheikh vitu vingine hata havikuhusu ungekaa tu kimya kwasababu wewe nayeye mko tofauti yeye katika misimamo
Dawa imefika. maashallah.
Acheni husda,roho mbaya,na choyo.Sheikh Muhammad Bachu anawapotosha watu kwa kipi?hemu elezea hayo anayopotosha,huu ubaya hausaidii,na ndo mnazidi kumpandisha Darja,watu kumfwatilia zaid,maana M Mungu ndo ashataka kumpandisha mja wake.sasa hata mukijaribu kumchafua ni bure,acheni hizi husda,ubaya na choyo
Imeuma 😅
Lkn johari ina haja gani kua na miskiti kumi eneo moja wakati waswaliji hakuna kwann wasijenge madaris kubwa ya kiislam bure watu wasome
@@abuarifhassan6316tatizo hujui kinachoendelea
Msikiti unajengwa kijijini ofcz
N msikiti uliopo hapo n mmoja
Msikiti huo wenzenu wamekatazwa kuingia ndani
I think Kuna kitu hujaelewa
Ndiposa wakiamua wajenge msikiti wao
Mlikua mnataka waswali nyumbani ?
Ni firauni fitna zke bachu
Kwa taaifa yenu!
Watu sasa wanaelewa Sunna ni nini!??
Mtaswali kipekeeenu ktk misikiti yenu !
Mkitaka wafanye nn baada ya kuwakataza wasitoe daawa. Kufeni kwa chuki zenu متوا بغيظكم
Hamuwezi kuzuiya haqi ishadhihiri ndug huwezi zuiya msikiti utasimama inshaallah huwezi zuiya
@@ABUUUTHEYMINMADEGHE haqqi gani?kama mlivyoingia mambrui na lamu kwa vishindo mambrui ni ileile na lamu ni ileile,mlikuja na makina na vishindo,makina ni ileile,hamna haqqi katika kuwagawanya waislamu ispokuwa ni ukhawarij tu
😂😂😂 mumejuta kuwakataza watu misikiti ya Allah, na pia wamesemwa vibaya ktk kuran wale wanaokataza misikiti ya Allah lisitajwe jina lake humo 😂😂😂😂😂
Miskiti mingapi basi wewe wataja mzukaaa ni msikiti (Au) miskiti hata hujui unachosema mzukaaa na kibaraka wa mabwana zako wa kikhurafi
😂
مسجد التوحيد
شكرا أستاذ محسن ❤❤❤
Acheni uchawi/ushirikina na bi-daah za maulidi Acheni kuwapoteza watu na imaani za mizimu uislamu wa Matambiko na uganga wa kishirikina na majini
Sheikh hauna stori
Hata mtume saw aliambiwa anapotosha na anafitinisha. Tatizo masufi ni wapumbavu kama alivyosema imaam Shafy
جزاك الله خيرا
@@sheikhyusufdiwan2489 shekhe yusufu hawa si walikuruka baada kushindwa mjadala?😂
nimpambe huyu sheikhe mdiho
Hahahhahaa!
@@sheikhyusufdiwan2489 MashaAllah Yusuf Diwani ndugu yake Shafii Basalim mtu wakupiga vita watu wasunna na kuwaacha Mashia InshaAllah Allah akufungue macho na moyo ilimu ulio nayo isikushtaki kesho mbele ya Allah.
We kila kwenye fitna lazima turbo uonekane ila kwenye hakki wala haukomment
Sasa Nyinyi Mulofunga msikiti Huko Sio Kugawanya waumini Hatakama hao Mawahabi Niwanafik Lakini mtume hakuwafungia wala hakuwafukuza Nyinyi pia mwafarikisha umma nanisifa ya unafiq
hakufukuzwa mwanzo hiyo ni tabia ya mawahhabi kufkuza watu miskitini...wenye kusimamia msikiti na mikakati yao na mipangilio yao walikataa ASIZUNGUMZE,lakini hakufukuzwa huchi kusema urongo?
@@answarmohamed4564ww ndio unasema uongo
Hujui lolote yaliojiri watu wametolewa msikitini
N wakitaka kujenga wao bdo mnayumba yumba
Hivi hamujiskii aibu ?
Ni laana ya mungu imewafuata ndio mana mnapiga makelele yasiokua n maana
ukıona hivi ujue kuwa Hii ni dalili ya
1- UOGA
2- Ni upungufu wa TAWHEED
Tutaıtangaza sunna kwa hali na maliiii
Watqariqa mmeiharibu dni kwa mda sanaaa !
Ata AbdulWahab alipigwa vita sana !
Uoga?yaani wewe kwa akili zako waislamu kugawanywa na watu kutoa tahadhari ni uoga 😂😂😂halafu wamaanisha kutaingia Tawheed,wamaanisha kule lamu mpaka Saa hii hamna waislamu wote ni washirikina?yaani nyinyi mawahhabi hamjielewi hii dini hamuwezi kutumia,acheni ukhawarij kukufurisha waislamu
Ww unaijuwa historia Abdulwahab....ama unaifahamu historia ya masuudi walioko huko walitoka wapi
Ulikua umalize TATU
Tawheed ya kupora miskiti???
Uyu ni hasidi Hana lolote nyoooo...atakae fanya mema analifanyia na atakae fanya maovu analifanyia mwenyewe...
Jielewe wewe acha kukera watu kwa kuwasema vibaya mashekh wetu koma wewe
Inshaallah makusudio Yao hayatakuwa kw uwezo wa Allah
🎉
Sasa ww umekereka? Kuekwa msingi wa msikiti wa sunnah? Kwani waislamu kwa ujumla watafaidika kwa kiasi kikubwa sana.
Mashallah shukran sana habib mpe vidonge vyakeee
MASHA ALLAH 💚
Ujasiri gani huo ulionao kuzitolea hukmu miskiti ya Allah kwenye ardhi hii?ikiwa mtume mwenyewe hakujua malengo ya mskiti wa dhiraar mpaka alipotereemshiwa wahi?lakini wewe watoa hukmu moja kwa moja
Chuki zako na za babako kwa watu wa sunnah zitawapelekea pabaya kaka
@@GOP-Abdallah huyo Baba ya MTU marehemu hizo chuki zake unzitoa wapi,wamlaumu MTU ywahukumu kisha we mwenyewe ndio wa Kwanza mwenye maradhi hayo!bachu ameyaweka wazi mwenyewe wale wanafik waliyaficha
Bachu ameyatangaza!!!kila kitu kiko wazi na post zake tumeziona!!!mwenye chuki ni wewe na bachu
Sasa ww shekhe unaumizwa na nini.kuna miskiti mingi ya kishia ambao wanawatukana maswahaba na wakeze Mtume s.a.w.hujapatapo kuisema miskiti hiyo.chuki haifai utaenda kuulizwa.tatzo hamtaki kufuata sunna ndio imekuwa ugomvi mkubwa mushazoea kupiga ngoma tu.
Siku zote hakki ni mchujo. ليميز الله الخبيث من الطيب...
HEBU TUSOMESHE JAMII TUSICHUNGUZANE!!
Kwa hivo msikiti wa maka na wamadina ni misikiti ya fitna.
ACHA UPUMBAVU UWO WEWEE : INABIDI UNATAKA KUSEMA KWAMBA WATU WALIO KINYUME NA UWO UPUMBAVU WENU WAKIJENGA MSIKITI NDO UNA UFANANANISHA NA UWO AMBAO ALLAH AMEUZUNGUMZA KTK QUR AN ? ACHA UPUMBAVU NA UJINGA UWOO.
حسبنا الله ونعم الوكيل
watu wa sunnah lazima tuwe na miaikiti yetu hatuwezi kuswali misikiti yenu masufi kwa sababu baadhi ya misikiti yenu ina makaburi
jambo hilo ni kinyume na itikadi yetu masunni
Kiufupu mashekhe wengi sasa hivi wameacha kuioigania Qur'an na sunna kurudi katika heshima yake wanafatana wenyewe kwa wenyewe wakilumbana hivi mnafkiri kwa style hii tutachukua ilmu kutoka kwenu wakati nyinyi wenyewe haiwanifaishi na chochote mumekua kama makundi ya kiyahudi na manaswara
Shekhe kama hauna kazi bora kaa kimya na ukae nyumban na ulie watoto uko nyumban acha vitna shekhe wangu.
mbona kwenye Miskiti yetu kuna viotezo, vya nn kama sio ya aya unaoisoma na mahatibu wanaumwa kila siku na kukataa mawaidha!
Haruna geni kwa haya hata Mtume wakati wake aliambiwa anawagawanya watu nyinyi mabidaa atawatesa sana bachoo ila haki itasimama tu
Inakuuma
Usilie basi😂
Unajua kuwa hata Rasuulullah alipokuwa analingania dini alikuwa anasimangwa na kudharaulia mpk kupigwa mawe akawa anaambia analeta dini ngeni sio ya baba zake. Lkn hakuchoka kulingania na ndo mpk sasa tunaisoma. Bayana ikikufikia usije ukasema sikujua au sikuambiwa. Kufuata au kuacha kufuata ni wewe na nafsi yako.
Allah atuongoze
@@AbdillahSOthman yaani wamfananisha bachu na mtumi Swallallahu Alayhi wasallam,mawahhabi hamna mipaka,halafu kwani lamu hamna dini miaka yote?hamna la zaidi hata mkajaribu kuteteana ispokuwa ni kutaka kuleta mgongano Bana ya waislamu
A/a ee sheikh ogopa mwenyezimgu usitafsiri aya za mwenyezimgu in your own opinion, sasa wewe alkaaba na msikiti wa madina unaendeshwa na dhehebu gani ambao misikiti hiyo miwili mitakatifu ulimwenguni una endeshwa na wahabi.
HUELEWIKI WEWE
Iyo nichuki yenu maghurafi msingi unaporwa bl maghurafi mnaogopa sasaivi watu hawataki tena maulidi kwani ndani ya msikiti wanaletwa wageni sindohaohao maamumawenu iyo ndo dalili ya kwamba watu wamechoshwa nayinyi maghurafi wakata viuno
Maa shaa Allah
Hawa wataka view
@@AshrafBunu shukran kwa kuwapa😅
Mbona hamuzungumzii kuhusu misikiti ya kishia lamu na makanisa?
MANENO MENGI NA MSIKITI WAENDELEA KUJENGWA.
INGEKUWA VIZURI KAMA UNGEMTAFUTA ALIETOA ARDHI ABADILI NIA YAKE.
LAKINI UMEKAA WAREKODI VIDEO JISAA ZIMA BILA YA FAIDA YOYOTE NA MSIKITI WASIMAMA.
AMA LABDA WATAFUTA UMAARUFU KUPITIA MOHAMED BACHU?
,صدقت استاد mawahabii wa poraa liko wazi😂😂😂
Ina maana makhuraafi mmezoea kukata viuno hadi mmekuwa mazuzu mnaporwa miskiti na mawahabi
😂😂😂😂😂
Wala hujui yaliojiri hukoo Fala mkubwaaa
Wanakosea sana hawa ndugu wahabiy hii si kuwaleta waislam bali ni kuwagawa waislam wasipojitafakari watakufa vibaya
Fitna yake iko wapi Wacheni chuki, wamuonea mwenzako wivu
Sunnah itaingia kila pembe ya dunia
Kwani shida kubwa ni nini kwetu waislamu?? Kweli tunashindwa kukaa sehemu moja tukaelewana na kuepusha mambo kama haya ya kusimama kwenye mitandao kusemana vibaya.. Cha ajabu ni kuwa hakuna mtu anaejua nini kilichopo katika moyo wa mtu mwengine.. Kila mmoja anajiona yupo sawa na kujitukuza wakati Allah anasema msizitukuze nafsi zenu yeye ndie anaejua nani mchamungu.. Ah sawa endeleeni
Shekhe sema ukweli acheni chuki sema shekhe kakataliwa kwa sababu pale wanakula maulidi.
Sasa imekuaje msikiti WA kifitna why misikiti ni ya ALLAH
Kwahiyo mwataka misitlkiti yote iwe ya kusoma barzanji na.hamtaki kabisa msikiti wa sunna? Kweli nyie vichaa in shaa Allah haqqi itasimama2
Ety sheikh imekuuma. Eeeh😂😂😂😂
Hawajasema "tutaweka msikiti wetu" bali msikiti wa Sunnah.....acha uongo ya ahlu bid'a
Kwani sahiv haifatwi sunnah unaposema masjid sunni fungua macho na masikio kaka na kama una swali mtafute muhsin yupo bamburi mutaelewana zaidi kidini..
@@abuarifhassan6316 bila shaka bid'a na ushirikina na ushia umekita mzizi katika jamii zetu
Mfano huo hauendani hata kidogo
Kama kueneza sunnah ndio mbaya basi mkae na bid'a zenu
una chuki na mawahabi lakini msomaji kwa mwanzo wa clip ni wahabi,hivi nyie watu wa bidaa hamna msomaji mzuri wa qurani?ama nyote mmezoea kuimba tu?
Ushamskia huyo anaezungumza akiswalisha?ama wataka awe kama bachu akiingia kiblani ajirekodi halafu aandike ma Sha Allah sikia sauti mzuri iyo😂😂😂watu na ikhlaas zao
nimemskia tu akiimba😂
@answarmohamed4564 ati watu na ikhlasi zao😂mbona al ihsaan media mwajieka mkiswalisha?😂
@@GOP-Abdallah basi hiyo ni shida yako si yake 😅🤣
@@GOP-Abdallah hao wajua yalio kwenye mioyo Yao wenyewe hawatudhihirishii kama bachu kutuambia sikiza sauti mzuri 😅😅,usioambia watu wazingatie maneno ya Allah watuambia tuzingatie sauti mzuri, 😅🤣🤣 Riyaa za wazi
Nyinyi mashekhe munawaelekeza na kuwapeleka wapi waislam!! Kaeni muzungumze kwa busara leo kila shekh ana TH-cam yake apambane na mwezake, kweli tutafika wapi
Kuna Siri ambayo twaeza kuitaja ya huyu muhsin Ali bute kwa ushahidi lakini Wacha tunyamaze WEWE LETENI UKHABITHI WENU TU WA KUTIWA MAJI NA MABWAN ZENU Mbwaa weweee
Lengo lako nn hasa cjui shekh km umeumia kujengw miskit ya sunna au vip povu Shia wajenga population yao inakua kimya wa sunna shida kalale uko
Huu msikiti uliowazuia masheikh wasiigie wakatoa daawa.. vipi hauwagawi waislamu?
@@masoud744 kwa ivyo kila MTU akidai yy ni sheikh akija aiktaka kupishwa apishwe?😅😅😅
Jiga ya mwisho shida yko ni miskiti iliyojengwa n m bachu ama ni misikiti yote y kenya
Bachu ni Tahira
Kama umeandika manen hayo ili kufurahisha watu bas tambua kaburin utakua mwenyew ukiulizwa juu ya manen hayo allah akulipe unayostahiqi
Duuh kumbe ww pimbi watumia lisa lizima kuongea porojo kuna makanisa huku mbn hujawahi ongea
Naona hata kinyaa kumsikiliza binafsi yangu
Chambilecho misikiti tunayo mingi kwann msijenge islamic institute ili vijana wakiislam wajifunze ujuzi wa kikazi na mambo mengineo ama mujenge madaris kubwa ya kisasa wanafunzi wasome bila malipo..
Unaongea tuh hujui unachoongea .
Hivi unajua huo msikiti unajengwa wapi ?
Miskiti ipo mingi kwenu huko
Mm pia nishawahi kwenda hapo msikiti wa pwani wa kiwahabi,,,, sheikh umesema kweli 2007 nilikuwa nasoma riadha
Kwanzia hio vdeo time 12:00 huyo abu aamir al-khazrajy ndo ww wamuonea bachu wivu ndo maana wakaa kwenye vdeo kumchafulia.