HIZI NDIZO SABABU ZA YESU KUTOKWENDA MAKKAH. SHEIKH HABIBU MAZINGE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 พ.ย. 2020
- Darasa ilitolewa na Sheikh Mazinge baada ya swala ya Ijumaa Msikiti wa Nuruyakin Temeke Dar es Salaam Tanzania Tarehe 6/11/2020, Sheikh mazinge alipatia nasha mbalimbali waumini baada ya swala ya ijumaa, na moja katika maswali mazito aliyoulizwa katika mihadhara yake ni swali hili, tazama hadi mwisho upate kuelimika, tunaomba usambaze ujumbe huu kwa wingi na Allah atawalipeni InshaAllah.
Kwa mwenye namba ya simu ya sheikh Mazinge naomba anitumie inshaallah .na sisi watu ea.mikoani tunataka kumchangia chochote kitakachokuwepo inshaallah 🙏
Allah akbar mwenyezimungu atujaarie mwisho mwema na atufishe hali nakuwa ni waislaam🕌🕌🕌
Muda c mrefu Bwana Yesu atajidhihirisha tu
Assalam aleykhum warahmatullah wabarakatuh... Namuomba Allah akuongoze katika utowaji wako wa dawa, namuomba Allah akurahisishie kazi zako ziwe zahisi.. kwako sheikh mazinge...naomba ukitoka safari yako nipate updates na mm inshaallah Ameeen.
,kwaza nimuombe mwenyezimungu msamaha pamoja na waislam wezang wote nilitoa kauli mby ile siku shehe wakimponda shehe ponda juu ya uchaguzi ila nimejua nilikosea maana hakuna kazi Bora kama yakumtumikia alla muumba ardhi na mbigu kwapamoja waislam wote tumuombe mungu amjalie shehe wetu afike slm arudi Salam kwaajili ya alla
Jembe wewe nakukubari karibu burundi
Allah akufanyie wepesi katika safari yako na akufanyie wepesi katika kuutetea uislam maswali utakayoulizwa katika huo mkutano Allah akupe wepesi kuyajibu kwa usahihi kabisa urudi na ushindi uwasilimishe mpaka mapadri
Usikufe bilakubokea yesu na kubatuziwa 😂😂😂
Nakukubali Mazinge ❤
Tunahitaji Mazinge Urudi Burundi ufikishe ujumbe wa Allah S.W na huku mukoani Gitega tukuone
Wenyeku mpenda sheikh wetu Mazinge like apa lakini mimi sijabahatika kukuona sheikh wangu Mazinge
Shekhe Othman Mazinge Allah(S.W) Akubariki na Aibariki safari yako uende salama na iwe yenye mafanikio IshaAllah, kwa kweli tunakupenda sana huku KENYA sisi waislam wenzako na tunakuombea urudi salama na vilevile Alla(S.W) Atujaalie tuwe pamoja na Bwana Mtume Muhammad (S.A.W) katika Pepo Yake IshaAllah...
Mashallah Allah Akuzidishie heri Inshallah...❤❤❤
We real love you sheikh ,ManshaAllah 👏👏🇨🇦🇨🇦
Yaa Allah muwekeye Nuuru m zazi wa shekh Nourdini Kishikh katika Kaburi l'âne ALLAHUMMA Amiin
Karibu sana burundi 🇧🇮 Allah awafikishe salama awarudhishe salama na ushindi uwe wa waislam karam ya tauhid izagae urimwengu mzima🙏🏻
Ya Allah, Tunaomba ALLAH Akujalie.Uweze kutuwakilisha vizuri . Amiina.
Mungu akupe umri mrefu shekhe wetu tupate matunda yako
InshaALLAH mungu atakuwezesha uendapo na ushindi juu ya uislamu
Mashallah masheikh WETU Allah atawalipa fungu lenu siku ya Hesabu Inshaallah 👏