NIMEFURAHI NA WATU WA LAMU NA WA LAMU VISIWANI SHEIKH MUHAMMAD BACHU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
- #alhaajartvkenya #afyanajamii #livetv
SHARE, COMMENT & SUBSCRIBE
Instagram: Alhaajartvkenya
Twitter: Alhaajartvkenya
Facebook: Alhaajartvkenya
TH-cam: Alhaajartvkenya
© Al Haajar TV Kenya 2024
Wallah watu wanatengeneza Akheri yao simchezo wallah nimejikuta namm kama nipo kwenye hiko kikao chozi limenitoka wallah Biidhini llah Allah Awajaziye walipo punguza kwa walicho kituwa iwe ni isbabu ya kupata pepo ya Allah huko tuendako 😭😭😭😭😭
Hii ni ishara watu wa huko wanapenda sunnah, Masha Allah tabarakallah
ALLAH akuhifadhi shekh tupo nawe InnshaaALLA
Allah akuhifadhi Shekh Muhammad Bacho, ninakupenda kwa ajili ya Allah SW
Masha Allah
Umoja n upendo
Allah aukamilishe kwa salama
MAASSHAA ALLAH ALLAH awazidishia upendo watu walamu kwa sheikh wetu
Ni vizuri sasa umeona na umetambua ukarimu na wema wa watu wa Lamu na kama ulivyo sema sana sana Masharifu kwa hivyo wema hulipwa na wema In shaa Allah Mwenye Ezi Mungu akijaalia roho zikiwa hai mfungo sita ya karibia Masharifu wakikualika MAULID uhudhurie itakuwa umewafanyia wema mkubwa kama mgeni
Wema hauhalalishi pombe.
@@eddieeddie2755 wewe usilete mambo ya upuuzi hapa twazungumzia wema ktk Dini hatuzungumzi huo wema wako wa pombe wa matusi tunza ulimi wako usije ukakuleka pabaya, Mwenye Ezi Mungu ana majina الرحمن na الرحيم kwa hivo umemaanisha ktk haya majina mawili ya Mwenye Ezi Mungu wema wake haulilishi pombe, fikiriya mwanzo kabla kuzungumza upuzi usione ni sifa unapozungumza matusi
Mashallah
MashaAllah
Allaah Atawalipa na Awape Afya
Maa Shaa Allaah TabarakaAllaah
Neema hio.
Masha allah mungu atuonyeshee hakii tuachea mizozo
Allaahu'Akbar
Alhamdhulillah 😢
Alhamdulillah JazakaAllaahu'khayran
Mmefanya jambo lamuhimusana Allah akulipen
Usijali utazidi kuona wema wa watu wa Lamu ni kwa sababu wamesoma Dini ki undani kabisa
Eeeh washakupenda kijana cha Zanzibar!!!
Shekh bachu tunakupenda kwajili ya Allah upo vzr shekh wetu, jadida mafuta kashindwa kujibu maswali yako kule anatoa audio kulalamika tuuh Ni kuzidiwa ilmu na hoja 😂😂 yani wale wameshindwa kwakweli ukisimama na hakki Allah atakusimamia pia kijana mdogo umewatoa jasho watu.
Hao si masalafi ni Maslahi
@@Khalid-mf3iu
Kiwango cha elimu cha bacho ni kipi?
@@abuuammar4924 cha hali ya juu mashallah ni tunu kwa watu wa Msa
Million 1 ya Kenya kwa Tanzania nisawa nakiasigani kwa ajuwae jamani
Million 22
Msikiti unaojengwa ni wa sunnah au ni vp?
Masufi unawasifu lkn ulipokwenda Tanga pale mti mkavu ukaanza kuwaponda
Kaa hapo Riadha uchukuwe elimu
@@abdulkhalfan8586 maneno yako ni kweli kabisa akae hapo apate Elimu
@@abdulkhalfan8586 maneno yako ni kweli kabisa akae hapo apate Elimu
Riadha Mko n elimu gani😂
@@soffiscarlett9702 Riadha Elimu walonayo huo wema waloufanya ya tosha kukujulisha Elimu walonayo na kama wataka kujua zaidi wewe nenda hapo Riadha hatukuambi ukasome wewe nenda ukae nao tu utajua wana Elimu gani
Mm nnamashaka na koment yako hii cjui km muislam ww
Wwvbachu hueleweki uko wapi. Mara uko na madaruweshi mara masharifu. Ww ni majmaja kweli
@@Kzm-c9u Zanzibar ametolewa sasa ilibidi aje kwa wale wale akiwatuhumu ubaya na ameona walivyo mpokea kwa ukarimu na wema sasa ajue Masharifu ni watu aina gani kwa ujumla watu Lamu ni watu walobobeya ktk Elimu na kushika Tabia za Mtume S.A.W
Ww ndio humuelewi😂
@@soffiscarlett9702 mwanzo watu wengi walikuwa hawamuelewi ni mtu wa aina gani lkni sasa watu wengi sana washamuelewa mtu aina gani kutoka walipo shika PAKA na kuzungumza nae
Ww tulia hujaambiwa umuunge mkono SS tunae muelewa tupo nae
@@Agnes-e1i ungelikuwa waenda kupiga goti kusoma mpaka sasa kwa sababu Elimu haina mwisho ungelikuwa ushamuelewa ajabu mpaka sasa mwasema mwamuelewa lkni bado hamujamuelewa
Ww masifa tu.
Ww usio n masifa umefanya Gani la maana 😂😂😂
@@soffiscarlett9702 we hujui masifa ni shirki ndogo? Na yaweza ikapelekea mtu hadi shirki kubwa? Ama ww shabiki tu huku..
@@soffiscarlett9702swali zuri sana
Buree kapisa
😂😂😂😂wivu au
MashaAllah
Mashallah