Ujenzi Wa Apartments wa Gharama Nafuu
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- Nyumba hizi zimejengwa kwenye plot yenye ukubwa wa mita za mraba 1200 , kila nyumba ina vyumba viwili vya kulala, jiko, sebule na dinning. Gharama za Ujenzi kwa Kila jengo ilikuwa million 75 za Kitanzania. Gharama hizi hazitafanana kwa kila site au kwa kila eneo, hivyo isikuogopeshe, site hii ilikuwa na slope kali na nyumba ilibidi inyanyuke sana na hii ilisababisha gharama za ujenzi ziwe juu kidogo.
Upo tayar? Hakikisha unatutafuta.
Karibu swahili units, builders and estates kwa huduma za finishing, interior and exterior designs, Renovation services, land scaping pamoja na utayarishaji wa Raman na ujenzi wa majengo yote kwa ujumla wake(ya makazi,ya kibiashara na yale ya kijamii), hapa swahili units, estates and builders tunasema #leta_ndoto_yako_tukupe_nyumba_yako #we_dont_do_cheap_designs_we_do_affordable_designs
Good job
Keep up with good job
🤝🏿🤝🏿🤝🏿
Good sana
@@musamagulu2023 Ahsante sana
Zote mbili zinakost shingapi
Jaman❤❤❤❤❤😢
Nitawatafuta
@@musamagulu2023 karibu sana
Kaka ujenzi wa nyumba hiyo ni sh. Ngapi?
Wasilina nas kwa namba +255762156762 kwa taarifa zaidi
Kwa nini mnaogopa kutaja gharama ya nyumba moja?
@@wilsonmatunda4937 gharama zimefafanuliwa kwenye video, pitia utaona
Wekeni beyi
Bei ipo kwenye description ya hiyo video
Nihizo nyumba mbili umezijenga kwa m75 au zote tatu naomba unieleweshe tafadhari
Ni gharama ya nyumba moja
Wekeni bei tujue
Nimependa kazi zenu,mnapatikana wapi?
@@florinjoseph2504 ahsante sana, Tupo Mikochen Dar es Salaam
mawasiliamoo hamukuekaa
@@eldaddyofficial +255762156762
Kama hio nyumba 1 bei gan
75milion tshs per unit
Yaani 75ml ni nyumba zote au ni kajumba kamoja ndio ml 75?
Moja iyo ndugu🤣🤣kwa hali yetu mwisho m 15
Nataji namba ya simu
+255762156762
Namba ya sm please
@@brunotemu8069 ipo kwenye profile, pamoja na njia nyingine nyingi za kutufikia
@@brunotemu8069 +255762156762
Naombei mawasiliano yenu
+255762156762
@@swahiliunitshii simu inapatikana
Weka namba
@@munisialpha6465 Ipo on My Profile, pamoja na njia nyingine nyingi za kutufikia
Kama nyumba hiyo beigan
Wasiliana nasi kwa namba +255762156762 kwa taarifa zaidi
Karamani mulua kabisa
Namba zenu ziko wapi Sasa?
@@malkiarosemuhando3310 zipo Kwenye Description ya Hii video
@@malkiarosemuhando3310 +255762156762
Mmetisha wajomba
vyumba vya kulala ni self container pls
Kimoja Ni Ensuite na kingine ni shared with Public Toilet
Ramani inabei gani
Wasiliana nas kwa namba +255762156762 kwa taarifa zaidi
Naomba number ndugu yangu
@@anuarymzee9898 +255762156762
Unasema kwa Gharama nafuu halafu halafu hautaji bei ??? 🙄🙄🙄🙄
@@htx1873 wasiliana nasi kwa +255762156762 kwa taarifa zaidi
Naomba Namba yako nikupe Kazi
Bei gani
Wasiliana nasi kwa namba +255762156762 kwa taarifa zaidi
@@swahiliunitsmnafika popote
Tafadhali mtuwekee no please
@@joslinchuwa1298 details zipo kwenye description ya video
Naomba namba za sim kaka
@@mustafamtanganya7538 +255762156762
Hiyo moja Ghar ama TSH
Wasiliana nas kwa namba +255762156762 kwa taarifa zaidi
MTAALAM,Naomba namba yako ya simu .
+255762156762
utalatibu ukoje
0757567645tuwasiliane
Wasiliana nasi kwa namba +255762156762
Mko wap
Mikochen Dar es Salaam Tanzania
@@swahiliunitsToa number