MR HOUSE ALIZWA NA ILI TUKIO AKIWA SITE TAZAMA UJIONEE HII HASARA ILIOJITOKEZA NDANI YA MJENGO HUU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • #contemporary #nyumbayakufichabati #hiddenroof

ความคิดเห็น • 161

  • @cyborgmatumula650
    @cyborgmatumula650 16 วันที่ผ่านมา +2

    Anajua unacho pika bro lazima nikutafute bless

  • @BwireMtaki
    @BwireMtaki 10 หลายเดือนก่อน +1

    Good job 👍🏾

  • @twalebleboss9687
    @twalebleboss9687 ปีที่แล้ว +6

    HONGERA SANA... Upo vizuri na kazi zako zinajieleza na tunakukubali sana..BIG UP

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw ปีที่แล้ว +2

    Hongera sanaa unajua KAZI yako tiles ni muhimu hazipitishi maji. Na unyevunyevu na hauwezi ona maji yakipenya KAZI nzuri.

  • @OmanOman-y7z
    @OmanOman-y7z 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kwer kabisa upo sahihi nikijenga nitawaitaji🎉🎉❤

  • @deniskimenyi899
    @deniskimenyi899 ปีที่แล้ว +2

    Watu hawataki kutafuta watalaam , wengi wanapenda akina Fundi Michael . Good job

  • @ericoguri8368
    @ericoguri8368 10 หลายเดือนก่อน

    Mimi kama Mkenya napenda Kiswahili cha Bongo. Mwalimu umefanya kazi nzuri.

  • @mmake30
    @mmake30 ปีที่แล้ว +2

    Dogo uko vizuri saana, nayaona mafanikio yako ya baadae.

  • @joshuaburton6599
    @joshuaburton6599 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Yes Sira 😅😅😅😅😂😂😂

  • @MarryKileo-j6x
    @MarryKileo-j6x ปีที่แล้ว +4

    Nakuelewa sana kaka. Mungu akubariki sana kwa kuendelea kutusanua.

  • @Halimamchafu1174
    @Halimamchafu1174 10 หลายเดือนก่อน

    Mashallah kazi nzuri

  • @koperawasona9551
    @koperawasona9551 10 หลายเดือนก่อน

    Hongera unajuwa

  • @innocentthobias924
    @innocentthobias924 8 หลายเดือนก่อน

    Umetisha mkuu yamenikuta ayoo

  • @masumbukosiyougomvi7900
    @masumbukosiyougomvi7900 ปีที่แล้ว +1

    Upo safi sn, heri yako kuwa mwalim mwema

  • @suleimanjokoro
    @suleimanjokoro 5 หลายเดือนก่อน

    Uko vzr mwamba👊

  • @GodfreySylvester
    @GodfreySylvester ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa sana kwenye hii video. Hongera sana

  • @mathiasswai7006
    @mathiasswai7006 ปีที่แล้ว +1

    Elimu zuri🎉🎉🎉 chukua mau yako

  • @eddyeddy1337
    @eddyeddy1337 ปีที่แล้ว

    Safi sana bro

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 ปีที่แล้ว

    Safi sana mdogo wangu

  • @kelvinkencho401
    @kelvinkencho401 ปีที่แล้ว +1

    May god bless you

  • @salimabdul4424
    @salimabdul4424 ปีที่แล้ว

    Upo vizuri

  • @williamjonasmangurama9852
    @williamjonasmangurama9852 ปีที่แล้ว

    Safi sana nekuelewa

  • @ItsNasto
    @ItsNasto 10 หลายเดือนก่อน

    Good job i have same problem

  • @GcFd-s8t
    @GcFd-s8t 6 หลายเดือนก่อน

    Nikweli kaka❤❤❤❤

  • @ZubidaAlmasoudi
    @ZubidaAlmasoudi 4 หลายเดือนก่อน

    Shukrani fundi

  • @ahadibuge5246
    @ahadibuge5246 11 หลายเดือนก่อน

    Nimependa sana hiii.... umeonyesha mambo mengi ambayo watu wanakosea.

  • @galantsoldier9258
    @galantsoldier9258 ปีที่แล้ว

    Nakukubali fundi

  • @ElizabethMmary-h6i
    @ElizabethMmary-h6i 7 หลายเดือนก่อน +1

    ubarikiwe sana ntakutafuta

  • @cyborgmatumula650
    @cyborgmatumula650 16 วันที่ผ่านมา

    YES SIR!!!

  • @DanyKalinga
    @DanyKalinga 4 หลายเดือนก่อน

    Safi kk

  • @isamony58
    @isamony58 ปีที่แล้ว +4

    😢😢😢Yani hiiii mijengo jengeni tu wala sina hamu nao

    • @magretangel5242
      @magretangel5242 ปีที่แล้ว

      Hata mi sjatoneaga kuzipenda aina hizi mimi za kufunika kawaida ndio simple

  • @BamBam-q6l
    @BamBam-q6l ปีที่แล้ว

    Umetis bro

  • @joyceassey2347
    @joyceassey2347 ปีที่แล้ว +6

    Woooiiiiii mi niliona ctaki shida nikawaambia nipaulieni imwage maji upande mmoja,,sikutaka izo mambo za utaalam kabisa

    • @shakilabakari6928
      @shakilabakari6928 ปีที่แล้ว

      Kwakweli

    • @mohamedmdillah8532
      @mohamedmdillah8532 6 หลายเดือนก่อน

      Nitumie picha dear nione ulivyofanya

    • @dabigregory3221
      @dabigregory3221 3 หลายเดือนก่อน

      AlaaaH! Mambo yasiwe mengi,unamaliza ujenzi unaanza tena upya

  • @ushindimwakipesile1969
    @ushindimwakipesile1969 4 หลายเดือนก่อน

    Nimekupenda bure

  • @RamadhanMwandu-r3w
    @RamadhanMwandu-r3w หลายเดือนก่อน

    Nimekupata.vizur

  • @geofreymalekana8000
    @geofreymalekana8000 ปีที่แล้ว

    Asante sana kwa kutupa ufahamu, exallent bro

  • @abdulbonomali6548
    @abdulbonomali6548 ปีที่แล้ว +1

    Usimlaumu sana fundi inawezekana mwenye nyumba ndio chanzo kupenda kuraisisha

  • @EdnaWilliam-f4c
    @EdnaWilliam-f4c 26 วันที่ผ่านมา

    Yalikuta na mimi haya

  • @abuujibriltv5233
    @abuujibriltv5233 ปีที่แล้ว +20

    😂ila usiwe una tumia neno wadogo wangu. Video zako wengi wanao angalie ni watu wazima

    • @ngoshasaluminium4062
      @ngoshasaluminium4062 ปีที่แล้ว +2

      Amesema wadau wangu,,
      Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi

    • @ngoshasaluminium4062
      @ngoshasaluminium4062 ปีที่แล้ว

      Amesema wadau wangu,,
      Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂

    • @ngoshasaluminium4062
      @ngoshasaluminium4062 ปีที่แล้ว

      Amesema wadau wangu,,
      Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂

    • @ngoshasaluminium4062
      @ngoshasaluminium4062 ปีที่แล้ว

      Amesema wadau wangu,,
      Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂

    • @ngoshasaluminium4062
      @ngoshasaluminium4062 ปีที่แล้ว

      Amesema wadau wangu,,
      Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂

  • @emmanueltuppa5459
    @emmanueltuppa5459 10 หลายเดือนก่อน

    Yes sir😂💪

  • @hamzamwaya463
    @hamzamwaya463 ปีที่แล้ว

    Yaan mi nakuelewa sana

  • @ImmaKimambo
    @ImmaKimambo ปีที่แล้ว

    Sema gata bwana sio dude

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 ปีที่แล้ว +3

    Kwa hali hii unaweza kutafuta mtu na panga😎

    • @kamarhelo
      @kamarhelo ปีที่แล้ว +1

      Haswaaaa mana wañaona watu pesa wanaokota

    • @ngehulumala9482
      @ngehulumala9482 4 หลายเดือนก่อน

      yan acha

    • @RaviShija
      @RaviShija 3 หลายเดือนก่อน

      daahh fundi huyu amemfiris tajir nyumba ovyo kabisa

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 ปีที่แล้ว +1

    Yes sir

  • @kelvinmugambi8642
    @kelvinmugambi8642 ปีที่แล้ว

    Hongera sana...waeza fika Kenya?

  • @methodiuskikoti5870
    @methodiuskikoti5870 ปีที่แล้ว +1

    Uko vizuri sana kwenye suala la ujenzi. Utafika mbali sana kijana.
    Ila Hilo neno linatamkwa hiden sioo haiden.
    Ingawa neno lake la msingi linaandikwa
    hide na kutamkwa haid.
    Kwa kifupi.
    Hide tamka haid.
    Hiden tamka hiden.
    Mungu akubariki kusanua mabosi na kuelimisha mafundi pia.

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 4 หลายเดือนก่อน

    Waah huyo findi ametia hasara lkni kosa Liko kwa mwenyewe alifata urahisi

  • @mburuumbe5659
    @mburuumbe5659 ปีที่แล้ว +1

    Mimi sio fundi Ila nimekuelewa sana

  • @bandaally369
    @bandaally369 7 หลายเดือนก่อน

    Mkali

  • @saraikayo4694
    @saraikayo4694 ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa kk

  • @tumsifushoo3544
    @tumsifushoo3544 ปีที่แล้ว +3

    Sababu ya kupenda rahisi sasa itamgharimu

  • @dayanaamoit6951
    @dayanaamoit6951 2 หลายเดือนก่อน

    Daaaah hasara sana hii jamani 😢😢

  • @fatmaathumani7116
    @fatmaathumani7116 หลายเดือนก่อน

    Tunaiga uwezo hatuna wenzetu wenye nyumba zao nchi za kiarabu juu huko hawaweki bati ukipanda ni zege tupu 😢sasa mafundi nao wanavamia

  • @jumafumao1519
    @jumafumao1519 11 หลายเดือนก่อน

    Kaka nime kuku bar

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 ปีที่แล้ว +1

    Muda ukifika mm ntakuita Tunduma brother

  • @magretangel5242
    @magretangel5242 ปีที่แล้ว +5

    Majiran zake wamepiga roof za kunyanyua very simple ila huyu mwenye nyumba kajifanya mzungu ili wamsifie kumbe kawekewa bwawa juu ya bati

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 ปีที่แล้ว +4

      Kila mtu anaamua nyumba yake aipaue kwa style gani sio lazima wafanane,shida nihuyo fundi ndio kamtia hasara.

    • @azzaalhabsi1505
      @azzaalhabsi1505 ปีที่แล้ว +2

      Yes sir. Kumbe wenye shida hii tupo wengi. Mafundi wanatutia hasara jamani.kama hawajui kupauwa dizain hii si waseme ukweli tu.

    • @fadhilimsangi875
      @fadhilimsangi875 ปีที่แล้ว

      😂

    • @SalomeNkwera-wr1jg
      @SalomeNkwera-wr1jg 9 หลายเดือนก่อน

      Usimuhumu mtu bila kujua anaamua yeye na ela yake

  • @Kingmauwezo
    @Kingmauwezo หลายเดือนก่อน

    Hizi nyumba unyama sana ila mafundi jau

  • @Kingmauwezo
    @Kingmauwezo หลายเดือนก่อน

    Yesaaaaaaaaa

  • @yassinbachu4819
    @yassinbachu4819 10 หลายเดือนก่อน

    Engineer swala langu hii contemporary roofing ni bri rahisi ku weka?

  • @hurumajosephat6333
    @hurumajosephat6333 ปีที่แล้ว

    Hao mafundi ni wa kuweka ndani

  • @ayubustefano
    @ayubustefano 8 หลายเดือนก่อน

    Nimekusoma mr,hause

  • @handenitakuru6696
    @handenitakuru6696 7 หลายเดือนก่อน

    Daaaah huyu fundi jamaa kama kamfanyia makisudi yani kamtia hasara kubwa sana sasa uwe na pesa kama nimwenzangu namie pesa yetu ni yakuunga unga unatamani uende ukamchabange mapanga

  • @jynajyna5835
    @jynajyna5835 5 หลายเดือนก่อน

    Tiles sio solutions nimeona zinapitisha maji ktk maungio

  • @salimmachila5736
    @salimmachila5736 ปีที่แล้ว

    Hasara kubwa sana

  • @ally__jr
    @ally__jr 3 หลายเดือนก่อน

    Tanzania wataniua, maji hawawezi "KUFLOATi"

  • @MakameMufadhil-n8d
    @MakameMufadhil-n8d ปีที่แล้ว

    Kweli

  • @othmanshahib1115
    @othmanshahib1115 2 หลายเดือนก่อน

    Kamanda mimi na kesi hiyo navujiwa kweli ya kwangu ni dizzy ya sloppy invuja sana wamenikimbia na RB yao niko singida nitumie hata vijana wani wanilekebishie

  • @martinmunene9040
    @martinmunene9040 11 หลายเดือนก่อน

    Niko Kenya nimejaribu kupiga no zako nyote hajigii

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 ปีที่แล้ว +1

    Uzuri nina.namba yako ww ndo utakae nipaulia nyumba

  • @MehmetMtonga
    @MehmetMtonga 4 หลายเดือนก่อน

    Mwambiee ahache kuiga akome

  • @Joseph-i8x1d
    @Joseph-i8x1d ปีที่แล้ว

    Acha ujinga ww

  • @jafarinauma6798
    @jafarinauma6798 6 หลายเดือนก่อน

    Kamera man wako kazingua hajui kitu kabisa

  • @fatimakhatibu8256
    @fatimakhatibu8256 ปีที่แล้ว

    Hasaraa jamanii

  • @JumaMario-px8tt
    @JumaMario-px8tt ปีที่แล้ว +1

    Huyo fundi nae alizidi fundi wake msamehe

  • @swaggadiv
    @swaggadiv 10 หลายเดือนก่อน

    Hizi nyumba zakuficha paa ni balaa ata kurekebisha iko costly sana

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 9 หลายเดือนก่อน

    Shida watu wanapenda vitu vya rahisi kwani bati tsh ngapi

  • @ElizabethMakwaia
    @ElizabethMakwaia 9 หลายเดือนก่อน

    Kaka mbona hupokei cm? Sasa wateja tunakupataje?

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 ปีที่แล้ว

    Nawakuchukiye lkn utuokowe

  • @catherinejullu6615
    @catherinejullu6615 5 หลายเดือนก่อน

    Natuma msg hujibu

  • @hamzamwaya463
    @hamzamwaya463 ปีที่แล้ว +1

    Ni kweli kabisa, Harmonise, Diamond ni upuuzi tu

  • @avelinaandrea5031
    @avelinaandrea5031 ปีที่แล้ว

    jamani mafdi wanachukua pesa zabure

  • @JamesMsigwa-q6l
    @JamesMsigwa-q6l 7 หลายเดือนก่อน

    Yani uwe unafundisha sio kujifanya unajua yote na kujikuta unajua zaidi

  • @fanni-ck6do
    @fanni-ck6do ปีที่แล้ว

    sooo sad yaumiza kwa kweli

  • @iddymfinanga9424
    @iddymfinanga9424 ปีที่แล้ว

    Nyumba za Jenga uza izo, ndivo zilivo

  • @salama1113
    @salama1113 ปีที่แล้ว

    Sasa uogopi huko juu ukipolomoka wakati imeshiba maji

  • @godlovemassawe-uq6ey
    @godlovemassawe-uq6ey 5 หลายเดือนก่อน

    Kudadeki fund niwakumsaka huyooo alie borongaa

  • @EDDOSTEVEN
    @EDDOSTEVEN ปีที่แล้ว

    mm nimeweka gatta ndogo but aivuji mwaka wa 8

  • @danyhas8947
    @danyhas8947 6 หลายเดือนก่อน

    Ni hasara kwel kwa ss wabangaizaji

  • @MehmetMtonga
    @MehmetMtonga 4 หลายเดือนก่อน

    Umesomeawapi

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 ปีที่แล้ว +1

    Jamani wewe niache tu nimepata hasara mimi uwiiii. Nililetewa fundi anajidai mjuzi wa jpsum. Acha baada ya muda zilianguka zote rumu 3. Tails zime umuka. Naumia mimi jmn maana sinauwexo tena.

  • @FatumaNgala-k2l
    @FatumaNgala-k2l ปีที่แล้ว

    Na nikitaja unifanyie ww

  • @AshuuuBakari
    @AshuuuBakari ปีที่แล้ว

    Ujenzi huu niliukataa kabisa na unikome. Napauwa kisusu tu

    • @kamarhelo
      @kamarhelo ปีที่แล้ว

      Nikweri kabisa bola kupaua na borit tu

  • @JumaTimbanga
    @JumaTimbanga ปีที่แล้ว

    Duh

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme ปีที่แล้ว

    Shida hawana akili ata mimi si fundi naona tu hapo kunamakosa aisee inasikitisha sana

    • @mwabuselectors
      @mwabuselectors ปีที่แล้ว

      Yaah hapo hata kama sio fundi unaona kabisa wamebugi..

  • @AmaniMrema-i3i
    @AmaniMrema-i3i ปีที่แล้ว

    Acha ushamba

  • @MARIAMHABIBU-q8m
    @MARIAMHABIBU-q8m ปีที่แล้ว

    😢

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 ปีที่แล้ว

    Daaah umenifungua akili mr house hilo ndio tatizo nililonalo hapa kwangu kariakoo. Unaweza kuja kuniangalizia tatizo lililopo hapa kwangu?

  • @AdamuDamasi-qq9uv
    @AdamuDamasi-qq9uv ปีที่แล้ว

    Onaongea sawa ila umezingua kusema mafundi tope

  • @SaidMkapa
    @SaidMkapa ปีที่แล้ว

    🎉

  • @AudaxAdrian
    @AudaxAdrian 7 หลายเดือนก่อน

    Ahsantee