MR HOUSE ALIZWA NA ILI TUKIO AKIWA SITE TAZAMA UJIONEE HII HASARA ILIOJITOKEZA NDANI YA MJENGO HUU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ส.ค. 2024
  • #contemporary #nyumbayakufichabati #hiddenroof

ความคิดเห็น • 137

  • @twalebleboss9687
    @twalebleboss9687 6 หลายเดือนก่อน +5

    HONGERA SANA... Upo vizuri na kazi zako zinajieleza na tunakukubali sana..BIG UP

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sanaa unajua KAZI yako tiles ni muhimu hazipitishi maji. Na unyevunyevu na hauwezi ona maji yakipenya KAZI nzuri.

  • @mmake30
    @mmake30 6 หลายเดือนก่อน +2

    Dogo uko vizuri saana, nayaona mafanikio yako ya baadae.

  • @user-tn3gw5qv9e
    @user-tn3gw5qv9e 4 หลายเดือนก่อน +1

    Good job 👍🏾

  • @user-fq5mb6fv2r
    @user-fq5mb6fv2r 6 หลายเดือนก่อน +3

    Nakuelewa sana kaka. Mungu akubariki sana kwa kuendelea kutusanua.

  • @joyceassey2347
    @joyceassey2347 6 หลายเดือนก่อน +4

    Woooiiiiii mi niliona ctaki shida nikawaambia nipaulieni imwage maji upande mmoja,,sikutaka izo mambo za utaalam kabisa

  • @user-ef1zl5gi1k
    @user-ef1zl5gi1k 5 หลายเดือนก่อน

    Kwer kabisa upo sahihi nikijenga nitawaitaji🎉🎉❤

  • @masumbukosiyougomvi7900
    @masumbukosiyougomvi7900 6 หลายเดือนก่อน +1

    Upo safi sn, heri yako kuwa mwalim mwema

  • @deniskimenyi899
    @deniskimenyi899 6 หลายเดือนก่อน

    Watu hawataki kutafuta watalaam , wengi wanapenda akina Fundi Michael . Good job

  • @Halimamchafu1174
    @Halimamchafu1174 4 หลายเดือนก่อน

    Mashallah kazi nzuri

  • @magretangel5242
    @magretangel5242 6 หลายเดือนก่อน +4

    Majiran zake wamepiga roof za kunyanyua very simple ila huyu mwenye nyumba kajifanya mzungu ili wamsifie kumbe kawekewa bwawa juu ya bati

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 6 หลายเดือนก่อน +4

      Kila mtu anaamua nyumba yake aipaue kwa style gani sio lazima wafanane,shida nihuyo fundi ndio kamtia hasara.

    • @azzaalhabsi1505
      @azzaalhabsi1505 6 หลายเดือนก่อน +1

      Yes sir. Kumbe wenye shida hii tupo wengi. Mafundi wanatutia hasara jamani.kama hawajui kupauwa dizain hii si waseme ukweli tu.

    • @fadhilimsangi875
      @fadhilimsangi875 6 หลายเดือนก่อน

      😂

    • @SalomeNkwera-wr1jg
      @SalomeNkwera-wr1jg 4 หลายเดือนก่อน

      Usimuhumu mtu bila kujua anaamua yeye na ela yake

  • @kelvinkencho401
    @kelvinkencho401 6 หลายเดือนก่อน +1

    May god bless you

  • @user-lx8qc4uh4c
    @user-lx8qc4uh4c 2 หลายเดือนก่อน +1

    ubarikiwe sana ntakutafuta

  • @ericoguri8368
    @ericoguri8368 4 หลายเดือนก่อน

    Mimi kama Mkenya napenda Kiswahili cha Bongo. Mwalimu umefanya kazi nzuri.

  • @ahadibuge5246
    @ahadibuge5246 5 หลายเดือนก่อน

    Nimependa sana hiii.... umeonyesha mambo mengi ambayo watu wanakosea.

  • @innocentthobias924
    @innocentthobias924 3 หลายเดือนก่อน

    Umetisha mkuu yamenikuta ayoo

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 6 หลายเดือนก่อน +3

    Kwa hali hii unaweza kutafuta mtu na panga😎

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o 6 หลายเดือนก่อน +1

      Haswaaaa mana wañaona watu pesa wanaokota

  • @jynajyna5835
    @jynajyna5835 วันที่ผ่านมา

    Tiles sio solutions nimeona zinapitisha maji ktk maungio

  • @methodiuskikoti5870
    @methodiuskikoti5870 6 หลายเดือนก่อน +1

    Uko vizuri sana kwenye suala la ujenzi. Utafika mbali sana kijana.
    Ila Hilo neno linatamkwa hiden sioo haiden.
    Ingawa neno lake la msingi linaandikwa
    hide na kutamkwa haid.
    Kwa kifupi.
    Hide tamka haid.
    Hiden tamka hiden.
    Mungu akubariki kusanua mabosi na kuelimisha mafundi pia.

    • @AdamuDamasi-qq9uv
      @AdamuDamasi-qq9uv 6 หลายเดือนก่อน

      Fuala wewe unajifagilia kizembe

    • @AdamuDamasi-qq9uv
      @AdamuDamasi-qq9uv 6 หลายเดือนก่อน

      Sema fundi ujenzi sio fundi matope fuala wewe

  • @GodfreySylvester
    @GodfreySylvester 6 หลายเดือนก่อน

    Nimekuelewa sana kwenye hii video. Hongera sana

  • @mathiasswai7006
    @mathiasswai7006 6 หลายเดือนก่อน +1

    Elimu zuri🎉🎉🎉 chukua mau yako

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 6 หลายเดือนก่อน +1

    Yes sir

  • @isamony58
    @isamony58 6 หลายเดือนก่อน +3

    😢😢😢Yani hiiii mijengo jengeni tu wala sina hamu nao

    • @magretangel5242
      @magretangel5242 6 หลายเดือนก่อน

      Hata mi sjatoneaga kuzipenda aina hizi mimi za kufunika kawaida ndio simple

  • @abdulbonomali6548
    @abdulbonomali6548 6 หลายเดือนก่อน +1

    Usimlaumu sana fundi inawezekana mwenye nyumba ndio chanzo kupenda kuraisisha

  • @koperawasona9551
    @koperawasona9551 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera unajuwa

  • @AudaxAdrian
    @AudaxAdrian หลายเดือนก่อน

    Ahsantee

  • @ItsNasto
    @ItsNasto 4 หลายเดือนก่อน

    Good job i have same problem

  • @handenitakuru6696
    @handenitakuru6696 หลายเดือนก่อน

    Daaaah huyu fundi jamaa kama kamfanyia makisudi yani kamtia hasara kubwa sana sasa uwe na pesa kama nimwenzangu namie pesa yetu ni yakuunga unga unatamani uende ukamchabange mapanga

  • @user-bo7rb9ls6y
    @user-bo7rb9ls6y หลายเดือนก่อน

    Nikweli kaka❤❤❤❤

  • @salimabdul4424
    @salimabdul4424 6 หลายเดือนก่อน

    Upo vizuri

  • @tumsifushoo3544
    @tumsifushoo3544 6 หลายเดือนก่อน +2

    Sababu ya kupenda rahisi sasa itamgharimu

  • @williamjonasmangurama9852
    @williamjonasmangurama9852 6 หลายเดือนก่อน

    Safi sana nekuelewa

  • @abuujibriltv5233
    @abuujibriltv5233 6 หลายเดือนก่อน +16

    😂ila usiwe una tumia neno wadogo wangu. Video zako wengi wanao angalie ni watu wazima

    • @ngoshasaluminium4062
      @ngoshasaluminium4062 6 หลายเดือนก่อน

      Amesema wadau wangu,,
      Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi

    • @ngoshasaluminium4062
      @ngoshasaluminium4062 6 หลายเดือนก่อน

      Amesema wadau wangu,,
      Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂

    • @ngoshasaluminium4062
      @ngoshasaluminium4062 6 หลายเดือนก่อน

      Amesema wadau wangu,,
      Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂

    • @ngoshasaluminium4062
      @ngoshasaluminium4062 6 หลายเดือนก่อน

      Amesema wadau wangu,,
      Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂

    • @ngoshasaluminium4062
      @ngoshasaluminium4062 6 หลายเดือนก่อน

      Amesema wadau wangu,,
      Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 6 หลายเดือนก่อน

    Safi sana mdogo wangu

  • @emmanueltuppa5459
    @emmanueltuppa5459 4 หลายเดือนก่อน

    Yes sir😂💪

  • @geofreymalekana8000
    @geofreymalekana8000 6 หลายเดือนก่อน

    Asante sana kwa kutupa ufahamu, exallent bro

  • @bandaally369
    @bandaally369 หลายเดือนก่อน

    Mkali

  • @mburuumbe5659
    @mburuumbe5659 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi sio fundi Ila nimekuelewa sana

  • @eddyeddy1337
    @eddyeddy1337 6 หลายเดือนก่อน

    Safi sana bro

  • @JamesMsigwa-q6l
    @JamesMsigwa-q6l หลายเดือนก่อน

    Yani uwe unafundisha sio kujifanya unajua yote na kujikuta unajua zaidi

  • @ayubustefano
    @ayubustefano 3 หลายเดือนก่อน

    Nimekusoma mr,hause

  • @user-np4cn5zy9p
    @user-np4cn5zy9p 6 หลายเดือนก่อน

    Sema gata bwana sio dude

  • @user-lr2ff5mp5t
    @user-lr2ff5mp5t 6 หลายเดือนก่อน

    Umetis bro

  • @hamzamwaya463
    @hamzamwaya463 6 หลายเดือนก่อน

    Yaan mi nakuelewa sana

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 6 หลายเดือนก่อน +1

    Muda ukifika mm ntakuita Tunduma brother

  • @galantsoldier9258
    @galantsoldier9258 6 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali fundi

  • @danyhas8947
    @danyhas8947 17 วันที่ผ่านมา

    Ni hasara kwel kwa ss wabangaizaji

  • @jafarinauma6798
    @jafarinauma6798 หลายเดือนก่อน

    Kamera man wako kazingua hajui kitu kabisa

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 3 หลายเดือนก่อน

    Shida watu wanapenda vitu vya rahisi kwani bati tsh ngapi

  • @hamzamwaya463
    @hamzamwaya463 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kweli kabisa, Harmonise, Diamond ni upuuzi tu

  • @iddymfinanga9424
    @iddymfinanga9424 6 หลายเดือนก่อน

    Nyumba za Jenga uza izo, ndivo zilivo

  • @JumaMario-px8tt
    @JumaMario-px8tt 6 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo fundi nae alizidi fundi wake msamehe

  • @salimmachila5736
    @salimmachila5736 6 หลายเดือนก่อน

    Hasara kubwa sana

  • @saraikayo4694
    @saraikayo4694 6 หลายเดือนก่อน

    Nimekuelewa kk

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 6 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani wewe niache tu nimepata hasara mimi uwiiii. Nililetewa fundi anajidai mjuzi wa jpsum. Acha baada ya muda zilianguka zote rumu 3. Tails zime umuka. Naumia mimi jmn maana sinauwexo tena.

  • @user-bg2yc4kw9k
    @user-bg2yc4kw9k 6 หลายเดือนก่อน

    Kweli

  • @hurumajosephat6333
    @hurumajosephat6333 6 หลายเดือนก่อน

    Hao mafundi ni wa kuweka ndani

  • @fatimakhatibu8256
    @fatimakhatibu8256 6 หลายเดือนก่อน

    Hasaraa jamanii

  • @jumafumao1519
    @jumafumao1519 5 หลายเดือนก่อน

    Kaka nime kuku bar

  • @fanni-ck6do
    @fanni-ck6do 6 หลายเดือนก่อน

    sooo sad yaumiza kwa kweli

  • @swaggadiv
    @swaggadiv 5 หลายเดือนก่อน

    Hizi nyumba zakuficha paa ni balaa ata kurekebisha iko costly sana

  • @kelvinmugambi8642
    @kelvinmugambi8642 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana...waeza fika Kenya?

  • @martinmunene9040
    @martinmunene9040 5 หลายเดือนก่อน

    Niko Kenya nimejaribu kupiga no zako nyote hajigii

  • @yassinbachu4819
    @yassinbachu4819 4 หลายเดือนก่อน

    Engineer swala langu hii contemporary roofing ni bri rahisi ku weka?

  • @user-pr8tz8tc8s
    @user-pr8tz8tc8s 6 หลายเดือนก่อน

    Acha ujinga ww

  • @avelinaandrea5031
    @avelinaandrea5031 6 หลายเดือนก่อน

    jamani mafdi wanachukua pesa zabure

  • @salama1113
    @salama1113 6 หลายเดือนก่อน

    Sasa uogopi huko juu ukipolomoka wakati imeshiba maji

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 6 หลายเดือนก่อน

    Nawakuchukiye lkn utuokowe

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 6 หลายเดือนก่อน +1

    Uzuri nina.namba yako ww ndo utakae nipaulia nyumba

  • @EDDOSTEVEN
    @EDDOSTEVEN 6 หลายเดือนก่อน

    mm nimeweka gatta ndogo but aivuji mwaka wa 8

  • @user-vy2bc6xg3i
    @user-vy2bc6xg3i 6 หลายเดือนก่อน

    Ujenzi huu niliukataa kabisa na unikome. Napauwa kisusu tu

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o 6 หลายเดือนก่อน

      Nikweri kabisa bola kupaua na borit tu

  • @user-hm1vg9vr6b
    @user-hm1vg9vr6b 6 หลายเดือนก่อน

    Na nikitaja unifanyie ww

  • @user-qf9dw9ki1g
    @user-qf9dw9ki1g 6 หลายเดือนก่อน

    Duh

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 6 หลายเดือนก่อน

    Shida hawana akili ata mimi si fundi naona tu hapo kunamakosa aisee inasikitisha sana

    • @mwabuselectors
      @mwabuselectors 6 หลายเดือนก่อน

      Yaah hapo hata kama sio fundi unaona kabisa wamebugi..

  • @AdamuDamasi-qq9uv
    @AdamuDamasi-qq9uv 6 หลายเดือนก่อน

    Onaongea sawa ila umezingua kusema mafundi tope

  • @user-fi9ye7ek5y
    @user-fi9ye7ek5y 6 หลายเดือนก่อน

    😢

  • @ElizabethMakwaia
    @ElizabethMakwaia 4 หลายเดือนก่อน

    Kaka mbona hupokei cm? Sasa wateja tunakupataje?

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 6 หลายเดือนก่อน

    Daaah umenifungua akili mr house hilo ndio tatizo nililonalo hapa kwangu kariakoo. Unaweza kuja kuniangalizia tatizo lililopo hapa kwangu?

  • @user-oo3xt3yf6y
    @user-oo3xt3yf6y 6 หลายเดือนก่อน

    Acha ushamba

  • @user-lr8kg8yu7s
    @user-lr8kg8yu7s 6 หลายเดือนก่อน

    🎉

  • @user-vv5pd7qq5w
    @user-vv5pd7qq5w 4 หลายเดือนก่อน

    Yes sir

  • @user-qf9dw9ki1g
    @user-qf9dw9ki1g 6 หลายเดือนก่อน

    Duh