ROMY JONS: Nilisali miezi 3 mfululizo niache POMBE, nilikuwa nalia, ilikuwa too much | CHIMBO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

ความคิดเห็น • 41

  • @JayLEONCY
    @JayLEONCY 4 หลายเดือนก่อน +16

    skip to dakika ya 18:10
    yaan dakika za mwanzo jamaa wanajitqmbulisha tu

    • @vibetz9991
      @vibetz9991 4 หลายเดือนก่อน

      Powa

    • @dcampafrica
      @dcampafrica 4 หลายเดือนก่อน

      Asantee

    • @jojigeorige1056
      @jojigeorige1056 3 หลายเดือนก่อน

      Dah 😂😂 nili drag sana hadi kufikia mitaa hii, i wish ningechungulia kwanza comments... ila yap nimemuelewa sana Dj...

    • @jojigeorige1056
      @jojigeorige1056 3 หลายเดือนก่อน

      ... interview nzuri. Motivation talks za kutosha.. Great

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 10 วันที่ผ่านมา

    Tusidanganyane mtakuja kula mziki? Ebu tupe mfano PDiddy mziki umemfaidisha nini?

  • @saidabdulkadirmjahid8255
    @saidabdulkadirmjahid8255 4 หลายเดือนก่อน +4

    Naamini katika kuskia mkojo usiku ni Mungu amekuamsha uombe , chagua ni lako.
    RJ the Dj keep going! Laser focus.
    Natamani sana nikuone level za kina Dj Snake na Diplo.

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 4 หลายเดือนก่อน +3

    uyo hakuwa mnywaji....si afadhali ww muda wa kufanya kazi unao una maendeleo...ni mlevi unayejielewa...uku tunao wale akikosa pombe anaumwa....na asipate hela....

  • @Mwananchii
    @Mwananchii 4 หลายเดือนก่อน +4

    To be honest, Sky Hawa jamaa zako wanabore sana!!
    Nusu wanaongea wao nusu wanafanya interview.
    Too many interventions!Mpaka anayehojiwa anapoteza flow!
    Huyu Romy angehojiwa na mtu anajielewa angetoa bonge la interview.

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  4 หลายเดือนก่อน +3

      Hiki ni kipindi cha redio, kina format tofauti! Video ni mbadala tu ila show inaruka Clouds fm, hivyo si kama mahojiano ya kawaida

    • @Mwananchii
      @Mwananchii 4 หลายเดือนก่อน +1

      @@SimuliziNaSautikama ni hivyo sawa maana sijawaelewa tokea nilivyoangalia show ya Haika!

  • @MsabilaAlly-mv4ji
    @MsabilaAlly-mv4ji หลายเดือนก่อน

    Watangazaji wanaongea sana kuliko guest

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu5011 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ati kwa nini duu njia ya.otoni unataka vijana wapotee pombe ni shetani hatutakiwi kutumia kabisa Romi uko vizuri Allah akusaidie

  • @Chaotic-c2p
    @Chaotic-c2p 3 หลายเดือนก่อน

    Im proud to be a drunkard .and sijutii .Wee Rommy umeacha tu pombe kwa vile huna ubavu tuachie sisi wenye ubavu tuendelee kunywa and im a very hardworking woman .ngoja nijipe maua yangu🎉oyooo

  • @restitutakisamo7607
    @restitutakisamo7607 4 หลายเดือนก่อน

    Dactor anafungua hospital yake.hapo sijawakubali mnavyosema,mwanasheria pia anafungua ofisi yake,na anakuwa na watu watakaokuwa chini yako

  • @esthermakelemo2864
    @esthermakelemo2864 3 หลายเดือนก่อน

    Kweli Alice amejushusha sana,kumbe hata yeye bado anakaushamba flani

  • @esthermakelemo2864
    @esthermakelemo2864 3 หลายเดือนก่อน

    Vilevile sauti Yako Alice kapiga sijui umepata changamoto gani

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 4 หลายเดือนก่อน +4

    Alice ulivyosema kuhusu hujawahi kufanya kazi posta umejishusha kaka...usiseme vitu kama ivyo ..wakati watu wanakuona mtanashati na unadeserv kufanya kazi ofisi za posta..alafu ukisema unataman kufanya kazi huko unajishusha Mzee baba

    • @BHALEEALI
      @BHALEEALI 4 หลายเดือนก่อน +5

      khaaa! kwani posta ni nini???

    • @luckiiinuswe1725
      @luckiiinuswe1725 4 หลายเดือนก่อน +3

      Haujamuelewa umekurupuka

    • @IMANWILLIAM-bl2ui
      @IMANWILLIAM-bl2ui 4 หลายเดือนก่อน +5

      Sio Alice ni Harris, Alice ni wakike

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@IMANWILLIAM-bl2ui😂😂

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@BHALEEALIkwa kweli

  • @nassoromussa4440
    @nassoromussa4440 4 หลายเดือนก่อน

    Kuna kitu Cha kujifunza kutoka kwa Rommy kwamba maamuz sahh yanahtaj uharaka

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 3 หลายเดือนก่อน

    Uyu msee kipara ana sauti sawa na mbosso🇰🇪🇵🇸

  • @MohamediKalanje
    @MohamediKalanje 4 หลายเดือนก่อน

    Rj bhna kuacha pombe ww ni uongo bhna sitaki 😂

  • @Tribalking-l6d
    @Tribalking-l6d 4 หลายเดือนก่อน

    Interviewers mnabonga sana. Tunataka msikia interviewee zaidi

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa mwendo huu SnS mnetisha

  • @nassoromussa4440
    @nassoromussa4440 4 หลายเดือนก่อน

    Romy very inspiration for new generation

  • @MohamedMohamed-ry6lt
    @MohamedMohamed-ry6lt 4 หลายเดือนก่อน

    Honest ni aina nzuri ya interview hongereni sana

  • @Rojo_Rojo
    @Rojo_Rojo 4 หลายเดือนก่อน

    Mimi ndo dereva

  • @ndikumanamoussa4103
    @ndikumanamoussa4103 4 หลายเดือนก่อน

    Nc🇧🇮

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nadhani kuomba au kusali hakukuachishi pombe.
    Pombe inaachwa na maamzi ya mtu husika. Ukisema kua ulikua unaomba mungu miezi 3 ili uache pombe, hapo unakua unajua kua Roman Catholic wanakunywa pombe, Jehovah witness wanakunywa pombe. Anglican wanakunywa pombe. Na kunywa sio dhambi Musa alikua anakunywa, Ibrahim alikua anakunywa, manabii wote kwenye bibilia walikua wanakunywa. Hata Yesu alikua anakunywa ndo maana kitendo cha kwanza alibadirisha maji kua pombe, soma Matayo 11:17-19

    • @mudrikramadhani32
      @mudrikramadhani32 4 หลายเดือนก่อน +4

      Wewe unajielewa kweli wewe?

    • @nadhifamustapha7557
      @nadhifamustapha7557 4 หลายเดือนก่อน +1

      Hahahahah ss bibilia nacho ni kitabu cha kufuata mmekiwekea mambo mnayoyataka ya mungu mmeyatoa 😅😅😅😅 ili muendelee kudanganyika

    • @Isabella-ww8ks
      @Isabella-ww8ks 4 หลายเดือนก่อน

      Acha kupotosha watu wewe Yesu alikunywa pombe wapi hilo andiko ulioosema nitajie wp yesu alikunywa pombe nawapi alibadilisha maji kua pombe huijui biblia wew

    • @loningoletayo8453
      @loningoletayo8453 4 หลายเดือนก่อน +1

      Kunywa pombe ni sawa ila ukikikuta mtu imefika sehemu anaomba kuacha pombe ni kwamba imekidhiri ,yaani imepitiliza na hapendi kufanya hivyo

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@mudrikramadhani32😂😂😂 hajielewi