Naamini katika kuskia mkojo usiku ni Mungu amekuamsha uombe , chagua ni lako. RJ the Dj keep going! Laser focus. Natamani sana nikuone level za kina Dj Snake na Diplo.
uyo hakuwa mnywaji....si afadhali ww muda wa kufanya kazi unao una maendeleo...ni mlevi unayejielewa...uku tunao wale akikosa pombe anaumwa....na asipate hela....
To be honest, Sky Hawa jamaa zako wanabore sana!! Nusu wanaongea wao nusu wanafanya interview. Too many interventions!Mpaka anayehojiwa anapoteza flow! Huyu Romy angehojiwa na mtu anajielewa angetoa bonge la interview.
Im proud to be a drunkard .and sijutii .Wee Rommy umeacha tu pombe kwa vile huna ubavu tuachie sisi wenye ubavu tuendelee kunywa and im a very hardworking woman .ngoja nijipe maua yangu🎉oyooo
Alice ulivyosema kuhusu hujawahi kufanya kazi posta umejishusha kaka...usiseme vitu kama ivyo ..wakati watu wanakuona mtanashati na unadeserv kufanya kazi ofisi za posta..alafu ukisema unataman kufanya kazi huko unajishusha Mzee baba
Nadhani kuomba au kusali hakukuachishi pombe. Pombe inaachwa na maamzi ya mtu husika. Ukisema kua ulikua unaomba mungu miezi 3 ili uache pombe, hapo unakua unajua kua Roman Catholic wanakunywa pombe, Jehovah witness wanakunywa pombe. Anglican wanakunywa pombe. Na kunywa sio dhambi Musa alikua anakunywa, Ibrahim alikua anakunywa, manabii wote kwenye bibilia walikua wanakunywa. Hata Yesu alikua anakunywa ndo maana kitendo cha kwanza alibadirisha maji kua pombe, soma Matayo 11:17-19
Acha kupotosha watu wewe Yesu alikunywa pombe wapi hilo andiko ulioosema nitajie wp yesu alikunywa pombe nawapi alibadilisha maji kua pombe huijui biblia wew
skip to dakika ya 18:10
yaan dakika za mwanzo jamaa wanajitqmbulisha tu
Powa
Asantee
Dah 😂😂 nili drag sana hadi kufikia mitaa hii, i wish ningechungulia kwanza comments... ila yap nimemuelewa sana Dj...
... interview nzuri. Motivation talks za kutosha.. Great
Tusidanganyane mtakuja kula mziki? Ebu tupe mfano PDiddy mziki umemfaidisha nini?
Naamini katika kuskia mkojo usiku ni Mungu amekuamsha uombe , chagua ni lako.
RJ the Dj keep going! Laser focus.
Natamani sana nikuone level za kina Dj Snake na Diplo.
uyo hakuwa mnywaji....si afadhali ww muda wa kufanya kazi unao una maendeleo...ni mlevi unayejielewa...uku tunao wale akikosa pombe anaumwa....na asipate hela....
To be honest, Sky Hawa jamaa zako wanabore sana!!
Nusu wanaongea wao nusu wanafanya interview.
Too many interventions!Mpaka anayehojiwa anapoteza flow!
Huyu Romy angehojiwa na mtu anajielewa angetoa bonge la interview.
Hiki ni kipindi cha redio, kina format tofauti! Video ni mbadala tu ila show inaruka Clouds fm, hivyo si kama mahojiano ya kawaida
@@SimuliziNaSautikama ni hivyo sawa maana sijawaelewa tokea nilivyoangalia show ya Haika!
Watangazaji wanaongea sana kuliko guest
Ati kwa nini duu njia ya.otoni unataka vijana wapotee pombe ni shetani hatutakiwi kutumia kabisa Romi uko vizuri Allah akusaidie
Im proud to be a drunkard .and sijutii .Wee Rommy umeacha tu pombe kwa vile huna ubavu tuachie sisi wenye ubavu tuendelee kunywa and im a very hardworking woman .ngoja nijipe maua yangu🎉oyooo
Dactor anafungua hospital yake.hapo sijawakubali mnavyosema,mwanasheria pia anafungua ofisi yake,na anakuwa na watu watakaokuwa chini yako
Kweli Alice amejushusha sana,kumbe hata yeye bado anakaushamba flani
Vilevile sauti Yako Alice kapiga sijui umepata changamoto gani
Alice ulivyosema kuhusu hujawahi kufanya kazi posta umejishusha kaka...usiseme vitu kama ivyo ..wakati watu wanakuona mtanashati na unadeserv kufanya kazi ofisi za posta..alafu ukisema unataman kufanya kazi huko unajishusha Mzee baba
khaaa! kwani posta ni nini???
Haujamuelewa umekurupuka
Sio Alice ni Harris, Alice ni wakike
@@IMANWILLIAM-bl2ui😂😂
@@BHALEEALIkwa kweli
Kuna kitu Cha kujifunza kutoka kwa Rommy kwamba maamuz sahh yanahtaj uharaka
Uyu msee kipara ana sauti sawa na mbosso🇰🇪🇵🇸
Rj bhna kuacha pombe ww ni uongo bhna sitaki 😂
Interviewers mnabonga sana. Tunataka msikia interviewee zaidi
Kwa mwendo huu SnS mnetisha
Romy very inspiration for new generation
Honest ni aina nzuri ya interview hongereni sana
Mimi ndo dereva
Nc🇧🇮
Nadhani kuomba au kusali hakukuachishi pombe.
Pombe inaachwa na maamzi ya mtu husika. Ukisema kua ulikua unaomba mungu miezi 3 ili uache pombe, hapo unakua unajua kua Roman Catholic wanakunywa pombe, Jehovah witness wanakunywa pombe. Anglican wanakunywa pombe. Na kunywa sio dhambi Musa alikua anakunywa, Ibrahim alikua anakunywa, manabii wote kwenye bibilia walikua wanakunywa. Hata Yesu alikua anakunywa ndo maana kitendo cha kwanza alibadirisha maji kua pombe, soma Matayo 11:17-19
Wewe unajielewa kweli wewe?
Hahahahah ss bibilia nacho ni kitabu cha kufuata mmekiwekea mambo mnayoyataka ya mungu mmeyatoa 😅😅😅😅 ili muendelee kudanganyika
Acha kupotosha watu wewe Yesu alikunywa pombe wapi hilo andiko ulioosema nitajie wp yesu alikunywa pombe nawapi alibadilisha maji kua pombe huijui biblia wew
Kunywa pombe ni sawa ila ukikikuta mtu imefika sehemu anaomba kuacha pombe ni kwamba imekidhiri ,yaani imepitiliza na hapendi kufanya hivyo
@@mudrikramadhani32😂😂😂 hajielewi