WAJERUMANI WABAHILI | NILILIPIA MTANDAO MARA NNE LAKINI WAPI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 31 ก.ค. 2023
- Tuppy ametupatia darasa kabambe leo kuhusu safari yake nzima ya kutimiza ndoto yake ya kua na mzungu na kuishi Ulaya.
Sio Safari rahisi, lakini ni Safari iliyojaa ujasiri mkubwa na kutia moyo.
Thank you Tuppy for allowing this to be online
www.Oda.international
Nafatilia Sana vipindi vyako Ila Cha huyu mdada namba 1 kawa open Sana Na Kaja ulaya hata mwaka ajamaliza kajua vitu vingi Kwa mda mchache Sana mwenyewezi mungu amjalie ndoto zake
Amen! Kusema kweli me pia kanifurahisha sana..Msema kweli mpenzi wa Munhu na atafanikiwa sana.
Umehonae hadi raha mungu amtangulie
ndoto zipi za kujiuza???
Yupo vizuri sana kaongea kwa wazi
@@myself4128 we ni x wa Tupi wa Kiswahili kaja na hasira 😂 bado hujasema Toka hapa na kichogo chako😂😂😂
Dada the straggle was really for you 😂 ila asante Yesu ndoto zako zimetimia 👏👏👏 wishing you all the best in your life ❤
Yaani nimempenda sana huyu Mnyakyusa mwenzangu. Yaani Kanichekesha hadi machozi yametoka alivyokuwa anawafuata watu wanaokimbilia ndege zao. Yaani huyu unakaa nae siku nzima huchoki story zake. Mungu azidi kumpigania katika maisha yake. Nampenda sana ❤❤
Nacheka Mimi jamaniiii uwiiiii 😅
Nimependa sana huyu dada very charming very open, the best interview, congrats da Shena your the best
Namshukuru Mungu kwakwel kwa kunitoa gizani maaa nilipata chance nying za wazungu nikakataa kuolewa na wazungu wenye pesa zao na watu wanataka chance kama nilizopata na hawapat au wanapata kwa shida sana ila nishapata mume wa kijeruman nikiwa na mtot mchanga Mungu ni mwema kwakwel
Naoenda anavyoelezea na inafurahisha na kukufabya uendelee kusikiliza. Very engagingkwa kweli. Asante, @simamiatv
This lady aisee, she is such a vibe, '' chuma kimeingia ulaya'' 😆🤣🤣🤣
Mungu wangu leo ni.echeka sina mbavu lakini Prisca nimempenda sana
Tupe😀chuma kimeingia ulaya, nimejifunza sana kupitia tupe, shena Mungu akutunze kwakweli nimecheka mpaka mbavu zimeniuma
Tuppy you are so sincere, may God bless you so much. Unaweza kujielezea sana kwa kiwango cha juu. Na pia ni muwazi sana.
Nimempenda huyu Dada ni mkweli muazi sana nimejifunza kitu kwake
She's so funny mecheka mpaka, hakuna kukata tamaa kwakel
Nimempenda sana Prisca . Nimcheshi mno.
Thanks my for this interview nimejifunza kitu, mwambie nampenda sana
Tuppy umeongea vitu vizuri sana, i hope wasichana wakibongo au wanaoishi bongo watajifunza sana life sio easy hivyoo ulaya umenifurahisha sana.
Kaongea vizuri sana
Tuppy msema kweli mpenzi wa mungu ....ww mkweli sana mungu akuwrke juu zaidi. Me nimekupenda sana Vibe lako liko juu❤❤❤
Hii interview nimeipenda sana.Mungu awabariki !
Wajeruman wabahil au bwana unaempata ndo mbahili wako na mahesabu taxes ni kubwa kwao😢kila mtu na experience yake sawa Ila haifanyi ujumlishe nchi nzima ........ Yuko vizuri she's a fighter interview nzuri welcome to Germany 🤗 mengi bado hujayaona hope you keep the same energy 🥰
Naomba interview Kwa Experience yako, watu wengi watajifunza
@@Tupilike niko ujeruman miaka sita sasa mpenzi na usome hiyo comment kwa ufasahau sio kukurupuka tu kujibu tupilike hajasema kama mume wake mbahili Ila aliambiwa nazan hilo jibu linakufaa ahsante 🤗una lingine nikujibu hata sijui unatesekea wapi 😂
Huyo kakutana na mwanaume ambae hajampenda. Wagerman sio wabahili
Sio kweli wa Germany sio wabahili nahisi kakutana na kishuka wangu hayuko ivyo😊
@@leahzuu6468 hajakutana na traditional men huyu wakijeruman kutoka Bayern🤭
Best interview ever 🎉🥰
Leo sijalala nimeishia kulia😢😢 kucheka 😅😅😅mbaka nimejip moyo nami ipo siku nitapata
Shena,huyu Dada akili yake kama yangu kabisa yani mume wangu nilimpapasa harafu nikaanza kujishtukia kumbe kanipenda uwiiiii nikawa najiongelesha mwenyewe si aniombe number kumbe kanipenda kitambo nilikuwa sijuwi si akaniomba number yesu wangu nilikuwa Kaa nimechanganyikiwa nyie achani tulinge ni haki yetu safari ni ndefu sana😂na kazi nikaachishwaaaaa🤣
Hahaha hii Kali
Naomba tufanye interview tafadhali jamani 🥰
Ok😢I
Nimecheka sana umepambana uko Germany mji gani?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mbavu zangu Mimi, I love her level of naked truth 😍.The struggle of searching is real so patience is the major key wapendwa LAKINI pia kila mtu na Baraka yake kuna wanao pata ndani ya muda mchache waki join dating apps or kwenda sehemu za wazungu.
Mwenye kuji funza na aji funze “ no matter how much you hustle kufikia ndoto/malengo yako …. Usi Kate tamaa , Yani ipo Siku tu Mungu ata kubariki “.
Yani amejua kutuongezea siku za kuishi
She is amazing 🥰
Waambie ukwweli nimekupenda sana mkweli. Kizuri Ujerumany kuna oputunite ya kazi. Aach Nina miaka 6 mashalaah Mungu mkuu ameniwezesha . Ulaya mume wako ni kazi hawa warme unawatumia kutengeneza maisha yako tu
@@priscambwambo1030safiiiiii kazi ndio kila kitu Dear
@@OfficialDatingAssistanceanatumia jina gani kwa mtandaoni?
Mcheshi sana huyu dada, story nzuri inatia sana moyo
Mnooo
@@OfficialDatingAssistance ujezi
This is the best interview ever Shena yani dada amejua kunifurahisha sana sanaaa nlikua na mawazo yameisha yoteeee unajua yoteeee🤣🤣🤣 dada kachangamka sana sanaaa
She is amazing kwakweli
Nimempenda sana uyu Dada, anafunguka vizur 😅😂 yani leo stress zimeisha 😅😅na uyu Dada 😂
She is amazing kwakweli
Ila sisi wanyakyusa tuna vibe sana jamani😂😂😂yani tunaongea balaa
Mmetisha sana 🥰😁
Wakukhaja😅🤗
Yani tunaongea mpaka basi
Hi, thank you so much. I really love you that interview with her. It was so good. Good luck for her.
NIMEKUPENDA SANA MDADA UPO MCHESHI NA HISTORIA YAKO INAFURAHISHA
The Best interview da shena 🇹🇿😊
She spoke so well and truly, the best interview, I laugh because she was saying the truth..
Jamani nimempenda huyu dada, mcheshi sana na msema ukweli, aisee ntairudia rudia sana hii interview sichoki kumsikiliza😊
She is amazing 🥰
@@OfficialDatingAssistanceanatumia jina gani kwenye mitandao ya kijamii?
Tupilike kama jina lako kula mbalaga nakuletea juice ya kakata pela😂❤❤
Waah nimefuraiii hajabu Asante sanaaa
Nimekupenda sana uko muwazi 🤩👍
Hongera Dada P. Kwa kuwa muwazi story ya maisha yako nimeioenda saana
Nimekupenda sana Tuppy unahadisia vizuri mwaya
Amenifurahisha anajua kusimulia 🤣🤣😍
Jamani Prisca Yaani Mungu akujalie sana umetufundishs mengi and i loved you for your transparency may Hod bless you bless you abundantly
😂😂😂😂😂😂😂😂 amejua kunifurahisha hadi raha muongeaji sana anafurahisha sana❤
Mnyakyusa uko vizuri hongera sana unafunguka hadi raha
Jamani mnanifurahisha sana , Tupilike umetisheer
Tupilike ! Mma nsekile jamani. 😂😂😂😂😂😂 uko muwazi sana .Barikiwa
Hongela zako bana tatamani ningekuona uwanja wandege ningegucheka namimi nirichekwa😂😂❤❤❤
😂😂 tupilike kiboko. Nipatie instagram yake aisee, naona kama mimi na yeye tuna kitu in common....she is a comedian just like I am.😂
Jamani Uwiiii huyu dada, kwa mara nyingine nakuona huku. From Badoo - WhatsApp - now TH-cam Interview 😊😊👍😘. Prisca miss you so much
Mhh Shobo mmeanza 😅😅😅
Nimecheka sanaa wakati alipo fika Holland .Storry nzuri kwakweli alafu muvumilivu sanaa.
Shena ubarikiwe na hii platform ikue zaid ya hapa😂😂😂😂 tuppy katuvnja mbavu i manifest someday i’ll share my story❤❤❤
Amen dear 🙏
Wow naangalia sana interview zako napenda Ila hii y’a huyu dadaI LOVE HER. Very funnyyyy😅😅😅😅😅
Super interview ❤Ahsanteni sana
Ninapenda vipindi vyako kwa sababu vinaburudisha. Hiki cha leo ni kizuri sana kwa sababu amekuwa muwazi na mkweli. ❤❤❤❤❤❤❤❤
Very charming lady nimempenda sana, yuko very open 😁
Very nice moshi siyo wewe tu hata mimi nimekuwa natafuta japo sikuwa serious ila napenda kuwa na mzungu tokea kitambo sana ,hata mimi niko na miaka 33 hiyolkabda shena atupemuongozo tuendele kufight for our dreams ,naomba ushauri tu shena
Tanajifunza sana Asante sana
I just like this girl nimechekaaa sanaa😂😂😂😂
Kuna Prisca na Janeth nimewapenda mnooo🤣🤣🤣
TULY nimekupenda sana❤❤❤❤
Nimeipenda sanaa ihii
Wewe ni mpambambanaji na ni mkweli,nimekupenda 😂😂
Nice interview 😘😘😘
Hongera sana Prisca. Nimekuwa interested na story yako, kweli ukiwa na ndoto yako usikate tamaa.
Niko peke yangu chumbani nilokuwa na mawazo kibao ila huyu bint kanichekesha kweli😂😂
Nimeipenda sana
Tunakushukuru tunajifunza mambo mengi wanayo pitia wenzetu kwenye maisha
Nimekupenda sana dada
Best interview ever ❤❤❤
Dd Shena unafanana na yule dd Joyce kiria mwanaharakati wa tz ❤❤ sana
Leo nimeona hii interview imenitia moyo balaa, hongera Tumpilike
Daah Dada nimejifunza vingi sana da p❤❤❤❤❤❤❤
Karibu sana Berlin
Dah hii interview nimecheka sana
Dada umenifurahisha sanaa
Tuppy nimempenda sana,yupo really
😂huyu dada noma 🙌 nimecheka
Ila safi very open
Dada amenifurahisha sana nimempenda bure 🤣🤣
Tuppy nimekupenda sana
Nice story..
hongera sana wa jina( Tupilike
Vry nice interview i realy like it😅
Nimempenda huyu dada,she is really charming
Nafurahia Sana vipindi vyako shena
😂😂😂😂😂yaan tupy nakupenda bure we dada😅😅😅❤❤❤❤❤
Nice interview hogella
😂😂😂😂😂hhhhh huyu Dada ni comedy 😂😂😂
Ni mzuri, hapa watu wa Afrika wamepata elimu. Maana walikuwa wanatulaumu sana sisi ambao tuko kuwa hatuwasaidii. Asante. ❤❤❤❤.
Nimempenda sanaa huyu dada
😅😅😅story nzuri nacheka mwanzo mwisho😂😂😂
Enjoy dear
Duh yaani nimecheka kwa nguvu, 😅😅😅😅😅😅😅😅😅 stori nzuri dada, wa tz wengi hawajui tabia za wazungu, kupitia hiki kipindi watajifunza kitu
Kweli dada umegaramia sana ndoto yako.pia Mimi umenitia moyo Nita ndoto zangu
Haha shoga angu umetisha 😊
Jamani Tupy yuko wapi hapa Ujerumani nimtafute? Yaani ana vibe juu ya vibe 😅😅😅😅😅😅
Na mm nije
Da shena umegusa mwoyo wangu ndomana hujanijibu whatsapp urikua unanitaftia majibu😂❤ asante leo nimefulai❤❤😂
Leo nme enjoy sana aisee 😂😂
Jamani natafuta kazi maisha magumu sana nafanya kazi za ndani naona sifikii marengo
Duh! Huku sasa ndiko kutafuta! Kweli atafutaye hachoki! Hongera sana, at the end of day........ it was done!
Huyu dada kaielewa life ya kijerumani na ulaya kwa ujumla coz system na mishahara pamoja na life style...labda ushinde kamari au upate zari la mental...😀😀😀😀😀
😂😂😂dada mzuri huyu, anachekesha
Interview yangu pendwe shukran sana aise nafatilia vipind vyako pendwa
Niko zote hizo jamani hahaha darasa zuri mnooooo
Hongeza Sana mungu Skype wepesi ufunge ndoa
Beautiful