TUKIO LA KUTISHA LINAKUJA-UMEJIANDAA?-PR. MMBAGA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 มี.ค. 2023
  • WENGI HAWAJU WAJIANDAE VIPI. WEWE ANGALIA SOMO HILI KWA FAIDA YAKO

ความคิดเห็น • 242

  • @mandagohuja6729
    @mandagohuja6729 ปีที่แล้ว +69

    MUNGU akubariki pastor, huwezi kujua tu, lakini ukweli ni kwamba umekuwa mbaraka kwangu Sana, I was not an Adventist but today am an Adventist sehemu kubwa ni kupitia mahubiri yako nikajikuta nautambua ukweli na kuacha njia nilizokuwa nazo

  • @jacklinennko8517
    @jacklinennko8517 ปีที่แล้ว +21

    Mimi sio msabato ila nimejifunza vitu vingi Sana katika mafundisho yako na nakupenda maana ni kama huna dhehebu na hutetei dhehebu wala din ila unaisema kweli ya Mungu .ubarikiwe sana

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  ปีที่แล้ว +2

      🙏

    • @simonlomayani5743
      @simonlomayani5743 ปีที่แล้ว +3

      Ni kweli kabisa ata Mimi sio msabato lakin anibarikigi sana sana huyu atetei siku wala dhehebu anamhubiri YESU KRISTO

    • @maryjosephat2885
      @maryjosephat2885 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@MahubiriPrMmbaga msaada tafadhar wa mawasiliano na mchungaji nina shida

    • @luckymsomba4818
      @luckymsomba4818 10 หลายเดือนก่อน

      tunasikiliza neno la Mungu sio dhehebu

    • @DAVIDMAGHANGA
      @DAVIDMAGHANGA 4 หลายเดือนก่อน

      Hakuna msabato Kwa ufalme wa MUNGU ila kuna Wana wa MUNGU alie hai

  • @n.dvillagirl3272
    @n.dvillagirl3272 ปีที่แล้ว +5

    Paster Mungu wako anashangaza leo nime barikiwa kimiujiza wala sijaamini kama nikweli 🙏❤️❤️❤️

  • @upendobaina2171
    @upendobaina2171 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna mch anayenibariki na kuniweka karibu na MUNGU kama wewe.MUNGU akutie nguvu.amen.

  • @franciskaranja4015
    @franciskaranja4015 ปีที่แล้ว +4

    Mchungaji mungu akubaliki umekua ukinxaidia xana since Covid19 iaze umkua baraka kwangu xana,,,,,napenda mahumbiri TV kuliko vyote mtadaoni,,,

  • @vincentchotta-pd1zw
    @vincentchotta-pd1zw ปีที่แล้ว +13

    Mungu akutie nguvu mchungaji, na tunabarikiwa kupitia wewe. Natumaini kuwa siku moja tutashiriki katika ufalme wa Mungu.

    • @annaabraham8647
      @annaabraham8647 ปีที่แล้ว

      Assnte kwq ujumbe mzuri. Tujiandae twende na yesu.

  • @hedijohn-nb9nq
    @hedijohn-nb9nq ปีที่แล้ว +7

    Mchungaji mmbaga mungu akutie nguvu zaidi na zaidi na akuzdishie miaka mingi

  • @bluelionboyhistory6591
    @bluelionboyhistory6591 ปีที่แล้ว +1

    Sasa Moyo wangu unafuraha na shauku kubwa maana naona kabisa Bwana yuko karibu kurejea; Wapenzi tufanye kazi upesi kelele inagonga tuwe tayari kumpokea Amina

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj 3 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa sana mtumishi Mungu ananifundisha kupitia ww

  • @josphat1780
    @josphat1780 ปีที่แล้ว +1

    Mungu azidi kuwabariki ni JOSPHAT KARITHI nko Kenya.

  • @yunesondicho4498
    @yunesondicho4498 ปีที่แล้ว +4

    Hii Mahuburi ni kama ni ya kwangu. Barikiwa sana pastor Mungu akuvunulie sana

  • @lucywensilaus6264
    @lucywensilaus6264 ปีที่แล้ว +2

    Nimebalikiwa sana na mahubili mtumishi

  • @Neemakilimba
    @Neemakilimba ปีที่แล้ว +9

    Ameen Mtumish nakuelewa mno
    Eee Mungu nimedhamiria kukutumikia ,Nipe Nguvu ya kusoma Neno lako,Nipe Nguvu yakuomba

  • @user-co8cs9tm2o
    @user-co8cs9tm2o 6 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana pastor wangu songa. Mbele Taji zakungoja Amen 🙏

  • @AgripinaTarimo-rd6tq
    @AgripinaTarimo-rd6tq ปีที่แล้ว +1

    Mungu atukuzwe kwa hekima aliyoweka ndani yako. Ujumbe mzuri sana ,mungu tusaidie kuifikilia toba na kumpendeza.

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 ปีที่แล้ว +1

    Ni kweli kabisa, Kuna Maja ga yanakuja makubwa sana hapa Tanzania na Duniani Kwa ujumla. Kwa sbb nimeiona wachungaji kama watatu wa kilokole wakiyatabiri haya haya ambayo na wewe unayasema. Mungu akubariki pastor Mbaga pamoja na Familia Yako. Naomba Kila unapoomba nami unioombee. Asante.

    • @sperusmoraa488
      @sperusmoraa488 ปีที่แล้ว

      Great pastor be blessed with your family

  • @lorainnelarryson3626
    @lorainnelarryson3626 ปีที่แล้ว +3

    Asante kwa mahubiri mazuri, Mungu aendelee kutupa roho wake Mtakatifu atuongoze.

  • @sophiasamiji932
    @sophiasamiji932 ปีที่แล้ว +2

    Nafurahia mahubiri Yako nabarikiwa Mungu akizidishie baraka na akupatie haja za moyo wako

  • @gustavenintunze6466
    @gustavenintunze6466 ปีที่แล้ว +1

    Asante Mungu kwa neno lako, E Mungu bariki wengi waelewe maneno haya matamu na ya ukweli

  • @stevemugingi-sv8rg
    @stevemugingi-sv8rg ปีที่แล้ว +1

    Mungu akutumikishe hadi mbinguni,upate taji isiyo haribika,kweli kwa nyakati izi neema ya yesu kristu itufunike sote na atuondoleye yeriko ambayo Ime asirisha maisha yetu kwa Jina la yesu.

  • @mpokimwakaje8178
    @mpokimwakaje8178 ปีที่แล้ว

    Mungu akabaliki kuigeuza mioyo ya wasabato wamjue Mungu wawaloke.

  • @hellenbarnaba9069
    @hellenbarnaba9069 ปีที่แล้ว +2

    Amina 🙏 Mungu atukuzwe Sana kwa maonyo makuu ya siku za mwisho. Ubarikiwe Sana mtumishi wa Mungu.

  • @jaredmayaka2993
    @jaredmayaka2993 ปีที่แล้ว +4

    🤣🤣🤣🤣🤣 wacha tu nicheke aki mimi nilipewa mfuta na kitambaaaa lakini nimetezeka maisha yangu yote hata family yangu ikapoteza vitu vyote but since i started following pastor David Mmbaga na pastor Mohamed Mgase i have see the hand of GOD. My prayer today is GOD to deliver people from that churches Amen God for being there for and you're my fighter

  • @jaredmongeri645
    @jaredmongeri645 ปีที่แล้ว

    Nimebarikiwa na kubadirishwa sana kupitia kwa huduma yako.Mungu wa neema akubariki sana. Naskia wito kufanya kazi ya mungu. Niombee niweze nipate nguvu na ujasiri ninaohitaji.

  • @gideonivutha-bc1oz
    @gideonivutha-bc1oz 6 หลายเดือนก่อน

    Niwachache wakuhubiri siku za mwisho ...mchungaji GOD BLESS YOU

  • @josekibuthu622
    @josekibuthu622 ปีที่แล้ว +5

    Mimi ninechoka na Sunday worshipers nawa join very soon

  • @neemabisendo5392
    @neemabisendo5392 ปีที่แล้ว +4

    Natak jambo moja tu maishani mwangu, Nikuone ufalme wa mbinguni ... Ee mwenyezimungu nisaidie🙏😔

    • @hellenfifi8952
      @hellenfifi8952 ปีที่แล้ว

      Mpendwa hata mimi natamani sana tukaze mwendo na Mungu atusaidie

  • @amonsekajingo6996
    @amonsekajingo6996 7 หลายเดือนก่อน

    This is a great message Pr MbagaI wish every individual christian would get and understand it well. God bless u. It is very timely! God
    help us all!

  • @mariahaloyce5190
    @mariahaloyce5190 ปีที่แล้ว +1

    Hufurahi sana ninaposikiliza mahubiri Toka kwako.Mungu akutumie kuokoa watoto wa Mungu.

  • @neemapaul7873
    @neemapaul7873 ปีที่แล้ว

    Amen Mungu aendelee kukutumia kulihubir neno lake

  • @hildansombo1437
    @hildansombo1437 ปีที่แล้ว

    Ninabarikiwa saana kila ninapolisikiliza neno la Mungu aliloweka ndani yako na unalihubiri kupitia kinywa chako ni la uwazi na ukweli mtupu Mungu na atusaidie tulisikie, tulielewe na tutakasike tukaufikie mwisho mwema. Naamini toba ni mlango mwema Ameen

  • @geophreykikoti192-sb5be
    @geophreykikoti192-sb5be 3 หลายเดือนก่อน

    Pastor Ubarikiwe Umenikumbusha habari za yule Jamaa alikuja kutapeli akidai wewe na Baba yake mdogo

  • @SatoMisungi
    @SatoMisungi หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki Pastor utumike mpaka uzeeni

  • @baricklutandula9776
    @baricklutandula9776 ปีที่แล้ว

    Asante sana Mungu kwa neno hili, ni kwa neema tu tunayapata haya maneno, eee Mungu mjalie pastor aendelee kutuelekeza, amen🙏

  • @damariskimaiga364
    @damariskimaiga364 ปีที่แล้ว +3

    May God bless you pastor. You don't know, you are My mentor powerful message Damaris kimaiga from Kenya.

  • @user-gv3mk3jd9y
    @user-gv3mk3jd9y 10 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana mchungaji napenda sana mafundisho yako

  • @laliaelulu1815
    @laliaelulu1815 ปีที่แล้ว

    Tunazidi kupata ujasiri wa kukimbia nguvu za miungu ya kigeni kupitia wew baba 😢 Asante sana Nakupata vizur Kutoka Canada,

  • @saimonmossi4515
    @saimonmossi4515 ปีที่แล้ว

    Mungu azidi kukutumia pastor, lakini sisi tunaousikiliza huu ujumbe roho wa BWANA atusaidie tuutumie kukua kiroho na kuwa wakristo kwelikweli.Barikiwa sana.

  • @marysteven3543
    @marysteven3543 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki sana pasita 🙏,, kiukweli unanibariki sana

  • @salomevestinamichael1458
    @salomevestinamichael1458 ปีที่แล้ว

    Amina Pr tunatamani kwenda nyumbani,usemeni ukweli Yesu anakuja tena.Nabarikiwa sana

  • @user-ei6sq6li5u
    @user-ei6sq6li5u 7 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa pasta,masomo yako yananibariki sana

  • @yusuphshimei
    @yusuphshimei ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana pastor mbaga unafanya roho yangu inenepe kila siku ufahamu wangu unazidi kuongezeka siku hadi siku

  • @harerimanaleonce8153
    @harerimanaleonce8153 ปีที่แล้ว

    Mungu Apewe sifa kwa kutuma kwa sisi mhubili na mahubili kama haa ufunuo wa ajabu

  • @fatema6865
    @fatema6865 6 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa zaid pastor nakuelewa sana

  • @eliyachacha2
    @eliyachacha2 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyezi Mungu atubariki sote

  • @neserianpaul
    @neserianpaul ปีที่แล้ว

    Asante Kwa mafundisho ya moto sana umenifumbua mengi

  • @louiskas-su3iu
    @louiskas-su3iu ปีที่แล้ว

    Asante mungu kwa neno lako,pasta mungu akuzidishie kwa kazi unalotenda

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 ปีที่แล้ว

    Pastor @mbaga Mungu azidi kukubariki hakika umebariki watu wengi

  • @godlovemapunda774
    @godlovemapunda774 ปีที่แล้ว

    Hata me nisha pewa mafuta na maji Mungu anisaidie izo roho zishindwe ktk jna la Yesu Amen

  • @josephkirimi5453
    @josephkirimi5453 ปีที่แล้ว +1

    Nashindwa mapasta wanao omba bila kuinua mikono iliyotakata wanalielewa neno la Mungu aje. Maana biblia inaeleza vizuri katika 1 Timothy 2:8.

  • @leilahjaye6413
    @leilahjaye6413 ปีที่แล้ว +2

    Amen,
    Thank you pastor,

  • @julietnelima3253
    @julietnelima3253 ปีที่แล้ว

    Amen pastor 🙏🙏 mahubiri yako hunipa moyo wa kuyaskiza kila wakati..yana mafunzo mazuri sana sana ubarikiwe

  • @marynanok7720
    @marynanok7720 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏🙏🙏 mtumishi wa Mungu nimebarikiwa na your preaches

  • @ushindimatayo123
    @ushindimatayo123 ปีที่แล้ว

    Ahsante mtumishi wa BWANA kwa ujumbe bora wa MUNGU nahiwehivyo.🙏🙏🙏

  • @danielmwita1989
    @danielmwita1989 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe sana pr

  • @byusaajumapili6750
    @byusaajumapili6750 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe mchugaaji kwa neno hili umenitiya nguvu Mungu hakubariki zahidi Na zahidi

  • @beatricenyiro5913
    @beatricenyiro5913 ปีที่แล้ว +1

    Amen be blessed man of God

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 9 หลายเดือนก่อน +1

    Amina pr nabarikiwa sana

  • @pendomollel-oy7gm
    @pendomollel-oy7gm ปีที่แล้ว

    Mungu aendelee kukufunika pr uzidi kutufunulia na kutuimarisha

  • @justerkamala3933
    @justerkamala3933 ปีที่แล้ว

    Amina mtumishi ubarikiwe sanaa

  • @Mutabazi22
    @Mutabazi22 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏 I’m blessed 😇 by this God bless you

  • @emmanueltwahirwa2712
    @emmanueltwahirwa2712 ปีที่แล้ว +1

    Jambo pasta Mbaga, n’a hitaji uniweke katika maombi. Kila niki fwata mahubiri, n’a hisi kama Mungu ana niongelesha kitu fulani.
    Mungu azidi ku ku Linda n’a ku kubariki ku pindukiya🙏

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  ปีที่แล้ว

      Mungu akutendee

    • @evelinedayday4000
      @evelinedayday4000 ปีที่แล้ว

      Pastor mbaga mi naomba number yako maana niko na shida kubwa sana ya maombi sikuizi nashindwa kabisa kuomba kwaajiri ya familia yangu naomba nisaidie number yako au namna ya kukupata kama uko dar salamu nije kuonana na wewe please Pastor naomba🙏

  • @ombenimgonja4318
    @ombenimgonja4318 ปีที่แล้ว

    Mungu asifiwe nabarikiwa sana nakilahubiri lako

  • @funakoshtadash6163
    @funakoshtadash6163 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana mtu wa Mungu aliye hai

  • @alicesidi9601
    @alicesidi9601 ปีที่แล้ว +1

    Amen Amen be blessed

  • @joycemugaka3039
    @joycemugaka3039 ปีที่แล้ว +1

    Mungiu akubariki Sana mjungaji maa unatisaidia kujiandaaa vyema ,na kila nikiingia Kwa UTB Kwa somo la ko cha Kwanza mungu Anjali letea funzo mpya ndio chakula changu cha roho nashukuru saana umeokoa maisha yangu nimekua jaziliKwa upande wamungu bila hofu

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  ปีที่แล้ว

      Amen

    • @denonode6546
      @denonode6546 ปีที่แล้ว +1

      Ansate pastor tangu nilipokufahamu umejifusha mengi Sana umenisaidia katika kiroho Mungu akubariki na hii SoMo nzuri ya leo , nkuomba uzidi kuniombea .

  • @ChristiankabingwaGarda-ie9bw
    @ChristiankabingwaGarda-ie9bw ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki daima muchungaji unibariki sana

  • @ValentinKanyumba-hd8pd
    @ValentinKanyumba-hd8pd ปีที่แล้ว

    Asante postor Mimi nimeberikiwa Sana Mungu akanibariki Sana

  • @paschalymlangale8964
    @paschalymlangale8964 ปีที่แล้ว

    Mungu aturehemu. Amina

  • @williammusambai3702
    @williammusambai3702 ปีที่แล้ว

    Mchungaji unanena ukweli mjungu,Yesu wa Tongereni ni county jirani ya Bungoma na kakamega.Mungu akusitishie heri zake.

  • @hawamusumba431
    @hawamusumba431 ปีที่แล้ว

    Amen amen 🙏 be blessed pst mahubiri tv my bst tv

  • @upendotv2776
    @upendotv2776 ปีที่แล้ว

    Amina PR Mungu kubariki na azidi kukupa nguvu na azidi kukutumia kwa mapenzi yake

    • @nafikaahadi3380
      @nafikaahadi3380 ปีที่แล้ว

      Ameeeeeeen n Ameeeeen Pastor,Roho Mtakatifu azidi kukulinda na kukutia nguvu

  • @peterdavid20149
    @peterdavid20149 ปีที่แล้ว

    Tangu tangazo la Mungu la kuangamiza miungu ya misri, ukiangalia historia misri haikusimama imara tena na ndio kilichosababisha watu waanze kuondoka kuelekea kusini na magharibi mwa bara la Africa. Wabantu walielekea magharibi na wakushi na wanilotic wakaelekea pembe na kusini, umoja wao ulikufa, nchi mama ya kemet misri ya sasa ikaporwa na wageni toka kaskazini hadi leo wakakuta magofu,maiti zilizokaushwa na mapiramidi mirefu. Miungu zaidi ya 24 ya kemet misri ilibaki ukiwa hata sasa. Pastor Mungu akubariki sana

  • @sanfanrioba258
    @sanfanrioba258 ปีที่แล้ว +1

    Be blessed pastor,

  • @judithmakoye6592
    @judithmakoye6592 ปีที่แล้ว

    Barikiwa Pastor Mmbaga

  • @eustina0
    @eustina0 ปีที่แล้ว +1

    Mungu atuhurumie kwa hili tujue wajibu wetu🙏🙏🙏🙏

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman9334 ปีที่แล้ว +1

    Shukran sana mtumishi wa Allah kwa ujumbe mzuri kwangu mimi ni furaha kubwa la ujio huo

  • @margaretwanjiru9096
    @margaretwanjiru9096 ปีที่แล้ว

    Umenifundisha mengi sana Pastor .....May God bless you

  • @wiza2309
    @wiza2309 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana Mtumishibwa Mungu

  • @UserUser-gq1ir
    @UserUser-gq1ir ปีที่แล้ว

    Asante pastor

  • @harerimanaleonce8153
    @harerimanaleonce8153 ปีที่แล้ว

    Mungu Aendeleye kukujaza hekima pastor niko Burundi (mkowa wa kati mwa inchi ya burundi) nakufuata sana

    • @amonmnzava6522
      @amonmnzava6522 ปีที่แล้ว

      Amina Mungu akubariki sana umenibariki sana naona ushindi

  • @zanashtv5479
    @zanashtv5479 ปีที่แล้ว

    Mungu ni mwema...Amiina🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @elishanyamsha8085
    @elishanyamsha8085 ปีที่แล้ว

    Amina, pr very powerful massage

  • @perisbosibori8524
    @perisbosibori8524 ปีที่แล้ว +7

    Thank you LORD because we're more than conquerors even though in a world which is surely in great turmoil. GOD bless you so much and give you long life Pastor Mmbaga for the work well done.

  • @user-gs1ld5vd6e
    @user-gs1ld5vd6e 9 หลายเดือนก่อน

    Ameen pastor

  • @marykainyu4191
    @marykainyu4191 ปีที่แล้ว +1

    Asate sana mchuganji nakufuatolia nikiwa saudi kutoka Kenya ukiomba nitaje jina niweze kilusimama kama Estar

  • @siporajemes773
    @siporajemes773 ปีที่แล้ว

    Kwahilo la kukanguliwa naona yuko sawa tu Yesu mwana wa Mungu alikua akiona anataka kumponda mawe alikimbia

  • @apostlezizi
    @apostlezizi ปีที่แล้ว

    Nakuelewa sana pastor,barikiwa mno

  • @vickyayo8712
    @vickyayo8712 ปีที่แล้ว

    Asante YESU,kwa kutupatia mtu huyu

  • @christophaelia7174
    @christophaelia7174 ปีที่แล้ว

    Mtumishi ubarikiwe sana

  • @zlpporahgechemba3111
    @zlpporahgechemba3111 ปีที่แล้ว

    Amen be blessed pastor

  • @user-kq7uw3ss6x
    @user-kq7uw3ss6x ปีที่แล้ว

    Aksante mtumishi

  • @rodahadhiambo3637
    @rodahadhiambo3637 ปีที่แล้ว

    Mungu atukuzwe kwa kukutumia kutuambia mengi ,nakua kiroho Kila siku

  • @harrisonodiwa7248
    @harrisonodiwa7248 ปีที่แล้ว +1

    Nimebarikiwa na baadhi ya mahubiri yameguza maisha yangu hasa unyonge wa maombi.

  • @monniekevin9303
    @monniekevin9303 ปีที่แล้ว

    Barikiwa mtumishi hayo mahubiri yanahitajika wakati Kama huu.

  • @AdolpheBIRAGI
    @AdolpheBIRAGI ปีที่แล้ว

    God bless you Pastor

  • @kabembokijigo6454
    @kabembokijigo6454 ปีที่แล้ว

    Amina na barikiwa mchungaji

  • @emmanuelrubete9008
    @emmanuelrubete9008 ปีที่แล้ว

    Asante pr mbaga

  • @changombesdayouthchoirtabata
    @changombesdayouthchoirtabata ปีที่แล้ว

    ahsante Pastor

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw ปีที่แล้ว

    Mungu akubaliki Sanaa hii dunia ina shida kubwa ni mungu tu