MUNGU akubariki pastor, huwezi kujua tu, lakini ukweli ni kwamba umekuwa mbaraka kwangu Sana, I was not an Adventist but today am an Adventist sehemu kubwa ni kupitia mahubiri yako nikajikuta nautambua ukweli na kuacha njia nilizokuwa nazo
Mimi sio msabato ila nimejifunza vitu vingi Sana katika mafundisho yako na nakupenda maana ni kama huna dhehebu na hutetei dhehebu wala din ila unaisema kweli ya Mungu .ubarikiwe sana
Sasa Moyo wangu unafuraha na shauku kubwa maana naona kabisa Bwana yuko karibu kurejea; Wapenzi tufanye kazi upesi kelele inagonga tuwe tayari kumpokea Amina
Ni kweli kabisa, Kuna Maja ga yanakuja makubwa sana hapa Tanzania na Duniani Kwa ujumla. Kwa sbb nimeiona wachungaji kama watatu wa kilokole wakiyatabiri haya haya ambayo na wewe unayasema. Mungu akubariki pastor Mbaga pamoja na Familia Yako. Naomba Kila unapoomba nami unioombee. Asante.
Mungu akutumikishe hadi mbinguni,upate taji isiyo haribika,kweli kwa nyakati izi neema ya yesu kristu itufunike sote na atuondoleye yeriko ambayo Ime asirisha maisha yetu kwa Jina la yesu.
🤣🤣🤣🤣🤣 wacha tu nicheke aki mimi nilipewa mfuta na kitambaaaa lakini nimetezeka maisha yangu yote hata family yangu ikapoteza vitu vyote but since i started following pastor David Mmbaga na pastor Mohamed Mgase i have see the hand of GOD. My prayer today is GOD to deliver people from that churches Amen God for being there for and you're my fighter
Nimebarikiwa na kubadirishwa sana kupitia kwa huduma yako.Mungu wa neema akubariki sana. Naskia wito kufanya kazi ya mungu. Niombee niweze nipate nguvu na ujasiri ninaohitaji.
Ninabarikiwa saana kila ninapolisikiliza neno la Mungu aliloweka ndani yako na unalihubiri kupitia kinywa chako ni la uwazi na ukweli mtupu Mungu na atusaidie tulisikie, tulielewe na tutakasike tukaufikie mwisho mwema. Naamini toba ni mlango mwema Ameen
Mungu azidi kukutumia pastor, lakini sisi tunaousikiliza huu ujumbe roho wa BWANA atusaidie tuutumie kukua kiroho na kuwa wakristo kwelikweli.Barikiwa sana.
Jambo pasta Mbaga, n’a hitaji uniweke katika maombi. Kila niki fwata mahubiri, n’a hisi kama Mungu ana niongelesha kitu fulani. Mungu azidi ku ku Linda n’a ku kubariki ku pindukiya🙏
Pastor mbaga mi naomba number yako maana niko na shida kubwa sana ya maombi sikuizi nashindwa kabisa kuomba kwaajiri ya familia yangu naomba nisaidie number yako au namna ya kukupata kama uko dar salamu nije kuonana na wewe please Pastor naomba🙏
Mungiu akubariki Sana mjungaji maa unatisaidia kujiandaaa vyema ,na kila nikiingia Kwa UTB Kwa somo la ko cha Kwanza mungu Anjali letea funzo mpya ndio chakula changu cha roho nashukuru saana umeokoa maisha yangu nimekua jaziliKwa upande wamungu bila hofu
Ansate pastor tangu nilipokufahamu umejifusha mengi Sana umenisaidia katika kiroho Mungu akubariki na hii SoMo nzuri ya leo , nkuomba uzidi kuniombea .
Tangu tangazo la Mungu la kuangamiza miungu ya misri, ukiangalia historia misri haikusimama imara tena na ndio kilichosababisha watu waanze kuondoka kuelekea kusini na magharibi mwa bara la Africa. Wabantu walielekea magharibi na wakushi na wanilotic wakaelekea pembe na kusini, umoja wao ulikufa, nchi mama ya kemet misri ya sasa ikaporwa na wageni toka kaskazini hadi leo wakakuta magofu,maiti zilizokaushwa na mapiramidi mirefu. Miungu zaidi ya 24 ya kemet misri ilibaki ukiwa hata sasa. Pastor Mungu akubariki sana
Thank you LORD because we're more than conquerors even though in a world which is surely in great turmoil. GOD bless you so much and give you long life Pastor Mmbaga for the work well done.
MUNGU akubariki pastor, huwezi kujua tu, lakini ukweli ni kwamba umekuwa mbaraka kwangu Sana, I was not an Adventist but today am an Adventist sehemu kubwa ni kupitia mahubiri yako nikajikuta nautambua ukweli na kuacha njia nilizokuwa nazo
Mimi sio msabato lakini jamani Pr Mbaga umeniponya na unaendelea kunilea kiroho, Asante sn
Mungu atukuzwe
Amina
Karibu sana nyumbani mwa bwana
Amina sana🙏🙏
Mimi sio msabato ila nimejifunza vitu vingi Sana katika mafundisho yako na nakupenda maana ni kama huna dhehebu na hutetei dhehebu wala din ila unaisema kweli ya Mungu .ubarikiwe sana
🙏
Ni kweli kabisa ata Mimi sio msabato lakin anibarikigi sana sana huyu atetei siku wala dhehebu anamhubiri YESU KRISTO
@@MahubiriPrMmbaga msaada tafadhar wa mawasiliano na mchungaji nina shida
tunasikiliza neno la Mungu sio dhehebu
Hakuna msabato Kwa ufalme wa MUNGU ila kuna Wana wa MUNGU alie hai
Paster Mungu wako anashangaza leo nime barikiwa kimiujiza wala sijaamini kama nikweli 🙏❤️❤️❤️
Hakuna mch anayenibariki na kuniweka karibu na MUNGU kama wewe.MUNGU akutie nguvu.amen.
Mchungaji mungu akubaliki umekua ukinxaidia xana since Covid19 iaze umkua baraka kwangu xana,,,,,napenda mahumbiri TV kuliko vyote mtadaoni,,,
Mungu akutie nguvu mchungaji, na tunabarikiwa kupitia wewe. Natumaini kuwa siku moja tutashiriki katika ufalme wa Mungu.
Assnte kwq ujumbe mzuri. Tujiandae twende na yesu.
Mchungaji mmbaga mungu akutie nguvu zaidi na zaidi na akuzdishie miaka mingi
Sasa Moyo wangu unafuraha na shauku kubwa maana naona kabisa Bwana yuko karibu kurejea; Wapenzi tufanye kazi upesi kelele inagonga tuwe tayari kumpokea Amina
Barikiwa sana mtumishi Mungu ananifundisha kupitia ww
Mungu azidi kuwabariki ni JOSPHAT KARITHI nko Kenya.
Hii Mahuburi ni kama ni ya kwangu. Barikiwa sana pastor Mungu akuvunulie sana
Nimebalikiwa sana na mahubili mtumishi
Ameen Mtumish nakuelewa mno
Eee Mungu nimedhamiria kukutumikia ,Nipe Nguvu ya kusoma Neno lako,Nipe Nguvu yakuomba
Barikiwa sana pastor wangu songa. Mbele Taji zakungoja Amen 🙏
Mungu atukuzwe kwa hekima aliyoweka ndani yako. Ujumbe mzuri sana ,mungu tusaidie kuifikilia toba na kumpendeza.
Ni kweli kabisa, Kuna Maja ga yanakuja makubwa sana hapa Tanzania na Duniani Kwa ujumla. Kwa sbb nimeiona wachungaji kama watatu wa kilokole wakiyatabiri haya haya ambayo na wewe unayasema. Mungu akubariki pastor Mbaga pamoja na Familia Yako. Naomba Kila unapoomba nami unioombee. Asante.
Great pastor be blessed with your family
Asante kwa mahubiri mazuri, Mungu aendelee kutupa roho wake Mtakatifu atuongoze.
Nafurahia mahubiri Yako nabarikiwa Mungu akizidishie baraka na akupatie haja za moyo wako
Asante Mungu kwa neno lako, E Mungu bariki wengi waelewe maneno haya matamu na ya ukweli
Mungu akutumikishe hadi mbinguni,upate taji isiyo haribika,kweli kwa nyakati izi neema ya yesu kristu itufunike sote na atuondoleye yeriko ambayo Ime asirisha maisha yetu kwa Jina la yesu.
Amen
Mungu akabaliki kuigeuza mioyo ya wasabato wamjue Mungu wawaloke.
Amina 🙏 Mungu atukuzwe Sana kwa maonyo makuu ya siku za mwisho. Ubarikiwe Sana mtumishi wa Mungu.
🤣🤣🤣🤣🤣 wacha tu nicheke aki mimi nilipewa mfuta na kitambaaaa lakini nimetezeka maisha yangu yote hata family yangu ikapoteza vitu vyote but since i started following pastor David Mmbaga na pastor Mohamed Mgase i have see the hand of GOD. My prayer today is GOD to deliver people from that churches Amen God for being there for and you're my fighter
Ameeeeee
Vitambaa vimeteketeza maisha yako
Nimebarikiwa na kubadirishwa sana kupitia kwa huduma yako.Mungu wa neema akubariki sana. Naskia wito kufanya kazi ya mungu. Niombee niweze nipate nguvu na ujasiri ninaohitaji.
Niwachache wakuhubiri siku za mwisho ...mchungaji GOD BLESS YOU
Mimi ninechoka na Sunday worshipers nawa join very soon
Karibu sana.
Karibu sana sana
Natak jambo moja tu maishani mwangu, Nikuone ufalme wa mbinguni ... Ee mwenyezimungu nisaidie🙏😔
Mpendwa hata mimi natamani sana tukaze mwendo na Mungu atusaidie
This is a great message Pr MbagaI wish every individual christian would get and understand it well. God bless u. It is very timely! God
help us all!
Hufurahi sana ninaposikiliza mahubiri Toka kwako.Mungu akutumie kuokoa watoto wa Mungu.
Amen
Amen Mungu aendelee kukutumia kulihubir neno lake
Ninabarikiwa saana kila ninapolisikiliza neno la Mungu aliloweka ndani yako na unalihubiri kupitia kinywa chako ni la uwazi na ukweli mtupu Mungu na atusaidie tulisikie, tulielewe na tutakasike tukaufikie mwisho mwema. Naamini toba ni mlango mwema Ameen
Pastor Ubarikiwe Umenikumbusha habari za yule Jamaa alikuja kutapeli akidai wewe na Baba yake mdogo
Mungu akubariki Pastor utumike mpaka uzeeni
Asante sana Mungu kwa neno hili, ni kwa neema tu tunayapata haya maneno, eee Mungu mjalie pastor aendelee kutuelekeza, amen🙏
May God bless you pastor. You don't know, you are My mentor powerful message Damaris kimaiga from Kenya.
Amen
Ubarikiwe sana mchungaji napenda sana mafundisho yako
Tunazidi kupata ujasiri wa kukimbia nguvu za miungu ya kigeni kupitia wew baba 😢 Asante sana Nakupata vizur Kutoka Canada,
Mungu azidi kukutumia pastor, lakini sisi tunaousikiliza huu ujumbe roho wa BWANA atusaidie tuutumie kukua kiroho na kuwa wakristo kwelikweli.Barikiwa sana.
Mungu akubariki sana pasita 🙏,, kiukweli unanibariki sana
Amina Pr tunatamani kwenda nyumbani,usemeni ukweli Yesu anakuja tena.Nabarikiwa sana
Barikiwa pasta,masomo yako yananibariki sana
Mungu akubariki sana pastor mbaga unafanya roho yangu inenepe kila siku ufahamu wangu unazidi kuongezeka siku hadi siku
Mungu Apewe sifa kwa kutuma kwa sisi mhubili na mahubili kama haa ufunuo wa ajabu
Barikiwa zaid pastor nakuelewa sana
Mwenyezi Mungu atubariki sote
Asante Kwa mafundisho ya moto sana umenifumbua mengi
Asante mungu kwa neno lako,pasta mungu akuzidishie kwa kazi unalotenda
Pastor @mbaga Mungu azidi kukubariki hakika umebariki watu wengi
Hata me nisha pewa mafuta na maji Mungu anisaidie izo roho zishindwe ktk jna la Yesu Amen
Nashindwa mapasta wanao omba bila kuinua mikono iliyotakata wanalielewa neno la Mungu aje. Maana biblia inaeleza vizuri katika 1 Timothy 2:8.
Amen,
Thank you pastor,
Amen pastor 🙏🙏 mahubiri yako hunipa moyo wa kuyaskiza kila wakati..yana mafunzo mazuri sana sana ubarikiwe
Amen 🙏🙏🙏 mtumishi wa Mungu nimebarikiwa na your preaches
Ahsante mtumishi wa BWANA kwa ujumbe bora wa MUNGU nahiwehivyo.🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana pr
Ubarikiwe mchugaaji kwa neno hili umenitiya nguvu Mungu hakubariki zahidi Na zahidi
Amen be blessed man of God
Amina pr nabarikiwa sana
Amen
Mungu aendelee kukufunika pr uzidi kutufunulia na kutuimarisha
Amina mtumishi ubarikiwe sanaa
Amen 🙏 I’m blessed 😇 by this God bless you
Jambo pasta Mbaga, n’a hitaji uniweke katika maombi. Kila niki fwata mahubiri, n’a hisi kama Mungu ana niongelesha kitu fulani.
Mungu azidi ku ku Linda n’a ku kubariki ku pindukiya🙏
Mungu akutendee
Pastor mbaga mi naomba number yako maana niko na shida kubwa sana ya maombi sikuizi nashindwa kabisa kuomba kwaajiri ya familia yangu naomba nisaidie number yako au namna ya kukupata kama uko dar salamu nije kuonana na wewe please Pastor naomba🙏
Mungu asifiwe nabarikiwa sana nakilahubiri lako
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu aliye hai
Amen Amen be blessed
Mungiu akubariki Sana mjungaji maa unatisaidia kujiandaaa vyema ,na kila nikiingia Kwa UTB Kwa somo la ko cha Kwanza mungu Anjali letea funzo mpya ndio chakula changu cha roho nashukuru saana umeokoa maisha yangu nimekua jaziliKwa upande wamungu bila hofu
Amen
Ansate pastor tangu nilipokufahamu umejifusha mengi Sana umenisaidia katika kiroho Mungu akubariki na hii SoMo nzuri ya leo , nkuomba uzidi kuniombea .
Mungu akubariki daima muchungaji unibariki sana
Asante postor Mimi nimeberikiwa Sana Mungu akanibariki Sana
Mungu aturehemu. Amina
Mchungaji unanena ukweli mjungu,Yesu wa Tongereni ni county jirani ya Bungoma na kakamega.Mungu akusitishie heri zake.
Amen amen 🙏 be blessed pst mahubiri tv my bst tv
Amina PR Mungu kubariki na azidi kukupa nguvu na azidi kukutumia kwa mapenzi yake
Ameeeeeeen n Ameeeeen Pastor,Roho Mtakatifu azidi kukulinda na kukutia nguvu
Tangu tangazo la Mungu la kuangamiza miungu ya misri, ukiangalia historia misri haikusimama imara tena na ndio kilichosababisha watu waanze kuondoka kuelekea kusini na magharibi mwa bara la Africa. Wabantu walielekea magharibi na wakushi na wanilotic wakaelekea pembe na kusini, umoja wao ulikufa, nchi mama ya kemet misri ya sasa ikaporwa na wageni toka kaskazini hadi leo wakakuta magofu,maiti zilizokaushwa na mapiramidi mirefu. Miungu zaidi ya 24 ya kemet misri ilibaki ukiwa hata sasa. Pastor Mungu akubariki sana
Be blessed pastor,
Barikiwa Pastor Mmbaga
Mungu atuhurumie kwa hili tujue wajibu wetu🙏🙏🙏🙏
Shukran sana mtumishi wa Allah kwa ujumbe mzuri kwangu mimi ni furaha kubwa la ujio huo
Amen
Umenifundisha mengi sana Pastor .....May God bless you
Barikiwa sana Mtumishibwa Mungu
Asante pastor
Mungu Aendeleye kukujaza hekima pastor niko Burundi (mkowa wa kati mwa inchi ya burundi) nakufuata sana
Amina Mungu akubariki sana umenibariki sana naona ushindi
Mungu ni mwema...Amiina🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Amina, pr very powerful massage
Thank you LORD because we're more than conquerors even though in a world which is surely in great turmoil. GOD bless you so much and give you long life Pastor Mmbaga for the work well done.
Amen
Pastor Mmbaga mungu akutukuze Na akupe nguvu Kbs, Niko Rwanda kigali
Amina
Ameen pastor
Asate sana mchuganji nakufuatolia nikiwa saudi kutoka Kenya ukiomba nitaje jina niweze kilusimama kama Estar
Kwahilo la kukanguliwa naona yuko sawa tu Yesu mwana wa Mungu alikua akiona anataka kumponda mawe alikimbia
Nakuelewa sana pastor,barikiwa mno
Asante YESU,kwa kutupatia mtu huyu
Ameen
Mtumishi ubarikiwe sana
Amen be blessed pastor
Aksante mtumishi
Mungu atukuzwe kwa kukutumia kutuambia mengi ,nakua kiroho Kila siku
Nimebarikiwa na baadhi ya mahubiri yameguza maisha yangu hasa unyonge wa maombi.
Amen
Barikiwa mtumishi hayo mahubiri yanahitajika wakati Kama huu.
God bless you Pastor
Amina na barikiwa mchungaji
Asante pr mbaga
ahsante Pastor
Mungu akubaliki Sanaa hii dunia ina shida kubwa ni mungu tu