Pastor, Ahsante sana kwa masomo unaendelea kutoa yananisaidia sana katika maisha yangu, ni mengi nilikuwa sijui lakini Leo Mungu amejifunua kupitia wewe, kiukwel nabarikiwa sana muda mwingi natamani kusikiliza mahubiri yako. Jina la Bwana litunzwe milele zote Amina.
Ubarikiwe, mtumishi. Haya ni mafunzo ktk maisha ya kondoo wa Mungu ya leo hii. Nimeyatuma kwa vijana wetu na makundi nilimo na ninayoyapenda sana. Tumebarikiwa waumini tutakaokusikiliza na kujitahidi kutenda unavyoshauri..kujiuliza maswali au kuwa tunduizi (critical thinkers) tupitapo ktk mikhtadha anuwai kimaisha. Kuamka na kutenda malengo yetu ya kujiendeleza , badala ya kupanga hewani na kuishi kwa kutumaini. Wahenga waliasa kwamba kesho haiji...ila LEO ndiyo tunayoiishi.
Thank you sooooooo much Pastor Leo nimepats kitu kikubwa sana cha kubadili maisha yangu,Mungu anisaidie kutimiza haya,na nina yafunika kwa damu ya Yesu
Dah nakupenda bure Mlefi,tusaidie cc vijana wengi tunavaa vizr lakini hatuna hela na inatufanya wakati mwingine tunafanya mambo yasiyo mpwndeza Mungu hususani wadada kuwa na mahusiono ya kingino na wasiyo mcha Mungu wakati mwingine kuolewa kabisa na kumuacha Mungu asante kwa elimu hii
BABA WEWE MUNGU AKUBARIKI SANA KWA KUTUPA CHAKULA CHA ROHO NA MWILI, UMENIFUNGUA UFAHAM WANGU NA MILANGO YANGU YA FAHAM IPOKEE ELIM HII NA IKAZAE WATOTO NA VITUKUU Aamina 🙏🙏
#MSHAHARA NI MADAWA YA KULEVYA UNAYOPEWA NA MWAJILI WAKO ILI KUKUSAHALISHA NDOTO ZAKO # hii hii hii hii inanitesa nimeona nifunguke tu MUNGU INGILIA KATI.
Baba kaka yangu mutumishi Wa mungu a salamaleykum wewe umenisaidia maisha yangu yote mpka kuingia mbinguni île somo umetufichulia siri ya maandiko somolako umesema unabii kwa dunia nzima wa 2022 nimekufata kutoka Oman wewe ni yoane wetu kwa kizazi hiki sauti ya mutu aliae jangwani yowane wetu wewe umetusaidia ku tengeneza imani kwa ku subiri mu nyama n'a unyakuo wa bwana wetu yesu kristo wewe n'a tamani sikumoja tukutane mbinguni tucheke tu furahi pamoja wewe n'a sisi wa sikiliza ji wako kwani mimi n'a tamani unyakuo naokopa moto wa millele 🙏🙏🙏🙏
Amina Pasta lakini ninaswali umesema mukristu nivizuri kufanya kazi nikweli lakini nyinyi tena mapasta munatufunza eti kuna wito tafauti . Kunawale wameitwa kuudumia tuu washirika yaani yeye ni kanisani tuu akisha anakula sadaka na moja ya kumi ...nawengine nimapasta lakini wanaweza tumuka kazi zingine ... ssasa iyo unaisema eko nini?????? Naitaji kujuwa kweli asante
@@MahubiriPrMmbaga KUFANYA KAZI TU HAKUMFANYI MTU KUFANIKIWA TU BALI AWE NA ELIMU YA FEDHA,NA KAMA UKIWAFUNDISHA WATU KUFANYA KAZI TU BILA KUWA NA FINANCIL EDUCATION UTAFANYA WATU WAFANYE KAZI HADI UZEENI NA HAWATAACHA URITHI KWA WATOTO
@@MahubiriPrMmbaga amen coz nipo gulf na ambaye ameniajiri anakuja Hadi anasali kwa mlango ya room yangu Sasa nikimaliza tu kazi hivi ety naingia kwenye room yangu nikijaribu kuomba tu ninalala na hii ni mara ya pili bossy wangu kufanya hivyo
Ata serikali yetu nayo iwe makini kuhusu hizi chanjo wanazopewa watoto wadogo mimi nahisi nazo zinaweza kua na ujanja ujanja wa kudumaza akili za Waafrika..🙏🙏
Mungu azidi kukutumia Pr Leo Nimejifunza kitu kipya namshkuru Mungu kwa hili
Pastor, Ahsante sana kwa masomo unaendelea kutoa yananisaidia sana katika maisha yangu, ni mengi nilikuwa sijui lakini Leo Mungu amejifunua kupitia wewe, kiukwel nabarikiwa sana muda mwingi natamani kusikiliza mahubiri yako. Jina la Bwana litunzwe milele zote Amina.
Barikiwwa paster you are a blessing to this generation
Ubarikiwe, mtumishi. Haya ni mafunzo ktk maisha ya kondoo wa Mungu ya leo hii. Nimeyatuma kwa vijana wetu na makundi nilimo na ninayoyapenda sana. Tumebarikiwa waumini tutakaokusikiliza na kujitahidi kutenda unavyoshauri..kujiuliza maswali au kuwa tunduizi (critical thinkers) tupitapo ktk mikhtadha anuwai kimaisha. Kuamka na kutenda malengo yetu ya kujiendeleza , badala ya kupanga hewani na kuishi kwa kutumaini. Wahenga waliasa kwamba kesho haiji...ila LEO ndiyo tunayoiishi.
Nimejifunza kitu kipya leo kwa swala la kufunga maono. Asante kwa ufunuo huu mkubwa Glory to God. Salamu kutoka Germany.
Pr Mungu akuzidishie uelewa wa vitu vingi
Amina mchungaj hakika umenifungua macho kuona mbali.
Ubarikiwe sanaa
God bless 🙏 you Man of God 🙏🙏🙏 bless
Amina,umenibariki sana Pastor. Zidi Kubarikiwa Mtumishi!
Amina pastor nawapata vizuri sana nikiwa mwanza magu
Ameeeeen pastor
Amina pastor unagusa maisha yangu kwa.mafundisho yalo
pasita nashukulu sana kwakunielimiasha mungu akubaliki sana sana
Barikiwa,mtumishi,munguakubariki
Mungu akupe maisha marefu pasta mafundisho Yakoyamenibariki mno nimejufunza Kwa yesu niraha tu
Barikiwa mchungaji nauende mbali tunakusoma vizuri hapa Serena hotel karibu serengeti
Pastor ubarikiwe sana,umenifundisha mmbo ya muhimu sana katika maisha yng ss nakwenda kufanikiwa Amen
Amina Amen mtumishi wa Mungu somo zuri sana
You are a true messenger of God. We are blessed to have u in this generation. (From Kenya)
Amen Amen wewe ni Pastor mwalimu ten mkombozi wa Vijana Africa...but vijana wakristo tuwe makini🙏
Amin my pasteur
Yes nakubali san
Thank you sooooooo much Pastor Leo nimepats kitu kikubwa sana cha kubadili maisha yangu,Mungu anisaidie kutimiza haya,na nina yafunika kwa damu ya Yesu
Amina,hii niyakwangu pastor,barikiwa sana
Ameen pasteur ubarikiwe sana 🙏🙏
Amina pastor, maana kufanya kazi bila malengo ni sawa na kuendesha gari bila kufuata mwelekeo hivyo safari huishia njiani.
Pastor Mungu akulinde kwa njia zote🙏🙏
Asante Sana MUNGU aku akubariki
Pastor leo umenielimisha kweli kweli just know that you inspire so many of us and our life changes alot.
May you be blessed even more Glory be to God
Ameeen
Asante sana kwa mahubili yako pr mbaga
Mungu akubariki sana umegusa maisha yangu umenisaidia mambo mengi sikuyaelewa kabisa
Asante Pastor umenijaza fikra mpya kwenye ubongo wangu.🙏
Amen Pastor 😌🙏
Ameen nashukuru mungu kwasababu kila siku naingiza ktu kipya
Mungu wako akutuzee
Amine 🙏
Amen
Amen,nimebarikiwa masomo yako Pastor
ameeen God bless you
Dah nakupenda bure Mlefi,tusaidie cc vijana wengi tunavaa vizr lakini hatuna hela na inatufanya wakati mwingine tunafanya mambo yasiyo mpwndeza Mungu hususani wadada kuwa na mahusiono ya kingino na wasiyo mcha Mungu wakati mwingine kuolewa kabisa na kumuacha Mungu asante kwa elimu hii
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu somo hili ni nzuri sana kuna mengi nimejifuza
Very powerful message
Asante kwa somo lako mwalimu 🙏🙏🙏🙏
Mungu akubariki mtumishicwa Mungu, unaakili sana Mungu Akusimamie
Barikiwa sana pasta
Usiseme nita ,Sema nina
Amina mungu aendelee kukubariki nimejifuza vitu vipya kabisa ambavyo nilikuwa sivijui
Amina pastor, MUNGU akutunze kwa ajili yetu 🙏🙏
Ahsante,, Barikiwa Pastor
Asante sana kwa kazi hiyo nzuri
BABA WEWE MUNGU AKUBARIKI SANA KWA KUTUPA CHAKULA CHA ROHO NA MWILI, UMENIFUNGUA UFAHAM WANGU NA MILANGO YANGU YA FAHAM IPOKEE ELIM HII NA IKAZAE WATOTO NA VITUKUU Aamina 🙏🙏
#MSHAHARA NI MADAWA YA KULEVYA UNAYOPEWA NA MWAJILI WAKO ILI KUKUSAHALISHA NDOTO ZAKO # hii hii hii hii inanitesa nimeona nifunguke tu MUNGU INGILIA KATI.
Amina ubarikiwe sana endelea kutubariki
Amina Amina ubarikiwe
Amina Pr.
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
Nakupenda Sana pastor
Vrmt nivizuri sana mungu atubariki kwa mitazamo wetu amen
Baba kaka yangu mutumishi Wa mungu a salamaleykum wewe umenisaidia maisha yangu yote mpka kuingia mbinguni île somo umetufichulia siri ya maandiko somolako umesema unabii kwa dunia nzima wa 2022 nimekufata kutoka Oman wewe ni yoane wetu kwa kizazi hiki sauti ya mutu aliae jangwani yowane wetu wewe umetusaidia ku tengeneza imani kwa ku subiri mu nyama n'a unyakuo wa bwana wetu yesu kristo wewe n'a tamani sikumoja tukutane mbinguni tucheke tu furahi pamoja wewe n'a sisi wa sikiliza ji wako kwani mimi n'a tamani unyakuo naokopa moto wa millele 🙏🙏🙏🙏
Mungu akubariki saaana
Pray for me
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Asante sana Mchungaji wa Mungu Baba Jehovah kwa jina la Yesu Kristu Amen🙏🙏🙏🔥🔥🔥❤️❤️❤️
😮😮😅😅😮😅
😮😅😊😅😅😮😢😢😢😅😅😅😅😅😅😮😅😊😅😢🎉🎉🎉
38:52
Barikiwa pastor
Uko tofauti sana mchungaji natamn kama ungekaa na wachungaji wapate semina kwan naona km ndio msingi mkubwa wa kuinua wengi kiuchumi
Hongera sana mch mafundisho yako yananibariki sana
Barikiwa sana, najifunza jambo la muhimu sana
Barikiwaa SANA mtumishii
Amen , nice nd powerful message I ave learned alot let us do according to it in God's Grace 🙏 , God 🙏 bless u pastor
MUNGU akubariki pastor
@1
Amen..
Amina
Blessed
Nice talk 👌
Amen,
Ninapomsikiliza Pr. Mbaga ninamuona mtu mmoja anaitwa Dr. Myles Munroe. Ikiwa mtu ataweza amtafute huyoo jamaa youtube nenda ukasearch Munroe Global
Kweli kabsa. Yani wanafanana vitu vingi..!!
Kupenda fedha ni vibaya Lakin kuwa na kipato ni vizuri hahaha 😂😂😂
God bless v
Sahihi kabisaa mkuu watu tumeangamia kwa kukosa maalifa
Nimekuelewa sana kwenye maono ya vitu kupitia somo hili nimejua jinsi ya kuvifuungia vitu vyangu.
Amina… ni yangu hiyo
Amina Pasta lakini ninaswali umesema mukristu nivizuri kufanya kazi nikweli lakini nyinyi tena mapasta munatufunza eti kuna wito tafauti . Kunawale wameitwa kuudumia tuu washirika yaani yeye ni kanisani tuu akisha anakula sadaka na moja ya kumi ...nawengine nimapasta lakini wanaweza tumuka kazi zingine ... ssasa iyo unaisema eko nini?????? Naitaji kujuwa kweli asante
Kila mtu afanye kazi
@@MahubiriPrMmbaga KUFANYA KAZI TU HAKUMFANYI MTU KUFANIKIWA TU BALI AWE NA ELIMU YA FEDHA,NA KAMA UKIWAFUNDISHA WATU KUFANYA KAZI TU BILA KUWA NA FINANCIL EDUCATION UTAFANYA WATU WAFANYE KAZI HADI UZEENI NA HAWATAACHA URITHI KWA WATOTO
Kinachowafanya wengine wafanikiwe wengine wasifanikiwe ni elimu walizonazo kuhusu mafanikio na pesa na baadhi ya wahubiri wamefanya most wasifanikiwe
Nimebarikiwa sana
🙏🏼🙏🏼
barikiwa
Habari
Kweli pastor naomba unisaidie tu coz ninapoomba najipata nalala😢 naomba unisaidie tu
Mungu akutendee muujiza
@@MahubiriPrMmbaga amen coz nipo gulf na ambaye ameniajiri anakuja Hadi anasali kwa mlango ya room yangu Sasa nikimaliza tu kazi hivi ety naingia kwenye room yangu nikijaribu kuomba tu ninalala na hii ni mara ya pili bossy wangu kufanya hivyo
Mungu asikuache akushike mukono akufunulie n'a mwengine tupone
Mch.natamani kubadilika
Pr. Kama mimi maono tangu sikujuakufunika na imepigwa Sana konokono ndoto ya kurudi sule primary mkono kuganda nifanyeaja nisaidie
Ameina mchungaji
Nimeelewa
Nimebarikiwa Sana
Ninafuatilia
Bwana yesu asifiwe na itwa Riziki niko Saudia mbona niki jaribu namba yako haikubali ama nivile nikombali
yaani mnakuwa mapastor ili kufundisha somo la uchumi?.
Barikiwa mchungaj tunazidi kunemeka San kwa hayo mahubir yako
Mungu anisaidie na mimi ili nibadilishe fikra
Ata serikali yetu nayo iwe makini kuhusu hizi chanjo wanazopewa watoto wadogo mimi nahisi nazo zinaweza kua na ujanja ujanja wa kudumaza akili za Waafrika..🙏🙏
Ukitumia tablet ama lab top sasa sii washiriki wako watatumia simu kuwa simu, na bibilia itakuwa wapi????
KWELI kabisa KTK kumtafuta MWENZI wa MAISHA sikulijua hili
Nimecheka kwa vijana hapo umewapiga na kitu kizito kichwani ni kweli kabisa
Nalisubil Sana hubili hilo