Ushuhuda wa mama kifaru akisimulia Rev.Dr.Eliona Kimaro
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2021
- Semina ya uchumi kibiblia ni semina ya siku nane, hii ilikuwa ni siku ya nne ya semina.
neno kuu linatoka zaburi 105:19 na mwalimu wetu ni Rev.Dr.Eliona Kimaro
_____________________________________________
Tufuate katika mitandao ya kijamii
Facebook : / kkkt-dmp-usharika-wa-m...
Instagram : / kkkt_mbezibeach
Twitter : / kkkt_mbezibeach
Namshukuru sana Mungu kwa ushuhuda wa mama Kifaru.malaika wa Bwana wapite katika familia yangu nirejeshewe vilivyopotea kwa Jina la Yesu.
Yesu mzuri ooh kweli Mungu yupo
Huwa napenda sana mahubiri ya mchungaji huyu maana yanafundisha, yanafariji, yanamtia mtu nhuvu ya kusonga mbele na yanahamasisha zaidi na kuleta maana halisi ya maisha. Mungu akupe maisha marefu mchungaji.
Amina
Naamini ipo siku nitainuliwa sijui ni kwa njia gani ila Yesu anajua
Jamani Yesu ni mzuri ba mchungaji ushuhuda huu umenjbariki Sana.
MUNGU WANGU. USHUHUDA HUUU UMEBEBA FUNDISHO KUBWA❤
Mchungaji uniombee Mtoto wangu ametenganishwa nami na watu
Mungu atusaidie sana na anajua njia ya kukukomboa, lihimidiwe jina la Mungu wetu🙏
Nimefurah kusikia shuhuda hii kwa sabab nimejifunz kit. Amen
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi maishani
YESU ni jibu la maswali magumu..utukufu una MUNGU tu.
Mungu nakushukuru kwa yote naomba nami unitoe kwenye vizingiti hivi
Bwana anatupandisha viwango kupitia matukio. Amina
Maisha haya hakuna kuchoka, tumshike Mungu sana na kumtumikia katika roho na kweli, Siri Iko hapo
Wuwuu ubarikiwae mtumishi wa mungu sifa na utukufu apewa bwana wetu yesu kristo 👏👏👏👏🙏🙏🙏
Ushuhuda mzuri sana,,kwakweli MUNGU hamtupi,mja wake,najua ewe MUNGU upo unatenda makuu,nakwangu najuwa unatenda much,Giza litaisha mchana unakiuja,AAAA MEEEEEN,in JESUS NAME
Ipo siku yangu ya kutoka kizingitini kwa uweza wa Mungu
Ameni Ameni
Amina. Mungu ni mwaminifu. Siku yako aijua Mungu pekee. Barikiwa sana
Amina amina
Asante Mungu najua na mm utanitoa kizingitini
Tujifunze kumtumikiya mungu kwa sadaka zetu
Najiunga Isha na haya madhabau nakuamini kuwa IPO siku yangu mungu atanirejeshea yote nilionpoteza, Amina
Ukweli Mwenye Enzi Mungu Ni wa pekee sema ni Binadamu tu wabishi mno
Jamani haya yamenifanye nilie Sana 😭😭 Mungu tusaidie
Kiukweli napenda mahubiri yako ila pia nmejifunza kitu kwenye huu unumbe❤❤😭😭😭
Ameen ameen
Mungu ni mwema san a kwa wanaomlilia mchana na usiku
Njia za Bwana hazipimiki
Makusudi ya Bwana Mungu yadumu kizazi baada ya kizazi.
Amen mtumish
Ninamshukuru Mungu sana kusikiliza video hii 19.10.21 juu ya kizingiti. Mchj ELIONA Kimaro umetoa mifano ambayo nami nimepita, lkn mwisho wa siku ktk kumtegemea Mungu muweza nalijikuta nimechomoka ba naendelea kumtukuza tu Mungu sana. Ninabarikiwa baba na mafundisho yako popote unaposimama kuhubiri na sijajua mb zangu hata mara moja. Mungu a nisaidie, NA UBARIKIWE MCHJ. ELIONA KIMARO WA KKKT KIJITONYAMA. AMEEN
Munguakutunze kwahekima nabusara kama mfal e sulemani na ujawe rais wa tanzania ,mungu wangu nakuombamwezesheee ,ee yesu ,tupone kirho na kimwili
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
I will never be tired of ristening this story, it gives me strength in every time I watch.
Ubarikiwe mtumish wa mungu
Nami Mungu amenitoa Kizingatini!!!
Daaah kweli duniani tunapitia mengi magumu lakini yupo Mungu juu mbinguni atushindiae yote nakutunyanyua kwawakati wake
Ubarikiwe sana baba ushuuda huu umenipania nguvu maana nilikata tamaa sana lakini niliwashau simu yangu kusikiliza nyimbo za dini ndio nikakutana huo ushuuda nikasikiliza nikajikuta kama kunakitu nimekitua kupitia huo ushuuda maana sina kazi na kila nikitafuta kazi na kosa naomba mungu kupitia ushuuda huu akanitendee na Mimi miujiza
Barikiwa San mtumishi
Mungu ni yule jana leo na hata milele habadilik Ameeeeen
Amen
Amen, mungu atutoe kwa maisha ya kizingitini
Hallelujah praise the living God 🙏🏽
TheThanks for the update and for thth in Aruba for thth to go back for a couple days so it is just that it would cost was Kilimanjaro for the bid th for a while now so if you're interested th to the cost for thth the meeting is still the bid results and ya Mama Bear the meeting is still no response was Kilimanjaro the meeting tomorrow no up for thth to the bid results and for a few minutes before to make a decision and will get the meeting with a decision to make a couple days and ya Angela has to make the bid matmat of results from th to go th for thth in Aruba th
@@augustinasamdala2270musaidie
Mungu nimwema kwetu na mimileo natoka kiuchumi kwajina la yesu
Ujumbe umeninguza san hakii malaika wa bwana shuka kwangu😢😢
Mungu ni mwema
Amen Amen Amen
Mungu bado anabaki kuwa mungu tu hata Kama hajajibu
Mungu naomba uniondolee vizingiti na milima yote iliyopo mbele yangu.
Huuu ushuhuda unatia nguvu🙏🙏🙏
Hallelujah Pastor Kimaro Mungu akubariki
Mungu nione na mimi😢
Mungu wangu nionekanie 😢mm mwanao kwa maisha yangu na mahusiano yangu
Daah!! Mungu ni mwema sana,,,Asante Yesu sifa kwa Yesu .Mungu ni mwaminifu sana.🙏🙏🙏
Ameeen ameen
Halley's mungu yuko nasi milel
Mungu akuinue. Mtumish kwer dunia haina huruma imeniuma xana ila inaumaxana
😭😭😭😭😭 hipo siku nami nitafanikiwa tu.
Ameen!! SAA na wakati wa BWANA UTAFIKA KWANGU
Mungu ni mwema katika maisha yetu
Mungu ni mwaminifu kwa kila hamwaminiyee. Amina
Ameen❤🎉
Amina mtumishi wa Mungu natumain kupitia mafundisho Yako Naamini vizingiti vyangu vimeisha Kwa Jina la Yesu na nitatoa ushuhuda
Amen amen
Asante Yesu, Asante Mungu wanguu sanaa
Amen
Amina naamini nitatoka kizingitini
Hivyo viatu ni vikubwa siviwezii yaniii Mungu ni mwema mnooo Yehova Yuu haiii
Hallelujah Mungu ni wamajira na nyakati jaman nimepata kitu apa
Amen, nimebarikiwa sana na mahubiri haya
Mungu akubariki sana Mchungaji na akupiganie Kila hatua ya maisha yako nimependa sana ushuhuda huu
Amen
Hakika nimebarikiwa Amen Amen hili ni langu
Amen,waja Mungu abaki Kuwa mungu
Mungu ni mwema saana 🙏🙏
Mwacheni Mungu aitwe Mungu🔥🔥👏👏👏🙏🙏🙏
Shangilieni watu wa MUNGU mbona kimyaaaaaaaaa
Ameni mungu atujalie tuwena roho nzuri
Ameni nimebarikiwa Kwa ujumbe mzuri
Ameeen
ANOTHER GOOD STORY LIKE WE USE TO SAY PARTY AFTER PARTY
Hallelujah wakati wa Mungu ndio wakati sahihi
goog you haven na amani!!!!
Bwana Yesu tusaidie sana, rehema zako zitufunikee tuu
Amin
Mungu hajawahi kushindwa
Aminaaa napokea malaika kwa jina la Yesu
Kiatu menibana nimeishia kutoa machozi ni ngumu kuamini kama kuna Mungu wakati huo ukika utulie unajua ahaaaaaa kumbe Mungu alikuwa nami.
Amina Mina kabisa 🍇🍇🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐🙏🙏
Ameeen Ameeen Ameeen thankyou jesus Amen i receive it in the name of the lord Jesus
Asant mungu kwa yote naomba NAMI uniondolee vizingiti
Mungu atabak kuwa Mungu kwa kweli
Aminaa ubarikiwe pts kwa shuhuda
Mungu akubariki Mchungaji
Ushuhuda uninitia Nguvu Ila kwa Mtumishi kushindwa kuomba no.sina mbavu
Ameeeen kweli Mungu Yupo kbs Mungu niponyeeee
Hakika mchungaji hakika Kwa mambo ya ushuuda unazo toa zinanisaidia mm kwani uhalisia Nayapitia but naamini Yesu ni Bwana.
Yesu tusaidie
mungu nami nitoe kizingitini
Ubarikiwe sana Mtumishi
Bwana akubariki sana mchungaji
haleluyaàaaaa jamani Mungu ni mwaminifuu
Mungu yupo na Anaishi Jana Leo na hata milele.Amen
Ameeeeeen🙏🙏🙏 utukufu kwa Yesu 🙌🙌🙌🙌
Ameen
Ameen
Amina kubwa kwa jina la yesu
Ee Mungu wangu nakuomba unitokezee kwenye ndoa yangu
Pr natamani Mungu anikutanishe na ww naona barikiwa
Amina mtumishi
Amen,Amen,Amen,I receive in the mighty name of Jesus
Hallelujah Mungu wetu mkuu sana