FAHYMAH Afunguka RAYVANNY Kubadili DINI/PAULAH/MKE wa PILI niko TAYARI/DINI inaruhusu
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 ส.ค. 2023
- Mpenzi wa Rayvanny Fahymah amefunguka kuhusu Mpenzi wake Rayvanny kubadili Dini (kuwa muislamu, kuoa mke zaidi ya mmoja
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Fahymah #Rayvanny - บันเทิง
Nimeangalia comments za watu wengi wana wivu mara oh litamkuta jambo mara anajimaliza jaman ukipata nafasi ya kuringa we ringa tu acha nidham za uongo za kufikiria watu watasemaje mnaboa mjue fanyeni kitu mnataka big up fayma love you 💓💓
Kama umegundua hiyo nyumba ni Ile anayoigizanayo JB na watoto wake kwenye huba em tugongeni like apa jomonnn
Kabisa
Bora ametreat mpenzi wake vizuri
Nilijua nmeon peke yng😂😂😂
Hio nyumba ni jiran yangu kabisa kibada
Hakusema yake hata hivo so relax
Mdogo wangu Unajielewa sana,Mungu akulinde ulee mtoto wako na mwenzako,nakupenda utaki drama,nakupenda 🇺🇸🇹🇿
Nakupenda xan fahima lakn ucjimalize dada atakuja kumuoa mwengine utalia wew
Kashasema sheria wanne, anajikubal, hapingi uke wenza Sasa anajimaliza vipi
@@nahlahassan-fd6leNa mbona aliondoka mara ya kwanza basi after Ray kucheat😂si angekaa tu juu amekubali
Kazuri sana❤
Congratulations Amazing voice❤❤❤ Media
❤❤❤❤❤❤
Ache wivu fahym ni mzuri ❤
Hana wuziri wowote😅
Mzuri sana mashallah❤
@@kadino_jcwivu nayo itawaua
Sema mkorogo anaoga
Congratulations ❤❤
Fayma I love Yu❤️❤️❤️❤️🤣🔥🇰🇪
mwezenu nimeipenda sauti yamtangazaji ipo kama ya strng wngu kibibi👈🏻😘😘😘 😂😂😂
Afu kweli
Hacheni wivu muache fahma ale raha na mpenzi wake.
❤❤❤❤
Mh! Nilijua kavaa papasi mavazi mengine ila juu ngu ipo vizuri ila chini lakini hongera zako mwana❤❤❤
Pia mimi nikadhani hivyo😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
🤣😂🤣😂🤣🤣nikajua pampas namim nguo nyingne wazungu tunaomba poo
Kí@@aishaz1
Mimi nilichogundua fayma zamani alikua anajiamini sanaaa Kama rayvanny hawezi muacha ju alikua anampenda sanaaa nakwasasa anajilekebisha anajalibu kua mtu mwema sema tu namuoneya huruma ju moyo wakwanza ukishabadili haubadiliki tena kasha honja inje nakashafanyiw mzuli kabla sasa apo ata achwa tu
Umeongea point
very good girl
this girl is amazing ❤❤
penden lugha znu za kiswahili sio kujifnya wazungu pndeni lugha ynu
Waoooooh fayma fayma ilove tooo
Mammy hiyo make up apana ata natural u are very beautiful banaa
Kafanana na umber Lulu
Nakubari😂
hujapendeza ww Albino michubuo nenda huko
Mungu awajaalie
Not to worry if I have missed it but I will also send the money to your bank account in person as soon as possible as I am currently on
Happy Valentine dada fayvanny
Good job mama jay but io lipstick yakh ijakutokea
Oooh fay tulia sijui nini nini 😂😂we umetulia kwanza ndiyo umshauri 😂😂😂ukipendwa onesha 😂break up pia onesha😂😂dunia kuna raha na kulia na bado tunaishi😂
Teeenaa
Hongera
Sura baya alafu unatafuta kumgombanisha abigail chams na rafiki zake
Fahima nikwambiye tuuuu utuliye mana matukiyo tunayasubiri mana wewe unajuwa kujimaliza afu unajifanya uko mwenyewe subiri yetu macho
Pepoo shtn
@@perisnekesa8117😂😂
Anajifanya tu
Wewe ni Mungu??
Wale wali kuwa ni Matapeli 😂😂😂
Mwana dada anapenda baby daddy sana
Kabisa
Fay loves you so much ❤❤❤❤❤❤
❤❤❤ asanteni
Huyuu dada ni mzurii ilaa make up anazotumiaa ndoo issue😢
Shida kope ndefu mno,zingepungua kidogo angependeza zaidi
Nakupendagafaivani mwanamme kujiamini
Faima mrembo❤❤❤❤❤
Fahyma vizur sana nimependa
❤❤❤
Mtu kazeeka lakini linavaa chupi njenje
Apo nani kazeeka mbona una2changanya au ulikua una coment Sehem nyingne
😅😅😅
🎉🎉
FAHMAH napenda unavyoongea ❤😊
Faymaah mrembo sana❤❤❤
Fayma❤❤❤❤
Fahyma kanenepa❤
Hapa ndio NAAMINI FAHMA ANATUMIA MKOROGO😂😂MHM ATISHA. PAULA NAMPENDA SANA NI ZILE MAMBO ZAKE. FAHMA ANAJIKWEZA SANA. VIJITU VIFUPI NI SHIDAA😂😂😂
Daaah ila wabongo sisi😂😂😂
Fai we love you❤❤❤❤❤❤❤❤
A we paula ni kiboko mrembo mbele ya huyu dada hata waseme nini aghhhhh❤❤❤
Lakini ana domo sana
Fahyma kwa Paula wa kawaida sanaaa,Paula mrembo sanaaaa hyu angekuwa mweusi angefanana na bi chau😂😂😂😂😂
Uko sahihi afande 😅
Wivu tu iyo 😏
Ndiomana ukaitwa tatu maana akil zko km namb tatu😃😃😃😃😃
Paula uzuri hana me up tu na kulivuta domo lol
Kwan hyo hapak makeup??😃😃😃😃
Mfyuuu Kwa uzur gan lbd mbona wa kawaida sana
Faihiyma chui❤❤
Fayma mrembo natural achane na makeup kabsa
Mbona mdomo wa Faymah umechongoka kwa juu. What's the matter!!
Alafu uyu mbona..ajamzidi..paula .
Nmempenda mtangazaji
Mi piaa❤
Mtangazaji anajua
subr uolewe ndio uite mume wko kw haki yko pnguza wivu na hasira binti hasra ztkuponza
Wivu gani Sasa, nyinyi ndo mna wivu tu, watu huitana mume na mke na wiki mbili Sasa ndo itakua Hawa Wana mtoto
@@zenahmugo1974mtoto si kitu kama hajakuoa bado si Mume wako
Sio kwa ubaya...fahma ni mzuri ila iyo makeup kawa kama mzee.
Dah huu jmn🥲🥲🥲Mungu amsimamiye...
Naomba nipokee simhmhmh😅😅😅😅
Huyu hamwezi paula😢ana jisura baya kweli😅😅je akitoa makeup😮😂😂
Hilo lisura libaya Lina maisha kulko ww purity wacha wivu msichana 😂😂😂
@@zenahmugo1974 😂😂😂nimewacha kapsaaa
@@zenahmugo1974asantee beine😂😂😂
🙄🙄🙄bora yako ww unasura nzuri
Ata Paula ukiangalia kishalia wala sio msuri ni wakawaida
Comment section mna wivu na roho mbaya wachawi nyinyi
🤣🤣🤣
❤❤❤ Happy birthday @rayvnny
Wewe muache ajimalize tu itamkuta yakumkuta 😢😢😢😂😂😂😂😂😅😅😅
Kashazoea ukipata nafasi ya kuringa ringa bhana sio unaogopa watu watasemaje acheni nidham za uoga
Fahyma mbona anakua mweupe sana
Mkorogo
Some kidogo kapendez
Yaani Anafanya interview kama Kalewa, Hayuko Sawa.. Kama Kachoka.. Acha kuongea Kiingereza Fahyma unatuchosha achana na Kiingereza mdogo wangu
Nguo hizi mwanangu jitahidi sana wewe ni mama sasa!!
Mmmh kama weupe ndioo huo wacha tu nibaki na weusi wangu
Nawapenda Sana nyie watu nimependa mlivyo ludiana Tena
Kama shetani mtuu
Wewe dada saraha
Weupe bila mvuto,,hyo sura yke n y makeup natural n wa kawaida
Haujui chochote wewe fahyma mzur bila make up
Umemuona fyama Leo wewe mtoto mzuri hata mbila makeup mtoto natural 😊
Mtt wa JB hiyo
Umependez
Ana kithembe dah
Afanya mchezo na dini hawa wameshafanya uzinifu wanazidi kufanya uzinifu tu
Ila nyie zile pic za insta nyie mh 😂 ila haviwez kuendana maana zile edit kibaooo ila hii live no edit mdomo mpana sura pana jaman akaaa
Ila faima inaonesha paula anakutesa sana huwezi ongea midia usimtaje pau
Shangazi uzee una karibia
Acha naye atese kwa zamu lake paula hanalake tena
Paula typing and delete 😂😂😂😂😂😂
penda san❤ fayma
Umejichubua kama kuku wa kizungu halafu hilo lichupi sasa na limdomo unavyo lichezesha kama shumileta😂
Punguza ukali wa maneno 😂😂ila kweli hapo Kwa chupi nadhani kavaa la babake JB 😂😂
😂😂😂😂
@@mjaweathman6519😂😂😂
Mbon wa kawaid sana mashauz mengi
Mbona namuona mbaya leo
Pia Mimi nadhani katumia make ya wazungu😂😂😂😂
Make up ya wazungu
Mbona hapa ni kwa jb😂😂😂
🤣🤣 kumbe
Umeona eee anaefatilia huba ataelewa
Mashauzi mengi😂😂😂
But faima plz acha kuvaa nusu uchu yaani uchi kabisa vaa kaa nandy
Huyu Mtangazaji naye Kibada napo ni Mbali???? Ushamba tuu wa Makazi ya Nje ya Mji mnashangaa sana.. Fahyma ni wa kawaida tu sema weupe unambeba basi na hvi nguo za uchi na kujiongeza makeup anaonekana kanoga
Mh mavazi mengine jaman hii ni chupi au macho yangu 😂😂
Ila mtangazaji mbaya jmn sulangumu kama yakisukuma khaaa
We ukome wasukum ni warembo San kam mm
Hamna mty mbya jmn,ameumbwa Kwa sura na mfano wa mungu
Hlf nyie mnaosema watu kama mme waumba mnajua nn kuhusu uumbaji wa Mungu unajua uchungu wa mwana wewe????unasema watoto wa watu as I your perfect...NB kila mtu ni mkamilifu katika ukamilifu wake.....just the way she is she is beautiful...very beautiful ❤acha makasiriko ndugu yangu...Mungu pekee ndo Mkubwa na muumbaji have manners...Hujafa hujaumbika
mi spndi mswahili kujifnya mzngu kwni hmuezi kuongea kiswahili kwny kaz znu wa wndshi wa hbari w sku hzi kz hpo
Limbukeni mbwa hao
Picha na alivyo tofauti
Mbona hilo chupi lakaa kubwa sana😂😂au kasahau kavaa la babake JB 😂😂
😂😂😂😂😅😅 Nimecheka sana😅
@@subiraaddo864 cheka uongeze siku🤣🤣🤣
Nimecheka Jaman 😂😂😂😂
Hapo kwa mavazi 😏😏😏
Nakupenda fahima
Nikupe siri wacha kuongea sana kwanza kwa mambo ya mafanikio yako ziiipuuu na kuongea atii napendwa miyeee utawachwa tena 🤔 😂😂😂😂😅😅
Hii SI Ile nyumba ya JB yawa
nilicho kiona we maridadi unajipenda mnoo
😂😂hii nyumba fai kaona asipitwe nayo baada ya huba na nandy kutangulia
Mavazi jamani ata kama jichunge wemke siokila mtu ahone paja la m'me wako jichunge
Faymah ni mweny busara San lkn some time mavazi yake ndio yanamtoa kweny leli