SEHEM YA PILI- FAIDA ZAKUFUNGA KWA KULA MLO MMOJA au MIWILI _Prof Mohamed Janabi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ส.ค. 2024
  • PONGEZI KWA MNH- AFYA PODCAST TOKA MUHIMBILI TV

ความคิดเห็น • 111

  • @DaudiJamesKafulila
    @DaudiJamesKafulila 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akubariki sana na akupe maisha marefu ili ukawe baraka kwa wengine

  • @octaclement1872
    @octaclement1872 หลายเดือนก่อน +1

    Prof Janabi, Mungu akubariki sana hii ndio heshima ya Taaluma kwa Watanzania

  • @annmjemah5655
    @annmjemah5655 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nilikuwa na kg nyingi sana kulingana na urefu wangu na kichwa kilikuwa kinaniuma sana upande wa juu wa sikio la kulia kwa muda mrefu nikaebda kuuliza famas akasema ni dalili ya presha Na mimi nilijaribu kula mlo mmoja kwa siku lakini mlo huo haukuwa na wanga wowote wa ugali wali ndizi viazi nk na nilikuwa natembea au kukimbia km 6 kwa siku kwa muda wa mwezi mmoja nilpunga kg2 au 1.5 per week lakini sikuwa nalala hovyo hata na ninaapreciate hii lecture kwa kweli. Barikiwa sana PROF.

  • @nickylyanga2139
    @nickylyanga2139 9 หลายเดือนก่อน +12

    Kwa niaba ya watazamaji wote ...itoshe kusema tunakushukuru sana ..na mungu akubariki sana

  • @user-ix2lw6tz9i
    @user-ix2lw6tz9i 10 หลายเดือนก่อน +23

    Asante kwa somo zuri🙏nashukuru Mungu nayaishi haya yote na imenisaidia kupungua🥰kutoka 90kg- 56kg kwa sasa mwili umezoea haya maisha🙏🙏

    • @nicholauspeter9454
      @nicholauspeter9454 9 หลายเดือนก่อน +1

      hongera

    • @user-ix2lw6tz9i
      @user-ix2lw6tz9i 9 หลายเดือนก่อน

      @ilampamwami8833sante sana nipe mawasiliano nkusaidie mpendwa🥰

    • @user-ix2lw6tz9i
      @user-ix2lw6tz9i 9 หลายเดือนก่อน

      @@nicholauspeter9454 sante sana🙏

    • @monikamasasi7582
      @monikamasasi7582 9 หลายเดือนก่อน

      Jamani na Mimi nitaanza

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 6 หลายเดือนก่อน

      Funga mwezi wa Ramadhan utapata faida​@@nicholauspeter9454

  • @MariamDola
    @MariamDola หลายเดือนก่อน +1

    Shukuran doctor kwa somo Zur

  • @angelamvaa2229
    @angelamvaa2229 8 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana Dr kwa somo zuri ni wakati wakujihoji ulaji wetu , na kufanya maamuzi yenye tija kwa afya zetu

  • @jumahamad3723
    @jumahamad3723 9 หลายเดือนก่อน +10

    Hivo vitu kwenye dini ya kiislamu vipo na ndio maana tumekewa kufunga kila mwaka kwa mwezi na kila wiki siku mbili ambao ni j/3 j/4
    Alietuumba ndio kajua sisi bila ya kufunga ndio yatakuja kutokea hao uzito mafuta na maradh mengine
    Tumeambiwa tufunge ili tupate Afiyah.

    • @J4UPro
      @J4UPro 4 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 9 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa elimu imeenea.twashukuru.mitandao na madctr. Wazuri asante prfs JANABI❤❤❤❤

  • @laetitiapetrontagazwa2016
    @laetitiapetrontagazwa2016 5 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana Prof. Wewe ni tunu ya Watanzania. Mungu akutunze. Tusipokusikiliza ni matatizo yetu tu. Umejitahidi sana kutusaidia.

  • @sauda4505
    @sauda4505 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nashukuru sana Kwa elimu na swali langu lishajibika kumbe maji waeza kunywa kipindi ambacho umejizuia kula Asante sanaa

  • @eliakimsamwel1846
    @eliakimsamwel1846 8 หลายเดือนก่อน

    Nashukura Sana kwa somo nzuri, ningependa madamitari wetu wafundishwe pia maana wengi wao hawafahamu, wengi wanapotosha jamii zetu ndio maana magonjwa ya lishe hayapungui hawana elimu hii Kama wew prof.

  • @bettyclemence7195
    @bettyclemence7195 8 หลายเดือนก่อน +3

    Ubarikiwe nimeona Kuna faida nitajaribu hiki kitu ubarikiwe

  • @user-nv5ls2dy6k
    @user-nv5ls2dy6k 5 หลายเดือนก่อน

    Asante sana zidi kutusaidia ni mara yangu ya kwanza leo,nimelipenda darasa

  • @HurbertMsuya
    @HurbertMsuya 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante Prof kwa elimu kubwa

  • @LucyEzekiel-gm2jr
    @LucyEzekiel-gm2jr 8 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi Mungu akubariki sana kwa somo zuri doctor

  • @leahwikesi706
    @leahwikesi706 6 หลายเดือนก่อน +1

    Asante doctor kwa somo

  • @DavidNdosa-mj4ei
    @DavidNdosa-mj4ei 9 หลายเดือนก่อน +1

    Prf January ni mfano wa kuigwa katika inchi hoi Mungu akipenda kwa elimu hii pia madaktari pamoja na wataalam mbal mbal wajitaid kuweka elimu huku mitandaoni ifike wakati mitandao ifanyike darasa

    • @DavidNdosa-mj4ei
      @DavidNdosa-mj4ei 9 หลายเดือนก่อน

      Janab sio januari ni sm tu imecheza

  • @rehemaissa6164
    @rehemaissa6164 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante sana Dr. Nimefurahi sana Kwa somo hili na nimelielewa, Mimi ni mhanga wa uzito mkubwa, nimejitahidi kufunga lakini Bado nafeli kupungua uzito badala yake nakuwa napata maumivu ya kichwa na tumbo la juu.

    • @muniraally4091
      @muniraally4091 9 หลายเดือนก่อน

      Pole ila nami ni mwenzio tujitaidi tuuu mdogomdogo kuna program niko nayo sasaivi inasaidia usiskie njaa

    • @muniraally4091
      @muniraally4091 9 หลายเดือนก่อน

      Ukipenda nikuunganishe nao

    • @rehemaissa6164
      @rehemaissa6164 9 หลายเดือนก่อน

      @@muniraally4091 nitashukuru sana ukiniunga Nisha nao.
      Na Kwa Sasa nimeanza zoezi la kunywa chai asubuhi tu halafu nakula chakula mida ya saa Moja usiku, naona kama inanisaidia kiasi

    • @user-nh6oy7ym4n
      @user-nh6oy7ym4n 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@muniraally4091mm hp naomb uniunganishe pia

    • @rachelmbilinyi9552
      @rachelmbilinyi9552 8 หลายเดือนก่อน

      Ungefanya detox kwanza

  • @bakarimakalo7128
    @bakarimakalo7128 9 หลายเดือนก่อน

    Thanks Prof. Janabu for this lesson.

  • @user-mk5ib4be2h
    @user-mk5ib4be2h 7 หลายเดือนก่อน +1

    Thanks a lot tumepata faida ila je! Ni vipi kwa anae nyonyesha

  • @ndagijimanasibomana318
    @ndagijimanasibomana318 10 หลายเดือนก่อน +2

    Asante kwa elimunzuri MUNGU akubariki

  • @mchikirwambombeyagonja4311
    @mchikirwambombeyagonja4311 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nakunywa chai ksrafuu tangawizi Hadi saa moja usiku nakula na nimezoea

    • @user-kd4lr6bd1j
      @user-kd4lr6bd1j 4 หลายเดือนก่อน

      Cjakuelewa my nielekeze vizur

  • @catherinekayani1412
    @catherinekayani1412 5 หลายเดือนก่อน

    asante sana leo nimepata madini makubwa nina mwezi wa 3 nafunga siku 5 kila mwezi na shida yangu kubwa nisipokula jioni nahaha sana lakin asbh na mchana sio shida zangu

  • @ndimamsuya9709
    @ndimamsuya9709 9 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Prof. mojawapo ya clip za thamani sana ka kipindi hiki. NACHUKUA HATUA

  • @Haddasah23-ny8nk
    @Haddasah23-ny8nk 10 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana Pastor. Mungu akubariki kwa somo zuri.

    • @omeerrasheed7192
      @omeerrasheed7192 9 หลายเดือนก่อน

      Huyu sio pastor ni daktari by professional

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow 5 หลายเดือนก่อน

      Mbona pasta 😮

    • @gloriachristian1470
      @gloriachristian1470 5 หลายเดือนก่อน

      Amekuwa pasts tena huyu ni jembe la afya hapindishi maneno

  • @FelistaCharles-ks1py
    @FelistaCharles-ks1py 3 หลายเดือนก่อน

    Asante barikiwa sana

  • @user-ux6fz7bi2l
    @user-ux6fz7bi2l 5 หลายเดือนก่อน

    Somo zuri barikiwa sana dakatari nitaanza ratiba ya milo 2 kwa siku

  • @reginamukama7333
    @reginamukama7333 5 หลายเดือนก่อน

    Asante Kwa taarifa hii

  • @harunibernadi
    @harunibernadi 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante Sana doctor

  • @eugeniamsilikale8687
    @eugeniamsilikale8687 10 หลายเดือนก่อน

    Asante Doctor kwa somo zuri

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 9 หลายเดือนก่อน

    Asantee somo zuri sanaa❤❤❤❤

  • @happynesfocus
    @happynesfocus 9 หลายเดือนก่อน

    Asante sana ndg janab

  • @lucykarii6860
    @lucykarii6860 10 หลายเดือนก่อน

    Shukrani Doctor nimelipata somo ili kwa mda sahihi

  • @elianaarsen9942
    @elianaarsen9942 9 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa somo zuri

  • @lutigardkomba1215
    @lutigardkomba1215 9 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Dokta

  • @user-du2rc8zh8w
    @user-du2rc8zh8w 6 หลายเดือนก่อน

    Ahsante doctor ❤

  • @mamalaozphilemonmtawali.8467
    @mamalaozphilemonmtawali.8467 10 หลายเดือนก่อน +3

    Me nimezoea mlo mmoja kwa siku sakumi na moja na nusu jion, kuanzia sa moja usiku na hakikisha nimekunywa maji ltr moja na nusu kufkia sa nne na nusu ucku sinywi tena mpk sa kumi na moja jion tena siku yegine, kama pia na ukosea mwili naomba nielezwe.

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  10 หลายเดือนก่อน

      Wow!! Hongera saaaana!!

    • @J4UPro
      @J4UPro 4 หลายเดือนก่อน

      Je urefu wako ukoje?

  • @janethmosi6041
    @janethmosi6041 9 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Dr

  • @jamilasaif9891
    @jamilasaif9891 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante sana Dr nimafunzo mazuri

  • @ferdinandmakubi6275
    @ferdinandmakubi6275 8 หลายเดือนก่อน

    Good teacher

  • @beatricemabula4783
    @beatricemabula4783 5 หลายเดือนก่อน

    Ahsante sana dk

  • @user-ye8mt4dj2v
    @user-ye8mt4dj2v 5 หลายเดือนก่อน

    Namba doctar

  • @nicholauspeter9454
    @nicholauspeter9454 9 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa dr

  • @merinankullua5874
    @merinankullua5874 9 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Professor

  • @gloriachristian1470
    @gloriachristian1470 5 หลายเดือนก่อน

    Janabi mwalim wqngu wa afya nakuelewa nimepungua nmekata mafuta sili sukari muonekano mzr,,saluting dr

  • @user-vx4hm8cr6h
    @user-vx4hm8cr6h 9 หลายเดือนก่อน

    Asante professor 😊

  • @jamesmwakitalima
    @jamesmwakitalima 9 หลายเดือนก่อน +2

    Pastor ubarikiwe kwa kuweka somo hili,mimi najitajidi ila itabidi nianze na mwenzangu

    • @saidiomari708
      @saidiomari708 9 หลายเดือนก่อน

      Huyo sio pastor.

    • @abuuquudaamah3939
      @abuuquudaamah3939 9 หลายเดือนก่อน

      Hata mgonjwa wa Kisukari anaweza kufunga ikamsaidia kurekebisha Sukari ya kupanda Prof?

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow 5 หลายเดือนก่อน

      😮alaf Muslim huyo ni daktar nasi pasta

  • @emmiemmi3861
    @emmiemmi3861 3 หลายเดือนก่อน

    Hii ni kweli wasrabu wanakula mda wote na kila nyumba hukosi mgonjwa

  • @albertOscar-bw2dz
    @albertOscar-bw2dz 6 หลายเดือนก่อน

    Good job

  • @reginamukama7333
    @reginamukama7333 5 หลายเดือนก่อน

    Je mkulima afanyeje

  • @aminasaid6555
    @aminasaid6555 3 หลายเดือนก่อน

    Suna ni Alhamisi na jumatatu

  • @KeiFerouz-fn9oc
    @KeiFerouz-fn9oc 9 หลายเดือนก่อน

    Asante

  • @cristinarashid1245
    @cristinarashid1245 9 หลายเดือนก่อน

    Samahani docter mimi nina shida ya pipons usoni kwa mwaka miwili na nimeonana na dacter ameniambia niachekunwa sukari na niache kunwa maziwa na niache kula mayoi nanime acha na nime tumia dawa nasabuni zote nilizo ambiwa nanina myezi 6 na bado siponi

  • @johnkanyatuka250
    @johnkanyatuka250 9 หลายเดือนก่อน +1

    Me binafsi nashukuru kwa elimu hiyo, ila kitu kimoja nimekushangaa hizo picha ulizoweka na kuzitolea mfano kwamba tazama tulivyo kuwa, na sijaendelea nimeishia hapo hapo!
    Swali linakuja, je akili yako na ufahamu wako mabadiliko ya hivyo ulivyo wewe ulikuwa nyani!
    Mbona kuna picha nyingi ambazo ungeweza kuzitumia kwa kutolea mfano!

  • @joelnyanda6677
    @joelnyanda6677 9 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa somo zuri; swali langu, ni muda gani ni sahihi kula chakula usiku?

  • @toshalulinda1493
    @toshalulinda1493 10 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @monikamasasi7582
    @monikamasasi7582 9 หลายเดือนก่อน

    Aiseeee doctor umenihamisisha na kuanzia leo naanza kufuata Nina kilo98 baada ya miezi sita nitamleta mrejesho

  • @richlan100
    @richlan100 10 หลายเดือนก่อน

    ​Mafundisho mazuri, nashukuru. Lakini hiyo picha ya "evolution" yaleta picha tofauti na Bibilia hata bila kulizungumzia.

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  10 หลายเดือนก่อน +1

      Sijaelewa hapo. Evolution ipi?

    • @richlan100
      @richlan100 10 หลายเดือนก่อน

      @@MahubiriPrMmbaga Hebu angalia picha iliyo toka dakika 1:14

    • @RobertsKibasa-wi9mf
      @RobertsKibasa-wi9mf 10 หลายเดือนก่อน

      Yote yanawezekana, binafsi nimefanikiwa , nakula mlo moja kwa siku, nakula jioni saa mbili usiku tu, naamka asubuhi, nalisha mifugo na kazi za bustani hadi saa nne, nakunywa chai tupu, ikifika saa tano nakunywa maji nusu lita, saa saba napata chai na vitafunio kama viazi vitamu,mihogo,nk, nitaendelea kunywa maji au chai tupu hadi ifikapo saa kumi na mbili jioni, saa mbili jioni napata ugali wa dona kwa mboga za majani, samaki, maharage na nyama mara chache. Nimepunguza uzito,kutoka kilo 110, 2018 hadi kilo 76 October 2023, umri wangu ni miaka 67, na kiafya niko vinzuri kabisa, situmii pombe, soda , juisi, chumvi kidogo, badala yake nakunywa maji ya kutosha na mazoezi. Changamoto za kiafya zimeondoka kabisa mwilini, mahudhurio hospitalini na maduka ya dawa yameisha kabisa. Nikushukru sana Dr kwa elimu bora kwa afya zetu.

    • @saidseif4753
      @saidseif4753 9 หลายเดือนก่อน

      Duuh,, hataari,, balaaa,, professor mzimaa naye anaamini ktk human evolution,,,!! Kwamba binaadam/Mtu asili yake katoka kwa nyani,,,!!?,, Kumbe hawa manyani ni ndugu zetu,,, tuwaheshimu,,, hopelessly😅

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  9 หลายเดือนก่อน +1

      Tofautisha kati ya ELIMU YA KIMUNGU NA YA DUNIA HII! Fuata ya Mungu

  • @JoshuaWitinga-hi5rv
    @JoshuaWitinga-hi5rv 4 หลายเดือนก่อน

    Hakika unayosema nikweli kwanzia kesho nachukuw hatuwa

  • @JoshuaWitinga-hi5rv
    @JoshuaWitinga-hi5rv 4 หลายเดือนก่อน

    Nataka nijalibu miezi miwili

  • @user-di9bz3xh2i
    @user-di9bz3xh2i 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kwenye ugali hapo ndio pagumu.. huku mbeya hatuelewi kabisaa..

  • @damianikimario5695
    @damianikimario5695 9 หลายเดือนก่อน

    🙏

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 8 หลายเดือนก่อน

    👊✌👍.

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo 9 หลายเดือนก่อน

    ❤❤

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 9 หลายเดือนก่อน

    SoMo zuri Ila picha duuu za sokwe

  • @elsonmuyinga
    @elsonmuyinga 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kumbee

    • @naturelle1097
      @naturelle1097 9 หลายเดือนก่อน

      😂

    • @radhiasekinyuku6608
      @radhiasekinyuku6608 9 หลายเดือนก่อน

      Ahssante sana Dr,je mtu mwenye tatizo la.moyo mpana anaweza kunywa kahawa?

  • @JoshuaWitinga-hi5rv
    @JoshuaWitinga-hi5rv 4 หลายเดือนก่อน

    Kesho naanza kuchjkuw hatua

  • @user-ev7rm8kd2w
    @user-ev7rm8kd2w 9 หลายเดือนก่อน

    Wale wenye vidonda vya tumbo ukifunga unapata maumivu tumboni .hawa vipi ?

  • @Hanssimpson-ln6zs
    @Hanssimpson-ln6zs 9 หลายเดือนก่อน

    namba yako tafadhali naomba nikuone kiofisi

  • @cydrahope5251
    @cydrahope5251 9 หลายเดือนก่อน

    Mh

  • @nassraabdallah3585
    @nassraabdallah3585 5 หลายเดือนก่อน

    Nakama unamdonda ya tumbo haiwezi kuleta madhara?

  • @victoriarwerengera4831
    @victoriarwerengera4831 9 หลายเดือนก่อน

    Watu wanatudanganya kuwa ukifunga unatengeneza vodonda vya tumbo

  • @chikondimadalitso
    @chikondimadalitso 8 หลายเดือนก่อน

    Nisawa uchofindisha je ukiwa muasirika na mwiri wako umenenepa Kwa vidonge

  • @user-pe6hs5qq5l
    @user-pe6hs5qq5l 9 หลายเดือนก่อน

    Mimi Nina vidonda nashindwa kufunga nifanyaje

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 9 หลายเดือนก่อน

    Wengine wanasema msile jion wengine jioni sio mbaya sasa sijui tuchukue lipi

  • @kabalizasekanabomarko6063
    @kabalizasekanabomarko6063 10 หลายเดือนก่อน +1

    Tuko pamoja