Kijana huyu ally hpi nyota yako inangara sana na sana.Aim higher Mkuu,wania urais wakati ukiwadhia.Love your workaholic nature.Keep up .Tutazidi kukutilia dua
Asante sana. Nchi hii ilikuwa imepotea njia. Hata makanisa walishiriki kudhulumu. Anayeichukia serikali ya Rais MAGUFULI hana dini. Wanyonge wanalindwa na serikali hii. Zamani ilikuwa mwenye pesa ndiye anashinda kesi. Wanyonge walindwa na serikali hii. Matapeli na mafisadi walikuwa wameibeba nchi hii. Asante sana Hapi you make us proud. Mungu akulinde
Nakupongeza sana Muheshimiwa mkuu wa mkoa Alli happy. Pia nina kero ya kijiji chetu naomba kuwakilisha ambayo imetughalim kwa muda wa miaka mingi sana katika kijiji chetu cha malagosi iringa vijijin
Mambo km haya uongoz uliyopita tulikua hatuyaoni hii yote nikwa sababu ya raisi wetu anachapa kazi kweli kweli hongera kiongozi kwa kutetea haki za wanyonge
Mhe Rais Samia Suluhu, nakuomba umfikiri huyu kijana katika nafasi zingine za Uongozi hasa ule wa kutatua changamoto za ardhi. Ni mwanasheria na anelelewa vizuri katika Imani ndiyo maana anazingatia misingi ya haki. Pia huyu kijana anajua janjajanja za Viongozi na wapora haki hivyo si rahisi kudanganywa. Kwakweli kutotumia vipawa alivyonavyo huyu kijana nahisi huenda ni dhambi mbele za Mungu maana tayari vinajulikana. Simjui Wala sijawahi kuonana nae ana kwa ana lakini Kwa kufuatilia utendaji wake, HAPI ni kiongozi mtatuzi wa matatizo ya Jamii. Kwako ndugu HAPI, uwe na Subra na Moyo uliobebwa katika kifua kipana kilichokomaa kuvumilia Ngumi nzito nzito kama zinazoendelea Sasa baada ya kuwekwa pembeni katika madaraka ya U RC. Mimi binafsi nakuona ni kiongozi wa kuigwa hata na waliokuzidi Umri. Mungu akubariki wewe na Rais wetu, Amiiin.
Kweli kuna stofahamu...mtu ameshindaa...kisha wakae waongee....Mh....Ally hapi...wewe ndiyo mteule wa wana wa Iringa....kuna sintofahamu kabisaa...pole na hongera kwa kazi kiongozi
Mkuu wa mkoa nakupongeza sana kwa kuubadilisha mkoa wetu wa Iringa nakuomba mkuu wa mkoa hebu fika vjiji vya isele na kising'a viko dabaga kuna kero nyingi sana huko moja ni maji na umeme ni ahadi zisizotekelezeka tafadhari jitahidi ufike huko upate ukweli
Honestly we don't do that. Hawa watendaji ndiyo wanasababisha wananchi wakichukie chama cha mapinduzi na serikali yake. Tatizo ni watendaji wabovu wasiotenda haki wala kuzingatia sheria. Sukuma ndani.
MAGUFULI HAPA WANAIRINGA MMEPEWA JEMBE LA NGUVU HALIYUMBI WALA KUTETEREKA KWENYE KUTAFUTA HAKI ZA WATU BABA MAGU TUNATAKA VIONGOZI KAMA HAWA ALY HAPPY MUNGU AKUWEKE AKUPE HEKIMA ZAIDI MUNGU ATAKULIPA KWA UTETEZI WA WANYONGE MUNGU AKUPE MWISHO MWEMA WA KUONDOKA DUNIANI
bado..Majaliwa kiboko mjomba,usimuone kuongea kwake kwa ukimya, Majaliwa anafatilia kitu mpaka kwa dakika ulipokua,fully informed...ila Hapi anajua kutatua matatizo haya ya mkoa..in future Hapi atakua mkubwa.Hajawafikia wakina Lukuvi! baada ya JPM,atapa hata unaibu katika wizara yoyote..Rais ajae ni kati ya,Majaliwa,Kabudi na Lukuvi[utabiri wangu]
Mhe happi nakuombea mungu akupe afya njema na uendelee kua kiongozi inshaallah ushauri wangu kwenye wiki tenga siku moja maalum kusikiliza kero za watu wako
Mhu mkuu wa mkoa @allyhapi swala la migogoro ya ardhi ni kubwa sana,wananchi wengi tunakero hio,na baadh ya watumishi kwenye office zetu wanarudisha nyuma jihudi za nyie viongoz wa ngazi za juu katika kutatua kero hizi ,watumishi wengine wanachukua rushwaaa
mkuu hawa viongozi wanapindisha pindisha maneno hapo..na inaonekana utendaji wao sio wa kitaalamu zaidi ni wa kusikia maneno ...saidia mwenye haki apate haki yake...
Wewe Mh Hapi ningejuwa namba yako ya simu ninge kula zawadi kwakweli naapa kwa dini yangu wewe ni Mh halali ❤️
Kijana huyu ally hpi nyota yako inangara sana na sana.Aim higher Mkuu,wania urais wakati ukiwadhia.Love your workaholic nature.Keep up .Tutazidi kukutilia dua
Nimekupenda sana kiongozi,mimi ni mwanainchi wa burundi ,illa nafwatilia habali za tanzania
Very good job, these are the kind of leaders we need Hongera sana RC Hapi.
Huyu kaka mbunge mtalajiwa hongera sana mungu akuweke miaka mia
Uongozi ni wito na hakika mheshimiwa umeitika wito! Mungu akupe nguvu uzid kusimamia haki za wanyonge!! Mungu akutunze
Asante sana. Nchi hii ilikuwa imepotea njia. Hata makanisa walishiriki kudhulumu. Anayeichukia serikali ya Rais MAGUFULI hana dini. Wanyonge wanalindwa na serikali hii. Zamani ilikuwa mwenye pesa ndiye anashinda kesi. Wanyonge walindwa na serikali hii. Matapeli na mafisadi walikuwa wameibeba nchi hii. Asante sana Hapi you make us proud. Mungu akulinde
Your a good leader mr Rc, congratuation
Choose leader from heaven Mr hapi be blessed
Mh Alli Happi Mungu akutunze kwa ajir ya wanyonge uongozi ni wito na umeitika MH.HONGERA SANA KAKA
Example of an African strong leader congratulation Sir.
Kaz nzuri mkuu mungu akusimamie
unafanya vizurii sana hapi mungu akuzidishie maish marefu yenye furaha teleeeeee
Nakupongeza sana Muheshimiwa mkuu wa mkoa Alli happy. Pia nina kero ya kijiji chetu naomba kuwakilisha ambayo imetughalim kwa muda wa miaka mingi sana katika kijiji chetu cha malagosi iringa vijijin
Happy Mkuu wa wilaya smart Leo nimekuekewa uko vizuri
mkuu wa mkoa
Maamuzi Bora kabisa Hongera Mkuu wa Mkoa Ally Hapi
Hapi nilikuwa nakusikia tu leo nakukubali kuwa unauwezo mkubwa wakumsaidia rais wetu Makufuli 🙏🙏🙏👆👆
Congratulation we need president like you in tanzania
High capacity of I.Q well done mheshimiwa
Your very right his iq is high
Hawa ndio viongozi wa kuchagua mkuu wa mkoa oyeeee
Nakufatilia sana mkuu wa mkoa sana .mkuu nasikia laha haki unatoa kistahiki asante baba
Mambo km haya uongoz uliyopita tulikua hatuyaoni hii yote nikwa sababu ya raisi wetu anachapa kazi kweli kweli hongera kiongozi kwa kutetea haki za wanyonge
Mungu akubariki
Mkuu uko poa sana natamani uhamishiwe Arusha
Mhe Rais Samia Suluhu, nakuomba umfikiri huyu kijana katika nafasi zingine za Uongozi hasa ule wa kutatua changamoto za ardhi. Ni mwanasheria na anelelewa vizuri katika Imani ndiyo maana anazingatia misingi ya haki. Pia huyu kijana anajua janjajanja za Viongozi na wapora haki hivyo si rahisi kudanganywa. Kwakweli kutotumia vipawa alivyonavyo huyu kijana nahisi huenda ni dhambi mbele za Mungu maana tayari vinajulikana. Simjui Wala sijawahi kuonana nae ana kwa ana lakini Kwa kufuatilia utendaji wake, HAPI ni kiongozi mtatuzi wa matatizo ya Jamii.
Kwako ndugu HAPI, uwe na Subra na Moyo uliobebwa katika kifua kipana kilichokomaa kuvumilia Ngumi nzito nzito kama zinazoendelea Sasa baada ya kuwekwa pembeni katika madaraka ya U RC. Mimi binafsi nakuona ni kiongozi wa kuigwa hata na waliokuzidi Umri. Mungu akubariki wewe na Rais wetu, Amiiin.
Viongozi wenye kuacha alama leo umekujua kunifurahisha HAPI.
Pengo mjanja mjanja. .hafai Serikalini
Kweli kuna stofahamu...mtu ameshindaa...kisha wakae waongee....Mh....Ally hapi...wewe ndiyo mteule wa wana wa Iringa....kuna sintofahamu kabisaa...pole na hongera kwa kazi kiongozi
Napenda sana nanakupongeza kwa kazi zuri by mwachang'a
Kwa kweli watu wa ardhi hawasaidiii kabisa, ruswha bado ipo wizara ya ardhi
muheshiwa hapy nakukubali sana
Safi Sana wamezoea kutunyanyasa
Piga kazi hata magufuli anakujuwa naana kukubali sana
asante mheshimiwa ali happ nakupenda bule 😍😍😘😘
Mkuu wa mkoa nakupongeza sana kwa kuubadilisha mkoa wetu wa Iringa nakuomba mkuu wa mkoa hebu fika vjiji vya isele na kising'a viko dabaga kuna kero nyingi sana huko moja ni maji na umeme ni ahadi zisizotekelezeka tafadhari jitahidi ufike huko upate ukweli
Kaka hapi💪chapa kazi
Nafatalia Sana semu anazo simamia migogolo Safi ww nn mtetezi na mpenda haki Kwa wote
Mpaka sasa hivi kesi ipo mahakama kuu baada ya mama huyo kizee kuapuli
Sisi tumezulumiwa nyumba MH ALLY HAPI naomba no yako
Muheshimiwa Mungu akupe Umri Uweze Kusaidia Wanyonge, 🤣🤣🤣🤣 Mate Yawadondoka.
Huyu ali anaakili san Namfatilia sanA uyu jamaa anaakili sana alafu ninacho furahi zaid nikijan Mwenzangu
Honestly we don't do that. Hawa watendaji ndiyo wanasababisha wananchi wakichukie chama cha mapinduzi na serikali yake. Tatizo ni watendaji wabovu wasiotenda haki wala kuzingatia sheria. Sukuma ndani.
Wewe jamaa umeongea points sana
Kabisa
Safi sana MH daah wallah nakupenda bure ww ni rais wawanyonge
RC Hapi BabaLao!!
Happi yuko makini
Hongera mkuu
Wewe ni kiongozi safi MUNGU amekupa hekima
Mungu akuweke hapi
Safi Sana piga kazi
Kaka all hap mungu akupe ujasiri
Nakukubali sana Hapi
Safi sana mkuu 🔥🔥🔥
Exactly fine mr. Hapi!! Full of 😂
Technician Adoh! Mkuu wa mkoa upo vizuri hao ni mataperi mchana kweupe watumishi wanaopindisha mambo wapewe maonyo wanatia aibu.
Huyu mm namfatilia sana kiukweli uko vzr kaka
Ahsant mhehe mwezangu❤️❤️❤️
Kakwambia Nani Hy nimhehe hehehe chapa ya. Kondoa Hy mkuu wamkoa niwakondoa sy iringa cheupe chakondoa 💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥
WAFUNDISHE SHERIA HAO WATATUSUMBUA WANANCHI WANYENGE !
Kunasiku nilisema Hapy ni mkuu wa mkoa bora Tz watu wakanitusi
Walio kutus iliposema kua. Mkuu. Wa wilaya Happ. Ni Bora wakakutus. Hawajielewi
Yoote kwa yote Happy we Jembe
Magufuli tosha ubarikiwe sana
MAGUFULI HAPA WANAIRINGA MMEPEWA JEMBE LA NGUVU HALIYUMBI WALA KUTETEREKA KWENYE KUTAFUTA HAKI ZA WATU BABA MAGU TUNATAKA VIONGOZI KAMA HAWA ALY HAPPY MUNGU AKUWEKE AKUPE HEKIMA ZAIDI MUNGU ATAKULIPA KWA UTETEZI WA WANYONGE MUNGU AKUPE MWISHO MWEMA WA KUONDOKA DUNIANI
Kaka uko sahihi kabisa waonyeshe Shelia inavyo kwenda
Pongezi mkuu na MUNGU akujalie mema
Nime furaha kuona kiongozi mdogo mwamyaka arakini mkubwa kuongoza kabisa niko Rwanda arakini na penda Raisi Magufuli wapiri Amekuwa Hapi
Duh hapa sheria imelala kabisa asante hapi huzubaishwi
kiingereza chetu kinanifurahisha sana!
Ally hap Mimi naona akitoka mh magu Kamata nchi mkuu, nakukubali Sana wewe niwamungu.
Yaani migogoro ya ardhi kifamilia huwa ni pasua kichwa
Magufuri huyu mtoto anafaa kuwa wazili mkuuu hongelakwakumchaguwA
bado..Majaliwa kiboko mjomba,usimuone kuongea kwake kwa ukimya, Majaliwa anafatilia kitu mpaka kwa dakika ulipokua,fully informed...ila Hapi anajua kutatua matatizo haya ya mkoa..in future Hapi atakua mkubwa.Hajawafikia wakina Lukuvi! baada ya JPM,atapa hata unaibu katika wizara yoyote..Rais ajae ni kati ya,Majaliwa,Kabudi na Lukuvi[utabiri wangu]
Mhe happi nakuombea mungu akupe afya njema na uendelee kua kiongozi inshaallah ushauri wangu kwenye wiki tenga siku moja maalum kusikiliza kero za watu wako
Wana Iringa twa kukubali na kuthamini kazi yako Mhe. RC
Hongera Baba
Happy ni Kiongozi shujaa kama chifu Mkwawa!
Safi sana happy
Big up Mh HAPPI
Good job
Huu ndio uongozi safi
MIJIZIII NDIO MNAYOITAKA LOOOO ZAMBIIIII SANA. TUWAONE BASI HAO WATEULIWA KAMA SIO WAZUSHI TUUU. NYIE AYA
Kondoa mojaaa Hy piga keleleeee kwa Ally hapiiiii
Ni mrangi kumbe ma sha Allah
@@salmasoso9839 naam kondoa hy uje sikumoj tuende kwao tukale ugali 😃😃😃mn anajua kupika huyoooo
Maomba no ya MH ALLY HAPI
Mama anajua kujieleza aiseeeee
Mama huyo ni noma ,hebu chukulia ni mkeo wa dhamani kakushitaki
Unafaa kupewa KAZI tena kwa sababu ni mtetezi wa haki za wanyonge
Kiongozi bora huwa namuelewa sana huyu jamaa aiseeh.
Waziri Zidadu iringa kwa kesi za mashamba zimezidi
Mzee Happi yuko makini
Ndy hvyo watu wa Ardhi na watendji kupata Viwanja vya bure
Mdogo wake Baba Magufuli huyoooo hakina kuipindisha Lula inatumika
Magufuri umekufa ila umetuachia vijana wako l think tunakitu kitakuja japo kitachelewa
Safisana nimeipenda
Pengo muhuni fukuza huyopengo
Viongozi wengine wanawadharau viongozi wa chini
Mhu mkuu wa mkoa @allyhapi swala la migogoro ya ardhi ni kubwa sana,wananchi wengi tunakero hio,na baadh ya watumishi kwenye office zetu wanarudisha nyuma jihudi za nyie viongoz wa ngazi za juu katika kutatua kero hizi ,watumishi wengine wanachukua rushwaaa
Safi sana Mkuu chapa kazi Mkuu
wajanjawanja hao
Rais aliona mbali kuwachagua muwe wasaidizi wakee na hamjamuangusha pig up kaka
Straight forward
Mheshimiwa raisi mhamishie Dodoma huyo
Hapi unawe kabisa
Munam mpa mtu kazi na hata hajui kaziyake ibu
jamaaaaa anajua kaz yake na yuko kwenye msimamo wako
mkuu uko vizir
Nakuona diwani mtove kwa pembeni upo na mkuu wa mkoa
Una stahili kuwa raisi wa nchi baada ya magu
Rais wa iringa tunakuombea usije hama
Ali hap naomba usihame mkoa wetu
😍😍😍
mkuu hawa viongozi wanapindisha pindisha maneno hapo..na inaonekana utendaji wao sio wa kitaalamu zaidi ni wa kusikia maneno ...saidia mwenye haki apate haki yake...
Mb zangu !!
Upuuzi wa mzee juha.
Ask them mukuu
Yn we baba unatenda kaz kwa uwared Sana Bora hata niwe mchepuko wako.tu naona hata huko utakuwa unatenda hak
Hahahahaaaa
@@leticiacosmas7626 Hali ngumu hii
Duh.....
@@benezethkabunduguru7240 jeee
Kkkkkk we Jacklyn bhana kha!!
mimi huyu mwenye kazi ya kuinua na kushusha mic tu. yaani ndiyo kazi hiyo, au siyo?
Anakula mishahara kwa hilo tu heheeheh
Wanamasilahi hao fukuzeni ndio wanaosumbuwa raiya watumbuwetu
Unafaa
Wapigeee makwaju