Piga kazi ,maombi ya wanyonge ndiyo yanayokufanya uendelee kuishi miaka mingi ,unachokifanya unatangaza Vita kwa wale wanyonyaji kwaiyo mungu ni mwaminifu atakulinda kwa yote unayoyafanya kwa wananchi wanyonge kwa kutenda haki
Kuwa karibu na wananchi ni jambo zuri na ndo maana ya uongozi, Ila itoke Moyoni na iwe endelevu na wengine waige mfano huu waache kukaa maofini wanachat.
JAMANI KAKA MUNGU YUPO ATAKULIPA. TUMEIONA TOKA MWANZO KAZI YAKO NI NZURI SANA. KUMBUKA MTENDA WEMA DAIMA UPIGWA VITA. KHAAA WATU NI WABAYA SANA. UTALIPWA BROO. MWACHIE MUNGU ATAJIBU KWA YOTE ULIO WATETEA WANYONGE . INSHALLA
Pole Mkuu Wangu. Changamoto ni nyingi sana.Mtangulize Mungu kwa kila Jambo Naye Atakuongoza.Akupe Afya tele wewe na familia yako na viongozi Unaowaongoza. In sha Allah Allah Atufanyie wepesi sote.(Tuseme- Amin Rab Amin In sha Allah)
Mwenyez mungu azidi kukupa imani na wananchi wako viongoz km hawa ndio tunaowataka sisi wanyonge wanajali shida na kero za wabanchi mungu akupe mwisho mwema
Yaani Mh,mkuu wa mkoa Kama unaweza kudili na wahehe kwa kiwango hiki baada ya hapo mzee JPM akupeleke rorya kwa akina MURA naamini ukiwaweza hao Basi miaka 20 ijayo run for president na Mimi nitakupa kura yangu bila kipingamizi.
NAKUOMBEA UBALIKIWE ADUI ZAKO WAABISHWE MUNGU AKULINDE AKUOKOE NA MITEGO YA WATU WABAYA HAKIKA SIJUITII KUMTUMIKIA MUNGU KATIKA MKOA WAKO BALI NAJIVUNIA SANA
Jamani nyie uyu kijana mnataka afanyeje?? Mna mizambi na mtaungua kidogo kidogo mpaka MFE KWA UZUSHI WENU. AIBU SANA KWA KUMWANGUSHA KIJANA MCHAPA KAZIIIII KAMA HUYUU LOOOOO AYAA TUPU
Yaan mh ally hapi nikiongozi bora xnaaaaaaa Yaan nataman angekuja kigoma kutuongoza Mamboo yangekuwa shwari pongezi xnaaaaaaa kwa MH mkuu wa mkao wa iringa unajituma kaka mungu akubariki
Hiyo ndo kazi ya Kiongozi kusikiliza kero za wananchi hata ziwe ndogo kiasi gani, wakuu wa mikoa mingine sijui wanakuwaga wapi? Huwezi kusikia hata mkutano mmoja na Wananchi
Hongera mkuu wangu wa mkoa wa iringa ,kwa kuwa karibu na wananchi wako ,uzuri ulionao unaendana na roho yako mungunakupe afya ya kutosha.
Naomba namba zake nimsalimie jamni
Nataman uwe mku wa mkoa wangu Aiseeee
Hadi raha...Mkuu wa Mkoa kasimama kama kiongoz kwel..Mungu azidi kukupa hakili yakuzungumza na wananchi wako
Mkuu wa mkoa handsome ndani na nje .. Mungu akubariki
Piga kazi ,maombi ya wanyonge ndiyo yanayokufanya uendelee kuishi miaka mingi ,unachokifanya unatangaza Vita kwa wale wanyonyaji kwaiyo mungu ni mwaminifu atakulinda kwa yote unayoyafanya kwa wananchi wanyonge kwa kutenda haki
😂😂😂mkuu wa mkoa wewe ni mwanangu pia nikiongozi wangu sina pesa ivi kunamwananchi kaninyang'anya cm😭😭
Kuwa karibu na wananchi ni jambo zuri na ndo maana ya uongozi, Ila itoke Moyoni na iwe endelevu na wengine waige mfano huu waache kukaa maofini wanachat.
mkuu wa mkoa jaman anajitaidi Mungu azidi kumlinda
JAMANI KAKA MUNGU YUPO ATAKULIPA. TUMEIONA TOKA MWANZO KAZI YAKO NI NZURI SANA. KUMBUKA MTENDA WEMA DAIMA UPIGWA VITA. KHAAA WATU NI WABAYA SANA. UTALIPWA BROO. MWACHIE MUNGU ATAJIBU KWA YOTE ULIO WATETEA WANYONGE . INSHALLA
👏👏👏👏👏👏 Hongera Muheshimiwa.
Pole Mkuu Wangu. Changamoto ni nyingi sana.Mtangulize Mungu kwa kila Jambo Naye Atakuongoza.Akupe Afya tele wewe na familia yako na viongozi Unaowaongoza. In sha Allah Allah Atufanyie wepesi sote.(Tuseme- Amin Rab Amin In sha Allah)
Mashaa allah . Mwenyez Mungu akupe kher , akupe nguvu zaid
Magufuri hongera kwa chaguo la Hapi
Leo wa kwanza kuangalia video hiii nipeni likes zangu 😅😁
Endelea kuwa kujisifu kuwa kwanza kuangalia video wakati wenzako wanajifu wakwanza kurusha rocket
uswege mwakajila kwani mie nina shida ya kurusha rocket 🤣
pole baba angu mkuu atashughulika
Kadege yeye analipa watu inakuwaje hajalipwa tena🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂
hii hatari sanaaa
Watu wana hali ngumu jaman harafu tunawadhulumu haki zao
MH ALI HAPI MUNGU AKUTUNZE SAANA NA UTAPAA SANA MUNGU ATAKUPIGANIA SANA WEWE ,
Hadi kwenye vikao vyakawaida kunapicha ya mh. P
Kuna mijitu haina aibu,unalipwa mshahara bado unadhulumu Sh. 39,000/-
MKUU WA MKOA, NAKUPONGEZA KWA DHATI. THIS IS LEADERSHIP...MUNGU AKUINUE ZAIDI
Katika watu ninao wakubali uyuu jamaha uwa namkubali Sana Yani kiukweli uyuu alistahiki kuwa wazili wamambo ya ndani
kama hawapo shukanao moja kwa moja hadi chini halafu sukuma ndani mungu akubariki RC hapi
Asante sana mh pigania haki za wananchi wako wewe kiongozi mwema by mpemba
Huyo wanamuita RC Hapiness .!
RC HAPPY
nilivyo Mimi tunafanana kabisaaaa
Dah ni safi Sana maana watu wa hali ya chini wanapata nafasi ya kutoa duku duku zao mh hongera sana
God bless u more hapi
Mkuu Mungu akupe umri mrefu na afya njema
Amina na Amina
Mungu akuongezee Maisha mkuuu
kazi nzuri Hapi,keep on doing it
Hongera mkuu wa mkoa wa iringa Mungu akubariki
Wallah allah atakulipa kwahii kazi unayo ifanya kuwatetea watu wanyonge wallah wema hauozagi
Mnakera sana mjue, yaani mpaka mkuu wa mkoa aje ndio watu walipwe haki yao, watu wanapewa miradi halafu kazi utapeli tu. Mkichezea mapanga mnalaumu.
Huyo ni mtetezi wa nyonge wtz hampendi kizuri
Kwa Sasa tuna wakuu wa mkoa watatu Makonda,Mwanri na Ali Happy
These guys wanafanya kazi hata kama muwaseme vibaya
Ckupng
Makonda hapana
Wa simiyu
Umemusahau na wa simiyu kaka
Pia wa mbeya
Mh. RC HAPI 👍🏽👍🏽👍🏽🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mungu atakulipa mueshimiwa
Jamaniii huyu kiongozi tunamtaka mbeyaaaaaa
Ongera sana kiongoz
Mwenyez mungu azidi kukupa imani na wananchi wako viongoz km hawa ndio tunaowataka sisi wanyonge wanajali shida na kero za wabanchi mungu akupe mwisho mwema
Nice and wonderful leader
Hongera kwa kazi mkuu
Dah huyu ndio mkuu wa mkoa kwa kweli iringa ringeni tu
Ho ng era Sana mkuu wasaidie wanyonge ww ni mgufuli wa oili mwamba
Yaani Mh,mkuu wa mkoa Kama unaweza kudili na wahehe kwa kiwango hiki baada ya hapo mzee JPM akupeleke rorya kwa akina MURA naamini ukiwaweza hao Basi miaka 20 ijayo run for president na Mimi nitakupa kura yangu bila kipingamizi.
Good leader
Tanzania iko sawa, open courts inaleta haki kwa wanyongi
WE SUPPORT YOU MKUU WA MKOA
R.C mdhuri👌😂
Kadenge anajua kujieleza aisee
🤣🤣🤣sina hela.sina uwezo wa kufika hapo😆😆😆
To e ni pe sa! Siyo mbwembwe.
tena naongeza hongera sana mza apa ina shda tena matatizo kama ya zaman yapo ya rushwa rushwa
Asante mkuu wasaidie wanyonge
Hakyamungu awam hii viongozi kazi mnayo😂😂😂😂 mzee amesema anadai sh ngapi tena!!!
39000
Fanya kazi bb
Wewe uko Number1 tu
Mkuu wa mkoa Iringa kweli unafanya kazi ni raha na furaha kusaidia shida za watu mmepata kiongozi mwema Mungu akutangulie
Hahahah mkuu wetu wa mkoa tunashukuru
rc hapi ww ni mix huna taji wara maskini unaskiriza watu wote na Rais ajipongeze kwa uteuzi wake kwako,
Natamani ungekua mbunge wangu kibaha mjini
😇😇 wahehe twendelee na moyo huhu ingekuwa mkulya kashapita na shingo ya mtu mkulya hata buku anakuuwa
veronica mchilo mkurya atakuwa alishakupiga kaz akakuacha siyo kwa kumchukia huko
Hahahahhahahahhahahha na wakurya kwa kuacha mademu wako vizurii kipigo unapata na kuachwaa unaachwaa
Mimi kwa usumbufu huo nishamnyonyo macho mapema
@@taslimanyange2850 😂😂😂😂😂ntajaribu kumpend mkurya ili nipigwe nione
@@khadijakhadija6212 😅😅😅😅😅
Mkuu wa mkoa wa iringa,hongera sana kwakuchapa kazi bora,ubarikiwe baba
Shukran muheshimiwa
NAKUOMBEA UBALIKIWE ADUI ZAKO WAABISHWE MUNGU AKULINDE AKUOKOE NA MITEGO YA WATU WABAYA HAKIKA SIJUITII KUMTUMIKIA MUNGU KATIKA MKOA WAKO BALI NAJIVUNIA SANA
Safi sana mh.hapi
Mdogo wangu mh Hapi nakuona kuwa hazina kwenye uongozi wa Taifa langu la Tanzania
Mungu akubariki saba bro endelea na moyo huo huo
Maisha haya we unakaa bar unatumia elfu 50 Kuna mwingine anaitaji elfu 39, akale na familia yake tufike mahali binadamu tuoneane huruma
Kbsa ndgu huruma mda mwngne inahitjka asee
Hapi
Hapi juu
Nmemuonea huruma huyo baba maskini daah
Huyu Rc ni Noumaaaaaaaaaaaaa
Hongera kamanda kwa juhud zako mungu akupandishe atua zaid
Inqbidi uelewehe watu kuwa km amefanyakazi ya kulipwa hiyo ni haki yke lazima alipwe
HONGERA SANA.
WEWE NI MTU WA Mungu .
.
Big up sana mkuu wangu wa mkoa wa Iringa kwa kuwa karibu na Wananchi na kutatua kero zao, Mungu akusimamie ktk uongozi wako.
Mkuu rud jimbon kwako kondoa kura zipo waz
Iringa magufuli alitupa kiongozi abalikiwe Sana hatuna haja ya mbunge sisi hapy anatutosha ww ndo mbunge na wewe ndo mkuu wa mkoa
Hawa ndio viongozi tunao wataka kwenye nchi yetu hongera mkuu wa mkoa iringa iwe mfano wakuigwa kwa viongozi wengine
Jamani nyie uyu kijana mnataka afanyeje?? Mna mizambi na mtaungua kidogo kidogo mpaka MFE KWA UZUSHI WENU. AIBU SANA KWA KUMWANGUSHA KIJANA MCHAPA KAZIIIII KAMA HUYUU LOOOOO AYAA TUPU
Hali ngumu mpka mtu akizurumiwa elf 39 anashitki?
I realy like this guy... Rc Hapi long live my brother
Hizi ni zama za magufuli, kila kitu kitanyooka
SIJAWAHI KUMUKTA HUYU MKU WA MKOWA KWENYE KAZI ZAKE MUNGU AMBARIKI HUYU MKUU WA MKOW
Hongera Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Iringa..
Mwenyezi Mungu azidi kukupa nguvu ili uzidi kupigania wanyonge...
Happy I like you
😘😘😘
😀😀😀😀😀😀😀😀🖐️noma jamn mkuu wamkoa hatariii
Mungu Asant kwa kunipa vijirizki hivi,kuna watanzania wanategemea 39 kula na family eeeh mungu Asante
Mungu msimamiye mkuu wa mkoa huyo anafanya kazi nzuri sana na wengine waingi inchi itasonga mbele sana kulikoni wangeni wemekaa tu ofisini
mbona mzee anafanana na mkuu wa mkoa
Uyu alikua mchapa kazi sana apewe kitengo ali happy
Njooo na huku mafinga maana wanatunyanyasa sana huku mafinga njooo
Safi Sana mkuu wetu wa mkoa kwa kusikiliza kero za watu wako hongera Sana kiongozi
naanza kumuelewa huyu mkuu wa mkoa happy
ukandarasi kimeo
Huyo mzee nimempenda kuzungusha mtu tabia mbaya mno
Duuh mchepuko wangu kanipora sim sasa nifike ofisin kwako mkuu nipate pesa yakununulia sim nyingine aisee vuvuzela ni shiiiiigdah
Anazingua huyo mkandaras
Nawapa
Mtetezi wa wanyonge
Kadege mbishi
Sana Baba Mkwe Wangu😁😁😁😁
Huyu msanii wa mkoni haha😂😂
Yaan mh ally hapi nikiongozi bora xnaaaaaaa Yaan nataman angekuja kigoma kutuongoza Mamboo yangekuwa shwari pongezi xnaaaaaaa kwa MH mkuu wa mkao wa iringa unajituma kaka mungu akubariki
Mbn hawa jamaa n waongo sana hiv kweli wanashindwa kuwa na elfu 30 mfukoni
Asslee Ali ni 40 hiyo chenchi buku
Hiyo ndo kazi ya Kiongozi kusikiliza kero za wananchi hata ziwe ndogo kiasi gani, wakuu wa mikoa mingine sijui wanakuwaga wapi? Huwezi kusikia hata mkutano mmoja na Wananchi