"RAIS SAMIA WATU WANAKUFA BILA HATIA" OBASANJO AKIONGEA IKULU ATOA POLE KIFO HAYATI MAGUFULI, MKAPA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 พ.ค. 2021
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo May 3, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Nigeria Olusegun Obasanjo.
Mazungumzo hayo yamefanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma ambapo Rais Mstaafu Obasanjo ametoa salamu zake za rambirambi kwa Rais Samia kufuatia vifo vya waliokuwa Marais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambao ni Hayati Benjamin William Mkapa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli waliofariki dunia tarehe 23 Julai, 2020 na tarehe 17 Machi, 2021 mtawalia.
Tumerudi kwenye blah blah,diplomasia blah blah..
Niliyategemea haya toka Kifo cha mwamba
acheni uboya
Uhusiano mzuri na mataifa mengine ni kosa? Wewe unafurahia uhasama na ugomvi?
Kina mama wako vizuri
KARIBU SANA NA TUNASHUKURU SANA KWA UPENDO WAKO MZEE OBASANJO🤝
Mama kama mama!
Jpm ww nimwamba sijaona mwingine bora Hussein kule znzbr jpm ww ulikuwa mwamba tutakukumbuka daima
Jpm wa mkundu , peleka nyama yako uko ukiona mgen tu useme jpm unataka kutuambia wakat wa jpm hakuleta wagen
Usizani ww2 ndo unajua matusi mbwa ww
Chief obasanjo, 9th and 12th Presdent of nigeria
Nimefurahi mama hajavaa barakoa, Safi huo si utamaduni wetu
Nina wasiwasi kuhusu afya ya Mama yetu Samia. Ilibidi ajikinge kwa sababu hatujui ikiwa hawa Wanigeria hawaambukizi,,,
Unaongea upuu. Diyo lacima uongee. Hskuna Ikulu Chato. Airport huko Vhayo kuna utalii. Endelea kulala usingizi. Utaamka ukiwa kaburini
This happens Today, but no musks on there faces!! Very hard to understand!!!!! No Comments.
unalitaja vibaya hilo OBASANJO
Tumuombee dua mama yetu ayepukane namabaa Rollins kapigwa nae baada yakukutana na wazalendo wa.malia washenzi wapo sehemu zote hawataki kuona afrika yipate maendeleo nakujitegemea
General Obasanjo amechoka kabisani yaani...😭
Mpe K uone kama amechoka
Kiafrika zaidi msiba hauishi
Mama mbona kazi haziendelei.miradi haizinduliwi vipi?
nawe fatilia inatakiwa kamilika lini acha mambo yako
Miladi gani unataka izinduluwe
miradi na maendeleo ziko kaburini na mwenyewe Magu
mama kashatia box na wafarasa
Emmanuel mlowa mbona ww bado hujalipa ada ya mwanao toka January
Zindua wewe
UKWELI KUHUSU CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME
Kumekuwa na mjadala mkali kuhusu kuwepo au kutokuwepo kwa changamoto ya nguvu za kiume.Wanaume wengi wanabisha kuwa hakuna tatizo hilo.
Lakini ukweli Upoje..?
Sisi tunawasaidia wanaume wenye changamoto hizo ndugu zangu na tunajuwa tatizo hilo ni kubwa mno kuliko watu wanavyo willing kuadmit.Wanaume wengi mitandaoni ni wajuwaji wa kila kitu but tatizo hili ni shida kubwa.
Na linawaingiza watu katika msongo wa mawazo na kuyumba kwa MAHUSIANO.Fikiria unafatwa ba mke wa mtu ANAKWAMBIA "mume wangu hawezi kabisa anamwaga dakika mbili nyingi"mke anasema" kaka napatashida na sitaki kabisa kumchiti mme wangu naumia maan kabla yake nilikuwa na mtu kwa kweli alikuwa vizuri"
Sometimes mke wa mtu ANAKWAMBIA kwa kweli uvumilivu unakaribia kunishinda kwasababu na mimi ni binti na nina hisia nikimwambia mume wangu anasema hajuwi shida ni nini"
Wengi huwa tunawasaidia kama MUME AKIWA TAYARI na tatizo linakwisha
Lakini wanaume wengi ni wabishi na wanaona kusema hawako vizuri.So msibeze huyu Mbunge It's serious issue.N ndo maana tumeanzisha ukurasa huu kuelimisha wanaume(siyo wavulana ni WANAUME )kuhusu utatuzi wa jambo hili maana humu wengi wavulana tu kiakili.Mwili wa mwanaume akili za kivulana cha form 2
Kama unachangamoto ya nguvu za kiume usikae kimya tuma neno#AFYAMWANAUME kwenda whatsp 0678496912 au pitukusaidie
Mnakera sana waandishi mnaongea kama mnatangaza radio,post video tuache tusikilize video si wewe unatutangazia
Kwani ni rais wa wapi tena Nigeria au?
Madagascar
Rais mstaafu wa Nigeria: General OLUSEGUN OBASANJO
@@j.c.maxima816 duu kumbe