VIDEO: RAIS SAMIA ATUA MPANDA, AKAGUA JENGO LA ABIRIA KIWANJA CHA NDEGE, TAZAMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ค. 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua jengo la abiria katika Kiwanja cha Ndege Mpanda mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege huo mkoani Katavi ikiwa ni sehemu ya ziara yake aliyoianza leo tarehe 12 Julai, 2024.

ความคิดเห็น • 12

  • @user-in7ud5gj7c
    @user-in7ud5gj7c 23 วันที่ผ่านมา +4

    Waoo uwanja wetu huo tumechungia sana mbuzi hapo miaka hiyo ya tisini kwenye hako kajengo kazamani kulikuwa na bonge ya mwembe sitasahau wakati sumaye kaja mpanda mwaka 1998 sisi vijana wa chipukizi tulimlaki na kumvisha skafu hapo hapo uwanjani kisha tukamsindikiza hadi ikulu kawajense
    Kiukweli nimepakumbuka sana mpanda

  • @vedastonestory1886
    @vedastonestory1886 23 วันที่ผ่านมา +2

    Karibuni Katavi hasa Halmashari ya Wilaya Mpimbwe

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 23 วันที่ผ่านมา +2

    Mama uyooooooooo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🎎🎎🎎🎎🎎🎎🎎

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 23 วันที่ผ่านมา +1

    Viwanja mnajenga vizuri ila kwa upande wa majengo ni sifuri airport majengo yake yanakuwa vijengo vifupi yani yanazidiwa na stand

  • @peterjohnson167
    @peterjohnson167 23 วันที่ผ่านมา

    Duh kweli kabisa Mungu ni mwema watanzania tunzeni tunu from my God mama Samia Suluhu Hassan mitano tena

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu2116 22 วันที่ผ่านมา +1

    7:57, mmeona huyo kiongozi alivyopanguliwa upande wa kutembea😂😂, kumbe Hadi upande wa kutembea ukiwa RAIS unachaguliwa

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 23 วันที่ผ่านมา

    Hongera rais wetu kwa kufika katavi

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mama unajitahid kusave pesa kupitia shirika letu ila walioko chin wanaiba mno...tunaomb udhibit kwanz na kuwalipisha wanao tia taifa hasara kuliko kuweka kodi mpya kila cku kwa wananchi wengin waje wale tu..shughulikia ripoti CAG

  • @idrissamohamed1100
    @idrissamohamed1100 23 วันที่ผ่านมา

    Hongera

  • @theodoltheophil7858
    @theodoltheophil7858 22 วันที่ผ่านมา

    Hao watu wote wanaenda kumpokea rais jamani, usalama upo wapi!!!!
    Mbona kundi kubwa sana.

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mama njoo nauku rukwa utumbue wa2 wameanza mazoea wanatengeneza balabla za rami azina viwango mwezi 2 matuta yanakua yametoka rami gani uku wee njoo wa2 wanatafuna pesa ze2 buleble uku😪

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 23 วันที่ผ่านมา

      ​@@robertphilip385bimkubwa wako katumbuliwa na nani?!