Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amezindua karakana kuu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) - Lugalo jijini Dar es salaam. Machi 13, 2020
Ingekoa corona ni mfumo wa kipesa Mimi ningewachangia hawa viongozi wa chadema wanatukera Sana Zaidi ya Corona sorry 4 that Lakini Hawa Watu wanakera Sana Rais wetu
Ingewezekana kustopisha kupokea wageni kutoka nchi mbalimbali na vyombo vya angani kusimamishwa kwanza jamani huu ugonjw ni hatari zaidi km ukifika tz tutadondoka km kuku apa
Mm nimekuelewa mheshimiwa ila toa amli hata ligi kuu bala ismamishwe kwasasa badae itakuja kuendelea tukijua muafaka wa tatzo hili la gonjwa hili hatali dunian
Rais ya Tanzania ipo serious sana,kuwatoa hofu watanzania ni jambo lililotukuka,watu asilimia kubwa choo cha nje,kuruhusu watu kufanya kazi ameona hali halisi
Hatua ya kwanza ni kuondoa misongamano halaka .kama vile k.koo msonga mano wa meza katkat ya balabala na sevice load na meza za biashala ndogondogo hakuba pa kupita hivyo nimbanano wa hali yajuu nikupakana mijasho tu na kwenye midaladala pia iwe levo set hizo ndizo hatua za kuchukua
RAHISI UMENENA VYEMA LKN HII NI DALILI YA MUNGU KUTUADHIBU KWA DHAMBI ZETU TAFADHALI HAMASISHA TAIFA KUFANYA MAOMBI YA TOBA NA REHEMA MUNGU MWENYEZI ATUREHEMU NA KUTUEPUSHA NA HILI JANGA
Ingekoa corona ni mfumo wa kipesa Mimi ningewachangia hawa viongozi wa chadema wanatukera Sana Zaidi ya Corona sorry 4 that Lakini Hawa Watu wanakera Sana Rais wetu
Reuben Begashe 😁😁😁😁wewe watakuchapa
Kifiro kinakuhusu
Said Juma na ww kinakuhusu pia kikundu si unacho?
Mungu atusaiddiiie
Ujumbe tumepokea Mh Raisi hu ugojwa ni hatari Mwz Mungu atuepushe nalo Asante Sana
Ingewezekana kustopisha kupokea wageni kutoka nchi mbalimbali na vyombo vya angani kusimamishwa kwanza jamani huu ugonjw ni hatari zaidi km ukifika tz tutadondoka km kuku apa
Amen baba yangu kwaupendo wako
AMEN
INDEED GOD IS ABLE
Mwenyezi mungu tusimamie waja wako..amina
Asante sana mh mungu akubariki
Na diamond pia apunguze safari zake bana huu ugonjwa ni hatari kwa ukweli.
Mh. Tuomba sana sana daladala zinajaza watu vibaya, wekamuongozo wako mh. Big up big up
Amiin ..yarrab lalamiin...
Vema sana mheshimiwa Rais
Asante sana Mheshimiwa Raisi
Tungeomba sasa katika miji mikubwa Ma Traffic wapige marufuku kujaza kupitiliza Magari(Level sit izingatiwe)
Mm nimekuelewa mheshimiwa ila toa amli hata ligi kuu bala ismamishwe kwasasa badae itakuja kuendelea tukijua muafaka wa tatzo hili la gonjwa hili hatali dunian
safi sana
Rais ya Tanzania ipo serious sana,kuwatoa hofu watanzania ni jambo lililotukuka,watu asilimia kubwa choo cha nje,kuruhusu watu kufanya kazi ameona hali halisi
Sawa muheshiwa raisi john pombe magufuli tumekusikiya ilanawewe funga mipaka kwanza hamna kutoka wala kuingiya
Thank God Tanzanians are not brain washed
R.I.P MR PRESIDENT 🇹🇿
Asnt kwa hutuba yko na Nasaha zako nzur kuhusu ugonjwa huu corona uliotukabili dunian wenu Omar 0714662020
Sasa hio Salam ya miguu, umh! Bora kupunga mikono.
Hatua ya kwanza ni kuondoa misongamano halaka .kama vile k.koo msonga mano wa meza katkat ya balabala na sevice load na meza za biashala ndogondogo hakuba pa kupita hivyo nimbanano wa hali yajuu nikupakana mijasho tu na kwenye midaladala pia iwe levo set hizo ndizo hatua za kuchukua
Mkuu funga mipaka kwanza
Pili pigamarfuku dalala kujaza watu wengi nakadhalikaktk mikusanyiko yawatu
Mbowe
Mhushimiwa apo funga mipaka yote ya hawa wageni wanaingia nchini kwetu maana ss bdo sana
Bado watalii wanaongia nchin kwa wing.funga mipaka mzee.
Sawa. Baba angu tunakupenda Sana. Ila waondoe wageni. Tunakuomba mpaka leo ili lipite magu. Luv 😘 uuuu
MUNGU atuepushe Ila baba maguful tunaomba udhibiti mipaka yote ya Tanzania
RAHISI UMENENA VYEMA LKN HII NI DALILI YA MUNGU KUTUADHIBU KWA DHAMBI ZETU TAFADHALI HAMASISHA TAIFA KUFANYA MAOMBI YA TOBA NA REHEMA MUNGU MWENYEZI ATUREHEMU NA KUTUEPUSHA NA HILI JANGA
Tusiweni wakaaidi tukiambiwa tuchukuwe takhazari na kujikinga na ugonya wa corona
Rascit