LISSU AKUTANA NA NESI ALIYEMTIBU WAKATI AMEPIGWA RISASI DODOMA, AFUKUZWA KAZI, AELEZEA MAZITO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 192

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian 8 หลายเดือนก่อน +20

    Mungu akubariki na uzao wako utabarikiwa

  • @linogracephord9785
    @linogracephord9785 8 หลายเดือนก่อน +9

    Ni story inayosikitisha Sana! Mungu atabaki kuwa Mungu!

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 8 หลายเดือนก่อน +4

    Pole sana dadangu.kaka LISU MOtrendeye mosaaada dada wasoo mboya akhiroo! Ncho wajunchwa MOEMO Aghwakhiii tuuuu,,ng'e eyeiii agefotru kamwee..

  • @frankremishoy5778
    @frankremishoy5778 8 หลายเดือนก่อน +4

    Duuh mungu atakuinua mama.sauti ya wengi ni sauuti ya mungu umekuwa imara wa baraka kutuokolea jemedari wetu

  • @paschalmagai751
    @paschalmagai751 8 หลายเดือนก่อน +17

    Mungu ni mwema sana siku zote

    • @abdulhakeem959
      @abdulhakeem959 8 หลายเดือนก่อน

      Na mijitu hata haishughuliki na jaribio hili la mauaji

  • @MwatijaFikoti
    @MwatijaFikoti 8 หลายเดือนก่อน +26

    Kaka Lisu msaidie Huyo dada kama Kuna uwezekano.

    • @josephjeremiah-x5v
      @josephjeremiah-x5v 8 หลายเดือนก่อน

      Nakaa naye jilan huyo

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 8 หลายเดือนก่อน

      Amsaidie kivipi sasa. Alifanya kazi yake

    • @williammbuzimai5744
      @williammbuzimai5744 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@victaboy7273 amsaidie ili aipate haki yake,
      Kwani wewe humsikia huyo dada!!!

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@josephjeremiah-x5vsawa asaidiwe tu Ili apate kazi

  • @elialugano1679
    @elialugano1679 8 หลายเดือนก่อน +7

    Nice and humanity talk

  • @faustinluambano2958
    @faustinluambano2958 8 หลายเดือนก่อน +12

    Huyu mama ni mkono wa Mungu.Weka jamvi awe na biashara

  • @salama1113
    @salama1113 8 หลายเดือนก่อน +1

    Acha mungu aitwe mungu huyu baba kaziyake haijaisha mungu anakusudilake mungu akulinde🤲🤲🤲

  • @austinmcharo928
    @austinmcharo928 8 หลายเดือนก่อน

    Very emotional...Mungu awajalie kheri katika vizazi vyao,,,

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 8 หลายเดือนก่อน +9

    Kumbe mtaka wa hovyo sana.ccm ni janga ,mbwa wamejiificha huko.

  • @Landisy
    @Landisy 8 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli ww mama mungu akubariki Sana na atakupa maisha marefu sana

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 8 หลายเดือนก่อน +6

    Mama samiah asipowasikiliza watu mwisho wa siku hawa watu wanaenda kwa Lissu na hapa watanzania wote wanasikia hii ni issue kubwa .

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 8 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu wa Mbinguni ni Mwema sana

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 8 หลายเดือนก่อน +11

    Jamani watanzania njooni tuumie na huyu. Muuguzi wa Dodoma

    • @josephjeremiah-x5v
      @josephjeremiah-x5v 8 หลายเดือนก่อน

      Naish naye jilan Dom kwa rose mhando kwa pemben yake

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 8 หลายเดือนก่อน +5

    Pole sana wewe muuguzi wa dodoma nimeumia sana sana Mimi Askofu William Mwamalanga namuomba Mungu Atakuinua sana sana lakini Mhe Rais samia suluhu Hassan atakusaidia

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 8 หลายเดือนก่อน +3

    We mama mwenyezi mungu skuongezee,na wote muriyo muudumia rissu

  • @timothnkhambi3188
    @timothnkhambi3188 8 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana dada Kwa kumsaidia,kaka yetu Lisu,Pole sana dada

  • @christophermakunzo4232
    @christophermakunzo4232 8 หลายเดือนก่อน

    Daaa pole sana...

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin8107 8 หลายเดือนก่อน +1

    Dah pole

  • @andrewIzdory-sk4cu
    @andrewIzdory-sk4cu 8 หลายเดือนก่อน +2

    Kwahiyo wewe uliyemsaidia Lisu ndo umefukuzwa kazi!! Duh hatareeeee sana.

  • @kennedykassian5269
    @kennedykassian5269 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa aliyewah kuishi dodoma lazima anamjua huyu nesi ,ni mcheshi na jasiri sana namkumbuka sann,Mungu amsaidie sana

  • @JohnNgambeki
    @JohnNgambeki 4 หลายเดือนก่อน

    Asante mungu nimkubwa.sana

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nahisi kutokwa na machozi mie😢😢😢
    Anyway Mungu yupo
    Na anaweza

  • @driss4957
    @driss4957 8 หลายเดือนก่อน +10

    Hiii nchi Ina uonevu sana...

  • @georgemwapela1654
    @georgemwapela1654 8 หลายเดือนก่อน +5

    Haya majambo yanatutokea sana.Mimi ni Mwl George W.Mwapela mwajiriwa wa ualimu sekondari 2007.Nilitolewa kwenye Payroll 2014..Nimefuatilia jambo langu kwa muda mrefu sana mpaka Leo nafuatilia jambo langu na sijafanikiwa.Naambiwa ni mtoro na sijawahi kusikilizwa sehemu yoyote.Kuna watumishi wanatumia madaraka yao vibaya....

    • @directorkaswale8047
      @directorkaswale8047 8 หลายเดือนก่อน

      Pole Sana

    • @jilalamaligisa4854
      @jilalamaligisa4854 8 หลายเดือนก่อน

      Dah inaumiza sana jamani

    • @ourearthmatters5206
      @ourearthmatters5206 8 หลายเดือนก่อน

      Pole sana mwalimu
      Tutaftane NIKUSAIDIE

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 8 หลายเดือนก่อน

      Pole sana

    • @chage97
      @chage97 8 หลายเดือนก่อน

      Ripoti ofisi ya chadema Makao makuu haraka tutaita vyombo vya habari

  • @mzeebabumzee
    @mzeebabumzee 8 หลายเดือนก่อน +1

    pole dada

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu yupo kwa ili tupo pamoja

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 8 หลายเดือนก่อน +2

    SIASA SIO SAWA HATA KIDOGO. SIKU ZOTE NILIKULAUM KWA KUWATQJA MADAKTQRI WA NAIROBI NILIHISI KAMA HUTAMBUHI JITIADA ZA MADAKTQRI NA MANESI WA TANZANIA. POLE LISSU NA ASANTE KWA KUONGEA NA HUYO DADA NIMEFARIJIKA.

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 8 หลายเดือนก่อน +2

    bora wakuu wa mikoa wachqguliwe na wananchi kwa sababu wanasimamia lasimali na kuongoz wanachi mkoa mzima na sio wasichagukiwe na mtu mmmoja ajabu sana masisiemu hayo.

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 8 หลายเดือนก่อน +4

    Ilipangwa Lissu afe na sio kuwa hai !! Hivyo wote waliomsaidia kuishi waliipata fresh !!

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 8 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani kweli miujiza pole sana pia asante waguzi kweli mnatakiwa kupewe Nobel kwa kweli huyu unatakiwa kufanyia kitu

  • @jumamanya-pd8dn
    @jumamanya-pd8dn 6 หลายเดือนก่อน

    ❤❤

  • @LeonardSiame
    @LeonardSiame 8 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana nesi

  • @ngalamawecheslous9976
    @ngalamawecheslous9976 8 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akutangulie mama

    • @SalamMasanga-hb4lt
      @SalamMasanga-hb4lt 8 หลายเดือนก่อน

      Mungu akulinde sana zaidi ya sana

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mama tunakushukuru kwa uzalendo katka kutimiza wajibu wako maana yataka moyo pia mko wengi mliokos maisha ya mh. Lisu

  • @feruzmato4422
    @feruzmato4422 8 หลายเดือนก่อน +1

    Pole mheshimiwa

  • @EmanuelMwambu
    @EmanuelMwambu 8 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo hakuna cha manesi, Wala dakitari ni mpango wa mungu tu.aTundu lissu uendelea kuishi.

    • @exprodigitaltechtv5571
      @exprodigitaltechtv5571 8 หลายเดือนก่อน

      Mbona we ukiumwa cha kwanza unakimbilia hosptal au duka la dawa sinl utulie kwako usali tu😂😂😂, then mungu ndo mtowaji wa vipawa na vipaji vyote

  • @JumaMkiji
    @JumaMkiji 8 หลายเดือนก่อน +6

    Anglia kiongozi unaweza ukamponza maana waliousika awakutaka upone

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc 8 หลายเดือนก่อน +3

    Tanzania tumekosa viongoz wazarendo ,so mungu atupe walio bora

  • @mzeebabumzee
    @mzeebabumzee 8 หลายเดือนก่อน +1

    pole dada pole lisu

  • @willekessy4658
    @willekessy4658 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu NI mwema

  • @JohnMpongwe-sr7qx
    @JohnMpongwe-sr7qx 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ukitendaa wemaa munguu atakulipaa dadaanguu utapungukiwaa

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hizo pete vp
    All in all ulifanya vzr kusave life

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub 8 หลายเดือนก่อน +2

    Hii nchi ina watu mashetani yaani viongozi wanaonea wanyonge sana

  • @ROBERTMGOGOSI
    @ROBERTMGOGOSI 8 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu jamaa aise ni tunu ya taifa

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv 8 หลายเดือนก่อน +1

    Safiiii sana

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 8 หลายเดือนก่อน

    Duh jamani Mungu atakusaidia

  • @mwijagejoseph1675
    @mwijagejoseph1675 8 หลายเดือนก่อน +1

    Acha Mungu aitwe Mungu

  • @cyprianpetetmbonde6374
    @cyprianpetetmbonde6374 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa tukio la Lissu na huyo mama ni ushahi di kwamba kuna baadhi ya watumishi ni wapumbavu sana na wanajiamini kiasi kwamba hawatakuwa nje ya ajira kwa sababu yoyote.

  • @godfreybitakama9845
    @godfreybitakama9845 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika mungu wetu ni mwenye nguvu

  • @coms2640
    @coms2640 8 หลายเดือนก่อน +1

    God

  • @rugemalilalucas4533
    @rugemalilalucas4533 8 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe muuguzi ubwarikiwe na BWANA mno. Jina la BWANA wetu lipewe sifa na heshima zote.

  • @anuarymyekakimolo4785
    @anuarymyekakimolo4785 8 หลายเดือนก่อน

    Vero kama humfaham mnhh! Au bas tuseme ana li shape Hilo na angekuwaga amenyoka angekuw mke wa mtu mkubwa tu serikalini

  • @RonnieBertin
    @RonnieBertin 6 หลายเดือนก่อน

    Huyo mama ni story teller

  • @sangomamourice3539
    @sangomamourice3539 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika ukuu wa mungu

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 8 หลายเดือนก่อน +10

    Hiyo ndiyo Tanzania mnayoisifia kua Nchi ya amani

  • @GIFTKIWELU
    @GIFTKIWELU 8 หลายเดือนก่อน +1

    Dah

  • @LeonardSiame
    @LeonardSiame 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu atakulipa

  • @InnocentCharles-hm3ff
    @InnocentCharles-hm3ff 8 หลายเดือนก่อน +1

    Tukio hili ,Linahuzunisha sana ...still kuna usemi upo unaitwa " tunajivunia amani yetu"...jah see n know!...

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 8 หลายเดือนก่อน +3

    Jamani tuwakumbuke sana manesi na madaktari na watumishi wa hospitals wanafanya kazi kuokoa masha. Mungu atawalinda tu.

    • @samsonmweta5040
      @samsonmweta5040 8 หลายเดือนก่อน

      Hawa wauguzi na madokta waliokoa maisha yake

  • @HannaSamson-nq3hc
    @HannaSamson-nq3hc 8 หลายเดือนก่อน

    Weka namba yake tumchangie afungue biashara. Ila kizazi chake kime barikiwa milele yote.

  • @salama1113
    @salama1113 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu mlinde huyu mama mana huu ukweli utakuwa mchungu kwake

  • @Robust78
    @Robust78 8 หลายเดือนก่อน

    Weka vizuri cv yako mama 2025 utakuwemoo

  • @Nicolasmosereta
    @Nicolasmosereta 8 หลายเดือนก่อน +1

    Weka mkeka watanzania wafanye jambo Kwa akili ya huyu mtu mwema

  • @DavidKagulu
    @DavidKagulu 8 หลายเดือนก่อน +1

    Cheki huyo mtoto alivyotulia lissu ni mbarikiwa

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 8 หลายเดือนก่อน

    Masjabu mambo yote haya unayo yasikiaa mabaya mqbaya nashangaa na bado CCM inashinda bora na mie nimfate huyu shetani ana nguvu kweli hamna njia, napenda uonevu chama kinanifaa hichi 😂😢

  • @MwatijaFikoti
    @MwatijaFikoti 8 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani inasikitisha sana.

  • @Dannny690
    @Dannny690 8 หลายเดือนก่อน +3

    Kumbe ndio maana samia siku ile akaongea vibaya.
    Kwamba.
    Mtoeni huyo hapo anashughulisha watu bure.😢
    Kuna watu ni makatili sana😢
    Pole mzazi pole sana na Mungu akubariki kwa kuokoa maisha ya kiumbe wake Lissu.

  • @floriankiiza7533
    @floriankiiza7533 8 หลายเดือนก่อน +1

    Lissu hawa manesi ungewapa zawadi kidogo kama shukrani ya kutambua mchango wao.

    • @danielmakundi8927
      @danielmakundi8927 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani akimpa hata zawadi kidogo ww una haja Gani kujua?

    • @FaustinMarko-t6y
      @FaustinMarko-t6y 6 หลายเดือนก่อน

      Kwani yeye hajui mpaka umsemeee

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 8 หลายเดือนก่อน

    Kamanda Lisu tuko pamoja

  • @JosephatNziku
    @JosephatNziku 8 หลายเดือนก่อน +1

    mungu mkubwa sana

  • @deluxwoiso999
    @deluxwoiso999 8 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢😢😢

  • @victorphilipo
    @victorphilipo 8 หลายเดือนก่อน

    Mama pore uritimaza wajibu wako rakini hawakufurahia hivyo kwa Sasa naye afanye kazi yakisheria akusaidie

  • @kilimanjaroflavour
    @kilimanjaroflavour 8 หลายเดือนก่อน

    Hakuna nesi anae tibu. Doctor ndio ana tibu.

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 8 หลายเดือนก่อน

    WEWE MAMA TULIA HAPO UNAONGEA NA RAIS AJAYE JITUNZE KIAFYA NEEMA IKO MBELE ACHA PAPALA JITUNZE KWA MUNGU ALIYE KUKUTANISHA NA HUYO RAIS AJAYE MH: TUNDU LISSU NI MUNGU TULIA ATAKAYE KUPATIA HAKI NI MUNGU HUYO HUYO KUPITIA TUNDU LISSU

  • @leothardngonya4842
    @leothardngonya4842 8 หลายเดือนก่อน

    Ili iweje.

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 8 หลายเดือนก่อน +2

    WALIOMPIGA RISASI LISSU WANASIKIA ALIVYOTIBIWA, JEE HAWAONI UCHUNGU? NA FAIDA GANI WALIYOIPATA?

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 8 หลายเดือนก่อน +1

    POLE DADA DU JAMANI

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub 8 หลายเดือนก่อน +1

    Huu ndo utawala wa ccm

  • @TMTZONLINETV
    @TMTZONLINETV 8 หลายเดือนก่อน

    hatari sana

  • @SedekiaIsrael
    @SedekiaIsrael 2 วันที่ผ่านมา

    Magu aisee bastu

  • @ngalamawecheslous9976
    @ngalamawecheslous9976 8 หลายเดือนก่อน +1

    Muujiza unatembea

  • @SamsonLubimbi
    @SamsonLubimbi 8 หลายเดือนก่อน

    Inaumiza sana jmn

  • @johnmwanyika
    @johnmwanyika 8 หลายเดือนก่อน

    KAMA SISI, TUNAUMIA HIVI TUKIONA ANAVYOCHECHEMEA KWA SHIDA AKITEMBEA. JE KWA FAMILIA YAKE WANAUMIA KIASI GANI NA WATU WAKE WAKARIBU?. Kuna siku itafika watajulika waliofanya hicho kitendo hakuna kitakacho fichika tena.

  • @dianamakyara4210
    @dianamakyara4210 8 หลายเดือนก่อน

    Yaani lisu nimuujiza unaotembea jamani🤔

  • @franciscoivo1591
    @franciscoivo1591 8 หลายเดือนก่อน

    Anton mtaka udescent wote ule kumbe naye yupo hivyo....tumejua mengi asee

    • @davidkawesa3594
      @davidkawesa3594 8 หลายเดือนก่อน

      Wamejificha tu ssm hawezi kaa nawewe kama huendani na m
      Wao

  • @marianajohn5415
    @marianajohn5415 8 หลายเดือนก่อน

    Huyu mama arudishwe kazini! Its indeed sqd😢

    • @kuchimillionaire6683
      @kuchimillionaire6683 8 หลายเดือนก่อน

      Sina wasiwasi na Rais Samia, mtu wa Mungu atamrudisha kazini na kumfuta machozi

    • @kuchimillionaire6683
      @kuchimillionaire6683 8 หลายเดือนก่อน

      Sina wasiwasi na Rais Samia, ni mtu mwenye hofu ya Mungu atamrudisha kazini na kumfuta machozi.

  • @fransicmushenyera9302
    @fransicmushenyera9302 8 หลายเดือนก่อน

    ukweli utaujua siulisema magufuri hakukusaidia waliokusaidia ni wakenya sasa ukweli umelipa uwongo unajitenga unaona haibu

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv 8 หลายเดือนก่อน +1

    Serikalini pabaya sana usiombe

  • @edsonmnego4030
    @edsonmnego4030 8 หลายเดือนก่อน

    Watu wengi naona mnasema amsaidie sasa mnavozani atamuacha hvohvo

  • @davidkawesa3594
    @davidkawesa3594 8 หลายเดือนก่อน +1

    Haki yako umepata Mungu mwema

  • @oswaldtemba2770
    @oswaldtemba2770 8 หลายเดือนก่อน

    Hivi nyie mliodhamiria kumuua,mnajisikiaje mnavyomuona lisu yuko hai.

  • @chage97
    @chage97 8 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani tumchangie huyu mama

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      Kweli inabidi tufanye hivyo, ati Tanganyika Kuna haki na amani😢😢😢

    • @deokimena5168
      @deokimena5168 8 หลายเดือนก่อน +1

      Naunga mkono hoja

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 8 หลายเดือนก่อน

      @@deokimena5168 👍

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm 8 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni mtumishi wa serekari ya ccm wewe uriee serekarini unaiteetea ccm mtakufa Kwa shock

  • @Mauya23
    @Mauya23 8 หลายเดือนก่อน

    Kuna haja ya Diet balanced Mh. mana hiyo ndambi inaelekea kubaya

  • @marcokaroje8980
    @marcokaroje8980 8 หลายเดือนก่อน

    Ndiyo maana Mungu hatoi taarifa ya kufa kwetu waovu wanapoteza na kuuwa kwa tamaa ya madaraka wajifunze baada ya shambulio lililomkuta Lissu bila shaka walishakufa ndiyo eti wakaitwa mashujaa wa Afrika kwa uovu huu Mungu aliwaonesha ukuu wake kuwa na wao hawastahili kuishi kama ambavyo wao wanawaambia wanasiasa wenzao kuwa anaewapinga hastahili kuishi wanasahau kuwa na wao ni binadamu kama wanaopingana nao kuna siku nilimwona kijana mmoja anawabia Askari wasiulize kama kutakuwa na watu watakaopotea huyo kijana ameshapewa ruhusa na Mungu muovu kuwadhulumu maisha wanaopinzani wake

  • @pastorjully3657
    @pastorjully3657 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu wa TBJoshua akukumbuke

    • @romualdmadeniromuald525
      @romualdmadeniromuald525 8 หลายเดือนก่อน +1

      TB Joshua ana Mungu sikuizi acha ujinga

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @pastorjully3657
      @pastorjully3657 8 หลายเดือนก่อน

      @@romualdmadeniromuald525 God of prophet TBJoshua will see you through

  • @ThomasMwadia
    @ThomasMwadia วันที่ผ่านมา

    Mheshimiwa uliumia............

  • @simonshimba7759
    @simonshimba7759 8 หลายเดือนก่อน

    Ila inchi imejaa watu waoneaji