Pole sana wewe muuguzi wa dodoma nimeumia sana sana Mimi Askofu William Mwamalanga namuomba Mungu Atakuinua sana sana lakini Mhe Rais samia suluhu Hassan atakusaidia
Haya majambo yanatutokea sana.Mimi ni Mwl George W.Mwapela mwajiriwa wa ualimu sekondari 2007.Nilitolewa kwenye Payroll 2014..Nimefuatilia jambo langu kwa muda mrefu sana mpaka Leo nafuatilia jambo langu na sijafanikiwa.Naambiwa ni mtoro na sijawahi kusikilizwa sehemu yoyote.Kuna watumishi wanatumia madaraka yao vibaya....
SIASA SIO SAWA HATA KIDOGO. SIKU ZOTE NILIKULAUM KWA KUWATQJA MADAKTQRI WA NAIROBI NILIHISI KAMA HUTAMBUHI JITIADA ZA MADAKTQRI NA MANESI WA TANZANIA. POLE LISSU NA ASANTE KWA KUONGEA NA HUYO DADA NIMEFARIJIKA.
bora wakuu wa mikoa wachqguliwe na wananchi kwa sababu wanasimamia lasimali na kuongoz wanachi mkoa mzima na sio wasichagukiwe na mtu mmmoja ajabu sana masisiemu hayo.
Kwa tukio la Lissu na huyo mama ni ushahi di kwamba kuna baadhi ya watumishi ni wapumbavu sana na wanajiamini kiasi kwamba hawatakuwa nje ya ajira kwa sababu yoyote.
Masjabu mambo yote haya unayo yasikiaa mabaya mqbaya nashangaa na bado CCM inashinda bora na mie nimfate huyu shetani ana nguvu kweli hamna njia, napenda uonevu chama kinanifaa hichi 😂😢
Kumbe ndio maana samia siku ile akaongea vibaya. Kwamba. Mtoeni huyo hapo anashughulisha watu bure.😢 Kuna watu ni makatili sana😢 Pole mzazi pole sana na Mungu akubariki kwa kuokoa maisha ya kiumbe wake Lissu.
WEWE MAMA TULIA HAPO UNAONGEA NA RAIS AJAYE JITUNZE KIAFYA NEEMA IKO MBELE ACHA PAPALA JITUNZE KWA MUNGU ALIYE KUKUTANISHA NA HUYO RAIS AJAYE MH: TUNDU LISSU NI MUNGU TULIA ATAKAYE KUPATIA HAKI NI MUNGU HUYO HUYO KUPITIA TUNDU LISSU
KAMA SISI, TUNAUMIA HIVI TUKIONA ANAVYOCHECHEMEA KWA SHIDA AKITEMBEA. JE KWA FAMILIA YAKE WANAUMIA KIASI GANI NA WATU WAKE WAKARIBU?. Kuna siku itafika watajulika waliofanya hicho kitendo hakuna kitakacho fichika tena.
Ndiyo maana Mungu hatoi taarifa ya kufa kwetu waovu wanapoteza na kuuwa kwa tamaa ya madaraka wajifunze baada ya shambulio lililomkuta Lissu bila shaka walishakufa ndiyo eti wakaitwa mashujaa wa Afrika kwa uovu huu Mungu aliwaonesha ukuu wake kuwa na wao hawastahili kuishi kama ambavyo wao wanawaambia wanasiasa wenzao kuwa anaewapinga hastahili kuishi wanasahau kuwa na wao ni binadamu kama wanaopingana nao kuna siku nilimwona kijana mmoja anawabia Askari wasiulize kama kutakuwa na watu watakaopotea huyo kijana ameshapewa ruhusa na Mungu muovu kuwadhulumu maisha wanaopinzani wake
Mungu akubariki na uzao wako utabarikiwa
Ni story inayosikitisha Sana! Mungu atabaki kuwa Mungu!
Pole sana dadangu.kaka LISU MOtrendeye mosaaada dada wasoo mboya akhiroo! Ncho wajunchwa MOEMO Aghwakhiii tuuuu,,ng'e eyeiii agefotru kamwee..
Duuh mungu atakuinua mama.sauti ya wengi ni sauuti ya mungu umekuwa imara wa baraka kutuokolea jemedari wetu
Mungu ni mwema sana siku zote
Na mijitu hata haishughuliki na jaribio hili la mauaji
Kaka Lisu msaidie Huyo dada kama Kuna uwezekano.
Nakaa naye jilan huyo
Amsaidie kivipi sasa. Alifanya kazi yake
@@victaboy7273 amsaidie ili aipate haki yake,
Kwani wewe humsikia huyo dada!!!
@@josephjeremiah-x5vsawa asaidiwe tu Ili apate kazi
Nice and humanity talk
Huyu mama ni mkono wa Mungu.Weka jamvi awe na biashara
Kabisa kaka
Acha mungu aitwe mungu huyu baba kaziyake haijaisha mungu anakusudilake mungu akulinde🤲🤲🤲
Very emotional...Mungu awajalie kheri katika vizazi vyao,,,
Kumbe mtaka wa hovyo sana.ccm ni janga ,mbwa wamejiificha huko.
Kwakweli ww mama mungu akubariki Sana na atakupa maisha marefu sana
Mama samiah asipowasikiliza watu mwisho wa siku hawa watu wanaenda kwa Lissu na hapa watanzania wote wanasikia hii ni issue kubwa .
Mungu wa Mbinguni ni Mwema sana
Jamani watanzania njooni tuumie na huyu. Muuguzi wa Dodoma
Naish naye jilan Dom kwa rose mhando kwa pemben yake
Pole sana wewe muuguzi wa dodoma nimeumia sana sana Mimi Askofu William Mwamalanga namuomba Mungu Atakuinua sana sana lakini Mhe Rais samia suluhu Hassan atakusaidia
We mama mwenyezi mungu skuongezee,na wote muriyo muudumia rissu
Hongera sana dada Kwa kumsaidia,kaka yetu Lisu,Pole sana dada
Daaa pole sana...
Dah pole
Kwahiyo wewe uliyemsaidia Lisu ndo umefukuzwa kazi!! Duh hatareeeee sana.
Kwa aliyewah kuishi dodoma lazima anamjua huyu nesi ,ni mcheshi na jasiri sana namkumbuka sann,Mungu amsaidie sana
Asante mungu nimkubwa.sana
Nahisi kutokwa na machozi mie😢😢😢
Anyway Mungu yupo
Na anaweza
Hiii nchi Ina uonevu sana...
Haya majambo yanatutokea sana.Mimi ni Mwl George W.Mwapela mwajiriwa wa ualimu sekondari 2007.Nilitolewa kwenye Payroll 2014..Nimefuatilia jambo langu kwa muda mrefu sana mpaka Leo nafuatilia jambo langu na sijafanikiwa.Naambiwa ni mtoro na sijawahi kusikilizwa sehemu yoyote.Kuna watumishi wanatumia madaraka yao vibaya....
Pole Sana
Dah inaumiza sana jamani
Pole sana mwalimu
Tutaftane NIKUSAIDIE
Pole sana
Ripoti ofisi ya chadema Makao makuu haraka tutaita vyombo vya habari
pole dada
Mungu yupo kwa ili tupo pamoja
SIASA SIO SAWA HATA KIDOGO. SIKU ZOTE NILIKULAUM KWA KUWATQJA MADAKTQRI WA NAIROBI NILIHISI KAMA HUTAMBUHI JITIADA ZA MADAKTQRI NA MANESI WA TANZANIA. POLE LISSU NA ASANTE KWA KUONGEA NA HUYO DADA NIMEFARIJIKA.
bora wakuu wa mikoa wachqguliwe na wananchi kwa sababu wanasimamia lasimali na kuongoz wanachi mkoa mzima na sio wasichagukiwe na mtu mmmoja ajabu sana masisiemu hayo.
Ilipangwa Lissu afe na sio kuwa hai !! Hivyo wote waliomsaidia kuishi waliipata fresh !!
Jamani kweli miujiza pole sana pia asante waguzi kweli mnatakiwa kupewe Nobel kwa kweli huyu unatakiwa kufanyia kitu
❤❤
Hongera sana nesi
Mungu akutangulie mama
Mungu akulinde sana zaidi ya sana
Mama tunakushukuru kwa uzalendo katka kutimiza wajibu wako maana yataka moyo pia mko wengi mliokos maisha ya mh. Lisu
Pole mheshimiwa
Hapo hakuna cha manesi, Wala dakitari ni mpango wa mungu tu.aTundu lissu uendelea kuishi.
Mbona we ukiumwa cha kwanza unakimbilia hosptal au duka la dawa sinl utulie kwako usali tu😂😂😂, then mungu ndo mtowaji wa vipawa na vipaji vyote
Anglia kiongozi unaweza ukamponza maana waliousika awakutaka upone
Tanzania tumekosa viongoz wazarendo ,so mungu atupe walio bora
pole dada pole lisu
Mungu NI mwema
Ukitendaa wemaa munguu atakulipaa dadaanguu utapungukiwaa
Hizo pete vp
All in all ulifanya vzr kusave life
Hii nchi ina watu mashetani yaani viongozi wanaonea wanyonge sana
Huyu jamaa aise ni tunu ya taifa
Safiiii sana
Duh jamani Mungu atakusaidia
Acha Mungu aitwe Mungu
Kwa tukio la Lissu na huyo mama ni ushahi di kwamba kuna baadhi ya watumishi ni wapumbavu sana na wanajiamini kiasi kwamba hawatakuwa nje ya ajira kwa sababu yoyote.
Hakika mungu wetu ni mwenye nguvu
God
Wewe muuguzi ubwarikiwe na BWANA mno. Jina la BWANA wetu lipewe sifa na heshima zote.
Vero kama humfaham mnhh! Au bas tuseme ana li shape Hilo na angekuwaga amenyoka angekuw mke wa mtu mkubwa tu serikalini
Huyo mama ni story teller
Hakika ukuu wa mungu
Hiyo ndiyo Tanzania mnayoisifia kua Nchi ya amani
Kweli kabisa
Tanzania hakuna haki
Dah
Mungu atakulipa
Tukio hili ,Linahuzunisha sana ...still kuna usemi upo unaitwa " tunajivunia amani yetu"...jah see n know!...
Jamani tuwakumbuke sana manesi na madaktari na watumishi wa hospitals wanafanya kazi kuokoa masha. Mungu atawalinda tu.
Hawa wauguzi na madokta waliokoa maisha yake
Weka namba yake tumchangie afungue biashara. Ila kizazi chake kime barikiwa milele yote.
Mungu mlinde huyu mama mana huu ukweli utakuwa mchungu kwake
Weka vizuri cv yako mama 2025 utakuwemoo
Weka mkeka watanzania wafanye jambo Kwa akili ya huyu mtu mwema
Cheki huyo mtoto alivyotulia lissu ni mbarikiwa
Masjabu mambo yote haya unayo yasikiaa mabaya mqbaya nashangaa na bado CCM inashinda bora na mie nimfate huyu shetani ana nguvu kweli hamna njia, napenda uonevu chama kinanifaa hichi 😂😢
Jamani inasikitisha sana.
Kumbe ndio maana samia siku ile akaongea vibaya.
Kwamba.
Mtoeni huyo hapo anashughulisha watu bure.😢
Kuna watu ni makatili sana😢
Pole mzazi pole sana na Mungu akubariki kwa kuokoa maisha ya kiumbe wake Lissu.
Kumbe ndio siku hiyo
Lissu hawa manesi ungewapa zawadi kidogo kama shukrani ya kutambua mchango wao.
Kwani akimpa hata zawadi kidogo ww una haja Gani kujua?
Kwani yeye hajui mpaka umsemeee
Kamanda Lisu tuko pamoja
mungu mkubwa sana
😢😢😢😢😢
Mama pore uritimaza wajibu wako rakini hawakufurahia hivyo kwa Sasa naye afanye kazi yakisheria akusaidie
Hakuna nesi anae tibu. Doctor ndio ana tibu.
WEWE MAMA TULIA HAPO UNAONGEA NA RAIS AJAYE JITUNZE KIAFYA NEEMA IKO MBELE ACHA PAPALA JITUNZE KWA MUNGU ALIYE KUKUTANISHA NA HUYO RAIS AJAYE MH: TUNDU LISSU NI MUNGU TULIA ATAKAYE KUPATIA HAKI NI MUNGU HUYO HUYO KUPITIA TUNDU LISSU
Ili iweje.
WALIOMPIGA RISASI LISSU WANASIKIA ALIVYOTIBIWA, JEE HAWAONI UCHUNGU? NA FAIDA GANI WALIYOIPATA?
POLE DADA DU JAMANI
Huu ndo utawala wa ccm
hatari sana
Magu aisee bastu
Muujiza unatembea
Inaumiza sana jmn
KAMA SISI, TUNAUMIA HIVI TUKIONA ANAVYOCHECHEMEA KWA SHIDA AKITEMBEA. JE KWA FAMILIA YAKE WANAUMIA KIASI GANI NA WATU WAKE WAKARIBU?. Kuna siku itafika watajulika waliofanya hicho kitendo hakuna kitakacho fichika tena.
Yaani lisu nimuujiza unaotembea jamani🤔
Anton mtaka udescent wote ule kumbe naye yupo hivyo....tumejua mengi asee
Wamejificha tu ssm hawezi kaa nawewe kama huendani na m
Wao
Huyu mama arudishwe kazini! Its indeed sqd😢
Sina wasiwasi na Rais Samia, mtu wa Mungu atamrudisha kazini na kumfuta machozi
Sina wasiwasi na Rais Samia, ni mtu mwenye hofu ya Mungu atamrudisha kazini na kumfuta machozi.
ukweli utaujua siulisema magufuri hakukusaidia waliokusaidia ni wakenya sasa ukweli umelipa uwongo unajitenga unaona haibu
CCM oyee
Serikalini pabaya sana usiombe
Watu wengi naona mnasema amsaidie sasa mnavozani atamuacha hvohvo
Haki yako umepata Mungu mwema
Hivi nyie mliodhamiria kumuua,mnajisikiaje mnavyomuona lisu yuko hai.
Jamani tumchangie huyu mama
Kweli inabidi tufanye hivyo, ati Tanganyika Kuna haki na amani😢😢😢
Naunga mkono hoja
@@deokimena5168 👍
Huyu ni mtumishi wa serekari ya ccm wewe uriee serekarini unaiteetea ccm mtakufa Kwa shock
Kuna haja ya Diet balanced Mh. mana hiyo ndambi inaelekea kubaya
Ndiyo maana Mungu hatoi taarifa ya kufa kwetu waovu wanapoteza na kuuwa kwa tamaa ya madaraka wajifunze baada ya shambulio lililomkuta Lissu bila shaka walishakufa ndiyo eti wakaitwa mashujaa wa Afrika kwa uovu huu Mungu aliwaonesha ukuu wake kuwa na wao hawastahili kuishi kama ambavyo wao wanawaambia wanasiasa wenzao kuwa anaewapinga hastahili kuishi wanasahau kuwa na wao ni binadamu kama wanaopingana nao kuna siku nilimwona kijana mmoja anawabia Askari wasiulize kama kutakuwa na watu watakaopotea huyo kijana ameshapewa ruhusa na Mungu muovu kuwadhulumu maisha wanaopinzani wake
Mungu wa TBJoshua akukumbuke
TB Joshua ana Mungu sikuizi acha ujinga
😂😂😂
@@romualdmadeniromuald525 God of prophet TBJoshua will see you through
Mheshimiwa uliumia............
Ila inchi imejaa watu waoneaji