KIVUMBI! BIBI ALIYEBOMOLEWA NYUMBA NA CCM, MAKONDA AWABANANISHA VIONGOZI WA CHAMA JUKWAANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 386

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi7988 7 หลายเดือนก่อน +7

    Mungu akubariki sana makonda from Congo🇨🇩 to Sweden 🇸🇪

  • @EliaMwaijumba
    @EliaMwaijumba 7 หลายเดือนก่อน +4

    Asante samia kwa kumpa kazi huyo kijana makonda safisha wanao kicha chama

  • @ramadhanipadon3577
    @ramadhanipadon3577 7 หลายเดือนก่อน +5

    Makonda utabarikiwa na mungu🙌🙌🙌🙌

  • @MichaelPius-k4d
    @MichaelPius-k4d 7 หลายเดือนก่อน +16

    Mzimu wa Magufuli umemvaa Makonda bira kupinga😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @devgodfrey
      @devgodfrey 7 หลายเดือนก่อน +1

      anawachapia na mapambio kabisa🙌🏻

    • @mahijjaeidi9144
      @mahijjaeidi9144 7 หลายเดือนก่อน

      Kabisa yani makuful kafa nafsi imeenda kwamakonda mungu amlinde

    • @BumyElly
      @BumyElly 4 หลายเดือนก่อน

      Exactly

  • @salumsaid1861
    @salumsaid1861 7 หลายเดือนก่อน +2

    Hii nchi kuna watu wanawaonea sana watu .. Hongera Makonda

  • @eliusngereza156
    @eliusngereza156 7 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu tu amlinde ili ikimpendeza yeye aliye juu ampe uraisi bac

    • @othmarluwawilo8308
      @othmarluwawilo8308 7 หลายเดือนก่อน +1

      Hatuhitaji Rais Mbumbumbu, uraisi lazima usome.

  • @JOYCEPASTORY-up6tg
    @JOYCEPASTORY-up6tg 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana karibu mwenezi Taifa.weweni mwokozi wetu wanyonge

  • @RubenKolele
    @RubenKolele 7 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa makonda mungu akubariki sana Kwa kazi nzuri unaewatendea watanzania kwani umekua mkombozi wa watanzania... Tunakuomba ututembelee na sisi siku Moja wananchi Wa kata ya KIA wanchi tuna nyanyaswa sana na kampuni wanao jiita CARDCO tunakuomba sana mkombozi wananchi tumenyang'anywa maeneo yetu.

  • @SisoKaunge
    @SisoKaunge 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mama samiha umefanya mahamusi sahihihi samiha hoyeeeee makonda poa ccm poaaaaaa

  • @jumaigoti7541
    @jumaigoti7541 7 หลายเดือนก่อน +9

    Hao Ni machumia tumbo hovyo kabisa

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 7 หลายเดือนก่อน +3

    Nipeni namba yamakonda nimwambie na hawa tiaraei mbeya pare tazala watume mpelerezi

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 4 หลายเดือนก่อน

    May God bless you sir ❤❤

  • @stephenwainage2523
    @stephenwainage2523 7 หลายเดือนก่อน +13

    Huyo jamaa anasoma barua kama kapiga gongo😅

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 7 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli bhana atakuwa kapiga kidogo😂😂

    • @MwigaKatumpula-mi3zt
      @MwigaKatumpula-mi3zt 7 หลายเดือนก่อน

      Tunduma hoyeee 😃😀😀

    • @jamesmwita2995
      @jamesmwita2995 7 หลายเดือนก่อน

      Ameanza vzr kusoma lakn mwishoni akaanza kujifanya amelewa

    • @LoyceAnchesther
      @LoyceAnchesther 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@MwigaKatumpula-mi3zt😅😅😅😅umeambiwa usome barua

    • @geoffreykoech56
      @geoffreykoech56 หลายเดือนก่อน

      Amepiga Aiseeee

  • @reubengapy2878
    @reubengapy2878 7 หลายเดือนก่อน +6

    Makonda oyeeeeeee

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 7 หลายเดือนก่อน +4

    Hata viongozi wenye misimamo kama yako Makonda viongozi mikoani wanawachukia sana hasta kina mama wanajarribu hata kuwawekea mizengwe wasijiendeleze

  • @VeronikaMwitula
    @VeronikaMwitula 7 หลายเดือนก่อน

    Mwanangu,hongera kwa kuwasaidia wanyonge wanaonyanyaswa

  • @Enockbryan-fb6fc
    @Enockbryan-fb6fc 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki

  • @TatuMasudy
    @TatuMasudy 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde makonda❤❤

  • @msafirimaulidi5054
    @msafirimaulidi5054 7 หลายเดือนก่อน +1

    Eeh M/MUNGU tusaidie mm amuachie uyu 2025 agombee uraisi🙏

  • @sabrinaandrew4245
    @sabrinaandrew4245 7 หลายเดือนก่อน

    Nakuombea poul makonda mwenyezi mungu Akulinde baada ya miaka mitano mingine ya mama wewe ndiyo uje uwe my president🎉🎉🎉🎉🎉🎉💯🙏🙌🥰👏🤲

  • @geleminapatrick8701
    @geleminapatrick8701 7 หลายเดือนก่อน

    Makonda angalia huyo mama anavyolia NAMI nalia huku Kwa wema wako makonda mungu akulinde sana sana

  • @SuleimanOmar-gq9rg
    @SuleimanOmar-gq9rg 6 หลายเดือนก่อน

    This is the way I like be faithful

  • @Husein.Kacheka
    @Husein.Kacheka 5 หลายเดือนก่อน

    Respect kiongoz one day hii nchi itakuelewa 2,nanukuu maneno yako kuwa "usiogope kuonekana waajabu Kama unakitu unakiamini"

  • @MaryMlelwa-k1s
    @MaryMlelwa-k1s 7 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda apewe nchi asaidie mama

  • @Zawadi.juma.t9
    @Zawadi.juma.t9 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde muheshimiwa makonda tunakutegemea sana

  • @Matikomitinidawa
    @Matikomitinidawa 7 หลายเดือนก่อน

    Viva Makonda you are a leader

  • @BabaAlex-fe1fq
    @BabaAlex-fe1fq 5 หลายเดือนก่อน

    Daaaaaaaa!!

  • @godsonndamgoba8053
    @godsonndamgoba8053 7 หลายเดือนก่อน

    Kweli Makonda unafuata nyendo za jpm

  • @glorykapenja9473
    @glorykapenja9473 4 หลายเดือนก่อน

    Jamani kumbe watu wanateseka kiasi hiki aisee tutafika mbinguni tumechoka sana

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623 4 หลายเดือนก่อน

    Chama cha mapinduzi kinadaiwa eneo la Mama

  • @monicambuya-sq9ms
    @monicambuya-sq9ms 7 หลายเดือนก่อน

    Hata wakinuna wasikutishe mtenda haki hapendwi hutakufa makonda Mungu atakulinda

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 7 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli kazi anayoifanya MAKONDA is very big RISK,,,,Yaani inataka moyo saana kupambana na changamoto walizonazo wananchi

  • @GraceMhoja-zc7yg
    @GraceMhoja-zc7yg 7 หลายเดือนก่อน

    Kaniliza mama alielawitiwa mwanae jamn

  • @MRHURUMAHuruma
    @MRHURUMAHuruma 7 หลายเดือนก่อน

    Makonda we love you

  • @ElizabethFesto-fv2ku
    @ElizabethFesto-fv2ku 7 หลายเดือนก่อน +1

    Magu mdogo nakupenda sana

    • @suleimanrashid3918
      @suleimanrashid3918 7 หลายเดือนก่อน

      Tukapata wasukuma 7 tu km huyu kisha wakaungana mama kizimkaz hii nchi inanyooka rais nakuomba mrejeshe na mwanry yule mzee wa sukuma ndani wawanyooshe hawa wanaotesa wananchi

  • @januarynyera855
    @januarynyera855 7 หลายเดือนก่อน

    Kama utakuwa na wasaidizi watano wa aina yako mkuu Nchi ingenyooka

  • @husseniddy8615
    @husseniddy8615 4 หลายเดือนก่อน

    Towa hao viongoz wanachafua ccm, pya uwt nao towa

  • @MabulaKindanha
    @MabulaKindanha 7 หลายเดือนก่อน

    Nimetokambali

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 7 หลายเดือนก่อน

    Mzee ana mbwembwe, na mikogo mingi, isiyo na maana.

  • @DavidEmilian-i2b
    @DavidEmilian-i2b 6 หลายเดือนก่อน

    Hiyo ndio michezo ya watu wa ccm baadhi yao

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 7 หลายเดือนก่อน

    Damu ya yesu ikufunike makonda.allah akhubar

  • @alisaidi2620
    @alisaidi2620 4 หลายเดือนก่อน

    Mimi nikenya ila nimempenda sana huyu kijana

  • @MsodokiSokoine-k2x
    @MsodokiSokoine-k2x 7 หลายเดือนก่อน

    Mimi simjui samia namujua makonda rais bas hata akigombe leo nampa kula 💯

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 7 หลายเดือนก่อน

    Duuh mijitu haina hayaa hii heti tunduma hoyeeee hhhhhhh jambafu hawa ndio wanamtia ubaya mama samia na wananchi wallah hawawajibiki kwa wananchi

  • @AtanásioVirgílioNkala
    @AtanásioVirgílioNkala 6 หลายเดือนก่อน

    Da makonda kiboko

  • @Lodrickmwambene
    @Lodrickmwambene 7 หลายเดือนก่อน

    Brother makonda Nina zawadi yako nikirudi bongo sasa hii ndio Tanzania

  • @moddy8744
    @moddy8744 7 หลายเดือนก่อน

    Makonda unahangaika sana kwa kuwasaidia wanyonge Mungu Atakubariki sana ni kiongozi wa wanyonge Utabarikiwa tu hamna kiongozi mzuri wa namna hii proud of you your the best ever

  • @HatibuLukindo
    @HatibuLukindo 6 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa tunaomba pia uende Tanga wilaya kilindi kunashida kule pia.

  • @LeokadiaKasian-eh4pt
    @LeokadiaKasian-eh4pt 6 หลายเดือนก่อน

    Tusiumizane. Tuangaliane. Ndugu

  • @LucasMalima-i9b
    @LucasMalima-i9b 7 หลายเดือนก่อน

    Wakurungenzi shidaa wateule wako Wana kuangusha

  • @mjemamjema9695
    @mjemamjema9695 7 หลายเดือนก่อน

    ALAFU MPUMBAVU MMOJA ANASEMA WATU WANAMFUATA MAKONDA. WATU WA SERIKALI NDIO WANADHULUMU WANANCHI.

  • @hafidhdrogba3392
    @hafidhdrogba3392 3 หลายเดือนก่อน

    Matumbo makubwa kama wanamimba

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 7 หลายเดือนก่อน

    Mhe Makonda hao Uwtccm wamlipe tu huyu Mama nyumba wataharibu uchaguzi

  • @ezraochora8495
    @ezraochora8495 7 หลายเดือนก่อน

    Ccm.kweli.ni.wahalifu.wanzurumiana.waokwawao.

  • @JosephAtanazi-hs3gw
    @JosephAtanazi-hs3gw 7 หลายเดือนก่อน

    Waondoke hao mbwa waliwaonga mademu zao sasa imekula kwao

  • @YustaOsward
    @YustaOsward 7 หลายเดือนก่อน

    Damu ya yesu ikuongoze vyema pol makonda

  • @masoudymichael
    @masoudymichael 7 หลายเดือนก่อน

    Yani CCm wakubomolee nyumbà alafu tena kesi unaipeleka CCm 😂 ncheke kwanza

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 7 หลายเดือนก่อน +28

    Magufuli mdogo oyeeeeeeeeee🎉🎉🎉🎉

    • @JaziraMustafa-g9p
      @JaziraMustafa-g9p 7 หลายเดือนก่อน

      Anakuaje makufuli mdogo wakati yeye Magu alimuona hamfai ndio akamfukuza kazi na kumkosesha ubunge kwa makusudi.Mama ndie aliemleta na kumpa madaraka makubwa sasa hapo jina la Magu linahuzikaje?Badala ya kumtaja Mama Samia unamtaje mtu ambaye alimfukuza kazi na kumwekea vikwazo au mdio udini na ukabila vinawasumbua?

    • @frankjohn8706
      @frankjohn8706 7 หลายเดือนก่อน +1

      YESU KASEMA ufalme haujifitini .eti wakomeshe hao CCM wakati nae ni CCM .hata wakale walisema zimwi likujualo halikuli likakumaliza.unaetengenezwa hapo ni wewe mwanainchi wa Hali ya chini

    • @jicholafursa7058
      @jicholafursa7058 7 หลายเดือนก่อน

      Nani alimpandisha tukamjua​@@JaziraMustafa-g9p

  • @tisiradidas
    @tisiradidas 7 หลายเดือนก่อน +11

    Asante Makonda wasambaratishe hao dhulumati wa CCM ndio wanaoangusha chama.

  • @NabiiMkuupdYohana7974
    @NabiiMkuupdYohana7974 7 หลายเดือนก่อน +31

    Makonda, Makonda, Makonda, utafika mbali kwa jina la Yesu

    • @ezraochora8495
      @ezraochora8495 7 หลายเดือนก่อน

      Acha.kutaja.jinala.yesu.kwenye.komedi.kamaizi

  • @AsifiweChaula
    @AsifiweChaula 7 หลายเดือนก่อน +10

    Hongera mwenezi kwakusikiliza kelo za wananchi wa tunduma songwe

  • @ChalachimuZephania
    @ChalachimuZephania 7 หลายเดือนก่อน +10

    Makonda songa mbele baba Mungu akulinde,waangalie sana wasikuue,,wabaya sana mafisad wamenuna zaiiiiid

  • @LinaLema-c1m
    @LinaLema-c1m 7 หลายเดือนก่อน +11

    Makonda damu ya yesu ikufunike kaka kazi njema umefanya

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 7 หลายเดือนก่อน +10

    Bila hii mikutano tusingeyajua kama hata viongozi wa ccm wasio wema na chama wadhulumati safi sana makonda mungu amlinde raisi wetu mama samia

    • @GabrielSimba-gx5er
      @GabrielSimba-gx5er 5 หลายเดือนก่อน

      Ww ao wakilitka eneo lako wanalichkua kwanguvu tena napolisi unaltewa

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 7 หลายเดือนก่อน +12

    Kuna watu wanapaswa kufungwa maisha

    • @ChalachimuZephania
      @ChalachimuZephania 7 หลายเดือนก่อน

      Afungwe huyo anayesoma mwizi huyoooo

    • @evaristmbuya6220
      @evaristmbuya6220 7 หลายเดือนก่อน

      @@ChalachimuZephania 😅😅😅😅😅

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 7 หลายเดือนก่อน +25

    Hii nchi imeoza kwa kipindi kifupi tu ,Mungu asante kwa zawadi huyu kijana makonda ❤❤❤

    • @melkizedekwiliam-hi7bz
      @melkizedekwiliam-hi7bz 7 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu Makonda ni Rais 2030.

    • @frankjohn8706
      @frankjohn8706 7 หลายเดือนก่อน +2

      Hujamjua Mungu bado Mungu sio mtu Mungu SI kigeugeu Mungu ana watu wengi.alimuacha Saul na KUMPA Daud ufalme.

  • @melkizedekwiliam-hi7bz
    @melkizedekwiliam-hi7bz 7 หลายเดือนก่อน +8

    eeeee Mungu umlinde Rais wetu Samia Raisi wetu mpendwa. Pia na mwenezi Makonda.

  • @YustoMlay-cv4zb
    @YustoMlay-cv4zb 7 หลายเดือนก่อน +20

    CCM Kuna watu wezi na waonevu tu wanaichafua chama

  • @JosephAtanazi-hs3gw
    @JosephAtanazi-hs3gw 7 หลายเดือนก่อน +2

    Hakuna cha tunduma oyee soma barua na tumbo lako hilo

  • @BumyElly
    @BumyElly 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ndy inavyo takiwa

  • @rithersospeterkati2303
    @rithersospeterkati2303 7 หลายเดือนก่อน +4

    Be blessed Makonda. MUNGU hakutangulie.

  • @w4058
    @w4058 7 หลายเดือนก่อน +1

    Wapumbavu tu kupita kudhalilishana na nyie mmekaa kama Ngommbe aso pembe kila udhalilisha mnsufurahia mnasetiwa akili zenu kwasababu ziko finyu nyie khasa waja wa shida

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 7 หลายเดือนก่อน

      Watu sio wajinga yawezeka ng'ombe ni wewe hizo protocol unazotaka wewe ndio zinaleta shida tatizo watz wengi ni wapuuzi kama wewe Hivi kama watu watatoka kwenye utaratibu wa kawaida ambao ni kero wakaenda kwenye utaratibu usio wa kawaida ambao utawasaidia watu shida nini kudhalilishwa ni kupi kama mtu hawajibiki kwa hiyo wadhalilishwe hao walalamikaji kisa tu hao watendaji waheshimiwe acheni upaka nyie na malalamiko yasio na maana

  • @Caroline-g5k
    @Caroline-g5k 7 หลายเดือนก่อน +4

    i am from kenya good job bro keep it up makonda

    • @abdulaisha4145
      @abdulaisha4145 4 หลายเดือนก่อน

      Mungu awabariki watanzania wanapata viongozi bora

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 7 หลายเดือนก่อน +20

    Magufuli ndani ya makonda 😢

    • @JaziraMustafa-g9p
      @JaziraMustafa-g9p 7 หลายเดือนก่อน

      Kwani si ni Magu aliyemfukuza huyo MAKONDA?TUACHE UNAFIKI MPONGEZE MAMA ALIYEMREJESHA? AU UDINI NA UKABILA VINAKUSUMBUA?

  • @funnuelmwalukasa4506
    @funnuelmwalukasa4506 7 หลายเดือนก่อน +4

    Mchumia tumbo huyo tumbuaa

  • @jamillahshabani2500
    @jamillahshabani2500 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ona litumbo lake la kula rushwa

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 7 หลายเดือนก่อน +3

    Watu hawaana huruma jamani uyo mama anavio onekana munawezaje kumubomolewa nyumba????😢😢😢😢😢 mmmmm

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 7 หลายเดือนก่อน +3

    WATOE NA FIDIA KWA KUMSUMBUA MAMS WA WATU IILA NAMPA HONGERA KAPAMBANIS HAKI YAKE NA AMESHINDA.

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 7 หลายเดือนก่อน +2

    Nakodi.walioyo chukua warudishe

  • @ElizaMolle
    @ElizaMolle 3 หลายเดือนก่อน

    Piya tunamshukuru saaaaana mama yetu SAMIYA mama mimi kama mimi nakupenda sana mama na makonda ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏

  • @BhM255
    @BhM255 7 หลายเดือนก่อน

    Tupambanie wanyonge sasa viatu vya baba vimepata mwenyewe kweli mama anakijana.mmemuona huyooo🎉🎉🎉🎉

  • @Memphisblue22822
    @Memphisblue22822 7 หลายเดือนก่อน

    TUNDUMA oyeeee

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 7 หลายเดือนก่อน +3

    Msomaji ni cha pombe kwelikweli

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 7 หลายเดือนก่อน

      Hawa hawafai hata tone viongozi nchi hii hatuna ni walafi wanyanganyi wakubwa

  • @ramadhangona9085
    @ramadhangona9085 7 หลายเดือนก่อน

    Sasa kama hizi ziara hakuna wakuzifanya hawa wanyonge ambao ni wengi watasaidika vipi...Mbona binadamu wanakosa hofu na Mungu....especially viongozi?

  • @zennahassan1597
    @zennahassan1597 7 หลายเดือนก่อน

    UWT ,Tunduma mmetudhalilisha uwt wote ukizingatia hyu ni mwanamke mwenzetu ovoo

  • @nadiatanzania
    @nadiatanzania 4 หลายเดือนก่อน

    Namona magufuli akicheka huko alipo nasikia faraja kubwa kuona mtetezi wawanyoge

  • @hafidhdrogba3392
    @hafidhdrogba3392 3 หลายเดือนก่อน

    Alusha imeoza inafunza yani mijitu imekua mijoka misimba inakula wanyonge

  • @hafidhdrogba3392
    @hafidhdrogba3392 3 หลายเดือนก่อน

    Makonda mungu akupe afyanje teleyele akuongezee nauhaipia

  • @gaagwasaugustino2584
    @gaagwasaugustino2584 7 หลายเดือนก่อน

    Umeme na maji vipi? Mkataba wa Bandari IGA ufutwe tunataka Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kabla ya uchaguzi ujao!

  • @johnbosconagalau1586
    @johnbosconagalau1586 7 หลายเดือนก่อน

    Asingekuja mwamba huyo mungempatia lin?

  • @AthanasGabriel-j9p
    @AthanasGabriel-j9p 3 หลายเดือนก่อน

    Tunduma oyeee oyaa soma barua 😂😂😂😂 nimependa hiyooi

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 7 หลายเดือนก่อน

    CCM wababe lakini kuna watu ndani yao ni wababe. Hata siye Mafia wamechota eneo letu wakajenga maduka. Tunaipenda tu CCM mapenzi yametuzidi juu ya CCM. Lakini mmmh

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 7 หลายเดือนก่อน

    Wabunge wenu wenyewe hawajui kusoma ata kiswahili...😅😅

  • @georgelyimo8698
    @georgelyimo8698 5 หลายเดือนก่อน

    Saa nyingine historia zinawakataa hawa jamaa.Ila kama ni fair play,na katiba mpya ikawepo,huyu Makonda somehow yuko fair.

  • @joahsteve-wc3gp
    @joahsteve-wc3gp 2 หลายเดือนก่อน

    Tunaomba uje dodoma wilaya ya mpwapwa jimbo la kibakwe watu wananyanyasika sana na viongozi diwani hajasoma hata la saba anataka aongoze miaka 20 sasa anawatesa wananchi kila siku kula za kufosi hataki kuachia madaraka watu wamemchoka.

  • @ElizaMolle
    @ElizaMolle 3 หลายเดือนก่อน

    Makonda mungu akuzidishiye miyaka

  • @mwayayamashaka6708
    @mwayayamashaka6708 6 หลายเดือนก่อน

    Tabia viongozo wa ccm malozi wa ccm tunanyanyasika sana

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 7 หลายเดือนก่อน

    Oh Gott Wananchi wanaonewa sana na Watendaji walichaguliwa na Wananchi

  • @TinahFrank
    @TinahFrank 4 หลายเดือนก่อน

    Asante makonda apo apo dozi juyadozi

  • @MuhammadsalmudadMuhammad-rq2qz
    @MuhammadsalmudadMuhammad-rq2qz 7 หลายเดือนก่อน

    Makonda uko makini laiti kama ungekua chini kwetu Moçambique vita na rushwa ingeisha.