Mheshimiwa makonda mungu akubariki sana Kwa kazi nzuri unaewatendea watanzania kwani umekua mkombozi wa watanzania... Tunakuomba ututembelee na sisi siku Moja wananchi Wa kata ya KIA wanchi tuna nyanyaswa sana na kampuni wanao jiita CARDCO tunakuomba sana mkombozi wananchi tumenyang'anywa maeneo yetu.
Tukapata wasukuma 7 tu km huyu kisha wakaungana mama kizimkaz hii nchi inanyooka rais nakuomba mrejeshe na mwanry yule mzee wa sukuma ndani wawanyooshe hawa wanaotesa wananchi
Makonda unahangaika sana kwa kuwasaidia wanyonge Mungu Atakubariki sana ni kiongozi wa wanyonge Utabarikiwa tu hamna kiongozi mzuri wa namna hii proud of you your the best ever
Anakuaje makufuli mdogo wakati yeye Magu alimuona hamfai ndio akamfukuza kazi na kumkosesha ubunge kwa makusudi.Mama ndie aliemleta na kumpa madaraka makubwa sasa hapo jina la Magu linahuzikaje?Badala ya kumtaja Mama Samia unamtaje mtu ambaye alimfukuza kazi na kumwekea vikwazo au mdio udini na ukabila vinawasumbua?
YESU KASEMA ufalme haujifitini .eti wakomeshe hao CCM wakati nae ni CCM .hata wakale walisema zimwi likujualo halikuli likakumaliza.unaetengenezwa hapo ni wewe mwanainchi wa Hali ya chini
Wapumbavu tu kupita kudhalilishana na nyie mmekaa kama Ngommbe aso pembe kila udhalilisha mnsufurahia mnasetiwa akili zenu kwasababu ziko finyu nyie khasa waja wa shida
Watu sio wajinga yawezeka ng'ombe ni wewe hizo protocol unazotaka wewe ndio zinaleta shida tatizo watz wengi ni wapuuzi kama wewe Hivi kama watu watatoka kwenye utaratibu wa kawaida ambao ni kero wakaenda kwenye utaratibu usio wa kawaida ambao utawasaidia watu shida nini kudhalilishwa ni kupi kama mtu hawajibiki kwa hiyo wadhalilishwe hao walalamikaji kisa tu hao watendaji waheshimiwe acheni upaka nyie na malalamiko yasio na maana
CCM wababe lakini kuna watu ndani yao ni wababe. Hata siye Mafia wamechota eneo letu wakajenga maduka. Tunaipenda tu CCM mapenzi yametuzidi juu ya CCM. Lakini mmmh
Tunaomba uje dodoma wilaya ya mpwapwa jimbo la kibakwe watu wananyanyasika sana na viongozi diwani hajasoma hata la saba anataka aongoze miaka 20 sasa anawatesa wananchi kila siku kula za kufosi hataki kuachia madaraka watu wamemchoka.
Mungu akubariki sana makonda from Congo🇨🇩 to Sweden 🇸🇪
Asante samia kwa kumpa kazi huyo kijana makonda safisha wanao kicha chama
Makonda utabarikiwa na mungu🙌🙌🙌🙌
Mzimu wa Magufuli umemvaa Makonda bira kupinga😂😂😂😂😂😂😂😂
anawachapia na mapambio kabisa🙌🏻
Kabisa yani makuful kafa nafsi imeenda kwamakonda mungu amlinde
Exactly
Hii nchi kuna watu wanawaonea sana watu .. Hongera Makonda
Mungu tu amlinde ili ikimpendeza yeye aliye juu ampe uraisi bac
Hatuhitaji Rais Mbumbumbu, uraisi lazima usome.
Hongera sana karibu mwenezi Taifa.weweni mwokozi wetu wanyonge
Mheshimiwa makonda mungu akubariki sana Kwa kazi nzuri unaewatendea watanzania kwani umekua mkombozi wa watanzania... Tunakuomba ututembelee na sisi siku Moja wananchi Wa kata ya KIA wanchi tuna nyanyaswa sana na kampuni wanao jiita CARDCO tunakuomba sana mkombozi wananchi tumenyang'anywa maeneo yetu.
Mama samiha umefanya mahamusi sahihihi samiha hoyeeeee makonda poa ccm poaaaaaa
Hao Ni machumia tumbo hovyo kabisa
Nipeni namba yamakonda nimwambie na hawa tiaraei mbeya pare tazala watume mpelerezi
May God bless you sir ❤❤
Huyo jamaa anasoma barua kama kapiga gongo😅
Kweli bhana atakuwa kapiga kidogo😂😂
Tunduma hoyeee 😃😀😀
Ameanza vzr kusoma lakn mwishoni akaanza kujifanya amelewa
@@MwigaKatumpula-mi3zt😅😅😅😅umeambiwa usome barua
Amepiga Aiseeee
Makonda oyeeeeeee
Hata viongozi wenye misimamo kama yako Makonda viongozi mikoani wanawachukia sana hasta kina mama wanajarribu hata kuwawekea mizengwe wasijiendeleze
Mwanangu,hongera kwa kuwasaidia wanyonge wanaonyanyaswa
Mungu akubariki
Mungu akulinde makonda❤❤
Eeh M/MUNGU tusaidie mm amuachie uyu 2025 agombee uraisi🙏
Nakuombea poul makonda mwenyezi mungu Akulinde baada ya miaka mitano mingine ya mama wewe ndiyo uje uwe my president🎉🎉🎉🎉🎉🎉💯🙏🙌🥰👏🤲
Makonda angalia huyo mama anavyolia NAMI nalia huku Kwa wema wako makonda mungu akulinde sana sana
This is the way I like be faithful
Respect kiongoz one day hii nchi itakuelewa 2,nanukuu maneno yako kuwa "usiogope kuonekana waajabu Kama unakitu unakiamini"
Makonda apewe nchi asaidie mama
Mungu akulinde muheshimiwa makonda tunakutegemea sana
Viva Makonda you are a leader
Daaaaaaaa!!
Kweli Makonda unafuata nyendo za jpm
Jamani kumbe watu wanateseka kiasi hiki aisee tutafika mbinguni tumechoka sana
Chama cha mapinduzi kinadaiwa eneo la Mama
Hata wakinuna wasikutishe mtenda haki hapendwi hutakufa makonda Mungu atakulinda
Kwakweli kazi anayoifanya MAKONDA is very big RISK,,,,Yaani inataka moyo saana kupambana na changamoto walizonazo wananchi
Kaniliza mama alielawitiwa mwanae jamn
Makonda we love you
Magu mdogo nakupenda sana
Tukapata wasukuma 7 tu km huyu kisha wakaungana mama kizimkaz hii nchi inanyooka rais nakuomba mrejeshe na mwanry yule mzee wa sukuma ndani wawanyooshe hawa wanaotesa wananchi
Kama utakuwa na wasaidizi watano wa aina yako mkuu Nchi ingenyooka
Towa hao viongoz wanachafua ccm, pya uwt nao towa
Nimetokambali
Mzee ana mbwembwe, na mikogo mingi, isiyo na maana.
Hiyo ndio michezo ya watu wa ccm baadhi yao
Damu ya yesu ikufunike makonda.allah akhubar
Mimi nikenya ila nimempenda sana huyu kijana
Mimi simjui samia namujua makonda rais bas hata akigombe leo nampa kula 💯
Unampa nn😅
Duuh mijitu haina hayaa hii heti tunduma hoyeeee hhhhhhh jambafu hawa ndio wanamtia ubaya mama samia na wananchi wallah hawawajibiki kwa wananchi
Da makonda kiboko
Brother makonda Nina zawadi yako nikirudi bongo sasa hii ndio Tanzania
Makonda unahangaika sana kwa kuwasaidia wanyonge Mungu Atakubariki sana ni kiongozi wa wanyonge Utabarikiwa tu hamna kiongozi mzuri wa namna hii proud of you your the best ever
Mheshimiwa tunaomba pia uende Tanga wilaya kilindi kunashida kule pia.
Tusiumizane. Tuangaliane. Ndugu
Wakurungenzi shidaa wateule wako Wana kuangusha
ALAFU MPUMBAVU MMOJA ANASEMA WATU WANAMFUATA MAKONDA. WATU WA SERIKALI NDIO WANADHULUMU WANANCHI.
Matumbo makubwa kama wanamimba
Mhe Makonda hao Uwtccm wamlipe tu huyu Mama nyumba wataharibu uchaguzi
Ccm.kweli.ni.wahalifu.wanzurumiana.waokwawao.
Waondoke hao mbwa waliwaonga mademu zao sasa imekula kwao
Damu ya yesu ikuongoze vyema pol makonda
Yani CCm wakubomolee nyumbà alafu tena kesi unaipeleka CCm 😂 ncheke kwanza
Magufuli mdogo oyeeeeeeeeee🎉🎉🎉🎉
Anakuaje makufuli mdogo wakati yeye Magu alimuona hamfai ndio akamfukuza kazi na kumkosesha ubunge kwa makusudi.Mama ndie aliemleta na kumpa madaraka makubwa sasa hapo jina la Magu linahuzikaje?Badala ya kumtaja Mama Samia unamtaje mtu ambaye alimfukuza kazi na kumwekea vikwazo au mdio udini na ukabila vinawasumbua?
YESU KASEMA ufalme haujifitini .eti wakomeshe hao CCM wakati nae ni CCM .hata wakale walisema zimwi likujualo halikuli likakumaliza.unaetengenezwa hapo ni wewe mwanainchi wa Hali ya chini
Nani alimpandisha tukamjua@@JaziraMustafa-g9p
Asante Makonda wasambaratishe hao dhulumati wa CCM ndio wanaoangusha chama.
Makonda, Makonda, Makonda, utafika mbali kwa jina la Yesu
Acha.kutaja.jinala.yesu.kwenye.komedi.kamaizi
Hongera mwenezi kwakusikiliza kelo za wananchi wa tunduma songwe
Makonda songa mbele baba Mungu akulinde,waangalie sana wasikuue,,wabaya sana mafisad wamenuna zaiiiiid
Makonda damu ya yesu ikufunike kaka kazi njema umefanya
Hakika
Amen
Tuendelee kumuombea raisi wetu wa baadae
Bila hii mikutano tusingeyajua kama hata viongozi wa ccm wasio wema na chama wadhulumati safi sana makonda mungu amlinde raisi wetu mama samia
Ww ao wakilitka eneo lako wanalichkua kwanguvu tena napolisi unaltewa
Kuna watu wanapaswa kufungwa maisha
Afungwe huyo anayesoma mwizi huyoooo
@@ChalachimuZephania 😅😅😅😅😅
Hii nchi imeoza kwa kipindi kifupi tu ,Mungu asante kwa zawadi huyu kijana makonda ❤❤❤
Huyu Makonda ni Rais 2030.
Hujamjua Mungu bado Mungu sio mtu Mungu SI kigeugeu Mungu ana watu wengi.alimuacha Saul na KUMPA Daud ufalme.
eeeee Mungu umlinde Rais wetu Samia Raisi wetu mpendwa. Pia na mwenezi Makonda.
CCM Kuna watu wezi na waonevu tu wanaichafua chama
Hakuna cha tunduma oyee soma barua na tumbo lako hilo
Ndy inavyo takiwa
Be blessed Makonda. MUNGU hakutangulie.
Wapumbavu tu kupita kudhalilishana na nyie mmekaa kama Ngommbe aso pembe kila udhalilisha mnsufurahia mnasetiwa akili zenu kwasababu ziko finyu nyie khasa waja wa shida
Watu sio wajinga yawezeka ng'ombe ni wewe hizo protocol unazotaka wewe ndio zinaleta shida tatizo watz wengi ni wapuuzi kama wewe Hivi kama watu watatoka kwenye utaratibu wa kawaida ambao ni kero wakaenda kwenye utaratibu usio wa kawaida ambao utawasaidia watu shida nini kudhalilishwa ni kupi kama mtu hawajibiki kwa hiyo wadhalilishwe hao walalamikaji kisa tu hao watendaji waheshimiwe acheni upaka nyie na malalamiko yasio na maana
i am from kenya good job bro keep it up makonda
Mungu awabariki watanzania wanapata viongozi bora
Magufuli ndani ya makonda 😢
Kwani si ni Magu aliyemfukuza huyo MAKONDA?TUACHE UNAFIKI MPONGEZE MAMA ALIYEMREJESHA? AU UDINI NA UKABILA VINAKUSUMBUA?
Mchumia tumbo huyo tumbuaa
Ona litumbo lake la kula rushwa
Watu hawaana huruma jamani uyo mama anavio onekana munawezaje kumubomolewa nyumba????😢😢😢😢😢 mmmmm
WATOE NA FIDIA KWA KUMSUMBUA MAMS WA WATU IILA NAMPA HONGERA KAPAMBANIS HAKI YAKE NA AMESHINDA.
Nakodi.walioyo chukua warudishe
Piya tunamshukuru saaaaana mama yetu SAMIYA mama mimi kama mimi nakupenda sana mama na makonda ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏
Tupambanie wanyonge sasa viatu vya baba vimepata mwenyewe kweli mama anakijana.mmemuona huyooo🎉🎉🎉🎉
TUNDUMA oyeeee
Msomaji ni cha pombe kwelikweli
Hawa hawafai hata tone viongozi nchi hii hatuna ni walafi wanyanganyi wakubwa
Sasa kama hizi ziara hakuna wakuzifanya hawa wanyonge ambao ni wengi watasaidika vipi...Mbona binadamu wanakosa hofu na Mungu....especially viongozi?
UWT ,Tunduma mmetudhalilisha uwt wote ukizingatia hyu ni mwanamke mwenzetu ovoo
Namona magufuli akicheka huko alipo nasikia faraja kubwa kuona mtetezi wawanyoge
Alusha imeoza inafunza yani mijitu imekua mijoka misimba inakula wanyonge
Makonda mungu akupe afyanje teleyele akuongezee nauhaipia
Umeme na maji vipi? Mkataba wa Bandari IGA ufutwe tunataka Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kabla ya uchaguzi ujao!
Asingekuja mwamba huyo mungempatia lin?
Tunduma oyeee oyaa soma barua 😂😂😂😂 nimependa hiyooi
CCM wababe lakini kuna watu ndani yao ni wababe. Hata siye Mafia wamechota eneo letu wakajenga maduka. Tunaipenda tu CCM mapenzi yametuzidi juu ya CCM. Lakini mmmh
Wabunge wenu wenyewe hawajui kusoma ata kiswahili...😅😅
Saa nyingine historia zinawakataa hawa jamaa.Ila kama ni fair play,na katiba mpya ikawepo,huyu Makonda somehow yuko fair.
Tunaomba uje dodoma wilaya ya mpwapwa jimbo la kibakwe watu wananyanyasika sana na viongozi diwani hajasoma hata la saba anataka aongoze miaka 20 sasa anawatesa wananchi kila siku kula za kufosi hataki kuachia madaraka watu wamemchoka.
Makonda mungu akuzidishiye miyaka
Tabia viongozo wa ccm malozi wa ccm tunanyanyasika sana
Oh Gott Wananchi wanaonewa sana na Watendaji walichaguliwa na Wananchi
Asante makonda apo apo dozi juyadozi
Makonda uko makini laiti kama ungekua chini kwetu Moçambique vita na rushwa ingeisha.