Uso kwa Uso na MZEE MAGARI kwenye MJENGO wake MAREKANI, afunguka sababu ya kuondoka TANZANIA

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 74

  • @MellanieKay
    @MellanieKay 17 วันที่ผ่านมา +18

    Nimeipenda interview. Mtangazaji unajitahidi. Keep pushing, you are on your way.
    Tanzanian/American sister in Kansas.

  • @ambakisyemwakinunu2002
    @ambakisyemwakinunu2002 17 วันที่ผ่านมา +9

    Mzee Magari bana, interview imekuwa Tamu sana

  • @FatumaIssa-kw3vv
    @FatumaIssa-kw3vv 6 วันที่ผ่านมา

    Our father 😘😘😘 the voice still good ❤❤

  • @user-kp6lz7zs1w
    @user-kp6lz7zs1w 12 วันที่ผ่านมา +2

    Jmn kaka angu mzee magari kumbe wanyumbani mashahallah Ausindile kaka magari

  • @FelistersMejumaa-xi2ge
    @FelistersMejumaa-xi2ge 17 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu akueke mzee 🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦

  • @yudaogonyi2383
    @yudaogonyi2383 17 วันที่ผ่านมา +12

    Sasa kulikua na ulazima Gani wa hayo maigizo zaid ya kupotezeana bundle ..

  • @kilalakaila9762
    @kilalakaila9762 17 วันที่ผ่านมา +3

    Keep pushing✌🏾

  • @FatumaShabani-mp9vt
    @FatumaShabani-mp9vt 17 วันที่ผ่านมา +6

    Wazo mlugulu mwenzangu 😮😢😊😊😊😊

  • @user-nd5uf6lw4g
    @user-nd5uf6lw4g 18 วันที่ผ่านมา +8

    Heeehe jamani wananchi nyie mbona hamtangazi

  • @ce-08
    @ce-08 16 วันที่ผ่านมา +3

    Mwanzo mgumu hakuna aliezaliwa anajua mtangazaji kaza rekebisha pale unapokosea pia jfunze wengne pia km kna dj sma n.k 🤝

  • @sosbrayantbenjamin9701
    @sosbrayantbenjamin9701 18 วันที่ผ่านมา +16

    Mtangazaj hamna kitu huyu

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 17 วันที่ผ่านมา +1

    Mtangazaji hashawishi kuangalia 😢😢🙌🏻

  • @salehekimlola955
    @salehekimlola955 18 วันที่ผ่านมา +30

    Huyo mwandishi hana sifa na vigezo vya tasnia ya habari na utangazaji. Arudi kwanza shule akajifunze

    • @kapesamjenga8971
      @kapesamjenga8971 17 วันที่ผ่านมา +1

      Una chuki binafsi

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 17 วันที่ผ่านมา

      Chuki binafsi au anaongea ukweli ?! Ukweli usemwe ajifunze hajui kuhoji ​@@kapesamjenga8971

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 16 วันที่ผ่านมา +2

      jamaaa sio mwandashi wa habari wala mwanahabari ni host tu ila anabid ajifue sana

    • @salehekimlola955
      @salehekimlola955 16 วันที่ผ่านมา

      @@kapesamjenga8971 siyo chuki uhalisia kwamba hana values za kuwa mwandishi. Rudi shule acha uswahili. Kasomee fans acha kukurupuka na form 4 yko failure

  • @Tanzania_Ya_mama
    @Tanzania_Ya_mama 18 วันที่ผ่านมา +7

    Mtangazaji hajui mpuuz huyu mbwaaaa😅

  • @SalimIbrahim-kw8ud
    @SalimIbrahim-kw8ud 14 วันที่ผ่านมา +2

    Ila harmonize

  • @issanaseeb7699
    @issanaseeb7699 16 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu Mtangazaji sio kwamba hapendwi coz Comment nyingi zinasema hajui kiukweli niungane nao huyu hajui chochote arudi shule Qmmk zake mtu anaenda Ulaya hajui kuhoji takataka kabsa😅

  • @thompsonkiputa6842
    @thompsonkiputa6842 18 วันที่ผ่านมา +5

    Mtangazaji haiwez hii kazi.

    • @yusafbayu7016
      @yusafbayu7016 17 วันที่ผ่านมา +1

      Hebu kaombe Kaz crown Wana taka watangazaji wivu tu

  • @AbiTech96
    @AbiTech96 17 วันที่ผ่านมา +2

    Hio RIKE ndo nini?😅😅😅

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 16 วันที่ผ่านมา +4

    Mzee Magali yupo vizuri kwenye kujielezea hata kabla ya mtangazaji hajauliza yan huyu mtangazaji hii sio nafas yake hapa alitakiwa kuwa DJ smaa au Mwenyewe sky ingekuwa 🔥🔥

  • @allywilson4155
    @allywilson4155 18 วันที่ผ่านมา +6

    Amna kitu kwa myangazaji

  • @enockezekiel4125
    @enockezekiel4125 17 วันที่ผ่านมา +2

    Ndg mwandishi😅

  • @user-td3ss6nk2d
    @user-td3ss6nk2d 10 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂 mtangazaji ananichekesha .....ohhh waooooh..... afu kama anaimbaaaa😂😂😂😂😂

  • @BigBrain23
    @BigBrain23 18 วันที่ผ่านมา +8

    Shule kitu cha muhimu sana hata form 4 tu inatosha. Hatuna mwandishi hapa

  • @victormwansasu8764
    @victormwansasu8764 11 วันที่ผ่านมา

    Hapo hamna mwandishi ,yan kunavitu mzee magari anamfundisha mwandishi

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686 17 วันที่ผ่านมา +1

    Kumbe bado yupo😂

  • @Johnsonkayila
    @Johnsonkayila 18 วันที่ผ่านมา +1

    Duh uwezo wa kuhoji huna

  • @Gades106
    @Gades106 17 วันที่ผ่านมา +1

    Hata mimi nimefikiriaga mzee magari ameshaga fariki

  • @tsumiduwe1406
    @tsumiduwe1406 7 วันที่ผ่านมา

    NI JIMBO GANNI YUPOOO

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 18 วันที่ผ่านมา +4

    MUTANGAZAJI WEWE HAUSTAHILI HATAKUITWA MUTANGAZAJI😮😮 YAAANI WEWENI 00

    • @tradamus4158
      @tradamus4158 18 วันที่ผ่านมา +2

      Ukiona astahili fanya wew nenda America 🇺🇸 ukatuletee vitu unique

    • @yusafbayu7016
      @yusafbayu7016 17 วันที่ผ่านมา +2

      Una nja ndo mana kila kitu una ona kibaya wew njo utangaze

    • @Mr-GMB
      @Mr-GMB 17 วันที่ผ่านมา

      Je wewe?

    • @samuelmlapwa7858
      @samuelmlapwa7858 17 วันที่ผ่านมา +1

      Daah sawa musikilizaji na mutizamaji

  • @bensonjohn9633
    @bensonjohn9633 13 วันที่ผ่านมา

    Mtangazaji anauliza Swali! Analijibu mwenyewe halaf anataka kuhakikisha? Nadhan anahitaji Kujifunza sana jinsi ya kuhoji

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 12 วันที่ผ่านมา

    Kwan huku tz alikuwa hajaoa?

  • @kingkinye1419
    @kingkinye1419 15 วันที่ผ่านมา

    Today kakua

  • @martingeorgenzali5614
    @martingeorgenzali5614 18 วันที่ผ่านมา +3

    MtaNgazaji AnaIzaliliSha Nsn YeTu

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb 10 วันที่ผ่านมา

    Kwer kuigiza Sio Kazi

  • @annaphi2427
    @annaphi2427 12 วันที่ผ่านมา

    Yaan uyu host sio tuu hajui na anaboa tuu lakin hta kipaji nacho hana yaan magari angempata mwenyewe sky tunge Enjoy zaid

  • @ibrahimelisha6842
    @ibrahimelisha6842 11 วันที่ผ่านมา

    Ataa maongezi yao yanajichanganya et kule mara huku yaani ni hovyo hovyo

  • @redemptaanisio2770
    @redemptaanisio2770 16 วันที่ผ่านมา

    Mbona mtangazaji ndo anaonekana sana kuliko mzee magari

  • @Gades106
    @Gades106 17 วันที่ผ่านมา +5

    Huyo mtangazaji mumtoeni umarekaninmumrudishe bongo mumpeleke Mtu mwenye uwezo waku oji

    • @Formula_tz
      @Formula_tz 16 วันที่ผ่านมา

      Huyo jamaa yuk marekani kwa mishe zake za kisanaa ya maonesho hakupelekwa na sns waliend wenyew marekan kam kikundi ch Sanaa sns wao ndo walimtafut kufanya nae kaz baada ya kumuon haki fanya challenge ya lugha ya kiswahili na wazungu

    • @Qqambaa
      @Qqambaa 12 วันที่ผ่านมา +2

      Jamaa yuko sawa 🥰

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 14 วันที่ผ่านมา

    Mzee Magari "Where is Come From"

  • @kassimkitta6118
    @kassimkitta6118 16 วันที่ผ่านมา

    Marekani ya burundi

  • @ibrahimelisha6842
    @ibrahimelisha6842 11 วันที่ผ่านมา

    Hapo sio marekani mzee 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    Mnatuleta nyie watoto wa mbagala wanalia kabisa

  • @kingkinye1419
    @kingkinye1419 15 วันที่ผ่านมา

    Mtangazaji anahoji anajijibu

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc 7 วันที่ผ่านมา

    Nyie mnaosema hawezi nyie mnaweza siku zote mwanzo ni mgumu ata kama ukiwa na kipaji, ila kadri atakapozidi kutangaza ndivyo atakavyozidi kuwa bora na kurekebisha anapokosea, ata sky hakuibuka tu ghafla kawa mtangazaji bora naye alianza kama huyu, so msiropoke tu jaribuni kufikiria kwanza

  • @benitoxavery1802
    @benitoxavery1802 14 วันที่ผ่านมา

    Mtangazaji badala aulize maswali. Anauliza kisha anajibu mwenyewe!!!
    Akasomee uandishi zaidi
    Very amateurish!

  • @Cyper255
    @Cyper255 13 วันที่ผ่านมา

    Mtangazaji ujitafakari kwa hizi comments

  • @Deadskytz
    @Deadskytz 11 วันที่ผ่านมา +2

    Nyie SNS muwe serious acheni kubebana bebana media ishakuwa kubwa , Watangazaji gani hawa sasa 😂😂

  • @RynoFiree
    @RynoFiree 17 วันที่ผ่านมา +2

    Mbona mtangazaji anauliza majibu Yan mpaka magar anashindwa ajibu nini

  • @SilasMbaruku-no6id
    @SilasMbaruku-no6id 10 วันที่ผ่านมา

    Aah hyo move au

  • @mam_salum
    @mam_salum 18 วันที่ผ่านมา +3

    Sauti ya mzee magari utasema amekabwa na kitu kwenye koo

    • @user-gb5vz6wm2q
      @user-gb5vz6wm2q 17 วันที่ผ่านมา

      Hahahhaaaa mimi naikubali sana sauti yake

  • @japhetlust5050
    @japhetlust5050 12 วันที่ผ่านมา

    Nimejuwa mzee magafi yupo hanaish marekani basi siendelee na storry keasababu mtangazaji ajui

  • @user-ch3ku3yx2z
    @user-ch3ku3yx2z 18 วันที่ผ่านมา +1

    Wa kwanza reo wamba rike ningi kwa mzee magari

    • @laoiyadi1176
      @laoiyadi1176 18 วันที่ผ่านมา

      Jifunze matumizi ya R&L 😢

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 12 วันที่ผ่านมา

      Shule ni mhimu saana haswa kwa watzn😂😂😂😂😂😂 r na l vinakushinda loooo

  • @zeydkombo1776
    @zeydkombo1776 9 วันที่ผ่านมา

    So boring