MATONYA ANAFUNGUKA SAKATA LA KUKAMATWA NA DAWA ZA KULEVYA CHINA |'MIMI SIO FALA' | 'WATU WALIJAA'

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #MATONYA #HAROUNTAMBWE #SNR

ความคิดเห็น • 42

  • @BrunojnrMz
    @BrunojnrMz 11 หลายเดือนก่อน +2

    Tonya umefanya interview nzuri sana. Unaongea vizuri unasikika vizuri. Congract🎉🎉

  • @frankkulwa3981
    @frankkulwa3981 11 หลายเดือนก่อน +2

    Safi sana Matonya. Umetulia, very wise responses na unamjua Mungu.

  • @kuchdady
    @kuchdady 11 หลายเดือนก่อน +3

    Brother una utulivu sana kwenye kuunda swali na rafudhi including matamshi...hata anaeojiwa hua huru kujibu...I wish one day to have face to face

  • @salumchuma7762
    @salumchuma7762 11 หลายเดือนก่อน +2

    Tonya Time the LEGEND...Daah baada ya interview hii imenifanyia ni ka search ngoma zote za tonya kuanzia "Namtafuta mremboooo"..

  • @EzzyK438
    @EzzyK438 11 หลายเดือนก่อน +2

    One of my favourite artist

  • @belzylucas7275
    @belzylucas7275 9 หลายเดือนก่อน

    Anita wangu vaireti❤❤❤

  • @AliMunga-c8n
    @AliMunga-c8n 11 หลายเดือนก่อน +1

    Big up brother matonya

  • @katibampya8442
    @katibampya8442 11 หลายเดือนก่อน +3

    Nilikuwa naishi nae bahari beach kwa mwenye nyumba mmoja. Tonyaaaaa

  • @powerofpraisingandworshipp7875
    @powerofpraisingandworshipp7875 11 หลายเดือนก่อน +1

    He is a legend ila kwa ushaur angewek hiyo nyimbo siamini aloimba hapo live kwan nzur mnoo nimeipend aisee

  • @khamiskhamis7070
    @khamiskhamis7070 11 หลายเดือนก่อน

    MATONYA... LEGEND

  • @habari254
    @habari254 11 หลายเดือนก่อน

    Interview ya nguvu sana .Hongera

  • @mocomoja4229
    @mocomoja4229 11 หลายเดือนก่อน

    Bonge la kipindi big up kwa tambwe T 2

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 11 หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa anajuwa kujieleza vizuri Sana.

  • @Seif-re5lq
    @Seif-re5lq 3 หลายเดือนก่อน

    Wacha umbeaaa, Sasa age yake inakuhusu nini?

  • @mlindwajafari5858
    @mlindwajafari5858 11 หลายเดือนก่อน

    Anasema pasport yake haina muhuri wa china mara kasema nilipita china

  • @katibampya8442
    @katibampya8442 11 หลายเดือนก่อน +1

    Tonya ni tester wa dorimeeee, ila sahv ameacha, na alikuwa anafanyia hiyo shughuli hotel flan bahari beach

  • @Neema-wh1eo
    @Neema-wh1eo 11 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤

  • @nabbeely5295
    @nabbeely5295 11 หลายเดือนก่อน

    Hahaha tonya time!! Umetudaganya huo mchongo wa whatsap .

  • @Pemba680
    @Pemba680 11 หลายเดือนก่อน

    Amezeeka

  • @badifundi6089
    @badifundi6089 11 หลายเดือนก่อน +8

    Kidogo niseme anahojiwa na Millard ayo😂

  • @Seif-re5lq
    @Seif-re5lq 3 หลายเดือนก่อน

    Sounds like China Black QGC ALIVYO TOKA NDUKI, mashindano y KIM & THE BOYZ

  • @LutenganoCharles-d7t
    @LutenganoCharles-d7t 11 หลายเดือนก่อน

    Anaejua umri wa matonya plz mii nimesearch nimeshindwa kupata ana miaka mingap huyu jamaa asa hvi?

    • @PendoAbasi
      @PendoAbasi 7 หลายเดือนก่อน

      54

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 11 หลายเดือนก่อน +1

    Tamaa mbele mauti nyuma !!!! Binadamu atosheke na jasho lake, dunia mapito tu !

  • @mohamedihatibu3524
    @mohamedihatibu3524 11 หลายเดือนก่อน

    Tonya mbili

  • @PwiloManuel
    @PwiloManuel 11 หลายเดือนก่อน

    Tonya

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nimepata kitu cha kujifunza Tonya umeongea point Sana kwel baba umri ushaenda unajielewa Sana bro

  • @cbhofficial3432
    @cbhofficial3432 11 หลายเดือนก่อน

    Mzee wa spair tair

  • @awesomeaugustine
    @awesomeaugustine 11 หลายเดือนก่อน

    I'm going to tell you about mAnya

  • @shaloboy3861
    @shaloboy3861 11 หลายเดือนก่อน +1

    Lakini ma boss zako aswa chief kiumbe ni drug dealer mkubwa ata serekali ina mtambua

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 11 หลายเดือนก่อน

      Mbona yuko huru kama serikali inamtambua, acha upuuzi na skendo zisizo na uthibitisho.

    • @prezzyvassach3218
      @prezzyvassach3218 11 หลายเดือนก่อน

      Hakuna Kitu Kama Hicho!!

  • @DM_15
    @DM_15 11 หลายเดือนก่อน

    Tonya katudanganya hapo kwenye wasap wasap nijuzituu hapa wakatiule ilikua wasap bongohakuna katupiga huyu

    • @badifundi6089
      @badifundi6089 11 หลายเดือนก่อน +2

      WhatsApp Ilikua Launched 2013 October

    • @shaloboy3861
      @shaloboy3861 11 หลายเดือนก่อน

      Mda huo ata fb aikuwepo

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 11 หลายเดือนก่อน

      Shaloboy Duuh

    • @DM_15
      @DM_15 11 หลายเดือนก่อน

      @@badifundi6089 nihatari kaka ogopa story za wasanii waongo waongosana

    • @RobLiban-m4l
      @RobLiban-m4l 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@shaloboy3861Facebook ilianzishwa February 2004. WhatsApp ilianza 2009