Kamahulifanya hayo Mambo hunasema humehokoka hujuwe Kuna familiha hulizizulumu jitokeze kwenye hayo maheneho na hikiwezekana Kama hitakupendeza huzipehata kifutajasho kamahumezifanyia marego haiza hulizijengea na iyonyumba bdo ipo hujuwe bdo siho haki yako zitoe hata kwa yatima
Mhmm ndugu yangu Mungu hayupo hivo Kama hivo sasa waliokuwa makahaba alafu wameokoka waanze kwenda kwenye ndoa za watu ambazo walikuwa wanaiba waume zao Mungu akishakusamehe amekusamehe kikubwa usirudie tena dhambi.Alafu jitahidi kuandika kiswahili kizur pakuweka u usituwekee hu😅😅
Naomba namba yako mtumishi Tafadhali mtumishi bado nakukumbuka niliacha uganga nikachoma vitu mizim mpaka sasa naendelea na wokovu
Du mtumishi upo wewe ulinifanya niokoke Buhogwa katika kanisa la baptisti Buhogwa kwa MCHUNGAJI edward misalaba
Power Mangwana ni Noma sana huyu Mtu Safi sana Mwana Habari wetu John Ngollo kwa kutuletea huyu Mtu
Pamoja Sana brother hongera kwa studio
Mambo vp jonh ngollo napenda sana kufatilia video unazoweka naomba muendelezo waushuhuda wa uyu pawa mang.ana
Sawa hamna shida Mkuu Weekend hii itakuwa Tayari itapatikana kwenye youtube ya JohnNgollo
Umenikumbushaa mbali huyu jamaa nilimjulia kwenye r free kipindi cha sito sahau anahistoria nzuri sana. Hongereni
Mbona hataji vyote namana jinsi walivotorka wenzake
YESU walete na wengine safi kaka ngollo kwa kutuletea intavyu hii
Tengeneza simulizi ya audio mtumishi italipa sana mtandaoni
🤣🤣🤣Alivyotoa meno kaka ulitaani kukimbia, yaani ule mshtuko wako tu umeonyesha uliogopa sana 😆😆😆😆 by the way, hongera sana bro.
Mkuu hadi Macamera Man waliogopa😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣
Namba zake za simu
Kamahulifanya hayo Mambo hunasema humehokoka hujuwe Kuna familiha hulizizulumu jitokeze kwenye hayo maheneho na hikiwezekana Kama hitakupendeza huzipehata kifutajasho kamahumezifanyia marego haiza hulizijengea na iyonyumba bdo ipo hujuwe bdo siho haki yako zitoe hata kwa yatima
Mhmm ndugu yangu Mungu hayupo hivo Kama hivo sasa waliokuwa makahaba alafu wameokoka waanze kwenda kwenye ndoa za watu ambazo walikuwa wanaiba waume zao Mungu akishakusamehe amekusamehe kikubwa usirudie tena dhambi.Alafu jitahidi kuandika kiswahili kizur pakuweka u usituwekee hu😅😅
Izo hu ndo nini
Hiyo imeenda
Hawa ndio waliwaimbisha watu tanga
😂😂😂mtaji wa masikin
Duniani hapa Mungu anawatu wengi khaa
Kumbe kibogoyo duh!
Nice
Thank you Brother but i need your help to share my link for others
Jamani muwe munatusaidia namba
Yn kama naangalia move maana adis ilivo tamu fu! Pole sana mu gu yupo pamoja nww
Hata kumchangia sadaka jamani
Sawa hamna shida
Plz nataka namba yake babangu huyo pls
🤣😂🤣
Tunaomba no yake aje kuhubiri kwetu
Wapi uko?