EXCLUSIVE:POWER MANGWANA AFUNGUKA UJAMBAZI NA MAUAJI ALIOYAFANYA KABLA YA KUAMUA KUOKOKA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
  • USISAHAU KUSUBSCRIBE,LIKE,COMMENT NA KUSHARE.

ความคิดเห็น • 32

  • @desdelboniphasdesdelboniphas
    @desdelboniphasdesdelboniphas ปีที่แล้ว +5

    Naomba namba yako mtumishi Tafadhali mtumishi bado nakukumbuka niliacha uganga nikachoma vitu mizim mpaka sasa naendelea na wokovu

  • @desdelboniphasdesdelboniphas
    @desdelboniphasdesdelboniphas ปีที่แล้ว +3

    Du mtumishi upo wewe ulinifanya niokoke Buhogwa katika kanisa la baptisti Buhogwa kwa MCHUNGAJI edward misalaba

  • @georgedaud7448
    @georgedaud7448 2 ปีที่แล้ว +6

    Power Mangwana ni Noma sana huyu Mtu Safi sana Mwana Habari wetu John Ngollo kwa kutuletea huyu Mtu

  • @simonimajalimarco6604
    @simonimajalimarco6604 2 ปีที่แล้ว +6

    Pamoja Sana brother hongera kwa studio

  • @nehemiaphilemon4625
    @nehemiaphilemon4625 2 ปีที่แล้ว +3

    Mambo vp jonh ngollo napenda sana kufatilia video unazoweka naomba muendelezo waushuhuda wa uyu pawa mang.ana

    • @johnngollo
      @johnngollo  2 ปีที่แล้ว

      Sawa hamna shida Mkuu Weekend hii itakuwa Tayari itapatikana kwenye youtube ya JohnNgollo

  • @fredyfile623
    @fredyfile623 10 หลายเดือนก่อน +1

    Umenikumbushaa mbali huyu jamaa nilimjulia kwenye r free kipindi cha sito sahau anahistoria nzuri sana. Hongereni

  • @jonathanmundeda9714
    @jonathanmundeda9714 ปีที่แล้ว +2

    Mbona hataji vyote namana jinsi walivotorka wenzake

  • @jamessamwel7172
    @jamessamwel7172 2 ปีที่แล้ว +7

    YESU walete na wengine safi kaka ngollo kwa kutuletea intavyu hii

  • @SadickShedrack
    @SadickShedrack 3 หลายเดือนก่อน

    Tengeneza simulizi ya audio mtumishi italipa sana mtandaoni

  • @yaredndolosi1480
    @yaredndolosi1480 2 ปีที่แล้ว +2

    🤣🤣🤣Alivyotoa meno kaka ulitaani kukimbia, yaani ule mshtuko wako tu umeonyesha uliogopa sana 😆😆😆😆 by the way, hongera sana bro.

    • @johnngollo
      @johnngollo  2 ปีที่แล้ว +1

      Mkuu hadi Macamera Man waliogopa😁😁

    • @yaredndolosi1480
      @yaredndolosi1480 2 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣

  • @benjaminomondi3500
    @benjaminomondi3500 2 ปีที่แล้ว +2

    Namba zake za simu

  • @hamisiomaryi1699
    @hamisiomaryi1699 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kamahulifanya hayo Mambo hunasema humehokoka hujuwe Kuna familiha hulizizulumu jitokeze kwenye hayo maheneho na hikiwezekana Kama hitakupendeza huzipehata kifutajasho kamahumezifanyia marego haiza hulizijengea na iyonyumba bdo ipo hujuwe bdo siho haki yako zitoe hata kwa yatima

    • @consolatamedard6593
      @consolatamedard6593 9 หลายเดือนก่อน +1

      Mhmm ndugu yangu Mungu hayupo hivo Kama hivo sasa waliokuwa makahaba alafu wameokoka waanze kwenda kwenye ndoa za watu ambazo walikuwa wanaiba waume zao Mungu akishakusamehe amekusamehe kikubwa usirudie tena dhambi.Alafu jitahidi kuandika kiswahili kizur pakuweka u usituwekee hu😅😅

    • @Commentsplus
      @Commentsplus 8 หลายเดือนก่อน

      Izo hu ndo nini

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 ปีที่แล้ว +2

    Hiyo imeenda

  • @abdullahmhina2207
    @abdullahmhina2207 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa ndio waliwaimbisha watu tanga

  • @TheBestPhone7918
    @TheBestPhone7918 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂mtaji wa masikin

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 4 หลายเดือนก่อน

    Duniani hapa Mungu anawatu wengi khaa

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 4 หลายเดือนก่อน

    Kumbe kibogoyo duh!

  • @rajgangyangranth-g2f
    @rajgangyangranth-g2f ปีที่แล้ว +3

    Nice

    • @johnngollo
      @johnngollo  ปีที่แล้ว

      Thank you Brother but i need your help to share my link for others

  • @Mwaminihabarugira
    @Mwaminihabarugira 6 หลายเดือนก่อน

    Jamani muwe munatusaidia namba

  • @Oman-nu2kc
    @Oman-nu2kc 11 หลายเดือนก่อน +2

    Yn kama naangalia move maana adis ilivo tamu fu! Pole sana mu gu yupo pamoja nww

  • @benjaminomondi3500
    @benjaminomondi3500 2 ปีที่แล้ว +2

    Hata kumchangia sadaka jamani

    • @johnngollo
      @johnngollo  2 ปีที่แล้ว

      Sawa hamna shida

  • @benjaminomondi3500
    @benjaminomondi3500 2 ปีที่แล้ว +1

    Plz nataka namba yake babangu huyo pls

  • @Liliemugisho
    @Liliemugisho 11 หลายเดือนก่อน

    🤣😂🤣

  • @deborahmwaitebele8016
    @deborahmwaitebele8016 ปีที่แล้ว +2

    Tunaomba no yake aje kuhubiri kwetu