Dr.Chris Mauki: Mambo 7 Ya Kukuepusha Na Matatizo Ya Akili
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
- Je unajua kwamba baadhi ya tabia zako za kila siku zinaweza kuwa chanzo cha kukusababishia matatizo ya akili? Unajua ni tabia zipi uepuke na zipi uzidumishe? Karibu kutazama somo jipya MAMBO 7 YA KUKUEPUSHA NA MATATIZO YA AKILI.#ChrisMauki#Matatizo#Akili
Kila mtu anae fungua basi a like
Asante
❤❤
Asante Dr, watu wengi wanateseka kweli Siku hizi, na hii imekuwa tatizo ktk jamii mpaka kufikia hatua ya kutafuta wachawi
Pata muda Wa kulala
Pata muda Wa mazoezi
Pata muda Wa Ku focus
Pata muda Wa kukaa na watu
Muda Wa kucheza(hobby)
Muda Wa kupumzika
Muda Wa kujitafakari
Ahsante kwa somo zurii 🙏🙏🙏
Umetisha kinoma noma
Ubarikiwe
Asante Ndugu Chris
Asnt san
Exactly thanks alot
Thanks
Asnte sana Mwalim
Mafuzno ya leo niya kweka kwenye Daftari kisha kwenye uwanjaaa wake yani kuya tekelezaa.
Good job Dr.
Dr Chris nataka kujuwa siku gani ambazo zinategemea kupata mtt wa kike
Tafadhal Nina omba namba zako nimepata tatizo la kutetemeka uoga umenizidia sana.ninaomba kuongea na ww please
Please nakuomba
@@mankarichard5851 tafuta kwenye somo jengne lake namba zake zpo uwa anaweka
Asante