Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 พ.ย. 2015
  • Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015

ความคิดเห็น • 185

  • @pascoalphonce2911
    @pascoalphonce2911 10 หลายเดือนก่อน +14

    Huwa namaliza MB zangu kusikiliza hii hotuba kila mala nailejea tena nani nipo nae leo 3/9/2023

    • @emanuelgunda4033
      @emanuelgunda4033 2 หลายเดือนก่อน

      Hakika ww Jpm ni ulikuwa Jembe na nusu

  • @haafidhaboubakary3097
    @haafidhaboubakary3097 2 ปีที่แล้ว +29

    Who is watching this speech January 2022🔥🔥

  • @kevinmremi6312
    @kevinmremi6312 11 หลายเดือนก่อน +12

    28 July 2023, I am here watching, and I don't believe that our dear beloved President JPM is REALLY gone. In most cases, we always remember the treasures we had, long after they are gone! You are a gem, a treasure, a true son of Africa, a Pan-Africanist and you are now gone! May your soul rest in eternal peace. Amen

  • @johnkanuda9355
    @johnkanuda9355 ปีที่แล้ว +12

    Pumzika kwa aman JPM, love u more our late beloved President of all in the world,,, mungu akupunguzie adhabu ya kaburi kipenzi chawatanzania.!

  • @nyanjigamuyenjwa5192
    @nyanjigamuyenjwa5192 9 หลายเดือนก่อน +4

    Moja ya hotuba bora kabisa karne ya 21
    Napenda sana kusikiliza hotuba hii ,kwani haichoshi
    Tukubali Mh Magufuli alikuwa mtu na nusu
    Pumzika baba,uketi mkono wa kiume

  • @mwitachacha-official
    @mwitachacha-official 2 ปีที่แล้ว +17

    Huyu alikuwa kiongozi wa aina yake na ilikuwa zawadi kutoka kwa mungu...sina hakika kama tunaweza kumpata kiongozi kama huyu..RIP magufuli.

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 ปีที่แล้ว +4

    Na kweli Mzee HUKUWA na KIGUGUMIZI katika KUISHUGHULIKIA Ile MIJIZI.....R.I.P the GIANT PRESIDENT.....!

  • @dennismalima5365
    @dennismalima5365 8 หลายเดือนก่อน +4

    28.10.2023... Baba nipo hapa naifatilia hotuba yako na kesho ni birthday yako.. Happy Birthday in heaven JPM

  • @dennismalima5365
    @dennismalima5365 ปีที่แล้ว +8

    Mwambaaaa 😢... Who is watching JPM SPEECH? 4TH OCT, 2022

  • @dennismalima5365
    @dennismalima5365 4 ปีที่แล้ว +11

    Hotuba haichoshi aisee... Thanks God for this president.. He is intelligent! Alichokisema, ndo anachokifanya. Haina unafiki. Piga kazi Mzee, Tupo nyuma yako.

  • @bannychanel9752
    @bannychanel9752 4 ปีที่แล้ว +12

    Magufuli NI kiongozi Bora Sana kuwahi kutokea duniani...Na mengi aliyohaidi ametekeleza...big up my president

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 ปีที่แล้ว +5

    Nani yupo anatazama hiyi october 2022?
    Tujuane 😢😢😢

  • @organistsskills4921
    @organistsskills4921 3 ปีที่แล้ว +15

    Hii Hotuba nairudia tena na tena... Dira ya Taifa ilianzia hapa.

  • @AggreyHamisi-og2fm
    @AggreyHamisi-og2fm 5 หลายเดือนก่อน +2

    Haya mm npo leo Date 3 feb 2024 Saturday, listening to the speech .
    But naona ambacho hajafanikiwa kutekeleza ni swala la " KATIBA "
    Na kuvutia wawekezaji weng tofaut yake alkua kama anawataka walipe kodi kubwa sn .
    But all ni all 95% ya vyote alvyoahidi katekeleza
    Lkn pia ithink ndo rais ambae matamanio ya wananchi weng wa TZ tulmsubr sn but kwa kua Mungu almpenda zaidi ,RIP Magu 😭😭😭😭😭😭 ( we loved u and we still needed u )

  • @nelsonpeter2112
    @nelsonpeter2112 4 ปีที่แล้ว +10

    Mkuu umefanikiwa kwa asilimia zaidi ya 90% hongera sana 2020 hii

  • @mwalumwakili2541
    @mwalumwakili2541 6 หลายเดือนก่อน +2

    Watcing this on 10th January 2024😢😢😢 RIP POMBE huku kenya tuliahidiwa mengi ya uongo

  • @samsonobedi3472
    @samsonobedi3472 2 ปีที่แล้ว +6

    Safali umemaliza Iman umeilinda baba enda maguful. Enda kwa Amin

  • @hassanaloobaidan25
    @hassanaloobaidan25 3 ปีที่แล้ว +9

    Kiukweli mimi nilimuelewa Sana mzeee kazi umefanya baba na umetufundisha namna bora ya kuheshimu kazi ahsante kwa kuja

  • @masungajp1
    @masungajp1 ปีที่แล้ว +8

    Nyerere, Magufuli type of leaders are many in Tanzania. It's all about time or timing. May God rest the soul of this great man in peace. Tutakukumbuka daima kwa mema.

  • @jafaryally2037
    @jafaryally2037 2 ปีที่แล้ว +9

    Ukisikiliza tu kama ni mzalendo wa kweli lazima machozi yatoke tu. Kazi ya Mungu haina makosa

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 2 ปีที่แล้ว +8

    Rais asiyeandikiwa speech na kila aongeacho ni point na speech haichoshi kuskiliza hata km ni masaa mengi bundle haliendi bure...RIP JPM tunakukumbuka kwa mengi

  • @emanuelcharles3548
    @emanuelcharles3548 4 ปีที่แล้ว +9

    2020 Umevuka malengo ya utekelezaji baba JPM.

  • @ibrahimkambi9288
    @ibrahimkambi9288 4 ปีที่แล้ว +8

    Mh.Rais uliahidi na umetekeleza kwa zaidi ya asilimia 98.99 Kongole sana kwako.

  • @josephnchunga1247
    @josephnchunga1247 2 ปีที่แล้ว +3

    Hutuba zenye hisia za mh Magufuli zenye malengo yenye usawa dah daima mi binafsi nimepotelewa na Bonge la rais. Mungu akupe pumziko la milele amina

  • @issackdauda5071
    @issackdauda5071 2 ปีที่แล้ว +7

    Yaani mungu alitupiga fimbo kwa huyu jamaa

    • @ramamohamed8392
      @ramamohamed8392 9 หลายเดือนก่อน

      Daaaah😭😭😭😭

  • @jojolee382
    @jojolee382 4 ปีที่แล้ว +12

    Jan 25 2020, Magufuli is the best....!! 2020 TANO TENA.

  • @yusuphkapilimka
    @yusuphkapilimka 2 ปีที่แล้ว +6

    Who is watching September 2021

    • @peaceisrael8158
      @peaceisrael8158 2 ปีที่แล้ว +1

      Im even here today December 9 uhuru day

    • @japhethgeriad4519
      @japhethgeriad4519 2 ปีที่แล้ว +1

      Here today 07TH April, 2022 KARUME DAY.

  • @agneomasonda2462
    @agneomasonda2462 5 ปีที่แล้ว +8

    Shikamoo baba Magufuli hotuba hii imenifanya kuwa balozi kukutea nakuombea mema daima. Kazi nzuri sana tunaiona watanzania.

  • @Cyril_James-Jr.
    @Cyril_James-Jr. 6 หลายเดือนก่อน +1

    I am watching now it's 07.01.2024

  • @dihajimaulidi3799
    @dihajimaulidi3799 2 ปีที่แล้ว +3

    Me nimerud tena baada ya kifo chako 21 na hali ya Tanzania yetu umeme na mfumuko wa bei upo juu chini ya utawala wa mama samia

  • @samsonobedi3472
    @samsonobedi3472 2 ปีที่แล้ว +4

    Ww ndio rais kwanza kusema ss nitajili baba pia we ndio mtu ulitupenda ss makini Baba. Nakupenda San jpm

  • @makalangakiselya5207
    @makalangakiselya5207 3 ปีที่แล้ว +9

    sina la kusema zaidi ya R.I.P Jemedari hakika ulitawala vizuri

  • @mosesmussa3669
    @mosesmussa3669 4 ปีที่แล้ว +7

    Daah nimesikiliza hotuba hii tena,sijutii kumpigia Kura mh JPM

  • @josephmlela9757
    @josephmlela9757 3 ปีที่แล้ว +7

    Pumzika Rais wangu niliekupenda Doctor John pombe Joseph Magufuri

  • @motv3853
    @motv3853 4 ปีที่แล้ว +12

    Hivi alikuja amekariri Maaana sioni akisoma. Anachungulia tu na kuendelea kutiririka. Big up for total reflexão

    • @organistsskills4921
      @organistsskills4921 3 ปีที่แล้ว +1

      Anatumia kifaa maalum ya presidential device kwaajili ya kusomea hotuba..
      A teleprompter, also known as an autocue, is a display device that prompts the person speaking with an electronic visual text of a speech or script. Using a teleprompter is similar to using cue cards. The screen is in front of, and usually below, the lens of a professional video camera, and the words on the screen are reflected to the eyes of the presenter using a sheet of clear glass or other beam splitter, so that they are read by looking directly at the lens position, but are not imaged by the lens.

    • @issayamshana3750
      @issayamshana3750 2 ปีที่แล้ว

      @@organistsskills4921 Itakuwa hivyo mana teknolojia inakuwa sanaa....!! Lakini pia huyu Raisi alikuwa na kipaji binafsi. Katika kuzungumza mbele ya Watu, hata kama hotuba imeandikwa pia uwezo binafsi ni jambo la muhimu sanaa

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 2 ปีที่แล้ว

      @@issayamshana3750 ah wapi unaambiwa anasoma Bado unang'ang'ania vitu ambavyo havina tija

  • @yusuphwella9651
    @yusuphwella9651 4 ปีที่แล้ว +13

    Nilikuaga nikifuatiliaga hotuba za mwl nyerere sasa nimepata rais mwingine wakufuata hotuba zake

  • @frankkashner
    @frankkashner 3 ปีที่แล้ว +7

    I love this Man Na yotee ametekeleza Mwamba

  • @winfredchaula1849
    @winfredchaula1849 4 ปีที่แล้ว +8

    Wewe ni Rais Msema ukweli nimerudi tena kuiskiliza hii hotuba baada ya kuiangalia live mwaka 2015, Umeyatekeleza yote uliyoahidi .Hongera saana magufuli wewe ni Jembe kweli

  • @shabankawala6606
    @shabankawala6606 2 ปีที่แล้ว +3

    Pumzika kwa amani rais wetu Magufuli na mungu ailaze roho yako mahalipema peponi amina.

  • @nestor384
    @nestor384 2 ปีที่แล้ว +13

    Dr. Magufuli was the masterpiece
    Dr. Magufuli was the true pan africanist
    Dr. Magufuli showed how Africa can be transformed to the better place
    RIP Sir

    • @chabadeus6475
      @chabadeus6475 ปีที่แล้ว

      Just waoh..... wonderfully....guy....how better him

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 ปีที่แล้ว +3

    Huyu ndio alikua Rais Kwa Watanzania, alitaka mpk PENI ya ofisini ikinunuliwa BUKU iwe BUKU....na kweli ALIWADHIBITI walikua kama MASHETANI,....sisi maskini TULII ENJOY sana wakati wako , R.I.P the GIANT PRESIDENT 🙏

  • @lilykarim8968
    @lilykarim8968 ปีที่แล้ว +2

    Hilo libibi linasafiri na mdege wako mkubwa baba na msafara rukuki tunateseka sana likuskilize labda litajirekebisha ila linapenda starehe kwelikweli

  • @empbakumbafamily9072
    @empbakumbafamily9072 3 ปีที่แล้ว +5

    Naangalia tena hotuba ya baba leo😔😭

  • @mohamedhabibu3170
    @mohamedhabibu3170 2 ปีที่แล้ว +3

    Magufuli wewe ni zaidi chuma si chuma kufanana na kingine mungu akulipe pepo Rais wangu

    • @mohamedhabibu3170
      @mohamedhabibu3170 2 ปีที่แล้ว

      Magufuli wewe ni daidi ya chuma si chuma ukafanana na kingine mungu akulipe pepo Raisi wangu

  • @zenj1986
    @zenj1986 3 ปีที่แล้ว +7

    Kwakuwa hali ya nchi ilikuwa ni rushwa, kutokuwajibika serikalini, matumizi mabaya ya pesa za serikali na viongozi na familia zao, huduma mbovu ya afya, vilio vya huduma ya maji na umeme iliokuwa mzuri, wenye kipato cha juu kuona anaweza kufanya lolote bila ya kuambiwa lolote, watu kudhulumiwa ardhi na kujichukulia ardhi na kukopa pesa kwenye benki za nje lakini sio kwajili ya kuendeleza mambo yao nchini ili kutoa ajira kwa watanzania. Huyu alikuwa ni mtu muhimu sannnna kwa taifa letu. Magufuli alikuwa na uchungu juu ya nchi yake na watu wake.

  • @isaacmwailinga8921
    @isaacmwailinga8921 6 หลายเดือนก่อน +1

    This Was Very powerful Speech ever heard from The leader in our Country 😢 Powerful thought Thanks You For the God Seak

  • @nitumesokoni3164
    @nitumesokoni3164 3 ปีที่แล้ว +12

    Tutaongea mengi sana ila kwa ufupi huyu mwamba alikuwa CHUMA. Yote aliyoyaongea mwaka 2015 leo hii yametekelezeka. Pumzika kwa amani baba. Umevipiga vita vilivyo vizuri, imani umeilinda, mwendo umeumaliza. Tutaonana baadae

  • @jumachanewstrends6899
    @jumachanewstrends6899 2 ปีที่แล้ว +2

    Nimerudiii kusikilizaa tenaa hotuba yako Leo tarehe 21/03/2022 baaada ya mwaka mmoja kututokaa

  • @ernestomwakababu6342
    @ernestomwakababu6342 ปีที่แล้ว +2

    Mwamba alitoa dira, na alipambana sana kugusa kila alipoahidi kufanya, japo alikwamishwa Kwa nguvu nyingi mnoooo.... Mwamba alisimama kwenye mstari .

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 ปีที่แล้ว +6

    Hao wanaotoka bungeni tuachie sisi mzee, sisi wenye nchi ndio tutamalizananao 2020

  • @allankimaro4327
    @allankimaro4327 ปีที่แล้ว +4

    Yote uliyoahidi uliyatekeleza kwa kishindo kikubwa. Hakika hautasahaulika Baba Magufuli. Rest in paradise Magufuli

  • @user-ys1ge5no8f
    @user-ys1ge5no8f 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nilikupenda sana Rais wangu lakini mungu kakupenda sanakwakutoa Hutuba bila kusoma kimemo

  • @aminihamisi3551
    @aminihamisi3551 2 ปีที่แล้ว +2

    Daaah basi bwana Mungu mpumzishe mahali pema Magufuli wetu🤲🤲🤲

  • @brendanjiro1418
    @brendanjiro1418 4 หลายเดือนก่อน +1

    Feb 14, 2024😔 Thank you Sir🙏 continue to RIP

  • @user-pu8rn2pe8q
    @user-pu8rn2pe8q 10 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ndiye Aliyekuwa Rais mpenda haki na mtenda kazi ktk Kupigania wananchi wake Ni Mfano Bora Wa kuigwa

  • @samsonobedi3472
    @samsonobedi3472 2 ปีที่แล้ว +1

    Nitaman Kuna 2025 itakuwa wp inamn. Yangu Bado ipo juu ya baba nimejifunza meng katika maisha ukweli umakini uwazi upendo na kumjua mungu tz ingkuwa mpya baba

  • @zenj1986
    @zenj1986 3 ปีที่แล้ว +5

    Yaani vigogo wanajitafuta vidole mana hawakujua kama JPM atakuwa mkali kiasi hiki.

  • @parmenaprosper3780
    @parmenaprosper3780 4 ปีที่แล้ว +13

    One word from this clip “Always start with your internal problems then you will conquer anything”

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 ปีที่แล้ว +3

    Nimemuona Zitto anamkonyeza cameraman 42:25 asimmulike sana😂😂😂😂. KAMA UMEMUONA gonga like

  • @drfrankfaustine5469
    @drfrankfaustine5469 4 ปีที่แล้ว +7

    Kiukweli watanzania wenye akili na uwezo wa kufikilia hawawezi kubeza kiongo, i wetu uyu ananipa mwanaga wa kuonesha nia ya kuwa kiongozi pia ata mm apo badae kwa kuenzi aya anayo yafanya kiukweli nakuombea sana mwshimiwa

  • @samsonobedi3472
    @samsonobedi3472 2 ปีที่แล้ว +1

    Unapo sema unasema kwel baba tuliombea Sana kwa mungu ila mungu alikupend Zaid baba lala kwa Amina kwangu we ndio rais wangu

  • @princessmohammed
    @princessmohammed 3 หลายเดือนก่อน +1

    I'm watchin now ts 27.03.2024

  • @sishamtula2133
    @sishamtula2133 4 ปีที่แล้ว +4

    2020 still here😊

  • @dickmlawa8843
    @dickmlawa8843 3 ปีที่แล้ว +3

    Mungu tunakuomba utupe jembe kama hili hata likifanana kwa vitendo tu mungu tusaidie🙏

  • @peterandrew2795
    @peterandrew2795 2 ปีที่แล้ว +1

    Punzika baba angu kwa amani.....watanzania hawana masikio hujue hilo....utuombee baba mungu wetu.....hatusikiii....pole baba angu

  • @ElaviusSaulo
    @ElaviusSaulo 8 วันที่ผ่านมา

    Nawatch tena hii hotuba..4.7.2024...R.I.P JPM

  • @dotoeliudi7197
    @dotoeliudi7197 2 ปีที่แล้ว +3

    Natamana kila Kiongozi wetubwa juu, Rais na mawaziri na viongozi waandamiz wa Taifa hili waliopo n wanaokuja wasikilize hotuba za bunge zote mbili za Magufuli.

  • @Gambasingu_Gilitu
    @Gambasingu_Gilitu หลายเดือนก่อน

    15 May 2024 Bado naisikiliza hotuba hii Bora Bora kabisa.

  • @daudimasebo4073
    @daudimasebo4073 2 ปีที่แล้ว +3

    One of the greatest speech around the president of afrca

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe kila kitu alikiweka wazi mapema kabisa na hii hotuba ndio iliotoa mwongozo na dira ya uongozi wake.

  • @7675kio
    @7675kio 9 หลายเดือนก่อน +1

    Tumepoteza jembe lililotembea juu ya maneno yake!

  • @mangolaayubu9114
    @mangolaayubu9114 4 ปีที่แล้ว +1

    Good president in my country.Hongera sana mheshimiwa kwa kazi nzuri unayoifanya.

    • @mlokaferdinand
      @mlokaferdinand 4 ปีที่แล้ว +2

      Kama hua unarudiarudia hii hotuba hii Mara kwa Mara gonga like twende sawa....yaaani alio yaongea yoote yashatelekelezeka na mengine yanatekelezeka......haichoshi kuisikiliza....big up Mr president

  • @geoffreykossami1631
    @geoffreykossami1631 4 ปีที่แล้ว +5

    Umetekeleza !

  • @emanuelcharles3548
    @emanuelcharles3548 6 หลายเดือนก่อน

    9 January 2024, nimekuja tu hapa kujikumbusha maono yako na uhalisia wa jinsi ulivyotekeleza, we lost a father and a true patriot

  • @emmanuelnyangi6837
    @emmanuelnyangi6837 3 หลายเดือนก่อน

    Niko hapa Leo trh 04/04/2024 kumcheki Mzee wetu jpm alchoongea

  • @frankmpanda3405
    @frankmpanda3405 5 หลายเดือนก่อน

    Mimi leo nasikilza trh.13.02.2024

  • @jnote9283
    @jnote9283 ปีที่แล้ว +1

    JPM hakua Rais wa kawaida. Pumzika kwa amani Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

  • @hujulathkashaija7901
    @hujulathkashaija7901 11 หลายเดือนก่อน +1

    😭magu amka uone wanavyo piga bei vile ulio vikakataa 😭😭. bandari watu wa dudai ndo wamiliki sasa

  • @fadhiliwaleo5903
    @fadhiliwaleo5903 ปีที่แล้ว +2

    Hata mtoto wangu nitamsimulia kwa mama yako

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba6502 2 ปีที่แล้ว +1

    Wewe ulikuwa mkweli na yote uliyoyaahidi ulitekeleza. Ulikuwa kiongozi bora na wa pekee kuwahi kupatikana Tanzania na barani Afrika. Tutakukumbuka daima

  • @hillarymuliro3135
    @hillarymuliro3135 2 ปีที่แล้ว +1

    The best president off all times Rip rais

  • @samsonobedi3472
    @samsonobedi3472 2 ปีที่แล้ว +2

    Nimekaaa chin na kuangalia hutuba yak Rais meng uliyoyasema umefanya baba ukweli ulikuwa ni sehem ya maisha yak baba nilitaman uwep baba

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 ปีที่แล้ว +1

    Tutakukumbuka ,kukuenzi ,na kukulilia BABA YETU JPM ulikuwa zaidi ya RAIS

  • @emmanuelbonifas2804
    @emmanuelbonifas2804 ปีที่แล้ว +1

    Ulienda wapi magufuri leo hii Tanzania inakulilia na watanzania pia maisha yamekuwa magumu ayaelezeki kila kitu kichungu

  • @brianshomi722
    @brianshomi722 4 หลายเดือนก่อน

    Sichoki kukusikiliza kiongozi wangu 12-03-2024

  • @abdurazzaq4356
    @abdurazzaq4356 7 หลายเดือนก่อน

    Tena naskiliza hotuba yako mr president 13/12/2023

  • @johnkanuda9355
    @johnkanuda9355 ปีที่แล้ว +1

    Ikiwa leo ni tar.29/09/2022...huku uchaguzi waviongozi ndani yachama ukiendelea....lkn.rushwa imetawala tenah baada ya wewe baba kututoka.JPM....pumzika kwa aman Neema twakuombea kipenzi cha wanyonge.mzalendo wakitanzania.!

  • @braycetz99
    @braycetz99 2 ปีที่แล้ว +2

    😭😭😭rip chumaa

  • @bminawandu
    @bminawandu ปีที่แล้ว

    Magufuri nchi imeoza zaidi mkombozi magu

  • @EliahParpulisEvalyneMkulati
    @EliahParpulisEvalyneMkulati 3 ปีที่แล้ว +4

    Dope!! Great work is done!! Keep it up!!

  • @samsonobedi3472
    @samsonobedi3472 2 ปีที่แล้ว +2

    Ulijiamini Sana baba uketi kifuan kwq kwa elia

  • @kadirdhulfiqaar7820
    @kadirdhulfiqaar7820 2 ปีที่แล้ว +2

    Memory

  • @jacobche6288
    @jacobche6288 ปีที่แล้ว +1

    ....basi tu lakini tulikuwa TUNAMUHITAJI SANA...!

  • @samsonobedi3472
    @samsonobedi3472 2 ปีที่แล้ว +2

    Sauti umelala baba

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 ปีที่แล้ว +3

    Chuma hiko.... Kinapounguruma kinamaanisha muungurumo huo huo ndio uko ktk heart beat yake

  • @peterandrew2795
    @peterandrew2795 2 ปีที่แล้ว +1

    Utakuwa baba kwangu milele.

  • @thomasmagoti9040
    @thomasmagoti9040 ปีที่แล้ว

    Dr magufuli 😭umelala mzee wetu mungu akusamehe akupe pumziko la milele

  • @danielmathias160
    @danielmathias160 3 ปีที่แล้ว +3

    RIP MAGUFULI.

  • @abeljoseph4102
    @abeljoseph4102 2 ปีที่แล้ว +1

    I miss u so much my love president 😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @elizabethaugustine8190
    @elizabethaugustine8190 ปีที่แล้ว

    Hili ni bonge la hotuba. Katika hotuba zinazoishi milele.