USIYOYAJUA kuhusu LOS PEPES: Genge la Mafia lililomuuza PABLO ESCOBAR kwa CIA na kufanya aangamizwe
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Wote mnaomkubali sky Fredrick bundala gonga like hapa
Baada ya kifo cha pablo cartel zilichukiua mali zote,mke na mtoto walihamiah Mozambique na baadae walihamia Argentina kwa kuhofia usalama wao,pia ilimbidi mtoto wake Sebastián Marroquín kuacha kutumia jina lake la Juan Pablo escobar...Mwamba namkubali sanaa
Bro sky tuandalie 360 kuhusu vita vya Congo
Safi sana @Fredrick Bundala
Bro Sky
1. Galiano na moncada walikuwa wanafanya kazi chini ya Escobar lakini aliwatoza kodi kubwa ili kulipa ilibidi wamuibie ndo maana akawaua
2. Aliyeongoza kikosi hadi kumuua Pablo alikuwa Kanali Martinez na sio Carrillo, huyu alianza lakini aliuliwa na Pablo mwenyewe
Iyo Ndo kweli
Sky natamani Kama ungemaliza kwakutujuza mpka Sasa familia yake iko wapi na wanaishi VIP/na wanaendelea na biashara hii?
Pablo aliacha Mke na watoto wawili.Kwa sasa wanaishi nchini Argentina baada ya kupata hifadhi ila walibadili majina,Kuhusu biashara hawahusiki tena na wanaishi maisha ya kawaida mno licha ya utajiri uliwaikuwazunguka.
Wanaishi Argentina na hawakupata hata cent ya Pablo mwanawe wakiume ni mwalimu na mwanawe wakike anaishi Kwa kijificha mpaka Sasa hataki watu wamjue ... Serikali ya marekani Ili taifisha pesa zote za pabro na kuwaacha maskin hawakuwa hata na pakulala
Wapo Argentina inasemakana aliza watoto wengi ila hawatambuliki ila watoto 2 Wapo official isipokuwa walibadili majina wanaishi maisha Ya kawaida sana.
Ila mtoto wake mkubwa anajuwa siri nyingi za Baba haswa anapingana na maelezo yalio tolewa na police kuhusu Baba yake alivyo kufa. Mtoto wake anadai Baba yake alijiuwa na sio kuuwawa
@@mancholotrasco8350 nilisoma sehemu kulikuwa na mjadala watu wakawa wanasema biashara yake kuna watu wanaiendesha ni hao hao walimuua sijui kuna ukweli? Ila familia yake inatia huruma sana
@@mancholotrasco8350 😂😂acha uongo
Yani Maisha ya Muda mfupi lakini daah tunapitia mengi alafu kilakitu tunakiacha
Nzuri sana yan 😊
Escobar (soma : s'kobar, "e" is not pronounced)
👏🏾👏🏾Thank u Sky
Yeah ni s’kobar
pronounced s'kobhar kama co s'kovar na waColombia sema wamarekani wana pronounce Escobar kama ilivo !
@@oldtv6981 jina ni Spanish, "e" is muted ni kama "escola", estar, escova,....
Noma sana 🔥👌
pablo mtu kazi
Safi san
💪
Fredrick bundala saut yako inikumbusha kitambo sana Rfa mwanza kipindi nipo chuoni
ALIAPA KUTOKUFUNGWA MAREKANI NA NI BORA AWE KABURIBI COLOMBIA😢 ALISAIDIA MASIKINI SANA NAFIKIRI TUSISHANGAE KUMKUTA HUKO KWA MUNGU😊
Kiukweli tume enjoy story ya uyu Mwamba, ni balaa.
number one
Acha habari za number one umesha support channel hata kwa mchango wa buku
kwamba miamala yangu unaijuaaa mpkaa unaulizaa hivyooo
Canal hurrasio caliro alikuwa tayari amesha uwawa kipindi Pablo anafariki
Tupe story ya family yake iko wapi inaendeleaje
Baada ya kifo cha pablo cartel zilichukiua mali zote,mke na watoto walihamia Mozambique na baadae walihamia Argentina kwa kuhofia usalama wao,pia ilimbidi mtoto wake Sebastián Marroquín kuacha kutumia jina lake la Juan Pablo escobar...Mwamba namkubali sanaa
@@jonsjones2580Ila baadhi ya Mali nyingine zinasemekana familia ya Pablo Bado wanazo hususani ndugu zake Pablo ila hata mke inasemekana pia Kuna kiasi hakuwapa hao magenge wapinzani wa Pablo.
Licha ya matukio yote yaki gaidi, uhasama,Mali na utajiri wote alio kua Nao Pablo. Aisee jamaa alikua ana ipenda familia yake hasa mke wake wa ndoa kupita maelezo….. mpaka mwisho jamaa alikua na wife wa ndoa wana pambana. Family first always take care of your family. Mke na Watoto. Hata utakapo kua kwenye matatizo hawa watu wata kuombea.
Bado family yake ipo
Sns mko wapi
Gereza alilijenga yeye mwenyew pablo wala sio kujengwa na serikali ..
Unajua zaidi ya sky au upuuzi umekuzidi
Hana mpinzani uyoo the drugs deal
Bonge la story
dah what a coincidence niko narcos s3 saivi
Check pablo pia ni kali sana
Escoba
Mwishoo wa ubaya nini???? Pablo sio mtuu mzuli
Nani anapanga uzuri au ubaya wa watu?
Survive for your fittest bro,,,,,
tunaomba mtupe na nalakala ya dr sebii
Escobar
Lospepe hao walikuwa niksi bala
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️
MUHALIFU YOYOTE,,ANATAKIWA KUFA HAPO HAPO,,,WATU WANAFANYA KAZI KUJIKOMOA KIMAISHA MNALETA UMBWIGA,,STUPID ❌
Inavyoonekana wewe hujawahi kufanya uhalifu toka uzaliwe Mr perfect