DK MWINYI AMALIZA TATIZO LA MAKAAZI KWA WAFANYAKAZI WA HOSPITAL YA ABDULLA MZEE PEMBA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 มิ.ย. 2024
  • #ikuluzanzibar #global #jifunze #wasafitv #juu #automobile #ayo #ktnnews

ความคิดเห็น • 11

  • @himaryamhaidar5612
    @himaryamhaidar5612 25 วันที่ผ่านมา

    Hongera Dr Mwinyi yajayo yametima

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 22 วันที่ผ่านมา

    Mwinyi oyeee

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 20 วันที่ผ่านมา

    Hapo lazima wajuwe namna ya kutumia hizo machines kuwe na ma professional wa kazi hizo siyo kila nurse anaweza kutumia.

  • @suleimanmsalum
    @suleimanmsalum 29 วันที่ผ่านมา

    Safi sana ,,Ila tunaombwa na sisi ofisi za tawla za mikoa tuboreshewe

  • @atifsaid2608
    @atifsaid2608 หลายเดือนก่อน

    Hongera Sana Dr Mwinyi

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 20 วันที่ผ่านมา

    Bora mmevaa rangi nyengine. 😂😂😂😂 nafkiri Mazroui havai hata siku moja shati la CCM.

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman หลายเดือนก่อน

    Zikawe nyumba za Madaktar wala zisiwe za kila taasisi ya kiserikali kwa sababu anakaa mbali kupewa nyumba za madaktar na taasisi nyengine wajengewe zao kwa upande wao. Kusiwe na muingiliano wa taasisi.

  • @jumaothman9449
    @jumaothman9449 หลายเดือนก่อน

    Mweheshimiwa Rais na nyumba za walimu hususan katika skuli zenye daghalia hazitoshelezi tunaomba kwa heshima zote umeanza na madaktari Sasa tuje kwenye nyumba za walimu

  • @user-rk9qj9ob1p
    @user-rk9qj9ob1p หลายเดือนก่อน +1

    Mmmmmmmmm njaaa nayo umesema nae vipi kwanza watu wanatakiwa wale milo mitatu na sio milo t bali milo iliyokamlika sasa hizo nyumba hazitokuwa na thamani km njaa itaongezeka pemba pemba pemba tunakufa kwa njaa hali zetu sio rafiki hili sisi pia ndio janga kubwa linalotutesa

    • @saidmuhd611
      @saidmuhd611 หลายเดือนก่อน +2

      Si kazi ya Rais kugawa sahani za wali Kwa watu, muhimu watu wajitume, Kuna ardhi watu walime, Kuna bahari Kila Kona watu wavue serikali iboreshe mazingira ya maendeleo na ustawi wa watu kama haya.