Ukimuona mtu anamtukana kiongozi wa nchi au kumfanyia majungu, huyo mtu mwenye tabia hiyo mbovu kwanza hawakilishi Uislamu na ni nje ya tabia njema, lakini pia atakuwa na hasani, mfitini mwenye kijicho. Na huo ni ugonjwa mbaya sana.
Shehe unajichanganya mtume aliishi maisha ya kawaida na wao wajishushe kila uchaguzi wanauwa mtume alimuuwa nan hawajawhi kufny mzr waislamu ndo waliuwawa nchi hii wakristo wao hawakosei mbwa ww viongoz wawe wadilifu kuna mabaaa wanatowa wao lesen mgest wao lesen uadilifu wametowa wp
Hiyo aya, sura annisaa 59 unayoielekezea nataka uisome vizuri kisha uielewe ndipo useme usemayo. Ni nani huyo arrasul kwanza. Ikiwa ni muhammad basi muhammad keshakufa. Na huyo ulilamri ni kwa masala gani umtii maana aya yasema, mukibishana juu ya kitu au jambo basi muliridishe kwake Allah na mtume. Wewe unaelewa aya ama munataka kujionyesha tu kwa maslahi yenu ya kidunia. Mcheni mungu na msipotoshe aya zake makuhani nyie. وقالوا ربنا إنا اطعنا سادتنا وكبرأنا فأضلونا السبيلا
Tungejitahidi kuwa na nidhamu tungefika vizuri sana kama nikwamfumo huyu ambao vijana tumekalia tunangoja fulani akizungumza hichi humpinga sas kama wey nimkweli njoo ungetusherehesheya ili tujuwe wala sio kuja kutowa kashfa namaneno ya utofu wanidham
Sheikh utakuja kuwa miongoni mwa viongozi wakubwa katika Dini yetu. Kando ya elimu yako una hekima na busara kubwa sana. Allah SW Akujalie sana !
Alhamdulilah 🎉
Mashallah ❤
Jee mwisho wa Fir'aun ulikuwaje?
SASA KAKOSEA SHEIKH HAJAKOSEA ILA NYINYI NI UBINAFSI UNAWASUMBUA
Yuko sahihi tatzo watu wasomi dini
Kwa mujibu wa demicrasia wako sawa wanaomtukana maana demicrasia ni uhuru usiokuwa na mipaka
Kongamano la wanawake nyinyi wansume mnafanya nini humo ndio tabia njema hizo kuangalia wake za watu Muogopeni Allah
Hivi mnafanya yote hamuogopi mwenyezi mungu hizi Aya manazitumi kwenye njaa zenu bora mngekaa kimya imsialibu jamii ya kisilam Kuna akhera nyie
Kabisa hawa ni njaa tuuu
Nimtazamo Wako Hufai Kulaumiwa
Huyo shehe mwenyewe anaonekana kama shoga sasa kunanini hapo
Wewe muongo muogope Allah ww /Yani ALAH amesema viongozi wote watwiiwe muogope Allah kuna aakhera sema na njaa yako/mbumbavu wewe
Sasa Samia anasimamia hukmu ZA allah
Kushawahi kuona Maka viongz wanatukanwa hovyo kushawahi kuona Oman wanamtukana kiongoz
Nyinyiwote mliochangia nakukosoa acheni wivu na kwanini msiendenynyi au msitwe au sio waislam nini?
Masheikh ubwabwa tuh
kweli wewe shetsni kafiri mtu anamzungumziya mungu wewe unajionesha ukafiri wako kichwa mavi wewe
@@kasimkassam9565
ALLAH SW atupe ufahamu wa dini yake
Ukitukanwa ww utakasilika
Ukimuona mtu anamtukana kiongozi wa nchi au kumfanyia majungu, huyo mtu mwenye tabia hiyo mbovu kwanza hawakilishi Uislamu na ni nje ya tabia njema, lakini pia atakuwa na hasani, mfitini mwenye kijicho. Na huo ni ugonjwa mbaya sana.
Sahihi nafasi ya kiongozi ni kubwa kuna hekma kubwa allaah kutuamrisha kuwatii
Shehe unajichanganya mtume aliishi maisha ya kawaida na wao wajishushe kila uchaguzi wanauwa mtume alimuuwa nan hawajawhi kufny mzr waislamu ndo waliuwawa nchi hii wakristo wao hawakosei mbwa ww viongoz wawe wadilifu kuna mabaaa wanatowa wao lesen mgest wao lesen uadilifu wametowa wp
Acha kutukana
Demicrasia yenyewe ni mfumo wa kikafiri wao ndio wamekosea mfumo wa uongoz wangefuata misingi ya uislam ya uongoz acha watukanwe
kama hamna ya kuongea simkae kimya
Ukiona mtu haheshimiwi ujue kuna sababu..
Mbona anarembua macho uyo shekhe
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Na midomo anaramba@@DARSAKUHUSUWANAWAKE
Yanamuwasha
Ittiqi LLAH
Tumekuelewa , msimamo wako
Acha kujizalilisha huoni kua sehemu ulipo sio sahihi angalia unaoongea nao ni akina nani kwa wake za watu
Hiyo aya, sura annisaa 59 unayoielekezea nataka uisome vizuri kisha uielewe ndipo useme usemayo.
Ni nani huyo arrasul kwanza. Ikiwa ni muhammad basi muhammad keshakufa.
Na huyo ulilamri ni kwa masala gani umtii maana aya yasema, mukibishana juu ya kitu au jambo basi muliridishe kwake Allah na mtume.
Wewe unaelewa aya ama munataka kujionyesha tu kwa maslahi yenu ya kidunia.
Mcheni mungu na msipotoshe aya zake makuhani nyie.
وقالوا ربنا إنا اطعنا سادتنا وكبرأنا فأضلونا السبيلا
العلم بلا أدب كشجرة بلا ثمر
Tungejitahidi kuwa na nidhamu tungefika vizuri sana kama nikwamfumo huyu ambao vijana tumekalia tunangoja fulani akizungumza hichi humpinga sas kama wey nimkweli njoo ungetusherehesheya ili tujuwe wala sio kuja kutowa kashfa namaneno ya utofu wanidham
Muhammad keshakufa ila mafunzo na mafundisho yake Bado yapo hai ko ktk kumtii nikule kufuwata tulioamrishwa na kuacha yalio katazwa ndugu
@@MwigaAdam Mohamed aliopewa atufikishie ni Qur'an na ameifikisha.
Na hicho ndicho kitabu pekee kilichotoka kwa Allah. Hakuna kingine
@@bizimanaamani-zc1qm sipingi mtu bali ni wazo la kufahamu kitabu cha Mungu na kumsingizia mungu